Menu






Sema Jambo 2025

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94
  gonga94 official track
Tangazo - EARN MONEY TO DAY
EARN MONEY TO DAY

GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 14

20th Dec, 2025 Views 35



0742133100

Mjomba alisimama  kwa nyuma yetu na gari yake,   wakati huo hatukuwa hata na wazo alitizama mchezo mzima,   kisha  General alipo niachia  nilitembea kwatabu  sana hadi getini,    na kisha niligonga geti mlinzi akanifungulia nikaingia ndani,   nilienda moja kwa moja chumbani kwangu nilikuwa namaumivu sana,
General alipo nishuhudia tayari  nimeingia ndani ndio akaingia nayeye kwenye gari yake na kuondoka zake,    mjomba alishindwa afanyeje  akasogea na gari yake hadi getini,   kisha akapiga honi na mlinzi akamfungulia geti,   alafu akaingia ndani  alienda mpaka kwenye paking yake,    kisha alishuka baada ya kupaki,    alikuwa na hasira kweli baada ya kutuona,    akaenda mpaka chumbani kwake,  mkewe alipomuona na hali hiyo,   akamuuliza:


"Mumewangu kulikoni tena,   mbona upo hivyo eeh! Niambie Mumewangu"


Kisha mjomba alimuhadithia shangazi kilakitu alichokiona  hapo nje,   akaongezea na:


"Sijui hata anatatizo gani maana nilivyomuona anavyo tembea,   ni kama hayupo sawa kabisa,   haya nenda umtizame sijui ananini kama ameaguka kamuhudumia"


Pamoja na hasira zake kwangu mjomba,   lakini ananipenda na kunijari sana  kama  binti yake wa kumzaa hivyo alimuambia shangazi aje kunitizama kama kunakitu kimenipata kweli shangazi alikuja hadi kwenye mlango wa chumbani kwangu na kuanza kugonga huku akiniita:


"Laura!......Laura kipenzi!"


"Mama"


"Ndio kipenzi"


"Fungua ingia"


Kisha shangazi alifungua na kuingia mimi hupenda kumuita shangazi mama kwani ndio alinilea na alinipa upendo mzuri kaka mama hata yeye huniita mwanangu ndio tulivyozoeshana alipo ingia chumbani kwangu alinikuta nimesha jilaza kitandani tena nimejifunika na duvet langu akaniuliza:


"Kulikoni  kipenzi  mbona umekuja tuu na kupanda kitandani hata hukuniambia vipi huko ulifurahia kuwa na rafikiako Ethane eeh! Na kingine eti vipi umeumia mguu kwani maana mjomba wako kakuona ukiingia ila ulikuwa unatembea kwa tabu  sana niambie  mrembo wangu?


Nilishtuka kwanza kuskia mjomba kaniona nilipokuwa naingia nikamuuliza:



"Weeeh!  Mjomba kwani alikuwa amesharudi?


"Hapana labda mliongozana maana ndio kaingia sio muda"


"Mungu wangu,  atakuwa kaniona nikiwa na General sio?


"Nikweli maana kaja na hasira kamazote"


"Sasa nitafanyaje mama nisaidie"


"Hilo halina shida sana nataka kujua umepatwa na nini mpenzi"



"Usijali mama nilipoenda kambini kwa General,  niliwakuta wapo mazoezini hivyo aliniambia nijiunge nao,   ndio maana hata mapaja yananiuma sana,  ila najua  nitakuwa sawa baada ya muda tu"



"Ooh!  Pole kipenzi je umekunywa dawa zamaumivu?"


"Ndio  mama"


"Ila wewe sikuamini hapo kwenye dawa,   ngoja nikuchukulie na umeze mbele yangu  sawa"


"Dah! Mamaa jamani!


"Tulia hivyo hivyo ngoja nakuja"


Alienda na kuja na box la msalaba mwekundu,   linakilakitu vifaa tiba na dawa za maumivu,   akaa pembeni yangu kisha alitoa panado na kunipa,  kisha alichukua maji yakunywa na kunipa,   nikameza na kisha akaniambia:


"Hapo sasa nisawa kipenzi changu"


"Haya sasa naomba nilale"


"Sawa unaweza kulala  lakini je  chakula umekula?


"Aah! Mamaa"


"Mama nini?    mvivu wakula wewe,   hulali bila kula hapa,   ngoja nikachukue chakula sasahivi"


Kisha mama aliinuka  nakwenda jikoni, akachukua chakula na kuja,  kisha  alikaa na kuanza kunilisha,  huyo ndio mama  yangu mimi,   hatoruhusu kabisa kuona nalala bila kula,    kisha alipomaliza kunilisha   akaniruhusu  sasa nilale,    kisha nikajilaza hapo kitandani,   na shangazi aliondoka na kuniacha,    baada  ya muda simu yangu iliita kuitizama alikuwa General,   nikaipokea akaniambia:


"Mpenzi wangu tayari nimeshafika nyumbani namimi,   ila nime kumis taya mwenzio"


"Asante"


"Baby  nakupenda sana Laura,   kiukweli umeongeza upendo mkubwa sana  ndani ya moyo wangu,  na  hata itokee kitu gani hakika  nitalipambania penzi lako,  umenifanya niwe kichaa wa mapenzi"


"Unajua mjomba katuona hapo getini ulivyo nikumbatia  na kunichum,   hadi mwendo wangu kamuambia shangazi,   ila nimejitahidi kuongea na shangazi atalitatua yeye mwenyewe"


"Shangazi yako nimtu bora sana Laura,   nimempenda pia"


"Haya sasa naomba nipumzike kwani ninamaumivu sana"


"Natamani ningekuwa hapo,  nikukumbatie hadi asubuhi,  pole mpenzi wangu na nisamehe kwa dharti yamoyo wangu  nakuomba,  na ninazawadi yako juu  yawewe  ulichonitunukia leo,   japo haita fikia thamani ya usichana wako,   ila nitaomba upokee sawa"


Nilijisikia  vizuri sana,  kusikia maneno mazuri namatamu  kutoka kwa General Ethane,  nikajiona kumbe ninathamani kiasi hicho, nikamuitikia:


"Sawa mpenzi wangu"





Je unathani nikweli Ethane anaiona thamani ya binti mrembo Laura  na je atamtunukia kitu gani eeh! Tafadhali endelea kufuatilia................
.
Tangazo - Jiunge sasa upate bonasi ya 500%

Jiunge sasa upate bonasi ya 500%
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 14



0742133100

Mjomba alisimama  kwa nyuma yetu na gari yake,   wakati huo hatukuwa hata na wazo alitizama mchezo mzima,   kisha  General alipo niachia  nilitembea kwatabu  sana hadi getini,    na kisha niligonga geti mlinzi akanifungulia nikaingia ndani,   nilienda moja kwa moja chumbani kwangu nilikuwa namaumivu sana,
General alipo nishuhudia tayari  nimeingia ndani ndio akaingia nayeye kwenye gari yake na kuondoka zake,    mjomba alishindwa afanyeje  akasogea na gari yake hadi getini,   kisha akapiga honi na mlinzi akamfungulia geti,   alafu akaingia ndani  alienda mpaka kwenye paking yake,    kisha alishuka baada ya kupaki,    alikuwa na hasira kweli baada ya kutuona,    akaenda mpaka chumbani kwake,  mkewe alipomuona...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/general-sili-silali-juu-yako-sehemu-ya-14

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
MWENDELEZO SOMA HAPA

Maoni

You're not logged in


gonga94 official track
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi general-sili-silali-juu-yako-sehemu-ya
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 05  Hatimae nilifika  kwa General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 05 Hatimae nilifika  kwa General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO         SEHEMU YA 09    Kisha niliinuka taratibu na kuondoka zangu
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 09 Kisha niliinuka taratibu na kuondoka zangu
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 04  Kulipokucha tena alfajiri namapema,   filimbi ilipigwa,  wote tuliamka na kwenda mazoezi
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 04 Kulipokucha tena alfajiri namapema,   filimbi ilipigwa,  wote tuliamka na kwenda mazoezi
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 13    Nilikurupuka na kuinuka nikaifunga suruali yangu na kukaa kisha General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 13 Nilikurupuka na kuinuka nikaifunga suruali yangu na kukaa kisha General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO     SEHEMU YA 10  Nilipo mkumbatia kwa nyuma alishtuka na kunishika mikono
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 10 Nilipo mkumbatia kwa nyuma alishtuka na kunishika mikono
GENERAL SILI  SILALI   JUU YAKO       SEHEMU YA 08  Nilimtizama sana nilikuwa natamani niipore simu,  lakini nikajisemea kama kweli
GENERAL SILI  SILALI   JUU YAKO SEHEMU YA 08 Nilimtizama sana nilikuwa natamani niipore simu,  lakini nikajisemea kama kweli
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 12   Nilipoweka vocha  kisha nilienda chumbani kwangu,  nikachukua kadi ya General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO  SEHEMU YA 12 Nilipoweka vocha  kisha nilienda chumbani kwangu,  nikachukua kadi ya General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 03  Walipo fika Catrine alikuwa chini na mimi nilikuwa juu nampiga Catrine
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 03 Walipo fika Catrine alikuwa chini na mimi nilikuwa juu nampiga Catrine
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 02  Asikuambie mtu nilijisikia vibaya kweli kufokewa mbele
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 02 Asikuambie mtu nilijisikia vibaya kweli kufokewa mbele
SIMULIZI NA SAUTI ZETU
You're not logged in


Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili

RATIBA YA SIMULI ZETU

Hakuna ratiba iliyopangwa kwa sasa.


Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest