Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 03  Walipo fika Catrine alikuwa chini na mimi nilikuwa juu nampiga Catrine
Gonga94 · Stories

GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 03 Walipo fika Catrine alikuwa chini na mimi nilikuwa juu nampiga Catrine

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
na nilivyo mwembamba alafu Catrine alikuwa nanyama kidogo hivyo mkuu wakikosi alikuja haraka na kuninyanyua nisiendelee kumpiga Catrine nilikuwa naelewa basi nihasira tuu zimenipanda nilikuwa nasema:


"Niache nimuonyeshe,   atanizoea mimu huyu"


Mkuu wakikosi alinishika kwa nguvu,  huku akinizuia nisiende,  na kuniambia:


"Acha usiwe hivyo Laura ,   tulia nimesema tulia"


Ndipo ikasikika sauti moja tuu sio kali ila alisema


"Muachie tumuone"


Nilishtuka,  na kugeuka haraka kwani nisauti niliyokuwa naijua kabisa,  kutizama vizuri  alikuwa General,  asikuambie mtu nilinywea kama kitunguu majii kwenye mafuta,  General alisongea hadi nilipokuwa na kisha akasema:


"Wewe tena"


Nilibaki kimya siku mjibu kitu,  nilisimama kwa nidhamu,   nikiwa naogopa sijui nini tena kitanikuta awamu hii,  General aliniambia:


"Nifuate"


Nakisha aliondoka, namimi nilianza kumfuata kama alivyo sema,  na wenzangu waliingia kitandani kulala kimya kimya,  nilikuwa najiuliza sijui awamu hii atanipa zoezi gani,  na tayari usimu umesha ingia, tulipofika nje aliniambia:


"Laura,  sura yako na matendo yako haviendani kabisa,  unaumli gani wewe?


"Nina miaka ishirini na tatu mkuu"


Nilijibu kwa sauti yaupole kabisa,  kisha General alitabasam na kuniambia:



"Mimi kipindi ninaumli wako nilikuwa najitahidi sana kuwa na nidham,   ili nifanikishe kilakitu,   lakini ona wewe kila mala unakumbana na adhabu tuu,  haya sasa utasimama hapo,  mikono inyooshe juu kama unaita mvua,   na usiishushe mpaka nitakapo kuruhusu,  kisha aliwaruhusu viongozi wa vikosi hapo waende kupumzika,  kiongozi wangu kikosi namba saba akamuambia:


"Muheshimiwa General,  unaonaje ukaniachia mimi huyo,   wewe nenda upumzike maana utakuwa umechoka sana,   tangu umefika huku pumzika hata mala moja"



Nilifurahi kusikia hivyo,  kwani nilijua mkuu wa kikosi hatonitesa kama huyu General,  lakini General alinitizama na kisha akasema:


"Huyu hapana natakiwa nimnyooshe mimi mwenyewe,   kidogo awe na nidhamu,   maana anaonekana hana nidhamu kabisa"


Niliposikia hivyo, nilizidi kuchukia nikamuambia:


"Lakini mbona mnaniadhibu mimi pekeangu eeh!  nawakati alienianza mmemuacha"


General aligeuka, na kumuambia mkuu wa kikosi changu:


"Wewe nenda kapumzike, huyu niachie mimi"


Mkuu wangu wakikosi aliondika, na kuniacha hapo General,  kisha akaniambia:


"Endelea na zoezi nililokupa"


Kisha alichukua kiti na kukaa pembeni,  huku akiwa na chupa yake ya whisky,   na akiwa bize na simu yake, nili endelea kufanya kama nilivyoambiwa, kiukweli nilikuwa ninaumia sana, hadi nilijiku natokwa namachozi, lakini General alikuwa anajifanya yupo bize hanitizami, mwisho nilimuambia:


"Ninajisikia kiu,  nahitaji maji yakunywa"


Alinitizama nakisha aliinuka na kuniletea maji yakunywa,   akaninywesha maji kwa mkono wake yeye mwenyewe,  kwani  hakutaka nishushe mikono chini,  lakini sikuhishia hapo nilimuambia tena:


"Nahitaji kujisaidia haja ndogo"


"Jisaidie tuu,   hakuna anaekuona hapa,  kwanza kunagiza"


Kisha aliendelea kunywa kinywaji chake,   nilianza kulia  kwa kwa kwikwi,   yaani mikono ilikuwa inauma sana,  na sitakiwi kuishusha chini hata mala moja, nililia sana,   kwakweli General ni mkatili sana hana huruma hata kidogo, kisha akaniambia:


"Shusha mikono chini, na kisha chuchumaa chini"


Nilifanya kama alivyoniambia,  kisha akaniambia:


"Anza kuruka kichura chura,   hapo mpaka kuleee mbele,    na kisha urudi hapa fanya hivyo bila kupumzika,  naomba uanze mara moja,  acha kulialia hapa sio nyumbani kwenu"


Nilianza kuruka huku nalia,   jasho likinitoka hatari,  nilijikuta namchukia sana General,   hadi nilijisemea kimoyoni moyoni:


"Nakuchukia sana"


Tangu kaingia ni ananipa adhabu tuu mimi,   niliruka kichula kwa muda mrefu sana,    hadi mapaja yalikuwa yakitetemeka,   ila General hakujali hadi alipo maliza kunywa mvinyo wake,   alisimama na kuniambia:


"Haya inuka"


Niliendelea kuruka kwa hasira,   kama sikumsikia,   kiukweli nilikuwa nahasira sana muda huo,   alinitizama kisha akaniambia kwa sauti ya ukali:


"Inuka na uje hapa"


Nikainuka kwa tabu sana,   miguu haikuwa sawa kabisa,   ilikuwa inatetemeka nusu nianguke,   nikaanza kutembea kumfuata huku ikitetemeka miguu yangu,  nilijikuta  nikaangukia miguuni kwa General,   nnikaanza  kujizoa niinuke tena,   akaona ainame  anisaidiae   kusimama,    kiukweli nilimpushi mkono kwa hasira,    na kufosi kwa nguvu hadi nilifika juu,  huku machozi yakinitoka kwa hasira, akaniambia:


"Nenda ukalale,   ila alfajiri  nataka nikukute kwenye  tizi  uwanjani"


Nikaanza kuondoka  huku akinitizama,   nilitembea hatua chache tu  nikaanguka chini,    mapaja hayana nguvu kabisa  yanatetemeka,   alinifuata anisaidie nilipomuona nilimuambia:


"Usiniguse tafadhari"


Alitabasam kwa jeuli,  nakisha akaondoka kuniacha nilitambaa hapo hadi nilipokaribia  bwenini,     kiongozi wa kikosi changu alikuwa hajalala,    alikuwa akitoka nje anachungulia kisha analudi ndani hivyo hivyo,  ndio alipokuwa anachungulia akaniona nipo chini natambaa,    alikuja na kunisaidia kuinuka,   akanipeleka kitandani kwangu,   akaniambia:


"Nilijua tuu,   kwa General hutotoka salama,  haya inuka upumzike  sasa"


Nilimuomba kitu kimoja:


"Naomba nisaidie maji yamoto mkuu,  nataka nijikande  kidogo mapaja,   lasivyo sitoweza kuinuka alfajiri, nakuomba"


"Sawa,   ngoja nikakuchukulie jikoni"


Alienda jikoni na kunichemshia maji,   kisha alikujanayo,   nilimuomba bila aibu anisaidie kunikanda,   nilichukua upande wa kanga nikajifunga kujificha sehemu za siri tuu,   kuanzia kwenye hips kote nilimruhusu anikande,   alikubali  na kuchukua kanga akairoweka kwenye maji  ya moto,   na kisha alinikanda ilikuwa inauma sana,   lakini aliniambia:


"Jikaze Laura,  hili ndio jeshi"


Nilikuwa nalia kwa uchungu kiukweli,   nilikuwa ninamaumivu makali mno,   kisha mkuu alienda kuniletea dawa za maumivu,  nikameza kisha,  mkuu aliniambia:

"Haya lala"


Nikalala akanifunika vizuli shuka ndio  kuondoka,   alikuwa anatujali sana mkuu wa kikosi chetu,   ndio maana alikuwa ananisubili ahakikishe nimeingia kulala kabisa,   ndio akaondoka.



Endelea kufuatilia.........

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 03 Walipo fika Catrine alikuwa chini na mimi nilikuwa juu nampiga Catrine

na nilivyo mwembamba alafu Catrine alikuwa nanyama kidogo hivyo mkuu wakikosi alikuja haraka na kuninyanyua nisiendelee kumpiga Catrine nilikuwa naelewa basi nihasira tuu zimenipanda nilikuwa nasema:


"Niache nimuonyeshe,   atanizoea mimu huyu"


Mkuu wakikosi alinishika kwa nguvu,  huku akinizuia nisiende,  na kuniambia:


"Acha usiwe hivyo Laura ,   tulia nimesema tulia"


Ndipo ikasikika sauti moja tuu sio kali ila alisema


"Muachie tumuone"


Nilishtuka,  na kugeuka haraka kwani nisauti niliyokuwa naijua kabisa,  kutizama vizuri  alikuwa General,  asikuambie mtu nilinywea kama kitunguu majii kwenye mafuta,  General alisongea hadi nilipokuwa na kisha akasema:


"Wewe tena"


Nilibaki kimya siku mjibu kitu,  nilisimama kwa nidhamu,   nikiwa naogopa sijui nini tena kitanikuta awamu hii, ...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/general-sili-silali-juu-yako-sehemu-ya-03-walipo-fika-catrine-alikuwa-chini-na-mimi-nilikuwa-juu-nam

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi general-sili-silali-juu-yako-sehemu-ya
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 13    Nilikurupuka na kuinuka nikaifunga suruali yangu na kukaa kisha General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 13 Nilikurupuka na kuinuka nikaifunga suruali yangu na kukaa kisha General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO         SEHEMU YA 09    Kisha niliinuka taratibu na kuondoka zangu
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 09 Kisha niliinuka taratibu na kuondoka zangu
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 15
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 15
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 05  Hatimae nilifika  kwa General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 05 Hatimae nilifika  kwa General
GENERAL SILI  SILALI   JUU YAKO       SEHEMU YA 08  Nilimtizama sana nilikuwa natamani niipore simu,  lakini nikajisemea kama kweli
GENERAL SILI  SILALI   JUU YAKO SEHEMU YA 08 Nilimtizama sana nilikuwa natamani niipore simu,  lakini nikajisemea kama kweli
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 20
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 20
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 12   Nilipoweka vocha  kisha nilienda chumbani kwangu,  nikachukua kadi ya General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO  SEHEMU YA 12 Nilipoweka vocha  kisha nilienda chumbani kwangu,  nikachukua kadi ya General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO  SEHEMU YA 14
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 14
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO     SEHEMU YA 10  Nilipo mkumbatia kwa nyuma alishtuka na kunishika mikono
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 10 Nilipo mkumbatia kwa nyuma alishtuka na kunishika mikono
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 19
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 19
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 04  Kulipokucha tena alfajiri namapema,   filimbi ilipigwa,  wote tuliamka na kwenda mazoezi
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 04 Kulipokucha tena alfajiri namapema,   filimbi ilipigwa,  wote tuliamka na kwenda mazoezi
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 17 na 18 0742133100
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 17 na 18 0742133100
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 02  Asikuambie mtu nilijisikia vibaya kweli kufokewa mbele
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 02 Asikuambie mtu nilijisikia vibaya kweli kufokewa mbele
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*

890
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

467
FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16

431
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

407
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

289
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10

206
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

189
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.

180
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.

138
SHAMIRA sehemu ya 34&35

SHAMIRA sehemu ya 34&35

80

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.42K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.19K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.74K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.2K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.59K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.43K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.38K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.36K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla Post Mpya
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla
@majario LIVE

with that cute bubbly energy… and Aamir Khan being his mischievous, romantic self. What a combo yaar! Ishq was not just a love story, it was full on drama, comedy,...

 Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani Post Mpya
Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani
@majario LIVE

* Meli za kijeshi za Marekani zilizopo Ghuba ya Uajemi * Rada za Israel zilizopo Azerbaijan * Rada za Israel zilizopo Turkmenistan * Mifumo ya ulinzi wa anga ya vituo vya Marekani nchini...

SHAMIRA sehemu ya 34&35 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 34&35
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikajiiinua taratibu tukaingia bafuni. Mwanaume akanikumbatia uku tunaoga. Aseee uyu baba ananipenda ila hataki upumbavu ata kidogo na mkono wake mwepesi kupiga .na yote sababu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nikaona zena kamnyanyua yule mtoto kisha akambeba ,ni amefanana nae sana ,nikajua ni wa kwake tu yani ni lazima utu mtoto atakuwa ni mwanae, kisha akanigeukia...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17
@majario LIVE

Ikabidi nikae tu kwenye piki piki maana sura alivyokuwa kaikaza mmh asije kunipiga, Kimyaa kikatawala sasa mie nilijua tunaenda kwa Tinner na moyoni nilikuwa nimempangia hayo maneno Tinner eeh mbona...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Maeneo ya pale pale chuoni, Salmon alikuwa amepanga nyumba kubwa ya peke yake. Wakati akiwa chuo ndo alikua anaishi hapo, ila siku za weekends kama hana mambo mengi ndo anaenda...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kuanzia apo nikawa sasa kidogo naelewana na baraka. Tena mimi ndo napenda sana kuongea nae. Yani sanaaa. Napenda kucheka nae sana. Na kun jinsi...

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Usiku wangu ulikuwa mzito sana, maneno ya D kusema kuwa Veda anatembea na wanawake wengi, niliyaamini kabisaaa Bila shakaa kwa maana Yeye tu hana mwonekano mzuri ametuna tuna hovyo anakuwa...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10
@majario LIVE

Daaah nikaona mtoto kachomoa leo mana sio powa , ana vipengele sana uyu demu , ila unyama, hatachomoa kila siku, ni suala la muda tu, mana sijawahi kumtaka mwanamke ,...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media BASI nikapanda kitandani kwangu. Nikijutia sana nilichokifanya mana mh . Nilikuwa nasababisha ugomvi mkubwa wa wazazi mungu wangu. Yani mama yangu alikuwa anaachwa leo...

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.??? Post Mpya
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???
@majario LIVE

Hatimae jana tambo za Dabi zilipata majibu kwa timu za Simba na Yanga kutoka suluhu ya bila kufungana(0-0). Kwa maana hiyo timu zote ziliambulia pointi moja moja. Mchezo wa jana pamoja...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8
@majario LIVE

Zena akasema kwaiyo manager unataka kuniuza ama ni vp, yule manager aksema , naomba uelewe kuwa ukifanya kazi katika hii bar, mteja kukushika sehemu yoyote ya mwili wako ni kawaida,...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*
@majario LIVE

Jambo likawa lelelele, Yaani ni patashika nguo kuchanika, Kwa upande wangu Walahi nilikuwa nikifurahi tu, na amina alikuwa akilia tu nakuomba msamaha. Enzo wa watu mwaya akachukua muda wake na kumuelezea...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Mbali na ivyo zile zawadi alizo tumiwa Noela zilimuuma vile vile. Alihisi Noela hastahili vitu vizuri wala maisha ya kifahari. Alitaka kila kitu kiwe chake, wanaume wote wawe wake. Hata...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana , mwanaume wala sikuwa na shaka, kazi zote ambazo nilibakiwa nazo pale ofisini, nikamuachia ibraaa, na ukiacha ushikaji, mi bafo ibra ni mkubwa wake wa kazi,...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest