CHUMBANI KWETU ๐ 2 alikuwa tu mkaka flan smart,ana sifa zote za mwanaume mzuri, handsome, mtanashati๐๐๐nikajisemea
akaanza tusalimia akamkumbatia mama ake๐ค akaja akampa mkono mzee jabir wakasalimia mara Mzee jabir amlaumu haji kumsalimia Kijijini akajibu majukumu meng amsamehe bure,
akaja nipa mkono mimi mambo? poa mama mkwe akadakia ndo mkeo huyo ooh nashukuru kumfahamu karibu sana asante waitwa nani zawadi ok mimi naitwa amani nashukuru kukufahamu pia ok,
akaondoka zake chumbani ๐คnawaza ndo nimfate au๐๐ค nkatulia tu kidogo ma mkwe akasema eti niende khaaa ma mkwe nae๐ฅบ๐ nikaenda mdogo mdogo nikaingia kwa woga ๐ค nikakuta katoka kuoga yupo kifua wazi na kipens chake anachezea zake simu,
nikakaa zangu kitandani yeye kwenye sofa hana muda na mimi๐คฃ๐คฃ๐ค akalala kabisa wee nikatoka๐๐ nikaenda kukaa na wifi zuu chumbani kwake,
mchana akaamka bas wifi zuu akasema tukale akatuandalia chakula uko uko chumbani tukawa tunakula basi mimi nkawa na aibu ๐ yeye yuko bize anakula uku anachat, mbona hauli akaniuliza nakula ๐ unakula polepole kwanini?
nikajibaraguza nakula๐คฃ๐คฃ๐คฃ usiku ukafika nikawa nawaza leo ntajuta๐ฅบ sa aman alikuwa ameenda nje, nikajikuta nalia wazaz wamenkomesha๐ญ๐ญ๐ญ akaingia mbona unalia?๐ค ha_hamn_a hamna wakati unalia niambie una tatizo gani? bhana ee kwani kusema bei gani๐๐๐ nikamwambia nalia wazaz wangu wamenilazimisha kuolewa kwanza akacheka๐
๐๐ afu akanambia kwahiyo hukutaka kuolewa? ndio๐ ooh pole sana,kwahy unatakaje? hapo ndo ikawa kipengele๐ฅฒ okay sikia usilie mbona ni jambo dogo hilo,weee si hautaki mume? usijali kuhusu hilo wewe kaa tu Kwa amani hapa ukijisikia umechoka au unataka kuondoka niambie nakupa talaka bas so etiii eeeh?
mmmmh nikawaza mbona kirahis๐ณ yaani akaniacha nilale kitandani yeye akalala kwenye sofa ๐ฅณ nikasema au ana matatizo huyu kaka๐๐๐ nkalala mpaka asubuhi hakunifanya chochote๐ณakaamka zake mimi nilikuja shtuka ndo ananiamsha kuniaga anaondoka kazini pia anampitisha anko wake stand arud kijijini๐ฅณ
tukaagana nikamtakia kazi njema,muda kidogo nikaamka na mimi kuoga wifi zuu akaja nisalimia alikuwa ananipenda sana wifi angu, baada ya kumaliza kazi tukawa tumekaa sitting room tunapiga story,mama mkwe akasema anaondoka kwenye mishe zake mjini tukabaki watatu,mimi wifi na dada wa kazi
jioni amani akarudi kazini nikampokea ๐ tukaingia chumbani ,akawa ananiuliza umeshindaje mke wangu salama tu za kazi nzuri kabisa pole na uchovu wa kazi usijali ndo ukubwa,
afu jana nilikwambia usiwe mnyonge kama kuna kitu unataka unaniambia yaan usiwe na huzuni mama ajue sawa ila sikumuelewa mwenzenu Ina maana kwa watu tu_act wanandoa lakini chumbani ni kama kaka na dada,sa nawaza na yeye alilazimishwa kuoa au๐ณ
akasema ataniita roommate nikamuuliza kwanini akasema sababu tunalala chumba kimoja๐hata hiyo siku ya pili pia hakunigusa nyieee๐๐๐
asubuhi nikawa mimi nimewahi kuamka nikatoka nikakuta wifi zuu anadeki wifi unaenda wapi asubuh yote hii nakuja kusaidia kazi mmmh wewe ni bibi harusi bhana utafanya siku zijazo jamani kwa kazi gani hizo nishindwe kufanya wifi aaah..
! hamna bhana ngoja wik iishe ,basi aman akatoka nikambebea bag lake nimsindikize kwenye gari aondoke, mama mkwe akatoka tukasalimiana mama mkwe akasema mkeo hana nguo weekend ufanye mpango ukamnunulie sisi tulimnunulia chache tu akachague mwenyewe sawa hamna shida tutaenda hiyo weekend, si ndio mke wangu ndio wakaondoka
basi week nzima hatukufanya chochote ๐คฃ๐คฃlakini tukiwa sitting room na watu ni mashamsham na kupretend kumbe ndani wala hatugusani๐ sijui aman ana shida gani jamani analala zake kwenye sofa, asubuhi ananiamsha roommate mimi naenda kazini ubaki salama ๐๐๐
ebu ngojeni nirudi kwanza
HAKIKISHA UKIMALIZA KUSOMA UNASHEA ILI USIKOSE SEHEMU INAYOFUATA
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi



Maoni