Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

BODY๐Ÿ‘COUNT๐Ÿ† part 7
Gonga94 ยท Stories

BODY๐Ÿ‘COUNT๐Ÿ† part 7

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
.

I didn't know why ESSIE was behaving like that ๐Ÿค”, mwanzo ni yeye ndo aliniintroduce kwa Shillah ๐Ÿ™, how come tena awe hataki kutuona pamoja,, anyway, walisema anayekuchukia siku zote huwa hakosi ila ya kukutia. Tukiwa tu kwa hao tumetulia, Essie alionekana kutaka kuniambia kitu lakn akakatishwa na hodi ya Shee mlangoni,, kila aliyekuwa na macho angeona jinsi uso wa Esther ulifura ghafla๐Ÿ™†.

ME: karibu ndani๐Ÿ˜‹.
To he honest Essie hakupenda hivo,, na ili kumhakikishia kwamba hakuna kilichokuwa kinaendelea Kati yangu na shee,, nilimshow yeye aendelee na alichokuwa anataka kusema๐Ÿ™๐Ÿ™.

ME: ESSIE,, sie tuendelee na story zetu๐Ÿค—๐Ÿค—, ulikuwa unasema๐Ÿค”. Unajuwa wewe sometimes huwa unanibamba sana๐Ÿ’“๐Ÿ’“.

She smiled as she looked at my stress killer shee..

"What? Mbna unaniangalia hivo๐Ÿ˜‚. Ama mlikuwa mnanisengenya๐Ÿ™†" shillah pretended..

ESSIE: Sky mbna hukunishow mtu akiingia hapa kwako lazima apite hadi kwa bed yako๐Ÿ˜ช.

SHEE: Hahaa, inakuuma mm nikilala kwa bed yake๐Ÿคฆ๐Ÿฝโ€โ™€๏ธ๐Ÿคฆ๐Ÿฝโ€โ™€๏ธ. Mm nikiboeka na kwangu huwa nakam kupolea humu ndani hata kama yeye hayupo๐Ÿ’•๐Ÿ’•.

Lakn mbna hawa watu walikuwa wanabehavi ivo,, hakuna mtu tulikuwa tunadate kati yao๐Ÿค”๐Ÿค”. "Hey guys, sijui kwann mnaonekana kuuvunja urafiki wenu๐Ÿ’”, what's wrong with you both ? Mbna mnabehave ni kama mko na wivu ivi?". Obviously nilikuwa naambia essie but sikutaka adhanie nilimwambia yeye pekee๐Ÿ™.

ESSIE: Shee unajuwa tulikuwa kwa important discussion please,, ulikujia nini upewe ndo utupatie space kidogo ๐Ÿ˜ช๐Ÿ˜ช.

SHEE: Eti ni ivo sky??

ME: ๐Ÿ™†๐Ÿ™†๐Ÿ™†alikuwa anataka kunishow kitu but ukainterupt, mybe hiyo ndo important koz hata mm sijajuwa๐Ÿ™๐Ÿ™. Can you please ๐Ÿ’•๐Ÿ’•.

Shillah: Okay I respect your privacy ๐Ÿ’“. But please pia nilikuwa na important thing chenye nilitaka kukushow๐Ÿค—๐Ÿค—. Call me immediately after you are done ๐Ÿ™.

ME: Sure I will ๐Ÿ’•. Aauch!! Kwenda huko๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.

Shee alinifinya chuma ๐Ÿ† intentionally akiamka kuenda๐Ÿ™†๐Ÿพโ€โ™‚๏ธ๐Ÿ™†๐Ÿพโ€โ™‚๏ธ.

ESSIE: Are you sure akuna kitu kinaendelea kati yenu?? sky usinichoche please ๐Ÿคฆ๐Ÿฝโ€โ™€๏ธ.

ME: Wait,, unajuwa hata mm sijajua reason yenye inakufanya ubehave ivi? Nimekwambia hakuna kitu,, kwan ni vibaya kukiwa na kitu kinaendelea?? Koz wewe ndo uliniintroduce kwa huyu Bess wako๐Ÿ™†. Niambie kama una kitu??

HER: Anyway, kwan hukuosha vyombo๐Ÿค”, aki tu wanaume๐Ÿ˜‚. Sasa chai utawekewa wapi??

ME: Maybe nichukue kikombe kwa Shee,,.

Alipoona nikiamka kuendea, "ama wacha tu๐Ÿ˜‹, nitachukua zetu๐Ÿ’•,".....

"Hahahaaaaaaa, uuuuuuih" sauti ya shillah ilisikika kutoka kwa nyumba yake๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.

ME: Weee ni nini unacheka huko kwako???

HER: mm niko kwa simu bwana,,, kweli sky umekosa company kabisa๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚. Unaniongelesha ukiwa na mgeni๐Ÿ—ฃ๏ธ๐Ÿ—ฃ๏ธ๐Ÿ—ฃ๏ธ๐Ÿ—ฃ๏ธ.

Nilitaka nimwambie kitu but essie akawa amerudi na vikombe๐Ÿ™. "Mbna unacheka beb,, ah sorry sky??" She asked.

ME: Am happy leo mmeamua kunisurprise๐Ÿ˜‚. But ulitaka kuniambia kitu๐Ÿค”. Am loosing patience ๐Ÿคฆ๐Ÿฝโ€โ™‚๏ธ. What was it??

She said nothing,, nia yake ilikuwa tu ahakikishe hatujashinda na shillah ๐Ÿ˜ช,, I wish angejuwa venye tulikuwa tunachat๐Ÿค—.

Hiyo siku yote tulishinda na Essie kwa hao,, mastory kuplay games kwa simu, am sure she wanted to hear something from me but๐Ÿ’”๐Ÿ’”๐Ÿ’”.

HER: Hope you are enjoying my company boi๐Ÿ˜‹??

ME: yes๐Ÿ’•.

Kimya tena,, after like 5minutes ivi..

HER: So Sky, tell me more about yourself. Azn are you dating??

Hilo swali lilikuwa sawa na kuongeza msumari kwenye kidonda๐Ÿ˜ช. Dating again? Sidhani kama kuna day nitakuja kupenda mtoto wa mtu kiukweli๐Ÿ’”๐Ÿ˜ญ. What KANTHA and RECHO did to me, siwezi amini mtoto watu tena kwa hii dunia๐Ÿ˜ญ. Oh noh I can't imgne dating again,, to me all girls are cheaters๐Ÿ˜ช๐Ÿ˜ช.

HER: Hey, why are you silent?? Talk to me๐Ÿ™๐Ÿ™.

ME: Please I have really enjoyed spending time with you here.. see you tomorrow ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ’”.

Essie: Yani unataka kunitoa kwako?? Just because I asked you a simple question ๐Ÿ™†. Najua unataka kumuita shiila hapa,, kwa hiyo siendi hata naweza lala huku๐Ÿ˜ช๐Ÿ˜ช.(no reply) Sky?....(silence) Hey Sky...?

Nilipoimgn mapenzi nilokuwa nayo kwa Recho ๐Ÿ’” nilishindwa kujizuia,, Essie kunigeuza aniangalie kwa macho๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ.

"Wot? Ngร i Sky unalia ama machozi ni ya??" She asked

Shilah kusikia hivo alikuja haraka๐Ÿ™†๐Ÿ™†.

"Sky amka kwanza,, wee what has happened to him๐Ÿ˜ช?" Aliuliza Essie.

ESSIE: I don't know,, amechange tu ghafla after nimemuuliza kama anadate๐Ÿ™†๐Ÿ™†.

SHEE: Oyah "bro" (essie akashangaa "bro") amka kwanza,,, na wewe Esther wewe,, mbna umemuuliza swali la ujinga kama hilo๐Ÿ˜ญ๐Ÿ’”. Akh, sky??

Shilah alikaa kando yangu, "sky kwan tuliongea aje surely ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ, you should stop thinking about your past and start a new life again, kilichotokea kishatokea, you can't change your past๐Ÿ™๐Ÿ™"

ESSIE: ๐Ÿค”๐Ÿค”๐Ÿค”kwan what happened shilah??

SHEE: Kama angekuwa amekutrust angekuwa ashakwambia kila kitu๐Ÿ˜ช๐Ÿ˜ช. Stop forcing someone to love you ๐Ÿ˜ช. Akikupenda utaona tu anakwambia venye aliniambia๐Ÿ™๐Ÿ™.

ESSIE: You mean anakupenda wewe??

SHEE: Maybe koz he told me everything that happened๐Ÿ˜‹. But please mambo na love usiwe unaongelea karibu na sky ๐Ÿ˜ช๐Ÿ˜ช.

ESSIE: Am sorry basi ๐Ÿ™. Sky??

ME: I want to be left alone please.. we'll talk later ๐Ÿ™๐Ÿ™.

ESSIE: Wee tunaambiwa twende,, mbna umekaa??

Shillah: Kwan tuliingia hapa wote?, Wee enda, ninaenda pia๐Ÿ™.

Mtoto wa landlord alipotoka tu ivi,, Shee kalinirukia tukacheka๐Ÿค—๐Ÿค—.

ME: Shhhh๐Ÿคซ๐Ÿคซ. Maybe hajafika mbali bana๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.

HER: ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚lakn wewe tu sky,, mm nilikutext ujifanye unalia sikusema ulie cha ukweli๐Ÿ’”๐Ÿ˜‚. Waah lakn hawa watoto wa wadoz wanakuanga na ufala๐Ÿ˜‚.

ME: Nani amekwambia nimelia cha ukweli๐Ÿ˜‚. Mentho plus ndo hiyo hapo๐Ÿ’”๐Ÿ˜‚. Aki sema kuboeka. Niletee lunch yenye ulipika nikule ak,, ninakufa njaa๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.

HER: Wacha jokes๐Ÿ˜‚. Si ulipikiwa lunch wewe๐Ÿ’”๐Ÿ˜‚.

ME: Essie kitu anajuwa kupika ni kuchemsha maji pekee๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚. Imgn maji ya ugali venye yalichemsha akaanza kucheka et niende nionje kama yameiva๐Ÿ˜‚๐Ÿ’”. Mm nakufa njaa bwana๐Ÿ˜‚.

Kumbe essie hakuwa ameenda๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ.

Hata before nimalize story๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. Kwa mlango๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ, "sky fungua mlango kwanza๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ"

To be continued... Tumechoma ak๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ.weka Like bana๐Ÿค— only 10 shares si mnajua๐Ÿ˜๐Ÿ˜

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

BODY๐Ÿ‘COUNT๐Ÿ† part 7

.

I didn't know why ESSIE was behaving like that ๐Ÿค”, mwanzo ni yeye ndo aliniintroduce kwa Shillah ๐Ÿ™, how come tena awe hataki kutuona pamoja,, anyway, walisema anayekuchukia siku zote huwa hakosi ila ya kukutia. Tukiwa tu kwa hao tumetulia, Essie alionekana kutaka kuniambia kitu lakn akakatishwa na hodi ya Shee mlangoni,, kila aliyekuwa na macho angeona jinsi uso wa Esther ulifura ghafla๐Ÿ™†.

ME: karibu ndani๐Ÿ˜‹.
To he honest Essie hakupenda hivo,, na ili kumhakikishia kwamba hakuna kilichokuwa kinaendelea Kati yangu na shee,, nilimshow yeye aendelee na alichokuwa anataka kusema๐Ÿ™๐Ÿ™.

ME: ESSIE,, sie tuendelee na story zetu๐Ÿค—๐Ÿค—, ulikuwa unasema๐Ÿค”. Unajuwa wewe sometimes...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/body-count-part-7

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending <br>

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi body-count-part
BODY๐Ÿ†COUNT๐Ÿ‘ part 3.
BODY๐Ÿ†COUNT๐Ÿ‘ part 3.
BODY๐Ÿ‘COUNT๐Ÿ†. part 9.
BODY๐Ÿ‘COUNT๐Ÿ†. part 9.
BODY๐Ÿ†COUNT๐Ÿ‘ part 2
BODY๐Ÿ†COUNT๐Ÿ‘ part 2
BODY๐Ÿ‘COUNT๐Ÿ†  part 10
BODY๐Ÿ‘COUNT๐Ÿ† part 10
BODY๐Ÿ‘COUNT๐Ÿ† Part 4.
BODY๐Ÿ‘COUNT๐Ÿ† Part 4.
BODY๐Ÿ†COUNT๐Ÿ‘ part 1.
BODY๐Ÿ†COUNT๐Ÿ‘ part 1.
BODY๐Ÿ‘COUNT๐Ÿ† Part 5.
BODY๐Ÿ‘COUNT๐Ÿ† Part 5.
BODY๐Ÿ‘ COUNT๐Ÿ† Part 8.
BODY๐Ÿ‘ COUNT๐Ÿ† Part 8.
BODY๐Ÿ‘COUNT๐Ÿ† part 6.
BODY๐Ÿ‘COUNT๐Ÿ† part 6.
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 68

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 68

1.22K
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 66 na 67

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 66 na 67

1.05K
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 69

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 69

780
SHAMIRA 94 Hadi 96

SHAMIRA 94 Hadi 96

324
SHAMIRA 99 na 101

SHAMIRA 99 na 101

323
SHAMIRA 102 kwa 104

SHAMIRA 102 kwa 104

285
SHAMIRA Sehemu ya 97&98

SHAMIRA Sehemu ya 97&98

236
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž 70 Hadi 72

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž 70 Hadi 72

195
NAKUPENDA BILA MIPAKA  36 - 45

NAKUPENDA BILA MIPAKA 36 - 45

184
SHAMIRA 105 na 106

SHAMIRA 105 na 106

180

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.8K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.52K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.85K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.34K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

2.97K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

2.95K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

2.78K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.74K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

2.68K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.61K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
๐Ÿ’‹ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO๐Ÿ’‹ 6 na 7 Post Mpya
๐Ÿ’‹ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO๐Ÿ’‹ 6 na 7
@majario LIVE

O6 Umekuja tena ? nilimuuliza . Ndio kwani ni vibaya kuja kukujulia hali wakati wewe ni jirani yangu sasa kwanini jana ulikataa kuwa sio wewe wakati nakufahamu vizuri hadi nimeenda kumuuliza...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž 70 Hadi 72 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž 70 Hadi 72
@majario LIVE

Sehemu ya 70 Siwafichi umaraya sikuwa nimeacha ila.nilipunguza sana, yani sanaaaaaaa , yani nachepuka sawa ,ila kwa kutokezea sana, nilitulia na awa wake zangu wawili, ata ibraa alinambia nimechange...

LETICIA 1 MPAKA 6 Post Mpya
LETICIA 1 MPAKA 6
@majario LIVE

๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’ LETICIA Sehemu ya 01 Mwandishi; LISSA Kwa majina naitwa leticia sabasi, wengi wanapenda kuniita leti,kwenye familia yetu ya mzee sabasi tumezaliwa mabinti wa wawili ,mimi ni mtoto wa mwisho kuzaliwa anaanza dada...

SHAMIRA 105 na 106 Post Mpya
SHAMIRA 105 na 106
@majario LIVE

Sehemu ya 105 Mwandishi; lissa wa huru media Nakuuliza wewe hivi shamira una shida gani na uyu mtot eeh kwanini unampiga piga. Mimi mwenyewe sijawahi kumgusa ata siku moja uyu...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 69 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 69
@majario LIVE

๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ Nikasema sawa kama umemfahamu zena sasa, nimemuoa sasa na yeye ni mke wangu pia, jalia akaniangalia sana kisha akasema sawa mimi nimeshajua kuwa umemuoa uyo zena, yeye anajua kuhusu mm,...

SHAMIRA 102 kwa 104 Post Mpya
SHAMIRA 102 kwa 104
@majario LIVE

99. MPK 104 (NARUDIA KUSEMA HURU MEDIA WABABE๐Ÿ˜‚) ๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€ ๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€ SHAMIRA Sehemu ya 102 Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi walivyomaliza kula love hakuniuliza kitu ata...

JOGOO WA KIENYEJI 9 na 10 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI 9 na 10
@majario LIVE

๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“ sehemu ya 9 Mwandishi:lissa mwalla Alikua ni Ivan, sikuamin mana sura yake haikubadilika japo alikua amekua, tulitizaman huku mm nikiwa sijui nimsalimie au nimshangililie lkn huyu anajua siri yangu mm nikichofanyiwa kipindi...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 8 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 8
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Babaaa! Niliita kwa mstuko, baba akasema tayla wee taaaay... Kabla hajamaliza niligeuka nyuma na kuanza kuondoka, kumbe DA frida alikua anatembea na babangu siku zote hizi? Baba kampangia anaishi...

BILLIONS OF LOVE๐Ÿ’“๐Ÿ’“   SEHEMU YA "7_8"๐Ÿ’“๐Ÿ˜ฝ Post Mpya
BILLIONS OF LOVE๐Ÿ’“๐Ÿ’“ SEHEMU YA "7_8"๐Ÿ’“๐Ÿ˜ฝ
@majario LIVE

"BY BABIE LOVE" Huyu kashaliwa huyu tena usiku kuchaaaa Mama Samson sasa kwa aibu akanipita bila hata kunisalimia Mara zee mapumba hili hapa linatoka likiwa alinafunga xipi yake vzr loooh ๐Ÿคฎ...

SHAMIRA 99 na 101 Post Mpya
SHAMIRA 99 na 101
@majario LIVE

Sehemu ya 99 Mwandishi; lissa wa huru media Mh shoga yenu nikawa ata sijielewi elewi .mala simu yangu ikaingia sms.nikavuata simu .nakuta sms nimetumiwa imeandikwa .asante kwa penzi tamu shamira siajajutia...

Shirikisho la Soka Afrika (CAF) wa kuwavua Senegal ubingwa wa AFCON 2025 na kuwapa Morocco, Post Mpya
Shirikisho la Soka Afrika (CAF) wa kuwavua Senegal ubingwa wa AFCON 2025 na kuwapa Morocco,
@majario LIVE

Kufuatia uamuzi wa Kamati ya Rufaa ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF) wa kuwavua Senegal ubingwa wa AFCON 2025 na kuwapa Morocco, mshambuliaji wa Senegal, Sadio Manรฉ, ameonyesha kusikitishwa na...

SHAMIRA Sehemu ya 97&98 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 97&98
@majario LIVE

๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€ Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikafika ndani kwake akanmbia kaa kitandani. Mie nikakaa uku sielewi nae akakaa kitandani .kisha akaniangali kwa macho makavu mpka nilishangaa nimemfanya nini...

NAKUPENDA BILA MIPAKA  36 - 45 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 36 - 45
@majario LIVE

:36 Sijapenda kabisa, binti alisema wanapika kwao, ina maana wewe huli kabisa huko nje kwasababu una uwezo au ni kwasababu gani. Kumbuka na wewe hapa umeajiriwa kwaajili yangu, kwanini haujali hisia...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 68 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 68
@majario LIVE

IMETOKAAAAA SEASON YA MWISHOOO SEASON 4 Nikasema ahaa kaka nipo busy sana na nabanwa na kazi, na kuna mda nalala kazini, kka akanmbia au sio unanidanganya na mm mdogo wangu, we...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ Mwandiishi; LISSA Na kesho yake mapema sana mimi.niliamkia kazini , na nilipofika tu job,nikaongea na uyo afande mnige, ni mshikaji wangu tu uyu baba ,na huwa ananiitaga boss, mana nimempita...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest