kama ni hela zake alinipa na kunikopesha sana tu, na mama nisingempa maana nilikuwa bado nina kinyongo cha kuniforce nioleweππ
okay....! tunaendelea eee basi nikawa namwambia wifi si twende hata tukatembee tembee jamani mimi nilishazoea kuzurura bhanaπ€£π€£π€£.....
kukaa ndani kama broiler inanikera basi nikamshawishi akasema basi ngoja twende kwa rafiki angu mmoja hivi ila hatukai sana tunarudi amani na aunt watukute tusharud hamna shida tukatoka tukaenda kuna sehemu mdada anauza ice cream na coneπ¦π§
akanambia ni rafiki ake anaitwa joy akatukaribisha pale akatupa na cone za ofaπ¦
umepotea shogangu nipo si unajua kwetu pale kutoka ni tabu najionea hadi shida kutoka toka mmmh kama mwali hamna bhana si kama hivi nimekuja kwa mwaka mara moja ndo hivvyo hivyo ata iwe miaka kumi ndo nshakuja,
huyu wifi angu mke wa amani mmmh weweee aman kaoa ndio jamani ni bora ndo ata kunialika shogangu jamani harusi yenyewe haikuwa na mambo mengi hata sherehe pia hatukufanya ndoa imepita tu basi jamani haya mama ,
karbu dada mimi naitwa joy asante mimi naitwa zawadi sawa mimi na zuu marafiki kindakndak kwahyo na mimi wifiyo hivyo ujue sawa nafurahi kukufahamuπ₯°
hatukukaa sana tukaondoka njiani nikashindwa vumilia nikamuuliza wifi mbona joy kashangaa sana kusikia amani kaoa mmmh hamna kitu kashangaa tu labda kwa vile hakualika na hatukufanya sherehe kweli? kwani kuna tatzo lolote wif?
hapana Aaah niambie2 au kama kuna kitu unataka kuuliza uliza tu amna chochote wifi angu haya mama au ndo wivu hahahaha jamani mimi ata sina wivu huna lolote nishakujua una wivu weweπ€£π€£π€£
nikajikaza kuuliza mengine,ila moyoni nawaza isije ikawa wanga hawa kama lile movie la kina kanumba na wemaπ€π basi usiku huo amani tukawa tunapiga story ananiuliza mambo ya kijijini kwetu alikuwa mchangamfu sanaπ€£π€£π€£nikasema uyu sio wa kumpenda maana inaonekana hana wazo na mimiπ
nikamuuliza kwani na wewe ulilazimishwa kuoa? kwanin? sababu inaonekana kama hukuwa na shida ya ndoa πhamna kawaida tu sawa afu utaniacha lini?π unamaanisha kukupa talaka?
ndioπmbona bado mapema sana italeta shida kwanini? mama ataanza nibughudhi na pia nitakosa cha kujibu kwamba nimekuacha kwa kosa gani..?!
kwani kuna tatizo kwa sasa wewe kuwa hapa hapana oky basi tulia tu usiwe na haraka mmmh nikasema uyu kaka hajatimiaπ€£π€£π€£ ananivuruga mjue nikapanda kulala yeye hana shida na mimiππ₯Ί
ila nikaanza kuwaza au simvutii hata kama hanipendi sio anifanyie hivyoπππ ndoa ikafika mwezi siku hiyo akanambia vaa pendeza mama tukatembee mjiniπnikaoga zangu mimi nikapiga pambaπ safari ya mjiniππ basi akanipeleka maeneo ananizungusha zungusha sangapi tusiende kwa joy eti tuingie apa tule ice creamπ§
tulivyoingia tu joy acha atukarishe karibu kaka amani na wifi zawad za tangu siku ile mimi apo najisemea tu uyu jamani wenzie tulikuja kwa kuiba yeye ndo ananichangamkia ananitaja na jina kabisaπ€π‘
nikajibaraguza kumjibu tu lakini nikaona kama amani amebadilika uson kachukiaπ€π nikasema Leo ntakomaπ€ tukatoka tulivyofika kwenye gari akaniuliza umejuana vipi na joy π€wee Kwan kusema ukweli ni mpaka na hela?π nkasema mimi tulikuja na wifiπ₯Ίwee tulivyofika nyumbani alitusema mimi na zuu tukamuomba msamaha akawa anasema humu ndani hamna kutoka mtu bila ruhusa yangu au ya mama sijui kwanini unajisahau zuu,
Halafu na wewe zawadi naona unataka kunizoea sa nikawaza mimi kosa langu niniπ³
nikaendelea kumuomba msamaha bhana hadi uko chumbani, akasema kwamba etii lazima nikitaka kutoka nimuage yeye ni mume wangu nilichekaπ€£π€£π€£
unacheka nini? kwahyo mimi naongea ujinga hapa hapanaπ₯Ί nilijiwazia tu mkewe na hatujigi jigiπ basi Betty akanambia amekuja uku amepata kazi basi uje unisalimie jamaniπakaja siku moja tukapiga umbeaπ€
maana tulimiss haswa alivyoondoka akantext uyo kaka ndo hatufanyi chochoteπ€πndio khaaa ebu acha ujinga muanze weweee unachelewa wapi weeeeeeeewe kifupi alinambia eti nijisexxysheπ€£π€£naanzia wapi ata sielewi,sasa siku hiyo nikasema nimtest kama mashine nzima,π€£π€£πππΌββοΈ
alikuwa amelala kwenye sofa pale alikuwa anasoma novel akapitiwa na usingizi,kikawa kile kitabu kimemfunika usoni nikafika ad pale sijui ndo nmshikeπ€£π€ asije niona malaya bure nikaghairiπ nkageuza nikalale zangu kitandani mimi πΌ akaniita zawadi?π
nawarudiaπ€£π€£π€£πππ.
Hakuna ratiba iliyopangwa kwa sasa.
Maoni
Click here to login and comments