On my laptop 😪, trying to remember the password after being confused 🙆. Dakika ishirini baadae bado sikuwa nimekumbuka password ya kuifungua🙆. Hii ni baada ya kupata another three boxes written valium, zaleplon, triazolam and zolpimist extended release 😲😲. Nilianza kushindwa kilichokuwa kinaendelea 🤔. Mara hii sikutaka kumuamsha Recho 😪.
Nilishinda kwa laptop only to find out that she had changed the password,, Wait mbona niandikie mate na wino ungalipo🤔. "Where is my phone?" I asked myself.
Haraka nilifika kwa room nikampata Recho ameamka yupo kwenye simu yangu yuaisorora😪.
ME: Can I have my phone please,, just a minute?
HER: Babe kwan bado uko na number ya Ian,, naona amekutext hapa et uwe careful,, why🤔??
ME: Ian?? Who's Ian?
I pretended not to know him,, at that time nilikuwa nimeanza kufunguka macho🙏. Nilichukuwa simu na mara hiyo nikaingia Google, oh my gosh 🙆😭😭.
I was left speechless after I found the meaning of valium and the other pills😭. Valium is a pill for sleeping, but when taken overdose, it can kill you slowly 😭🙆. Hii dawa ndo watu huekewa kwa vyakula,, first, inaua memory yako usikumbuke chochote😭, kwa hiyo mtu anaweza kuwekea kwa food na aende,, after one week ndo wewe unakufa, no one will suspect🙆.
But mbna Recho anifanyie ivi💔, nimemkosea nini mm?? Obviously I knew ni yeye koz hakuna mtu nilikuwa naye before 💔🙆. Hata hivyo I decided to act smart but my heart couldn't manage to bear the pain😭. Sometimes I found myself crying rivers😭. Ndio nilimkosea mamangu wa kambo, lkn sidhan kama nilihitaji kupitia hayo mateso yote, after paying Recho's bills for two good years 💔.
A week later, Recho was still thinking that nilikuwa bado sikumbuki chochote,, this chick could talk to anyone, flirting, organizing dates with other guys, alijuwanga ikipita siku moja nitakuwa nimesahau😭.
"Do you deserve this Sky? Si una nyumba yako, what is holding you here, already umejuwa haupendwi💔😭" my heart whispered to me🙏.
Kweli niliona kuishi mbali na Recho ni sawa dunia na kuisha😭. I loved that girl with my everything, kilichokuwa kinanipa kiwewe nii... Mbna anifanyie ivo😭??,
Siku mbili baadae moyo wangu ulishindwa kuweka uchungu uliokuwa mzito kama nta🙏🙏. I decided to approach her..
HER: Babe, you know I love you right😋😋. Kwanza jana hukunipa ile pesa nilikuomba ya kuenda party ya classmate wangu😪😪.
ME: But si pia wewe unajuwa sijaingia kazi kwa siku tatu sasa🙏. Nikiingia nitakupa💕.
HER: Si ukope babe,, hata kama ni kwa zenka, nimeona unapewa 10k💕. Ukiingia kazi utawarudishia😋.
"You mean nikope pesa nikupatie uende party🤔, Recho what about our future??" I asked.
She laughed loudly, "okay relax babe, no one knows about tomorrow right? Let's enjoy today😋😋, tommorow is not promised" she charmed .
ME: It's okay, ebu hiyo simu yako💕.
Hapo hakuresist koz alijuwa hata akinipa password yake, keshoye nitakuwa nimesahau🙏. Alishangaa kuona sijamuuliza kitu lakn nimeifungua simu,, sema kuingia kwa watzap😭💔.
Hehee, hapo ndo kulikuwa na kila kitu, Recho was chatting with a girl saved Samantha 😲. They were discussing about me😭.
RECHO: please why is he taking too long, you said in three days atakuwa amekufa...
SAMANTHA: It seems damu yake ni nzito sana dear,, Be patient 😂. Sky gonna finally be death😋😋.
RECHO: Lakn haoneshi dalili,, kwanza kwa bed, this boy is a monster 😂.
Samantha: Chunga asikufie juu yako,, Jacob, Smith na Ricky watamiss hiyo nunu yako mammy😋😋.
Recho: Mbona umesahau Carly na yule sponsor wa fourth year😂😂. Aki hawa watu wataniua🍑🍆..
Recho alishangaa kuniona nikilia,, "Babe after all these two years 😭, what did I do?" I asked.
HER: What babe,, why are you crying 😲. Let me see? Oh my God, oh my 🙆🙆, babe ulijuwaje password ya WhatsApp 🙆. Ngài (she sat down).
I said nothing, just took my phone, few clothes and my laptop nikaishia kwngu💔🙏. It seemed like love wasn't my thing 😭. That was my hardest and painful moment in my life 😭. Nilifikiria kujiua huenda ningeebukana na machungu ya dunia💔.
Hata heri ya KANTHA, sasa mbna Recho anataka kuniua😭, what have I done 🙆😭, nililia kama mtoto lkn hakuna aliyekuwa karibu kunivuta machozi💔😭.
Recho hakuwacha kunifwata,, this time aliogopa kuja kwangu,, kukol tu na matext..
Nilistay kwa nyumba for three days, no food no anything, just crying and sleeping.. hii aliwatia jirani wasiwasi ikabidi wakamwambia caretaker wetu🙏🙏,, saa tatu usiku hivi, niliskia mtu akipisha mlangoni😭. Kuenda kuamka kwa bed nikaanguka,
ME: Rechooo, sitaki tena😭😭.(bado niko chini)
"It's me Essie, caretaker 🙏. Please open the door for me 🙆, what happened??" She asked..
Sauti yangu ilinisaliti kwa mara ya kwanza,, nilifungua mdomo ukabaki ivo,, kufungua macho nikamwona Esther amesimama mbele ya bed yangu🙏.
HER: SKY what is wrong,, amka.. Ngài Shillaaaaah🗣️🗣️🗣️, please come..
she called my neighbor who had moved to our plot recently.. they carried me outside. Shillah akaleta juice, waliniambia baadae et nilikunywa 5litres pekee yangu🙆🙆.
Essie (caretaker) asked Shillah to check out on me,, hakuwa anaenda kazi kwa hiyo alishinda akinitembelea the whole day..
Shila : Sky leo utakula nini?? Mm nimepika waru kwa wali🙏.
ME: Me niko sawa,, nisikue mzigo kwako please.. you are being so nice to me..
Shillah: but am not complaining 😋. You know in this world,, nothing is permanent, leo naeza kuwa nazo kesho niombe🙏. Alfu nilikuwa na swali pia?
Simu yangu ikagiriza kwa bed,, "sorry just a minute 🙏" nilisema huku nikiingia nyuma ya pasia..
Shillah: 🤔🤔mbna tena ukachange sura?? Kwan ni nani alikuwa anapiga??
ME: Don't mind Shee, okay uliza sasa, ulikuwa na swali gani🙏.
HER: Mbna the other day ulikuwa ivo,? What is eating your mind up.. ulifutwa kazi, ulifiwa na relative ama ulikuwa mgonjwa??
ME: So kuna huyu dem..........
Niliwekelewa kofi na Shilah 😭😭.
HER: Hata nilidhani ni kitu ya maana,, nani sahi huwa analia jua ya dem😪😪.. Sky are you mad,, yani mapenzi ndo inataka kukuua🙆. Usiniambie chochote kuhusu mapenzi✌️✌️.
Hapo ndo Shee alinifungua macho,, "yani mm najililia huku pekee yangu na mwenye amenicheat ako tu happy na wanaume wengine,, no more trusting.. in a relationship, everyone cheats. Kulia ni uamuzi wako wewe mwenyewe✌️✌️" nilijiambia mwenyewe..
Shee: What are you thinking about?? Food ndo hii🙏.
ME: So you said no one is loyal nowdays🤔🤔.
HER: Ni wewe umesema sio mm,, but kupata msee loyal ni ngumu kama kupumua na mdomo ulimi ukiwa nje na umefunga mapua✌️. Wait so unajaribu😂.
ME: Oh my goodness, it's impossible 🙆.
Shee: Yes umesema it's impossible 🤗🤗..
Recho akakol tena😪😪.. "Sky ignoring someone will not make her regret, let her know that you are still doing fine💕💕" she begged me to just receive the call..
ME: Hello?
VOICE: beb please,, am missing you, come home😭😭. Let's talk and solve this.. am sorry ak😭.
ME: Sorry I died the way you had planned.. and for your information, Sky is someone's now😪😪. Continue entertaining those men with your 🍑...
Shee: 😲😲😲.
RECHO: Whaat😭. please ni mabeshte wangu ndo walikuwa wananiadvice kukuacha🙆🙆. Ilikuwa ngumu kudate na msee alidrop out form two Na mm niko University 🤦🏽♀️🤦🏽♀️.
ME: So nimegraduate lini ndo unanitaka tena??
I hanged up the call, "Shee can you imgn?" I asked her 😪.
HER: eti uko na mtu already. Who??............
To be continued . Leo usipite bila kuweka alama bana😋😋. Then am having hard time kuandika story jioni aki wakuu ... masaa ya job imechange so naingia kejani late sana😭. Hadi nimeanza kufikiria kutake break kidogo🙏. Nimetaka advice yenu, twendelee na morning episode pekee ama tuchukue break kiasi🥰. Wewe unaona aje?.