Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 04  Kulipokucha tena alfajiri namapema,   filimbi ilipigwa,  wote tuliamka na kwenda mazoezi
Gonga94 · Stories

GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 04 Kulipokucha tena alfajiri namapema,   filimbi ilipigwa,  wote tuliamka na kwenda mazoezi

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
kama kawaida,  niliamka kwa kujitahidi sana kuhakikisha sishindwi,  muda wa kwenda pared ulipofika tulienda vikosi vyote,   hapo tukafanya pared  kisha ukaguzi ukafika,  alikuwa tayari General yupo mbele kabisa,   tayari kwa kufanya ukaguzi wa vikosi,  alianza kukagua kikosi kimoja hadi kingine,  akafika kwenye kikosi namba saba ambacho nipo mimi,  alikagua mmoja mmoja hadi kufikia kwangu,  aliponifikia mimi akasimama na kunitizama,   kisha aliendelea  na ukaguzi.

Baada ya ukaguzi kukamilika,   tuliruhusiwa kwenda kupata breakfast chap chap,  dakika kadhaa wakati tunapata breakfast,  nilijikuta nimeshika kikombe cha chai kinamoto kweli kweli   hata kunywa nishida,   nilipiga funda mbili tuu,   kengere ikapigwa hapo hapo,  ikabidi niache kunywa chai nakukimbia, nilijitahidi kiukweli,   tukaanza kufanya mazoezi  mbali mbali ya kijeshi,  nikiwa kati kati ya mazoezi nilisikia naitwa,  nikaitikia na kwenda alikuwa kiongozi wa kambi zote:


"Naam mkuu"


"Unajukumu lako ambalo tuliwapa jana, linaendelea hadi atakapo ondoka muheshimiwa General,   hivyo unapaswa kwenda kufanya maandalizi ya mchana wake"


"Sawa muheshimiwa"


Japo kimoyo moyo nilikuwa najisemea mwenyewe, 

"huu niuonevu mbona mwenzangu jana usiku hakuja,    lakini kila mala mimi tuu,   na wangejua huyo  General simpendi  hata kumuona"


Kisha niliambiwa niende kufanya maandalizi, niliondoka na kuelekea jikoni niliambiwa kitu cha kumuandalia,  nikafanya kama walivyo sema,  na nilipo maliza nilibeba na kukipeleka mezani tayari kwa kuliwa,   muda ulikuwa umefika wa yeye kupata chakula,  alienda kuambiwa,   baada ya dakika chache alikuja  kupata chakula,  alipo fika na kuniona alinitizama na kisha alitabasam, nilimkaribisha:


"Karibu chakula"


Nilijawa na hasira kweli nilipo muona,  lakini nikajikaza tuu,  baada ya kumkaribisha akakaa,  na kisha nilisogea kumchotea chakula kwenye sahani,  nilipo maliza  nilimkalibisha ale,  nae akanikaribisha namimi,  nilimjibu:


"Asante"


Kisha niliendelea kusimama pembeni,  baada ya kuchota chakula na kukiweka mdomoni akaniambia:


"Laura,  kwani wewe ulisomea mapishi"


Nilimjibu huku nikiwa makini:


"Hapana"


"Chakula chako nikitamu sana,  na nakuomba ukae hapa tule wote sasahivi"


Nikamjibu:


"Asante bado ninashibe mkuu,  wewe endelea tuu"


"Sasa hii ni amri sio ombi,  kaa hapa na ule chakula nami"


Nilikaa kwa hasira na kisha nilichukua sahani na kupakuwa chakula kidogo sana nikaanza kula muheshimiwa akaniambia


"Pamoja na yoote,   Laura mimi sio mchoyo,  tafadhari furahia chakula chako,  na naomba usinichukie namna hiyo sawa"


"Asante,  ila mbona sikuchukii mimi"


Nilimjibu tuu,  lakini ndani ya moyo wangu najua mimi mwenyewe,  kisha niliendelea kula,  nilikuwa nimechota chakula kidogo sana,   alivuta sahani yangu na kuniongezea tena chakula huku akisema:


"Unasafari ndefu sana,  na ili ufanikiwe uwe mkakamavu,   unapaswa kula zaidi usionje,  utafia kwenye mazoezi bule, sawa bint mdogo"


Milimtizama na kisha nilimjibu:


"Ila hiki sio chakula cha kruta,  hichi ni cha muheshimiwa General,  ndio maana sina uhuru nacho muheshimiwa"


Ksha alitabasam na kunijibu:


"Umekiandaa wewe mwenyewe,  mimi sina roho mbaya hivyo,   na kingine nimezoea kula na familia,  hivi ninavyokula mwenyewe huwa naboreka tuu,  nafurahi nikipata kampani kama hivi,  tafadhari mambo ya kazi tusiyaweke mezani basi Laura eeh!


Kiukweli nilijisikia kutabasam,  baada ya kusikia maneno yake,  kisha aliniambia:


"Hupendenzi kununa nuna kabisaa,  na kingine unasauti nzuri ya upole,  kama sio binti mkorofi niliyemkuta jana anampiga  mwenzie"


Nilimtizama machoni tukakutana macho kwa moacho nikajikuta naona aibu kwanza anajicho zuri limelegea linaita hatari ukikutana nalo lazima uhisi kitu lakini ni jicho lake lilivyo tuu nikainamisha uso wangu kwa aibu chini akaniambia:


"Laura,  ninaonekana mkorofi sio,   lakini mimi sio mkorofi bwana,   arafu nafurahi utakuwa rafiki tangu,   nisamehe kama nilikukosea sawa"


Nilishindwa hata kumuangalia tena,  nilibaki nimeinamisha uso wangu chini tuu,   huku nakula akanyoosha mkono na kunishika kidevu changu,   na kuniinua huku akiniambia:


"Usinionee aibu,  mimi tayari ni rafiki yako sawa Laura"


Nilitabasam tuu na kuendelea kula kisha alipomaliza kula aliniambia


"Asante  kwa chakula kitamu sana,   nakuacha ninakazi nyingi sana ofisini kwangu,   nitawaona jioni huko mazoezini sawa Laura usinichukie tena"

"Sawa muheshimiwa"


Kisha aliondoka na kuniacha mwenyewe mezani,   nilimalizia kula baada ya hapo nikatoa vyombo,   na kupeleka jikoni kuvisafisha,   nilipo maliza nikaelekea moja kwa moja  mazoezi nilipokuwa, niliendelea na mazoezi kwa amani kabisa, kwani tayari muheshimiwa General kaniomba msamaha,  kwa alicho nifanyia jana,   hivyo niliona kweli pamoja na yoote sina budi kumsamehe, kwanza alikuwa ananikomaza kimazoezi,   kwanini alinizingatia mimi tuu,  nadhani kunanamna anataka niwe, hivyo sina budi kumchukia,  nilikuwa najiambia mwenyewe kimoyo moyo tuu,  sikuhiyo nilifanya mazoezi kwa morari nzuri sana,   hadi mkuu wa kikosi changu alinifurahia,  na kuniambia:


"Sikutegemea kama leo ungekuwa wa moto namna hii,  kutokana na hali uliyokuwa nayo jana usiku,  hivyo nilikuwa nahofu kuhusu siku yako ya leo itakuwa mbaya sana,  lakini tofauti na nilivyo fikilia asante mungu haya endelea kupiga tizi"



Nilitabasam na kisha siku mjibu chochote,   niliendelea tuu na mazoezi tuu, hatimae muda ulikuwa tayari umeenda,   tunakaribia kwenda kwenye pared,   nilijikuta nashauku ya kutaka kumuona muheshimiwa General tu,  muda wote nilikuwa nageuka geuka tuu kutaka kumuona je amekuja kutuona,  kwa gafla wakati nainua uso wangu kutizama kama kaja nilikutana nae uso kwa uso,  nae alikuwa akinitafuta anione tulikutana macho kwa macho,  nikajikuta naona aibu tena,   sikujua ni hali gani tena inanitokea kwa huyu General,  nikawa najisemea kimoyo moyo:

"mmh!  Mbona wote nawatizama vizuri tuu,  na sijikuti katika hali hii,  kwanini iwe kwa General"

Kisha nikajisemea:


"Niujinga wangu tuu,  hembu niendelee na mazoezi mimi"


Niliendelea kufanya mazoezi kisha General alitabasam na kuondoka zake,   kwenda kuendelea kukagua  vikosi vingine,  nilitabasam pia nilipo muona anaondoka huku akitambasam,  makruta wenzangu hawakuelewa ana tabasam kwanini,  baada ya muda  mfupi firibi ilipulizwa,  tukatoka na kwenda moja kwa moja pared, tulipofika tufanya pared yetu hapo,  kisha alitoa matangazo General na kuturuhusu tukaoge,   kisha tukale chakula na kwenda kupumzika,  nilikuwa nimechoka sana nilienda moja kwa moja bafuni kuoga,  na nilipomaliza nilitoka na kwenda bwenini kwetu kubadili  nguo, nilivaa suruali yangu na tisheti zote ni zahapo kambini,  kisha nilikaa kitandani kujisomea vitabu vyangu,  jioni hiyo alienda yule mwenzangu tulie chaguliwa wote,  kwaajili ya kazi hiyo kumuandalia chakula muheshimiwa General,   na mimi niliambiwa na mkuu wangu wakikosi nipumzike,   hivyo nilikuwa nasoma kitabu changu lakini nikimkumbuka General najikuta natabasam pekeangu,  mpaka kina Catrine na wenzie wakawa wananitizama,  sikujali nilipo waona wakinitizama,  niliendelea kujisomea mwenyewe, muda wa kwenda kula ulifika tukaenda kula chakula,   na tulipo maliza kula tulirudi bwenini kupumzika,  nikiwa nimejiegemesha kitandani nahuku ninasoma kitabu changu,  alikuja mwenzangu yule tulie chaguliwa wote kwa kazi ya kumuuhudumia General,  na kuniambia:


"Laura,   unaitwa na General  yupo kule kwake tulipomuandalia siku ile,  sasa hivi"


Nikainuka na kuanza kwenda kina Catrine na wenzie wakaanza minongono  na huku wakicheka walikuwa wakisema:


"Atakuwa anaenda kupewa adhabu tuu lazima,    maana huyu hasikii,  na General hampendi kabisa"


Sikuwajibu hata,   nikaondoka zangu tu tulipofika nje,  nilimuuliza yule mwenzangu:



"Nancy kwani ninaitiwa nini na General?


"Kiukweli sijui,   na mimi tayari nimesha maliza kazi yangu,   hivyo nakuacha nikapumzike sasa,  haya  usiku mwema Laura "


"Sawa usiku mwema Nancy"


Nilijiongelea mwenyewe  kimoyo moyo:


"Mmh! Mimi tena mzee wa majanga,   haya sijui nimefanya nini tena na leo,   na sijui naenda kupewa adhabu gani huko tena ehe!  Mungu  nisaidie"




Endelea kufuatilia...............
Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 04 Kulipokucha tena alfajiri namapema,   filimbi ilipigwa,  wote tuliamka na kwenda mazoezi

kama kawaida,  niliamka kwa kujitahidi sana kuhakikisha sishindwi,  muda wa kwenda pared ulipofika tulienda vikosi vyote,   hapo tukafanya pared  kisha ukaguzi ukafika,  alikuwa tayari General yupo mbele kabisa,   tayari kwa kufanya ukaguzi wa vikosi,  alianza kukagua kikosi kimoja hadi kingine,  akafika kwenye kikosi namba saba ambacho nipo mimi,  alikagua mmoja mmoja hadi kufikia kwangu,  aliponifikia mimi akasimama na kunitizama,   kisha aliendelea  na ukaguzi.

Baada ya ukaguzi kukamilika,   tuliruhusiwa kwenda kupata breakfast chap chap,  dakika kadhaa wakati tunapata breakfast,  nilijikuta nimeshika kikombe cha chai kinamoto kweli kweli   hata kunywa nishida,   nilipiga funda mbili tuu,   kengere ikapigwa hapo hapo,  ikabidi niache kunywa...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/general-sili-silali-juu-yako-sehemu-ya-04-kulipokucha-tena-alfajiri-namapema-filimbi-ilipigwa-wote-t

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi general-sili-silali-juu-yako-sehemu-ya
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 13    Nilikurupuka na kuinuka nikaifunga suruali yangu na kukaa kisha General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 13 Nilikurupuka na kuinuka nikaifunga suruali yangu na kukaa kisha General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 15
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 15
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 05  Hatimae nilifika  kwa General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 05 Hatimae nilifika  kwa General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO         SEHEMU YA 09    Kisha niliinuka taratibu na kuondoka zangu
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 09 Kisha niliinuka taratibu na kuondoka zangu
GENERAL SILI  SILALI   JUU YAKO       SEHEMU YA 08  Nilimtizama sana nilikuwa natamani niipore simu,  lakini nikajisemea kama kweli
GENERAL SILI  SILALI   JUU YAKO SEHEMU YA 08 Nilimtizama sana nilikuwa natamani niipore simu,  lakini nikajisemea kama kweli
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 12   Nilipoweka vocha  kisha nilienda chumbani kwangu,  nikachukua kadi ya General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO  SEHEMU YA 12 Nilipoweka vocha  kisha nilienda chumbani kwangu,  nikachukua kadi ya General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO  SEHEMU YA 14
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 14
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 20
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 20
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO     SEHEMU YA 10  Nilipo mkumbatia kwa nyuma alishtuka na kunishika mikono
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 10 Nilipo mkumbatia kwa nyuma alishtuka na kunishika mikono
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 19
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 19
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 17 na 18 0742133100
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 17 na 18 0742133100
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 03  Walipo fika Catrine alikuwa chini na mimi nilikuwa juu nampiga Catrine
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 03 Walipo fika Catrine alikuwa chini na mimi nilikuwa juu nampiga Catrine
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 02  Asikuambie mtu nilijisikia vibaya kweli kufokewa mbele
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 02 Asikuambie mtu nilijisikia vibaya kweli kufokewa mbele
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67

643
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65

MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65

578
MY WANGU❤️ sehemu ya 68

MY WANGU❤️ sehemu ya 68

497
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘

430
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20

353
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70

MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70

294
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 46💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 46💘💘

222
MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20

MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20

92
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13

85
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11

70

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.79K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.65K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.01K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.43K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.4K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.27K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.25K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.24K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.14K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 19 Daah nikasema.mwanangu iyo chupi.nimemnunulia fatuma.natka nikampelekee si unjaua bado week 3 tunaenda likizo. Lemi akaniangalia akasema mh . Aya bwana hkuna noma.mi nikaivuta ile chupi. Nikaweka chini...

MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 16 Basi nikapata kaumarufu kweli kweli pale chooni. Yani ata wadada wakawa wananishobokea sana. Naomba unifundishe nifundishe kama zote. Wadada full shobo na mimi. Ata washikaji wakawa...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 46💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 46💘💘
@majario LIVE

Moyo wangu ulianza kudata juu yaHemed🥹🥹 nilijaribu kuongea nao lakini wala haukunisikia niliuambia moyo tulia hukuhuku kwa boo tayari tushasolve tatizo lililokuwepo Acha kuhamahama😟😟 lakini moyo bado ulizidi kung'ang'ania kwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
@majario LIVE

Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana. Yani sana tu. Na prepo ilivyoisha tukarudi darasani. Mie nikampa tu yule mwanafunzi...

MIMI SIKUACHI🥰 14 MPAKA 15 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 14 MPAKA 15
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 14 Aseee mi nilimuangalia sana uyu demu. Nikamuona jau . Yani yupo very serious ananitongoza .mnajua kuna jinsi nilimdharau . Nikaona uyu demu daaah. Alivyoona namshangaa na sijamjibu...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13
@majario LIVE

12 MPAKA 13 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Nikasema vp mbona huniachii mkono. Akanmbia ahaa sory haji. Kisha akaachia mkono wangu. Na mda uo uo ndo lemi akawa analudi pale. Akasema ahaaa mrembo upo...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11
@majario LIVE

10 MPAKA 11 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Aseeeee uyu demu ni mzuri bwana. Mi. Mwenyewe nilikubali. Ila sio kwamba nilimtamani no. Mi ni mwanaime ninayejielewa sana. Wanaume tuna tamani mno. Ila unakuwa na msimamo wako...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8
@majario LIVE

7 MPAKA 9 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani ila lemi akanmbia kuna mtu anakutana nae kidogo nikasema powa so nikamuacha mimi nikaludi hostel.aseeee chuo kimechangamka iki sana. Yani...

MY WANGU❤️ sehemu ya 68 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
@majario LIVE

Basi akashuka. Akamsalimia mama pale. Mama akamuitikia. Akaniuliza. Ushakuwa tayari. Mie nikasema ndio . Akanmbia kachukue nilivyokwambia tupakie. Nikasema sawa. Kweli nikaenda kuchukua. Vilikuwa vidogo. Kweli. Vyengine niliviona kashanunua yeye...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘
@majario LIVE

0742133100 Babie Love Niliipokea ile simu huku nikiwa natetemeka kwa uoga..... hello daddy.... pendo what's going on 🤷‍♂️ taarifa gani hizi nazoambiwa kwani hamkumaliza tofauti zenu inatakiwa muache drama mtakuja kunitesea...

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

Aseeee nilikuwa na maumivu kwa kila sehemu ya mwili wangu. Nilikuwa na maumivu makali mnoo. Asa mkono . Yani sikuwa sawa kabisa. Namsikia mlige akiwa ndani .anasema yani nikitoka njeee...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

Nilikuwa najilazimisha hata kucheka mama aliniona ila akajua labda ni uoga tuu akaniambia mwanangu usijali bhana Kila kitu kutakuwa sawa na ndoa yako itapita vizuri tu nikawa namjibu kwakichwa saw,...

MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
@majario LIVE

Basi mie nikaingia chumbani nikajilaza kitandani.nikalia mnoo .niklia aswaaa.mana mi.mwenyewe mlige nampenda.nampenda sana.na kweli nimemkosea ila hataki ata kuongea na mie ni ananifanyia hasira tu. Basi shoga yenu nikawa nalia...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

Sasa wakati uo nimeenda nikaja kufunguliwa mlango na Kendrick, na ilikuwa inaonekana nyumbani walibaki wao wawili tu na wafanya kazi, Alivonifungulia mlango mie nikapita moja Kwa moja mpaka ndani sikutaka...

MY WANGU❤️ sehemu ya 63 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
@majario LIVE

Basi bwna tumefika nyumbani . Mama akaja akasema eeh baba jamani pole kwa usumbufu wote. Mlige akasema usijali mma kuwa na amani kabisa mma akauliza shida nn wamesema.....

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest