Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

GENERAL SILI SILALI JUU YAKO     SEHEMU YA 10  Nilipo mkumbatia kwa nyuma alishtuka na kunishika mikono
Gonga94 · Stories

GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 10 Nilipo mkumbatia kwa nyuma alishtuka na kunishika mikono

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
kisha aliniachanisha na kugeuka ndipo aliponiona mimi akasema:


"Laura?


"Ndio mimi Laura "


"Mbona upo hapa mpaka sasahivi si mmeruhusiwa kuondoka wewe imekuwaje umebaki hapa?


"Nilikuwa nakungoja wewe General"


"Mimi,  kwanini?


"Nilikuwa nataka kuongea na wewe General"


"Haya niambie unataka kuongea kitu gani Laura?


"Nikweli nakupenda  sana General,    japo nilikuwa nazikataa hisia zangu zakweli,   lakini tangu umeondoka kambini hisia zangu juu yako zimezidi kuongezeka,   nimeteseka sana sili silali nakumis sana mwenzio,  kunamuda  nilikuwa  nalia tuu nikitamani kukuona ata kukusikia tuu  japo sauti yako,   moyo wangu  umeondoka nao General nisamehe mimi nakuhitaji mno"


Niliongea huku nikilia kwa hisia zandani ya moyo,  General alinitizama kwa romantic sana  kisha alinivuta na kunikumbatia,   kisha akaniambia:


"Haya ingia kwenye gari tuondoke sasa,   au unamsubili mjomba wako"


Alinifungulia mlango wa gari,  kisha  nikamjibu:


"Hapana nilimuambia atangulie,   kwani nakusubili wewe kunajambo nataka kuliweka sawa"


"Wow!  Mbona hujamuambia ukweli unaenda kulipambania penzi lako eeh! Hahahaaa"


Aliongea kwa utani  tukacheka wote kwa pamoja,   tuliingia kwenye gari na kuanza safari ya kurudi mjini Dar-es-Salaam, akaniambia:


"Laura  kiukweli nilijua nimekupoteza,   nilihisi kuwa nilikuwa najidanganya mwenyewe kwamba unanipenda,  na kumbe haukuwa unanipenda kweli, hakuna siku nilijisikia vibaya kama ile siku uliyiniambia hunipendi nawala hutokuja kunipenda,  niliumia sana sikufichi na machozi yalinitoka nilijikuta nalia kwa mara yakwanza,   sijawahi kumlilia mwanamke ila ulinifanya nilie wewe, na hata nilipo ondoka nilikuwa najitahidi sana kukufuta kwenye kumbu kumbu zangu,  hata nilipokuja hapa sikutaka kukuona kabisa,   ndio maana nilipo maliza kilichonileta hapa nikaingia haraka  kwenye kikao,   ili nilitegemea nikitoka nitakukuta umesha ondoka kabisa maeneo haya,  asante mungu kwa marahii naona umenipa kile nilichokuwa nakitaka nilichokuwa nakiota sikuzote,  Laura nakupenda sana hujui tuu"


Aliongea na kunitizama usoni kwa macho yake mazuri,   kisha alinyanyua mkono na kunishika usoni kwangu,   huku akiwa ananitizama kwa macho yamahaba, nilijikuta machozi yananitoka kwa raha niliyokuwa nayo, nikamuambia:


"Ethane siamini  upo namimi hapa leo hii hapa,   Ethane hujui tuu nilifikia hatua kila alieniona kambini aliniona kama nimechanganyikiwa,   nilikuwa kichaa kwaajili yako,  namshukuru sana Nancy kwani alikuwa nami bega kwa bega kuhakikisha namalizia mafunzo yangu,  sizani kama ningefika leo hii hapa nahisi hata ningefukuzwa kambini au ningekufa,  kwani nilidhoofika kabisa sikuwa nakula wala kulala mimi mwenzio,  sikujua kama mapenzi ndio yananguvu namna hii,  nilichukia huu ulimwengu ulioniingiza alafa sikuoni kabisa nilikuwa gizani pekeangu"



"Ssshii"


Alinishika mdomo na huku akinizuia nisiendelee kuongea huku machozi yalikuwa yakimtililika, akaniambia:


"Nipo hapa sasa sitaki kuona huli wala hulali,   nataka kuona tabasam lako tuu,   mimi ndio taa yako kwenye huu ulimwengu mpya  haupo mwenyewe tena,  sawa kipenzi changu"


Niliinuka nanilivyo mwembama sasa,   nikaenda kumkalia miguuni huku akiendesha gari ,   nilimkumbatia kama mtoto mdogo  huku nikimbusu kila mahali, nampenda sana General Ethane,  aliniambia:


"Tulia hapa siku zote,  kwani hapa kifuani kwangu  ndio sehemu sahihi kwako tulizo lamoyo wako,  namimi pia"


"Asante sana Ethane,  upo sahihi kabisa"


Aliendesha gari kwa kasi sana niliwa nimetulia tulifika sehemu moja njiani  nimaharufu kwa chakula General aliingiza gari hapo na kupaki,  kisha alifungua mlango na kunifungulia nishuke, akaniambia:


"Nataka nikakulishe mtoto mzuri,    maana sitaki kuona unapitia kipindi kigumu tena,   wakati upo namimi  sawa?



Nilitabasam kisha alinishika mkono baada ya kufunga mlango  wa gari,  na tuliingia moja kwa moja restaurant,   hapo tuliandaliwa meza nzuri na muhudumu kisha walitusikiliza nini tunataka,  General aliniambia:


"Kipenzi changu agiza chochote unachotaka kula sasahivi,   nitakulisha"


Kiukweli General  alikuwa ni mkaka mwenye mahaba sana,   kwa kumtizama tuu yaani utajua,   na ndio maana wadada wengi wamekuwa wakivutiwa kuwa nae,  lakini bahati mbaya hakuwa anapenda kujiingiza tuu hovyo kwenye mahusiano,  mpaka alipokuja kukutana namimi, japo kuwa nilikuwa namkataa ila kiukweli moyoni nilimpokea kwa mikono miwili kabisa, na kumkaribisha ndani ya uvungu wa moyo wangu,  nampenda mpaka mimi mwenyewe najishangaa,  basi bwana chakula kililetwa hapo,  nikataka kuanza kula lakini  General akanianbia:



"Nilisema leo nakulisha mimi,   hivyo tulia hivyo hivyoo sawa"


Nilitabasam nakuitikia kwakichwa,   kisha alinawa mkono General na kuanza kunilisha,    tena huku akikipuliza kwa mdomo wake  kwanza  ndio ananilisha kama mtoto,   na kunifuta mdomo vizuri yaani  achatuu,   nilikuwa naona aibu lakini General ndio kaamua, wakati tunakula hapo muda ulikuwa umeenda, General akaniuliza:


"Unakaa dar sehemu gani mpenzi?


"Mimi nakaa maeneo ya kunduchi,  wewe je?


"Mimi naishi dodoma ila hapo dar huwa nafikia kambini,  nitakupeleka hadi kwenu  usihofu, alafu nyumbani unaishi na nani?



"Mimi nilichukuliwa namjomba  tangu nikiwa mdogo,   mjomba  na mkewe wamenilea kama mtotowao wakuzaa"



"Ok vizuri"


Tuliongea huku akiendelea kunilisha chakula hapo  muda huo wakati General ananilisha kumbe mjomba nae alishuka hapo kula alishukudia General akipuliza chakula nakisha akanilisha mjomba aliganda akinituzama  nilishtuka nilipomuona nilishindwa hata kujitetea




Je unavyo dhani mjomba wake Laura atafanyaje na kushuhudia kabisa Laura analishwa kimahaba na General nini kitatokea endelea kuifuatilia............

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 10 Nilipo mkumbatia kwa nyuma alishtuka na kunishika mikono

kisha aliniachanisha na kugeuka ndipo aliponiona mimi akasema:


"Laura?


"Ndio mimi Laura "


"Mbona upo hapa mpaka sasahivi si mmeruhusiwa kuondoka wewe imekuwaje umebaki hapa?


"Nilikuwa nakungoja wewe General"


"Mimi,  kwanini?


"Nilikuwa nataka kuongea na wewe General"


"Haya niambie unataka kuongea kitu gani Laura?


"Nikweli nakupenda  sana General,    japo nilikuwa nazikataa hisia zangu zakweli,   lakini tangu umeondoka kambini hisia zangu juu yako zimezidi kuongezeka,   nimeteseka sana sili silali nakumis sana mwenzio,  kunamuda  nilikuwa  nalia tuu nikitamani kukuona ata kukusikia tuu  japo sauti yako,   moyo wangu  umeondoka nao General nisamehe mimi nakuhitaji mno"


Niliongea huku nikilia kwa hisia zandani ya moyo,  General alinitizama kwa romantic sana  kisha alinivuta na...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/general-sili-silali-juu-yako-sehemu-ya-10-nilipo-mkumbatia-kwa-nyuma-alishtuka-na-kunishika-mikono

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi general-sili-silali-juu-yako-sehemu-ya
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 13    Nilikurupuka na kuinuka nikaifunga suruali yangu na kukaa kisha General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 13 Nilikurupuka na kuinuka nikaifunga suruali yangu na kukaa kisha General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO         SEHEMU YA 09    Kisha niliinuka taratibu na kuondoka zangu
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 09 Kisha niliinuka taratibu na kuondoka zangu
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 15
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 15
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 05  Hatimae nilifika  kwa General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 05 Hatimae nilifika  kwa General
GENERAL SILI  SILALI   JUU YAKO       SEHEMU YA 08  Nilimtizama sana nilikuwa natamani niipore simu,  lakini nikajisemea kama kweli
GENERAL SILI  SILALI   JUU YAKO SEHEMU YA 08 Nilimtizama sana nilikuwa natamani niipore simu,  lakini nikajisemea kama kweli
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 20
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 20
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 12   Nilipoweka vocha  kisha nilienda chumbani kwangu,  nikachukua kadi ya General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO  SEHEMU YA 12 Nilipoweka vocha  kisha nilienda chumbani kwangu,  nikachukua kadi ya General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO  SEHEMU YA 14
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 14
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 19
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 19
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 04  Kulipokucha tena alfajiri namapema,   filimbi ilipigwa,  wote tuliamka na kwenda mazoezi
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 04 Kulipokucha tena alfajiri namapema,   filimbi ilipigwa,  wote tuliamka na kwenda mazoezi
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 17 na 18 0742133100
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 17 na 18 0742133100
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 03  Walipo fika Catrine alikuwa chini na mimi nilikuwa juu nampiga Catrine
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 03 Walipo fika Catrine alikuwa chini na mimi nilikuwa juu nampiga Catrine
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 02  Asikuambie mtu nilijisikia vibaya kweli kufokewa mbele
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 02 Asikuambie mtu nilijisikia vibaya kweli kufokewa mbele
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*

899
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

492
FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16

434
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

421
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

311
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

224
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10

210
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.

182
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.

139
SHAMIRA sehemu ya 34&35

SHAMIRA sehemu ya 34&35

96

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.43K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.2K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.74K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.2K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.6K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.44K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.43K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.38K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.36K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla Post Mpya
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla
@majario LIVE

with that cute bubbly energy… and Aamir Khan being his mischievous, romantic self. What a combo yaar! Ishq was not just a love story, it was full on drama, comedy,...

 Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani Post Mpya
Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani
@majario LIVE

* Meli za kijeshi za Marekani zilizopo Ghuba ya Uajemi * Rada za Israel zilizopo Azerbaijan * Rada za Israel zilizopo Turkmenistan * Mifumo ya ulinzi wa anga ya vituo vya Marekani nchini...

SHAMIRA sehemu ya 34&35 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 34&35
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikajiiinua taratibu tukaingia bafuni. Mwanaume akanikumbatia uku tunaoga. Aseee uyu baba ananipenda ila hataki upumbavu ata kidogo na mkono wake mwepesi kupiga .na yote sababu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nikaona zena kamnyanyua yule mtoto kisha akambeba ,ni amefanana nae sana ,nikajua ni wa kwake tu yani ni lazima utu mtoto atakuwa ni mwanae, kisha akanigeukia...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17
@majario LIVE

Ikabidi nikae tu kwenye piki piki maana sura alivyokuwa kaikaza mmh asije kunipiga, Kimyaa kikatawala sasa mie nilijua tunaenda kwa Tinner na moyoni nilikuwa nimempangia hayo maneno Tinner eeh mbona...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Maeneo ya pale pale chuoni, Salmon alikuwa amepanga nyumba kubwa ya peke yake. Wakati akiwa chuo ndo alikua anaishi hapo, ila siku za weekends kama hana mambo mengi ndo anaenda...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kuanzia apo nikawa sasa kidogo naelewana na baraka. Tena mimi ndo napenda sana kuongea nae. Yani sanaaa. Napenda kucheka nae sana. Na kun jinsi...

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Usiku wangu ulikuwa mzito sana, maneno ya D kusema kuwa Veda anatembea na wanawake wengi, niliyaamini kabisaaa Bila shakaa kwa maana Yeye tu hana mwonekano mzuri ametuna tuna hovyo anakuwa...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10
@majario LIVE

Daaah nikaona mtoto kachomoa leo mana sio powa , ana vipengele sana uyu demu , ila unyama, hatachomoa kila siku, ni suala la muda tu, mana sijawahi kumtaka mwanamke ,...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media BASI nikapanda kitandani kwangu. Nikijutia sana nilichokifanya mana mh . Nilikuwa nasababisha ugomvi mkubwa wa wazazi mungu wangu. Yani mama yangu alikuwa anaachwa leo...

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.??? Post Mpya
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???
@majario LIVE

Hatimae jana tambo za Dabi zilipata majibu kwa timu za Simba na Yanga kutoka suluhu ya bila kufungana(0-0). Kwa maana hiyo timu zote ziliambulia pointi moja moja. Mchezo wa jana pamoja...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8
@majario LIVE

Zena akasema kwaiyo manager unataka kuniuza ama ni vp, yule manager aksema , naomba uelewe kuwa ukifanya kazi katika hii bar, mteja kukushika sehemu yoyote ya mwili wako ni kawaida,...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*
@majario LIVE

Jambo likawa lelelele, Yaani ni patashika nguo kuchanika, Kwa upande wangu Walahi nilikuwa nikifurahi tu, na amina alikuwa akilia tu nakuomba msamaha. Enzo wa watu mwaya akachukua muda wake na kumuelezea...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Mbali na ivyo zile zawadi alizo tumiwa Noela zilimuuma vile vile. Alihisi Noela hastahili vitu vizuri wala maisha ya kifahari. Alitaka kila kitu kiwe chake, wanaume wote wawe wake. Hata...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana , mwanaume wala sikuwa na shaka, kazi zote ambazo nilibakiwa nazo pale ofisini, nikamuachia ibraaa, na ukiacha ushikaji, mi bafo ibra ni mkubwa wake wa kazi,...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest