Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

DOZI NI SAA 7:00 MCHANA (01)
Gonga94 · Stories

DOZI NI SAA 7:00 MCHANA (01)

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
DOZI NI SAA 7:00 MCHANA (01)

Kwa jina naitwa Oscar tarehe 1.5.2022 ni siku ambayo sitakuja kuisahau kwenye maisha yangu kwa kitendo nilichofanya kwa mke wangu aitwae Martha.
Siku hiyo niliamka asubuhi na mapema kama ilivyo kawaida yangu na kujiandaa kwa ajiri ya kwenda kazini mke wangu kipenzi Martha aliniandalia maji ya kuoga kama ilivyo kawaida, nilienda kuoga na kujiandaa kwa ajili ya kuelekea kazini.

"Mme wangu nakupenda sana ufike salama kazini kwako"Malikia wa moyo wangu alisema.
"Nakupenda pia mke wangu mwaaaaaaaa " Nilimpiga kiss Martha na kumuacha nyumbani na mimi uyoooo nikaelekea zangu kazini.
Nilipanda usafiri wa daladala kama ilivyo kwaida na kufika mida sahihi bahati nzuri siku hiyo nilikuta boss bado hajafika mana alikuwa ni mkali hatariiii hasa ukichelewa.
Nilikuwa nafanya kazi katika kampuni la usafirishaji japo mshahala ulikuwa mdogo ila ulitusaidia kusukuma maisha mimi na mke wangu nilipofika nilimkuta rafiki yangu tunayefanya nae kazi pamoja
anayeitwa Max tayali ameshafika,
"Oyaaah Oscar bora umekuja nilikuwa nakusubiri kwa hamu ninamchongo na una ela balaa"Max alisema.
"Mchongo gani?"
"Kuna doctor anatafuta mtu wa kufanya nae kazi kuna milion 100 zipo njenje"

Kwanza nilishituka mana milion 100 nilikuwa nazisikia tu kwa watu nikamwambia Max,
"Kwani wewe hautaki huo mchongo kama vip nenda ukauchukue wewe"
"Wewe siunajua mimi sijaoa bado ule unahitaji mtu mwenye mke tayali",Max aliongea nakunifanya nishutuke kidogo mambo ya mke tena yanaingilianaje na huo mchongo ila nilitamani kujua ni mchongo wa aina gani huo,
"emu niunganishe na mtu mwenye huo mchongo tupige ela",nilimwambia Max ambae alinipa namba za mhusika.

Kisha baaada ya hapo tuliendelea na kazi mpaka pale mda ulipoisha wa kazi na mimi nilianza kurudi home ila nikiwa naelekea kwenye usafiri wa daladala,
milion 100 bado zilikuwa kwenye kichwa changu niliamua kumpigia simu huyo doctor ili nijue ni mchongo gani.
"Hallo"
"Nani wewe pigia mimi simu" sauti ya mtu aliyekuwa akiongea kishwahili cha kuunga unga ilisikika.
Nilimwambia kitu kilichonifanya nimpigie simu palepale doctor akanielekeza sehemu alipo na mimi sikutaka kuchelewa nikamfata na kufanyikiwa kuonana nae ,
Alikuwa ni mzungu aliyejitambulisha kwa jina la Peter na tulianza kuongea nae japo kuna mda alikuwa anaongea kiingeleza ila ivyoivyo kidogo nilikuwa nakamata maneno machache.
Doctor peter alinipa mchongo wa mimi kuipata iyo milion 100 kama nitakuwa tayali kumfanyia kazi yake,
"Kazi gani Mr. Peter..?",nilimuuliza.
Badala ya kujibu alitoa sindano na kunionyesha ikiwa na dawa ndani yake,
"Hii sindano ndio pesa yako na unatakiwa umchome mke wako"
"Mke wangu doctor!!!",Nilishangaa kwa alichokisema Peter.
"Tulia kijana nipo kwenye majaribio ya kutengeneza dawa kwa ajili ya kuiingiza sokoni..
alisita na kuendelea kuongea...
na kazi yake ni ndogo tu mke wako atakuwa na hisia kali za kimapenzi zidi yako kama ukimchoma."
Kwanza nilicheka nikasema kumbe kazi yenyewe ndogo hiyo,
"Ndio kazi yenyewe iyo doctor??"
"Ndio kijana na ukishakamilisha kumchoma utapata pesa yako yote kwanza hapa nitakupatia kama milion 30 kama kianzio ikiwa utaenda mwenyewe ila tukienda wote na mimi nimchoma sindano mke wako nitakupatia pesa yako yote milion 100".

Sikutakata kujiuliza mara mbilimbili pasipo ata kufikilia nikamwambia doctor.

"Doctor haina haja ya kunipatia pesa nusu twende wote ukamchome mke wangu iyo sindano na unipe milion100"
Tuliweka makubaliano na alinitishia sitakiwi kuitoa iyo siri kwa mtu mwingine yule na ikiwa nitafanya ivyo nitajuta, kwanza tuliongozana wote akiwa amebeba begi lenye pesa mpaka nilipokuwa na kaa maeneo ya uswahilini nilimkaribisha doctor Peter huku majirani wakijiuliza tangu lini nikawa na mazoea na mzungu.
Nilimkuta mke wangu Martha, ata yeye alishangaa kuniona nimekuja pale na doctor peter, sikutaka kufanya siri nilimweleza kila kitu Martha japo alikuwa ni mwenye hofu kubwa ila baada ya kuona kuna pesa pale mezani nae alikubali kuchomwa ile sindano, doctor peter alimchoma sindano mke wangu na tukafanya makaniziano ya pesa nilipo zihesabu zile pesa kweli zilikuwa milion 100 kisha yeye akaondoka na kutuacha pale mimi na mke wangu.

"Oscar naogopa sana, hii sindano niliyochomwa haitaniletea matatizo kweli?"
"Mke wangu haina tatizo lolote lile kuwa na amani tu kwanza hapa tunahama sasa ivi sio pakukaa tena"
Milion 100 zilianza kuiendesha akili yangu tulitoka pale huku vitu nikiwagawia majirani kana kwamba nimeyatoboa maisha kwanza tulielekea kwenye hotel ya kifahari mimi na mke wangu na tulikaa hapo kwa siku iyo nzima mpaka ikaisha tukiwa na pesa zetu.

Siku iliyofata sikutaka kabisa ata kwenda kazini nilishinda na Martha palepale hotelini tukiendelea kuzagamuana,
Ilipofika mida ya saa 7:00 mchana hali ya Martha ilibadilika kwanza alianza kutetemeka kama simu ndogo au kiswaswadu miguu yake ikiwa haitulii na anahema kwa kasi hali iliyonifanya niogope.

Nilichukia simu yangu na kumpiga doctor peter ambaye alipokea,
"Doctor hali ya mke wangu mbaya anatetemeka kama genaretor"
"Fanya nae mapenzi atatulia"
"Doctor!!!"
"Huyo si mke wako unaogopa nini nimekwambia fanya nae mapenzi atatulia na ikifika saa 7:15 tu anakufa ili arudi kwenye hali yake inatakiwa ufanye nilichokwambia".

Nilikata simu ili nifanya kile doctor alichoniambia ila tatizo sasa nikuwa karibu usiku mzima wa jana tulikesha tukifanya mapenzi na ata leo tuliamkia kwenye mizagamuo na nilivyomtazama mke wangu ndio hali yake ilizidi kuwa mbaya, nikimwangalia asikari wangu kalala hataki ata kuamka,kucheki dekika zimebaki tano tu
ifike saa 7:15. ......ITAENDELEA..

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Mimi sikuachi fully stories
Mimi sikuachi fully stories
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

DOZI NI SAA 7:00 MCHANA (01)

DOZI NI SAA 7:00 MCHANA (01)

Kwa jina naitwa Oscar tarehe 1.5.2022 ni siku ambayo sitakuja kuisahau kwenye maisha yangu kwa kitendo nilichofanya kwa mke wangu aitwae Martha.
Siku hiyo niliamka asubuhi na mapema kama ilivyo kawaida yangu na kujiandaa kwa ajiri ya kwenda kazini mke wangu kipenzi Martha aliniandalia maji ya kuoga kama ilivyo kawaida, nilienda kuoga na kujiandaa kwa ajili ya kuelekea kazini.

"Mme wangu nakupenda sana ufike salama kazini kwako"Malikia wa moyo wangu alisema.
"Nakupenda pia mke wangu mwaaaaaaaa " Nilimpiga kiss Martha na kumuacha nyumbani na mimi uyoooo nikaelekea zangu kazini.
Nilipanda usafiri wa daladala kama ilivyo kwaida na...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/dozi-ni-saa-7-00-mchana-01

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending <br>

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi dozi-ni-saa
DOZI NI SAA 7:00 MCHANA (02)
DOZI NI SAA 7:00 MCHANA (02)
DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 04
DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 04
DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 05
DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 05
DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 03
DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 03
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 78 na 79

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 78 na 79

1.22K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 77

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 77

1.18K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 80

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 80

831
IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu YA SITA*

IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu YA SITA*

197
IN LOVE WITH ZURI*   Chapter 7

IN LOVE WITH ZURI* Chapter 7

146
NAKUPENDA BILA MIPAKA 66 - 75 SEASON TWO

NAKUPENDA BILA MIPAKA 66 - 75 SEASON TWO

140
ROWAN (Mine alone) 1 - 5

ROWAN (Mine alone) 1 - 5

65

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.9K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.61K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.87K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.42K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

3.01K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.98K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.82K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.78K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.7K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.65K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
ROWAN (Mine alone) 1 - 5 Post Mpya
ROWAN (Mine alone) 1 - 5
@majario LIVE

MTUNZI: Mr Burudan Sehemu ya: 01 ANZA NAYO.... Niite Vee, jina la kifupisho cha jina langu la Vera, Vera ndio jina langu halisi nililopewa...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 66 - 75 SEASON TWO Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 66 - 75 SEASON TWO
@majario LIVE

:66 Mimi nilitoka nikiwa na furaha sana, Niliondoka hapa ni Kama nimezaliwa upya. Moyo wangu ulikuwa umechangamka mno. Ingawa nilifika kwa kujivuta sana lakini siku imeisha na tabasamu pana kwenye uso...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 80 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 80
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi nikaludi ndani sasa , nikamkuta zena ana mawazo sana, nikasema zena naomba nikupe chakula kwanza kisha tutaongea tu nitakuelezea kila kitu mke wangu, zena akanmbia sawa, wala hakuwa na...

IN LOVE WITH ZURI*   Chapter 7 Post Mpya
IN LOVE WITH ZURI* Chapter 7
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Kitendo cha mimi kuongea kwa ukali kiasi hicho kiliwashtua sana Idress lakini pia na Ethan, Ethan yeye mpaka alinyanyuka na kuja sehemu niliyokaa kisha akachukua hiyo chai ambayo nasemea...

IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu YA SITA* Post Mpya
IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu YA SITA*
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Kimya kifupi kilipita hii ni baada ya mimi kusikia kuwa Zuri ni mke wa mtu nilikuwa naumia sana sio siri jamani ila sema nilijikaza mbele ya mama asigundue "Unamaanisha kwamba...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 78 na 79 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 78 na 79
@majario LIVE

Basi ikawa hivyo, na ikakat mwez amani ndani hakuna kabisaa, zena ni kanuna , yani hacheki na mm kabisaa, hatuna story ata, na mala nyingi nikiludi nyumbana namkuta kashalala et...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 77 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 77
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Nikasema.mm ndo nanukia ayo malashi mke wangu, akanmbia ndio.kwani apa si nipo mimi na ww. Nasikia marashi ya kialabu, mh nikajinusa sasa na mm. Eeh ni.kweli aya ni...

NAKUPENDA BILA  SEASON TWO 51 - 65 Post Mpya
NAKUPENDA BILA SEASON TWO 51 - 65
@majario LIVE

NAKUPENDA BILA MIPAKA:51 Nilitoka nikiwa nishapendeza hata mama alishtuka na kusema “kulikoni tena? Nilishusha pumzi na kusema “Acha tu mama ndiyo nishaitwa.” Mama alinitazama na kusema “huna namna nenda. Sasa vipi pesa ya...

BILLIONS OF LOVE💓💓   SEHEMU YA "12_13"💓😽 Post Mpya
BILLIONS OF LOVE💓💓 SEHEMU YA "12_13"💓😽
@majario LIVE

“Leo hakuandaa boss , but i promise u kesho unazipata, alijibu jamaa “Okay , dont worry just do it …..alisema yule boss wake kitandani “We dada wewe ni...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 13 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 13
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Sikuamin macho yangu, hiv n huyu kweli naemuona hapa mbele yangu? Yy alionesha kama ananifananisha mana alikua ananiangalia kwa makini sana, alionitendea yalinirudia akilini niliumia niliona kama nimeona mnyama...

USISEME MTO MFUPI KABLA YA KUINGIA  Nimeshuhudia mchezo wa kiwango kibwa kunako Ligi Kuu , hii imekua mechi bora kuzidi Derby iliyopigwa pale Zanzibar. Post Mpya
USISEME MTO MFUPI KABLA YA KUINGIA Nimeshuhudia mchezo wa kiwango kibwa kunako Ligi Kuu , hii imekua mechi bora kuzidi Derby iliyopigwa pale Zanzibar.
@majario LIVE

Pamba Jiji football club walikua kwenye ubora mkubwa zaidi kwa dakika zote, kuna muda Simba SC Tanzania walikua hawana tofauti na Jkt Tanzania football club. Mechi imechezeka kwa dakika tisini...

🚨😱 imebainika kwamba shati ya kocha mkuu wa Manchester City, aliyoivaa Kwenye mchezo dhidi ya Real Madrid, ina thamani ya Euro 290. Post Mpya
🚨😱 imebainika kwamba shati ya kocha mkuu wa Manchester City, aliyoivaa Kwenye mchezo dhidi ya Real Madrid, ina thamani ya Euro 290.
@majario LIVE

kwa makadirio ya kubadilisha fedha, Euro 290 ni takriban shilingi za tanzania (TZS) 750,000 hadi 780,000 (kulingana na kiwango cha ubadilishaji cha sasa cha karibu TZS 2,600–2,700 kwa dola 1). hii...

BILLIONS OF LOVE💓💓   SEHEMU YA "11"💓😽 Post Mpya
BILLIONS OF LOVE💓💓 SEHEMU YA "11"💓😽
@majario LIVE

"BY BABIE LOVE" "(Alikuja kama muuza chai)" “Twende huko na wewe mi siyo mchawi nilikuwa najilinda tu Faster boda akaongeza speed ili asilipoteze lile gari Yule jamaa akaendesha mpaka huko mjini zaidi...

 Increase Earnings from Pakistan → Get +10% Bonus!  Hello Partner! This week the spotlight is on Pakistan 🇵🇰 Post Mpya
Increase Earnings from Pakistan → Get +10% Bonus! Hello Partner! This week the spotlight is on Pakistan 🇵🇰
@majario LIVE

. If you increase your earnings from this GEO by 25% or more compared to last week, we’ll reward you with a +10% bonus on top. How Your Earnings Can Grow...

Fainali ya SIMBA 🆚 RS BERKANE ilipopagwa tu Zanzibar nilijuwa ni mipango ya huyu jama FAOUZI LEKJAA Post Mpya
Fainali ya SIMBA 🆚 RS BERKANE ilipopagwa tu Zanzibar nilijuwa ni mipango ya huyu jama FAOUZI LEKJAA
@majario LIVE

ona sasa anaanza kuumbuka kwa kuendesha mpira wa Afrika kwa Upendeleo FAOUZI LEKJAA yeye ni ✅️Makamu wa Rais CAF ✅️Mwenyekiti wa Fedha CAF ✅️Waziri wa Fedha Morocco 🇲🇦 ✅️Mjumbe wa kamati ya...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest