Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

DOZI NI SAA 7:00 MCHANA (01)
Gonga94 · Stories

DOZI NI SAA 7:00 MCHANA (01)

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
DOZI NI SAA 7:00 MCHANA (01)

Kwa jina naitwa Oscar tarehe 1.5.2022 ni siku ambayo sitakuja kuisahau kwenye maisha yangu kwa kitendo nilichofanya kwa mke wangu aitwae Martha.
Siku hiyo niliamka asubuhi na mapema kama ilivyo kawaida yangu na kujiandaa kwa ajiri ya kwenda kazini mke wangu kipenzi Martha aliniandalia maji ya kuoga kama ilivyo kawaida, nilienda kuoga na kujiandaa kwa ajili ya kuelekea kazini.

"Mme wangu nakupenda sana ufike salama kazini kwako"Malikia wa moyo wangu alisema.
"Nakupenda pia mke wangu mwaaaaaaaa " Nilimpiga kiss Martha na kumuacha nyumbani na mimi uyoooo nikaelekea zangu kazini.
Nilipanda usafiri wa daladala kama ilivyo kwaida na kufika mida sahihi bahati nzuri siku hiyo nilikuta boss bado hajafika mana alikuwa ni mkali hatariiii hasa ukichelewa.
Nilikuwa nafanya kazi katika kampuni la usafirishaji japo mshahala ulikuwa mdogo ila ulitusaidia kusukuma maisha mimi na mke wangu nilipofika nilimkuta rafiki yangu tunayefanya nae kazi pamoja
anayeitwa Max tayali ameshafika,
"Oyaaah Oscar bora umekuja nilikuwa nakusubiri kwa hamu ninamchongo na una ela balaa"Max alisema.
"Mchongo gani?"
"Kuna doctor anatafuta mtu wa kufanya nae kazi kuna milion 100 zipo njenje"

Kwanza nilishituka mana milion 100 nilikuwa nazisikia tu kwa watu nikamwambia Max,
"Kwani wewe hautaki huo mchongo kama vip nenda ukauchukue wewe"
"Wewe siunajua mimi sijaoa bado ule unahitaji mtu mwenye mke tayali",Max aliongea nakunifanya nishutuke kidogo mambo ya mke tena yanaingilianaje na huo mchongo ila nilitamani kujua ni mchongo wa aina gani huo,
"emu niunganishe na mtu mwenye huo mchongo tupige ela",nilimwambia Max ambae alinipa namba za mhusika.

Kisha baaada ya hapo tuliendelea na kazi mpaka pale mda ulipoisha wa kazi na mimi nilianza kurudi home ila nikiwa naelekea kwenye usafiri wa daladala,
milion 100 bado zilikuwa kwenye kichwa changu niliamua kumpigia simu huyo doctor ili nijue ni mchongo gani.
"Hallo"
"Nani wewe pigia mimi simu" sauti ya mtu aliyekuwa akiongea kishwahili cha kuunga unga ilisikika.
Nilimwambia kitu kilichonifanya nimpigie simu palepale doctor akanielekeza sehemu alipo na mimi sikutaka kuchelewa nikamfata na kufanyikiwa kuonana nae ,
Alikuwa ni mzungu aliyejitambulisha kwa jina la Peter na tulianza kuongea nae japo kuna mda alikuwa anaongea kiingeleza ila ivyoivyo kidogo nilikuwa nakamata maneno machache.
Doctor peter alinipa mchongo wa mimi kuipata iyo milion 100 kama nitakuwa tayali kumfanyia kazi yake,
"Kazi gani Mr. Peter..?",nilimuuliza.
Badala ya kujibu alitoa sindano na kunionyesha ikiwa na dawa ndani yake,
"Hii sindano ndio pesa yako na unatakiwa umchome mke wako"
"Mke wangu doctor!!!",Nilishangaa kwa alichokisema Peter.
"Tulia kijana nipo kwenye majaribio ya kutengeneza dawa kwa ajili ya kuiingiza sokoni..
alisita na kuendelea kuongea...
na kazi yake ni ndogo tu mke wako atakuwa na hisia kali za kimapenzi zidi yako kama ukimchoma."
Kwanza nilicheka nikasema kumbe kazi yenyewe ndogo hiyo,
"Ndio kazi yenyewe iyo doctor??"
"Ndio kijana na ukishakamilisha kumchoma utapata pesa yako yote kwanza hapa nitakupatia kama milion 30 kama kianzio ikiwa utaenda mwenyewe ila tukienda wote na mimi nimchoma sindano mke wako nitakupatia pesa yako yote milion 100".

Sikutakata kujiuliza mara mbilimbili pasipo ata kufikilia nikamwambia doctor.

"Doctor haina haja ya kunipatia pesa nusu twende wote ukamchome mke wangu iyo sindano na unipe milion100"
Tuliweka makubaliano na alinitishia sitakiwi kuitoa iyo siri kwa mtu mwingine yule na ikiwa nitafanya ivyo nitajuta, kwanza tuliongozana wote akiwa amebeba begi lenye pesa mpaka nilipokuwa na kaa maeneo ya uswahilini nilimkaribisha doctor Peter huku majirani wakijiuliza tangu lini nikawa na mazoea na mzungu.
Nilimkuta mke wangu Martha, ata yeye alishangaa kuniona nimekuja pale na doctor peter, sikutaka kufanya siri nilimweleza kila kitu Martha japo alikuwa ni mwenye hofu kubwa ila baada ya kuona kuna pesa pale mezani nae alikubali kuchomwa ile sindano, doctor peter alimchoma sindano mke wangu na tukafanya makaniziano ya pesa nilipo zihesabu zile pesa kweli zilikuwa milion 100 kisha yeye akaondoka na kutuacha pale mimi na mke wangu.

"Oscar naogopa sana, hii sindano niliyochomwa haitaniletea matatizo kweli?"
"Mke wangu haina tatizo lolote lile kuwa na amani tu kwanza hapa tunahama sasa ivi sio pakukaa tena"
Milion 100 zilianza kuiendesha akili yangu tulitoka pale huku vitu nikiwagawia majirani kana kwamba nimeyatoboa maisha kwanza tulielekea kwenye hotel ya kifahari mimi na mke wangu na tulikaa hapo kwa siku iyo nzima mpaka ikaisha tukiwa na pesa zetu.

Siku iliyofata sikutaka kabisa ata kwenda kazini nilishinda na Martha palepale hotelini tukiendelea kuzagamuana,
Ilipofika mida ya saa 7:00 mchana hali ya Martha ilibadilika kwanza alianza kutetemeka kama simu ndogo au kiswaswadu miguu yake ikiwa haitulii na anahema kwa kasi hali iliyonifanya niogope.

Nilichukia simu yangu na kumpiga doctor peter ambaye alipokea,
"Doctor hali ya mke wangu mbaya anatetemeka kama genaretor"
"Fanya nae mapenzi atatulia"
"Doctor!!!"
"Huyo si mke wako unaogopa nini nimekwambia fanya nae mapenzi atatulia na ikifika saa 7:15 tu anakufa ili arudi kwenye hali yake inatakiwa ufanye nilichokwambia".

Nilikata simu ili nifanya kile doctor alichoniambia ila tatizo sasa nikuwa karibu usiku mzima wa jana tulikesha tukifanya mapenzi na ata leo tuliamkia kwenye mizagamuo na nilivyomtazama mke wangu ndio hali yake ilizidi kuwa mbaya, nikimwangalia asikari wangu kalala hataki ata kuamka,kucheki dekika zimebaki tano tu
ifike saa 7:15. ......ITAENDELEA..

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

DOZI NI SAA 7:00 MCHANA (01)

DOZI NI SAA 7:00 MCHANA (01)

Kwa jina naitwa Oscar tarehe 1.5.2022 ni siku ambayo sitakuja kuisahau kwenye maisha yangu kwa kitendo nilichofanya kwa mke wangu aitwae Martha.
Siku hiyo niliamka asubuhi na mapema kama ilivyo kawaida yangu na kujiandaa kwa ajiri ya kwenda kazini mke wangu kipenzi Martha aliniandalia maji ya kuoga kama ilivyo kawaida, nilienda kuoga na kujiandaa kwa ajili ya kuelekea kazini.

"Mme wangu nakupenda sana ufike salama kazini kwako"Malikia wa moyo wangu alisema.
"Nakupenda pia mke wangu mwaaaaaaaa " Nilimpiga kiss Martha na kumuacha nyumbani na mimi uyoooo nikaelekea zangu kazini.
Nilipanda usafiri wa daladala kama ilivyo kwaida na...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/dozi-ni-saa-7-00-mchana-01

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending 🐓 Follow the ommy khan Tanzania channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VbCg0JyFsn0hCN1ByD44

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi dozi-ni-saa
DOZI NI SAA 7:00 MCHANA (02)
DOZI NI SAA 7:00 MCHANA (02)
DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 04
DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 04
DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 05
DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 05
DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 03
DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 03
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE

NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE

268
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15

219
CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10

CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10

180
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14

152
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 18

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 18

98
Kinachomtisha Mgosi ni kuwa Edna Lema anawachezaji walioonekana wa kawaida Simba

Kinachomtisha Mgosi ni kuwa Edna Lema anawachezaji walioonekana wa kawaida Simba

8

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

12.05K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.73K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.91K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.68K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

3.12K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

3.04K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.91K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.88K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.77K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.72K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE
@majario LIVE

:141 Nikamwambia kwa ujumbe “Boss ni usiku sana, nenda nyumbani, tutaongea kesho naomba nipumzike.” Akanijibu “sitaondoka hapa mpaka uje kunisikiliza.” Nikamuonyesha Dorice, Dorice akasema “kamsikilize Labda ni muhimu.” Nikamwambia Dorice “kusema kweli mimi roho...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Simu ilikatwa,nilichanganyikiwa,iv nimeskia kweli au ni mawenge yangu?keanu ananisaliti?yani maneno yake makavu yote aliyoniambia hayakua na maana sikuyajali kabisa nilijali mwanamke alieongea.nikasema hapana ngoja,nikapiga simu iliita ikakatwa,nilipiga tena ikakatwa,nikapiga...

Kinachomtisha Mgosi ni kuwa Edna Lema anawachezaji walioonekana wa kawaida Simba Post Mpya
Kinachomtisha Mgosi ni kuwa Edna Lema anawachezaji walioonekana wa kawaida Simba
@majario LIVE

ila sasa wapo kwenye kiwango cha hali ya juu kiasi cha baadhi kuitwa timu zao za taifa. Diana Mnally Ritticia Nabbosa Precious Christopher Wincate Kaari Aisha Djafar Edna Lema...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Mmmh nilihisi utumbo unacheza, kwa nn haruhusiwi ndoa sasa? Au ameoa? Nilijiuliza sana, keanu akasema sijakuelewa kwa nn siruhusiwi kuoa sasa? Akasema kuna mashart katika kila kanisa ili...

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 18 Post Mpya
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 18
@majario LIVE

Mida ya jioni vipindi vilipoisha tuliongozana na Glad hadi kwa kaka yake ilikuwa ni saa kumi na moja za jioni hivyo alikuwa kasharudi toka kazini tulimkuta nyumbani 🏡. Karibuni...

CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10 Post Mpya
CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10
@majario LIVE

SEHEMU YA 08 "Kwanza haoni ajabu kukufukuza,na akisema hakutaki ujue hakuna was kukutetea hata mama hataongea .... kwaiyo muangalie hivyo hivyo kauli yake moja tu inakuondoa........... Nicole aliposema hivyo nilimuogopa sana...

Iran rejects peace plan and mocks Trump Akhtar Makoii Post Mpya
Iran rejects peace plan and mocks Trump Akhtar Makoii
@mjukuu LIVE

Screengrab from video put out by Iranian state media Tasnim News of an Iranian missile with Trump's name on it, in response to the great gift from Iran Trump claimed...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE
@majario LIVE

:131 Nikawa natoa ile bahasha. Vile natoa, namuona Boss Yule anakuja. Ni wazi alisikia kengele au aliniona kwa juu. Nikasema kwa ndani “niondoke?” Ataona Kama namkimbia, Nikajikaza pale kusubiri. Basi kweli alifika,...

MFALME KIPOFU  27 Post Mpya
MFALME KIPOFU 27
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 27 (FINAL) Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Nawauliza Princess Nailet yupo wapi? alipotazama Pembeni hakuamini kuona mwili wa binti yake....... ENDELEA NAYO...... Mfalme Tengu alilia kama mtoto mdogo "Pole sana mfalme kwa kipindi kigumu unachopitia Prince...

MFALME KIPOFU  25 -- 26 Post Mpya
MFALME KIPOFU 25 -- 26
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 25 Whatsapp.............0748697173 ilipoishia sehemu iliyopita....... Maneno ya Lindiwe yalimfanya Princess Nailet kutabasamu nakutulia kuwaacha waongonzane watu watatu tu Malikia,Prince Yao na Amma mwenyewe kwenda kutafuta iyo dawa...... ENDELEA NAYO.......... Malikia andwaa aliongoza msafara wa...

MFALME KIPOFU  23 -- 24 Post Mpya
MFALME KIPOFU 23 -- 24
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 23 Whatsapp.............0748697173 ilipoishia sehemu iliyopita....... Maneno yale yalipenya kwenye masikio ya Amma na baadhi ya watu waliokuwa pale wakitazama tu badala ya kutoa msaada,Babaaaaa............ ENDELEA NAYO.......... "Baba amka",Amma alimwita baba yake, Aliye kuwa tayali amepoteza...

MFALME KIPOFU  21 -- 22 Post Mpya
MFALME KIPOFU 21 -- 22
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 21 Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Malikia alichanganyikiwa baada ya kusikia maneno yale ya dakitari Malikia aliita walinzi na ,kuwapa maagizo ya kuwakamata matabibu wote...... ENDELEA NAYO....... Walisubili pakuche msako uanze wa kuwakamata matabibu...

MFALME KIPOFU  19 -- 20 Post Mpya
MFALME KIPOFU 19 -- 20
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............19 Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita...... Ni mapenzi ya ajabu aliyokuwa nayo Princess Nailet kwa Yao licha ya kumfahamu kwa mda mfupi tu lakini aliteka sehemu kubwa ya moyo wake... ENDELEA NAYO....... Aliendelea na safari ya...

MFALME KIPOFU  17 -- 18 Post Mpya
MFALME KIPOFU 17 -- 18
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............17 Ilipoishia sehemu iliyopita...... Lindiwe alitege sikio vizuri na kweli alisikia sauti emu njoo huku alimvuta Prince Yao pembeni na kujificha sehemu ni ngumu kuonekana. Namu sura ya General haikutoka machoni mwake alimuona...

MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17 Post Mpya
MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17
@mjukuu LIVE

Ilipoishia sehemu iliyopita...... Asikari",Mfalme Tengu aliita kwa hasira "Nendeni mkawarudishe haraka" "Mfalme tayali wameshavuka mpaka" "Nimesema nendeni mkawarudishe" Waliondoka na kumuacha Mfalme akiendelea ..... SEHEMU YA 16 ENDELEA NAYO...... Waliondoka na kumuacha mfalme akiendelea kuongea na binti...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest