Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

CHUMBANI KWETU 💚6  nilijuta kabisa😭😭😭 alivyomaliza akawa ananipa pole,sa mimi pole inanisaidia nini jamani ,akaenda
Gonga94 · Stories

CHUMBANI KWETU 💚6 nilijuta kabisa😭😭😭 alivyomaliza akawa ananipa pole,sa mimi pole inanisaidia nini jamani ,akaenda

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
chemsha maji akanikandakanda akanipa na dawa nikameza nikalala na maumivu😭

asubuhi akaamka akaanza nihudumia adi raha 🥰🤣nikamtext betty mwenzio nimeumia😭😭eeh umeanguka au imekuaje,nikamuelezea akanicheka akasema tu pole ndo ukubwa🙄

basi hiyo siku sikutoka nje🤣hata mama na wifi walivyorud akawaambia nmelala2 najisikia vibaya🥺kesho yake pia sikutoka nikaja toka siku ya tatu🤪 basi ilikuwa jumatatu aman alivyorudi kazini akasema jumanne anasafiri anarudi jumapili ,

nikasema sawa akaondoka zake usiku nikaingia zangu kulala mwenyewe nikasema kumbe aman hana tatizo 🙄 nikawa nakumbuka vile alivyokuwa ananifanyia😉😘🙈lakini nikikumbuka maumivu nikasema simchokozi tena🙈 akanitumia sms uwe na usiku mwema roommate, usiache kujifunika nakupenda❤🥰

wee ndo kwanza siku ya kwanza kuona ananambia ananipenda🤣🤣🤣 nikamjibu kwako pia okay,kwahyo hiyo nakupenda hujaioana hya sawa bhana🥲 nakupenda pia🤣🤣🤣mpaka nikuombe jamani hapana na mimi nakupenda ata kama sijakwambia🙃

sawa mama lakini kesho naomba niende kwa rafiki angu🙈maana alisema nisiondoke sehemu bila kumwambia rafiki yupi yule aliyekuja siku Ile ok nenda ila uwe makini sawa
sasa wifi zuu alikuwa anaenda na mama mkwe dukani kwake mimi nikawa nabaki na dada etu wa kazi basi nikamwambia natoka kidogo dada sawa badae ,

nikaenda kwa betty alikuwa anauza duka la vipodozi nikamwambia kazi ulonituma nishamaliza🤣🤣🤣

haya nini tena sawa kilichobaki tuwaze tu kwanini alikuwa hakugusi ata kama hakupend bhana mimi ata sielewi ila tuachane na hayo wewe tulia tu kwenye ndoa yako acha mawazo ya talaka sasa sawa nitaangalia haya mama ,

nikakaa kaa nikarudi nyumbani usiku nikamtumia sms ya usiku mwema aman na mimi nionekane najali eti🤣hata hakujibu nikasema au yupo na mwanamke😭acha roho iniume🤣🙄usingizi nikakosa kila nikijigeuza wapi🥺 nikakesha macho tu😭😭

asubuhi pia hakunitafuta mpaka jioni ndo akanitumia text sorry mke wangu jana nililala nimeona sms yako asubuhi nimeamka haraka haraka tu nimeshindwa kujibu nilikua bize siku nzima now ndo nipo free ata sikumjibu na mimi roho inaniuma hatari😞

jumapili ikafika ni siku ambayo alikuwa anarudi safari nikawa nasaidiana na dada etu kupika ilikuwa mida ya jioni, akafika akatusalimia akaingia chumbani dada akanambia eti niache tu atamalizia mimi niende kumsikiliza aman mimi nilikua nna vihasira vyangu vya wivu😏

nikaingia chumbani yeye yupo bafuni namsikia anaoga anaimba mwenyewe nikasema mbona ana furaha hivi😒basi katoka kwa mwanamke wake uko😂😂 wivu mwengine bhana akatoka za hapa mke wangu nzuri tu mbona umepooza hivyo niko kawaida tu eeh nilikumiss uko maana simu zangu kupokea ni kwa maringo kwanini lakini? ukipiga nakua nimelala mmh sawa mama sio kesi nisharudi sasa sawa karibu asante

basi tukaandaa chakula tukala tukaingia kulala nikapanda zangu kitandani tuli sikutaka kuchokoza nyuki 🐝tena🙄 zawadi zawad abeee ebu amka kwanzaa kuna zawadi zako hapa sijakupa nikaamka akatoa vilikua viatu 👠👡ooh asante ebu jaribu nikajaribu vikawa vimenitosha ulijuaje size yangu mpaka umepatia hivi kwahyo mke angu mwenyewe afu nisijue size yake jamani mmmh kweli?

ndio sawa nashukuru sana usijali mama🥰😘 okay nikaviweka kwenye kabati💃 nikarudi zangu kitandan afu kuanzia leo silali tena mwenyewe mmmh kwanini nilivyokuwa sipo acha nikuwaze uko🙃 unaniwaza nini nilikumiss tu aseee 🙄nikajua nimeyataka makubwa😂😂😂hapana mimi nitalala kwenye sofa tu🙈

hahaha sasa kwanini basi tu au unaogopa tena 🤣🤣🤣 ndio no huwezi umia 🤣mmmh unanidanganya tyu🥺 trust me utoumia nyieee nyieeeee nikasema ebu nijaribu kubanjuka kwa mara ya pili🤸🏻‍♀️🙃 Yan mbona hamkunambia mwenzenu 😂🏃🏼‍♀️ nilienjoy💃😘 kumbe nilikuwa najibana bana na kuchelewa bure🤪

ikapita wiki kama tatu tangu tuanze kujigijigi🤪💃 nikawa siku hiyo mama mkwe alikuwa anakata kata maua🌷🥀 uwani sasa aman nae akaenda huko huko mimi na komwe langu kujitia uzungu nikasema niwapelekee juice🍷

sasa nkawa naenda zangu nkafika mwisho wa ukuta kabla sijatokeza nikasikia wanaongea naona saiv mwanangu una furaha kidogo na umeshazoea

nizoee wapi mama Bado nina uchungu au mpaka nijinyong'onyeshe ndo ujue sipo sawa sio hivyo mwanangu inatakiwa uchukulie hayo ni mapito tu usijikatie tamaa na kwa sasa una mke tayari usiwaze yalopita siwezi yule mwanamke ndo kila kitu nampenda kuliko chochote sasa utafanyaje ndo ishatokea jamani nikasema

eeeh kumbe ana mwanamke mwingine 😭Mimi hanipendi alilazimishwa kunioa na mimi nishampenda nimejiachiaje😭😭😭 sasa kwenye kuchungulia akaniona bhana😂😂 nikakimbia na juice zangu mpaka ndani nikaziweka mezani yaani nikahisi ni nzito kama ndoo za maji🥺hasira imenikaba aman akaingia zawadi..!?

akajua tu nilisikia walichoongea nikamuangalia tu😡nkampita nikaenda zangu chumbani😭 nae akaja zawadi mke wangu usifikirie vibaya kwa uliyoskia mimi sijasikia chochote

🥺hapana najua naomba nikuelezee sijasikia chochote naomba uniache sawa ukiwa sawa utanambia nikakaa zangu kimya,basi usiku tukawa tunakula mezani na mama mkwe yaani apo sina hata mood hasira imenikabaje 😡

kidogo nikasikia kichefuchefu 🤢nikakimbia nje kutapika🤮 mume wangu akaja una tatizo gani hamna kitu najisikia tu vibaya 😰pole asante nikarudi ndani mama mkwe nae akawa ananiuliza unaumwa zawadi?

ndio mama najisikia homa pole basi kesho wifi ako akupeleke hospital maana hizi homa sio za kuzichekea sawa mama nitaenda nikaingia kulala zawadi au una mimba?

mimba?mimi sina mimba...!🥺 au ninayo maana nilikuwa hata sijui dalili kwakweli🙄 kama ninayo itakuaje🥺🥺na vile amani ana mwanamke wake mimi kumbe hanipendi😭😭😭 basi nikalala zangu akawa amenikumbatia mimi ata sina hamu nae🥲

akanimbembeleza akaongea wee mimi hata sikumsikia tena nikapitiwa na usingizi,asubuhi nikaamka nikamsikia anaongea bafuni nikanyata🚶‍♀nikawa nasikiliza anaongea mwenyew mara sijui nmekumiss yaani kama anabembeleza mtu ,afu sauti yake ikawa inatoka kama analia😒 nikasema kaenda kuongelea na simu bafuni😭😭😭😭 nyiee roho inauma,

nikarudi bhana nikakaa kitandani sa nikaona kuna droo moja huwa anaifunga siku hiyo nikakuta ipo wazi nikaenda angalia anawekaga nini...!!

nikakuta kuna makadi na picha ipo kwenye frem,ni yeye na mdada nikasema kumbe ndo mwanamke wake huyu😭ghafla akatoka bafuni akakuta nimeshika Ile picha🙄 wewe zawadi umeichukua yaniniiii? mimi alinitia hasira nikaibamiza chini nikaipasua😡🥺 akanichapa kofi kwamba kwanini napasua picha😭😭😭😭😭

itaendelea ✍🏻💃😂

LEO WEEKAND natoa ofa lipia tsh 3500 kwa airtel money 0782781603 RAHEL BOO kisha ncheki whatsapp kwa namba hiyohiyo nikutumie yoteee

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

CHUMBANI KWETU 💚6 nilijuta kabisa😭😭😭 alivyomaliza akawa ananipa pole,sa mimi pole inanisaidia nini jamani ,akaenda

chemsha maji akanikandakanda akanipa na dawa nikameza nikalala na maumivu😭

asubuhi akaamka akaanza nihudumia adi raha 🥰🤣nikamtext betty mwenzio nimeumia😭😭eeh umeanguka au imekuaje,nikamuelezea akanicheka akasema tu pole ndo ukubwa🙄

basi hiyo siku sikutoka nje🤣hata mama na wifi walivyorud akawaambia nmelala2 najisikia vibaya🥺kesho yake pia sikutoka nikaja toka siku ya tatu🤪 basi ilikuwa jumatatu aman alivyorudi kazini akasema jumanne anasafiri anarudi jumapili ,

nikasema sawa akaondoka zake usiku nikaingia zangu kulala mwenyewe nikasema kumbe aman hana tatizo 🙄 nikawa nakumbuka vile alivyokuwa ananifanyia😉😘🙈lakini nikikumbuka maumivu nikasema simchokozi tena🙈 akanitumia sms uwe na usiku mwema roommate, usiache kujifunika nakupenda❤🥰

wee ndo...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/chumbani-kwetu-6-nilijuta-kabisa-alivyomaliza-akawa-ananipa-pole-sa-mimi-pole-inanisaidia-nini-jaman

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi chumbani-kwetu
CHUMBANI KWETU 💚 5  nikashtuka😳nimeumbuka cheee....!!!🙄 abeee zima hiyo taa inaniumiza macho nikasema uyu mjinga
CHUMBANI KWETU 💚 5 nikashtuka😳nimeumbuka cheee....!!!🙄 abeee zima hiyo taa inaniumiza macho nikasema uyu mjinga
CHUMBANI KWETU 💚 3  basi weekend ikafika,baada ya kunywa chai tukaondoka amani akawaambia wasituhesabu chakula cha mchana tutakula huko huko
CHUMBANI KWETU 💚 3 basi weekend ikafika,baada ya kunywa chai tukaondoka amani akawaambia wasituhesabu chakula cha mchana tutakula huko huko
CHUMBANI KWETU 💚 4   basi watu wanaanza kumuonea wivu betty🤣🤣🤣 ila nyie jamani nilimpa sababu alikuwa zaidi ya rafiki kwangu kanisaidia mengi,
CHUMBANI KWETU 💚 4 basi watu wanaanza kumuonea wivu betty🤣🤣🤣 ila nyie jamani nilimpa sababu alikuwa zaidi ya rafiki kwangu kanisaidia mengi,
CHUMBANI KWETU 💚9  basi nikamwambia mume wangu akasema twende hospital nikafanyiwa uchunguzi
CHUMBANI KWETU 💚9 basi nikamwambia mume wangu akasema twende hospital nikafanyiwa uchunguzi
CHUMBANI KWETU 💚 8  Mimi naogopa🥺no usiogope hakuna kibaya kitakukuta mmh wakati umesema mauzauza sijui hamna bhana usijali mke wangu, umesikia
CHUMBANI KWETU 💚 8 Mimi naogopa🥺no usiogope hakuna kibaya kitakukuta mmh wakati umesema mauzauza sijui hamna bhana usijali mke wangu, umesikia
CHUMBANI KWETU 💚 7  oyaah jafe eeeeeeh...!🗣💃🤣🤣🤣 chakulalia hichi hapa mpumzishe makomwe na marumumeti wenu adi kesho🤣🤣🤣
CHUMBANI KWETU 💚 7 oyaah jafe eeeeeeh...!🗣💃🤣🤣🤣 chakulalia hichi hapa mpumzishe makomwe na marumumeti wenu adi kesho🤣🤣🤣
CHUMBANI KWETU 💚 2  alikuwa tu mkaka flan smart,ana sifa zote za mwanaume mzuri, handsome, mtanashati😘😘💃nikajisemea
CHUMBANI KWETU 💚 2 alikuwa tu mkaka flan smart,ana sifa zote za mwanaume mzuri, handsome, mtanashati😘😘💃nikajisemea
CHUMBANI KWETU 💚 1  naitwa zawadi,story
CHUMBANI KWETU 💚 1 naitwa zawadi,story
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

1.06K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

839
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma

MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma

678
MIMI SIKUACHI🥰  SEHEMU YA 56...57

MIMI SIKUACHI🥰 SEHEMU YA 56...57

530
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 66...67💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 66...67💘💘

525
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 68...69💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 68...69💘💘

468
MIMI SIKUACHI🥰  SEHEMU YA 58

MIMI SIKUACHI🥰 SEHEMU YA 58

439
REALLY LOVE* Chapter 19

REALLY LOVE* Chapter 19

255
MY CRAZY BOSS 06

MY CRAZY BOSS 06

118
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 7

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 7

110

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.2K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.93K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.69K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.1K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.48K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.42K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.32K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.31K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.26K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.18K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MY CRAZY BOSS 07 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 07
@majario LIVE

SONGA NAYO Asubuhi wa kwanza kuamka nilikuwa mimi,nilijikuta na uchovu wa ajabu sana,nikaona niamke nielekeee chooni kukojoa Ile natoka tu kwenye shuka 😳😳nikagundua nipo uchi wa mnyama🥲hapo ndo akili ikanirudi nikagundua yaliyojiri...

MIMI SIKUACHI🥰  SEHEMU YA 58 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 SEHEMU YA 58
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Wakati nawaza pale akaja yule muuzaji na baadhi ya sampo ya vitu vya kike vya gharama kweli dah mfukoni pesa ya kufosi na uhakika wa kupokelewa zawadi sina ila fresh...

*ZAWADI YA RAMADH'AN* 1 - 3 Post Mpya
*ZAWADI YA RAMADH'AN* 1 - 3
@majario LIVE

SEHEMU YA...... 1 ilikuwa ni majira ya Jioni nyumbani kwa Kijana Tajiri aliefahamika kwa jina la ABDUL. Kijana ambae alijaaliwa kuwa msomi na kuweza Kupata kazi Nzuri. Hali ile ilimpelekea kuishi nyumba moja...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 7 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 7
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Hatimae mda wa vipindi ulianza na siku hii nilikuwa na kipindi cha asubuhi kwa kidato cha tatu nilikuwa natakiwa kwenda kuwafundisha geography Basi nikaelekea darasani, kufika humo nakuta wanafunzi hawatulii...

MY WANGU❤️ sehemu ya 108 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 108
@majario LIVE

Mh na mimi nikaanza kulia. Aseeee hakukuwa na kuoga tena. Mana niliona mlige . Anazidi kulia na ata simuelewi tena..ikabidi mimi ndo nijikaze sasa. Nikafunga bomba. Nikachukua taulo...

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 68...69💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 68...69💘💘
@majario LIVE

Ni nani jina la huyo mwanamke aliyejifungua?! Nilimuuliza eve aliniambia jina lake ni lia Stanley.... lia lia lia...... kwanini huachi ndoa yangu ikawa na amani nikufanyie nini ewe mwanamke ili...

What’s a German food you could eat every day and never get tired of? English Post Mpya
What’s a German food you could eat every day and never get tired of? English
@majario LIVE

If I had to choose one German food I could eat every day and never get tired of, it would be Brötchen—those small, crusty bread rolls that are everywhere in...

MIAKA 7 ya Ndoa Mke wangu ana ujauzito mwingine ambao si wangu! Post Mpya
MIAKA 7 ya Ndoa Mke wangu ana ujauzito mwingine ambao si wangu!
@majario LIVE

Mimi ni kijana wa miaka 36, nimeoa na ndoa yangu ina miaka 7 sasa, binafsi sijabahatika kupata mtoto. Kama kawaida huko mwanzoni nilijua kuwa matatizo ni ya mke wangu, akawa...

When Saif Ali Khan married Amrita Singh in 1991, it honestly felt like Bollywood didn’t see it coming. A 12-year age gap Post Mpya
When Saif Ali Khan married Amrita Singh in 1991, it honestly felt like Bollywood didn’t see it coming. A 12-year age gap
@majario LIVE

, totally different career phases, and zero interest in pleasing society—it was bold for that time. There was no big media circus, no flashy wedding photos splashed everywhere. Just a...

Sad news from the film fraternity 💔  Veteran actress Pravina Deshpande has passed away at the age of 60 Post Mpya
Sad news from the film fraternity 💔 Veteran actress Pravina Deshpande has passed away at the age of 60
@majario LIVE

. She was known for her performances in films like Ready, Jalebi, and Taskaree, leaving behind memorable moments on screen. An artist gone, but her work will continue to live on 🎬✨ May...

Boost Earnings from Your DE Traffic & Grab Your Bonus! Image #1 Post Mpya
Boost Earnings from Your DE Traffic & Grab Your Bonus! Image #1
@majario LIVE

This week, all eyes are on Germany! Why? Because you can earn a 10% bonus when you increase your Germany earnings by 25% or more compared to the previous week. What...

MY CRAZY BOSS 06 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 06
@majario LIVE

Majira ya saa saba yalifika ambapo mimi na boss tuliongozana wote hadi kwenye kikao Kama ilivyodesturi boss wangu yupo smart kweli kweli, watu wote wanamwogopa na kumuheshimu hana masihars kabisa kwenye...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 66...67💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 66...67💘💘
@majario LIVE

Mmmhhhh namba ni ya nani hii😪😪 yani saizi huyu mwanaume simuachi hata kitokee kitu gani🌚🌚 yani nasemaje nitampenda yeye na hao mademu zake sina muda wa kuanza kutafuta mahusiano mapya...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 6 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 6
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Nikashangaa amepiga magoti chini akafungua chupa ya maji akamaliza akjimiminia mdomoni, mimi kwangu yalikuwa mageni kabisa sijawahi kuona mtu anakunywa maji kwa staili hiyo Basi alipomaliza kunywa maji akarudi kukaa...

MIMI SIKUACHI🥰  SEHEMU YA 56...57 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 SEHEMU YA 56...57
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Basi mwanaume nikawa nawaza tu haka katoto haka katakuja kupenda pesa kinoma na wivu kama wote😂😂😂kanasukuma wenzie kabisa hakataki wasogelee simu ila nilitokea kukapenda sana maana nakenyewe kalikuwa active sana...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest