BODY๐COUNT๐ part 6.
Shee alikuwa anashangaa kwann niliambia Recho kwamba I was someone's BF na sikua nae๐คฆ๐ผโโ๏ธ, I could see the surprise all over her innocent face,, hata hivyo the message to Recho was very clear,, alishindwa kudate na msee alidrop out akiwa form 2๐, hiyo pekee ilinipa sababu ya kumkatia simu๐.
Shee: Sky did I hear something like death?? How could she??
ME: Yashapita hayo mamaa,, si umesema hivo ndo dunia ya sasa ilivyo.. ndio alitaka kuniua kwa sababu ambayo hata mie sijaijua mpaka wa leo๐๐.
Urafiki wangu na Shee uliendelea tukawa tumezoeana kama ndungu na dada,, alifika mahali akaamua kunipa story yake pia,, kweli huwezi juwa kilicho ndani ya mtu mpaka akufungulie moyo ukisome wewe mwenyewe.. her boyfriend was kinda cheating person ๐. Mm nilikuwa nagongewa nje ya hao lakn yeye alikuwa analetewa kwa nyumba tena anaambiwa awapigie chakula ambacho hawakununua๐๐๐.
ME: Now I understand why you slapped me ๐คฆ๐ผโโ๏ธ. Yours was so painful ๐๐ญ.
HER: Thank God. That knife didn't get to my neck, sahi sijui ungekuwa unabonga na nani sky๐๐. Now imgn ni wangap wanapitia hali kama hii huko nje in the name of marriage ๐๐ญ.
ME: Lakini wengi huvumilia ju huwa wanaombea wapenzi wao wabadilike๐.
Shee: Hapo sasa ndo nilikuwa nafika๐. Inakuwaje umeomba God a change mtu wako kwa miaka mbili na bado hajachange๐ค๐ค.. mbna watu huwa wanaforce mungu awapee majibu yenye wao wanataka๐ช๐ช.
ME: Wait,, umenipoteza kidogo,, una maana gani??
HER: I mean, mungu huwanga amewajibu,, mtu asipochange juwa hilo ni jibu kutoka kwa mungu,, unaambiwa huyu mtu hatachange๐๐. Alfu wewe hapo unaforce mungu ๐ช, am speaking out of experience Sky ๐ I prayed for three good years๐.
ME: waah, shillah hujawahi kuwa open hivi๐. Am sorry for all that happened..
HER: Sasa niambie,, btwn me nd you, who should be crying here๐๐.
Before we could realize, it was already saa nne usiku,, hata hatukuwa tumepika๐. "Weeh Sky let me go to my house, leo ujipange, mm nimechoka sitapika๐" she said.
ME: Si uchukue hiyo chai uende uchemshe na cake zii pale๐. Hata mm nimeshiba leo๐ค.
HER: Haya basi asante๐. Bye bye..
Everyone on our plot thought we were dating but there was nothing connected to love between us.
This lady was full of wisdom, hakuna siku ungekam up na swali akakosa jibu๐. I just liked spending time with herโ๏ธ. In just two weeks, she had already taught me a lot ๐ค.
Nilijipata nimemtext akiwa kwa room yake tena๐คฆ๐ฝโโ๏ธ. "Hello I miss your encouraging words already ๐, can you come over now"
HER: Sky nimetoka kwako ndo nikupe muda wa kufikiria kuhusu maisha yako๐. Kwan haijakuuma venye umeambiwa uliachia form two???
Nilikosa cha kumjibu๐๐พโโ๏ธ, what a clever girl she is.
ME: Sorry๐. Good night ๐๐.
SHEE: Don't get me wrong boy,, you are now like a brother me, I have all rights to tell you anything, jaribu kufikiria kuhusu future pia ๐๐.
Shillah alikuwa too serious ๐ช,, lakn ukarimu wake ndo ulinipendeza, one day I think I will surprise her with a gift ๐ค which gift๐ค๐ค,, mmhh๐ค maybe a ring ๐ค.....
"Hey wake up, it's morning kwan huendi kazi??" Niliamshwa na sauti ya malaika wa dunia๐๐.
ME: Oh gooosh,, you just spoiled my sweet dream.. si ungewacha nikukiss kwanza๐ช๐ช.
VOICE: Whaaat mm ni Essie bana sio shilahโ๏ธ. Kwan unaota saa moja asubuhi,, wow watu wenye mshamake it in life๐.
Hawa watu wawili waligeuka kuwa mabestie wangu wa damu๐. We shared everything, Essie alifika mahali akaanza kuniachia rent๐, plots zilikuwa zao so angeniandikia receipt bure๐๐..
"Hahaa karibu, kaa chini kwanza alfu uniambie nani huenda kazi sunday๐คฃ๐." Nilijikomoa
Her: ๐๐woih leo umenipata,, anyway I came to ask you something,, how is shillah treating you ๐ค.
ME: Nice,, she's so kind and generous. So far I can't complain ๐.
Essie: Mmh why should you complain wakati mnalala pamoja siku hizi๐คฆ๐ฝโโ๏ธ๐คฆ๐ฝโโ๏ธ.
ME: Kwan mshaanza kupractice manifesto ya wajackoyah๐๐. Shillah huwa tunashinda naye huku kila siku,, but hajawahi lala huku๐๐. Who told you that??
HER: I heard you talking yesterday,, saa nne usiku.. you mean hakulala huku๐ค.
Nilianza kuona signs of jealousness in Essie.. sababu ndo sikujua koz hatukuwahi kuongea kuhusu mapenzi๐๐. Anyway I decided to play fairly..
ME: Wait,, but si angekuwa hapa sahi kama angelalia huku,,, Essie?? (She looked at me) kwa hiyo ni vibaya akilala huku??
Essie: Ooh noo,, but you know,, yaa, I just felt a little concerned about it๐๐. But asilalie kwako sawa๐๐๐.
ME: Unajuwa nilikuwa nashindwa ni lini rich kid ka wewe akaamkia saa moja kwa mlango wangu๐ค๐ค. Can I guess something??
ESSIE: hahaa leave it,, leo nakula huku breakfast, mam and Dad travelled yesterday night ๐๐. Am bored alone na hiyo ndo imenifanya nikaja hapa kwako๐๐. Kwa hiyo mwambie leo asikuje ๐ค๐ค.
What was that kama sio kawivu๐ช. Na venye nilikuwa nimemzoea shillah. "Okay mm sina anything ๐, maybe uende ukam na food๐๐๐พโโ๏ธ" I teased her.
Alipotoka nikaamua kumtext shillah nimshow hiyo risto,
Shee: Am hearing everything,, huyo mtu ameanza kudevelop feelings kwako of which I don't like it at all๐ช๐ช, nangoja akuje then nikamie charger yangu๐ nataka kujua intention yake๐.
ME: But I hope you are not planning to do anything bad koz you are not that kind of a person. Unajuwa wewe unapenda sana kuchange mind๐๐.
HER: Yes,, I like changing everything, clothes, phones, earrings but there's one thing I cannot change at any costโ๏ธโ๏ธ.
ME: And what is that??
HER: My manโ๏ธโ๏ธ.
"Wait,, but you said hauna BF in your life!" I replied..
HER: I "said" but now I do๐๐. Do you wanna know him? Don't worry am coming to show you now?
Essie akarudi na unga kilo nne,, mafuta litre moja na sugari๐ฒ๐ฒ.
Essie: Soo, what next๐๐.
ME: Hizi zote๐ฒ
HER: na bado as long as you will......
Shee akapisha mlangoni๐๐พโโ๏ธ.
ESSIE: hello Sky ๐..............
To be continued.... Unataka kupita bila LIKE sindio๐. Leo niko free, fikisha 10 shares na 400likes nidrop next.. Mnaona nianguke na nani hapa๐๐๐๐
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi








Maoni