Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

CHUMBANI KWETU 💚6  nilijuta kabisa😭😭😭 alivyomaliza akawa ananipa pole,sa mimi pole inanisaidia nini jamani ,akaenda
Gonga94 · Stories

CHUMBANI KWETU 💚6 nilijuta kabisa😭😭😭 alivyomaliza akawa ananipa pole,sa mimi pole inanisaidia nini jamani ,akaenda

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
chemsha maji akanikandakanda akanipa na dawa nikameza nikalala na maumivu😭

asubuhi akaamka akaanza nihudumia adi raha 🥰🤣nikamtext betty mwenzio nimeumia😭😭eeh umeanguka au imekuaje,nikamuelezea akanicheka akasema tu pole ndo ukubwa🙄

basi hiyo siku sikutoka nje🤣hata mama na wifi walivyorud akawaambia nmelala2 najisikia vibaya🥺kesho yake pia sikutoka nikaja toka siku ya tatu🤪 basi ilikuwa jumatatu aman alivyorudi kazini akasema jumanne anasafiri anarudi jumapili ,

nikasema sawa akaondoka zake usiku nikaingia zangu kulala mwenyewe nikasema kumbe aman hana tatizo 🙄 nikawa nakumbuka vile alivyokuwa ananifanyia😉😘🙈lakini nikikumbuka maumivu nikasema simchokozi tena🙈 akanitumia sms uwe na usiku mwema roommate, usiache kujifunika nakupenda❤🥰

wee ndo kwanza siku ya kwanza kuona ananambia ananipenda🤣🤣🤣 nikamjibu kwako pia okay,kwahyo hiyo nakupenda hujaioana hya sawa bhana🥲 nakupenda pia🤣🤣🤣mpaka nikuombe jamani hapana na mimi nakupenda ata kama sijakwambia🙃

sawa mama lakini kesho naomba niende kwa rafiki angu🙈maana alisema nisiondoke sehemu bila kumwambia rafiki yupi yule aliyekuja siku Ile ok nenda ila uwe makini sawa
sasa wifi zuu alikuwa anaenda na mama mkwe dukani kwake mimi nikawa nabaki na dada etu wa kazi basi nikamwambia natoka kidogo dada sawa badae ,

nikaenda kwa betty alikuwa anauza duka la vipodozi nikamwambia kazi ulonituma nishamaliza🤣🤣🤣

haya nini tena sawa kilichobaki tuwaze tu kwanini alikuwa hakugusi ata kama hakupend bhana mimi ata sielewi ila tuachane na hayo wewe tulia tu kwenye ndoa yako acha mawazo ya talaka sasa sawa nitaangalia haya mama ,

nikakaa kaa nikarudi nyumbani usiku nikamtumia sms ya usiku mwema aman na mimi nionekane najali eti🤣hata hakujibu nikasema au yupo na mwanamke😭acha roho iniume🤣🙄usingizi nikakosa kila nikijigeuza wapi🥺 nikakesha macho tu😭😭

asubuhi pia hakunitafuta mpaka jioni ndo akanitumia text sorry mke wangu jana nililala nimeona sms yako asubuhi nimeamka haraka haraka tu nimeshindwa kujibu nilikua bize siku nzima now ndo nipo free ata sikumjibu na mimi roho inaniuma hatari😞

jumapili ikafika ni siku ambayo alikuwa anarudi safari nikawa nasaidiana na dada etu kupika ilikuwa mida ya jioni, akafika akatusalimia akaingia chumbani dada akanambia eti niache tu atamalizia mimi niende kumsikiliza aman mimi nilikua nna vihasira vyangu vya wivu😏

nikaingia chumbani yeye yupo bafuni namsikia anaoga anaimba mwenyewe nikasema mbona ana furaha hivi😒basi katoka kwa mwanamke wake uko😂😂 wivu mwengine bhana akatoka za hapa mke wangu nzuri tu mbona umepooza hivyo niko kawaida tu eeh nilikumiss uko maana simu zangu kupokea ni kwa maringo kwanini lakini? ukipiga nakua nimelala mmh sawa mama sio kesi nisharudi sasa sawa karibu asante

basi tukaandaa chakula tukala tukaingia kulala nikapanda zangu kitandani tuli sikutaka kuchokoza nyuki 🐝tena🙄 zawadi zawad abeee ebu amka kwanzaa kuna zawadi zako hapa sijakupa nikaamka akatoa vilikua viatu 👠👡ooh asante ebu jaribu nikajaribu vikawa vimenitosha ulijuaje size yangu mpaka umepatia hivi kwahyo mke angu mwenyewe afu nisijue size yake jamani mmmh kweli?

ndio sawa nashukuru sana usijali mama🥰😘 okay nikaviweka kwenye kabati💃 nikarudi zangu kitandan afu kuanzia leo silali tena mwenyewe mmmh kwanini nilivyokuwa sipo acha nikuwaze uko🙃 unaniwaza nini nilikumiss tu aseee 🙄nikajua nimeyataka makubwa😂😂😂hapana mimi nitalala kwenye sofa tu🙈

hahaha sasa kwanini basi tu au unaogopa tena 🤣🤣🤣 ndio no huwezi umia 🤣mmmh unanidanganya tyu🥺 trust me utoumia nyieee nyieeeee nikasema ebu nijaribu kubanjuka kwa mara ya pili🤸🏻‍♀️🙃 Yan mbona hamkunambia mwenzenu 😂🏃🏼‍♀️ nilienjoy💃😘 kumbe nilikuwa najibana bana na kuchelewa bure🤪

ikapita wiki kama tatu tangu tuanze kujigijigi🤪💃 nikawa siku hiyo mama mkwe alikuwa anakata kata maua🌷🥀 uwani sasa aman nae akaenda huko huko mimi na komwe langu kujitia uzungu nikasema niwapelekee juice🍷

sasa nkawa naenda zangu nkafika mwisho wa ukuta kabla sijatokeza nikasikia wanaongea naona saiv mwanangu una furaha kidogo na umeshazoea

nizoee wapi mama Bado nina uchungu au mpaka nijinyong'onyeshe ndo ujue sipo sawa sio hivyo mwanangu inatakiwa uchukulie hayo ni mapito tu usijikatie tamaa na kwa sasa una mke tayari usiwaze yalopita siwezi yule mwanamke ndo kila kitu nampenda kuliko chochote sasa utafanyaje ndo ishatokea jamani nikasema

eeeh kumbe ana mwanamke mwingine 😭Mimi hanipendi alilazimishwa kunioa na mimi nishampenda nimejiachiaje😭😭😭 sasa kwenye kuchungulia akaniona bhana😂😂 nikakimbia na juice zangu mpaka ndani nikaziweka mezani yaani nikahisi ni nzito kama ndoo za maji🥺hasira imenikaba aman akaingia zawadi..!?

akajua tu nilisikia walichoongea nikamuangalia tu😡nkampita nikaenda zangu chumbani😭 nae akaja zawadi mke wangu usifikirie vibaya kwa uliyoskia mimi sijasikia chochote

🥺hapana najua naomba nikuelezee sijasikia chochote naomba uniache sawa ukiwa sawa utanambia nikakaa zangu kimya,basi usiku tukawa tunakula mezani na mama mkwe yaani apo sina hata mood hasira imenikabaje 😡

kidogo nikasikia kichefuchefu 🤢nikakimbia nje kutapika🤮 mume wangu akaja una tatizo gani hamna kitu najisikia tu vibaya 😰pole asante nikarudi ndani mama mkwe nae akawa ananiuliza unaumwa zawadi?

ndio mama najisikia homa pole basi kesho wifi ako akupeleke hospital maana hizi homa sio za kuzichekea sawa mama nitaenda nikaingia kulala zawadi au una mimba?

mimba?mimi sina mimba...!🥺 au ninayo maana nilikuwa hata sijui dalili kwakweli🙄 kama ninayo itakuaje🥺🥺na vile amani ana mwanamke wake mimi kumbe hanipendi😭😭😭 basi nikalala zangu akawa amenikumbatia mimi ata sina hamu nae🥲

akanimbembeleza akaongea wee mimi hata sikumsikia tena nikapitiwa na usingizi,asubuhi nikaamka nikamsikia anaongea bafuni nikanyata🚶‍♀nikawa nasikiliza anaongea mwenyew mara sijui nmekumiss yaani kama anabembeleza mtu ,afu sauti yake ikawa inatoka kama analia😒 nikasema kaenda kuongelea na simu bafuni😭😭😭😭 nyiee roho inauma,

nikarudi bhana nikakaa kitandani sa nikaona kuna droo moja huwa anaifunga siku hiyo nikakuta ipo wazi nikaenda angalia anawekaga nini...!!

nikakuta kuna makadi na picha ipo kwenye frem,ni yeye na mdada nikasema kumbe ndo mwanamke wake huyu😭ghafla akatoka bafuni akakuta nimeshika Ile picha🙄 wewe zawadi umeichukua yaniniiii? mimi alinitia hasira nikaibamiza chini nikaipasua😡🥺 akanichapa kofi kwamba kwanini napasua picha😭😭😭😭😭

itaendelea ✍🏻💃😂

LEO WEEKAND natoa ofa lipia tsh 3500 kwa airtel money 0782781603 RAHEL BOO kisha ncheki whatsapp kwa namba hiyohiyo nikutumie yoteee

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

CHUMBANI KWETU 💚6 nilijuta kabisa😭😭😭 alivyomaliza akawa ananipa pole,sa mimi pole inanisaidia nini jamani ,akaenda

chemsha maji akanikandakanda akanipa na dawa nikameza nikalala na maumivu😭

asubuhi akaamka akaanza nihudumia adi raha 🥰🤣nikamtext betty mwenzio nimeumia😭😭eeh umeanguka au imekuaje,nikamuelezea akanicheka akasema tu pole ndo ukubwa🙄

basi hiyo siku sikutoka nje🤣hata mama na wifi walivyorud akawaambia nmelala2 najisikia vibaya🥺kesho yake pia sikutoka nikaja toka siku ya tatu🤪 basi ilikuwa jumatatu aman alivyorudi kazini akasema jumanne anasafiri anarudi jumapili ,

nikasema sawa akaondoka zake usiku nikaingia zangu kulala mwenyewe nikasema kumbe aman hana tatizo 🙄 nikawa nakumbuka vile alivyokuwa ananifanyia😉😘🙈lakini nikikumbuka maumivu nikasema simchokozi tena🙈 akanitumia sms uwe na usiku mwema roommate, usiache kujifunika nakupenda❤🥰

wee ndo...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/chumbani-kwetu-6-nilijuta-kabisa-alivyomaliza-akawa-ananipa-pole-sa-mimi-pole-inanisaidia-nini-jaman

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi chumbani-kwetu
CHUMBANI KWETU 💚 5  nikashtuka😳nimeumbuka cheee....!!!🙄 abeee zima hiyo taa inaniumiza macho nikasema uyu mjinga
CHUMBANI KWETU 💚 5 nikashtuka😳nimeumbuka cheee....!!!🙄 abeee zima hiyo taa inaniumiza macho nikasema uyu mjinga
CHUMBANI KWETU 💚 3  basi weekend ikafika,baada ya kunywa chai tukaondoka amani akawaambia wasituhesabu chakula cha mchana tutakula huko huko
CHUMBANI KWETU 💚 3 basi weekend ikafika,baada ya kunywa chai tukaondoka amani akawaambia wasituhesabu chakula cha mchana tutakula huko huko
CHUMBANI KWETU 💚 4   basi watu wanaanza kumuonea wivu betty🤣🤣🤣 ila nyie jamani nilimpa sababu alikuwa zaidi ya rafiki kwangu kanisaidia mengi,
CHUMBANI KWETU 💚 4 basi watu wanaanza kumuonea wivu betty🤣🤣🤣 ila nyie jamani nilimpa sababu alikuwa zaidi ya rafiki kwangu kanisaidia mengi,
CHUMBANI KWETU 💚9  basi nikamwambia mume wangu akasema twende hospital nikafanyiwa uchunguzi
CHUMBANI KWETU 💚9 basi nikamwambia mume wangu akasema twende hospital nikafanyiwa uchunguzi
CHUMBANI KWETU 💚 8  Mimi naogopa🥺no usiogope hakuna kibaya kitakukuta mmh wakati umesema mauzauza sijui hamna bhana usijali mke wangu, umesikia
CHUMBANI KWETU 💚 8 Mimi naogopa🥺no usiogope hakuna kibaya kitakukuta mmh wakati umesema mauzauza sijui hamna bhana usijali mke wangu, umesikia
CHUMBANI KWETU 💚 7  oyaah jafe eeeeeeh...!🗣💃🤣🤣🤣 chakulalia hichi hapa mpumzishe makomwe na marumumeti wenu adi kesho🤣🤣🤣
CHUMBANI KWETU 💚 7 oyaah jafe eeeeeeh...!🗣💃🤣🤣🤣 chakulalia hichi hapa mpumzishe makomwe na marumumeti wenu adi kesho🤣🤣🤣
CHUMBANI KWETU 💚 2  alikuwa tu mkaka flan smart,ana sifa zote za mwanaume mzuri, handsome, mtanashati😘😘💃nikajisemea
CHUMBANI KWETU 💚 2 alikuwa tu mkaka flan smart,ana sifa zote za mwanaume mzuri, handsome, mtanashati😘😘💃nikajisemea
CHUMBANI KWETU 💚 1  naitwa zawadi,story
CHUMBANI KWETU 💚 1 naitwa zawadi,story
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*

*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*

1.1K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 53

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 53

906
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 54 na 55

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 54 na 55

648
SHAMIRA Sehemu ya 48

SHAMIRA Sehemu ya 48

165
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 43  na 44.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 43 na 44.

124
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 41  na 42.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 41 na 42.

103
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda

#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda

7

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.69K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.43K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.82K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.31K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.91K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.85K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.7K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.69K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.64K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.58K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 43  na 44. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 43 na 44.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Aseeee kwanza apa kwenye paji nilishonwa nyuzi 6.ni ngumi iyo .yani mkono wa mwanaume tu. Msenge alijua kuniweka alama. Basi nasehemu zengine nilipata mikwaruzo. Nilivimba...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 41  na 42. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 41 na 42.
@majario LIVE

41 MPAKA 42 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi sasa kuanzia apo. Ndo ukawa mchezo wa baraka kuja kunichukua kinguvu. Yani akinitaka hana maelezo wala ombi. Asubuh nikiamka tu namkuta getini...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 54 na 55 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 54 na 55
@majario LIVE

Daah yani asubuh ile sa 10 ndo nikamwambia basi mke wangu pumzika na mtoto.sasa, zena akanambia sawa mpenzi, na wewe upumzike sasa, nikasema sawa nakupenda sana zena , wewe...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 53 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 53
@majario LIVE

Basi mtoto akiwa anaendelea kunishika shika, daah simu inaitaa, alafu nacheki zena ndo anagonga call ,ahaa nikanyanyuka chapu, nikavuta simu, nikamwambia jalia samahani naomba kuongea na simu, ni simu...

#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda Post Mpya
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda
@majario LIVE

Estaste, Kinondoni baada ya HR Mkuu Mzee Shilatu na msimamizi Steven Diallo kuning'oa kutoka Ebony FM, Iringa. Nikapokelewa na Tom Chilala, Wiltrudies Mutembei @wiltrudiesmutembei kisha wakanikabidhi kwa "Semaji"...

*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*
@majario LIVE

Daaaah nilishangaaaa sana kwamba aya mambo yamekujaje kujaje, na mbona sielewi, nikasema mama sijaelewa yani kwamba umesema? , mama akanmbia nilishaongea sana na wewe millan, juu ya suala la wewe...

SHAMIRA Sehemu ya 48 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 48
@majario LIVE

Wassap;0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Akasema mimi pia nimekula njoga nikaoge basi chapi chapu. nikase​ma sawa. Kweli mwanaume akaenda kuoga nikabaki nimetulia tu na baada ya mda akatoka akanifata...

Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station. Post Mpya
Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.
@majario LIVE

Binafsi nilikuwa napenda sana vipindi vitatu pale RFA , 1 - Sindano 3 za moto, asubuhi na Fredwaa...!! 2 - Sitosahau na Sky Woker 3 - Showtime bongo moja ya show za...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39  na 40 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39 na 40
@majario LIVE

39 MPAKA 40 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Nilitukana kweli kweli kwemye gari umo. Ila barka hakunijibu alikuwa busy na kuendesha gari. Akawa ananipeleka mlandizi ukoo. Nikasema wewe mjinga unaenfa...

BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha! Post Mpya
BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!
@majario LIVE

Nikikupenda mimi inatosha, acha kuwa na presha, acha kuhangaika na ndugu zangu, kama wakikupenda ni ziada tu lakini haibadilishi chochote! Nani alikudanganya kuwa wanapaswa kukupenda! Mimi mwenyewe sina uhakika kama...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49
@majario LIVE

Daaah mchumba ndo kashanikatia simu mi nafanyaje sasa ,basi nikaweka simu pembeni tu, kisha nikapanda kitandani, nikavuta shuka , nikapumzika na asubih sana nikaamkia kazin na mwanangu lbraa,ibra akaniuliza...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38  na 39. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38 na 39.
@majario LIVE

kipande cha 38 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi ndo hivyo . Nikaikosa ndoa na bwana barka.na nikawa busy na maisha yangu . Na mambo yangu. Na nikazidisha mapenzi tu kwa...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma.
@majario LIVE

36 MPAKA 37 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Maua akasema khaaa yani unanitukana mimi. Kwaiyo mimi naweza kuolewa na kaka yangu. Nikasema yaa unaweza sasa kisebengo cha nini. Nakuona sana tangu...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest