Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 03
Gonga94 · Stories

DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 03

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 03

"Oscar kamwambie huyo doctor wako akupe dawa haraka sana siwezi kuishi kwenye hii hali",Martha aliongea.
"Lakini mke wangu.....

ENDELEA NAYOO..
"Lakini mke wangu tulia kwanza nikupe habari njema",mawazo yetu yalikuwa haya fanani ata kidogo,mke wangu yeye alikuwa anataka arudi kwenye hali yake alafu mimi nilikuwa nataka aendelee kuwa na utamu uleule nilichofanya niliamua kumtuliza Martha baada ya kuona amepandisha hasira zake.
Palepale simu iliita ikabidi nipokee mbele ya mke wangu,
"biashara gani tunayofanyiana Oscar, nyumba imepatikana lakini umeondoka bira kunipa tarifa zozote zile", alikuwa ni dalali niliyemwacha ili nimuwahi mke wangu.
"nilipata tatizo dalali nakuja chap hapo sasa ivi tu"
Tuliamua kuondoka wote mimi na mke wangu huku tubeba begi letu la pesa tulilokuwa nalo.tulifika sehemu husika na kuiangalia nyumba na kila mtu alilithika nayo, niliona ni bora kuishi hapo kuliko kwenye maisha ya upangajini.

Mwanasheria alikuja siku hiyohiyo na tukafanya makabiziano ya hatimiliki na tukulipa pesa kama makubaliano yalivyo kuwa na sasa kilicho kuwa kimebaki ni sisi kununua vitu kwa ajili ya kuipendezesha nyumba yetu.
"Mume wangu mda umeenda sana ni vyema tutafute gest ya karibu tulale ili kesho tufaye kazi ya kununua furniture", Martha aliongea na mimi niliunga mkono wazo lake.
Siku iyo ikapita na siku nyingine ikafika kama tulivyo kuwa tumepanga mimi na mke wangu asubuhi ya siku hiyo tuliamkia kwenda kununua furniture na vitu vingine vya ndani ya nyumba sasa ilikuwa kwenye mwonekano wa kuvutia.
Huku mkononi tukiwa tumebakiza milion kama 40 na sehemu ivi.

Simu yangu iliita ikabidi niangalie kwenye kioo ni nani anayepiga na hakuwa mwingine bali alikuwa jamaa yangu Max ikabidi nipokee,
"Hello, niambie Max"
"Safi jamaa yangu emu njoo getoni kwangu hapa kuna tatizo kidogo", Max alikata simu bira kunipa nafasi ya mimi kumuuliza ni tatizo gani alilonalo nilimgeukia mke wangu na kumuaga,
"Martha sitachelewa kurudi "
"Oscar saa ivi ni saa 5 angalia usije kuchelewa na mimi nikakutwa na matatizo"
"Usijali mke wangu masaa mawili ni mengi mno na uzuri kwa Max nikaribu lazima nitawahi tu kurudi"
Nilikuwa na uhakika huo kuwa sitachelewa kurudi niliondoka pale nyumbani na kumwacha mke wangu akiwa na wasiwasi kidogo.

Nilifika mpaka kwa rafiki yangu Max aliyekuwa kasimama mlangoni akinisubiri mimi,
"Oyaaa Oscar ndugu yangu, kuna tatizo nimelipata hapa", Max aliongea.
"Tatizo gani ilo Max"
Max kwanza aliangaza huku na huku na kuniambia niingie ndani ile nafika tu nakuta kuna mdada amelala kitandani na hajitambui,
"Tatizo ndio hilo kaka, nimeshangaa kipindi nafanya nae mapenzi amezimia na nilijaribu mno kumuasha ila mpaka sasa ivi bado"
"Huu msala ndugu yangu",nilisogea na kusikiliza mapigo ya moyo ya yule mdada yalikuwa yanakisikika kwa mbali sana kumaanisha kuwa bado alikuwa mzima.
"Ndugu yangu huyu bado mzima hapa inatakiwa tumpeleke hospital akatibiwe tu".
Tulikubaliana nakuanza kuhangaika kutafuta usafiri na bahati nzuri tulifanyi kiwa na kumpeleka yule mdada hospital ambapo alipelekwa kwenye chumba maalumu baada ya sisi kumfikisha, huku rafiki yangu Max akiwa ni mwenye wasiwasi.
palepale mke wangu alipiga simu ikabidi nipokee,
"Upo wapi wewe huoni kama mda umekaribia bado nusu saa tu"
"Asante kwa kunikumbusha mke wangu nakuja sasa ivi tu", nilikata simu nakugeuka mahali alipokuwa amekaa Max ajabu nilishangaa kutokumwona.
"Huyu kaenda wapi au itakuwa kaenda kwa doctor huko!!" Nilijiuliza pasipo kuwa na majibu ila niliamua kwenda nyumbani na nilivyo anza kuondoka tu nilishanga naitwa na nesi,
"Wewe kaka njoo hapa"
"Mimi"
"Ndio wewe"
Nilimsogelea ili nisikilize kaniitia nini,
"Mwenzako ameondoka na amesema wewe ndio mwenye huyu mgonjwa mbona na wewe unataka kukimbia tena kama mwenzako"
"Heeeeeee",niliguna mana sikuamini maneno ya yule nesi kwanza alikuwa ana nipotezea mda na Max nae sikuelewa kwanini aliamua kunifanyia ule mchezo niliamua kujiongeza kama mwanaume ili nipate nafasi ya kutoka pale,
"Hapana nesi umefikilia vibaya hapa naenda kutoa pesa ili nije nilipie garama za matibabu, yule ni mke wangu siwezi kumuacha"
"Hapo sawa waweza kwenda",Nesi yule aliongea na iyo ikawa kama afadhali kwangu,
Nilivyoangalia simu yangu tayali nilikuwa nimeshatumia dekika 7 sasa zilibaki dekika 23 kufika saa 7:00 kamili safari ilianza yakutoka pale hospital ili nimuwahi mke wangu ila bahati mbaya ikawa kwangu tena siku iyo nikiwa naangalia bodaboda kwa ajili ya kuwahi nyumbani nilishangaa nimeshikwa bega langu kugeuka nyuma nakutana na mama mkwe wangu yani mama wa mke wangu Martha,
"Shikamoo mama"nilimsalimia mama mkwe wangu.
"Haujambo kijana wangu mbona kama una wasiwasi?",aliniuliza mama mkwe.
"Nasubiri usafiri wa kwenda nyumbani mama"
"Ooh basi ni vizuri ata mimi nina mda mrefu sijamuona binti yangu tunaweza kuongozana wote mpaka nyumbani kwako",Mama mkwe wangu aliongea.

Kijasho chembamba kilianza kunitoka kwa alichokisema ety tuongozane mpaka nyumbani niliangalia saa yangu sasa zilibaki dekika 14 tu kwa ninavyo kumbuka.
"Mwanangu mbona umezubaa kuna tatizo huko nyumbani"
"Heee unasemaa",nilijikuta nikisindwa kuongea vizuri mbele ya mama yake na Martha...ITAENDELEA.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 03

DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 03

"Oscar kamwambie huyo doctor wako akupe dawa haraka sana siwezi kuishi kwenye hii hali",Martha aliongea.
"Lakini mke wangu.....

ENDELEA NAYOO..
"Lakini mke wangu tulia kwanza nikupe habari njema",mawazo yetu yalikuwa haya fanani ata kidogo,mke wangu yeye alikuwa anataka arudi kwenye hali yake alafu mimi nilikuwa nataka aendelee kuwa na utamu uleule nilichofanya niliamua kumtuliza Martha baada ya kuona amepandisha hasira zake.
Palepale simu iliita ikabidi nipokee mbele ya mke wangu,
"biashara gani tunayofanyiana Oscar, nyumba imepatikana lakini umeondoka bira kunipa tarifa zozote zile", alikuwa ni dalali niliyemwacha ili nimuwahi mke wangu.
"nilipata tatizo dalali nakuja chap hapo sasa ivi tu"
Tuliamua kuondoka...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/dozi-ni-saa-7-00-mchana-03

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi dozi-ni-saa
DOZI NI SAA 7:00 MCHANA (01)
DOZI NI SAA 7:00 MCHANA (01)
DOZI NI SAA 7:00 MCHANA (02)
DOZI NI SAA 7:00 MCHANA (02)
DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 04
DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 04
DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 05
DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 05
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*MY WANGU❤️*   *sehemu ya 109 na 110*

*MY WANGU❤️* *sehemu ya 109 na 110*

1.08K
MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112

MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112

869
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 59 na 60

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 59 na 60

635
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 70...71💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 70...71💘💘

453
*REALLY LOVE Chapter 20

*REALLY LOVE Chapter 20

233
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 8

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 8

152
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9

143
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * 5 to 6

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * 5 to 6

87
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *SEHEMU YA NNE*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *SEHEMU YA NNE*

81
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 6

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 6

59

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.22K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.94K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.7K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.11K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.49K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.43K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.33K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.32K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.27K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.19K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
*AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️*   *SEHEMU YA 01 & 4 Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️* *SEHEMU YA 01 & 4
@majario LIVE

ANZA NAYO…… “Wewe sikiliza umu Ndani teshachoka kukulea sasa, Kazi utaki kufanya, unataka kukaa tu, unataka tukulishe na kukuvisha Binti akili zako Zipo Sawa au ? Sasa...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 7 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 7
@majario LIVE

Wale wadada wakanyamaza kidogo, wakaniangalia kuanzia kichwani mpaka miguuni. Mmoja akauliza “Huyu ni nani tena?” Nikavuta pumzi ndefu, nikajikaza. “Sikujua kama leo ni sherehe, , mie ni mke wake” nikasema kwa sauti ya...

mwanzilishi mwenza wa YouTube Karim mwenye umri wa miaka 25 wakati huo katika Zoo ya San Diego akizungumza kuhusu Post Mpya
mwanzilishi mwenza wa YouTube Karim mwenye umri wa miaka 25 wakati huo katika Zoo ya San Diego akizungumza kuhusu
@majario LIVE

Ukurasa wa kutazama wa YouTube unaangazia upakiaji wa kwanza kabisa unaoitwa "Me at the zoo," ikionyesha mwanzilishi mwenza wa YouTube Karim mwenye umri wa miaka 25 wakati huo katika Zoo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 6 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 6
@majario LIVE

Maneno ya Boda boda yalikuwa yananifikirisha sana, nikafika nyumbani sina hata rahaa, kila nikapiga sana simu ya D hakuwa anapokea nilipiga sanaaa hata hapokeii .. Usingizi hauji yaani kila nikikumbuka wale...

Ghana released the passport of the Russian guy accused of filming African women without consent. They named him as 36-year-old Vladislav Liulkov Post Mpya
Ghana released the passport of the Russian guy accused of filming African women without consent. They named him as 36-year-old Vladislav Liulkov
@majario LIVE

after talks with the Russian ambassador as it tries to extradite him back to face charges. “Working with the Ghana Police CID, we have activated international legal action through INTERPOL...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9
@majario LIVE

SONGA NAYO...... "Uwiiiii mamaaa, sir nisamehe.." Alilalamika yule mwanafunzi. ( yani unaongea hivyo na mtu ambaye ananifanya nikose usingizi, nishindwe kula harafu unaongea unavyojisikia na mimi nikiwa hapa kabisa, pokea na hicho..) Nikamshushia kingine...

AFISA Habari wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), Karim Boimanda ametoa sababu za mchezo wa Dabi ya Kariakoo Post Mpya
AFISA Habari wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), Karim Boimanda ametoa sababu za mchezo wa Dabi ya Kariakoo
@majario LIVE

utakaopigwa Machi 01, 2026 kuhamishiwa katika uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar badala ya Benjamin Mkapa kama ilivyopangwa awali na kubainisha kwamba kanuni zinaruhusu. Akizungumza na chombo kimoja cha Habari...

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 70...71💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 70...71💘💘
@majario LIVE

Ucjali lia mimi tayari nimeshakusamehe na ninakuombea kwa mwenyezi mungu akuponye uweze kurudi kwenye hali yako ya kawaida.... lia aliomba msamaha kwa paschal kutokana na vishawishi alivyokuwa akimpatia na hivyo...

MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112
@majario LIVE

Nikasem na mm pia simkumbuki. Rahul akasema unamkumbuka mma.si yule alikua nanibeba . Nikasema simjuh mbona unanilazimisha. Mwanangu si ndo akakumbuk akasema ni elly bibi. Anaitwa bab elly. Uzuri...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 8 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 8
@majario LIVE

SONGA NAYO.... Basi kama mwalimu nikamwambia Lizy apite akae, kweli na yeye akaenda na kukaa, kisha nikawatazama hao wanafunzi sasa walikuwa wananiangalia hao na mimi nikatoa mimacho yangu yote nje na...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * 5 to 6 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * 5 to 6
@majario LIVE

Chapter 5 Kulikucha ila hata leo nilichelewa kuamka maaana dada pia inavyoonekana jana alichoka sana hivyoo na yeye pia alilala sana hakuamka pia nikajikuta nimeshtuka saaa moja ikabidi tu niwahi kujiandaa...

Baby Guddu, whose real name is Shahinda Baig, was one of the most loved child stars of her time. The daughter of filmmaker M. M. Baig Post Mpya
Baby Guddu, whose real name is Shahinda Baig, was one of the most loved child stars of her time. The daughter of filmmaker M. M. Baig
@majario LIVE

, she began acting when she was just three years old and quickly became a favorite among audiences for her innocent charm and natural expressions. During the 1970s and early...

Sad 😢 : Mtayarishaji mkongwe wa filamu Bollywood  M.M Baig, baba wa aliyekuwa msanii mtoto maarufu wa zamani Baby Guddu, Post Mpya
Sad 😢 : Mtayarishaji mkongwe wa filamu Bollywood M.M Baig, baba wa aliyekuwa msanii mtoto maarufu wa zamani Baby Guddu,
@majario LIVE

na aliyeshiriki katika kutayarisha filamu kama Razia Sultan pamoja na kuongoza filamu ya Chhoti Bahu, alikutwa akiwa amefariki nyumbani kwake, msemaji wake bwana Hanif Zaveri amethibitisha. Kwa mujibu wa taarifa Baig...

Nottingham Forest beat Fenerbahçe 3-0 in the first leg of their UEL knockouts playoffs tie. Post Mpya
Nottingham Forest beat Fenerbahçe 3-0 in the first leg of their UEL knockouts playoffs tie.
@majario LIVE

Nottingham Forest beat Fenerbahçe 3-0 in the first leg of their UEL knockouts playoffs tie. The Vítor Pereira era is off to a winning start ✅

Suniel Shetty has been married to Mana Shetty (born Monisha Kadri) since December 25, 1991, and their love story is truly old-school Post Mpya
Suniel Shetty has been married to Mana Shetty (born Monisha Kadri) since December 25, 1991, and their love story is truly old-school
@majario LIVE

. They met back in the 1980s and dated for almost nine years before getting married. Coming from different cultural backgrounds, their relationship did face resistance initially, but love and...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest