Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo
Gonga94 · Stories
22 Sep 2025
76 views
VYOTE NDANI GONGA94
CHUMBANI KWETU 💚 7 oyaah jafe eeeeeeh...!🗣💃🤣🤣🤣 chakulalia hichi hapa mpumzishe makomwe na marumumeti wenu adi kesho🤣🤣🤣
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
nyieee kibao kile nilihisi kizunguzungu😒😒😒 nikawa natetemekaje mana alikua amekasirika sana ,akawa analia mwenyewe anaiokota Ile picha nikasema duh ana nini?🙄
nikamuomba msamaha akawa ananiangalia tu niache siko sawa mmmh nikasema kwahiyo haniomb msamaha😳kanitandika kibao😂😂😂 🏃🏼♀️
nikamuacha asije niua bure😭 akazoa vile vioo vilivyovunjika mimi hapo nasema dah mbona anajishughulisha sana😭😭😭 sipendwi kabisa mimi anapendwa wa kwenye picha😭 basi nikamwambia nisamehe kwa kuvunja akasema nisijali picha ataitengeneza tena tu duhhh aseee🙌🙌
hakuniongelesha tena na mimi sikumuongelesha chochote nikawa kimya nitulize komwe langu😒
tukalala asubuhi yake akaenda kazini lakini mida ya saa nane akanipigia akasema nijiandae anapita hapa nyumbani sikujua tunaenda wapi ila nikahisi itakuwa hospital mana hawa. ukiumwa kidogo tu hospital😏
nikaoga nikajiandaa ,baada ya muda akasema nipande boda mpaka maeneo flan nitamkuta hapo ,ananisumbua mbona mimi nina mihasira yangu😫😫😫
nikaenda nikamkuta basi nikapanda kwenye gari hakuwa anaongea chochote na mimi nikatulia 😎akaendesha mpaka eneo moja akasimamisha akashuka namimi nikashuka lilikuwa ni eneo la makaburi🙈
nkawa namfata tu nyuma miee tukafika kaburi moja akasimama nikasema tunakuja kuwanga nini🙄au sio mtu wa kawaida uyu kama betty alivyokuwa ananitisha🙈🙊mawazo yangu yalikuwa ya kitoto😆😆🙌
zawadi abeee kwanza naomba unisamehe kwa yaliyotokea jana mchana na usiku khaa sa ndo anakuja niomba msamaha makaburini😎mimi nataka chumbani bhana😏
umenikosea nini nikajifanya ukauzu😎 najua jana ulisikia naongea na mama kuhusu mwanamke mwingine nisamehe sana sijawahi kukwambia chochote ni kwamba uloyasikia jana na Ile picha ndo yeye huyo mwanamke najitahidi kumsahau kiukweli inakua ngumu n nan uyo mwanamke?
alikuwa mchumba angu na alishaniacha na hili ndo kaburi lake amefariki?😳 ndio😭 najitahidi sana kumsahau kuna muda hadi nilichanganyikiwa na alifariki akaacha mtoto mdogo😭 ndo mama akaforce nioe. pengine ntapoza machungu lakini sikua tayar😭😭
dah pole sana nikapata kazi ya kumbembeleza aseee huruma kumbe namuonea wivu mtu ashafariki nikambembeleza sana mwisho wa siku akanyamaza tukafagilia kaburi tukaondoka akasema tupitie hospital nipime anahisi nina mimba, tukaenda pima kweli nilikutwa mjamzito tulifurah tukarudi nyumbani , nikamuuliza mtoto wa marehem sasa yuko wapi akanambia yupo upande wa mama ake ndipo anapolelewa
akanihakikishia kuwa nisihis hanipendi ananipenda na yupo tayari kuish vizuri tu na ukizingatia nina mimba tayari atanitunza vizuri,basi na mimi nkamwambia ntampa faraja asijihisi mnyonge
basi tukaanza maisha mapya nikiwa mama kija🙃 basi nikamuuliza wifi zuu kumbe aman alifiwa akasema ndio mama mchumba ake alifariki akiwa anajifungua😭😭😭 nikashtukaje ni lini miez tisa sasa ishapita ,
naomba umpe faraja tu kakangu jaman hakuwa sawa kabisa sawa wifi angu mimi nimekuelewa🙏.......
sasa ujauzito wangu ukawa umefikisha miezi mitano siku moja tukaamka asubuhi tukakuta kuna ndege kafia mule ndani chumbani kwetu😳😳katokea au kapitia wapi mimi pia sielewi na naanza kupata wasiwasi🥺
wasiwasi wa nini usinitishe bas sikutishi ila wakati (najma uyo marehemu) alivyokuwa mjamzito vikaanza vituko hivi hivi mara ndege kafia ndani mara tukute nazi zimevunjwa aseee vituko vya kila aina safari hii sitokubali wanichezee aseee nikasema mtuuuuuumeeeeee 😳 nisije nikafa mimi kama ndo kuna uchawi jamani jamani😭😭😭
Fb hatutapost wajamen full story ipo whatsapp lipia tsh 2500 kwa airtel 0782781603 RAHEL BOO kisha nicheki whatsapp kwa namba hiyohiyo nikuwekee yoteeeee🔥🔥🔥💪
Maoni
You're not logged in
X
Login
X
signup
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
Kitu ambacho nimekipenda kwa Simba ni kuleta huduma ya Anicet Oura hapa NBC PL kwanini?
Kwasababu Anicet Oura ni kipaji bora cha soka [Potential Player] ambaye Alikuwa anahitaji Simba, ana ufanisi upi? 1: Ni ...
*DAKTARI WA JESHI SI UNGENIOMBA TUU* *1-5* Kuna wakati kwenye maisha hatuwezi kabisa kuamua hatma zetu, nadhan ni kwa sababu huwa hatujui maisha yetu yamebebwa na nini... Umaskin, shida na tabu za maisha huwa ni funzo kubwa sana kwetu, na kwa baadhi yet
ndio njia ya kutuongezea juhudi katika upambanaji wetu... Naitwa alice ndio jina ambalo nimepewa na wazaz wangu, nimeza...
🔞 ZOA ZOA YA BABA KAMLETA MLIWA NDOGO.1..5 KWENYE NDOA🔞 Sehemu ya kwanza. ( TAHADHARI NI SIMULIZI YA WAKUBWA TENA WAKUBWA KWELI KWELI) Shabani njoo hapa.
( Ni sauti ya mama wa kambo aliyeolewa na baba siku Saba kuisha anaonyesha kucha zake mapema nikaenda kumsikiliza) " Na...
🔥🔞 NIMEMF🤐..LA MKE MDOGO KUMKOMOA MAMA YANGU MZAZI 🔞🔥 sehemu ya pili ( CHONDE CHONDE SIO SHABIKI WA CHOMBEZO USISOME) 👉 Hapa ndio ukawa mtihani kwangu nimpe mama
kweli simu na mama nimemsikia muda si mrefu anamsema mke wangu vibaya amtaki kwenye ndoa, Dah yani....👇 Mimi nikajionge...
CHUMBANI KWETU 💚 7 oyaah jafe eeeeeeh...!🗣💃🤣🤣🤣 chakulalia hichi hapa mpumzishe makomwe na marumumeti wenu adi kesho🤣🤣🤣
nyieee kibao kile nilihisi kizunguzungu😒😒😒 nikawa natetemekaje mana alikua amekasirika sana ,akawa analia mwenyewe anaiokota Ile picha nikasema duh ana nini?🙄
nikamuomba msamaha akawa ananiangalia tu niache siko sawa mmmh nikasema kwahiyo haniomb msamaha😳kanitandika kibao😂😂😂 🏃🏼♀️
nikamuacha asije niua bure😭 akazoa vile vioo vilivyovunjika mimi hapo nasema dah mbona anajishughulisha sana😭😭😭 sipendwi kabisa mimi anapendwa wa kwenye picha😭 basi nikamwambia nisamehe kwa kuvunja akasema nisijali picha ataitengeneza tena tu duhhh aseee🙌🙌
hakuniongelesha tena na mimi sikumuongelesha chochote nikawa kimya nitulize komwe langu😒
tukalala asubuhi yake akaenda kazini lakini mida ya saa nane akanipigia akasema nijiandae anapita hapa nyumbani...
👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/chumbani-kwetu-7-oyaah-jafe-eeeeeeh-chakulalia-hichi-hapa-mpumzishe-makomwe-na-marumumeti-wenu-adi-k
Maoni