Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 03
Gonga94 Β· Stories

DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 03

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 03

"Oscar kamwambie huyo doctor wako akupe dawa haraka sana siwezi kuishi kwenye hii hali",Martha aliongea.
"Lakini mke wangu.....

ENDELEA NAYOO..
"Lakini mke wangu tulia kwanza nikupe habari njema",mawazo yetu yalikuwa haya fanani ata kidogo,mke wangu yeye alikuwa anataka arudi kwenye hali yake alafu mimi nilikuwa nataka aendelee kuwa na utamu uleule nilichofanya niliamua kumtuliza Martha baada ya kuona amepandisha hasira zake.
Palepale simu iliita ikabidi nipokee mbele ya mke wangu,
"biashara gani tunayofanyiana Oscar, nyumba imepatikana lakini umeondoka bira kunipa tarifa zozote zile", alikuwa ni dalali niliyemwacha ili nimuwahi mke wangu.
"nilipata tatizo dalali nakuja chap hapo sasa ivi tu"
Tuliamua kuondoka wote mimi na mke wangu huku tubeba begi letu la pesa tulilokuwa nalo.tulifika sehemu husika na kuiangalia nyumba na kila mtu alilithika nayo, niliona ni bora kuishi hapo kuliko kwenye maisha ya upangajini.

Mwanasheria alikuja siku hiyohiyo na tukafanya makabiziano ya hatimiliki na tukulipa pesa kama makubaliano yalivyo kuwa na sasa kilicho kuwa kimebaki ni sisi kununua vitu kwa ajili ya kuipendezesha nyumba yetu.
"Mume wangu mda umeenda sana ni vyema tutafute gest ya karibu tulale ili kesho tufaye kazi ya kununua furniture", Martha aliongea na mimi niliunga mkono wazo lake.
Siku iyo ikapita na siku nyingine ikafika kama tulivyo kuwa tumepanga mimi na mke wangu asubuhi ya siku hiyo tuliamkia kwenda kununua furniture na vitu vingine vya ndani ya nyumba sasa ilikuwa kwenye mwonekano wa kuvutia.
Huku mkononi tukiwa tumebakiza milion kama 40 na sehemu ivi.

Simu yangu iliita ikabidi niangalie kwenye kioo ni nani anayepiga na hakuwa mwingine bali alikuwa jamaa yangu Max ikabidi nipokee,
"Hello, niambie Max"
"Safi jamaa yangu emu njoo getoni kwangu hapa kuna tatizo kidogo", Max alikata simu bira kunipa nafasi ya mimi kumuuliza ni tatizo gani alilonalo nilimgeukia mke wangu na kumuaga,
"Martha sitachelewa kurudi "
"Oscar saa ivi ni saa 5 angalia usije kuchelewa na mimi nikakutwa na matatizo"
"Usijali mke wangu masaa mawili ni mengi mno na uzuri kwa Max nikaribu lazima nitawahi tu kurudi"
Nilikuwa na uhakika huo kuwa sitachelewa kurudi niliondoka pale nyumbani na kumwacha mke wangu akiwa na wasiwasi kidogo.

Nilifika mpaka kwa rafiki yangu Max aliyekuwa kasimama mlangoni akinisubiri mimi,
"Oyaaa Oscar ndugu yangu, kuna tatizo nimelipata hapa", Max aliongea.
"Tatizo gani ilo Max"
Max kwanza aliangaza huku na huku na kuniambia niingie ndani ile nafika tu nakuta kuna mdada amelala kitandani na hajitambui,
"Tatizo ndio hilo kaka, nimeshangaa kipindi nafanya nae mapenzi amezimia na nilijaribu mno kumuasha ila mpaka sasa ivi bado"
"Huu msala ndugu yangu",nilisogea na kusikiliza mapigo ya moyo ya yule mdada yalikuwa yanakisikika kwa mbali sana kumaanisha kuwa bado alikuwa mzima.
"Ndugu yangu huyu bado mzima hapa inatakiwa tumpeleke hospital akatibiwe tu".
Tulikubaliana nakuanza kuhangaika kutafuta usafiri na bahati nzuri tulifanyi kiwa na kumpeleka yule mdada hospital ambapo alipelekwa kwenye chumba maalumu baada ya sisi kumfikisha, huku rafiki yangu Max akiwa ni mwenye wasiwasi.
palepale mke wangu alipiga simu ikabidi nipokee,
"Upo wapi wewe huoni kama mda umekaribia bado nusu saa tu"
"Asante kwa kunikumbusha mke wangu nakuja sasa ivi tu", nilikata simu nakugeuka mahali alipokuwa amekaa Max ajabu nilishangaa kutokumwona.
"Huyu kaenda wapi au itakuwa kaenda kwa doctor huko!!" Nilijiuliza pasipo kuwa na majibu ila niliamua kwenda nyumbani na nilivyo anza kuondoka tu nilishanga naitwa na nesi,
"Wewe kaka njoo hapa"
"Mimi"
"Ndio wewe"
Nilimsogelea ili nisikilize kaniitia nini,
"Mwenzako ameondoka na amesema wewe ndio mwenye huyu mgonjwa mbona na wewe unataka kukimbia tena kama mwenzako"
"Heeeeeee",niliguna mana sikuamini maneno ya yule nesi kwanza alikuwa ana nipotezea mda na Max nae sikuelewa kwanini aliamua kunifanyia ule mchezo niliamua kujiongeza kama mwanaume ili nipate nafasi ya kutoka pale,
"Hapana nesi umefikilia vibaya hapa naenda kutoa pesa ili nije nilipie garama za matibabu, yule ni mke wangu siwezi kumuacha"
"Hapo sawa waweza kwenda",Nesi yule aliongea na iyo ikawa kama afadhali kwangu,
Nilivyoangalia simu yangu tayali nilikuwa nimeshatumia dekika 7 sasa zilibaki dekika 23 kufika saa 7:00 kamili safari ilianza yakutoka pale hospital ili nimuwahi mke wangu ila bahati mbaya ikawa kwangu tena siku iyo nikiwa naangalia bodaboda kwa ajili ya kuwahi nyumbani nilishangaa nimeshikwa bega langu kugeuka nyuma nakutana na mama mkwe wangu yani mama wa mke wangu Martha,
"Shikamoo mama"nilimsalimia mama mkwe wangu.
"Haujambo kijana wangu mbona kama una wasiwasi?",aliniuliza mama mkwe.
"Nasubiri usafiri wa kwenda nyumbani mama"
"Ooh basi ni vizuri ata mimi nina mda mrefu sijamuona binti yangu tunaweza kuongozana wote mpaka nyumbani kwako",Mama mkwe wangu aliongea.

Kijasho chembamba kilianza kunitoka kwa alichokisema ety tuongozane mpaka nyumbani niliangalia saa yangu sasa zilibaki dekika 14 tu kwa ninavyo kumbuka.
"Mwanangu mbona umezubaa kuna tatizo huko nyumbani"
"Heee unasemaa",nilijikuta nikisindwa kuongea vizuri mbele ya mama yake na Martha...ITAENDELEA.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 03

DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 03

"Oscar kamwambie huyo doctor wako akupe dawa haraka sana siwezi kuishi kwenye hii hali",Martha aliongea.
"Lakini mke wangu.....

ENDELEA NAYOO..
"Lakini mke wangu tulia kwanza nikupe habari njema",mawazo yetu yalikuwa haya fanani ata kidogo,mke wangu yeye alikuwa anataka arudi kwenye hali yake alafu mimi nilikuwa nataka aendelee kuwa na utamu uleule nilichofanya niliamua kumtuliza Martha baada ya kuona amepandisha hasira zake.
Palepale simu iliita ikabidi nipokee mbele ya mke wangu,
"biashara gani tunayofanyiana Oscar, nyumba imepatikana lakini umeondoka bira kunipa tarifa zozote zile", alikuwa ni dalali niliyemwacha ili nimuwahi mke wangu.
"nilipata tatizo dalali nakuja chap hapo sasa ivi tu"
Tuliamua kuondoka...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/dozi-ni-saa-7-00-mchana-03

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi dozi-ni-saa
DOZI NI SAA 7:00 MCHANA (01)
DOZI NI SAA 7:00 MCHANA (01)
DOZI NI SAA 7:00 MCHANA (02)
DOZI NI SAA 7:00 MCHANA (02)
DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 04
DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 04
DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 05
DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 05
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

1.21K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49

1.16K
*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*

*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*

632
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39  na 40

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39 na 40

245
SHAMIRA Sehemu ya 48

SHAMIRA Sehemu ya 48

89
BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!

BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!

32
Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.

Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.

13
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda

#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda

5
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.68K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.41K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.82K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.31K
MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

2.91K
MY WANGU❀️ sehemu ya 108

MY WANGU❀️ sehemu ya 108

2.84K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.69K
MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

2.68K
MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

2.63K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.57K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda Post Mpya
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda
@majario LIVE

Estaste, Kinondoni baada ya HR Mkuu Mzee Shilatu na msimamizi Steven Diallo kuning'oa kutoka Ebony FM, Iringa. Nikapokelewa na Tom Chilala, Wiltrudies Mutembei @wiltrudiesmutembei kisha wakanikabidhi kwa "Semaji"...

*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*
@majario LIVE

Daaaah nilishangaaaa sana kwamba aya mambo yamekujaje kujaje, na mbona sielewi, nikasema mama sijaelewa yani kwamba umesema? , mama akanmbia nilishaongea sana na wewe millan, juu ya suala la wewe...

SHAMIRA Sehemu ya 48 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 48
@majario LIVE

Wassap;0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Akasema mimi pia nimekula njoga nikaoge basi chapi chapu. nikase​ma sawa. Kweli mwanaume akaenda kuoga nikabaki nimetulia tu na baada ya mda akatoka akanifata...

Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station. Post Mpya
Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.
@majario LIVE

Binafsi nilikuwa napenda sana vipindi vitatu pale RFA , 1 - Sindano 3 za moto, asubuhi na Fredwaa...!! 2 - Sitosahau na Sky Woker 3 - Showtime bongo moja ya show za...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39  na 40 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39 na 40
@majario LIVE

39 MPAKA 40 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Nilitukana kweli kweli kwemye gari umo. Ila barka hakunijibu alikuwa busy na kuendesha gari. Akawa ananipeleka mlandizi ukoo. Nikasema wewe mjinga unaenfa...

BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha! Post Mpya
BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!
@majario LIVE

Nikikupenda mimi inatosha, acha kuwa na presha, acha kuhangaika na ndugu zangu, kama wakikupenda ni ziada tu lakini haibadilishi chochote! Nani alikudanganya kuwa wanapaswa kukupenda! Mimi mwenyewe sina uhakika kama...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49
@majario LIVE

Daaah mchumba ndo kashanikatia simu mi nafanyaje sasa ,basi nikaweka simu pembeni tu, kisha nikapanda kitandani, nikavuta shuka , nikapumzika na asubih sana nikaamkia kazin na mwanangu lbraa,ibra akaniuliza...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38  na 39. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38 na 39.
@majario LIVE

kipande cha 38 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi ndo hivyo . Nikaikosa ndoa na bwana barka.na nikawa busy na maisha yangu . Na mambo yangu. Na nikazidisha mapenzi tu kwa...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma.
@majario LIVE

36 MPAKA 37 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Maua akasema khaaa yani unanitukana mimi. Kwaiyo mimi naweza kuolewa na kaka yangu. Nikasema yaa unaweza sasa kisebengo cha nini. Nakuona sana tangu...

SHAMIRA Sehemu ya 47 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 47
@majario LIVE

Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi shost alivyotoka kuoga akanmbia shamira shoga yangu nisamehe kwa yale maneno nilokwambia basi. Nikasema yapi? Akasem si yale ya kukwambia ukatoe mimba...

SHAMIRA Sehemu ya 46 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 46
@majario LIVE

πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ Mwandishi; lissa wa huru media Nikaona aisha kakasirika akanambia sawa kama unataka kulea iyo mimba na kuzaa. Ile kulea mtoto ni gharama umae ukielewa hilo suala mapema . Mana sio...

*AFANDE MILLAN😎* *46&47* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *46&47*
@majario LIVE

Nakumbuka kuna kipindi ,nilisafiri na ibraa kikazi kwenda moro , apo nilishamuaga zena kuwa mm nasafari naenda moro kikazi, ntakaa siku 2, akanmbia hakuna shida, basi mm nikawa...

SHAMIRA 44 kwa 45 Post Mpya
SHAMIRA 44 kwa 45
@majario LIVE

πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ Sehemu ya 44 Mwandishi; lissa wa huru media Aseeee tulichoka mno na shoga yangu asa mimi jamani.nafanya nini na hili tumbo na mwanaume hanitaki. Na ameshakana kuwa hii mimba sio yake...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest