CHUMBANI KWETU 💚9 basi nikamwambia mume wangu akasema twende hospital nikafanyiwa uchunguzi
😔 nikawa na waswas sana mimba yangu itaharibika hapana hamna tatizo mke wangu tukarud nyumbani tuone kama itaendelea ✍🏻 ikapita wiki bleeding haikati😫🤔
mpaka siku kumi na mbili😭😭😭bado tu siku hiyo betty akaja aliomba ruhusa akaja nitembelea tukashinda wote bado akawa ananitia moyo maana mimi nilishaanza kuwa na waswas akanambia usiogope rafiki angu huu ujauzito hautoharibika utazaa salama kabisa na hiyo bleeding itakata akanishika na tumbo akaniombea nkamshukuru kwel kidogo nikapata moyo bas akaaga nikamwambia ngoja nikaoge tukusindikize mimi na wifi maana ilikua jion wif anantembezaga kufanya mazoezi🙏
nikaoga zangu nikabadili pad tukatoka tukamsindikiza betty akarudi kwake mimi na wif tukatembea tembea then tukarud nyumbani ,sasa nkawa kujikagua bleeding nikakuta imekata😳 nkampigia betty wee betty eti ulivyoniombea pale nmekuta bleeding imekata pad haijachafuka masaa matatu sahivi😳 kweli? ndiwo dah..!
ni jambo la kushukuru sana🙏 kwa hili betty sikati tamaa kumbe maombi yanajibiwa eeh? kabisa mimi nashangaa tu wewee mwenyewe waogopa💃
kuanzia leo siogopi chochote wallah vile ata kitokee kitisho gani👌👌 kuanzia apo bleeding haikurudi tena mimba ikafika miezi tisa,siku hiyo nikakaa na wifi nikamuuliza mbona sijawah muona Shem wangu wifi unanbania😹😹
aiii jaman yupo Shem wako ila bado tu hujapata nafas ya kumwona ndo unanibania sasa sio vizuri hvyo wif angu hahah ntakutambulisha........
bas maana mpaka umemuuliza sio mchezo kabisa usijali ila mimi nilitaka nmtambulishe akikaribia taratibu za kunioa kwahyo hata hawa watu wa nyumbani hawamjui ndio hawamjui ila wewe nitakutambulisha wif angu umjue ntafrah sana ...
usijali ila leo mwenzio kiuno na mgongo vinauma itakua unakaribia kujifungua hauna siku nyingi uchungu utakuja weee wif tunaanza kutishana jaman sikutishi ila nasikiaga hivyo sasa unaogopa nini jamani😹😹😹 acha tu naogopa hatar ndo ukubwa huo mama yaan nawaza mno 😿 usiogope mamy
sasa usiku sindo uchungu ukaanza😿nyieee kumbe unauma hivyo😾nikakimbizwa hospital kufika tukapokelewa vizuri ila ghafla uchungu ukakata🥺 mume wangu akaomba likizo ya siku tatu lakini zilipita zote sijajifungua bado😭nilikasirika mimi yaani uchungu unauma unakata😏
nikabaki kulala na wifi zuu mume wangu tukamwambia awe anarudi kulala nyumbani tu ,
.
betty akanambia tumefika fainali lazima tushinde shoga angu 🤸🏻♀️ nkamwambia inashindikana kujifungua naona ntafanyiwa operation😭😭
hapana utajifungua kawaida tu kesho narudi dar nije nikuone shogangu maana alikuwa ameenda kijijini kwetu kumtambulisha mchumba ake,basi kesho yake wakaja na mama angu mzazi kwakuwa walifika usiku wakasema tutakuja asubuhi kukuona,
asubuhi kweli wakaja na mume wangu pia akapitia pale hospital kuniona afu akaenda kazini ,
basi wifi zuu akasema ngoja mimi nirudi nyumban mara moja maana hapo hakurud nyumban hyo ilikuwa siku ya sita alikuwa na mimi tu hospital ,
nkamwambia sawa kwakuwa mama na betty wapo hamna shida akaondoka, basi bhana uchungu ukanishika tena 😭😭😭nkasema najua tu sijifungui wiki nzima hivi hivi nateseka usiseme hivyo bas rafiki angu mimi naamini leo utajifungua tu usipoteze matumaini mama pia akasema utajifungua mwanangu tena salama tunakuombea sana🙏 uchungu ukachachamaa nyie nyieee😭
betty na mama wakasema tunakuombea utajifungua ,basi nikaingizwa labour sasa kila nikipush zinatoka tu damu mtoto kagoma🥺 yaani nilipush mpaka nahisi nakufa leo mara wakawa wanasema amekunywa midawa ya kienyeji nini huyu😏
nikasema hapa nina hati hati ya kufa mimi au mtoto😭😭😭 wakasema nikimbizwe theater kufanyiwa operation wakakamilisha taratibu nfanyiwe operation mume wangu na mama mkwe walikuwa wamefika,
basi wakawa wananipeleka theater kufanyiwa operation yaan nimefika mlango wa theater sijui nguvu za kupush yaan nilijifungulia mlangoni na hapo hapo nikapoteza fahamu🥺
nkaja kushtuka saa mbili usiku nikakuta nipo na mama,mama mkwe na betty wakanipa pole na hongera nimejifungua mtoto wa kike......!
Full story ipo whatsapp leo natoa ofa lipia tsh 2000 kwa airtel money 0782781603 RAHEL BOO kisha ncheki whatsapp kwa namba hiyohiyo
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi


Maoni