Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

CHUMBANI KWETU ๐Ÿ’š 7  oyaah jafe eeeeeeh...!๐Ÿ—ฃ๐Ÿ’ƒ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ chakulalia hichi hapa mpumzishe makomwe na marumumeti wenu adi kesho๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Gonga94 ยท Stories

CHUMBANI KWETU ๐Ÿ’š 7 oyaah jafe eeeeeeh...!๐Ÿ—ฃ๐Ÿ’ƒ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ chakulalia hichi hapa mpumzishe makomwe na marumumeti wenu adi kesho๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


nyieee kibao kile nilihisi kizunguzungu๐Ÿ˜’๐Ÿ˜’๐Ÿ˜’ nikawa natetemekaje mana alikua amekasirika sana ,akawa analia mwenyewe anaiokota Ile picha nikasema duh ana nini?๐Ÿ™„

nikamuomba msamaha akawa ananiangalia tu niache siko sawa mmmh nikasema kwahiyo haniomb msamaha๐Ÿ˜ณkanitandika kibao๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ ๐Ÿƒ๐Ÿผโ€โ™€๏ธ

nikamuacha asije niua bure๐Ÿ˜ญ akazoa vile vioo vilivyovunjika mimi hapo nasema dah mbona anajishughulisha sana๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ sipendwi kabisa mimi anapendwa wa kwenye picha๐Ÿ˜ญ basi nikamwambia nisamehe kwa kuvunja akasema nisijali picha ataitengeneza tena tu duhhh aseee๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ

hakuniongelesha tena na mimi sikumuongelesha chochote nikawa kimya nitulize komwe langu๐Ÿ˜’

tukalala asubuhi yake akaenda kazini lakini mida ya saa nane akanipigia akasema nijiandae anapita hapa nyumbani sikujua tunaenda wapi ila nikahisi itakuwa hospital mana hawa. ukiumwa kidogo tu hospital๐Ÿ˜

nikaoga nikajiandaa ,baada ya muda akasema nipande boda mpaka maeneo flan nitamkuta hapo ,ananisumbua mbona mimi nina mihasira yangu๐Ÿ˜ซ๐Ÿ˜ซ๐Ÿ˜ซ

nikaenda nikamkuta basi nikapanda kwenye gari hakuwa anaongea chochote na mimi nikatulia ๐Ÿ˜Žakaendesha mpaka eneo moja akasimamisha akashuka namimi nikashuka lilikuwa ni eneo la makaburi๐Ÿ™ˆ

nkawa namfata tu nyuma miee tukafika kaburi moja akasimama nikasema tunakuja kuwanga nini๐Ÿ™„au sio mtu wa kawaida uyu kama betty alivyokuwa ananitisha๐Ÿ™ˆ๐Ÿ™Šmawazo yangu yalikuwa ya kitoto๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ™Œ

zawadi abeee kwanza naomba unisamehe kwa yaliyotokea jana mchana na usiku khaa sa ndo anakuja niomba msamaha makaburini๐Ÿ˜Žmimi nataka chumbani bhana๐Ÿ˜

umenikosea nini nikajifanya ukauzu๐Ÿ˜Ž najua jana ulisikia naongea na mama kuhusu mwanamke mwingine nisamehe sana sijawahi kukwambia chochote ni kwamba uloyasikia jana na Ile picha ndo yeye huyo mwanamke najitahidi kumsahau kiukweli inakua ngumu n nan uyo mwanamke?

alikuwa mchumba angu na alishaniacha na hili ndo kaburi lake amefariki?๐Ÿ˜ณ ndio๐Ÿ˜ญ najitahidi sana kumsahau kuna muda hadi nilichanganyikiwa na alifariki akaacha mtoto mdogo๐Ÿ˜ญ ndo mama akaforce nioe. pengine ntapoza machungu lakini sikua tayar๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ

dah pole sana nikapata kazi ya kumbembeleza aseee huruma kumbe namuonea wivu mtu ashafariki nikambembeleza sana mwisho wa siku akanyamaza tukafagilia kaburi tukaondoka akasema tupitie hospital nipime anahisi nina mimba, tukaenda pima kweli nilikutwa mjamzito tulifurah tukarudi nyumbani , nikamuuliza mtoto wa marehem sasa yuko wapi akanambia yupo upande wa mama ake ndipo anapolelewa

akanihakikishia kuwa nisihis hanipendi ananipenda na yupo tayari kuish vizuri tu na ukizingatia nina mimba tayari atanitunza vizuri,basi na mimi nkamwambia ntampa faraja asijihisi mnyonge

basi tukaanza maisha mapya nikiwa mama kija๐Ÿ™ƒ basi nikamuuliza wifi zuu kumbe aman alifiwa akasema ndio mama mchumba ake alifariki akiwa anajifungua๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ nikashtukaje ni lini miez tisa sasa ishapita ,

naomba umpe faraja tu kakangu jaman hakuwa sawa kabisa sawa wifi angu mimi nimekuelewa๐Ÿ™.......

sasa ujauzito wangu ukawa umefikisha miezi mitano siku moja tukaamka asubuhi tukakuta kuna ndege kafia mule ndani chumbani kwetu๐Ÿ˜ณ๐Ÿ˜ณkatokea au kapitia wapi mimi pia sielewi na naanza kupata wasiwasi๐Ÿฅบ

wasiwasi wa nini usinitishe bas sikutishi ila wakati (najma uyo marehemu) alivyokuwa mjamzito vikaanza vituko hivi hivi mara ndege kafia ndani mara tukute nazi zimevunjwa aseee vituko vya kila aina safari hii sitokubali wanichezee aseee nikasema mtuuuuuumeeeeee ๐Ÿ˜ณ nisije nikafa mimi kama ndo kuna uchawi jamani jamani๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ

Fb hatutapost wajamen full story ipo whatsapp lipia tsh 2500 kwa airtel 0782781603 RAHEL BOO kisha nicheki whatsapp kwa namba hiyohiyo nikuwekee yoteeeee๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ’ช

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

CHUMBANI KWETU ๐Ÿ’š 7 oyaah jafe eeeeeeh...!๐Ÿ—ฃ๐Ÿ’ƒ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ chakulalia hichi hapa mpumzishe makomwe na marumumeti wenu adi kesho๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ



nyieee kibao kile nilihisi kizunguzungu๐Ÿ˜’๐Ÿ˜’๐Ÿ˜’ nikawa natetemekaje mana alikua amekasirika sana ,akawa analia mwenyewe anaiokota Ile picha nikasema duh ana nini?๐Ÿ™„

nikamuomba msamaha akawa ananiangalia tu niache siko sawa mmmh nikasema kwahiyo haniomb msamaha๐Ÿ˜ณkanitandika kibao๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ ๐Ÿƒ๐Ÿผโ€โ™€๏ธ

nikamuacha asije niua bure๐Ÿ˜ญ akazoa vile vioo vilivyovunjika mimi hapo nasema dah mbona anajishughulisha sana๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ sipendwi kabisa mimi anapendwa wa kwenye picha๐Ÿ˜ญ basi nikamwambia nisamehe kwa kuvunja akasema nisijali picha ataitengeneza tena tu duhhh aseee๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ

hakuniongelesha tena na mimi sikumuongelesha chochote nikawa kimya nitulize komwe langu๐Ÿ˜’

tukalala asubuhi yake akaenda kazini lakini mida ya saa nane akanipigia akasema nijiandae anapita hapa nyumbani...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/chumbani-kwetu-7-oyaah-jafe-eeeeeeh-chakulalia-hichi-hapa-mpumzishe-makomwe-na-marumumeti-wenu-adi-k

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi chumbani-kwetu
CHUMBANI KWETU ๐Ÿ’š 5  nikashtuka๐Ÿ˜ณnimeumbuka cheee....!!!๐Ÿ™„ abeee zima hiyo taa inaniumiza macho nikasema uyu mjinga
CHUMBANI KWETU ๐Ÿ’š 5 nikashtuka๐Ÿ˜ณnimeumbuka cheee....!!!๐Ÿ™„ abeee zima hiyo taa inaniumiza macho nikasema uyu mjinga
CHUMBANI KWETU ๐Ÿ’š 3  basi weekend ikafika,baada ya kunywa chai tukaondoka amani akawaambia wasituhesabu chakula cha mchana tutakula huko huko
CHUMBANI KWETU ๐Ÿ’š 3 basi weekend ikafika,baada ya kunywa chai tukaondoka amani akawaambia wasituhesabu chakula cha mchana tutakula huko huko
CHUMBANI KWETU ๐Ÿ’š 4   basi watu wanaanza kumuonea wivu betty๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ ila nyie jamani nilimpa sababu alikuwa zaidi ya rafiki kwangu kanisaidia mengi,
CHUMBANI KWETU ๐Ÿ’š 4 basi watu wanaanza kumuonea wivu betty๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ ila nyie jamani nilimpa sababu alikuwa zaidi ya rafiki kwangu kanisaidia mengi,
CHUMBANI KWETU ๐Ÿ’š9  basi nikamwambia mume wangu akasema twende hospital nikafanyiwa uchunguzi
CHUMBANI KWETU ๐Ÿ’š9 basi nikamwambia mume wangu akasema twende hospital nikafanyiwa uchunguzi
CHUMBANI KWETU ๐Ÿ’š6  nilijuta kabisa๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ alivyomaliza akawa ananipa pole,sa mimi pole inanisaidia nini jamani ,akaenda
CHUMBANI KWETU ๐Ÿ’š6 nilijuta kabisa๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ alivyomaliza akawa ananipa pole,sa mimi pole inanisaidia nini jamani ,akaenda
CHUMBANI KWETU ๐Ÿ’š 8  Mimi naogopa๐Ÿฅบno usiogope hakuna kibaya kitakukuta mmh wakati umesema mauzauza sijui hamna bhana usijali mke wangu, umesikia
CHUMBANI KWETU ๐Ÿ’š 8 Mimi naogopa๐Ÿฅบno usiogope hakuna kibaya kitakukuta mmh wakati umesema mauzauza sijui hamna bhana usijali mke wangu, umesikia
CHUMBANI KWETU ๐Ÿ’š 2  alikuwa tu mkaka flan smart,ana sifa zote za mwanaume mzuri, handsome, mtanashati๐Ÿ˜˜๐Ÿ˜˜๐Ÿ’ƒnikajisemea
CHUMBANI KWETU ๐Ÿ’š 2 alikuwa tu mkaka flan smart,ana sifa zote za mwanaume mzuri, handsome, mtanashati๐Ÿ˜˜๐Ÿ˜˜๐Ÿ’ƒnikajisemea
CHUMBANI KWETU ๐Ÿ’š 1  naitwa zawadi,story
CHUMBANI KWETU ๐Ÿ’š 1 naitwa zawadi,story
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *Sehemu ya 51 na 52*

*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *Sehemu ya 51 na 52*

1.1K
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 53

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 53

905
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 54 na 55

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 54 na 55

645
SHAMIRA Sehemu ya 48

SHAMIRA Sehemu ya 48

165
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 43  na 44.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 43 na 44.

124
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 41  na 42.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 41 na 42.

103
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda

#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda

7

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.69K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.43K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.82K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.31K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

2.91K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

2.85K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.7K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

2.69K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

2.64K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.58K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 43  na 44. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 43 na 44.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Aseeee kwanza apa kwenye paji nilishonwa nyuzi 6.ni ngumi iyo .yani mkono wa mwanaume tu. Msenge alijua kuniweka alama. Basi nasehemu zengine nilipata mikwaruzo. Nilivimba...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 41  na 42. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 41 na 42.
@majario LIVE

41 MPAKA 42 ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ Mwandishi; lissa wa huru media Basi sasa kuanzia apo. Ndo ukawa mchezo wa baraka kuja kunichukua kinguvu. Yani akinitaka hana maelezo wala ombi. Asubuh nikiamka tu namkuta getini...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 54 na 55 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 54 na 55
@majario LIVE

Daah yani asubuh ile sa 10 ndo nikamwambia basi mke wangu pumzika na mtoto.sasa, zena akanambia sawa mpenzi, na wewe upumzike sasa, nikasema sawa nakupenda sana zena , wewe...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 53 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 53
@majario LIVE

Basi mtoto akiwa anaendelea kunishika shika, daah simu inaitaa, alafu nacheki zena ndo anagonga call ,ahaa nikanyanyuka chapu, nikavuta simu, nikamwambia jalia samahani naomba kuongea na simu, ni simu...

#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda Post Mpya
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda
@majario LIVE

Estaste, Kinondoni baada ya HR Mkuu Mzee Shilatu na msimamizi Steven Diallo kuning'oa kutoka Ebony FM, Iringa. Nikapokelewa na Tom Chilala, Wiltrudies Mutembei @wiltrudiesmutembei kisha wakanikabidhi kwa "Semaji"...

*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *Sehemu ya 51 na 52* Post Mpya
*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *Sehemu ya 51 na 52*
@majario LIVE

Daaaah nilishangaaaa sana kwamba aya mambo yamekujaje kujaje, na mbona sielewi, nikasema mama sijaelewa yani kwamba umesema? , mama akanmbia nilishaongea sana na wewe millan, juu ya suala la wewe...

SHAMIRA Sehemu ya 48 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 48
@majario LIVE

Wassap;0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Akasema mimi pia nimekula njoga nikaoge basi chapi chapu. nikaseโ€‹ma sawa. Kweli mwanaume akaenda kuoga nikabaki nimetulia tu na baada ya mda akatoka akanifata...

Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station. Post Mpya
Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.
@majario LIVE

Binafsi nilikuwa napenda sana vipindi vitatu pale RFA , 1 - Sindano 3 za moto, asubuhi na Fredwaa...!! 2 - Sitosahau na Sky Woker 3 - Showtime bongo moja ya show za...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39  na 40 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39 na 40
@majario LIVE

39 MPAKA 40 ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ Mwandishi; lissa wa huru media Nilitukana kweli kweli kwemye gari umo. Ila barka hakunijibu alikuwa busy na kuendesha gari. Akawa ananipeleka mlandizi ukoo. Nikasema wewe mjinga unaenfa...

BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha! Post Mpya
BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!
@majario LIVE

Nikikupenda mimi inatosha, acha kuwa na presha, acha kuhangaika na ndugu zangu, kama wakikupenda ni ziada tu lakini haibadilishi chochote! Nani alikudanganya kuwa wanapaswa kukupenda! Mimi mwenyewe sina uhakika kama...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 50
@majario LIVE

๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 50
@majario LIVE

๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 48 na 49 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 48 na 49
@majario LIVE

Daaah mchumba ndo kashanikatia simu mi nafanyaje sasa ,basi nikaweka simu pembeni tu, kisha nikapanda kitandani, nikavuta shuka , nikapumzika na asubih sana nikaamkia kazin na mwanangu lbraa,ibra akaniuliza...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38  na 39. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38 na 39.
@majario LIVE

kipande cha 38 ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ Mwandishi; lissa wa huru media Basi ndo hivyo . Nikaikosa ndoa na bwana barka.na nikawa busy na maisha yangu . Na mambo yangu. Na nikazidisha mapenzi tu kwa...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma.
@majario LIVE

36 MPAKA 37 ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ Mwandishi; lissa wa huru media Maua akasema khaaa yani unanitukana mimi. Kwaiyo mimi naweza kuolewa na kaka yangu. Nikasema yaa unaweza sasa kisebengo cha nini. Nakuona sana tangu...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest