Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

GENERAL SILI  SILALI   JUU YAKO       SEHEMU YA 08  Nilimtizama sana nilikuwa natamani niipore simu,  lakini nikajisemea kama kweli
Gonga94 · Stories

GENERAL SILI  SILALI   JUU YAKO SEHEMU YA 08 Nilimtizama sana nilikuwa natamani niipore simu,  lakini nikajisemea kama kweli

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
ananikumbuka,  basi ataomba kuongea na mimi,  lakini kuna maelekezo alikuwa anampa mkuu wa kikos changu,  na kisha alipo maliza hakuuliza chochote alikata simu hapo hapo,  nilikaa taratibu kwa unyonge huku machozi yakinitoka, mkuu wa kikosi changu akaniruhusu niende kupumzika, nahisi alikuwa kahisi kitu lakini hakutaka kingilia,  mkuu wangu wakikosi nimstaarabu sana na mtaratibu mwenye busara,  nilienda moja kwa moja chooni aikutaka kwenda bwenini,  kwani sikutaka wanione nilivyokuwa na huzuni,  nikiwa huko chooni alinifuata kwa nyuma bila kumuona Nancy,  aliniona hali niliyokuwa nayo akanifuata hadi chooni,  nililia sana kiukweli huku nikisema:


"Ethane hujui tuu ninavyo kupenda mwenzio,  nashindwa kula nashindwa kulala umejaa akilini mwangu,   kwanini unaniadhibu kwa namna hii jamani  mbona haya mapenzi sio kitu kizuri kwsngu,   kwanini upige simu usiombe kuongea na mimi,   mbaya zaidi mbele yangu hata kuuliza hali yangu tuu,   inamaana umeamua kunifuta kabisa kwenye kumbu kumbu zako eeh!,   General Ethane  nateseka  mwenzio  nione mimi tafadhari,   rudi hapa upesi tafadhari na ahidi ukirudi nitakuambia mbela za makamanda wote,   kuwa nakupenda sana na sijiwezi juu yako,   sindio ulikuwa  unataka nikili hivyo  basi sawa nitakili kweli tafadhari rudi,



Nancy alisikiliza yoote nilikuwa nikiongea huku nikilia,  alinionea huruma na alitamani aligongee mlango lakini aliona sio sawa kuingilia faragha za mtu, hivyo aliamua kukaa mlangoni na kuwazuia watu wengine wasije kusikia,  kisha nilinawa uso na kujifuta maji,   baada ya hapo nikatoka nje nilikutana nae hapo mlangoni,  alikuwa anajifanya nae ndio katoka chooni, akanifuata na kuniambia:



"Laura tafadhari naomba kuongea nawewe"


"Kuhusu nini Nancy nimechoka sana,  kama sio muhimu niacha sijisikii vizuri  nahitaji kupumzika tu"


"Najua haupo sawa ila nahitaji nikusaidie niruhusu tafadhari"


"Unisaidie?  Utanisaidia nini kwamfano eeh!  Hahahaaa  hembu niache nikapumzike nitakuwa sawa tuu,   wewe nenda uendelee na mambo yako"



Siku hiyo ilikuwa siku ya jumapili ni siku yakupumzika,   tunafanya usafi kisha  kwenda kufanya ibada,   ndio maana tulikuwa huru,   kisha nilipomaliza kumjibu hivyo Nancy nikaanza safari ya kuelekea bweni,  alikuja na kunishika kwa nguvu mkono Nancy,  kisha alinipeleka  pembeni na kuniambia:



"Unadhani sijui nini kinakutafuna eeh!"


Nilitoa macho kwa mshangao mkubwa,   na huku nikisubili kusikia kitu gani anajua kinacho nitafuna mimi,  Nancy aliendelea kusema tena kwa hasira na huku akijiamini:


"Najua kilakitu kuhusu wewe na General,   na ndio kitu kinacho kutafuana sasa"


Nilimtizama kisha nikambishia:


"Hujui kitu. Eti mimi na General?  Haya niambie mimi na huyo katili tunanini yani eeh!?


Nilijibu kwa kujiamini ili kupoteza maboya Nancy,  akanijibu:


"Laura......nimesikia kilakitu hupaswi kuendelea kunibishia tena"


Niliishiwa pozi nikachuchumaa na chini huku nikilia,  alikuja Nancy kwa nyuma yangu akanikumbatia huku akinibembeleza,  na kuniambia:


"Najua Laura unampenda sana General,  hata yeye najua anakupenda hadi alishindwa kijizui alipokuwa hapa pia,  lakini mbona unaruhusu mapenzi yakutawale namna hii kipenzi,  umekuwa kama mjinga sasa unashindwa kuzui hisia zako kabisa,  yupo wapi Laura wangu jasiri  eeh!   Ulikuwa  mpambanaji katika mazoezi na kilakitu,   ulikuwa hukubali kushindwa,    lakini leo hii kitu kidogo tuu kimekushinda  mapenzi.  
Yaani yamekudhoofisha namna hii eeh! Haya tafadhari jitulize na ujikaze tunakutegemea kipenzi,    ulisha wahi kusena huamini katika mapenzi,  leo hiii uko wapi  eeh!  uko wapi Laura"


Alivyokuwa ananiambia hivyo Nancy  hayo maneno yalinichoma sana,    na kunifanya nizidi kulia na huku nikimjibu:


"Nancy General,  General Nancy amenimaliza kilakitu,   ameuteka moyo wangu na kuondoka nao,   kaniacha nichanganyikiwe na  niwe kichaa kabisaa,  nahisi kufa kabisa asipo rudi,   hata mawasiliano yake tuu sina,   sijui nikitoka hapa naenda kumpatia wapi mimi,   na muda unaenda sana  tunakalibia kumaliza mafunzo yetu,   na mbaya zaidi hayupo Tanzania sijui lini anarudi naumia mwenzio  Nancy"


"Basi jikaze kwa muda huu  mchache,  ili  tumalize mafunzo yetu kwa amani,  kisha  tutatafuta namna ya kumpata,   tukiwa hapa hapa kambini  kabla hatujaondoka,    nitakuwa upande wako kipenzi sawa?


"Unasema kweli Nancy?


"Ninamaanisha,   usiogope nitakusaidia"


"Sawa,  asante Nancy  ila naomba  usimwambie mtu yeyote tafadhari?


"Naanzaje kipenzi, nimeamua kukusaidia hivyo siwezi kuwa mnafiki sawa"


Kisha alinifuta machozi na kunitia moyo  nikainuka na huku akinisaidia akanisindikiza hadi bwenini kisha aliniambia:


"Pumzika kwa muda kisha jioni twende tukapashe kidogo sawa?


"Sawa kipenzi"


Wale wambea walibaki wakinitizama tuu huku wakinongona:


"Hivii huyu amekuwaje sikuhizi hatumuelewi,   maana hata kula hali kazi ni  kulialia tuu  hovyo,   sijui kakubwa na ugonjwa gani"


Niliachana nao kisha nikalala usingizi ulinipitia vizuri sana kwani kidogo nimepata nafuu baada ya kumuambia Nancy kinacho nisibu na kunipa ushauli  nilipata moyo kiukweli nikajikuta nalala vizuri sana,  baadae jioni jioni niliamka na Nancy alinifuata akaniambia:


"Haya sasa twende zetu kipenzi"


Tukaenda uwanjani tulikimbia sana hadi nilikuwa nahema mno,    kisha tulianza kufanya mazoezi baadhi kiukweli alinifanya nianze kuimarisha akiri yangu,  hadi muda wa kwenda kula ulipofika  nilikuwa niko poa kabisa,  tukaenda kula sasa wakati tunakula hapo Catrine alianza kuongea na wenzie huku tunasikia kwakuwa tulikuwa kando  yao tuu alisema:



"Nikitoka hapa siwafichi  vipenzi vyangu,  kwani naenda kuolewa na General Ethane,  na  tayari babaangu kaniambia nijiandae,   sijawahi kuwaambia familia yetu na yao ni family friendly,    babaangu alikuwa rafiki mkubwa sana wa babaake,   hivyo wameamua iwe hivyo ilikuuendeleza urafiki wao,    na hao visokoro kwinyo waliokuwa wanajisogeza kwa mumewangu mtarajiwa,   nitawanyoosha sio muda mrefu"


Nilihisi kama kunamtu kaingia ndani ya moyo wangu,   na kuanza kuuchana chana na viwembe vipande vipande:




Je nini kitatokea kwa Laura,    Endelea kufuatilia..............
WhatsApp 0742133100

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Distro kid Upload your music To day
Distro kid Upload your music To day
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

GENERAL SILI  SILALI   JUU YAKO SEHEMU YA 08 Nilimtizama sana nilikuwa natamani niipore simu,  lakini nikajisemea kama kweli

ananikumbuka,  basi ataomba kuongea na mimi,  lakini kuna maelekezo alikuwa anampa mkuu wa kikos changu,  na kisha alipo maliza hakuuliza chochote alikata simu hapo hapo,  nilikaa taratibu kwa unyonge huku machozi yakinitoka, mkuu wa kikosi changu akaniruhusu niende kupumzika, nahisi alikuwa kahisi kitu lakini hakutaka kingilia,  mkuu wangu wakikosi nimstaarabu sana na mtaratibu mwenye busara,  nilienda moja kwa moja chooni aikutaka kwenda bwenini,  kwani sikutaka wanione nilivyokuwa na huzuni,  nikiwa huko chooni alinifuata kwa nyuma bila kumuona Nancy,  aliniona hali niliyokuwa nayo akanifuata hadi chooni,  nililia sana kiukweli huku nikisema:


"Ethane hujui tuu ninavyo kupenda mwenzio,  nashindwa kula nashindwa kulala...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/general-sili-silali-juu-yako-sehemu-ya-08-nilimtizama-sana-nilikuwa-natamani-niipore-simu-lakini-nik

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi general-sili-silali-juu-yako-sehemu-ya
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 13    Nilikurupuka na kuinuka nikaifunga suruali yangu na kukaa kisha General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 13 Nilikurupuka na kuinuka nikaifunga suruali yangu na kukaa kisha General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO         SEHEMU YA 09    Kisha niliinuka taratibu na kuondoka zangu
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 09 Kisha niliinuka taratibu na kuondoka zangu
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 15
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 15
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 05  Hatimae nilifika  kwa General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 05 Hatimae nilifika  kwa General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 20
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 20
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 12   Nilipoweka vocha  kisha nilienda chumbani kwangu,  nikachukua kadi ya General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO  SEHEMU YA 12 Nilipoweka vocha  kisha nilienda chumbani kwangu,  nikachukua kadi ya General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO  SEHEMU YA 14
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 14
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO     SEHEMU YA 10  Nilipo mkumbatia kwa nyuma alishtuka na kunishika mikono
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 10 Nilipo mkumbatia kwa nyuma alishtuka na kunishika mikono
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 19
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 19
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 04  Kulipokucha tena alfajiri namapema,   filimbi ilipigwa,  wote tuliamka na kwenda mazoezi
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 04 Kulipokucha tena alfajiri namapema,   filimbi ilipigwa,  wote tuliamka na kwenda mazoezi
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 17 na 18 0742133100
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 17 na 18 0742133100
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 03  Walipo fika Catrine alikuwa chini na mimi nilikuwa juu nampiga Catrine
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 03 Walipo fika Catrine alikuwa chini na mimi nilikuwa juu nampiga Catrine
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 02  Asikuambie mtu nilijisikia vibaya kweli kufokewa mbele
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 02 Asikuambie mtu nilijisikia vibaya kweli kufokewa mbele
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*

898
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

480
FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16

433
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

412
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

298
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10

209
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

200
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.

180
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.

138
SHAMIRA sehemu ya 34&35

SHAMIRA sehemu ya 34&35

85

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.43K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.2K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.74K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.2K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.6K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.44K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.43K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.38K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.36K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla Post Mpya
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla
@majario LIVE

with that cute bubbly energy… and Aamir Khan being his mischievous, romantic self. What a combo yaar! Ishq was not just a love story, it was full on drama, comedy,...

 Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani Post Mpya
Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani
@majario LIVE

* Meli za kijeshi za Marekani zilizopo Ghuba ya Uajemi * Rada za Israel zilizopo Azerbaijan * Rada za Israel zilizopo Turkmenistan * Mifumo ya ulinzi wa anga ya vituo vya Marekani nchini...

SHAMIRA sehemu ya 34&35 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 34&35
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikajiiinua taratibu tukaingia bafuni. Mwanaume akanikumbatia uku tunaoga. Aseee uyu baba ananipenda ila hataki upumbavu ata kidogo na mkono wake mwepesi kupiga .na yote sababu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nikaona zena kamnyanyua yule mtoto kisha akambeba ,ni amefanana nae sana ,nikajua ni wa kwake tu yani ni lazima utu mtoto atakuwa ni mwanae, kisha akanigeukia...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17
@majario LIVE

Ikabidi nikae tu kwenye piki piki maana sura alivyokuwa kaikaza mmh asije kunipiga, Kimyaa kikatawala sasa mie nilijua tunaenda kwa Tinner na moyoni nilikuwa nimempangia hayo maneno Tinner eeh mbona...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Maeneo ya pale pale chuoni, Salmon alikuwa amepanga nyumba kubwa ya peke yake. Wakati akiwa chuo ndo alikua anaishi hapo, ila siku za weekends kama hana mambo mengi ndo anaenda...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kuanzia apo nikawa sasa kidogo naelewana na baraka. Tena mimi ndo napenda sana kuongea nae. Yani sanaaa. Napenda kucheka nae sana. Na kun jinsi...

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Usiku wangu ulikuwa mzito sana, maneno ya D kusema kuwa Veda anatembea na wanawake wengi, niliyaamini kabisaaa Bila shakaa kwa maana Yeye tu hana mwonekano mzuri ametuna tuna hovyo anakuwa...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10
@majario LIVE

Daaah nikaona mtoto kachomoa leo mana sio powa , ana vipengele sana uyu demu , ila unyama, hatachomoa kila siku, ni suala la muda tu, mana sijawahi kumtaka mwanamke ,...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media BASI nikapanda kitandani kwangu. Nikijutia sana nilichokifanya mana mh . Nilikuwa nasababisha ugomvi mkubwa wa wazazi mungu wangu. Yani mama yangu alikuwa anaachwa leo...

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.??? Post Mpya
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???
@majario LIVE

Hatimae jana tambo za Dabi zilipata majibu kwa timu za Simba na Yanga kutoka suluhu ya bila kufungana(0-0). Kwa maana hiyo timu zote ziliambulia pointi moja moja. Mchezo wa jana pamoja...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8
@majario LIVE

Zena akasema kwaiyo manager unataka kuniuza ama ni vp, yule manager aksema , naomba uelewe kuwa ukifanya kazi katika hii bar, mteja kukushika sehemu yoyote ya mwili wako ni kawaida,...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*
@majario LIVE

Jambo likawa lelelele, Yaani ni patashika nguo kuchanika, Kwa upande wangu Walahi nilikuwa nikifurahi tu, na amina alikuwa akilia tu nakuomba msamaha. Enzo wa watu mwaya akachukua muda wake na kumuelezea...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Mbali na ivyo zile zawadi alizo tumiwa Noela zilimuuma vile vile. Alihisi Noela hastahili vitu vizuri wala maisha ya kifahari. Alitaka kila kitu kiwe chake, wanaume wote wawe wake. Hata...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana , mwanaume wala sikuwa na shaka, kazi zote ambazo nilibakiwa nazo pale ofisini, nikamuachia ibraaa, na ukiacha ushikaji, mi bafo ibra ni mkubwa wake wa kazi,...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest