Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

Chombezo……………..KIJIJI CHA WAGENI! Mtunzi…………………..Jack Mambo
Gonga94 · Stories

Chombezo……………..KIJIJI CHA WAGENI! Mtunzi…………………..Jack Mambo

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Chombezo……………..KIJIJI CHA WAGENI!
Mtunzi…………………..Jack Mambo
Whatsapp………………0715919396
Umri…………….……….18+

KUMBUKA GROUP ZINAPOTEA ILA PAGE ZINAISHI,ILI USIKOSE UHONDO WA HADITHI ZANGU INGIA HAPA LIKE PAGE YANGU,HAPO UTAKUWA NA UHAKIKA WA KUSOMA STORY ZANGU KILA SIKU ----???????????? Story za Mambo

Sehemu ya 02
Kuona ni kuamini!Aliyeona na aliyesikia hawawezi kuwa na ushahidi sawa mahakamani,lazima aliyeona atapewa uzito kuliko yule aliyesikia tu bila kushuhudia kama macho!Ili uwe shuhuda inabidi ushuhudie,ndiyo maana mtu anasema niliona kwa macho yangu,huo ushahidi unakuwaga mzito kuliko ule wa nilisikia kwa maskio yangu!
Basi wana Tegamoyo wakasema kama jini yupo na ameonekana ufukweni kwao,kwanini wasishuhudie nao,pengine watapata hadithi za kusimulia wajukuu zao siku za usoni!
Nginjangija mpaka ufukweni,Moza akasema paleee,alisimama pale,basi wakasogea pale,lakini wakagundua kuna meli ya kifahari ufukweni pembeni ya mitumbwi yao ya makasia!
Basi wakasogea hadi kwenye ufukwe mkubwa,wakaisogelea meli,punde Mr Franklini akajitokeza akiwa amenyoosha mikono juu!
“We are not bad people!We’re good people!”,alipaza sauti mzungu kuona kama wanaweza kuelewana!
Wakati huo kizungu kilikuwa mtihani mzito kwetu,basi wanakijiji wakatazamana,hapo akatokea shujaa mmoja mkalimani,yeye kidogo amesoma soma huko mjini!
“Anasema wao siyo watu wabaya ni watu wema!”,kijana alitafsiri wanakijiji wakatazamana!Bado wanaishangaa ile ngozi ya mzungu!
“I’m here with my family,I am with my daughter and my beloved wife!”,aliongea mzungu,wanakijiji wakamtazama kijana!
“Anasema yupo hapa pamoja na mkewe na binti yake!”
Mzungu akatoa ishara kwa mkewe wasogee,basi wakasogea mbele ya meli yao na kupunga mikono huku wanatabasamu!
“You se now!We’re good people,please welcome us to your community!”
“Anasema ni watu wema,tuwakaribishe kwenye ardhi yetu!”,kijana aliongea lakini bado walikuwa na wasiwasi,kijana akajua tu wenzake wanaogopa ngozi!Lakini yeye ni msoni tofauti na wengine,kwahiyo anajua kuna wazungu,waarabu,wachina na kadhalika,kwahiyo lilikuwa jambo la kuwaelekeza wenzake wakubali kuwapokea wazungu!
“Let me talk to them,and I’ll get back to you!(Ngoja niongee nao nitakurudia),kijana aliongea na mzungu!
“Thank you my friend!”
Mzungu alishukuru,kijana akaanza kuwaelewesha wanakijiji kuwa duniani kuna watu wa aina nyingi sana,na hao wanaowaona ni wazungu,lakini bado kuna wachina,waarabu,wahindi na kadhalika!
“Kwahiyo hawa ni watu siyo majini!?”,aliuza mzee kiongozi wa Tegamoyo!
“Hawa ni watu sema tu wao ngozi zao ni tofauti na zetu,lakini ni watu wa kawaida kabisa!”
“Hawana madhara hawa kweli!?”
Kijana Zeka alikutana na maswali mengi,lakini aliyajibu kwa utulivu sana,akahakikisha wanakijiji wote wanaamini kuwa wazungu si majini,ni binadamu kama wao tu!
Baada ya kuwaweka sawa wanakijiji,Zeka akaenda hadi mbele ya meli ya wazungu ,ambayo muda wowote ingewashwa wakasepa zao kama wasingekubalika,au kama wangeona dalili yoyote ya kufanyiwa ubaya!
“Hey friends,it’s safe now,you are welcome!”(Marafiki,ni salama sasa mnakaribishwa!)
“Are you sure it’s safe!?”(Una uhakika ni salama!)
“Come on!Don’t make them doubt you!”(Njooni,msiwafanye wawe na shaka kwenu),aliongea kijana Zeka kiisha akaachia tabasamu!
Basi Mr Franklin hakuwa na hiyana,akashuka huku nyuma mkewe na bintiye nao wakashuka,wanatembea watu wanawashangaa tu!Zeka akawapeleka hadi kwa mzee kiongozi wa kijiji!
“Karibu Tegamoyo!”,aliongea mzee yule ambaye umri umeenda na meno yake karibu yote yameng’oka kinywani!
“Ahsante!”
“Hahahahahahahahahhaa!”,walicheka wanakijiji baada ya kusikia Kiswahili cha Mr Franklin!
“Unajua Kiswahili unazungumza lugha yetu!”
“Kidogo,nilikuwa Zanzibar mwezi sasa,naelewa kidogo sana!”
“Hahahahahahaha!”
“Karibuni sisi ni watu wema!”
“Hahahahahahah!”
Mzee yule mcheshi alijaribu kuongea kwa lafudhi ya Mr Franklin,baasi wakacheka sana,ni hapo wakamshika watu kadhaa Mr Franklin,walitaka kuhakikisha kama ni binadamu wa kawaida,waliishangaa sana ngozi yao!
Basi wakachukuliwa wageni hadi kijijini,wakati huo nyumba zote zilikuwa zimeezekwa kwa nyasi na makuti!Wazungu walifurahia sana madhari,wakawa wanapiga picha na kuenjoi maisha ya Tegamoyo!
Lakini shingo ya Franklin ilikuwa inazunguka huku na kule,alikuwa anawashangaa sana warembo wa Tegamoyo,hakukuwa na binti mbaya hata mmoja,wote walikuwa warembo sana,lakini akilini mwake alikuwa amemhifadhi Moza!Frankilin alitamani kuvunja chaga na binti mrembo Moza!Akaanza mawindo yake taratibu bila mkewe kujua!
Wakati Mr Franklin anamuwinda Moza avunje naye chaga,ni wakati huo huo Zeka naye alikuwa anamuwinda Blenda,mrembo wa kizungu!Lakini sasa Zeka hakujua kuwa mke wa Franklin anammezea mate,anatamani wacheze ule mchezo wa kibaba mama!Patamu hapo!

Ilikuwa siku moja,ya pili mara wiki,Mr Franklin na familia yake waliendelea kula maisha Tegamoyo,hawakuonyesha hata dalili za kuondoka karibuni!
Wakati wanaendelea kukaa ndiyo walikuwa wanajitahidi kujifunza Kiswahili,basi siku moja Mr Franklin akamuona Moza kama kawaida yake mida ya mchana anashuka ufukweni!Binti alikuwa peke yake,basi mzungu akaona ndiyo muda muafaka wa kujitafunia minyama!
Moza hakuwa na wazo kuwa kuna mtu anamfatilia nyuma yake,wala hakuwa na wazo kuwa Franklini anakitaka kibuyu cha asali,japo alikuwa ameshampa zawadi nyingi sana!
Binti kafika ufukweni kasaula hana hili wala lile,taratibu akazama kwenye maji na kuanza kuogelea kwa raha zake,basi Mr Franklin akasimama kwa mbali,akamtazama binti mrembo akiogelea,chuchu zake saa sita zilimuacha hoi,shepu lake matata likazivuta hatua kutoka mbali,akasogea karibu!Moza alishtuka kumuona Franklin,lakini mzungu ndiyo kwanza anatabasamu!

MR FRANKLIN ANAKITKA KIBUYU CHA MOZA,ITAKUWAJEEEEEE?

????SOMA VIPANDE YA MBELE VYA HADITHI HII KWA KULIPIA VIPANDE 10 KWA 1,000/= AU YOTE FULL KWA SH 4,000/=
NAMBA ZA MALIPO NI HIZI!
TIGOPESA ????0715919396
M PESA ????0760199396
Majina ???? JACKSON MAGOSHA
LIPA NAMBA M PESA 5892883
Jina???? MR MAMBO
????MTAG MWENZAKO...MWAMBIE TUMEWASHAAAAA!
????Bandika...Banduaaaaaa!
#LIKEEEEEEEEEEEEEEEEEE????

#KOMENTIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII????????????????

#SHAREEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE????????????????
#ProfesaMambo
#GOD over everything!
[28/04, 11:05] Mr Mambo:
[20/08, 18:47] Tabasamu na Mambo:

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

Chombezo……………..KIJIJI CHA WAGENI! Mtunzi…………………..Jack Mambo

Chombezo……………..KIJIJI CHA WAGENI!
Mtunzi…………………..Jack Mambo
Whatsapp………………0715919396
Umri…………….……….18+

KUMBUKA GROUP ZINAPOTEA ILA PAGE ZINAISHI,ILI USIKOSE UHONDO WA HADITHI ZANGU INGIA HAPA LIKE PAGE YANGU,HAPO UTAKUWA NA UHAKIKA WA KUSOMA STORY ZANGU KILA SIKU ----???????????? Story za Mambo

Sehemu ya 02
Kuona ni kuamini!Aliyeona na aliyesikia hawawezi kuwa na ushahidi sawa mahakamani,lazima aliyeona atapewa uzito kuliko yule aliyesikia tu bila kushuhudia kama macho!Ili uwe shuhuda inabidi ushuhudie,ndiyo maana mtu anasema niliona kwa macho yangu,huo ushahidi unakuwaga mzito kuliko ule wa nilisikia kwa maskio yangu!
Basi wana Tegamoyo wakasema kama jini yupo na ameonekana ufukweni kwao,kwanini wasishuhudie nao,pengine watapata hadithi za kusimulia wajukuu zao siku za usoni!
Nginjangija mpaka...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/chombezo-kijiji-cha-wageni-mtunzi-jack-mambo

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending 🐓 Follow the ommy khan Tanzania channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VbCg0JyFsn0hCN1ByD44

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi chombezo-kijiji-cha-wageni-mtunzi-jack-mambo
Chombezo……………..KIJIJI CHA WAGENI! Mtunzi…………………..Jack Mambo Whatsapp………………0715919396 Umri…………….……….18+
Chombezo……………..KIJIJI CHA WAGENI! Mtunzi…………………..Jack Mambo Whatsapp………………0715919396 Umri…………….……….18+
Chombezo……………..KIJIJI CHA WAGENI! Mtunzi…………………..Jack Mambo sehemu ya 03
Chombezo……………..KIJIJI CHA WAGENI! Mtunzi…………………..Jack Mambo sehemu ya 03
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE

NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE

451
CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10

CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10

116
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15

78
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14

57
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 18

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 18

46
Iran rejects peace plan and mocks Trump Akhtar Makoii

Iran rejects peace plan and mocks Trump Akhtar Makoii

10
Kinachomtisha Mgosi ni kuwa Edna Lema anawachezaji walioonekana wa kawaida Simba

Kinachomtisha Mgosi ni kuwa Edna Lema anawachezaji walioonekana wa kawaida Simba

4

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

12.04K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.72K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.91K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.67K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

3.11K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

3.04K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.91K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.86K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.76K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.71K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Simu ilikatwa,nilichanganyikiwa,iv nimeskia kweli au ni mawenge yangu?keanu ananisaliti?yani maneno yake makavu yote aliyoniambia hayakua na maana sikuyajali kabisa nilijali mwanamke alieongea.nikasema hapana ngoja,nikapiga simu iliita ikakatwa,nilipiga tena ikakatwa,nikapiga...

Kinachomtisha Mgosi ni kuwa Edna Lema anawachezaji walioonekana wa kawaida Simba Post Mpya
Kinachomtisha Mgosi ni kuwa Edna Lema anawachezaji walioonekana wa kawaida Simba
@majario LIVE

ila sasa wapo kwenye kiwango cha hali ya juu kiasi cha baadhi kuitwa timu zao za taifa. Diana Mnally Ritticia Nabbosa Precious Christopher Wincate Kaari Aisha Djafar Edna Lema...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Mmmh nilihisi utumbo unacheza, kwa nn haruhusiwi ndoa sasa? Au ameoa? Nilijiuliza sana, keanu akasema sijakuelewa kwa nn siruhusiwi kuoa sasa? Akasema kuna mashart katika kila kanisa ili...

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 18 Post Mpya
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 18
@majario LIVE

Mida ya jioni vipindi vilipoisha tuliongozana na Glad hadi kwa kaka yake ilikuwa ni saa kumi na moja za jioni hivyo alikuwa kasharudi toka kazini tulimkuta nyumbani 🏡. Karibuni...

CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10 Post Mpya
CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10
@majario LIVE

SEHEMU YA 08 "Kwanza haoni ajabu kukufukuza,na akisema hakutaki ujue hakuna was kukutetea hata mama hataongea .... kwaiyo muangalie hivyo hivyo kauli yake moja tu inakuondoa........... Nicole aliposema hivyo nilimuogopa sana...

Iran rejects peace plan and mocks Trump Akhtar Makoii Post Mpya
Iran rejects peace plan and mocks Trump Akhtar Makoii
@mjukuu LIVE

Screengrab from video put out by Iranian state media Tasnim News of an Iranian missile with Trump's name on it, in response to the great gift from Iran Trump claimed...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE
@majario LIVE

:131 Nikawa natoa ile bahasha. Vile natoa, namuona Boss Yule anakuja. Ni wazi alisikia kengele au aliniona kwa juu. Nikasema kwa ndani “niondoke?” Ataona Kama namkimbia, Nikajikaza pale kusubiri. Basi kweli alifika,...

MFALME KIPOFU  27 Post Mpya
MFALME KIPOFU 27
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 27 (FINAL) Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Nawauliza Princess Nailet yupo wapi? alipotazama Pembeni hakuamini kuona mwili wa binti yake....... ENDELEA NAYO...... Mfalme Tengu alilia kama mtoto mdogo "Pole sana mfalme kwa kipindi kigumu unachopitia Prince...

MFALME KIPOFU  25 -- 26 Post Mpya
MFALME KIPOFU 25 -- 26
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 25 Whatsapp.............0748697173 ilipoishia sehemu iliyopita....... Maneno ya Lindiwe yalimfanya Princess Nailet kutabasamu nakutulia kuwaacha waongonzane watu watatu tu Malikia,Prince Yao na Amma mwenyewe kwenda kutafuta iyo dawa...... ENDELEA NAYO.......... Malikia andwaa aliongoza msafara wa...

MFALME KIPOFU  23 -- 24 Post Mpya
MFALME KIPOFU 23 -- 24
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 23 Whatsapp.............0748697173 ilipoishia sehemu iliyopita....... Maneno yale yalipenya kwenye masikio ya Amma na baadhi ya watu waliokuwa pale wakitazama tu badala ya kutoa msaada,Babaaaaa............ ENDELEA NAYO.......... "Baba amka",Amma alimwita baba yake, Aliye kuwa tayali amepoteza...

MFALME KIPOFU  21 -- 22 Post Mpya
MFALME KIPOFU 21 -- 22
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 21 Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Malikia alichanganyikiwa baada ya kusikia maneno yale ya dakitari Malikia aliita walinzi na ,kuwapa maagizo ya kuwakamata matabibu wote...... ENDELEA NAYO....... Walisubili pakuche msako uanze wa kuwakamata matabibu...

MFALME KIPOFU  19 -- 20 Post Mpya
MFALME KIPOFU 19 -- 20
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............19 Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita...... Ni mapenzi ya ajabu aliyokuwa nayo Princess Nailet kwa Yao licha ya kumfahamu kwa mda mfupi tu lakini aliteka sehemu kubwa ya moyo wake... ENDELEA NAYO....... Aliendelea na safari ya...

MFALME KIPOFU  17 -- 18 Post Mpya
MFALME KIPOFU 17 -- 18
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............17 Ilipoishia sehemu iliyopita...... Lindiwe alitege sikio vizuri na kweli alisikia sauti emu njoo huku alimvuta Prince Yao pembeni na kujificha sehemu ni ngumu kuonekana. Namu sura ya General haikutoka machoni mwake alimuona...

MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17 Post Mpya
MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17
@mjukuu LIVE

Ilipoishia sehemu iliyopita...... Asikari",Mfalme Tengu aliita kwa hasira "Nendeni mkawarudishe haraka" "Mfalme tayali wameshavuka mpaka" "Nimesema nendeni mkawarudishe" Waliondoka na kumuacha Mfalme akiendelea ..... SEHEMU YA 16 ENDELEA NAYO...... Waliondoka na kumuacha mfalme akiendelea kuongea na binti...

LETICIA Sehemu ya 19 na 20 Post Mpya
LETICIA Sehemu ya 19 na 20
@majario LIVE

💍💍💍💍💍💍 Nikasikia madam prisca anasema nyie uko jikoni mbona kama mnajibizana sana ,polela akasema amna madamu ,kisha akaondoka basi mwenzenu polela akawa ananisumbua kila siku ,yaani kila akiniona nipo peke yangu...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest