Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 19
Gonga94 · Stories

GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 19

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


0742133100

Aliendesha  na kuanza safari yakurudi dar,  japo kuwa muda ulikuwa umeenda lakini hakujali,  alifika dar mida ya saa saba ya usiku,  na kwenda moja kwa moja kwake alilala hadi palipokucha asubuhi na mapema,  alitoka na kwenda kwa General mstaafu anamuheshimu kama babaaka,  alienda kuongea nae na kumuomba jioni ya leo akamsaidie kupeleka barua ya kunichumia mimi,  yule mbaba alikubali na kufurahi sana, kwani amekuwa akimsisitiza kupata mwenza wa maisha sasa ndio kamfurahisha sana,  hatimae muda ulipofika nikiwa nyumbani mimi na shangazi yangu pamoja na mjomba, tulisikia kunawageni wamekuja  hivyo mjomba alimuambia dada wa kazi awakaribishe ndani,  alifanya kama alivyo ambiwa hivyo wageni waliingia ndani,   wakasalimia na kisha walijitambulisha mimi nilikuwa tayari nimeenda chumbani kwangu muda huo, 



"Mimi naitwa Mr Donald John ni General mstaafu,  nipo namwenzangu nae ni kanali  mstaafu anaitwa Mr Luis,  sisi niwageni wa binti yenu  Laura"


Mjomba alijua wamekuja kikazi hivyo akafurahi kuwaona na kuwaambia:



"Ooh! Kumbe  karibuni sana Laura yupo chumbani kwake ngoja tuwaitie"



"Hapana bado hatujaelewana vizuri,  sisi tumekuja kuleta barua ya kumchumbia binti yako Laura,   kijana wetu Ethane  kamuona na kavutiwa nae tunaomba kuunganisha undugu"


"Ok  sawa hakuna shida karibuni sana,   namimi nimjomba na huyu ni shangazi yake,   ndio walezi wake  tunaipokea barua kwa mikono miwili,   msijali tutawaambia siku mje kuchukua majibu"


"Sawa tunashuka na tunaomba tuwaache,   kwani tumewavamia tuu bila kuwaanda,   mlikuwa na ratiba zenu tusizivuruge"


"Hamna shaka mnakaribishwa sana hapa ninyumbani"



Kisha waliaga na kuondoka,   mjomba aliwasindikiza hadi getini,  kisha akarudi ndani,  na kumuambia shangazi:


"Ulikuwa unajua kama kunaugeni unakuja?


"Hapana sikuwa najua"

"Muite Laura"


Alikuja mdada wa kazi na kuniambia:


"Mjomba wako anakuita"


Niliinuka na kwenda sebreni nikiwa kawaida tuu,  kwanj tangu jana nimeizima simu yangu,   baada ya kufika dar na sijawasiliana kabisa na Ethane kiukweli,   sikuwa na raha kabisa nilipofika sebreni nilimuambia mjomba:


"Mjomba umeniita?


"Ndio"

Shangazi akanishika mkono nakuniambia :


"Haya kaa hapa kipenzi changu"


Nilikaa na kuwasikiliza wameniitia nini, mjomba akaanza kuongea:


"Kunawageni wako walikuwa hapa  Mr Donald na mr Luis,   wanadai   wao ni washenga wa Mr Ethane,  je unamjua Mr Ethane?


Nilishtuka kusikia nilibaki nikiwa nimetoa macho tuu,  mjomba akaniita"


"Laura,  nimekuuliza swali mama?


Nilijikuta najisikia vibaya sana,  baada ya kukumbuka nilichokisikia kutoka kwa mamaake,   mwisho niliinuka na kukimbilia chumbani tena huku nikilia, shangazi alimuambia mjomba :


"Ngoja nikaongee nae ukiona hivyo hayupo sawa"


Mjomba alibaki akisubili,   na shangazi aliinuka na kuja chumbani nilipokua,  akanikuta nimejilaza kitandandani huku nikilia,  kisha alikaa pembeni yangu na kuniuliza:


"Laura kwani huyu sindio Ethane wako yule General eeh!?


Nilimuitikua kwa kichwa,   kumaanisha ndio yeye,  kisha shangazi akaniambia:


"Sasa siulipaswa kusherekea,  kwani unaenda kuolewa na mwanaume ulie mpenda,  sasa kulikoni hembu naomba ufute machozi na uniambie nini tatizo?


Shangazi alinifuta machozi na kunituliza kisha aliniambia:


"Niambie nini tatizo nitamfuata nikamzubue makofi mimi,  wewe niambie tuu kakufanya nini?


"Mama wewe achatuu  tulipoenda dodoma kwa mamaake ili akanitambulishe,  kumbe mamaake alishamuandalia mchumba mwanae mwingine anaemtaka yeye,  sasa tangu nipo hapo nyumbani yule mamaake hakuwa hata anataka kupiga story namimi,  sikuwa namjua nilijua ndiontabia yake,  kumbe hakuwa ananipenda,  jana alikuja mmama mmoja na binti yake hapo nyumbani,   tena niliitwa niwape vinywaji  mimi huyuu,  baada ya kuwapa vinywaji niliwaacha wenyewe,  muda sio mrefu nae Ethane alipofika alitumwa dada wakazi kumuita,    akaenda sasa niliona kakaa sana nikasema niende namimi,  kwani labda wanapiga tu story namimi kukaa pekeangu  nilikuwa tayari nimeboreka,  nilipokuwa nakaribia hapo sebreni nilikuwa namsikia mamaake akiongea,   mama huwezi amini maneno aliyokuwa anamuambia mwanae,  na huku akijua  mimi nipo na ninani yake mwanae,  nilihisi kumchukia na kuamua kuondoka kurudi dar"


"Nimaneno gani hayo ndio nataka kuyasikia"


"Alikuwa anamuambia yule binti aliekuja na mamaake ndio mchumba aliemchumbilia yeye,  na hataki kuona hao wengine  aliowaleta yeye"


"Vipi,   Ethane nae alijibu nini"


"Hakujibu kitu,  ndio mnanishangaza kusema kuwa kaleta washenga"


"Sasa ndio uelewe kuwa Ethane hakukubaliana na uamuzi wa mamaake,  na kama angekuwa kaukubali asingekutumia barua yakuomba kukuchumbia,   upo kipenzi haya mpigie mchumba wako sasahivi na umuunge mkono anahangaika kwaajili yako wewe"


"Sawa mama"


"Fanya haraka"


Kisha mama aliinuka na kwenda sebreni akamsimulia mjomba kilakitu,  kisha  mjomba aliamua kumkubali Ethane,  aliona kuwa  huyu ndio mwanaume anaestahili kunioa mimi,  kwani ni mwanaume   mwenye msimamo na maamuzi pia,  anaweza kunilinda kwa chochote kile hata kukabiliana na ndugu zake,  kisha akasema:


"Tuwaambie waje wachukuwe majibu yao kesho kutwa,  sawa mkewangu sitaki kuwa chelewesha,    kwani nimwanaume anaestahili tusije kumpoteza"


Shangazi  alicheka sana na kisha aliniita mimi,   nilikuwa chumbani nikatoka na shangazi akaniuliza:


"Vipi umesha ongea na Ethane?


"Bado mama nimempigia simuyake inaitatuu"


"Usiogope  uenda akawa yupo bize au kalala,  akiwa sawa atapokea tuu kipenzi  sawa?


"Sawa mama"


Kisha mjomba alinivuta na kunikumbatia hapo,   tukiwa tumekaa kwenye kochi na huku akiniambia:


"Ethane ni mwanaume bora kipenzi sawa?

Nilibaki nikitabasam tuu,  wakati tunaongea mala simu yangu ikaita,   na mjomba akaichukua na kuipokea yeye,  kisha akamuambia:


"Hallow "


"Ethane wewe ni mwanaume wakweli,  haya watume hao washenga wako kesho,   waje wachukue majibu ya barua uliyowatuma sawa?


"Sawa mjomba,  Shikamoo mjomba"


"Marhabaah, haya ongea na mwanangu  nisimsubilishe  sana"


Tulifurahi sana,   nikachukua simu na kwenda chumbani kwangu,  huku tukiwa tunaongea  na Ethane,   nifuraha isiyo na kifani kwakweli,  





Je nikweli Ethane atamuoa Laura ambae mamaake hamtaki au atabadili maamuzi endelea kuifuatilia ilikujua..........

Maoni

You're not logged in


Tangazo - My true love mwanzo Hadi Mwisho
My true love mwanzo Hadi Mwisho
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 19



0742133100

Aliendesha  na kuanza safari yakurudi dar,  japo kuwa muda ulikuwa umeenda lakini hakujali,  alifika dar mida ya saa saba ya usiku,  na kwenda moja kwa moja kwake alilala hadi palipokucha asubuhi na mapema,  alitoka na kwenda kwa General mstaafu anamuheshimu kama babaaka,  alienda kuongea nae na kumuomba jioni ya leo akamsaidie kupeleka barua ya kunichumia mimi,  yule mbaba alikubali na kufurahi sana, kwani amekuwa akimsisitiza kupata mwenza wa maisha sasa ndio kamfurahisha sana,  hatimae muda ulipofika nikiwa nyumbani mimi na shangazi yangu pamoja na mjomba, tulisikia kunawageni wamekuja  hivyo mjomba alimuambia dada wa kazi awakaribishe ndani,  alifanya kama alivyo ambiwa...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/general-sili-silali-juu-yako-sehemu-ya-19

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi general-sili-silali-juu-yako-sehemu-ya
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 13    Nilikurupuka na kuinuka nikaifunga suruali yangu na kukaa kisha General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 13 Nilikurupuka na kuinuka nikaifunga suruali yangu na kukaa kisha General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO         SEHEMU YA 09    Kisha niliinuka taratibu na kuondoka zangu
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 09 Kisha niliinuka taratibu na kuondoka zangu
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 15
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 15
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 05  Hatimae nilifika  kwa General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 05 Hatimae nilifika  kwa General
GENERAL SILI  SILALI   JUU YAKO       SEHEMU YA 08  Nilimtizama sana nilikuwa natamani niipore simu,  lakini nikajisemea kama kweli
GENERAL SILI  SILALI   JUU YAKO SEHEMU YA 08 Nilimtizama sana nilikuwa natamani niipore simu,  lakini nikajisemea kama kweli
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 20
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 20
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 12   Nilipoweka vocha  kisha nilienda chumbani kwangu,  nikachukua kadi ya General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO  SEHEMU YA 12 Nilipoweka vocha  kisha nilienda chumbani kwangu,  nikachukua kadi ya General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO  SEHEMU YA 14
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 14
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO     SEHEMU YA 10  Nilipo mkumbatia kwa nyuma alishtuka na kunishika mikono
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 10 Nilipo mkumbatia kwa nyuma alishtuka na kunishika mikono
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 04  Kulipokucha tena alfajiri namapema,   filimbi ilipigwa,  wote tuliamka na kwenda mazoezi
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 04 Kulipokucha tena alfajiri namapema,   filimbi ilipigwa,  wote tuliamka na kwenda mazoezi
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 17 na 18 0742133100
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 17 na 18 0742133100
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 03  Walipo fika Catrine alikuwa chini na mimi nilikuwa juu nampiga Catrine
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 03 Walipo fika Catrine alikuwa chini na mimi nilikuwa juu nampiga Catrine
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 02  Asikuambie mtu nilijisikia vibaya kweli kufokewa mbele
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 02 Asikuambie mtu nilijisikia vibaya kweli kufokewa mbele
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*

900
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

497
FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16

436
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

424
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

313
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

238
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10

211
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.

184
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.

141
SHAMIRA sehemu ya 34&35

SHAMIRA sehemu ya 34&35

102

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.43K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.2K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.74K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.2K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.6K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.43K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.38K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.36K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla Post Mpya
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla
@majario LIVE

with that cute bubbly energy… and Aamir Khan being his mischievous, romantic self. What a combo yaar! Ishq was not just a love story, it was full on drama, comedy,...

 Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani Post Mpya
Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani
@majario LIVE

* Meli za kijeshi za Marekani zilizopo Ghuba ya Uajemi * Rada za Israel zilizopo Azerbaijan * Rada za Israel zilizopo Turkmenistan * Mifumo ya ulinzi wa anga ya vituo vya Marekani nchini...

SHAMIRA sehemu ya 34&35 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 34&35
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikajiiinua taratibu tukaingia bafuni. Mwanaume akanikumbatia uku tunaoga. Aseee uyu baba ananipenda ila hataki upumbavu ata kidogo na mkono wake mwepesi kupiga .na yote sababu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nikaona zena kamnyanyua yule mtoto kisha akambeba ,ni amefanana nae sana ,nikajua ni wa kwake tu yani ni lazima utu mtoto atakuwa ni mwanae, kisha akanigeukia...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17
@majario LIVE

Ikabidi nikae tu kwenye piki piki maana sura alivyokuwa kaikaza mmh asije kunipiga, Kimyaa kikatawala sasa mie nilijua tunaenda kwa Tinner na moyoni nilikuwa nimempangia hayo maneno Tinner eeh mbona...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Maeneo ya pale pale chuoni, Salmon alikuwa amepanga nyumba kubwa ya peke yake. Wakati akiwa chuo ndo alikua anaishi hapo, ila siku za weekends kama hana mambo mengi ndo anaenda...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kuanzia apo nikawa sasa kidogo naelewana na baraka. Tena mimi ndo napenda sana kuongea nae. Yani sanaaa. Napenda kucheka nae sana. Na kun jinsi...

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Usiku wangu ulikuwa mzito sana, maneno ya D kusema kuwa Veda anatembea na wanawake wengi, niliyaamini kabisaaa Bila shakaa kwa maana Yeye tu hana mwonekano mzuri ametuna tuna hovyo anakuwa...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10
@majario LIVE

Daaah nikaona mtoto kachomoa leo mana sio powa , ana vipengele sana uyu demu , ila unyama, hatachomoa kila siku, ni suala la muda tu, mana sijawahi kumtaka mwanamke ,...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media BASI nikapanda kitandani kwangu. Nikijutia sana nilichokifanya mana mh . Nilikuwa nasababisha ugomvi mkubwa wa wazazi mungu wangu. Yani mama yangu alikuwa anaachwa leo...

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.??? Post Mpya
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???
@majario LIVE

Hatimae jana tambo za Dabi zilipata majibu kwa timu za Simba na Yanga kutoka suluhu ya bila kufungana(0-0). Kwa maana hiyo timu zote ziliambulia pointi moja moja. Mchezo wa jana pamoja...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8
@majario LIVE

Zena akasema kwaiyo manager unataka kuniuza ama ni vp, yule manager aksema , naomba uelewe kuwa ukifanya kazi katika hii bar, mteja kukushika sehemu yoyote ya mwili wako ni kawaida,...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*
@majario LIVE

Jambo likawa lelelele, Yaani ni patashika nguo kuchanika, Kwa upande wangu Walahi nilikuwa nikifurahi tu, na amina alikuwa akilia tu nakuomba msamaha. Enzo wa watu mwaya akachukua muda wake na kumuelezea...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Mbali na ivyo zile zawadi alizo tumiwa Noela zilimuuma vile vile. Alihisi Noela hastahili vitu vizuri wala maisha ya kifahari. Alitaka kila kitu kiwe chake, wanaume wote wawe wake. Hata...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana , mwanaume wala sikuwa na shaka, kazi zote ambazo nilibakiwa nazo pale ofisini, nikamuachia ibraaa, na ukiacha ushikaji, mi bafo ibra ni mkubwa wake wa kazi,...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest