Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

GENERAL SILI  SILALI   JUU YAKO       SEHEMU YA 08  Nilimtizama sana nilikuwa natamani niipore simu,  lakini nikajisemea kama kweli
Gonga94 · Stories

GENERAL SILI  SILALI   JUU YAKO SEHEMU YA 08 Nilimtizama sana nilikuwa natamani niipore simu,  lakini nikajisemea kama kweli

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
ananikumbuka,  basi ataomba kuongea na mimi,  lakini kuna maelekezo alikuwa anampa mkuu wa kikos changu,  na kisha alipo maliza hakuuliza chochote alikata simu hapo hapo,  nilikaa taratibu kwa unyonge huku machozi yakinitoka, mkuu wa kikosi changu akaniruhusu niende kupumzika, nahisi alikuwa kahisi kitu lakini hakutaka kingilia,  mkuu wangu wakikosi nimstaarabu sana na mtaratibu mwenye busara,  nilienda moja kwa moja chooni aikutaka kwenda bwenini,  kwani sikutaka wanione nilivyokuwa na huzuni,  nikiwa huko chooni alinifuata kwa nyuma bila kumuona Nancy,  aliniona hali niliyokuwa nayo akanifuata hadi chooni,  nililia sana kiukweli huku nikisema:


"Ethane hujui tuu ninavyo kupenda mwenzio,  nashindwa kula nashindwa kulala umejaa akilini mwangu,   kwanini unaniadhibu kwa namna hii jamani  mbona haya mapenzi sio kitu kizuri kwsngu,   kwanini upige simu usiombe kuongea na mimi,   mbaya zaidi mbele yangu hata kuuliza hali yangu tuu,   inamaana umeamua kunifuta kabisa kwenye kumbu kumbu zako eeh!,   General Ethane  nateseka  mwenzio  nione mimi tafadhari,   rudi hapa upesi tafadhari na ahidi ukirudi nitakuambia mbela za makamanda wote,   kuwa nakupenda sana na sijiwezi juu yako,   sindio ulikuwa  unataka nikili hivyo  basi sawa nitakili kweli tafadhari rudi,



Nancy alisikiliza yoote nilikuwa nikiongea huku nikilia,  alinionea huruma na alitamani aligongee mlango lakini aliona sio sawa kuingilia faragha za mtu, hivyo aliamua kukaa mlangoni na kuwazuia watu wengine wasije kusikia,  kisha nilinawa uso na kujifuta maji,   baada ya hapo nikatoka nje nilikutana nae hapo mlangoni,  alikuwa anajifanya nae ndio katoka chooni, akanifuata na kuniambia:



"Laura tafadhari naomba kuongea nawewe"


"Kuhusu nini Nancy nimechoka sana,  kama sio muhimu niacha sijisikii vizuri  nahitaji kupumzika tu"


"Najua haupo sawa ila nahitaji nikusaidie niruhusu tafadhari"


"Unisaidie?  Utanisaidia nini kwamfano eeh!  Hahahaaa  hembu niache nikapumzike nitakuwa sawa tuu,   wewe nenda uendelee na mambo yako"



Siku hiyo ilikuwa siku ya jumapili ni siku yakupumzika,   tunafanya usafi kisha  kwenda kufanya ibada,   ndio maana tulikuwa huru,   kisha nilipomaliza kumjibu hivyo Nancy nikaanza safari ya kuelekea bweni,  alikuja na kunishika kwa nguvu mkono Nancy,  kisha alinipeleka  pembeni na kuniambia:



"Unadhani sijui nini kinakutafuna eeh!"


Nilitoa macho kwa mshangao mkubwa,   na huku nikisubili kusikia kitu gani anajua kinacho nitafuna mimi,  Nancy aliendelea kusema tena kwa hasira na huku akijiamini:


"Najua kilakitu kuhusu wewe na General,   na ndio kitu kinacho kutafuana sasa"


Nilimtizama kisha nikambishia:


"Hujui kitu. Eti mimi na General?  Haya niambie mimi na huyo katili tunanini yani eeh!?


Nilijibu kwa kujiamini ili kupoteza maboya Nancy,  akanijibu:


"Laura......nimesikia kilakitu hupaswi kuendelea kunibishia tena"


Niliishiwa pozi nikachuchumaa na chini huku nikilia,  alikuja Nancy kwa nyuma yangu akanikumbatia huku akinibembeleza,  na kuniambia:


"Najua Laura unampenda sana General,  hata yeye najua anakupenda hadi alishindwa kijizui alipokuwa hapa pia,  lakini mbona unaruhusu mapenzi yakutawale namna hii kipenzi,  umekuwa kama mjinga sasa unashindwa kuzui hisia zako kabisa,  yupo wapi Laura wangu jasiri  eeh!   Ulikuwa  mpambanaji katika mazoezi na kilakitu,   ulikuwa hukubali kushindwa,    lakini leo hii kitu kidogo tuu kimekushinda  mapenzi.  
Yaani yamekudhoofisha namna hii eeh! Haya tafadhari jitulize na ujikaze tunakutegemea kipenzi,    ulisha wahi kusena huamini katika mapenzi,  leo hiii uko wapi  eeh!  uko wapi Laura"


Alivyokuwa ananiambia hivyo Nancy  hayo maneno yalinichoma sana,    na kunifanya nizidi kulia na huku nikimjibu:


"Nancy General,  General Nancy amenimaliza kilakitu,   ameuteka moyo wangu na kuondoka nao,   kaniacha nichanganyikiwe na  niwe kichaa kabisaa,  nahisi kufa kabisa asipo rudi,   hata mawasiliano yake tuu sina,   sijui nikitoka hapa naenda kumpatia wapi mimi,   na muda unaenda sana  tunakalibia kumaliza mafunzo yetu,   na mbaya zaidi hayupo Tanzania sijui lini anarudi naumia mwenzio  Nancy"


"Basi jikaze kwa muda huu  mchache,  ili  tumalize mafunzo yetu kwa amani,  kisha  tutatafuta namna ya kumpata,   tukiwa hapa hapa kambini  kabla hatujaondoka,    nitakuwa upande wako kipenzi sawa?


"Unasema kweli Nancy?


"Ninamaanisha,   usiogope nitakusaidia"


"Sawa,  asante Nancy  ila naomba  usimwambie mtu yeyote tafadhari?


"Naanzaje kipenzi, nimeamua kukusaidia hivyo siwezi kuwa mnafiki sawa"


Kisha alinifuta machozi na kunitia moyo  nikainuka na huku akinisaidia akanisindikiza hadi bwenini kisha aliniambia:


"Pumzika kwa muda kisha jioni twende tukapashe kidogo sawa?


"Sawa kipenzi"


Wale wambea walibaki wakinitizama tuu huku wakinongona:


"Hivii huyu amekuwaje sikuhizi hatumuelewi,   maana hata kula hali kazi ni  kulialia tuu  hovyo,   sijui kakubwa na ugonjwa gani"


Niliachana nao kisha nikalala usingizi ulinipitia vizuri sana kwani kidogo nimepata nafuu baada ya kumuambia Nancy kinacho nisibu na kunipa ushauli  nilipata moyo kiukweli nikajikuta nalala vizuri sana,  baadae jioni jioni niliamka na Nancy alinifuata akaniambia:


"Haya sasa twende zetu kipenzi"


Tukaenda uwanjani tulikimbia sana hadi nilikuwa nahema mno,    kisha tulianza kufanya mazoezi baadhi kiukweli alinifanya nianze kuimarisha akiri yangu,  hadi muda wa kwenda kula ulipofika  nilikuwa niko poa kabisa,  tukaenda kula sasa wakati tunakula hapo Catrine alianza kuongea na wenzie huku tunasikia kwakuwa tulikuwa kando  yao tuu alisema:



"Nikitoka hapa siwafichi  vipenzi vyangu,  kwani naenda kuolewa na General Ethane,  na  tayari babaangu kaniambia nijiandae,   sijawahi kuwaambia familia yetu na yao ni family friendly,    babaangu alikuwa rafiki mkubwa sana wa babaake,   hivyo wameamua iwe hivyo ilikuuendeleza urafiki wao,    na hao visokoro kwinyo waliokuwa wanajisogeza kwa mumewangu mtarajiwa,   nitawanyoosha sio muda mrefu"


Nilihisi kama kunamtu kaingia ndani ya moyo wangu,   na kuanza kuuchana chana na viwembe vipande vipande:




Je nini kitatokea kwa Laura,    Endelea kufuatilia..............
WhatsApp 0742133100

Maoni

You're not logged in


Tangazo - from bangi to baby fully stories 1 to 21
from bangi to baby fully stories 1 to 21
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

GENERAL SILI  SILALI   JUU YAKO SEHEMU YA 08 Nilimtizama sana nilikuwa natamani niipore simu,  lakini nikajisemea kama kweli

ananikumbuka,  basi ataomba kuongea na mimi,  lakini kuna maelekezo alikuwa anampa mkuu wa kikos changu,  na kisha alipo maliza hakuuliza chochote alikata simu hapo hapo,  nilikaa taratibu kwa unyonge huku machozi yakinitoka, mkuu wa kikosi changu akaniruhusu niende kupumzika, nahisi alikuwa kahisi kitu lakini hakutaka kingilia,  mkuu wangu wakikosi nimstaarabu sana na mtaratibu mwenye busara,  nilienda moja kwa moja chooni aikutaka kwenda bwenini,  kwani sikutaka wanione nilivyokuwa na huzuni,  nikiwa huko chooni alinifuata kwa nyuma bila kumuona Nancy,  aliniona hali niliyokuwa nayo akanifuata hadi chooni,  nililia sana kiukweli huku nikisema:


"Ethane hujui tuu ninavyo kupenda mwenzio,  nashindwa kula nashindwa kulala...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/general-sili-silali-juu-yako-sehemu-ya-08-nilimtizama-sana-nilikuwa-natamani-niipore-simu-lakini-nik

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending 🐓 Follow the ommy khan Tanzania channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VbCg0JyFsn0hCN1ByD44

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi general-sili-silali-juu-yako-sehemu-ya
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 13    Nilikurupuka na kuinuka nikaifunga suruali yangu na kukaa kisha General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 13 Nilikurupuka na kuinuka nikaifunga suruali yangu na kukaa kisha General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO         SEHEMU YA 09    Kisha niliinuka taratibu na kuondoka zangu
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 09 Kisha niliinuka taratibu na kuondoka zangu
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 20
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 20
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 05  Hatimae nilifika  kwa General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 05 Hatimae nilifika  kwa General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 15
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 15
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 19
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 19
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO  SEHEMU YA 14
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 14
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 12   Nilipoweka vocha  kisha nilienda chumbani kwangu,  nikachukua kadi ya General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO  SEHEMU YA 12 Nilipoweka vocha  kisha nilienda chumbani kwangu,  nikachukua kadi ya General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO     SEHEMU YA 10  Nilipo mkumbatia kwa nyuma alishtuka na kunishika mikono
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 10 Nilipo mkumbatia kwa nyuma alishtuka na kunishika mikono
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 17 na 18 0742133100
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 17 na 18 0742133100
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 04  Kulipokucha tena alfajiri namapema,   filimbi ilipigwa,  wote tuliamka na kwenda mazoezi
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 04 Kulipokucha tena alfajiri namapema,   filimbi ilipigwa,  wote tuliamka na kwenda mazoezi
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 03  Walipo fika Catrine alikuwa chini na mimi nilikuwa juu nampiga Catrine
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 03 Walipo fika Catrine alikuwa chini na mimi nilikuwa juu nampiga Catrine
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 02  Asikuambie mtu nilijisikia vibaya kweli kufokewa mbele
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 02 Asikuambie mtu nilijisikia vibaya kweli kufokewa mbele
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE

NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE

396
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15

254
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14

173
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 18

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 18

105
Kinachomtisha Mgosi ni kuwa Edna Lema anawachezaji walioonekana wa kawaida Simba

Kinachomtisha Mgosi ni kuwa Edna Lema anawachezaji walioonekana wa kawaida Simba

8

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

12.05K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.73K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.92K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.69K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

3.12K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

3.04K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.91K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.88K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.78K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.72K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE
@majario LIVE

:141 Nikamwambia kwa ujumbe “Boss ni usiku sana, nenda nyumbani, tutaongea kesho naomba nipumzike.” Akanijibu “sitaondoka hapa mpaka uje kunisikiliza.” Nikamuonyesha Dorice, Dorice akasema “kamsikilize Labda ni muhimu.” Nikamwambia Dorice “kusema kweli mimi roho...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Simu ilikatwa,nilichanganyikiwa,iv nimeskia kweli au ni mawenge yangu?keanu ananisaliti?yani maneno yake makavu yote aliyoniambia hayakua na maana sikuyajali kabisa nilijali mwanamke alieongea.nikasema hapana ngoja,nikapiga simu iliita ikakatwa,nilipiga tena ikakatwa,nikapiga...

Kinachomtisha Mgosi ni kuwa Edna Lema anawachezaji walioonekana wa kawaida Simba Post Mpya
Kinachomtisha Mgosi ni kuwa Edna Lema anawachezaji walioonekana wa kawaida Simba
@majario LIVE

ila sasa wapo kwenye kiwango cha hali ya juu kiasi cha baadhi kuitwa timu zao za taifa. Diana Mnally Ritticia Nabbosa Precious Christopher Wincate Kaari Aisha Djafar Edna Lema...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Mmmh nilihisi utumbo unacheza, kwa nn haruhusiwi ndoa sasa? Au ameoa? Nilijiuliza sana, keanu akasema sijakuelewa kwa nn siruhusiwi kuoa sasa? Akasema kuna mashart katika kila kanisa ili...

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 18 Post Mpya
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 18
@majario LIVE

Mida ya jioni vipindi vilipoisha tuliongozana na Glad hadi kwa kaka yake ilikuwa ni saa kumi na moja za jioni hivyo alikuwa kasharudi toka kazini tulimkuta nyumbani 🏡. Karibuni...

CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10 Post Mpya
CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10
@majario LIVE

SEHEMU YA 08 "Kwanza haoni ajabu kukufukuza,na akisema hakutaki ujue hakuna was kukutetea hata mama hataongea .... kwaiyo muangalie hivyo hivyo kauli yake moja tu inakuondoa........... Nicole aliposema hivyo nilimuogopa sana...

Iran rejects peace plan and mocks Trump Akhtar Makoii Post Mpya
Iran rejects peace plan and mocks Trump Akhtar Makoii
@mjukuu LIVE

Screengrab from video put out by Iranian state media Tasnim News of an Iranian missile with Trump's name on it, in response to the great gift from Iran Trump claimed...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE
@majario LIVE

:131 Nikawa natoa ile bahasha. Vile natoa, namuona Boss Yule anakuja. Ni wazi alisikia kengele au aliniona kwa juu. Nikasema kwa ndani “niondoke?” Ataona Kama namkimbia, Nikajikaza pale kusubiri. Basi kweli alifika,...

MFALME KIPOFU  27 Post Mpya
MFALME KIPOFU 27
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 27 (FINAL) Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Nawauliza Princess Nailet yupo wapi? alipotazama Pembeni hakuamini kuona mwili wa binti yake....... ENDELEA NAYO...... Mfalme Tengu alilia kama mtoto mdogo "Pole sana mfalme kwa kipindi kigumu unachopitia Prince...

MFALME KIPOFU  25 -- 26 Post Mpya
MFALME KIPOFU 25 -- 26
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 25 Whatsapp.............0748697173 ilipoishia sehemu iliyopita....... Maneno ya Lindiwe yalimfanya Princess Nailet kutabasamu nakutulia kuwaacha waongonzane watu watatu tu Malikia,Prince Yao na Amma mwenyewe kwenda kutafuta iyo dawa...... ENDELEA NAYO.......... Malikia andwaa aliongoza msafara wa...

MFALME KIPOFU  23 -- 24 Post Mpya
MFALME KIPOFU 23 -- 24
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 23 Whatsapp.............0748697173 ilipoishia sehemu iliyopita....... Maneno yale yalipenya kwenye masikio ya Amma na baadhi ya watu waliokuwa pale wakitazama tu badala ya kutoa msaada,Babaaaaa............ ENDELEA NAYO.......... "Baba amka",Amma alimwita baba yake, Aliye kuwa tayali amepoteza...

MFALME KIPOFU  21 -- 22 Post Mpya
MFALME KIPOFU 21 -- 22
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 21 Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Malikia alichanganyikiwa baada ya kusikia maneno yale ya dakitari Malikia aliita walinzi na ,kuwapa maagizo ya kuwakamata matabibu wote...... ENDELEA NAYO....... Walisubili pakuche msako uanze wa kuwakamata matabibu...

MFALME KIPOFU  19 -- 20 Post Mpya
MFALME KIPOFU 19 -- 20
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............19 Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita...... Ni mapenzi ya ajabu aliyokuwa nayo Princess Nailet kwa Yao licha ya kumfahamu kwa mda mfupi tu lakini aliteka sehemu kubwa ya moyo wake... ENDELEA NAYO....... Aliendelea na safari ya...

MFALME KIPOFU  17 -- 18 Post Mpya
MFALME KIPOFU 17 -- 18
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............17 Ilipoishia sehemu iliyopita...... Lindiwe alitege sikio vizuri na kweli alisikia sauti emu njoo huku alimvuta Prince Yao pembeni na kujificha sehemu ni ngumu kuonekana. Namu sura ya General haikutoka machoni mwake alimuona...

MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17 Post Mpya
MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17
@mjukuu LIVE

Ilipoishia sehemu iliyopita...... Asikari",Mfalme Tengu aliita kwa hasira "Nendeni mkawarudishe haraka" "Mfalme tayali wameshavuka mpaka" "Nimesema nendeni mkawarudishe" Waliondoka na kumuacha Mfalme akiendelea ..... SEHEMU YA 16 ENDELEA NAYO...... Waliondoka na kumuacha mfalme akiendelea kuongea na binti...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest