Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

CHUO CHA MIHEMKO  SEHEMU YA 9
Gonga94 · Stories

CHUO CHA MIHEMKO SEHEMU YA 9

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
CHUO CHA MIHEMKO

SEHEMU YA 9

Ronnie, ah! Huyu jamaa alikua kama bahasha yenye barua nzuri nje umependeza, ndani una ujumbe wa moyo.
Tangu alipojitokeza kwenye ile party, kila kitu kikawa kama kimetulia… angalau kwa nje.
Lakini moyoni, bado kulikuwa na mdundo wa maswali:

"Je, huyu si mwingine tu kama Adam aliyevaa ngozi ya fadhili?"

Lakini jamani, moyo wa mwanamke ni kama plastiki ya nailoni unayeyuka kwa moto wa maneno matamu.
Ronnie hakusema mengi, lakini kila alichokisema kilikuwa kina timing, kina uzito, na kina direction.

Siku moja alinipigia nikiwa darasani. Nika-text: “Nipo lecture, nikutafute baadae?”
Akanijibu fasta: “Sawa, focus baby girl… elimu kwanza, emotions zifuate.”
Nikacheka kimya kimya.
Huyu mtu alikuwa anaongea lugha ya mwili wangu kabla hata hajau

Siku ya Jumatano, alinialika kwenye picnic.
Mitaa ya Njiro, bustani ya kisasa, maua, muziki wa taratibu na vibes za starehe.
Alikuja na kikapu cha chakula, mistari ya kutosha na ile harufu ya kiume inayomfanya msichana ajisikie salama bila hata silaha.
Tulikula, tukacheka, tukazungumza mambo ya maisha, siasa, na ndoto.

“Neema,” aliniangalia machoni kama mtu anayepima kina cha roho,
“Najua haujapona kabisa. Na sitaki kuwa dawa, nataka kuwa hewa — kitu usichohitaji kupona ili uendelee kuishi.”

Mimi? Nikaishiwa maneno.
Nikatabasamu kama binti wa mjini anayejua penzi halali limemvizia.

Lakini chuo sio paradiso.
Na kila safari ya furaha huwa na kivuli chake.

Siku moja, nikiwa nimetulia hostel nikipiga Netflix, Mwanaisha akanigongea mlango kwa nguvu.

“Neema! Fungua haraka!”
Nikadhani labda moto umetokea. Kufungua mlango, akanirusha na simu:
“Tazama hii!”
Nikachukua simu, nikaiangalia video ya Ronnie yuko kwenye club, akimshika kiuno demu mrembo wa Law School, anayeitwa Debby, wakicheza kimahaba hadi watu wakaanza kupiga video kwa kisiri.
Caption ya mtu mmoja kwenye WhatsApp:
"Sema tena anampenda Neema, kumbe usiku ni DJ wa mioyo ya wengine."

Nilikaa kitako nikiwa kimya.
Si kwa sababu ya kushtuka, bali kwa sababu nilikua nimeanza kuzoea maumivu haya.
Ya kuwa na matumaini halafu yachomwe kama picha kwenye moto wa wivu.

Nilimpigia. Simu ikaita mara mbili, akaipokea.
Sauti yake ilikuwa tulivu kama kawaida:

“Hey baby.”
Nikamjibu, “Still unaniita baby hata baada ya video ile?”
Akakaa kimya kwa sekunde.
“Neema, hiyo video sio kama inavyoonekana…”
Nikamuuliza: “Sio wewe huyo unamshika kiuno?”
“Ni mimi, lakini”
Nikakata simu.

Mwanaisha akaniuliza, “Utafanya nini sasa?”
Nikamjibu, “Nitakaa kimya, nitajifunza.”

“Na moyo wako?”
Nikamuambia, “Moyo wangu hauna bima ya mapenzi… ila nitapambana.”

Siku ya Ijumaa, nilivaa suruali ya jeans iliyonikaza kama swali gumu, top nyembamba, nikajiremba, nikachukua kitabu changu cha Ethics nikasogea Library.
Kama kawaida, midomo ya watu haikosekani.

“Yule wa Adam.”
“Yule wa Ronnie.”
“Yule wa video.”
Lakini nilitembea kifua mbele, nikiwa najua kitu kimoja chuo ni darasa la kila aina ya somo: la mapenzi, la kuvunjwa, na la kuamka ukiwa mpya.

Na siku hiyo, nilianza kuandika ukurasa mpya.
Nilikaa, nikajibu maswali ya Ethics, huku nikijifunza Ethics ya moyo wangu.

Ni wakati wa kupenda tena, lakini kwa akili.
Kupenda kwa hisia, lakini na mipaka.
Na kujiweka mbele kabla ya yeyote.

Nachelewa kwasababu ham like, gonga like uone kama soketi mapema kabisa, haya sasa kimbiza like zifike 100....

Kama haupo kwenye page yangu basi jiunge, kama zikifika like 100 kwenye page mnaweka mwendelezo mapema sana, na kama tukienda mwendo wa haraka tutafika final chap..
Kama haupo kwenye page yangu Facebook basi fursa hapa kisha follow page yangu Facebook..
????????????
Layman Donsue Simulizi

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

CHUO CHA MIHEMKO SEHEMU YA 9

CHUO CHA MIHEMKO

SEHEMU YA 9

Ronnie, ah! Huyu jamaa alikua kama bahasha yenye barua nzuri nje umependeza, ndani una ujumbe wa moyo.
Tangu alipojitokeza kwenye ile party, kila kitu kikawa kama kimetulia… angalau kwa nje.
Lakini moyoni, bado kulikuwa na mdundo wa maswali:

"Je, huyu si mwingine tu kama Adam aliyevaa ngozi ya fadhili?"

Lakini jamani, moyo wa mwanamke ni kama plastiki ya nailoni unayeyuka kwa moto wa maneno matamu.
Ronnie hakusema mengi, lakini kila alichokisema kilikuwa kina timing, kina uzito, na kina direction.

Siku moja alinipigia nikiwa darasani. Nika-text: “Nipo lecture, nikutafute baadae?”
Akanijibu fasta: “Sawa, focus baby girl… elimu kwanza, emotions zifuate.”
Nikacheka kimya...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/chuo-cha-mihemko-sehemu-ya-9

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi chuo-cha-mihemko-sehemu-ya
CHUO CHA MIHEMKO SEHEMU YA 12
CHUO CHA MIHEMKO SEHEMU YA 12
CHUO CHA MIHEMKO SEHEMU YA 3
CHUO CHA MIHEMKO SEHEMU YA 3
CHUO CHA MIHEMKO  SEHEMU YA 2.
CHUO CHA MIHEMKO SEHEMU YA 2.
CHUO CHA MIHEMKO SEHEMU YA 15
CHUO CHA MIHEMKO SEHEMU YA 15
CHUO CHA MIHEMKO  SEHEMU YA 1
CHUO CHA MIHEMKO SEHEMU YA 1
CHUO CHA MIHEMKO SEHEMU YA 11
CHUO CHA MIHEMKO SEHEMU YA 11
CHUO CHA MIHEMKO SEHEMU YA 13
CHUO CHA MIHEMKO SEHEMU YA 13
CHUO CHA MIHEMKO SEHEMU YA 14
CHUO CHA MIHEMKO SEHEMU YA 14
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*

812
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

582
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

504
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20

370
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

305
SHAMIRA sehemu ya 36&37

SHAMIRA sehemu ya 36&37

187
BLACK BUTTERFLY 🦋 5

BLACK BUTTERFLY 🦋 5

94
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example

3

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.5K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.76K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.22K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.65K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.62K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.57K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.52K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.46K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.46K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20
@majario LIVE

Nikasema zena kweli ,na wew unafeel kama vile ambavyo mm nafeel acha masihara basi, akanambia lakini millan ,mi wewe sikujuhi vizur, ndo mana nilikuwa nataka mda kwanza wa kukufahamu ,nisije...

BLACK BUTTERFLY 🦋 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA “ Brayton..” Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa “ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?” Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
@majario LIVE

Yani ummy Alishangilia na kwambia aliimba nyimbo zote mpaka mama yake ndo alimnyamazisha, basi nikamwambia ummy aya mama yangu mzuri nimekuletea tv sasa uwe na amani sawa, akasema ndio...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*
@majario LIVE

Sikujua kam nililala pale mpaka asubuhi, tena nimelala kana kwamba pale ni nyumbani kwetu jamni nilikuja kushtuka tena baada ya kupigiwa simu, jamni si ndio naamka najikuta nipo kwenye chumba...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nilifika home nna hasira sana, nimechukia mnoo, yote sababu nilikuwa nimemmaind sana yule demu, yani nilimuona ana linga kinoma, nikasema bwana mi namkaushia kama.vp mana wanawake...

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*
@majario LIVE

Nikatulia kwanza na kumuangalia madam groly kisha nikamuuliza. "Unamaanisha nini unavyosema hauna Furaha na hii siku 7 Sijakuelewa kwakweli nakumbuka ulikuwa ukitsubilia hi siku kwa hamu sana" Madam groly akacheka sana kisha akasogea...

SHAMIRA sehemu ya 36&37 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 36&37
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mwanaume akaondoka zake na mimi ndo nikashika simu sasa .nikampigia aisha kumpa mchapo.nikasema shoga nusu niachwe mwenzio.nimeomba msamaha kama chizi.aisha akasema mh tatizo hamadi...

BLACK BUTTERFLY 🦋 4 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 4
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Brayton akiwa kwenye gari alijaribuu kupiga simu Hospitali ili maandilizi mapema kwaajili ya mgonjwa anae kuja nae muda huu. Hospitali nayo hakufanya makosa tayari waliandaa kitanda...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21
@majario LIVE

Nikamuuliza "we umejuana vipi na D??" "Yule D ni mdogo wake na Boss wangu, ni binamu yake kitu kama hicho, mie sijawahi hata kuwa na mazoea nae kabisaaa ila kuna issue...

Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas Post Mpya
Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas
@majario LIVE

really make you believe in modern-day love stories. Different countries, different cultures, totally different careers — but somehow it all just fits perfectly. What started with a simple conversation...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
@majario LIVE

Muda huo Mwenyewe nilikua Nacheza kwa Furaha zote, lakini kitendo cha kumuona madam groly killharibu kila kitu, niliona kabisa birthday yangu inaenda kuharibika Maana huyu mama hana jema ata kidogo. "NAKUJA Alizungumza...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest