BODY๐ COUNT๐ Part 8.
Having a girl who understands you in everything is a double blessings ๐. Wakati uko na stress, yeye ndo anakuwa wa kwanza kunotice hata before umwambie๐. A girl who can tell you anything openly without minding if it'll hurt you or not ๐๐.
Shillah, I always call her "my stress killer" she got every reason to make my day blossom๐. But all that won't make me forget the heartbreaks I was served with Recho ๐ and KANTHA.. they all acted the same but at last what did they turned into?? ๐ญ. Bob will never again offer his heart to anyone๐๐.
Tukiwa tumeketi kwa bed na Shillah tukimcheka Essie ๐,, hapo ndo tulirealize hakuwa ameenda,, wivu haingemuruhusu asonge hata steps tatu๐ช๐ช. Kabla sijamaliza kusema, mtoto wa mtu aligonga mlango๐ฒ.
Shee: ๐umechoma walahi๐ค. Kamfungulie basi....
ME: Esther ingia tu, hatukufunga๐คฆ๐ฝโโ๏ธ.
HER: Siingii ndani, ninataka tu kukwambia kitu then niende๐. Am sorry kama hukufurahia presence yangu๐.
ME: (to shillah) should I go??
That night nilikuwa na usiku mrefu aje,, after kutoka nje, Essie alinipea barua na kunishow nisionyeshe mtu๐. Alisisitiza kuwa niisome usiku ka hakuna mtu๐. Hakuonekana kujam lakn alikuwa more serious than before ๐ค.
ME: But mbna huingii,, karibu tukaekae bana,, sasa unaenda kuboeka pekee yako??
HER: Sky siwezi kaa nikiangalia food yenye nilikupikia ukakataa kukula๐ญ. Madharau haiwezi pita hapo๐.
ME: Relax girl,, nakosaje kukula food yako na venye umejisacrifice kunipikia aki,, nishakula yote๐๐.
ESSIE: (surprisingly) umekula sangapi? Let me see,, (akajaribu kuingia but nikamzuia)
Food yake yote ilikuwa kwa sufuria๐ญ. Na angeingia aione for real hiyo ingemuaffect kwa njia moja au nyingine ๐๐.
HER: I know unadanganya Sky,, but why,, you shouldn't have allowed me to cook๐ญ. Imgn huo muda wote??
Shillah: Sky si umemprank vya kutosha ak,, mwache akuje aone๐๐,, unajuwa hakuna kitu mbaya kama kumpikia mtu na akatae kukula๐ญ. Essie ingia๐๐.
Nilijuwa hapa sasa mbio zangu za sakafuni zimeanza kuishia ukingoni๐ญ. Niliamua tu kumruhusu aingie,, hapo nilikuwa nimetarajia lolote au chochote๐. Haswa nilijuwa tu ningeanza kilipa rent anytime ๐๐พโโ๏ธ๐๐พโโ๏ธ.
Kwanza nilimwacha yeye aingie๐๐พโโ๏ธ. Nilingoja aseme kitu but alibaki tu kama amekimia chumbani๐ค๐ค. Kuingia nikapata kwa sufuria hakuna kitu๐ฒ๐ฒ,,
ESSIE: Wowโฃ๏ธ kwan hutakangi kula mbele ya watu ama๐. I thought ulikuwa unadanganya tu, kumbe ulikula๐.
ME: Yaa mm nimezoea kula pekee yangu๐๐. Food ilikuwa tamu sana๐ค. I wish ungepika mingi๐.
ESSIE: Don't worry,, supper sasa nitakupikia tamu zaidi๐๐.
ME: Atheeeee๐ญ๐ญ๐ญ๐ญ.
Shillah akapasuka kwa kicheko๐๐.
ME: walahi venye nimekula ivo,, hadi kesho ndo nikule tena๐๐.. kwan unataka kunipasua tumbo. Aki tu Esther wewe๐ค๐ค.
SHEE: Excuse me guys,, kuna mtu ananichekesha kwa simu hapa,, let me talk to him๐๐. Waaah๐๐.
Kusema tu ukweli sijui ugali yenye ilikuwa kwa sufuria iliendanga wap,, sijui shillah aliificha wapi๐. Mm sikukula kitu,, infact njaa ilikuwa inaniua๐.
ESSIE: Okay kesho nitakuja kukupikia tena ๐. (Looking if shee was around) but Sky make sure hiyo barua unaisoma alone please sawa๐.
ME: Sawa๐. So wazae wanakam wen??
Essie: Leo usiku ama kesho asubuhi,, they went to my elder brother's graduation ๐๐. Huenda wachelewe๐.
ME: Pia ningependa sana kukushukuru ๐. How are you managing to recover my rent??
HER: Don't worry.. I was given these plots, so pesa ni mm hueka๐.
ME: ๐ฒ๐ฒkwa hivyo kumbe wewe uko na doh mingi ivo๐ฒ.
ESSIE: Hahaa si mob vile,, but venye naona, wewe unadhani mm ni mtoi sindio??๐ช๐ช.
Alipofika hapo nikajuwa kimeumana๐๐พโโ๏ธ. Am sure she was just acting normal but alikuwa amesikia venye nilikuwa ninamwongelelea๐๐พโโ๏ธ. Mara that nilidecide kuchange topic haraka..
ME: So Essie,, unadate??
Kwanza akashangaa๐ค๐ค,, "Sky unaniuliza swali lenye wewe hutaki kuulizwa??" She asked back..
ME: Nooh si ivo, yan ni venye tangu asubuhi sijaona mtu akikukol. Si leo ndo ungefaa kuenjoy na BF wako๐๐. Kupelekana out ivi๐ค.
HER: I wish ningekuwa naye twende out๐. Sisi huwa hatupewi muda wa kuinterract na wasee,, kama sio kwa church na shopping, hakuna place ingine tunaweza enda๐.
ME: Si ungenishow mapema twende out bana๐. Ningekupeleka swimo, bora ulipe weweโ๏ธ.
ESSIE: Sure?? How about tommorow??
Haya yote nilikuwa nasema ili kumake sure amesahau chenye alikuwa anataka kusema๐๐. Sikua na haja na out๐. But yeye alikuwa more serious ๐ฒ. Nilianza kuomba shillah arudi haraka ndo tukatize hiyo risto๐.
Bahati nzuri tuliskia kengele ya gate yao,, wazae walikuwa wamerudi๐๐.
HER: Sky tuonane,, sitaki wanipate huku koz mathe huwa hataki nikija huku๐.
ME: Okay bye bye๐. Careful ๐๐ผ.
According to my view, Esther was new in the world of love,, bado ndo alikuwa anajuwa mambo na BF and girlfriend. Mara nyinyi aliniuliza maswali yenye anaonanga yakiulizwa kwa movies๐. She didn't know I had already given up on love๐๐.
Chumbani kulitulia kukawa hamna kelele tena,, deep in my heart, I was asking myself if I should fall in love again ๐ค. The bigger side of me said no, mtu kama hamjaanza kudate anakuanga poa sana but wacha muanze mapenzi๐ญ.
"Wee kwan unasinzia? Niite mara ngapi ndo uitike๐ค" nilishtukia shillah akiwa ameketi kando yangu๐๐พโโ๏ธ.
ME: Ooh sorry ๐๐ผ. You wanted to tell me something Shee ๐. My ears are all yours ๐ค.
HER: Si kwanza ule,, ndo hiki chakula๐.
ME: Ngojaaaa, umenikumbusha,, hiyo food ilikuwa hapo kwa sufuria ulikificha wapi๐ค??
SHEE: Guess where๐ค.
Aliamka na kuchukua bag yangu ya nguo๐ฒ๐ฒ. "Ngร i shillah yani unaweka ugali kwa nguo zangu na ni safi๐ญ๐ญ"
HER: Relax, sikuweka kwa nguo zote,, nilikuwa naficha kwa mifuko ya trousers na makoti๐๐.
ME: kumbafu ๐๐พโโ๏ธ๐๐พโโ๏ธ. Aki usiniambie uliweka hadi hiyo suit yangu๐๐.
SHEE: Yote ilikuwa kukusave tu,, haya basi chagua, ununue sabuni ya 50 nikuoshee nguo ama uwe ukilipa rent 3500 monthly ๐ค๐ค.
ME: Kwa hiyo uliweka hadi kwa mashati ya white??.
HER: Oh my goodness,, hadi kwa boxer yako๐. Aki hii si mm niliweka๐โโ๏ธ๐๐.
ME: toka hapa๐.
The following day Essie hakukanyaga kwangu ju wazae walikuwa around ๐.. after shee kunioshea nguo zote, aliingia kwa nyumba na letter kwa mkono ๐ฒ๐ฒ.
HER: So Bob niambie,, kumbe mmepanga nihame kwa hii plot??
ME: What are you talking about? Hii ni nini umebeba??
Shillah: Ngร i unaniuliza mm na ni barua nimetoa kwa nguo zako๐ช. Nimewakosea nini yani??
Oh god,, hapo ndo nilikumbuka nilikuwa nimepewa barua na Essie ๐ญ๐ญ. Tangu niifiche kwa nguo zangu ndo niisome usiku na nikasahau๐ญ. Kwani Essie alikuwa ameandika nini???
To be continued ๐ญ๐ญ. Unataka kupita tu tena ๐ญ๐ญ.mniombee๐๐๐??
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi








Maoni