Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 20
Gonga94 · Stories

GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 20

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


0742133100

Tuliongea sana na kupanga mambo mengi yamaisha yetu,  hakika nilifurahi mno kwa upande wangu,   siku iliisha na siku iliyofuata wale washenga walikuja na kupewa majibu,   wakaondoka tukaanza kujiandaa kupokea mahari,    hatimae siku ilifika ya kupokea mahari,   mahari walileta wale wale wazee na ikapangwa tarehe ya  harusi,   ilikuwa haraka haraka Ethane hakutaka kuchelewa tena,  tukiwa kwenye maadalizi ya harusi,  Ethane aliona ipo haja ya kumjulisha sasa mamaake,  mama yake hakufurahi kabisa,  aliamua kuwataarifu baba mkubwa na shangazi zake Ethane,  aliwaambia kwa namna ya yofauti mno,  kiasi kwamba siku moja Ethane akiwa na hekaheka ya maandalizi ya harusi,   alipigiwa simu na  babamkubwa wake,  na akiwa anahitaji kuonana nae,   hivyo alimuambia yupo njiani anakuja alipo waonane,  hivyo Ethane aliacha kilakitu kwa furaha na kumsubili bamkubwa wake, na alinipigia simu na mimi akanitaarifu,  nilifurahi sana na kumtakia mazungumzo mema na baba mkubwa,  alikaa kwenye hotel  moja hapo mjini nzuri ya kifahari  akimsubilia bamkubwa wake,  nakweli baada ya muda mchache alifika bamkumbwa,  Ethane alimkaribisha vizuri japo kuwa bamkubwa alikuwa wa tofauti kabisa,  alionekana nimwenye hasira sana,  kisha Ethane alimuita muhudumu na kumuambia:



"Haya msikilize anachotaka"


Bamkubwa alijibu kwa hasira:


"Sipo hapa kupata kinyaji chako  nipo hapa kwa jambo moja tu,  kukuweka wazi"


Ethane alitoa macho kwa mshangao mkubwa,   kisha akamuambia:


"Sawa  bamkubwa lakini kwanza tuliza munkari kisha tutaongea kwanini upo hivyo?


Kisha Ethane alimuambia muhudumu:


"Nenda ulete juice ya matunda gras mbili  na maji"


Kisha muhudumu aliondoka,  na  Ethane akamgeukia  bamkubwa na kumuambia kwa heshima:


"Haya  babaangu ninakusikiliza"


"Hivi Ethane ndio tuseme umekuwa,  au ndio cheo cha u General kinachokupa kiburi hadi kumzarau mamaako"


"Kwanini bamkubwa?


"Umemdharau mamaako"


"Kivipi bamkubwa?


"Mama yako alinipigia simu na kuniambia kuwa,  unamdharau sana kila anachokuambia humsikilizi,  na alikukataza kumuoa huyo binti unaetaka  kumuoa,  ila hutaki kumsikiliza na ukaendelea na taratibu zako za kumchumbi,  unajua alipofariki babayako ulipewa ukuu wa familia,  na kuwa kama kiongozi katika ukoo sasa unawezaje kuwa kiongozi  mwenye kiburi  namna hii"


Kiukweli Ethane alisikitika sana kusikia taarifa hizo  kutoka kwa bamkubwa wake na mbaya zaidi zilitoka kwa mama yake mwenyewe,  hivyo aliamua kumuelezea  kilakitu bamkubwa wake,  na kisha akamuambia vile anavyonipenda alimuomba ridhaa ya kuja kunioa bamkubwa alimuelewa Ethane na kisha akamuambia


"Usihofu mwanangu tupo nyuma yako,   na kwakuwa tupo hai bado tuta muwakilisha babayako vyema kabisa,  hivyo wewe malizia maadalizi nitawaelewesha wote walielewa vibaya kuhusu wewe,   na kisha tutakaa na mamayako kumsahihisha atatuelewa tuu,  usihofu na msalimie sana mkwe wangu mtarajiwa"


Kiukweli Ethane alifurahi sana,  na  walipo maliza mazungumzo bamkubwa aliondoka,   na  Ethane aliamua kuenda kumalizia maadalizi yake ya harusi.

Hatimae siku ilifika nilivaa na kupambwa vizuri sana,  nilipendeza mno  mithiri ya binti mfalme,  na mjomba ndio alinishika mkono na kunipeleka hadi  madhabuni,   kisha alinikabidhi kwa Ethane,    na baada ya hapo taratibu ziliendelea ,  watu walikuja wengi sana hadi wafanya kazi wenzetu walikuja na ndugu jamaa na marafiki pia walikuwepo,   tuliapishwa kuwa mke na mume kisha tulielekea ukumbini,  ilikuwa ni harusi yakipekee ilivutia sana kwani mumewangu Ethane na wenzie wakaenda kuvaa mavazi ya kijeshi ukumbini,  nilifurahi mno sherehe ziliendelea  watu walifurahishwa sana na vitu vilivyoendelea ukumbini,   tulicheza mziki na kunywa vinywaji mbali mbali, nilitambulishwa kwa viongozi wote ndugu jamaa na marafiki,  kilamtu alikuwa na furaha na sisi,   muda ulienda sana mwisho  tulimaza sherehe,  na tulienda  fungate iliakuwa zanziba,  tulikodiwa boti na ofisini kama zawadi na wafanyakazi,   wenzetu walitupa zawadi nyingi sana,   tulipofika hotelini kiukweli nikiwa na shauku sana ya kumkumbatia mumewangu,  kisha  nikamuambia :


"Haya sasa hembu njoo hapa,  kwani tayari siogopi tena,  umesha kuwa wangu mimi wapekeangu"


Ethane alicheka na kuniambia:


"Huogopi sio"


"Ndio siogopi kwani nitapigana na mwanamke yeyote atakae kuchekea,   kwani wewe niwangu mimi tuu"

Tulifurahi sana,  kisha akanifungua zipu ya gauni niliyokuwa nimevaa,   na kunisaidia kutoa urembo niliokuwa nao,   nami  nilimsaidia pia kuvua nguo nae,  na baada ya hapo tulienda kioga bafuni pamoja,   ilikuwa niraha sana asikuambie mtu,   nilifungulia  maji ya bomba la mvua yakawa yanatumwakigia,   tukiwa tunatizamana kisha Ethane akanisogerea na kunimbia:


"Siombi ruhusa kukubusu tena,   nakubusu kilanikiwa na hamu ya kukubusu nitakavyo,  haya   hembu njoo hapa"


Alianza kunichum chum kisha akauzamisha mdomo,   na kuzinyonya vizuri rips zangu vizuri kabisa kimahaba,   kisha nilianza kuvurugwa namimi taratibu,   baada ya hapo nikajikuta namimi natoa sapoti taratibuu,   nilimnyonya vizuri rips zake,   na kisha Ethane  alishuka na kuanza kunyonya vizuri  chuchu zangu,  chuchu zilizo simama  mithiri ya embe sindano,  alizifyonza vizuri huku akiuguruma kwa raha,  na mimi pia nilikuwa nahema kwa shauku,   kisha alinigeuza  na kunishikisha ukuta,    hapo sasa  nilikibinua kikalio changu,   na kutanua kidogo miguu kisha aliingiza taratibu mashine,  kisha  kuanza kazi ya kupampu ilikuwa raha sana,   nilikuwa natoa sauti tamu za mahaba tuu,   yaani pia Ethane nae alikuwa akiunguruma kama simba mwenye njaa na kaona nyama hiyoapo,  tulikuwa na wakati mzuri mno hakika nikajikuta namuambia Ethane:


"Mimi niwako,   mali yako pekeako General  Ethane,  fanya vile unaweza,   nipe hadi nichanga nyikiwe,  kwani nakupenda sana Ethane"


"Mmmh! Asante Laura,   mmmh! Ooh yeah! Nipe yoote mkewangu ooooh! sssh mmmh!


Hadi ana pee ilikuwa raha jamani nilijihisi nipo dunia ya pekeetu kiukweli, tulipomaliza tulioga na kwenda kitandani kulala,  tulilala tukiwa tumekumbatiana hadi asubuhi ilipofika,  ilikuwa nzuri sana fungate yetu ya wiki nzima,  ilipoisha tulirudi nyumbani na kuendelea na taratibu za maisha yetu, mama yake Ethane aliamua kunikubali tuu atafanyaje ndio tayari nimeolewa na mwanae dada yake Ethane alitutumia zawadi kutoka nje ya nchi,  mimi alinitumia gari nzuri sana na ni mpya kabisa,  Ethane alitumiwa simu pamoja na laptop nzuri sana,  nilimsamehe mamaangu mzazi na kuendelea na maisha  mengine,    mungu ametujaalia mtoto wa kike mrembo sana jina lake ni Paula,familia yetu sasa imeongezeka na itazidi kuongezeka kwa uwezo wa mwenyezi Mungu..

Namshukuru Mungu kwa kunipa mume wa ndoto zangu kiukweli nina furaha sana..

MWISHO.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 20



0742133100

Tuliongea sana na kupanga mambo mengi yamaisha yetu,  hakika nilifurahi mno kwa upande wangu,   siku iliisha na siku iliyofuata wale washenga walikuja na kupewa majibu,   wakaondoka tukaanza kujiandaa kupokea mahari,    hatimae siku ilifika ya kupokea mahari,   mahari walileta wale wale wazee na ikapangwa tarehe ya  harusi,   ilikuwa haraka haraka Ethane hakutaka kuchelewa tena,  tukiwa kwenye maadalizi ya harusi,  Ethane aliona ipo haja ya kumjulisha sasa mamaake,  mama yake hakufurahi kabisa,  aliamua kuwataarifu baba mkubwa na shangazi zake Ethane,  aliwaambia kwa namna ya yofauti mno,  kiasi kwamba siku moja Ethane akiwa na hekaheka ya maandalizi ya harusi,   alipigiwa simu na  babamkubwa...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/general-sili-silali-juu-yako-sehemu-ya-20

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi general-sili-silali-juu-yako-sehemu-ya
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 13    Nilikurupuka na kuinuka nikaifunga suruali yangu na kukaa kisha General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 13 Nilikurupuka na kuinuka nikaifunga suruali yangu na kukaa kisha General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO         SEHEMU YA 09    Kisha niliinuka taratibu na kuondoka zangu
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 09 Kisha niliinuka taratibu na kuondoka zangu
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 15
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 15
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 05  Hatimae nilifika  kwa General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 05 Hatimae nilifika  kwa General
GENERAL SILI  SILALI   JUU YAKO       SEHEMU YA 08  Nilimtizama sana nilikuwa natamani niipore simu,  lakini nikajisemea kama kweli
GENERAL SILI  SILALI   JUU YAKO SEHEMU YA 08 Nilimtizama sana nilikuwa natamani niipore simu,  lakini nikajisemea kama kweli
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 12   Nilipoweka vocha  kisha nilienda chumbani kwangu,  nikachukua kadi ya General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO  SEHEMU YA 12 Nilipoweka vocha  kisha nilienda chumbani kwangu,  nikachukua kadi ya General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO  SEHEMU YA 14
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 14
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO     SEHEMU YA 10  Nilipo mkumbatia kwa nyuma alishtuka na kunishika mikono
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 10 Nilipo mkumbatia kwa nyuma alishtuka na kunishika mikono
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 19
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 19
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 04  Kulipokucha tena alfajiri namapema,   filimbi ilipigwa,  wote tuliamka na kwenda mazoezi
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 04 Kulipokucha tena alfajiri namapema,   filimbi ilipigwa,  wote tuliamka na kwenda mazoezi
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 17 na 18 0742133100
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 17 na 18 0742133100
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 03  Walipo fika Catrine alikuwa chini na mimi nilikuwa juu nampiga Catrine
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 03 Walipo fika Catrine alikuwa chini na mimi nilikuwa juu nampiga Catrine
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 02  Asikuambie mtu nilijisikia vibaya kweli kufokewa mbele
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 02 Asikuambie mtu nilijisikia vibaya kweli kufokewa mbele
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*

900
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

497
FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16

436
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

424
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

313
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

238
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10

211
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.

184
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.

141
SHAMIRA sehemu ya 34&35

SHAMIRA sehemu ya 34&35

102

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.43K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.2K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.74K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.2K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.6K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.43K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.38K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.36K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla Post Mpya
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla
@majario LIVE

with that cute bubbly energy… and Aamir Khan being his mischievous, romantic self. What a combo yaar! Ishq was not just a love story, it was full on drama, comedy,...

 Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani Post Mpya
Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani
@majario LIVE

* Meli za kijeshi za Marekani zilizopo Ghuba ya Uajemi * Rada za Israel zilizopo Azerbaijan * Rada za Israel zilizopo Turkmenistan * Mifumo ya ulinzi wa anga ya vituo vya Marekani nchini...

SHAMIRA sehemu ya 34&35 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 34&35
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikajiiinua taratibu tukaingia bafuni. Mwanaume akanikumbatia uku tunaoga. Aseee uyu baba ananipenda ila hataki upumbavu ata kidogo na mkono wake mwepesi kupiga .na yote sababu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nikaona zena kamnyanyua yule mtoto kisha akambeba ,ni amefanana nae sana ,nikajua ni wa kwake tu yani ni lazima utu mtoto atakuwa ni mwanae, kisha akanigeukia...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17
@majario LIVE

Ikabidi nikae tu kwenye piki piki maana sura alivyokuwa kaikaza mmh asije kunipiga, Kimyaa kikatawala sasa mie nilijua tunaenda kwa Tinner na moyoni nilikuwa nimempangia hayo maneno Tinner eeh mbona...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Maeneo ya pale pale chuoni, Salmon alikuwa amepanga nyumba kubwa ya peke yake. Wakati akiwa chuo ndo alikua anaishi hapo, ila siku za weekends kama hana mambo mengi ndo anaenda...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kuanzia apo nikawa sasa kidogo naelewana na baraka. Tena mimi ndo napenda sana kuongea nae. Yani sanaaa. Napenda kucheka nae sana. Na kun jinsi...

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Usiku wangu ulikuwa mzito sana, maneno ya D kusema kuwa Veda anatembea na wanawake wengi, niliyaamini kabisaaa Bila shakaa kwa maana Yeye tu hana mwonekano mzuri ametuna tuna hovyo anakuwa...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10
@majario LIVE

Daaah nikaona mtoto kachomoa leo mana sio powa , ana vipengele sana uyu demu , ila unyama, hatachomoa kila siku, ni suala la muda tu, mana sijawahi kumtaka mwanamke ,...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media BASI nikapanda kitandani kwangu. Nikijutia sana nilichokifanya mana mh . Nilikuwa nasababisha ugomvi mkubwa wa wazazi mungu wangu. Yani mama yangu alikuwa anaachwa leo...

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.??? Post Mpya
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???
@majario LIVE

Hatimae jana tambo za Dabi zilipata majibu kwa timu za Simba na Yanga kutoka suluhu ya bila kufungana(0-0). Kwa maana hiyo timu zote ziliambulia pointi moja moja. Mchezo wa jana pamoja...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8
@majario LIVE

Zena akasema kwaiyo manager unataka kuniuza ama ni vp, yule manager aksema , naomba uelewe kuwa ukifanya kazi katika hii bar, mteja kukushika sehemu yoyote ya mwili wako ni kawaida,...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*
@majario LIVE

Jambo likawa lelelele, Yaani ni patashika nguo kuchanika, Kwa upande wangu Walahi nilikuwa nikifurahi tu, na amina alikuwa akilia tu nakuomba msamaha. Enzo wa watu mwaya akachukua muda wake na kumuelezea...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Mbali na ivyo zile zawadi alizo tumiwa Noela zilimuuma vile vile. Alihisi Noela hastahili vitu vizuri wala maisha ya kifahari. Alitaka kila kitu kiwe chake, wanaume wote wawe wake. Hata...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana , mwanaume wala sikuwa na shaka, kazi zote ambazo nilibakiwa nazo pale ofisini, nikamuachia ibraaa, na ukiacha ushikaji, mi bafo ibra ni mkubwa wake wa kazi,...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest