Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

Chombezo……………..KIJIJI CHA WAGENI! Mtunzi…………………..Jack Mambo
Gonga94 · Stories

Chombezo……………..KIJIJI CHA WAGENI! Mtunzi…………………..Jack Mambo

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Chombezo……………..KIJIJI CHA WAGENI!
Mtunzi…………………..Jack Mambo
Whatsapp………………0715919396
Umri…………….……….18+

KUMBUKA GROUP ZINAPOTEA ILA PAGE ZINAISHI,ILI USIKOSE UHONDO WA HADITHI ZANGU INGIA HAPA LIKE PAGE YANGU,HAPO UTAKUWA NA UHAKIKA WA KUSOMA STORY ZANGU KILA SIKU ----???????????? Story za Mambo

Sehemu ya 02
Kuona ni kuamini!Aliyeona na aliyesikia hawawezi kuwa na ushahidi sawa mahakamani,lazima aliyeona atapewa uzito kuliko yule aliyesikia tu bila kushuhudia kama macho!Ili uwe shuhuda inabidi ushuhudie,ndiyo maana mtu anasema niliona kwa macho yangu,huo ushahidi unakuwaga mzito kuliko ule wa nilisikia kwa maskio yangu!
Basi wana Tegamoyo wakasema kama jini yupo na ameonekana ufukweni kwao,kwanini wasishuhudie nao,pengine watapata hadithi za kusimulia wajukuu zao siku za usoni!
Nginjangija mpaka ufukweni,Moza akasema paleee,alisimama pale,basi wakasogea pale,lakini wakagundua kuna meli ya kifahari ufukweni pembeni ya mitumbwi yao ya makasia!
Basi wakasogea hadi kwenye ufukwe mkubwa,wakaisogelea meli,punde Mr Franklini akajitokeza akiwa amenyoosha mikono juu!
“We are not bad people!We’re good people!”,alipaza sauti mzungu kuona kama wanaweza kuelewana!
Wakati huo kizungu kilikuwa mtihani mzito kwetu,basi wanakijiji wakatazamana,hapo akatokea shujaa mmoja mkalimani,yeye kidogo amesoma soma huko mjini!
“Anasema wao siyo watu wabaya ni watu wema!”,kijana alitafsiri wanakijiji wakatazamana!Bado wanaishangaa ile ngozi ya mzungu!
“I’m here with my family,I am with my daughter and my beloved wife!”,aliongea mzungu,wanakijiji wakamtazama kijana!
“Anasema yupo hapa pamoja na mkewe na binti yake!”
Mzungu akatoa ishara kwa mkewe wasogee,basi wakasogea mbele ya meli yao na kupunga mikono huku wanatabasamu!
“You se now!We’re good people,please welcome us to your community!”
“Anasema ni watu wema,tuwakaribishe kwenye ardhi yetu!”,kijana aliongea lakini bado walikuwa na wasiwasi,kijana akajua tu wenzake wanaogopa ngozi!Lakini yeye ni msoni tofauti na wengine,kwahiyo anajua kuna wazungu,waarabu,wachina na kadhalika,kwahiyo lilikuwa jambo la kuwaelekeza wenzake wakubali kuwapokea wazungu!
“Let me talk to them,and I’ll get back to you!(Ngoja niongee nao nitakurudia),kijana aliongea na mzungu!
“Thank you my friend!”
Mzungu alishukuru,kijana akaanza kuwaelewesha wanakijiji kuwa duniani kuna watu wa aina nyingi sana,na hao wanaowaona ni wazungu,lakini bado kuna wachina,waarabu,wahindi na kadhalika!
“Kwahiyo hawa ni watu siyo majini!?”,aliuza mzee kiongozi wa Tegamoyo!
“Hawa ni watu sema tu wao ngozi zao ni tofauti na zetu,lakini ni watu wa kawaida kabisa!”
“Hawana madhara hawa kweli!?”
Kijana Zeka alikutana na maswali mengi,lakini aliyajibu kwa utulivu sana,akahakikisha wanakijiji wote wanaamini kuwa wazungu si majini,ni binadamu kama wao tu!
Baada ya kuwaweka sawa wanakijiji,Zeka akaenda hadi mbele ya meli ya wazungu ,ambayo muda wowote ingewashwa wakasepa zao kama wasingekubalika,au kama wangeona dalili yoyote ya kufanyiwa ubaya!
“Hey friends,it’s safe now,you are welcome!”(Marafiki,ni salama sasa mnakaribishwa!)
“Are you sure it’s safe!?”(Una uhakika ni salama!)
“Come on!Don’t make them doubt you!”(Njooni,msiwafanye wawe na shaka kwenu),aliongea kijana Zeka kiisha akaachia tabasamu!
Basi Mr Franklin hakuwa na hiyana,akashuka huku nyuma mkewe na bintiye nao wakashuka,wanatembea watu wanawashangaa tu!Zeka akawapeleka hadi kwa mzee kiongozi wa kijiji!
“Karibu Tegamoyo!”,aliongea mzee yule ambaye umri umeenda na meno yake karibu yote yameng’oka kinywani!
“Ahsante!”
“Hahahahahahahahahhaa!”,walicheka wanakijiji baada ya kusikia Kiswahili cha Mr Franklin!
“Unajua Kiswahili unazungumza lugha yetu!”
“Kidogo,nilikuwa Zanzibar mwezi sasa,naelewa kidogo sana!”
“Hahahahahahaha!”
“Karibuni sisi ni watu wema!”
“Hahahahahahah!”
Mzee yule mcheshi alijaribu kuongea kwa lafudhi ya Mr Franklin,baasi wakacheka sana,ni hapo wakamshika watu kadhaa Mr Franklin,walitaka kuhakikisha kama ni binadamu wa kawaida,waliishangaa sana ngozi yao!
Basi wakachukuliwa wageni hadi kijijini,wakati huo nyumba zote zilikuwa zimeezekwa kwa nyasi na makuti!Wazungu walifurahia sana madhari,wakawa wanapiga picha na kuenjoi maisha ya Tegamoyo!
Lakini shingo ya Franklin ilikuwa inazunguka huku na kule,alikuwa anawashangaa sana warembo wa Tegamoyo,hakukuwa na binti mbaya hata mmoja,wote walikuwa warembo sana,lakini akilini mwake alikuwa amemhifadhi Moza!Frankilin alitamani kuvunja chaga na binti mrembo Moza!Akaanza mawindo yake taratibu bila mkewe kujua!
Wakati Mr Franklin anamuwinda Moza avunje naye chaga,ni wakati huo huo Zeka naye alikuwa anamuwinda Blenda,mrembo wa kizungu!Lakini sasa Zeka hakujua kuwa mke wa Franklin anammezea mate,anatamani wacheze ule mchezo wa kibaba mama!Patamu hapo!

Ilikuwa siku moja,ya pili mara wiki,Mr Franklin na familia yake waliendelea kula maisha Tegamoyo,hawakuonyesha hata dalili za kuondoka karibuni!
Wakati wanaendelea kukaa ndiyo walikuwa wanajitahidi kujifunza Kiswahili,basi siku moja Mr Franklin akamuona Moza kama kawaida yake mida ya mchana anashuka ufukweni!Binti alikuwa peke yake,basi mzungu akaona ndiyo muda muafaka wa kujitafunia minyama!
Moza hakuwa na wazo kuwa kuna mtu anamfatilia nyuma yake,wala hakuwa na wazo kuwa Franklini anakitaka kibuyu cha asali,japo alikuwa ameshampa zawadi nyingi sana!
Binti kafika ufukweni kasaula hana hili wala lile,taratibu akazama kwenye maji na kuanza kuogelea kwa raha zake,basi Mr Franklin akasimama kwa mbali,akamtazama binti mrembo akiogelea,chuchu zake saa sita zilimuacha hoi,shepu lake matata likazivuta hatua kutoka mbali,akasogea karibu!Moza alishtuka kumuona Franklin,lakini mzungu ndiyo kwanza anatabasamu!

MR FRANKLIN ANAKITKA KIBUYU CHA MOZA,ITAKUWAJEEEEEE?

????SOMA VIPANDE YA MBELE VYA HADITHI HII KWA KULIPIA VIPANDE 10 KWA 1,000/= AU YOTE FULL KWA SH 4,000/=
NAMBA ZA MALIPO NI HIZI!
TIGOPESA ????0715919396
M PESA ????0760199396
Majina ???? JACKSON MAGOSHA
LIPA NAMBA M PESA 5892883
Jina???? MR MAMBO
????MTAG MWENZAKO...MWAMBIE TUMEWASHAAAAA!
????Bandika...Banduaaaaaa!
#LIKEEEEEEEEEEEEEEEEEE????

#KOMENTIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII????????????????

#SHAREEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE????????????????
#ProfesaMambo
#GOD over everything!
[28/04, 11:05] Mr Mambo:
[20/08, 18:47] Tabasamu na Mambo:

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

Chombezo……………..KIJIJI CHA WAGENI! Mtunzi…………………..Jack Mambo

Chombezo……………..KIJIJI CHA WAGENI!
Mtunzi…………………..Jack Mambo
Whatsapp………………0715919396
Umri…………….……….18+

KUMBUKA GROUP ZINAPOTEA ILA PAGE ZINAISHI,ILI USIKOSE UHONDO WA HADITHI ZANGU INGIA HAPA LIKE PAGE YANGU,HAPO UTAKUWA NA UHAKIKA WA KUSOMA STORY ZANGU KILA SIKU ----???????????? Story za Mambo

Sehemu ya 02
Kuona ni kuamini!Aliyeona na aliyesikia hawawezi kuwa na ushahidi sawa mahakamani,lazima aliyeona atapewa uzito kuliko yule aliyesikia tu bila kushuhudia kama macho!Ili uwe shuhuda inabidi ushuhudie,ndiyo maana mtu anasema niliona kwa macho yangu,huo ushahidi unakuwaga mzito kuliko ule wa nilisikia kwa maskio yangu!
Basi wana Tegamoyo wakasema kama jini yupo na ameonekana ufukweni kwao,kwanini wasishuhudie nao,pengine watapata hadithi za kusimulia wajukuu zao siku za usoni!
Nginjangija mpaka...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/chombezo-kijiji-cha-wageni-mtunzi-jack-mambo

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending <br>

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi chombezo-kijiji-cha-wageni-mtunzi-jack-mambo
Chombezo……………..KIJIJI CHA WAGENI! Mtunzi…………………..Jack Mambo Whatsapp………………0715919396 Umri…………….……….18+
Chombezo……………..KIJIJI CHA WAGENI! Mtunzi…………………..Jack Mambo Whatsapp………………0715919396 Umri…………….……….18+
Chombezo……………..KIJIJI CHA WAGENI! Mtunzi…………………..Jack Mambo sehemu ya 03
Chombezo……………..KIJIJI CHA WAGENI! Mtunzi…………………..Jack Mambo sehemu ya 03
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 62 na 63

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 62 na 63

1.4K
AFANDE MILLAN😎 *season 3*  *64&65*

AFANDE MILLAN😎 *season 3* *64&65*

473
JOGOO WA KIENYEJI 1----5

JOGOO WA KIENYEJI 1----5

259
MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) EP 11.

MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) EP 11.

211
SHAMIRA Sehemu ya 65&66

SHAMIRA Sehemu ya 65&66

209
SHAMIRA Sehemu ya 60&61

SHAMIRA Sehemu ya 60&61

193
SHAMIRA 62 63 na 64

SHAMIRA 62 63 na 64

190
*MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) EP 12.

*MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) EP 12.

187
*MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥)  EP 13.

*MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) EP 13.

167
*MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥)  EP 14.

*MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) EP 14.

125

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.76K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.47K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.84K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.33K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.95K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.91K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.74K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.72K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.6K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
*BILLIONS OF LOVE💓💓*  "1__5" Post Mpya
*BILLIONS OF LOVE💓💓* "1__5"
@majario LIVE

SEHEMU YA "1"💓😽 BY BABIE LOVE "Alikuja kama muuza chai kumbe ni Billionea💵" Nyie njooni niwaambie kitu ……… mnazijua chapati? Sambusa je ? 😂😂 nani hazijui halfkeki ? Wote mnazijua ? Ona sikilizeni...

Nargis and Sunil Dutt were not just legendary stars of Hindi cinema, but also one of the most respected and inspiring couples in Bollywood Post Mpya
Nargis and Sunil Dutt were not just legendary stars of Hindi cinema, but also one of the most respected and inspiring couples in Bollywood
@majario LIVE

. Nargis was known for her natural acting and powerful screen presence. Films like Mother India made her a timeless icon, and even today she is remembered as one of...

SHARON 1 mpka 5 Post Mpya
SHARON 1 mpka 5
@majario LIVE

🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺 *SHARON* Sehemu ya 1 Kwa majina naitwa sharon hillary, mm ni mtoto wa 3 kuzaliwa katika familia ya watoto watatu, so mm ni wa mwisho kuzaliwa wa kwanza ni kaka yetu anaitwa...

Mwamuzi wa mchezo wa Esparance dhidi ya Al Ahly,Issa Sy 🇸🇳 Post Mpya
Mwamuzi wa mchezo wa Esparance dhidi ya Al Ahly,Issa Sy 🇸🇳
@majario LIVE

Mara baada ya filimbi ya mwisho akatoa kadi yake nyekundu,anataka kumuona mtu amfuate kuhoji maamuzi yake. Kuna afisa mmoja wa benchi la Al Ahly alitaka kwenda,baada ya kuona kadi nyekundu imeshikwa...

SHAMIRA 71  MPK. 78. ( MWISHO S3) Post Mpya
SHAMIRA 71 MPK. 78. ( MWISHO S3)
@majario LIVE

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 SHAMIRA Sehemu ya 71 Mwandishi; lissa wa huru media Nikamwambia sawa nashukuru kama mimi ndo kiboko yako. Basi mchumba akaenda kuoga akatoka mwepesi kabisa akavaa kisha akachuku pochi aknihasabia laki 8 .akanipa...

🚨 SIMAMA KWANZA USIPITE! 🌍 BATTLE YA WAREMBO WA DUNIA Post Mpya
🚨 SIMAMA KWANZA USIPITE! 🌍 BATTLE YA WAREMBO WA DUNIA
@majario LIVE

Tanzania 🇹🇿, Kenya 🇰🇪, Congo 🇨🇩, Burundi 🇧🇮, Rwanda 🇷🇼, South Africa 🇿🇦 na USA 🇺🇸 Wote wamevaa rangi za nchi zao… lakini NANI AMEUA STYLE ZAIDI? 👑🔥 ⚠️ CHAGUA NCHI MOJA...

SHAMIRA 67 to 70 Post Mpya
SHAMIRA 67 to 70
@majario LIVE

62 MPK 70 (SEASON THREE) 🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 SHAMIRA Sehemu ya 67&68 Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikiwa nawaza sana pale akaingia husna .akagonga mlango...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 1 - 12 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 1 - 12
@majario LIVE

:01 Natafuta ni wapi nianzie na ni wapi nimalizie, sijui kabisa yaani kwa maana moyo wangu, roho yangu, na hisia zangu vyote kwa pamoja vimejawa na furaha isiyo kifani. Maisha yangu ni...

*MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥)  EP 14. Post Mpya
*MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) EP 14.
@majario LIVE

Alinilegesha jamani king anajua kuandaa, anajua kutia sio Polepole jamani, nilijikuta nimempa yote bila kumbania, jamaa kumbe kiu ilikuwa kubwa na Mimi nilikuwa naukata kweli make kufanya hii kitu na...

AFANDE MILLAN😎 *season 3*  *64&65* Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 *season 3* *64&65*
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi nikapata na kipaji cha kubembeleza huu usiku mana zena hakuwa sawa kabisaa, na alikuwa na stress mnoo maskini na ni baada ya kumkubusha ya nyuma uko maskini, tulibembelezena mpka...

*MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥)  EP 13. Post Mpya
*MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) EP 13.
@majario LIVE

Tulifika nikakuta mke mwenzangu tayari yupo ukweni na anamimba japo ilikuwa haionekani, nilitukanwa matusi yote, Mimi tasa, maskini sina msaada wowote, nilikuwa niwakulia tu ukizingatia, sijawai tumia hats uzazi wa...

*MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) EP 12. Post Mpya
*MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) EP 12.
@majario LIVE

MTUNZI: SMILE SHINE Baada ya king kuzimia,ilibidi apate huduma ya kwanza, Mimi ilibidi niludishwe kwenye Sheree, tulimaliza saa Saba usiku, nilikuwa nimechoka mno, nilioga nakuingia kulala, hata vicram pia alikuwa hoi,...

JOGOO WA KIENYEJI 1----5 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI 1----5
@majario LIVE

🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓 sehemu ya 1 Mwandishi:lissa mwalla Naitwa Talya jones,ni mtoto wa pili katika familia ya watoto wawili,wakwanza kakangu tommy na mie ndio last born sasa,baba yetu alikua mwanajeshi na mama yetu ni nesi.baba...

MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) EP 11. Post Mpya
MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) EP 11.
@majario LIVE

MTUNZI: SMILE SHINE Mama alipokea nikamuita atoke nje,vicram alibaki tu akinishangaa, mama alitoka akatukalibisha ndani, niliomba niongee nae pembeni, tulitoka nililia Kwa mama mpaka na mama nae akaanza kulia, badae nikaamua...

SHAMIRA Sehemu ya 65&66 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 65&66
@majario LIVE

Wassap;0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Nilimuangalia sana nikamuuliza unamuongeleaa mtoto gani kwanza .akanambia ahaa si mtoto wangu ambae ulikuwa unakujaga nae nyumbani kuomba msada ama.nikasema sawa kumbe unakumbukumbu. Unahisi...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest