Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

CHUMBANI KWETU ๐Ÿ’š9  basi nikamwambia mume wangu akasema twende hospital nikafanyiwa uchunguzi
Gonga94 ยท Stories

CHUMBANI KWETU ๐Ÿ’š9 basi nikamwambia mume wangu akasema twende hospital nikafanyiwa uchunguzi

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
ikaonyesha ujauzito uko sawa,yaan sikuwa na tatizo sasa bleeding ya nini?

๐Ÿ˜” nikawa na waswas sana mimba yangu itaharibika hapana hamna tatizo mke wangu tukarud nyumbani tuone kama itaendelea โœ๐Ÿป ikapita wiki bleeding haikati๐Ÿ˜ซ๐Ÿค”

mpaka siku kumi na mbili๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญbado tu siku hiyo betty akaja aliomba ruhusa akaja nitembelea tukashinda wote bado akawa ananitia moyo maana mimi nilishaanza kuwa na waswas akanambia usiogope rafiki angu huu ujauzito hautoharibika utazaa salama kabisa na hiyo bleeding itakata akanishika na tumbo akaniombea nkamshukuru kwel kidogo nikapata moyo bas akaaga nikamwambia ngoja nikaoge tukusindikize mimi na wifi maana ilikua jion wif anantembezaga kufanya mazoezi๐Ÿ™

nikaoga zangu nikabadili pad tukatoka tukamsindikiza betty akarudi kwake mimi na wif tukatembea tembea then tukarud nyumbani ,sasa nkawa kujikagua bleeding nikakuta imekata๐Ÿ˜ณ nkampigia betty wee betty eti ulivyoniombea pale nmekuta bleeding imekata pad haijachafuka masaa matatu sahivi๐Ÿ˜ณ kweli? ndiwo dah..!

ni jambo la kushukuru sana๐Ÿ™ kwa hili betty sikati tamaa kumbe maombi yanajibiwa eeh? kabisa mimi nashangaa tu wewee mwenyewe waogopa๐Ÿ’ƒ

kuanzia leo siogopi chochote wallah vile ata kitokee kitisho gani๐Ÿ‘Œ๐Ÿ‘Œ kuanzia apo bleeding haikurudi tena mimba ikafika miezi tisa,siku hiyo nikakaa na wifi nikamuuliza mbona sijawah muona Shem wangu wifi unanbania๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น

aiii jaman yupo Shem wako ila bado tu hujapata nafas ya kumwona ndo unanibania sasa sio vizuri hvyo wif angu hahah ntakutambulisha........

bas maana mpaka umemuuliza sio mchezo kabisa usijali ila mimi nilitaka nmtambulishe akikaribia taratibu za kunioa kwahyo hata hawa watu wa nyumbani hawamjui ndio hawamjui ila wewe nitakutambulisha wif angu umjue ntafrah sana ...

usijali ila leo mwenzio kiuno na mgongo vinauma itakua unakaribia kujifungua hauna siku nyingi uchungu utakuja weee wif tunaanza kutishana jaman sikutishi ila nasikiaga hivyo sasa unaogopa nini jamani๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น acha tu naogopa hatar ndo ukubwa huo mama yaan nawaza mno ๐Ÿ˜ฟ usiogope mamy

sasa usiku sindo uchungu ukaanza๐Ÿ˜ฟnyieee kumbe unauma hivyo๐Ÿ˜พnikakimbizwa hospital kufika tukapokelewa vizuri ila ghafla uchungu ukakata๐Ÿฅบ mume wangu akaomba likizo ya siku tatu lakini zilipita zote sijajifungua bado๐Ÿ˜ญnilikasirika mimi yaani uchungu unauma unakata๐Ÿ˜

nikabaki kulala na wifi zuu mume wangu tukamwambia awe anarudi kulala nyumbani tu ,
.
betty akanambia tumefika fainali lazima tushinde shoga angu ๐Ÿคธ๐Ÿปโ€โ™€๏ธ nkamwambia inashindikana kujifungua naona ntafanyiwa operation๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ

hapana utajifungua kawaida tu kesho narudi dar nije nikuone shogangu maana alikuwa ameenda kijijini kwetu kumtambulisha mchumba ake,basi kesho yake wakaja na mama angu mzazi kwakuwa walifika usiku wakasema tutakuja asubuhi kukuona,

asubuhi kweli wakaja na mume wangu pia akapitia pale hospital kuniona afu akaenda kazini ,

basi wifi zuu akasema ngoja mimi nirudi nyumban mara moja maana hapo hakurud nyumban hyo ilikuwa siku ya sita alikuwa na mimi tu hospital ,

nkamwambia sawa kwakuwa mama na betty wapo hamna shida akaondoka, basi bhana uchungu ukanishika tena ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญnkasema najua tu sijifungui wiki nzima hivi hivi nateseka usiseme hivyo bas rafiki angu mimi naamini leo utajifungua tu usipoteze matumaini mama pia akasema utajifungua mwanangu tena salama tunakuombea sana๐Ÿ™ uchungu ukachachamaa nyie nyieee๐Ÿ˜ญ

betty na mama wakasema tunakuombea utajifungua ,basi nikaingizwa labour sasa kila nikipush zinatoka tu damu mtoto kagoma๐Ÿฅบ yaani nilipush mpaka nahisi nakufa leo mara wakawa wanasema amekunywa midawa ya kienyeji nini huyu๐Ÿ˜

nikasema hapa nina hati hati ya kufa mimi au mtoto๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ wakasema nikimbizwe theater kufanyiwa operation wakakamilisha taratibu nfanyiwe operation mume wangu na mama mkwe walikuwa wamefika,

basi wakawa wananipeleka theater kufanyiwa operation yaan nimefika mlango wa theater sijui nguvu za kupush yaan nilijifungulia mlangoni na hapo hapo nikapoteza fahamu๐Ÿฅบ

nkaja kushtuka saa mbili usiku nikakuta nipo na mama,mama mkwe na betty wakanipa pole na hongera nimejifungua mtoto wa kike......!

Full story ipo whatsapp leo natoa ofa lipia tsh 2000 kwa airtel money 0782781603 RAHEL BOO kisha ncheki whatsapp kwa namba hiyohiyo

Maoni

You're not logged in


Tangazo - My true love mwanzo Hadi Mwisho
My true love mwanzo Hadi Mwisho
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

CHUMBANI KWETU ๐Ÿ’š9 basi nikamwambia mume wangu akasema twende hospital nikafanyiwa uchunguzi

ikaonyesha ujauzito uko sawa,yaan sikuwa na tatizo sasa bleeding ya nini?

๐Ÿ˜” nikawa na waswas sana mimba yangu itaharibika hapana hamna tatizo mke wangu tukarud nyumbani tuone kama itaendelea โœ๐Ÿป ikapita wiki bleeding haikati๐Ÿ˜ซ๐Ÿค”

mpaka siku kumi na mbili๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญbado tu siku hiyo betty akaja aliomba ruhusa akaja nitembelea tukashinda wote bado akawa ananitia moyo maana mimi nilishaanza kuwa na waswas akanambia usiogope rafiki angu huu ujauzito hautoharibika utazaa salama kabisa na hiyo bleeding itakata akanishika na tumbo akaniombea nkamshukuru kwel kidogo nikapata moyo bas akaaga nikamwambia ngoja nikaoge tukusindikize mimi na wifi maana ilikua jion wif anantembezaga kufanya mazoezi๐Ÿ™

nikaoga...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/chumbani-kwetu-9-basi-nikamwambia-mume-wangu-akasema-twende-hospital-nikafanyiwa-uchunguzi

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi chumbani-kwetu
CHUMBANI KWETU ๐Ÿ’š 5  nikashtuka๐Ÿ˜ณnimeumbuka cheee....!!!๐Ÿ™„ abeee zima hiyo taa inaniumiza macho nikasema uyu mjinga
CHUMBANI KWETU ๐Ÿ’š 5 nikashtuka๐Ÿ˜ณnimeumbuka cheee....!!!๐Ÿ™„ abeee zima hiyo taa inaniumiza macho nikasema uyu mjinga
CHUMBANI KWETU ๐Ÿ’š 3  basi weekend ikafika,baada ya kunywa chai tukaondoka amani akawaambia wasituhesabu chakula cha mchana tutakula huko huko
CHUMBANI KWETU ๐Ÿ’š 3 basi weekend ikafika,baada ya kunywa chai tukaondoka amani akawaambia wasituhesabu chakula cha mchana tutakula huko huko
CHUMBANI KWETU ๐Ÿ’š 4   basi watu wanaanza kumuonea wivu betty๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ ila nyie jamani nilimpa sababu alikuwa zaidi ya rafiki kwangu kanisaidia mengi,
CHUMBANI KWETU ๐Ÿ’š 4 basi watu wanaanza kumuonea wivu betty๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ ila nyie jamani nilimpa sababu alikuwa zaidi ya rafiki kwangu kanisaidia mengi,
CHUMBANI KWETU ๐Ÿ’š6  nilijuta kabisa๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ alivyomaliza akawa ananipa pole,sa mimi pole inanisaidia nini jamani ,akaenda
CHUMBANI KWETU ๐Ÿ’š6 nilijuta kabisa๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ alivyomaliza akawa ananipa pole,sa mimi pole inanisaidia nini jamani ,akaenda
CHUMBANI KWETU ๐Ÿ’š 8  Mimi naogopa๐Ÿฅบno usiogope hakuna kibaya kitakukuta mmh wakati umesema mauzauza sijui hamna bhana usijali mke wangu, umesikia
CHUMBANI KWETU ๐Ÿ’š 8 Mimi naogopa๐Ÿฅบno usiogope hakuna kibaya kitakukuta mmh wakati umesema mauzauza sijui hamna bhana usijali mke wangu, umesikia
CHUMBANI KWETU ๐Ÿ’š 7  oyaah jafe eeeeeeh...!๐Ÿ—ฃ๐Ÿ’ƒ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ chakulalia hichi hapa mpumzishe makomwe na marumumeti wenu adi kesho๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
CHUMBANI KWETU ๐Ÿ’š 7 oyaah jafe eeeeeeh...!๐Ÿ—ฃ๐Ÿ’ƒ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ chakulalia hichi hapa mpumzishe makomwe na marumumeti wenu adi kesho๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
CHUMBANI KWETU ๐Ÿ’š 2  alikuwa tu mkaka flan smart,ana sifa zote za mwanaume mzuri, handsome, mtanashati๐Ÿ˜˜๐Ÿ˜˜๐Ÿ’ƒnikajisemea
CHUMBANI KWETU ๐Ÿ’š 2 alikuwa tu mkaka flan smart,ana sifa zote za mwanaume mzuri, handsome, mtanashati๐Ÿ˜˜๐Ÿ˜˜๐Ÿ’ƒnikajisemea
CHUMBANI KWETU ๐Ÿ’š 1  naitwa zawadi,story
CHUMBANI KWETU ๐Ÿ’š 1 naitwa zawadi,story
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *Sehemu ya 51 na 52*

*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *Sehemu ya 51 na 52*

1.1K
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 53

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 53

905
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 54 na 55

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 54 na 55

645
SHAMIRA Sehemu ya 48

SHAMIRA Sehemu ya 48

165
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 43  na 44.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 43 na 44.

124
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 41  na 42.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 41 na 42.

103
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda

#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda

7

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.69K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.43K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.82K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.31K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

2.91K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

2.85K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.7K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

2.69K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

2.64K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.58K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 43  na 44. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 43 na 44.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Aseeee kwanza apa kwenye paji nilishonwa nyuzi 6.ni ngumi iyo .yani mkono wa mwanaume tu. Msenge alijua kuniweka alama. Basi nasehemu zengine nilipata mikwaruzo. Nilivimba...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 41  na 42. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 41 na 42.
@majario LIVE

41 MPAKA 42 ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ Mwandishi; lissa wa huru media Basi sasa kuanzia apo. Ndo ukawa mchezo wa baraka kuja kunichukua kinguvu. Yani akinitaka hana maelezo wala ombi. Asubuh nikiamka tu namkuta getini...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 54 na 55 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 54 na 55
@majario LIVE

Daah yani asubuh ile sa 10 ndo nikamwambia basi mke wangu pumzika na mtoto.sasa, zena akanambia sawa mpenzi, na wewe upumzike sasa, nikasema sawa nakupenda sana zena , wewe...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 53 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 53
@majario LIVE

Basi mtoto akiwa anaendelea kunishika shika, daah simu inaitaa, alafu nacheki zena ndo anagonga call ,ahaa nikanyanyuka chapu, nikavuta simu, nikamwambia jalia samahani naomba kuongea na simu, ni simu...

#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda Post Mpya
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda
@majario LIVE

Estaste, Kinondoni baada ya HR Mkuu Mzee Shilatu na msimamizi Steven Diallo kuning'oa kutoka Ebony FM, Iringa. Nikapokelewa na Tom Chilala, Wiltrudies Mutembei @wiltrudiesmutembei kisha wakanikabidhi kwa "Semaji"...

*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *Sehemu ya 51 na 52* Post Mpya
*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *Sehemu ya 51 na 52*
@majario LIVE

Daaaah nilishangaaaa sana kwamba aya mambo yamekujaje kujaje, na mbona sielewi, nikasema mama sijaelewa yani kwamba umesema? , mama akanmbia nilishaongea sana na wewe millan, juu ya suala la wewe...

SHAMIRA Sehemu ya 48 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 48
@majario LIVE

Wassap;0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Akasema mimi pia nimekula njoga nikaoge basi chapi chapu. nikaseโ€‹ma sawa. Kweli mwanaume akaenda kuoga nikabaki nimetulia tu na baada ya mda akatoka akanifata...

Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station. Post Mpya
Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.
@majario LIVE

Binafsi nilikuwa napenda sana vipindi vitatu pale RFA , 1 - Sindano 3 za moto, asubuhi na Fredwaa...!! 2 - Sitosahau na Sky Woker 3 - Showtime bongo moja ya show za...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39  na 40 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39 na 40
@majario LIVE

39 MPAKA 40 ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ Mwandishi; lissa wa huru media Nilitukana kweli kweli kwemye gari umo. Ila barka hakunijibu alikuwa busy na kuendesha gari. Akawa ananipeleka mlandizi ukoo. Nikasema wewe mjinga unaenfa...

BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha! Post Mpya
BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!
@majario LIVE

Nikikupenda mimi inatosha, acha kuwa na presha, acha kuhangaika na ndugu zangu, kama wakikupenda ni ziada tu lakini haibadilishi chochote! Nani alikudanganya kuwa wanapaswa kukupenda! Mimi mwenyewe sina uhakika kama...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 50
@majario LIVE

๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 50
@majario LIVE

๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 48 na 49 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 48 na 49
@majario LIVE

Daaah mchumba ndo kashanikatia simu mi nafanyaje sasa ,basi nikaweka simu pembeni tu, kisha nikapanda kitandani, nikavuta shuka , nikapumzika na asubih sana nikaamkia kazin na mwanangu lbraa,ibra akaniuliza...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38  na 39. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38 na 39.
@majario LIVE

kipande cha 38 ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ Mwandishi; lissa wa huru media Basi ndo hivyo . Nikaikosa ndoa na bwana barka.na nikawa busy na maisha yangu . Na mambo yangu. Na nikazidisha mapenzi tu kwa...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma.
@majario LIVE

36 MPAKA 37 ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ Mwandishi; lissa wa huru media Maua akasema khaaa yani unanitukana mimi. Kwaiyo mimi naweza kuolewa na kaka yangu. Nikasema yaa unaweza sasa kisebengo cha nini. Nakuona sana tangu...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest