Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 17 na 18 0742133100
Gonga94 · Stories

GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 17 na 18 0742133100

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


GENERAL alinituliza hapo na kunitoa kwenye hali niliyokuwa nayo,  kisha tulianza kupiga story mbali mbali kutuhusu sisi wenyewe,  kisha nilikumbuka na kumuambia:


"Hayasasa nipe zawadi yangu uliyoniambia umeniandalia"


"Ooh! nikweli ngoja nikupe mpenzi wangu,   unajua  ulinivuruga ulivyokuja,   ulikuwa unahali mbaya sana, sipendi kuona ukilia mpenzi sipendi mtu yeyote akuumize sawa?


"Asante mpenzi wangu "


Kisha alienda kwenye gari na kuja na kimfuko kidogo kizuri,   ndani kuna box nzuri ya zawadi,  kisha alinipa hako kamfuko na kuniambia:



"Haya fungua mpenzi"



Nilifungua kile kifuko na kutoa box iliyokuwepo  ndani yake,  kisha nikatoa  na kuifungua ndani ya box,   nilikuta mkufu mzuri wa gold ambao unakidani chenye herufi yamwanzo ya jinalangu,   nilifurahi sana kwani kwangu ilikuwa ni zawadi nzuri mno,   na yathamani sana,  kisha nilimkumbatia na kumshukuru nikamuambia:


"Ninzuri sana nimeipenda asante"


"Asante wewe kwa kuipenda,  kwani ningumu sana kujua kitu kipi kitakuwa kizuri,    hasa kwa mwanamke umpendae, nafurahi kama nimefanikiwa kuufurahisha moyo wamtu ninaempenda,   Laura nakupenda sana kutoka ndani ya moyo wangu,   wewe ni wathamani mno amini hivyo"


"Asante mpenzi wangu"


"Haya tuagize nini utapenda ili tule"


"Chochote mpenzi wangu,   wewe agiza mimi nitakula"


Kisha General aliagiza mchemsho wa mbuzi na ndizi tulikula ilikuwa tamu sana pamoja na juice ya nanasi nilifurahia nikasahau matatizo yaliyonikuta asubuhi tulipo maliza kula tukaingia kwenyegani na kuanza safari alitaka kunirudisha nyumbani lakini nilimuambia:


"Hapana kwasasa sitaki niwakute wapo macho nataka nifike niwakute wapo chumbani kwao"


"Utwapa wasi wasi lakini kipenzi"


"Hapana hawakuwahi kujali kuhusu mimi baada ya kumjua mama mzazi nitakuwa najisikiaje?


"Basi kipenzi naona bado haupo sawa"


Niliona nibadili mada kwa kumuuliza kuhusu mambo ya kikazi:


"Ethane vipi nikipangiwa kazi mkoa utanifuata au ndio utanitelekeza?


"Nawezaje kuuterekeza moyo wangu kipenzi  siwezi hata kidogo hivyo nitatafuta namna yakuwa karibu nawewe tuu"


"Wow!  Asante mpenzi"


"Unaonaje twende fukweni tukale ice-cream utafurahia huko"


"Kweli eeh!  Basi twende"


Tulienda hadi siku inaisha ilikuwa nisiku ngumu mno,   alinirudisha nyumbani mida ya saa tatu hivi usiku,   nilipofika nilinyata na kuingia chumbani kwangu,  kumbe shangazi aliniona nikiingia,   na kisha nilienda kuoga na baada ya hapo nilipanda kitandani kulala,    baadae shangazi alikuja na kunitizama na kisha aliondoka,    baada ya siku chache tuliyaongea yakaisha,  ila kiukweli sikuwa nataka kumuona mama mzazi kabisa niliamua hivyo,   maisha yalisonga mbele ilifika muda tulipangiwa  vituo vyakazi,   ambapo nilipangiwa hapa hapa dar,   nilifurahi sana nikaanza kwenda kazini nikiwa ndani ya sare za jeshi,  niliweza kuwa karibu na General Ethane pamoja na rafiki yangu Nancy,   tulifurahi mno,  siku moja ilikuwa ni siku ya  weekend,    nilisema nikashinde na General Ethane,   kwani  huwa nammis sana kutokana na ubize wa kazi,  nikiwa nyumbani kwake  niliandaa chakula na kisha tulikula pamoja,  na sikuhiyo nilimis sana shoo,   hivyo Ethane  hakuninyima alinipa tena yamaana niliifurahia sana,  tulipo maliza  tulioga pamoja nakisha tukiwa tunavaa nguo huku tunacheza,  mara simu ya Ethane iliita,   kuitizama ilikuwa inayoka kwa mamaake dodoma,  aliipokea na kuongea nae mamaake,  katka mazungumzo yao  kunajambo naona halikumpendeza Ethane,  hivyo alimuambia mamaake:


"Nitakupigia tutaongea badae sio sasa"


Ila mama nahisi aliendelea kusisitiza kuongea muda huhu,  Ethane aliikata simu na kuizima kabisa,  nikamuuliza:


"Mbona hivyo kwani mama Ethane anataka nini?


"Aah! Wewe achana nae"


"Baby usichukie ndio mzazi unapaswa kumuelewa,  na msikilize kisha  umfanyie kile anataka ili iwe baraka kwako mpenzi wangu"


"Sawa kipenzi"


Niliona ameitikia tu basi ila hakuwa sawa kabisa,   nilitafuta namna yakumfanya afurahi nilikuwa namchekesha chekesha,   ilituu asiwe katika hali aliyikuwa nayo,  tukaenda  sehemu za bich na tukaanza kukimbizana,  ilituu nimfanye awe sawa  nilimchangamsha kiukweli,  kisha muda ulikuwa tayari umeenda,   Ethane alinichukua na kunirudisha nyumbani kwetu,   naye akarudi nyumbani kwake,  ndipo alipopata nafasi ya kuongea na mamaake vizuri,   alimpigia simu na kuanza kuongea:



"Mama hapana mimi tayari ninae mtu ninampenda nae ananipenda,  tafadhari sitaki tena matatizo"


"Nakuambia  huyu anaadabu nimtoto wa rafiki yake babaako,   utafurahi ukimuona kweli nakuambia,  nimrembo sana mwanangu '


"No mama,  achana na  hayo mambo"


Inaonyesha mama tayari anataka Ethane aende kuoa huko dodoma naye hayupo tayari kuniacha  namimi




Je nini kitajiri hapo endelea kufuatilia ..............

GENERAL SILI SILALI JUU YAKO

SEHEMU YA 18

0742133100

Siku moja Ethane alinichukua na kunipeleka moja kwa moja hadi dodoma yumbani kwao, nilimkuta mamaake alinikaribisha vizuri,  na kisha Ethane alinitambulisha;


"Laura huyu hapa nimamaangu mzazi,   mama huyu ni Laura ndio mwanamke ninae kwenda kumchumbia nampenda sana"


Nilinyoosha mkono kumpa mamaake na kumuambia:


"Nimefurahi kukufahamu mama"


Aliitikia yakutafuna tafuna,  hata sauti haikutoka vizuri nilishindwa kumuelewa kabisa,  nilielewa huenda ndio sauti yake ilivyo,  tukiwa bado tupo hapo dodoma  siku kama yatatu hivii,  Ethane alikuwa katoka kaenda mjini,   walikuja wageni hapo nyumbani alikuwa mmama mmoja na mdada mmoja,  aliwaribisha vizuri na kisha aliniita mimi:


"Laura hembu wasikilize wageni hata kinywaji"


Nilifanya kama alivyosema,   japokuwa kuna wahudumu  hapo nyumbani,  niliwauliza wote nakisha nilienda kuwaletea,  baada ya hapo mama Ethane aliendelea kuongea na wageni wake,  mimi nilienda chumbani kwetu kujipumzidha,  haikuchukua muda Ethane nae aliingia,  alipofika sebreni alimsalimia yule mgeni mmama na binti yake,   kisha alikuja chumbani nilipokuwa mimi aliniletea zawadi nikazipokea kwa furaha,  akaniuliza:


"Uko poa lakini?


"Ndio baby niko poa"


Kisha tukiwa tunaongea ongea alikuja muhudumu yaani mfanyakazi na kuniambia:


"Boss Ethane mama anakuita yupo sebreni "


"Nakuja mpenzi"


Aliniaga na kwenda  kumsikiliza mamaake alichomuitia,  alipofika hapo mamaake alimuambia :


"Hembu kaa hapo nikutambulishe"


"Huyu ni mke wa mzee kilie yule aliekuwa rafiki wa babayako,   unamkumbuka?


"Ndio namkumbuka,  karibu sana mama nyumbani"


Ethane alimpamkono na kumkaribisha huyo mama nyumbani,   kwa heshima na upendo,  kisha yule mama aliitikia:


"Asante sana mwanangu,   umekuwa sana  baba jamani,  nimuda mrefu haupo ndio maana sikuoni"


"Aah!  Nikweli majukumu yakazi  ndio  yanatubana  mama"


Kisha mama Ethane aliendelea kutoa utambulisho:


"Na huyo hapo ni binti yake anaitwa Veronica,    nimrembo anaheshima sana mwanangu,  ndio nimependekeza tukamchumbie kwaajili yako"


Wakati anaongea hilo neno nilikuwa nipo karibunao  kabisa,   kwani niliona Ethane anachelewa kurudi,  nikaona nimfuate hapo hapo uenda wanapiga story tuu namimi nikajumuike nao,  lakini nilichokisikia kiukweli kilinifanya nijihisi vibaya sana,   nilijiona kama nimefosi kuja kwenye hiyo nyumba ambayo hawanitaki,  niligeuka na kuanza kurudi taratibu kwa bahati mbaya nikajikwaa,   kwani nilikuwa natetemeka kwa hasira,   ndio nikawashtua  Ethane alikuwa wa kwanza kuinuka kutizama,   akaniona naishia kurudi chumbani,   hivyo aliona mambo tayari yameharibika hapa  akaanza kunifuata, nilipofika nilichukua begi langu na kupakia kilicho changu,   kisha nilitokea mlango wa nyuma haraka haraka,   hata Ethane alipofika hakunikuta alianza kukimbia kunifuatilia,   nilidandia piki piki  mbio kuelekea stend ya mabasi,  kwa bahati nzuri nilibahatika kukuta gari ndio ilikuwa inatoka tuu,   nikaingia hivyo hivyo hata siti sikupata nilikaa pale mbele karibu na dereva,  tukaondoka  Ethane alipofika stendi akaambiwa nimeingia kwenye gari iliyotoka robo saa iliyopita,  Ethane alijisikia vibaya sana  aliumia mno,   na kisha alitoa simu na kuanza kunipigia sikupokea ile simu,  iliita na kuita sikutaka kabisa kupokea,  kisha Ethane alirudi nyumbani  na kumkuta mamaake pamoja na yule binti Veronica,   ila mamaake Veronica alikuwa kaondoka,  aliingia kimya kimya hadi chumbani kwake, alipofika  alijilaza kitandani chali akiwa anamawazo sana,  yule binti Veronica akaingia huko chumbani na kujikalisha karibu na Ethane,  Ethane alikuwa na hasira sana akamuambia kwa sauti ya chini chini:


"Toka chumbani kwangu"


Yule binti alimtizama na kuzani mzaha akajifanya anamsogelea ili amfanyie masag alipomgusa tu Ethane aliinuka na kumshika mkono kwa nguvu akamuambia:


"Wewe bado mdogo sana,  hivyo tafuta mchumba utakae mpenda nae atakupenda,   acha kusikiliza wale wazee wanakupotosha,   haya inuka nenda kwenu"


"Lakini mimi tayari nimekupenda mbona usihofu kuhusu hilo"


"Wewe nimesema nenda kwenu tafadhari"


Yule binti aliinuka na kuondoka zake alipofika sebreni,  mama Ethane akamuuliza:


"Mbona unaondoka imekuwaje?


"Kanifukuza hataki hata kuniona"


"Usijari twende huko huko,  mimi ndio nimeamua asijifanye anajua sana"


Kisha walienda hadi chumbani kwa Ethane na kumuita:


"Ethane.!  Huyu binti nikwaajili yako nimekuambia,   nausimfukuze atalala nawewe hapa huyu nimkwe wangu mimi"


"Mama mimi ndio mwenye chumba  simtaki mtu chambani kwangu,  kwanza istoshe umefanya hadi Laura kaondoka,  sitaki nasema huyu mtu wako"



Mama Ethane alifosi kumuingiza binti Veronica  kwa Ethane,  mwisho Ethane alichukua begi lake na kutoka,   aliwasha gari yake na kuondoka zake"



Je nini kitajiri kwa Ethane na Laura  endelea kuifuatilia.............

Maoni

You're not logged in


Tangazo - My true love mwanzo Hadi Mwisho
My true love mwanzo Hadi Mwisho
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 17 na 18 0742133100



GENERAL alinituliza hapo na kunitoa kwenye hali niliyokuwa nayo,  kisha tulianza kupiga story mbali mbali kutuhusu sisi wenyewe,  kisha nilikumbuka na kumuambia:


"Hayasasa nipe zawadi yangu uliyoniambia umeniandalia"


"Ooh! nikweli ngoja nikupe mpenzi wangu,   unajua  ulinivuruga ulivyokuja,   ulikuwa unahali mbaya sana, sipendi kuona ukilia mpenzi sipendi mtu yeyote akuumize sawa?


"Asante mpenzi wangu "


Kisha alienda kwenye gari na kuja na kimfuko kidogo kizuri,   ndani kuna box nzuri ya zawadi,  kisha alinipa hako kamfuko na kuniambia:



"Haya fungua mpenzi"



Nilifungua kile kifuko na kutoa box iliyokuwepo  ndani yake,  kisha nikatoa  na kuifungua ndani ya box,   nilikuta mkufu mzuri wa gold ambao unakidani chenye herufi yamwanzo ya...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/general-sili-silali-juu-yako-sehemu-ya-17-na-18-0742133100

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi general-sili-silali-juu-yako-sehemu-ya
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 13    Nilikurupuka na kuinuka nikaifunga suruali yangu na kukaa kisha General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 13 Nilikurupuka na kuinuka nikaifunga suruali yangu na kukaa kisha General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO         SEHEMU YA 09    Kisha niliinuka taratibu na kuondoka zangu
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 09 Kisha niliinuka taratibu na kuondoka zangu
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 15
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 15
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 05  Hatimae nilifika  kwa General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 05 Hatimae nilifika  kwa General
GENERAL SILI  SILALI   JUU YAKO       SEHEMU YA 08  Nilimtizama sana nilikuwa natamani niipore simu,  lakini nikajisemea kama kweli
GENERAL SILI  SILALI   JUU YAKO SEHEMU YA 08 Nilimtizama sana nilikuwa natamani niipore simu,  lakini nikajisemea kama kweli
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 20
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 20
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 12   Nilipoweka vocha  kisha nilienda chumbani kwangu,  nikachukua kadi ya General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO  SEHEMU YA 12 Nilipoweka vocha  kisha nilienda chumbani kwangu,  nikachukua kadi ya General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO  SEHEMU YA 14
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 14
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO     SEHEMU YA 10  Nilipo mkumbatia kwa nyuma alishtuka na kunishika mikono
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 10 Nilipo mkumbatia kwa nyuma alishtuka na kunishika mikono
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 19
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 19
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 04  Kulipokucha tena alfajiri namapema,   filimbi ilipigwa,  wote tuliamka na kwenda mazoezi
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 04 Kulipokucha tena alfajiri namapema,   filimbi ilipigwa,  wote tuliamka na kwenda mazoezi
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 03  Walipo fika Catrine alikuwa chini na mimi nilikuwa juu nampiga Catrine
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 03 Walipo fika Catrine alikuwa chini na mimi nilikuwa juu nampiga Catrine
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 02  Asikuambie mtu nilijisikia vibaya kweli kufokewa mbele
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 02 Asikuambie mtu nilijisikia vibaya kweli kufokewa mbele
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*

897
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

479
FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16

433
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

412
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

298
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10

209
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

200
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.

180
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.

138
SHAMIRA sehemu ya 34&35

SHAMIRA sehemu ya 34&35

85

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.43K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.2K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.74K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.2K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.6K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.44K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.43K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.38K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.36K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla Post Mpya
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla
@majario LIVE

with that cute bubbly energy… and Aamir Khan being his mischievous, romantic self. What a combo yaar! Ishq was not just a love story, it was full on drama, comedy,...

 Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani Post Mpya
Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani
@majario LIVE

* Meli za kijeshi za Marekani zilizopo Ghuba ya Uajemi * Rada za Israel zilizopo Azerbaijan * Rada za Israel zilizopo Turkmenistan * Mifumo ya ulinzi wa anga ya vituo vya Marekani nchini...

SHAMIRA sehemu ya 34&35 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 34&35
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikajiiinua taratibu tukaingia bafuni. Mwanaume akanikumbatia uku tunaoga. Aseee uyu baba ananipenda ila hataki upumbavu ata kidogo na mkono wake mwepesi kupiga .na yote sababu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nikaona zena kamnyanyua yule mtoto kisha akambeba ,ni amefanana nae sana ,nikajua ni wa kwake tu yani ni lazima utu mtoto atakuwa ni mwanae, kisha akanigeukia...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17
@majario LIVE

Ikabidi nikae tu kwenye piki piki maana sura alivyokuwa kaikaza mmh asije kunipiga, Kimyaa kikatawala sasa mie nilijua tunaenda kwa Tinner na moyoni nilikuwa nimempangia hayo maneno Tinner eeh mbona...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Maeneo ya pale pale chuoni, Salmon alikuwa amepanga nyumba kubwa ya peke yake. Wakati akiwa chuo ndo alikua anaishi hapo, ila siku za weekends kama hana mambo mengi ndo anaenda...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kuanzia apo nikawa sasa kidogo naelewana na baraka. Tena mimi ndo napenda sana kuongea nae. Yani sanaaa. Napenda kucheka nae sana. Na kun jinsi...

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Usiku wangu ulikuwa mzito sana, maneno ya D kusema kuwa Veda anatembea na wanawake wengi, niliyaamini kabisaaa Bila shakaa kwa maana Yeye tu hana mwonekano mzuri ametuna tuna hovyo anakuwa...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10
@majario LIVE

Daaah nikaona mtoto kachomoa leo mana sio powa , ana vipengele sana uyu demu , ila unyama, hatachomoa kila siku, ni suala la muda tu, mana sijawahi kumtaka mwanamke ,...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media BASI nikapanda kitandani kwangu. Nikijutia sana nilichokifanya mana mh . Nilikuwa nasababisha ugomvi mkubwa wa wazazi mungu wangu. Yani mama yangu alikuwa anaachwa leo...

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.??? Post Mpya
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???
@majario LIVE

Hatimae jana tambo za Dabi zilipata majibu kwa timu za Simba na Yanga kutoka suluhu ya bila kufungana(0-0). Kwa maana hiyo timu zote ziliambulia pointi moja moja. Mchezo wa jana pamoja...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8
@majario LIVE

Zena akasema kwaiyo manager unataka kuniuza ama ni vp, yule manager aksema , naomba uelewe kuwa ukifanya kazi katika hii bar, mteja kukushika sehemu yoyote ya mwili wako ni kawaida,...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*
@majario LIVE

Jambo likawa lelelele, Yaani ni patashika nguo kuchanika, Kwa upande wangu Walahi nilikuwa nikifurahi tu, na amina alikuwa akilia tu nakuomba msamaha. Enzo wa watu mwaya akachukua muda wake na kumuelezea...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Mbali na ivyo zile zawadi alizo tumiwa Noela zilimuuma vile vile. Alihisi Noela hastahili vitu vizuri wala maisha ya kifahari. Alitaka kila kitu kiwe chake, wanaume wote wawe wake. Hata...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana , mwanaume wala sikuwa na shaka, kazi zote ambazo nilibakiwa nazo pale ofisini, nikamuachia ibraaa, na ukiacha ushikaji, mi bafo ibra ni mkubwa wake wa kazi,...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest