Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

DOZI NI SAA 7:00 MCHANA (01)
Gonga94 · Stories

DOZI NI SAA 7:00 MCHANA (01)

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
DOZI NI SAA 7:00 MCHANA (01)

Kwa jina naitwa Oscar tarehe 1.5.2022 ni siku ambayo sitakuja kuisahau kwenye maisha yangu kwa kitendo nilichofanya kwa mke wangu aitwae Martha.
Siku hiyo niliamka asubuhi na mapema kama ilivyo kawaida yangu na kujiandaa kwa ajiri ya kwenda kazini mke wangu kipenzi Martha aliniandalia maji ya kuoga kama ilivyo kawaida, nilienda kuoga na kujiandaa kwa ajili ya kuelekea kazini.

"Mme wangu nakupenda sana ufike salama kazini kwako"Malikia wa moyo wangu alisema.
"Nakupenda pia mke wangu mwaaaaaaaa " Nilimpiga kiss Martha na kumuacha nyumbani na mimi uyoooo nikaelekea zangu kazini.
Nilipanda usafiri wa daladala kama ilivyo kwaida na kufika mida sahihi bahati nzuri siku hiyo nilikuta boss bado hajafika mana alikuwa ni mkali hatariiii hasa ukichelewa.
Nilikuwa nafanya kazi katika kampuni la usafirishaji japo mshahala ulikuwa mdogo ila ulitusaidia kusukuma maisha mimi na mke wangu nilipofika nilimkuta rafiki yangu tunayefanya nae kazi pamoja
anayeitwa Max tayali ameshafika,
"Oyaaah Oscar bora umekuja nilikuwa nakusubiri kwa hamu ninamchongo na una ela balaa"Max alisema.
"Mchongo gani?"
"Kuna doctor anatafuta mtu wa kufanya nae kazi kuna milion 100 zipo njenje"

Kwanza nilishituka mana milion 100 nilikuwa nazisikia tu kwa watu nikamwambia Max,
"Kwani wewe hautaki huo mchongo kama vip nenda ukauchukue wewe"
"Wewe siunajua mimi sijaoa bado ule unahitaji mtu mwenye mke tayali",Max aliongea nakunifanya nishutuke kidogo mambo ya mke tena yanaingilianaje na huo mchongo ila nilitamani kujua ni mchongo wa aina gani huo,
"emu niunganishe na mtu mwenye huo mchongo tupige ela",nilimwambia Max ambae alinipa namba za mhusika.

Kisha baaada ya hapo tuliendelea na kazi mpaka pale mda ulipoisha wa kazi na mimi nilianza kurudi home ila nikiwa naelekea kwenye usafiri wa daladala,
milion 100 bado zilikuwa kwenye kichwa changu niliamua kumpigia simu huyo doctor ili nijue ni mchongo gani.
"Hallo"
"Nani wewe pigia mimi simu" sauti ya mtu aliyekuwa akiongea kishwahili cha kuunga unga ilisikika.
Nilimwambia kitu kilichonifanya nimpigie simu palepale doctor akanielekeza sehemu alipo na mimi sikutaka kuchelewa nikamfata na kufanyikiwa kuonana nae ,
Alikuwa ni mzungu aliyejitambulisha kwa jina la Peter na tulianza kuongea nae japo kuna mda alikuwa anaongea kiingeleza ila ivyoivyo kidogo nilikuwa nakamata maneno machache.
Doctor peter alinipa mchongo wa mimi kuipata iyo milion 100 kama nitakuwa tayali kumfanyia kazi yake,
"Kazi gani Mr. Peter..?",nilimuuliza.
Badala ya kujibu alitoa sindano na kunionyesha ikiwa na dawa ndani yake,
"Hii sindano ndio pesa yako na unatakiwa umchome mke wako"
"Mke wangu doctor!!!",Nilishangaa kwa alichokisema Peter.
"Tulia kijana nipo kwenye majaribio ya kutengeneza dawa kwa ajili ya kuiingiza sokoni..
alisita na kuendelea kuongea...
na kazi yake ni ndogo tu mke wako atakuwa na hisia kali za kimapenzi zidi yako kama ukimchoma."
Kwanza nilicheka nikasema kumbe kazi yenyewe ndogo hiyo,
"Ndio kazi yenyewe iyo doctor??"
"Ndio kijana na ukishakamilisha kumchoma utapata pesa yako yote kwanza hapa nitakupatia kama milion 30 kama kianzio ikiwa utaenda mwenyewe ila tukienda wote na mimi nimchoma sindano mke wako nitakupatia pesa yako yote milion 100".

Sikutakata kujiuliza mara mbilimbili pasipo ata kufikilia nikamwambia doctor.

"Doctor haina haja ya kunipatia pesa nusu twende wote ukamchome mke wangu iyo sindano na unipe milion100"
Tuliweka makubaliano na alinitishia sitakiwi kuitoa iyo siri kwa mtu mwingine yule na ikiwa nitafanya ivyo nitajuta, kwanza tuliongozana wote akiwa amebeba begi lenye pesa mpaka nilipokuwa na kaa maeneo ya uswahilini nilimkaribisha doctor Peter huku majirani wakijiuliza tangu lini nikawa na mazoea na mzungu.
Nilimkuta mke wangu Martha, ata yeye alishangaa kuniona nimekuja pale na doctor peter, sikutaka kufanya siri nilimweleza kila kitu Martha japo alikuwa ni mwenye hofu kubwa ila baada ya kuona kuna pesa pale mezani nae alikubali kuchomwa ile sindano, doctor peter alimchoma sindano mke wangu na tukafanya makaniziano ya pesa nilipo zihesabu zile pesa kweli zilikuwa milion 100 kisha yeye akaondoka na kutuacha pale mimi na mke wangu.

"Oscar naogopa sana, hii sindano niliyochomwa haitaniletea matatizo kweli?"
"Mke wangu haina tatizo lolote lile kuwa na amani tu kwanza hapa tunahama sasa ivi sio pakukaa tena"
Milion 100 zilianza kuiendesha akili yangu tulitoka pale huku vitu nikiwagawia majirani kana kwamba nimeyatoboa maisha kwanza tulielekea kwenye hotel ya kifahari mimi na mke wangu na tulikaa hapo kwa siku iyo nzima mpaka ikaisha tukiwa na pesa zetu.

Siku iliyofata sikutaka kabisa ata kwenda kazini nilishinda na Martha palepale hotelini tukiendelea kuzagamuana,
Ilipofika mida ya saa 7:00 mchana hali ya Martha ilibadilika kwanza alianza kutetemeka kama simu ndogo au kiswaswadu miguu yake ikiwa haitulii na anahema kwa kasi hali iliyonifanya niogope.

Nilichukia simu yangu na kumpiga doctor peter ambaye alipokea,
"Doctor hali ya mke wangu mbaya anatetemeka kama genaretor"
"Fanya nae mapenzi atatulia"
"Doctor!!!"
"Huyo si mke wako unaogopa nini nimekwambia fanya nae mapenzi atatulia na ikifika saa 7:15 tu anakufa ili arudi kwenye hali yake inatakiwa ufanye nilichokwambia".

Nilikata simu ili nifanya kile doctor alichoniambia ila tatizo sasa nikuwa karibu usiku mzima wa jana tulikesha tukifanya mapenzi na ata leo tuliamkia kwenye mizagamuo na nilivyomtazama mke wangu ndio hali yake ilizidi kuwa mbaya, nikimwangalia asikari wangu kalala hataki ata kuamka,kucheki dekika zimebaki tano tu
ifike saa 7:15. ......ITAENDELEA..

Maoni

You're not logged in


Tangazo - For this week only
For this week only
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

DOZI NI SAA 7:00 MCHANA (01)

DOZI NI SAA 7:00 MCHANA (01)

Kwa jina naitwa Oscar tarehe 1.5.2022 ni siku ambayo sitakuja kuisahau kwenye maisha yangu kwa kitendo nilichofanya kwa mke wangu aitwae Martha.
Siku hiyo niliamka asubuhi na mapema kama ilivyo kawaida yangu na kujiandaa kwa ajiri ya kwenda kazini mke wangu kipenzi Martha aliniandalia maji ya kuoga kama ilivyo kawaida, nilienda kuoga na kujiandaa kwa ajili ya kuelekea kazini.

"Mme wangu nakupenda sana ufike salama kazini kwako"Malikia wa moyo wangu alisema.
"Nakupenda pia mke wangu mwaaaaaaaa " Nilimpiga kiss Martha na kumuacha nyumbani na mimi uyoooo nikaelekea zangu kazini.
Nilipanda usafiri wa daladala kama ilivyo kwaida na...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/dozi-ni-saa-7-00-mchana-01

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi dozi-ni-saa
DOZI NI SAA 7:00 MCHANA (02)
DOZI NI SAA 7:00 MCHANA (02)
DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 04
DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 04
DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 05
DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 05
DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 03
DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 03
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

898
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

760
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23

581
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

361
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

193
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8

94
AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01

AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01

55
KWAKO RUSHINE DE REUCK.

KWAKO RUSHINE DE REUCK.

6

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.54K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.27K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.77K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.24K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.74K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.63K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.63K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.56K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.48K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.47K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01 Post Mpya
AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01
@majario LIVE

Tunaanza... Asubuhi na mapema, Sheikh Abdullah alimuita binti yake, Amirah, ambaye alikuwa na umri wa miaka ishirini na tatu. Amirah alitoka chumbani kwake na kumfuata baba yake ili kumsikiliza....

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Madam hakuwa na maneno mengine ya kuongea zaidi alijiinamia kama mtu anaefikiri kitu, ili kuepuka kesi mtoto wa mama Mira mie nikaamka na mwanangu haoo mpaka chumbani kwetu na...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25
@majario LIVE

Nikafunga gari ,kisha nikashika mkono akawa bado hayupo sawa kakasilika sana, ila niliona kidogo hasira yake imepungua pale ambapo ibra alipiga simu na kusikia maongezi ya ibraa, basi bwana...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23
@majario LIVE

Nikasema mama.nisikilize, unasikia mke wangu, haipo kama unavyowaza wewe. ,mi yule.sio mwanamke wangu, yule.ni shemeji yangu, ni mwanamke wa ibraa, na tulikuwa tunakutana wote jioni hiiii, mi uyu demu nimekutana...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Hatimae ule mda wa kuwasili huyo mkaka wa kuitwa Anfrey ulifika walimpokea kwa furaha sana wazazi kama wazazi walimzawadia kijana wao gari ya milioni 80 Mimi nilikuwa kwa mbali natazama...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*
@majario LIVE

Huo Ndio ukawa mwanzo Mpya wa upendo kati yangu Mimi na madam groly, Yaani mimba tu na kukaa nae Ndani ya miezi miwili tu tayali madam groly aliona utofauti wangu. Kwa...

KWAKO RUSHINE DE REUCK. Post Mpya
KWAKO RUSHINE DE REUCK.
@majario LIVE

Nikiwa kama mpenzi na shabiki mwanachama wa Simba niliyenyooka ninajikuta nina wajibu wa kusema ukweli pale panapohitajika ili kama kuna hatua za kuchukuliwa zichukuliwe mapema na mhusika kabla jambo...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Mwandiishi; LISSA Basi bwana rasmi tukaanza aya mahusiano bubu sasa, ambayo mimi binafsi sikuwa nimeyaafik kabisaaa, na wala sikuwa nayafurahia ata kidogo ,ila mchumba si kaamua basi powa, nikaona ngoja...

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania Post Mpya
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania
@majario LIVE

Kutokana na ongezeko la watumiaji wa Safaricom M-Pesa wanaohitaji kutuma pesa kwenda Vodacom M-Pesa Tanzania, nimeamua kuandika makala hii ili kuwasaidia wale ambao hawafahamu jinsi ya kufanya muamala huo. Tuma...

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16* Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*
@majario LIVE

SONGA NAYO............. Zilipita dakika kadhaa nikatoka na kumfuata sebleni , akataka kuendeleza story zake nikamwambia aaah 🤚nioneshe kazi za kufanya kwanza ,kama ni maongezi baadae. Hakuwa na shida akaanza kunionesha mazingira yote...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6
@officialgonga LIVE

SONGA NAYO..... nilipokaribia kumfikia nilimsikia akizungumaza "Sawa baba basi wacha sie tufanye maandalizi kidogo..." Niliweza kumsikia madam akiongea hivyo, kwakuwa mimi huyu mama namuona boya sikutaka kumjali nilimpita nikaelekea chumbani lakini nikiwa katika...

Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary Post Mpya
Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary
@majario LIVE

filmmaker V. Shantaram and actress Jayshree, so films were always a part of her world. She started as a child artist in Subah Ka Tara and was later introduced as...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *  *16-20* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16-20*
@majario LIVE

*_______________________________________* .Chapter 19&20 Tuliondoka na mume wangu kuelekea kwake. Aseee ni bonge la nyumbaa ile aliyonipa ikaanzeee kwenye parking kuna magari kam yotee, bustani kumbwa muda huo mimi nachungulia tu kwenye gari...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*
@majario LIVE

Siku ziliendelea kwenda uku mimi na Enzo tukiendelea kukaa kwa madam groly, Yaani madam groly hakutaka kabisa nikae mbali na alikuwa akichukua uangalizi mzuri sana juu yangu Siku moja nikiwa chumbani...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*
@majario LIVE

Enzo akanyanyuka kwenye kochi alipokuwa amekaa na kuja kuniwal na kwa shauku akaniuliza. "Ishani wewe ni mjamzito" Nikabaki nikiwashangaa tu Maana sielewi ata hiyo mimba ukibeba unajisikiaje Mimi Nipo Nipo Kama fala...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest