Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

GENERAL SILI SILALI JUU YAKO  SEHEMU YA 14
Gonga94 · Stories

GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 14

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


0742133100

Mjomba alisimama  kwa nyuma yetu na gari yake,   wakati huo hatukuwa hata na wazo alitizama mchezo mzima,   kisha  General alipo niachia  nilitembea kwatabu  sana hadi getini,    na kisha niligonga geti mlinzi akanifungulia nikaingia ndani,   nilienda moja kwa moja chumbani kwangu nilikuwa namaumivu sana,
General alipo nishuhudia tayari  nimeingia ndani ndio akaingia nayeye kwenye gari yake na kuondoka zake,    mjomba alishindwa afanyeje  akasogea na gari yake hadi getini,   kisha akapiga honi na mlinzi akamfungulia geti,   alafu akaingia ndani  alienda mpaka kwenye paking yake,    kisha alishuka baada ya kupaki,    alikuwa na hasira kweli baada ya kutuona,    akaenda mpaka chumbani kwake,  mkewe alipomuona na hali hiyo,   akamuuliza:


"Mumewangu kulikoni tena,   mbona upo hivyo eeh! Niambie Mumewangu"


Kisha mjomba alimuhadithia shangazi kilakitu alichokiona  hapo nje,   akaongezea na:


"Sijui hata anatatizo gani maana nilivyomuona anavyo tembea,   ni kama hayupo sawa kabisa,   haya nenda umtizame sijui ananini kama ameaguka kamuhudumia"


Pamoja na hasira zake kwangu mjomba,   lakini ananipenda na kunijari sana  kama  binti yake wa kumzaa hivyo alimuambia shangazi aje kunitizama kama kunakitu kimenipata kweli shangazi alikuja hadi kwenye mlango wa chumbani kwangu na kuanza kugonga huku akiniita:


"Laura!......Laura kipenzi!"


"Mama"


"Ndio kipenzi"


"Fungua ingia"


Kisha shangazi alifungua na kuingia mimi hupenda kumuita shangazi mama kwani ndio alinilea na alinipa upendo mzuri kaka mama hata yeye huniita mwanangu ndio tulivyozoeshana alipo ingia chumbani kwangu alinikuta nimesha jilaza kitandani tena nimejifunika na duvet langu akaniuliza:


"Kulikoni  kipenzi  mbona umekuja tuu na kupanda kitandani hata hukuniambia vipi huko ulifurahia kuwa na rafikiako Ethane eeh! Na kingine eti vipi umeumia mguu kwani maana mjomba wako kakuona ukiingia ila ulikuwa unatembea kwa tabu  sana niambie  mrembo wangu?


Nilishtuka kwanza kuskia mjomba kaniona nilipokuwa naingia nikamuuliza:



"Weeeh!  Mjomba kwani alikuwa amesharudi?


"Hapana labda mliongozana maana ndio kaingia sio muda"


"Mungu wangu,  atakuwa kaniona nikiwa na General sio?


"Nikweli maana kaja na hasira kamazote"


"Sasa nitafanyaje mama nisaidie"


"Hilo halina shida sana nataka kujua umepatwa na nini mpenzi"



"Usijali mama nilipoenda kambini kwa General,  niliwakuta wapo mazoezini hivyo aliniambia nijiunge nao,   ndio maana hata mapaja yananiuma sana,  ila najua  nitakuwa sawa baada ya muda tu"



"Ooh!  Pole kipenzi je umekunywa dawa zamaumivu?"


"Ndio  mama"


"Ila wewe sikuamini hapo kwenye dawa,   ngoja nikuchukulie na umeze mbele yangu  sawa"


"Dah! Mamaa jamani!


"Tulia hivyo hivyo ngoja nakuja"


Alienda na kuja na box la msalaba mwekundu,   linakilakitu vifaa tiba na dawa za maumivu,   akaa pembeni yangu kisha alitoa panado na kunipa,  kisha alichukua maji yakunywa na kunipa,   nikameza na kisha akaniambia:


"Hapo sasa nisawa kipenzi changu"


"Haya sasa naomba nilale"


"Sawa unaweza kulala  lakini je  chakula umekula?


"Aah! Mamaa"


"Mama nini?    mvivu wakula wewe,   hulali bila kula hapa,   ngoja nikachukue chakula sasahivi"


Kisha mama aliinuka  nakwenda jikoni, akachukua chakula na kuja,  kisha  alikaa na kuanza kunilisha,  huyo ndio mama  yangu mimi,   hatoruhusu kabisa kuona nalala bila kula,    kisha alipomaliza kunilisha   akaniruhusu  sasa nilale,    kisha nikajilaza hapo kitandani,   na shangazi aliondoka na kuniacha,    baada  ya muda simu yangu iliita kuitizama alikuwa General,   nikaipokea akaniambia:


"Mpenzi wangu tayari nimeshafika nyumbani namimi,   ila nime kumis taya mwenzio"


"Asante"


"Baby  nakupenda sana Laura,   kiukweli umeongeza upendo mkubwa sana  ndani ya moyo wangu,  na  hata itokee kitu gani hakika  nitalipambania penzi lako,  umenifanya niwe kichaa wa mapenzi"


"Unajua mjomba katuona hapo getini ulivyo nikumbatia  na kunichum,   hadi mwendo wangu kamuambia shangazi,   ila nimejitahidi kuongea na shangazi atalitatua yeye mwenyewe"


"Shangazi yako nimtu bora sana Laura,   nimempenda pia"


"Haya sasa naomba nipumzike kwani ninamaumivu sana"


"Natamani ningekuwa hapo,  nikukumbatie hadi asubuhi,  pole mpenzi wangu na nisamehe kwa dharti yamoyo wangu  nakuomba,  na ninazawadi yako juu  yawewe  ulichonitunukia leo,   japo haita fikia thamani ya usichana wako,   ila nitaomba upokee sawa"


Nilijisikia  vizuri sana,  kusikia maneno mazuri namatamu  kutoka kwa General Ethane,  nikajiona kumbe ninathamani kiasi hicho, nikamuitikia:


"Sawa mpenzi wangu"





Je unathani nikweli Ethane anaiona thamani ya binti mrembo Laura  na je atamtunukia kitu gani eeh! Tafadhali endelea kufuatilia................

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 14



0742133100

Mjomba alisimama  kwa nyuma yetu na gari yake,   wakati huo hatukuwa hata na wazo alitizama mchezo mzima,   kisha  General alipo niachia  nilitembea kwatabu  sana hadi getini,    na kisha niligonga geti mlinzi akanifungulia nikaingia ndani,   nilienda moja kwa moja chumbani kwangu nilikuwa namaumivu sana,
General alipo nishuhudia tayari  nimeingia ndani ndio akaingia nayeye kwenye gari yake na kuondoka zake,    mjomba alishindwa afanyeje  akasogea na gari yake hadi getini,   kisha akapiga honi na mlinzi akamfungulia geti,   alafu akaingia ndani  alienda mpaka kwenye paking yake,    kisha alishuka baada ya kupaki,    alikuwa na hasira kweli baada ya kutuona,    akaenda mpaka chumbani kwake,  mkewe alipomuona...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/general-sili-silali-juu-yako-sehemu-ya-14

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi general-sili-silali-juu-yako-sehemu-ya
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 13    Nilikurupuka na kuinuka nikaifunga suruali yangu na kukaa kisha General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 13 Nilikurupuka na kuinuka nikaifunga suruali yangu na kukaa kisha General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO         SEHEMU YA 09    Kisha niliinuka taratibu na kuondoka zangu
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 09 Kisha niliinuka taratibu na kuondoka zangu
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 15
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 15
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 05  Hatimae nilifika  kwa General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 05 Hatimae nilifika  kwa General
GENERAL SILI  SILALI   JUU YAKO       SEHEMU YA 08  Nilimtizama sana nilikuwa natamani niipore simu,  lakini nikajisemea kama kweli
GENERAL SILI  SILALI   JUU YAKO SEHEMU YA 08 Nilimtizama sana nilikuwa natamani niipore simu,  lakini nikajisemea kama kweli
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 20
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 20
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 12   Nilipoweka vocha  kisha nilienda chumbani kwangu,  nikachukua kadi ya General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO  SEHEMU YA 12 Nilipoweka vocha  kisha nilienda chumbani kwangu,  nikachukua kadi ya General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO     SEHEMU YA 10  Nilipo mkumbatia kwa nyuma alishtuka na kunishika mikono
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 10 Nilipo mkumbatia kwa nyuma alishtuka na kunishika mikono
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 19
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 19
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 04  Kulipokucha tena alfajiri namapema,   filimbi ilipigwa,  wote tuliamka na kwenda mazoezi
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 04 Kulipokucha tena alfajiri namapema,   filimbi ilipigwa,  wote tuliamka na kwenda mazoezi
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 17 na 18 0742133100
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 17 na 18 0742133100
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 03  Walipo fika Catrine alikuwa chini na mimi nilikuwa juu nampiga Catrine
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 03 Walipo fika Catrine alikuwa chini na mimi nilikuwa juu nampiga Catrine
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 02  Asikuambie mtu nilijisikia vibaya kweli kufokewa mbele
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 02 Asikuambie mtu nilijisikia vibaya kweli kufokewa mbele
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*

897
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

479
FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16

433
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

412
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

298
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10

209
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

200
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.

180
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.

138
SHAMIRA sehemu ya 34&35

SHAMIRA sehemu ya 34&35

85

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.43K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.2K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.74K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.2K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.6K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.44K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.43K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.38K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.36K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla Post Mpya
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla
@majario LIVE

with that cute bubbly energy… and Aamir Khan being his mischievous, romantic self. What a combo yaar! Ishq was not just a love story, it was full on drama, comedy,...

 Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani Post Mpya
Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani
@majario LIVE

* Meli za kijeshi za Marekani zilizopo Ghuba ya Uajemi * Rada za Israel zilizopo Azerbaijan * Rada za Israel zilizopo Turkmenistan * Mifumo ya ulinzi wa anga ya vituo vya Marekani nchini...

SHAMIRA sehemu ya 34&35 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 34&35
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikajiiinua taratibu tukaingia bafuni. Mwanaume akanikumbatia uku tunaoga. Aseee uyu baba ananipenda ila hataki upumbavu ata kidogo na mkono wake mwepesi kupiga .na yote sababu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nikaona zena kamnyanyua yule mtoto kisha akambeba ,ni amefanana nae sana ,nikajua ni wa kwake tu yani ni lazima utu mtoto atakuwa ni mwanae, kisha akanigeukia...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17
@majario LIVE

Ikabidi nikae tu kwenye piki piki maana sura alivyokuwa kaikaza mmh asije kunipiga, Kimyaa kikatawala sasa mie nilijua tunaenda kwa Tinner na moyoni nilikuwa nimempangia hayo maneno Tinner eeh mbona...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Maeneo ya pale pale chuoni, Salmon alikuwa amepanga nyumba kubwa ya peke yake. Wakati akiwa chuo ndo alikua anaishi hapo, ila siku za weekends kama hana mambo mengi ndo anaenda...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kuanzia apo nikawa sasa kidogo naelewana na baraka. Tena mimi ndo napenda sana kuongea nae. Yani sanaaa. Napenda kucheka nae sana. Na kun jinsi...

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Usiku wangu ulikuwa mzito sana, maneno ya D kusema kuwa Veda anatembea na wanawake wengi, niliyaamini kabisaaa Bila shakaa kwa maana Yeye tu hana mwonekano mzuri ametuna tuna hovyo anakuwa...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10
@majario LIVE

Daaah nikaona mtoto kachomoa leo mana sio powa , ana vipengele sana uyu demu , ila unyama, hatachomoa kila siku, ni suala la muda tu, mana sijawahi kumtaka mwanamke ,...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media BASI nikapanda kitandani kwangu. Nikijutia sana nilichokifanya mana mh . Nilikuwa nasababisha ugomvi mkubwa wa wazazi mungu wangu. Yani mama yangu alikuwa anaachwa leo...

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.??? Post Mpya
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???
@majario LIVE

Hatimae jana tambo za Dabi zilipata majibu kwa timu za Simba na Yanga kutoka suluhu ya bila kufungana(0-0). Kwa maana hiyo timu zote ziliambulia pointi moja moja. Mchezo wa jana pamoja...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8
@majario LIVE

Zena akasema kwaiyo manager unataka kuniuza ama ni vp, yule manager aksema , naomba uelewe kuwa ukifanya kazi katika hii bar, mteja kukushika sehemu yoyote ya mwili wako ni kawaida,...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*
@majario LIVE

Jambo likawa lelelele, Yaani ni patashika nguo kuchanika, Kwa upande wangu Walahi nilikuwa nikifurahi tu, na amina alikuwa akilia tu nakuomba msamaha. Enzo wa watu mwaya akachukua muda wake na kumuelezea...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Mbali na ivyo zile zawadi alizo tumiwa Noela zilimuuma vile vile. Alihisi Noela hastahili vitu vizuri wala maisha ya kifahari. Alitaka kila kitu kiwe chake, wanaume wote wawe wake. Hata...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana , mwanaume wala sikuwa na shaka, kazi zote ambazo nilibakiwa nazo pale ofisini, nikamuachia ibraaa, na ukiacha ushikaji, mi bafo ibra ni mkubwa wake wa kazi,...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest