BODY๐COUNT๐ part 7
I didn't know why ESSIE was behaving like that ๐ค, mwanzo ni yeye ndo aliniintroduce kwa Shillah ๐, how come tena awe hataki kutuona pamoja,, anyway, walisema anayekuchukia siku zote huwa hakosi ila ya kukutia. Tukiwa tu kwa hao tumetulia, Essie alionekana kutaka kuniambia kitu lakn akakatishwa na hodi ya Shee mlangoni,, kila aliyekuwa na macho angeona jinsi uso wa Esther ulifura ghafla๐.
ME: karibu ndani๐.
To he honest Essie hakupenda hivo,, na ili kumhakikishia kwamba hakuna kilichokuwa kinaendelea Kati yangu na shee,, nilimshow yeye aendelee na alichokuwa anataka kusema๐๐.
ME: ESSIE,, sie tuendelee na story zetu๐ค๐ค, ulikuwa unasema๐ค. Unajuwa wewe sometimes huwa unanibamba sana๐๐.
She smiled as she looked at my stress killer shee..
"What? Mbna unaniangalia hivo๐. Ama mlikuwa mnanisengenya๐" shillah pretended..
ESSIE: Sky mbna hukunishow mtu akiingia hapa kwako lazima apite hadi kwa bed yako๐ช.
SHEE: Hahaa, inakuuma mm nikilala kwa bed yake๐คฆ๐ฝโโ๏ธ๐คฆ๐ฝโโ๏ธ. Mm nikiboeka na kwangu huwa nakam kupolea humu ndani hata kama yeye hayupo๐๐.
Lakn mbna hawa watu walikuwa wanabehavi ivo,, hakuna mtu tulikuwa tunadate kati yao๐ค๐ค. "Hey guys, sijui kwann mnaonekana kuuvunja urafiki wenu๐, what's wrong with you both ? Mbna mnabehave ni kama mko na wivu ivi?". Obviously nilikuwa naambia essie but sikutaka adhanie nilimwambia yeye pekee๐.
ESSIE: Shee unajuwa tulikuwa kwa important discussion please,, ulikujia nini upewe ndo utupatie space kidogo ๐ช๐ช.
SHEE: Eti ni ivo sky??
ME: ๐๐๐alikuwa anataka kunishow kitu but ukainterupt, mybe hiyo ndo important koz hata mm sijajuwa๐๐. Can you please ๐๐.
Shillah: Okay I respect your privacy ๐. But please pia nilikuwa na important thing chenye nilitaka kukushow๐ค๐ค. Call me immediately after you are done ๐.
ME: Sure I will ๐. Aauch!! Kwenda huko๐๐.
Shee alinifinya chuma ๐ intentionally akiamka kuenda๐๐พโโ๏ธ๐๐พโโ๏ธ.
ESSIE: Are you sure akuna kitu kinaendelea kati yenu?? sky usinichoche please ๐คฆ๐ฝโโ๏ธ.
ME: Wait,, unajuwa hata mm sijajua reason yenye inakufanya ubehave ivi? Nimekwambia hakuna kitu,, kwan ni vibaya kukiwa na kitu kinaendelea?? Koz wewe ndo uliniintroduce kwa huyu Bess wako๐. Niambie kama una kitu??
HER: Anyway, kwan hukuosha vyombo๐ค, aki tu wanaume๐. Sasa chai utawekewa wapi??
ME: Maybe nichukue kikombe kwa Shee,,.
Alipoona nikiamka kuendea, "ama wacha tu๐, nitachukua zetu๐,".....
"Hahahaaaaaaa, uuuuuuih" sauti ya shillah ilisikika kutoka kwa nyumba yake๐๐.
ME: Weee ni nini unacheka huko kwako???
HER: mm niko kwa simu bwana,,, kweli sky umekosa company kabisa๐๐. Unaniongelesha ukiwa na mgeni๐ฃ๏ธ๐ฃ๏ธ๐ฃ๏ธ๐ฃ๏ธ.
Nilitaka nimwambie kitu but essie akawa amerudi na vikombe๐. "Mbna unacheka beb,, ah sorry sky??" She asked.
ME: Am happy leo mmeamua kunisurprise๐. But ulitaka kuniambia kitu๐ค. Am loosing patience ๐คฆ๐ฝโโ๏ธ. What was it??
She said nothing,, nia yake ilikuwa tu ahakikishe hatujashinda na shillah ๐ช,, I wish angejuwa venye tulikuwa tunachat๐ค.
Hiyo siku yote tulishinda na Essie kwa hao,, mastory kuplay games kwa simu, am sure she wanted to hear something from me but๐๐๐.
HER: Hope you are enjoying my company boi๐??
ME: yes๐.
Kimya tena,, after like 5minutes ivi..
HER: So Sky, tell me more about yourself. Azn are you dating??
Hilo swali lilikuwa sawa na kuongeza msumari kwenye kidonda๐ช. Dating again? Sidhani kama kuna day nitakuja kupenda mtoto wa mtu kiukweli๐๐ญ. What KANTHA and RECHO did to me, siwezi amini mtoto watu tena kwa hii dunia๐ญ. Oh noh I can't imgne dating again,, to me all girls are cheaters๐ช๐ช.
HER: Hey, why are you silent?? Talk to me๐๐.
ME: Please I have really enjoyed spending time with you here.. see you tomorrow ๐ญ๐ญ๐.
Essie: Yani unataka kunitoa kwako?? Just because I asked you a simple question ๐. Najua unataka kumuita shiila hapa,, kwa hiyo siendi hata naweza lala huku๐ช๐ช.(no reply) Sky?....(silence) Hey Sky...?
Nilipoimgn mapenzi nilokuwa nayo kwa Recho ๐ nilishindwa kujizuia,, Essie kunigeuza aniangalie kwa macho๐ญ๐ญ.
"Wot? Ngร i Sky unalia ama machozi ni ya??" She asked
Shilah kusikia hivo alikuja haraka๐๐.
"Sky amka kwanza,, wee what has happened to him๐ช?" Aliuliza Essie.
ESSIE: I don't know,, amechange tu ghafla after nimemuuliza kama anadate๐๐.
SHEE: Oyah "bro" (essie akashangaa "bro") amka kwanza,,, na wewe Esther wewe,, mbna umemuuliza swali la ujinga kama hilo๐ญ๐. Akh, sky??
Shilah alikaa kando yangu, "sky kwan tuliongea aje surely ๐ญ๐ญ, you should stop thinking about your past and start a new life again, kilichotokea kishatokea, you can't change your past๐๐"
ESSIE: ๐ค๐ค๐คkwan what happened shilah??
SHEE: Kama angekuwa amekutrust angekuwa ashakwambia kila kitu๐ช๐ช. Stop forcing someone to love you ๐ช. Akikupenda utaona tu anakwambia venye aliniambia๐๐.
ESSIE: You mean anakupenda wewe??
SHEE: Maybe koz he told me everything that happened๐. But please mambo na love usiwe unaongelea karibu na sky ๐ช๐ช.
ESSIE: Am sorry basi ๐. Sky??
ME: I want to be left alone please.. we'll talk later ๐๐.
ESSIE: Wee tunaambiwa twende,, mbna umekaa??
Shillah: Kwan tuliingia hapa wote?, Wee enda, ninaenda pia๐.
Mtoto wa landlord alipotoka tu ivi,, Shee kalinirukia tukacheka๐ค๐ค.
ME: Shhhh๐คซ๐คซ. Maybe hajafika mbali bana๐๐.
HER: ๐๐๐lakn wewe tu sky,, mm nilikutext ujifanye unalia sikusema ulie cha ukweli๐๐. Waah lakn hawa watoto wa wadoz wanakuanga na ufala๐.
ME: Nani amekwambia nimelia cha ukweli๐. Mentho plus ndo hiyo hapo๐๐. Aki sema kuboeka. Niletee lunch yenye ulipika nikule ak,, ninakufa njaa๐๐.
HER: Wacha jokes๐. Si ulipikiwa lunch wewe๐๐.
ME: Essie kitu anajuwa kupika ni kuchemsha maji pekee๐๐. Imgn maji ya ugali venye yalichemsha akaanza kucheka et niende nionje kama yameiva๐๐. Mm nakufa njaa bwana๐.
Kumbe essie hakuwa ameenda๐ญ๐ญ๐ญ๐ญ.
Hata before nimalize story๐ญ๐ญ. Kwa mlango๐ญ๐ญ, "sky fungua mlango kwanza๐ญ๐ญ"
To be continued... Tumechoma ak๐ญ๐ญ๐ญ.weka Like bana๐ค only 10 shares si mnajua๐๐
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi








Maoni