Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

GENERAL SILI SILALI JUU YAKO     SEHEMU YA 10  Nilipo mkumbatia kwa nyuma alishtuka na kunishika mikono
Gonga94 · Stories

GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 10 Nilipo mkumbatia kwa nyuma alishtuka na kunishika mikono

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
kisha aliniachanisha na kugeuka ndipo aliponiona mimi akasema:


"Laura?


"Ndio mimi Laura "


"Mbona upo hapa mpaka sasahivi si mmeruhusiwa kuondoka wewe imekuwaje umebaki hapa?


"Nilikuwa nakungoja wewe General"


"Mimi,  kwanini?


"Nilikuwa nataka kuongea na wewe General"


"Haya niambie unataka kuongea kitu gani Laura?


"Nikweli nakupenda  sana General,    japo nilikuwa nazikataa hisia zangu zakweli,   lakini tangu umeondoka kambini hisia zangu juu yako zimezidi kuongezeka,   nimeteseka sana sili silali nakumis sana mwenzio,  kunamuda  nilikuwa  nalia tuu nikitamani kukuona ata kukusikia tuu  japo sauti yako,   moyo wangu  umeondoka nao General nisamehe mimi nakuhitaji mno"


Niliongea huku nikilia kwa hisia zandani ya moyo,  General alinitizama kwa romantic sana  kisha alinivuta na kunikumbatia,   kisha akaniambia:


"Haya ingia kwenye gari tuondoke sasa,   au unamsubili mjomba wako"


Alinifungulia mlango wa gari,  kisha  nikamjibu:


"Hapana nilimuambia atangulie,   kwani nakusubili wewe kunajambo nataka kuliweka sawa"


"Wow!  Mbona hujamuambia ukweli unaenda kulipambania penzi lako eeh! Hahahaaa"


Aliongea kwa utani  tukacheka wote kwa pamoja,   tuliingia kwenye gari na kuanza safari ya kurudi mjini Dar-es-Salaam, akaniambia:


"Laura  kiukweli nilijua nimekupoteza,   nilihisi kuwa nilikuwa najidanganya mwenyewe kwamba unanipenda,  na kumbe haukuwa unanipenda kweli, hakuna siku nilijisikia vibaya kama ile siku uliyiniambia hunipendi nawala hutokuja kunipenda,  niliumia sana sikufichi na machozi yalinitoka nilijikuta nalia kwa mara yakwanza,   sijawahi kumlilia mwanamke ila ulinifanya nilie wewe, na hata nilipo ondoka nilikuwa najitahidi sana kukufuta kwenye kumbu kumbu zangu,  hata nilipokuja hapa sikutaka kukuona kabisa,   ndio maana nilipo maliza kilichonileta hapa nikaingia haraka  kwenye kikao,   ili nilitegemea nikitoka nitakukuta umesha ondoka kabisa maeneo haya,  asante mungu kwa marahii naona umenipa kile nilichokuwa nakitaka nilichokuwa nakiota sikuzote,  Laura nakupenda sana hujui tuu"


Aliongea na kunitizama usoni kwa macho yake mazuri,   kisha alinyanyua mkono na kunishika usoni kwangu,   huku akiwa ananitizama kwa macho yamahaba, nilijikuta machozi yananitoka kwa raha niliyokuwa nayo, nikamuambia:


"Ethane siamini  upo namimi hapa leo hii hapa,   Ethane hujui tuu nilifikia hatua kila alieniona kambini aliniona kama nimechanganyikiwa,   nilikuwa kichaa kwaajili yako,  namshukuru sana Nancy kwani alikuwa nami bega kwa bega kuhakikisha namalizia mafunzo yangu,  sizani kama ningefika leo hii hapa nahisi hata ningefukuzwa kambini au ningekufa,  kwani nilidhoofika kabisa sikuwa nakula wala kulala mimi mwenzio,  sikujua kama mapenzi ndio yananguvu namna hii,  nilichukia huu ulimwengu ulioniingiza alafa sikuoni kabisa nilikuwa gizani pekeangu"



"Ssshii"


Alinishika mdomo na huku akinizuia nisiendelee kuongea huku machozi yalikuwa yakimtililika, akaniambia:


"Nipo hapa sasa sitaki kuona huli wala hulali,   nataka kuona tabasam lako tuu,   mimi ndio taa yako kwenye huu ulimwengu mpya  haupo mwenyewe tena,  sawa kipenzi changu"


Niliinuka nanilivyo mwembama sasa,   nikaenda kumkalia miguuni huku akiendesha gari ,   nilimkumbatia kama mtoto mdogo  huku nikimbusu kila mahali, nampenda sana General Ethane,  aliniambia:


"Tulia hapa siku zote,  kwani hapa kifuani kwangu  ndio sehemu sahihi kwako tulizo lamoyo wako,  namimi pia"


"Asante sana Ethane,  upo sahihi kabisa"


Aliendesha gari kwa kasi sana niliwa nimetulia tulifika sehemu moja njiani  nimaharufu kwa chakula General aliingiza gari hapo na kupaki,  kisha alifungua mlango na kunifungulia nishuke, akaniambia:


"Nataka nikakulishe mtoto mzuri,    maana sitaki kuona unapitia kipindi kigumu tena,   wakati upo namimi  sawa?



Nilitabasam kisha alinishika mkono baada ya kufunga mlango  wa gari,  na tuliingia moja kwa moja restaurant,   hapo tuliandaliwa meza nzuri na muhudumu kisha walitusikiliza nini tunataka,  General aliniambia:


"Kipenzi changu agiza chochote unachotaka kula sasahivi,   nitakulisha"


Kiukweli General  alikuwa ni mkaka mwenye mahaba sana,   kwa kumtizama tuu yaani utajua,   na ndio maana wadada wengi wamekuwa wakivutiwa kuwa nae,  lakini bahati mbaya hakuwa anapenda kujiingiza tuu hovyo kwenye mahusiano,  mpaka alipokuja kukutana namimi, japo kuwa nilikuwa namkataa ila kiukweli moyoni nilimpokea kwa mikono miwili kabisa, na kumkaribisha ndani ya uvungu wa moyo wangu,  nampenda mpaka mimi mwenyewe najishangaa,  basi bwana chakula kililetwa hapo,  nikataka kuanza kula lakini  General akanianbia:



"Nilisema leo nakulisha mimi,   hivyo tulia hivyo hivyoo sawa"


Nilitabasam nakuitikia kwakichwa,   kisha alinawa mkono General na kuanza kunilisha,    tena huku akikipuliza kwa mdomo wake  kwanza  ndio ananilisha kama mtoto,   na kunifuta mdomo vizuri yaani  achatuu,   nilikuwa naona aibu lakini General ndio kaamua, wakati tunakula hapo muda ulikuwa umeenda, General akaniuliza:


"Unakaa dar sehemu gani mpenzi?


"Mimi nakaa maeneo ya kunduchi,  wewe je?


"Mimi naishi dodoma ila hapo dar huwa nafikia kambini,  nitakupeleka hadi kwenu  usihofu, alafu nyumbani unaishi na nani?



"Mimi nilichukuliwa namjomba  tangu nikiwa mdogo,   mjomba  na mkewe wamenilea kama mtotowao wakuzaa"



"Ok vizuri"


Tuliongea huku akiendelea kunilisha chakula hapo  muda huo wakati General ananilisha kumbe mjomba nae alishuka hapo kula alishukudia General akipuliza chakula nakisha akanilisha mjomba aliganda akinituzama  nilishtuka nilipomuona nilishindwa hata kujitetea




Je unavyo dhani mjomba wake Laura atafanyaje na kushuhudia kabisa Laura analishwa kimahaba na General nini kitatokea endelea kuifuatilia............
Tangazo - Distro kid Upload your music To day
Distro kid Upload your music To day
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 10 Nilipo mkumbatia kwa nyuma alishtuka na kunishika mikono

kisha aliniachanisha na kugeuka ndipo aliponiona mimi akasema:


"Laura?


"Ndio mimi Laura "


"Mbona upo hapa mpaka sasahivi si mmeruhusiwa kuondoka wewe imekuwaje umebaki hapa?


"Nilikuwa nakungoja wewe General"


"Mimi,  kwanini?


"Nilikuwa nataka kuongea na wewe General"


"Haya niambie unataka kuongea kitu gani Laura?


"Nikweli nakupenda  sana General,    japo nilikuwa nazikataa hisia zangu zakweli,   lakini tangu umeondoka kambini hisia zangu juu yako zimezidi kuongezeka,   nimeteseka sana sili silali nakumis sana mwenzio,  kunamuda  nilikuwa  nalia tuu nikitamani kukuona ata kukusikia tuu  japo sauti yako,   moyo wangu  umeondoka nao General nisamehe mimi nakuhitaji mno"


Niliongea huku nikilia kwa hisia zandani ya moyo,  General alinitizama kwa romantic sana  kisha alinivuta na...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/general-sili-silali-juu-yako-sehemu-ya-10-nilipo-mkumbatia-kwa-nyuma-alishtuka-na-kunishika-mikono

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi general-sili-silali-juu-yako-sehemu-ya
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 13    Nilikurupuka na kuinuka nikaifunga suruali yangu na kukaa kisha General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 13 Nilikurupuka na kuinuka nikaifunga suruali yangu na kukaa kisha General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 15
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 15
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO         SEHEMU YA 09    Kisha niliinuka taratibu na kuondoka zangu
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 09 Kisha niliinuka taratibu na kuondoka zangu
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 05  Hatimae nilifika  kwa General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 05 Hatimae nilifika  kwa General
GENERAL SILI  SILALI   JUU YAKO       SEHEMU YA 08  Nilimtizama sana nilikuwa natamani niipore simu,  lakini nikajisemea kama kweli
GENERAL SILI  SILALI   JUU YAKO SEHEMU YA 08 Nilimtizama sana nilikuwa natamani niipore simu,  lakini nikajisemea kama kweli
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 12   Nilipoweka vocha  kisha nilienda chumbani kwangu,  nikachukua kadi ya General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO  SEHEMU YA 12 Nilipoweka vocha  kisha nilienda chumbani kwangu,  nikachukua kadi ya General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO  SEHEMU YA 14
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 14
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 20
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 20
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 19
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 19
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 04  Kulipokucha tena alfajiri namapema,   filimbi ilipigwa,  wote tuliamka na kwenda mazoezi
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 04 Kulipokucha tena alfajiri namapema,   filimbi ilipigwa,  wote tuliamka na kwenda mazoezi
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 17 na 18 0742133100
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 17 na 18 0742133100
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 03  Walipo fika Catrine alikuwa chini na mimi nilikuwa juu nampiga Catrine
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 03 Walipo fika Catrine alikuwa chini na mimi nilikuwa juu nampiga Catrine
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 02  Asikuambie mtu nilijisikia vibaya kweli kufokewa mbele
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 02 Asikuambie mtu nilijisikia vibaya kweli kufokewa mbele
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 68

MY WANGU❤️ sehemu ya 68

514
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘

434
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70

MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70

412
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 46💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 46💘💘

297
MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20

MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20

130
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13

87
MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18

MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18

80
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11

72
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8

65
MIMI SIKUACHI🥰 14 MPAKA 15

MIMI SIKUACHI🥰 14 MPAKA 15

58

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.01K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.8K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.65K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.01K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.43K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.4K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.27K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.25K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.24K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.15K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 19 Daah nikasema.mwanangu iyo chupi.nimemnunulia fatuma.natka nikampelekee si unjaua bado week 3 tunaenda likizo. Lemi akaniangalia akasema mh . Aya bwana hkuna noma.mi nikaivuta ile chupi. Nikaweka chini...

MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 16 Basi nikapata kaumarufu kweli kweli pale chooni. Yani ata wadada wakawa wananishobokea sana. Naomba unifundishe nifundishe kama zote. Wadada full shobo na mimi. Ata washikaji wakawa...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 46💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 46💘💘
@majario LIVE

Moyo wangu ulianza kudata juu yaHemed🥹🥹 nilijaribu kuongea nao lakini wala haukunisikia niliuambia moyo tulia hukuhuku kwa boo tayari tushasolve tatizo lililokuwepo Acha kuhamahama😟😟 lakini moyo bado ulizidi kung'ang'ania kwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
@majario LIVE

Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana. Yani sana tu. Na prepo ilivyoisha tukarudi darasani. Mie nikampa tu yule mwanafunzi...

MIMI SIKUACHI🥰 14 MPAKA 15 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 14 MPAKA 15
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 14 Aseee mi nilimuangalia sana uyu demu. Nikamuona jau . Yani yupo very serious ananitongoza .mnajua kuna jinsi nilimdharau . Nikaona uyu demu daaah. Alivyoona namshangaa na sijamjibu...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13
@majario LIVE

12 MPAKA 13 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Nikasema vp mbona huniachii mkono. Akanmbia ahaa sory haji. Kisha akaachia mkono wangu. Na mda uo uo ndo lemi akawa analudi pale. Akasema ahaaa mrembo upo...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11
@majario LIVE

10 MPAKA 11 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Aseeeee uyu demu ni mzuri bwana. Mi. Mwenyewe nilikubali. Ila sio kwamba nilimtamani no. Mi ni mwanaime ninayejielewa sana. Wanaume tuna tamani mno. Ila unakuwa na msimamo wako...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8
@majario LIVE

7 MPAKA 9 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani ila lemi akanmbia kuna mtu anakutana nae kidogo nikasema powa so nikamuacha mimi nikaludi hostel.aseeee chuo kimechangamka iki sana. Yani...

MY WANGU❤️ sehemu ya 68 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
@majario LIVE

Basi akashuka. Akamsalimia mama pale. Mama akamuitikia. Akaniuliza. Ushakuwa tayari. Mie nikasema ndio . Akanmbia kachukue nilivyokwambia tupakie. Nikasema sawa. Kweli nikaenda kuchukua. Vilikuwa vidogo. Kweli. Vyengine niliviona kashanunua yeye...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘
@majario LIVE

0742133100 Babie Love Niliipokea ile simu huku nikiwa natetemeka kwa uoga..... hello daddy.... pendo what's going on 🤷‍♂️ taarifa gani hizi nazoambiwa kwani hamkumaliza tofauti zenu inatakiwa muache drama mtakuja kunitesea...

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

Aseeee nilikuwa na maumivu kwa kila sehemu ya mwili wangu. Nilikuwa na maumivu makali mnoo. Asa mkono . Yani sikuwa sawa kabisa. Namsikia mlige akiwa ndani .anasema yani nikitoka njeee...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

Nilikuwa najilazimisha hata kucheka mama aliniona ila akajua labda ni uoga tuu akaniambia mwanangu usijali bhana Kila kitu kutakuwa sawa na ndoa yako itapita vizuri tu nikawa namjibu kwakichwa saw,...

MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
@majario LIVE

Basi mie nikaingia chumbani nikajilaza kitandani.nikalia mnoo .niklia aswaaa.mana mi.mwenyewe mlige nampenda.nampenda sana.na kweli nimemkosea ila hataki ata kuongea na mie ni ananifanyia hasira tu. Basi shoga yenu nikawa nalia...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

Sasa wakati uo nimeenda nikaja kufunguliwa mlango na Kendrick, na ilikuwa inaonekana nyumbani walibaki wao wawili tu na wafanya kazi, Alivonifungulia mlango mie nikapita moja Kwa moja mpaka ndani sikutaka...

MY WANGU❤️ sehemu ya 63 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
@majario LIVE

Basi bwna tumefika nyumbani . Mama akaja akasema eeh baba jamani pole kwa usumbufu wote. Mlige akasema usijali mma kuwa na amani kabisa mma akauliza shida nn wamesema.....

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest