Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

Chombezo……………..KIJIJI CHA WAGENI! Mtunzi…………………..Jack Mambo
Gonga94 · Stories

Chombezo……………..KIJIJI CHA WAGENI! Mtunzi…………………..Jack Mambo

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Chombezo……………..KIJIJI CHA WAGENI!
Mtunzi…………………..Jack Mambo
Whatsapp………………0715919396
Umri…………….……….18+

KUMBUKA GROUP ZINAPOTEA ILA PAGE ZINAISHI,ILI USIKOSE UHONDO WA HADITHI ZANGU INGIA HAPA LIKE PAGE YANGU,HAPO UTAKUWA NA UHAKIKA WA KUSOMA STORY ZANGU KILA SIKU ----???????????? Story za Mambo

Sehemu ya 02
Kuona ni kuamini!Aliyeona na aliyesikia hawawezi kuwa na ushahidi sawa mahakamani,lazima aliyeona atapewa uzito kuliko yule aliyesikia tu bila kushuhudia kama macho!Ili uwe shuhuda inabidi ushuhudie,ndiyo maana mtu anasema niliona kwa macho yangu,huo ushahidi unakuwaga mzito kuliko ule wa nilisikia kwa maskio yangu!
Basi wana Tegamoyo wakasema kama jini yupo na ameonekana ufukweni kwao,kwanini wasishuhudie nao,pengine watapata hadithi za kusimulia wajukuu zao siku za usoni!
Nginjangija mpaka ufukweni,Moza akasema paleee,alisimama pale,basi wakasogea pale,lakini wakagundua kuna meli ya kifahari ufukweni pembeni ya mitumbwi yao ya makasia!
Basi wakasogea hadi kwenye ufukwe mkubwa,wakaisogelea meli,punde Mr Franklini akajitokeza akiwa amenyoosha mikono juu!
“We are not bad people!We’re good people!”,alipaza sauti mzungu kuona kama wanaweza kuelewana!
Wakati huo kizungu kilikuwa mtihani mzito kwetu,basi wanakijiji wakatazamana,hapo akatokea shujaa mmoja mkalimani,yeye kidogo amesoma soma huko mjini!
“Anasema wao siyo watu wabaya ni watu wema!”,kijana alitafsiri wanakijiji wakatazamana!Bado wanaishangaa ile ngozi ya mzungu!
“I’m here with my family,I am with my daughter and my beloved wife!”,aliongea mzungu,wanakijiji wakamtazama kijana!
“Anasema yupo hapa pamoja na mkewe na binti yake!”
Mzungu akatoa ishara kwa mkewe wasogee,basi wakasogea mbele ya meli yao na kupunga mikono huku wanatabasamu!
“You se now!We’re good people,please welcome us to your community!”
“Anasema ni watu wema,tuwakaribishe kwenye ardhi yetu!”,kijana aliongea lakini bado walikuwa na wasiwasi,kijana akajua tu wenzake wanaogopa ngozi!Lakini yeye ni msoni tofauti na wengine,kwahiyo anajua kuna wazungu,waarabu,wachina na kadhalika,kwahiyo lilikuwa jambo la kuwaelekeza wenzake wakubali kuwapokea wazungu!
“Let me talk to them,and I’ll get back to you!(Ngoja niongee nao nitakurudia),kijana aliongea na mzungu!
“Thank you my friend!”
Mzungu alishukuru,kijana akaanza kuwaelewesha wanakijiji kuwa duniani kuna watu wa aina nyingi sana,na hao wanaowaona ni wazungu,lakini bado kuna wachina,waarabu,wahindi na kadhalika!
“Kwahiyo hawa ni watu siyo majini!?”,aliuza mzee kiongozi wa Tegamoyo!
“Hawa ni watu sema tu wao ngozi zao ni tofauti na zetu,lakini ni watu wa kawaida kabisa!”
“Hawana madhara hawa kweli!?”
Kijana Zeka alikutana na maswali mengi,lakini aliyajibu kwa utulivu sana,akahakikisha wanakijiji wote wanaamini kuwa wazungu si majini,ni binadamu kama wao tu!
Baada ya kuwaweka sawa wanakijiji,Zeka akaenda hadi mbele ya meli ya wazungu ,ambayo muda wowote ingewashwa wakasepa zao kama wasingekubalika,au kama wangeona dalili yoyote ya kufanyiwa ubaya!
“Hey friends,it’s safe now,you are welcome!”(Marafiki,ni salama sasa mnakaribishwa!)
“Are you sure it’s safe!?”(Una uhakika ni salama!)
“Come on!Don’t make them doubt you!”(Njooni,msiwafanye wawe na shaka kwenu),aliongea kijana Zeka kiisha akaachia tabasamu!
Basi Mr Franklin hakuwa na hiyana,akashuka huku nyuma mkewe na bintiye nao wakashuka,wanatembea watu wanawashangaa tu!Zeka akawapeleka hadi kwa mzee kiongozi wa kijiji!
“Karibu Tegamoyo!”,aliongea mzee yule ambaye umri umeenda na meno yake karibu yote yameng’oka kinywani!
“Ahsante!”
“Hahahahahahahahahhaa!”,walicheka wanakijiji baada ya kusikia Kiswahili cha Mr Franklin!
“Unajua Kiswahili unazungumza lugha yetu!”
“Kidogo,nilikuwa Zanzibar mwezi sasa,naelewa kidogo sana!”
“Hahahahahahaha!”
“Karibuni sisi ni watu wema!”
“Hahahahahahah!”
Mzee yule mcheshi alijaribu kuongea kwa lafudhi ya Mr Franklin,baasi wakacheka sana,ni hapo wakamshika watu kadhaa Mr Franklin,walitaka kuhakikisha kama ni binadamu wa kawaida,waliishangaa sana ngozi yao!
Basi wakachukuliwa wageni hadi kijijini,wakati huo nyumba zote zilikuwa zimeezekwa kwa nyasi na makuti!Wazungu walifurahia sana madhari,wakawa wanapiga picha na kuenjoi maisha ya Tegamoyo!
Lakini shingo ya Franklin ilikuwa inazunguka huku na kule,alikuwa anawashangaa sana warembo wa Tegamoyo,hakukuwa na binti mbaya hata mmoja,wote walikuwa warembo sana,lakini akilini mwake alikuwa amemhifadhi Moza!Frankilin alitamani kuvunja chaga na binti mrembo Moza!Akaanza mawindo yake taratibu bila mkewe kujua!
Wakati Mr Franklin anamuwinda Moza avunje naye chaga,ni wakati huo huo Zeka naye alikuwa anamuwinda Blenda,mrembo wa kizungu!Lakini sasa Zeka hakujua kuwa mke wa Franklin anammezea mate,anatamani wacheze ule mchezo wa kibaba mama!Patamu hapo!

Ilikuwa siku moja,ya pili mara wiki,Mr Franklin na familia yake waliendelea kula maisha Tegamoyo,hawakuonyesha hata dalili za kuondoka karibuni!
Wakati wanaendelea kukaa ndiyo walikuwa wanajitahidi kujifunza Kiswahili,basi siku moja Mr Franklin akamuona Moza kama kawaida yake mida ya mchana anashuka ufukweni!Binti alikuwa peke yake,basi mzungu akaona ndiyo muda muafaka wa kujitafunia minyama!
Moza hakuwa na wazo kuwa kuna mtu anamfatilia nyuma yake,wala hakuwa na wazo kuwa Franklini anakitaka kibuyu cha asali,japo alikuwa ameshampa zawadi nyingi sana!
Binti kafika ufukweni kasaula hana hili wala lile,taratibu akazama kwenye maji na kuanza kuogelea kwa raha zake,basi Mr Franklin akasimama kwa mbali,akamtazama binti mrembo akiogelea,chuchu zake saa sita zilimuacha hoi,shepu lake matata likazivuta hatua kutoka mbali,akasogea karibu!Moza alishtuka kumuona Franklin,lakini mzungu ndiyo kwanza anatabasamu!

MR FRANKLIN ANAKITKA KIBUYU CHA MOZA,ITAKUWAJEEEEEE?

????SOMA VIPANDE YA MBELE VYA HADITHI HII KWA KULIPIA VIPANDE 10 KWA 1,000/= AU YOTE FULL KWA SH 4,000/=
NAMBA ZA MALIPO NI HIZI!
TIGOPESA ????0715919396
M PESA ????0760199396
Majina ???? JACKSON MAGOSHA
LIPA NAMBA M PESA 5892883
Jina???? MR MAMBO
????MTAG MWENZAKO...MWAMBIE TUMEWASHAAAAA!
????Bandika...Banduaaaaaa!
#LIKEEEEEEEEEEEEEEEEEE????

#KOMENTIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII????????????????

#SHAREEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE????????????????
#ProfesaMambo
#GOD over everything!
[28/04, 11:05] Mr Mambo:
[20/08, 18:47] Tabasamu na Mambo:

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

Chombezo……………..KIJIJI CHA WAGENI! Mtunzi…………………..Jack Mambo

Chombezo……………..KIJIJI CHA WAGENI!
Mtunzi…………………..Jack Mambo
Whatsapp………………0715919396
Umri…………….……….18+

KUMBUKA GROUP ZINAPOTEA ILA PAGE ZINAISHI,ILI USIKOSE UHONDO WA HADITHI ZANGU INGIA HAPA LIKE PAGE YANGU,HAPO UTAKUWA NA UHAKIKA WA KUSOMA STORY ZANGU KILA SIKU ----???????????? Story za Mambo

Sehemu ya 02
Kuona ni kuamini!Aliyeona na aliyesikia hawawezi kuwa na ushahidi sawa mahakamani,lazima aliyeona atapewa uzito kuliko yule aliyesikia tu bila kushuhudia kama macho!Ili uwe shuhuda inabidi ushuhudie,ndiyo maana mtu anasema niliona kwa macho yangu,huo ushahidi unakuwaga mzito kuliko ule wa nilisikia kwa maskio yangu!
Basi wana Tegamoyo wakasema kama jini yupo na ameonekana ufukweni kwao,kwanini wasishuhudie nao,pengine watapata hadithi za kusimulia wajukuu zao siku za usoni!
Nginjangija mpaka...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/chombezo-kijiji-cha-wageni-mtunzi-jack-mambo

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi chombezo-kijiji-cha-wageni-mtunzi-jack-mambo
Chombezo……………..KIJIJI CHA WAGENI! Mtunzi…………………..Jack Mambo Whatsapp………………0715919396 Umri…………….……….18+
Chombezo……………..KIJIJI CHA WAGENI! Mtunzi…………………..Jack Mambo Whatsapp………………0715919396 Umri…………….……….18+
Chombezo……………..KIJIJI CHA WAGENI! Mtunzi…………………..Jack Mambo sehemu ya 03
Chombezo……………..KIJIJI CHA WAGENI! Mtunzi…………………..Jack Mambo sehemu ya 03
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

929
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

792
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23

629
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

477
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

201
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8

130
AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01

AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01

102
SHAMIRA sehemu ya 38&39

SHAMIRA sehemu ya 38&39

97
UTANIITA SHEMEJI.   SEHEMU YA 17

UTANIITA SHEMEJI. SEHEMU YA 17

58
KWAKO RUSHINE DE REUCK.

KWAKO RUSHINE DE REUCK.

6

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.54K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.28K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.77K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.24K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.74K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.63K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.63K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.56K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.5K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.47K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
SHAMIRA sehemu ya 38&39 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 38&39
@majario LIVE

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 Mwandishi; lissa wa huru media Nikasema hapana sijafanywa hivyo akanmbia nini wewe umegawa namba kwa wanume zako wanatuma sms unajifanya kushaangaaa unanichukuliaje wewe. Kwanini unanidhalilisha shamira mpka najuta kuwa...

MASWALI YA BILIONEA WA FALME ZA KIARABU, KHALAF AHMAD AL HABTOOR KWA RAIS WA MAREKANI | Post Mpya
MASWALI YA BILIONEA WA FALME ZA KIARABU, KHALAF AHMAD AL HABTOOR KWA RAIS WA MAREKANI |
@majario LIVE

1- Mheshimiwa nani alikupa ruhsa kuingiza Ukanda wetu katika vita dhidi ya Iran na kwa gharama gani uliwaza kuwa watu wa kwanza kuteseka ni nchi za Ukanda huu ambao ndio...

UTANIITA SHEMEJI.   SEHEMU YA 17 Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI. SEHEMU YA 17
@majario LIVE

SONGA NAYO............... Mda ulienda jioni ilipofika akatoka kazin ,baada ya kufika nyumbani tu salamu ya kwanza aliingia chumbani na kufungua kioo na kutoka kwenye kibalaza kilicho pembezoni mwa chumba chake . Alifika...

AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01 Post Mpya
AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01
@majario LIVE

Tunaanza... Asubuhi na mapema, Sheikh Abdullah alimuita binti yake, Amirah, ambaye alikuwa na umri wa miaka ishirini na tatu. Amirah alitoka chumbani kwake na kumfuata baba yake ili kumsikiliza....

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Madam hakuwa na maneno mengine ya kuongea zaidi alijiinamia kama mtu anaefikiri kitu, ili kuepuka kesi mtoto wa mama Mira mie nikaamka na mwanangu haoo mpaka chumbani kwetu na...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25
@majario LIVE

Nikafunga gari ,kisha nikashika mkono akawa bado hayupo sawa kakasilika sana, ila niliona kidogo hasira yake imepungua pale ambapo ibra alipiga simu na kusikia maongezi ya ibraa, basi bwana...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23
@majario LIVE

Nikasema mama.nisikilize, unasikia mke wangu, haipo kama unavyowaza wewe. ,mi yule.sio mwanamke wangu, yule.ni shemeji yangu, ni mwanamke wa ibraa, na tulikuwa tunakutana wote jioni hiiii, mi uyu demu nimekutana...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Hatimae ule mda wa kuwasili huyo mkaka wa kuitwa Anfrey ulifika walimpokea kwa furaha sana wazazi kama wazazi walimzawadia kijana wao gari ya milioni 80 Mimi nilikuwa kwa mbali natazama...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*
@majario LIVE

Huo Ndio ukawa mwanzo Mpya wa upendo kati yangu Mimi na madam groly, Yaani mimba tu na kukaa nae Ndani ya miezi miwili tu tayali madam groly aliona utofauti wangu. Kwa...

KWAKO RUSHINE DE REUCK. Post Mpya
KWAKO RUSHINE DE REUCK.
@majario LIVE

Nikiwa kama mpenzi na shabiki mwanachama wa Simba niliyenyooka ninajikuta nina wajibu wa kusema ukweli pale panapohitajika ili kama kuna hatua za kuchukuliwa zichukuliwe mapema na mhusika kabla jambo...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Mwandiishi; LISSA Basi bwana rasmi tukaanza aya mahusiano bubu sasa, ambayo mimi binafsi sikuwa nimeyaafik kabisaaa, na wala sikuwa nayafurahia ata kidogo ,ila mchumba si kaamua basi powa, nikaona ngoja...

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania Post Mpya
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania
@majario LIVE

Kutokana na ongezeko la watumiaji wa Safaricom M-Pesa wanaohitaji kutuma pesa kwenda Vodacom M-Pesa Tanzania, nimeamua kuandika makala hii ili kuwasaidia wale ambao hawafahamu jinsi ya kufanya muamala huo. Tuma...

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16* Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*
@majario LIVE

SONGA NAYO............. Zilipita dakika kadhaa nikatoka na kumfuata sebleni , akataka kuendeleza story zake nikamwambia aaah 🤚nioneshe kazi za kufanya kwanza ,kama ni maongezi baadae. Hakuwa na shida akaanza kunionesha mazingira yote...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6
@officialgonga LIVE

SONGA NAYO..... nilipokaribia kumfikia nilimsikia akizungumaza "Sawa baba basi wacha sie tufanye maandalizi kidogo..." Niliweza kumsikia madam akiongea hivyo, kwakuwa mimi huyu mama namuona boya sikutaka kumjali nilimpita nikaelekea chumbani lakini nikiwa katika...

Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary Post Mpya
Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary
@majario LIVE

filmmaker V. Shantaram and actress Jayshree, so films were always a part of her world. She started as a child artist in Subah Ka Tara and was later introduced as...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest