Menu






Sema Jambo 2025

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94
  gonga94 official track
Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili

GENERAL SILI SILALI JUU YAKO  SEHEMU YA 12 Nilipoweka vocha  kisha nilienda chumbani kwangu,  nikachukua kadi ya General

19th Dec, 2025 Views 157

na kumpigia kwani nilikuwa nimemiss sana,  simu iliita kwa muda sana,   kisha ilikuja kupokelewa na mdada:



"Hallow"



"Hallow samahani  naweza kuongea na  Ethane?


"Wewe ninani yake"


"Mimi nimpenzi wake"


Yule dada alicheka na kisha akaniambia:


"Ooh! Pole kipenzi  ndio unajidanganya hivyo eeh!?


Kiukweli nilichukia na kukata simu kwa hasira sana huwa nimwepesi wa kupaniki,   nilichukia hadi nilikuwa natetemeka yaani,    nilianza kulia na kujilaumu kwanini nilikurupuka kuingia kwenye mahusiano  na mtu nisiemjua vizuri mimi,    nilichukia sana,    baadae nikiwa nimejipumzisha  huku ninalia tuu simu yangu iliita tena,  kutizama ninamba ya General Ethane,    sikutaka kuipokea  kabisa kwani sikutaka kuumia tena,   hivyo nikaizima kabisa simu na kuiweka kwenye box lake,     kabla ya kulala shangazi huwa anapenda kuja kunitizama, akaniukuta nipo kwenye hali mbaya kabisa yaani nalia sana,  akanikumbatia na kuniuliza:


"Laura kipenzi changu nini tena tulikuwa nafuraha sio muda?


Nilishindwa hata kumjibu nilikuwa nalia tuu,  akaniuliza:


"Simu yako ipo wapi kipenzi"


Nikamuonyesha ipo kwenye box,  na kisha aliichukua na kuiwasha,  akakuta msg kibao zinaingia zilikuwa zinasema:


"Kama ni Laura tafadhari usichukie,  hawa watu hupenda utani tupo nao hapa kambini,   tafadhari washa simu  mimi Ethane nimekumis sana Laura"


Kisha shangazi akanionyesha hiyo msg.   na kuniambia:


"Kwani humuamini mpenzi wako kipenzi?


"Namuamini ila mama simjui sana,   ndio naanza kumzoea kwa mazingira ya nje,   lakini kambini tulipotoka yuko vizuri hana tabia mbaya"


"Ok  basi  kama kweli unampenda usiogope kitu pambania penzi lako kipenzi changu,   na usitake kujua ya nyuma kumuhusu  angalia mwendelezo wa mapenzi yenu tuu sawa kipenzi changu, haya chukua simu mpigie sasa hivi"


"Sawa mama"


Nilichukua simu na kumpigia kisha General alipokea nakusema:


"Hallow"


"Hallow"


"Laura?


"Ndio nimimi Ethane"


"Samahani kwa kilichotokea mpenzi wangu,  ni wenzangu huwa tunataniana hapa,  nisamehe haitojirudia tena"


"Sawa"


Shangazi alitabasam na kunibusu kwenye paji la uso,   kisha akanipungia mkono na kwenda zake  chumbani kwake,  nilibaki pekeangu niongee kwa uhuru:


"Vipi niambie kuhusu mjomba,   nini kilitokea  amekuelewa?


"Shangazi yangu kanisaidia kuongea nae yameisha sasa,   mjomba wangu huwa anahasira sana,  ila usijari yameisha sasa"


"Nashukuru mungu kwa hilo,  haya niambie mpenzi wangu,  maana  ninahamu  ya  kuwa nawewe tuu muda mwingi"



Nilitabasam kusikia hivyo na kisha nilimjibu:


"Unishindi mimi  kiukweli siwezi kukaa mbali nawewe,   mpenzi tafadhari  mimi utani wa namna hiyo mlioniletea leo siuwezi,    mtakuja kuniua mimi nakuambia usijiludie tena"


"Sawa mpenzi wangu"


"Ninakupenda sana Ethane wangu"


"Ninakupenda pia Laura kipenzi,  umeisha lala tayaru"


"Nipo chumbani kwangu tayari kwa kulala vipi wewe"


"Nipo kitandani pia"


"Ehee!  Niambie ulipajuaje nyumbani kwetu,   hadi ukaleta  kadi getini kwa mlinzi"


"Pale mlipoondoka tuu,   nilichukua jukumu la kuwafuatilia hadi nyumbani kwenu,  kiukweli niliwaza sana kukupoteza,  niogopa sana mpenzi wangu,   kesho nitakuja hadi maeneo ya hapo kwenu,  nikuchukue uje hadi kambini kwetu upaone ninapoishi sawa"



"Sawa"


"Vizuri umechoka sana hivyo nikuache upumzike,  tutaongea vitu  vingi sana  ukija kunitembelea sawa"


"Sawa haya by"


"By mpenzi wangu "



Kisha tulikata simu na kisha nililala usingizi,  maana nimechoka sana  kwaajili safari ndefu,   kulikucha tena siku nyingine  alfajiri niliamka na kujiandaa,  mjomba alikuwa hayupo,  hivyo nilimuomba  shangazi,  shangazi aliniruhusu  General akaja   kunipitia tukaenda kambini kwao,  alinitambulisha kwa baadhi ya marafiki zake anaokaa nao hapo kambini,  kisha alinipeleka kwenye nyumba  anayokaa  alinifungulia mlango na kunikaribisha:


"Karibu ndani mpenzi wangu"


"Asante"


Nikaingia ninyumba ndogo lakini ninzuri sana,  alikuwa kaipamba vizuri nisafi kama anaishi na mwanamke,  nilipoingia nikakaa kwenye kochi akaniambia:


"Laura jisikie upo nyumbani,   kuwa huru nikwako,   japo nikinyumba kidogo sana,  lakini siku moja nitakupeleka dodoma kwenye nyumba kubwa,   na ukamuone mamaangu mzazi,  atakupokea vizuri sana  na  atakupa vitu vizuri utafurahia mwenyewe,  anaupendo sana anatamani mno nimpelekee mke wangu,   hivyo jiandae"


Nilibaki nikitabasam huku nikimtizama kwa macho ya huba akanisogelea na kunipapasa uso na kuniambia:


"Laura unajua wewe nimrembo sana,  nakupenda mno"



Alizidi kunichanganya kiukweli nilibaki nikiona aibu kwani ndio uhusiano wangu wakwanza naenda kuuanza ninaaibu sana hata kumtizama usoni namuonea aibu General akaniambia:


"Nikupe kinywaji gani mpenzi kunasoda na juice?


"Usijali nipe maji tu"


"Hapana  baby,   nakuletea juice yamatunda"


Kisha aliinuka na kwenda kunichukulia  juice  akaniletea,  aliwasha TV hapo huku tunatizama muvi  na huku tunazungumza,   wakati tumekaa hapo tunapiga story General alinisogelea karibu na kuanza kunipapasa,    kisha alinisogerea karibu na kuanza kunichum mdomoni  taratibu taratibu,   kisha akaanza kunila romance  nilijikuta nalegea taratibu akanilaza chali,  na  yeye alikuja kwa juu na kuendelea kuninyonya shingoni,   mwisho alishuka hadi kwenye chuchu,  akazishika vizuri na kuanza kuzinyonya  vizuri hadi nilihisi mkojo unataka kunitoka,  nilikuwa nimejiachia nipo tayari kabisa kwa chochote,  akaanza kunivua suluali yangu taratibu huku akininyinya chuchu,  wakati yunaendelea hivyo mala mlango uligongwa.




Je ninani anagonga mlango wa General wakati huo Laura yupo chini na tayari kwa kilakitu nini kitatokea endelea kufuatilia.........
.
Tangazo - TAKE NOW

TAKE NOW
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

GENERAL SILI SILALI JUU YAKO  SEHEMU YA 12 Nilipoweka vocha  kisha nilienda chumbani kwangu,  nikachukua kadi ya General  >>> https://www.gonga94.com/semajambo/general-sili-silali-juu-yako-sehemu-ya-12-nilipoweka-vocha-kisha-nilienda-chumbani-kwangu-nikachukua



#Nk #gonga94 #trending #instagood #explore #viral #challenge #simulizi #hadithi #war

#love #photooftheday #fashion #beautiful #happy #tbt #followme #picoftheday #art #nature #travel #fitness #motivation #life #fun #instagram #friends #smile #food


 

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
MWENDELEZO SOMA HAPA

Maoni

You're not logged in


gonga94 official track
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi general-sili-silali-juu-yako-sehemu-ya
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 05  Hatimae nilifika  kwa General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 05 Hatimae nilifika  kwa General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO         SEHEMU YA 09    Kisha niliinuka taratibu na kuondoka zangu
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 09 Kisha niliinuka taratibu na kuondoka zangu
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 04  Kulipokucha tena alfajiri namapema,   filimbi ilipigwa,  wote tuliamka na kwenda mazoezi
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 04 Kulipokucha tena alfajiri namapema,   filimbi ilipigwa,  wote tuliamka na kwenda mazoezi
GENERAL SILI  SILALI   JUU YAKO       SEHEMU YA 08  Nilimtizama sana nilikuwa natamani niipore simu,  lakini nikajisemea kama kweli
GENERAL SILI  SILALI   JUU YAKO SEHEMU YA 08 Nilimtizama sana nilikuwa natamani niipore simu,  lakini nikajisemea kama kweli
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO     SEHEMU YA 10  Nilipo mkumbatia kwa nyuma alishtuka na kunishika mikono
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 10 Nilipo mkumbatia kwa nyuma alishtuka na kunishika mikono
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 03  Walipo fika Catrine alikuwa chini na mimi nilikuwa juu nampiga Catrine
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 03 Walipo fika Catrine alikuwa chini na mimi nilikuwa juu nampiga Catrine
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 13    Nilikurupuka na kuinuka nikaifunga suruali yangu na kukaa kisha General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 13 Nilikurupuka na kuinuka nikaifunga suruali yangu na kukaa kisha General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 02  Asikuambie mtu nilijisikia vibaya kweli kufokewa mbele
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 02 Asikuambie mtu nilijisikia vibaya kweli kufokewa mbele
SIMULIZI NA SAUTI ZETU
You're not logged in


Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili

RATIBA YA SIMULI ZETU

Hakuna ratiba iliyopangwa kwa sasa.


Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest