Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ Gonga94 Semajambo
Gonga94 ยท Stories
18 Sep 2025
56 views
VYOTE NDANI GONGA94
CHUMBANI KWETU ๐ 1 naitwa zawadi,story
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
yangu inaanzia wakati nina miaka kumi na saba, siku moja wazazi wangu walinambia kuwa naolewa siku chache zijazo๐ฅบ
nijiandae dah sikuwa tayari kuolewa wakati huo lakini wazazi wakaniforce sikua na namna๐afu kibaya mtu mwenyewe anaenioa simjui๐
zaidi tu kuna mzee anaitwa mzee jabir ndo alikuja kusema Kuna mtoto wa dada ake ndo anataka mke na yeye kaniona mimi๐ฅบbasi mimi nilikua sitaki lakini wazazi wangu hawakutaka kunielewa๐๐๐
nikamuomba rafiki angu ushauri anaitwa bety akanambia nisikatae bahati kama nikienda uko nsipomridhia mume nifanye visa mpaka niachwe๐ nikasema asante kipenzi ๐ ushauri mzuri sana
basi nikafungishwa ndoa,siku ya ndoa yenyewe mume hakuja๐คช๐ง nikaolewa na mtoto wa mzee jabir kwa niaba ya uyo mume,asubuhi ya siku iliyofuata tukaondoka Mimi,mzee jabir na mama wa mume alikuja Kijijini kufata mke wa mwanae(mimi)
๐๐๐ basi wenyewe wakakaa mbele,mimi nikakaa siti ya nyuma nina mawazo hatari๐ญ nikapitiwa na usingizi sangapi nisiote tumefika nimekuta mume mwenyewe ni mzee๐ nilishtuka nikapiga kelele๐mamaaaaah....!!
mama mkwe akasimamisha gari kwanza๐คuna nini zawadi? wakaanza niuliza ikabidi niseme nimeota wakanipa pole, safari ikaendelea tukafika mjini usiku tukapokelewa na mdada nikaambiwa ni binamu wa mume wangu, anaitwa zuhura akanambia nimuite wifi zuu basi akanipeleka nikaoge nikamfata,
kwanza alikua mcheshi hadi raha๐ฅฐ akanipeleka chumba kimoja akanipa kanga akanambia niingie kuoga ,bafu lilikuwa ndani umo umo, nikaingia nikaoga nilivyotoka akanipa gauni maana niliambiwa nyumbani nisichukue nguo nitanunuliwa huko huko๐๐ฅฐ
akanambia twende ukale sasa,akawa ananihudumia si mwajua bibi harusi tena๐โค basi mama mkwe akanambia kuwa bahati mbaya mume wangu amepata dharura ameenda Zanzibar ila kesho asubuhi anarudi,
nikajisemea mngejua ata sina shida nae mbwa huyo๐ nikaambiwa nikalale mule chumbani peke angu๐kwanza nilikuwa naogopaje...!!
๐ bonge la chumba uwiiiiih....!๐nikakaa nawaza hivi huyo mume atakuaje kuaje๐ usingizi ukanipitia ๐๐
asubuhi wifi zuu akaja niamsha amka wifi ukaoge unywe chai za asubuhi wifi salama umeamkaje salama pole na uchovu wa safari nishapoa,
basi nikaamka nkaoga nikaenda sitting room nikawakuta mama mkwe na mzee jabir nikawasalimia tukawa tunakunywa chai,kidogo house gal akawa ameingia na bag ametoka nalo nje ,
mama mkwe akasema eeeh huyu ashafika,akanigeukia mimi mumeo asharudi sasa dada katoka mpokea,kidogo tunasikia anakuja anaongea na simu uwiiii uwiiiiih..!
si kwa m_bass ule๐ nikaanza hisi moyo unaenda mbio๐ฅบ dah....!!!! sijui ntakutana na nini nimeolewa mtu simjui๐ญ๐ญ๐ญ
ENJOOOOOOY GOOD STORY
Maoni
You're not logged in
X
Login
X
signup
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
Brazil.. Alitamani awe mcheza mpira lakini chaajabu kugusa mpira jamaa hawezi kabisa. Carlos
Carlos alikuwa kijana aliyejua vizuri sana mazingira ya Brazil.. Alitamani awe mcheza mpira lakini chaajabu kugusa mpira...
BINAMU WEWE UNGEWEZA? SEHEMU 02 ENDELEA...... "Hajambo kabisa" "Na mipango mengine si inaenda vizuri?" "Kabisa mama, tegemeeni mambo mazuri hivi karibuni" "Hata mimi naona Japo unanificha mama yako kwa jambo kubwa kama hili labda unasubili mpaka tum
BINAMU WEWE UNGEWEZA? SEHEMU 02 ENDELEA...... "Hajambo kabisa" "Na mipango mengine si inaenda vizuri?" "Kabisa mama, teg...
*DAKTARI WA JESHI SI UNGENIOMBA TUU* *1-5* Kuna wakati kwenye maisha hatuwezi kabisa kuamua hatma zetu, nadhan ni kwa sababu huwa hatujui maisha yetu yamebebwa na nini... Umaskin, shida na tabu za maisha huwa ni funzo kubwa sana kwetu, na kwa baadhi yet
ndio njia ya kutuongezea juhudi katika upambanaji wetu... Naitwa alice ndio jina ambalo nimepewa na wazaz wangu, nimeza...
๐ฅ๐ NIMEMF๐ค..LA MKE MDOGO KUMKOMOA MAMA YANGU MZAZI ๐๐ฅ sehemu ya tano. ๐ Wewe mke wa shabani njoo hapa nje uje ulale chumbani kwangu. Dah yani...๐
Bahati nzuri kwangu mke wangu aliweka phone masikioni anasikiliza wimbo mpya wa daimond na jux, Sasa sauti ya mama akui...
๐ฃ๐๐ก๐ญ๐ ๐ ๐ข๐ง๐ข๐ ๐ข๐ง๐ข ๐๐ ๐ ๐๐๐๐ ๐๐๐ก๐๐ฆ๐ข๐ ๐ ___________________________________ SEHEMU YA 16 Mama akawa anatusema tu kimoyomoyo
kututukana anatamani ila ndo hawezi ๐๐.Kabaki anatuangalia tuu. Na kwel Robert na ndugu zake wakafanikiwa kufika nyumba...
๐ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐ฅ sehemu ya 12. ๐ Baba anaongea uku anaingia chumbani kwake sura amekunja...mimi nawaza itakuwaje sasa hapa...๐
Ndio nampoteza bwana angu au?...wakati nawaza uku nina hamu na simu yangu ila ndio siwezi kumwambia dada nipe...mama ak...
yangu inaanzia wakati nina miaka kumi na saba, siku moja wazazi wangu walinambia kuwa naolewa siku chache zijazo๐ฅบ
nijiandae dah sikuwa tayari kuolewa wakati huo lakini wazazi wakaniforce sikua na namna๐afu kibaya mtu mwenyewe anaenioa simjui๐
zaidi tu kuna mzee anaitwa mzee jabir ndo alikuja kusema Kuna mtoto wa dada ake ndo anataka mke na yeye kaniona mimi๐ฅบbasi mimi nilikua sitaki lakini wazazi wangu hawakutaka kunielewa๐๐๐
nikamuomba rafiki angu ushauri anaitwa bety akanambia nisikatae bahati kama nikienda uko nsipomridhia mume nifanye visa mpaka niachwe๐ nikasema asante kipenzi ๐ ushauri mzuri sana
basi nikafungishwa ndoa,siku ya ndoa yenyewe mume hakuja๐คช๐ง nikaolewa na...
๐ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/chumbani-kwetu-1-naitwa-zawadi-story
CHUMBANI KWETU ๐ 3 basi weekend ikafika,baada ya kunywa chai tukaondoka amani akawaambia wasituhesabu chakula cha mchana tutakula huko huko
CHUMBANI KWETU ๐ 4 basi watu wanaanza kumuonea wivu betty๐คฃ๐คฃ๐คฃ ila nyie jamani nilimpa sababu alikuwa zaidi ya rafiki kwangu kanisaidia mengi,
Maoni