Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

 *AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫*    *19&20*  FINAL  Kwa takribani masaa mawili tuliyatumia njiani mpaka kufika tulipokua tunaenda. Apo kwenye
Gonga94 Β· Stories

*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* *19&20* FINAL Kwa takribani masaa mawili tuliyatumia njiani mpaka kufika tulipokua tunaenda. Apo kwenye

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


masaa mawili kulikua na foleni plus kuna mda shangazi alitaka kujisaidia. Ila ayo masaa mawili kwangu yalikua kama dakika 101 Niliona kama tuliwai kufika mapema sana

Anyways, jumba lilikua ni jumba kweli! Wakwe zangu wanaonekana kuishi expensive life kushinda hata sisi. Kwa nje tuliona walifunga. maturubai ya kizungu alafu kulikua na shamra

shamra za kufa mtu

Yani wageni waliokua pale walishaanza kulewa. maana kama ni pombe zilikua za kumwaga ni wewe tu na kichwa chako.

Baba, Mama na Shangazi walikua wa kwanza. kushuka. Baba akakumbatiana na Rafiki yake pale huku wakiruka ruka kama watoto,

Nikaona mama nae anakumbatiana na Mke wa rafiki yake na baba ambae ni mama mkwe wangu mtarajiwa. But kuna kitu kilinishangaza, ni kwanini Mama mkwe anafanana sana na mama yake Elton?? Walifanana mno nikaishia kusema duniani wawili wawili bhana.

Ajabu ni kwamba hata yeye aliponiona pindi niliposhuka kwenye gari alinishangaa vile vile. Asiingeweza kunishangaa kama asingekua ananijua. Aliniangalia sana ila na yeye pia akadhani amenifananisha.

Basi tulikaribishwa kwanza ndani kwaajili ya utambulisho. Tulikaa sebuleni tukitazamana na familia ya Mume wangu.

Utambulisho ulifanyika, tulijitambulisha na wao.

wakajitambulisha. Sasa ndo ukaja mda wa kumtambulisha bwana harusi. Kwanza Mama wa bwana harusi akaomba radhi akidai Bwana harusi alichelewa kidogo maana ndo kwanza. amefika kwaiyo anamalizia kujiandaa

Tukiwa tunamsubiri bwana harusi tukapewa vinywaji vya kulainisha koo. Ila mimi akili yangu hata haikua pale, nilikua namuwaza Elton tu na huko alipo.

Baada ya dakika 15 Tukaambiwa Bwana harusi yupo tayari. Kwanza wakatoka ndugu zake wa kiume. Na Nilishangaa kumuona Elijah akiwa

miongoni mwa ndugu wa Bwana harusi. Hapo ndo nikahisi kuna kitu hakipo sawa kabisa.

Elijah mwenyewe alishtuka akabaki ananitazama kama kapigwa na radi. Si ndo Bwana Harusi akatoka bhana! Ni yeyeee.... Ni Elton huyu huyu Bwana Afande OCS!!

Sijui ilikuaje nikasimama bila kuelewa kama nimesimama Wageni na wazazi wote pale sebuleni wakanishangaa. Ule mshangao ukafanya Elton atizame upande wangu si akaniona bhana.

Bila aibu akaja mbio mbio kama mtoto alieona pipi, akanikumbatia kwa nguvu.

"Ginah! Unajua ni kiasi gani nimekutafuta????..... kwanini uliondoka???....."

"Sikua na namna Elton, sikutaka uogombane na mamaa yako kisΙ™ mimi"

"Nooo! Hukupaswa kuondoka Ginah! Kwanini hukuniamini!" Alilalamika na kuzidi kuwachanganya watu pale sebuleni

"Kwani unafanya nini hapa??"

" Na wewe unafanya nini hapa??" Akaniangalia kuanzia juu mpaka chini

"Oooh! wewe ndo bwana harusi???"

"Na wewe ndo Bwana harusi!" Alishangaa mpaka na pua

Nilichukla "kwalyo mimi nimeondoka kidogo. ukaamua kwenda kuoa mwanamke mwingine!"

"Na wewe umeamua kuondoka ili ukaolewe na mwanaume mwingine sio??"

"Unataka kusema mimi ndo mwanamke ambae wazazi wako walikua wanakulazimisha umuoe??"

"Ndiol Na hii inamaanisha kuwa mimi ndo mwanaume ambae wazazi wako walitaka uolewe nae!"

Tulishangaa, na watu wakazidi kutushangaa!

Ulikua ni mwendo wa kushangaana pale sebuleni. Ikabidi Mama Elton asimame na kuanza kusimulia maana yeyee angalau alikua anajua kilicho endelea.

Alipomaliza kuelezea akaja akanikumbatia na kuniomba msamaha maana hakupaswa kufanya alichokufanya hata kama hakutaka niolewe na mwanae.

"Nimejua kweli wewe ndie uliepangia kuwa na mwanangu! Karibu kwenye familia yetu Ginah

"Asante Mama" nilimkumbatia kwa furaha Elton akaona wivu. Akamsogeza mama yake pembeni kisha akanikumbatia yeye, akilalamika na kunieleza jinsi gani alivyo nimiss.

Watu walicheka na kufural na kushangilia sana. Ni Elijah pekee ndie alikua kimya. Ila alitufuata pia akidai kuna kitu alitaka kutuambia kwanza, alisema

"Sorry bro! Mimi ndie niliemwambia Mama yako kuwa unaishi na Ginah! Sio vizuri nilivyofanya lakini ni mapenzi tu yalinifanya nifanye ivi ila

nimejifunza kitu leo! Wewe na Ginah mlipangiwa

kuwa pamoja. Licha ya Ginah kutoroka

nyumbani kukimbia ndoa, still ulienda kukutana na kupendana na mwanaume ambae ulipaswa kuolewa nae! So am happy for you! Nawatakia all the best!"

"Usijali Bro! Pengine usingemwambia Mama tusingejua ukweli! Thanks!" Elton alishukuru

"And, nikisikia hata siku moja unamliza Ginah. nitakuja kukunyang'anya"

"Weeeeul lyo vita itakua sio ya nchi hiif Ila sidhani kama Ginah atawal kuja kulia kwa sababu yangul Atakua analia tu pale anapokata

kitunguu"

Wote tulicheka na kukumbatiana! Baada ya hapo tukahamia upande wa nje ambapo sasa zoezi la kuvalishana pete lilifuatia. Finally nikawa mchumba rasmi wa Bwana Elton Joshua.

Sikuamini ujue.

Then watu wakala, wakanywa na kuserebuka utadhani ndo ilikua mwisho wa dunia. Baadae jioni tulirudi nyumbani. Wazazi wangu walikua na furaha hata zile hasira zao juu yangu ziliisha.

kabisa

Wiki iliyofuata maandalizi ya harusi yakaanza. Hakuna kipindi nilichoka kama icho. Sijui

kuchagua gauni la harusi, mara viatu, mara nywele, mara kwenda kanisani kufundishwa ndoa! Huku Elton alitaka ale tamu yake jamani

nilihisi kuchanganyikiwa

Ila Hatimaye kila kitu kikaenda sawa na ndoa ikafungwa. Nikawa mke wa Elton halali kabisa. Baada ya ndoa tulirudi zetu Arusha mahali mapenzi yetu yalipoanzia.

Tulirudi nyumba ile ile tulikokaa kabla, lakini

sasa tulikua kama wake na mume. Mnajua Elton alinibadilisha sana?? Sikuwa nakunywa pombe, mambo ya club hakuna tena! Na kubwa zaidi Niliendelea na elimu yangu ya chuo kikuu nikafanikiwa kupata degree yangu ya kwanza.

Na kwakua Baba alikua amefungua tawi dogo la kampuni yake huku Arusha, akaniambia

nisimamie pale maana hakua na mtu mwingine anae muamini zaidi yangu. So maisha yamekua matamu kiasi hiko! Na-enjoy na mume wangu mbali ya kuwa sasa tuna watoto wawili ila ni

kama tulioana janal

Alafu eti hajawahi kunita baby! Bado ananiita tapeli eti anadai nilimtapeli moyo wake, ila jamani

-MWISHO-

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* *19&20* FINAL Kwa takribani masaa mawili tuliyatumia njiani mpaka kufika tulipokua tunaenda. Apo kwenye



masaa mawili kulikua na foleni plus kuna mda shangazi alitaka kujisaidia. Ila ayo masaa mawili kwangu yalikua kama dakika 101 Niliona kama tuliwai kufika mapema sana

Anyways, jumba lilikua ni jumba kweli! Wakwe zangu wanaonekana kuishi expensive life kushinda hata sisi. Kwa nje tuliona walifunga. maturubai ya kizungu alafu kulikua na shamra

shamra za kufa mtu

Yani wageni waliokua pale walishaanza kulewa. maana kama ni pombe zilikua za kumwaga ni wewe tu na kichwa chako.

Baba, Mama na Shangazi walikua wa kwanza. kushuka. Baba akakumbatiana na Rafiki yake pale huku wakiruka ruka kama watoto,

Nikaona mama nae anakumbatiana na Mke wa rafiki yake na baba...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/afande-nilegezee-kamba-19-20-final-kwa-takribani-masaa-mawili-tuliyatumia-njiani-mpaka-kufika-tulipo

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending πŸ“ Follow the ommy khan Tanzania channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VbCg0JyFsn0hCN1ByD44

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi afande-nilegezee-kamba
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* 17 -- 18 Chapter 17  Mapenzi yangu na Elton yalikuwa mazuri kupita maelezo. Nilifurahia kila dakika niliyoitumia naye. Kila kukicha tulikuwa tunazidi kuwa karibu zaidi
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* 17 -- 18 Chapter 17 Mapenzi yangu na Elton yalikuwa mazuri kupita maelezo. Nilifurahia kila dakika niliyoitumia naye. Kila kukicha tulikuwa tunazidi kuwa karibu zaidi
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* Chapter 12  Baada ya kunipeleka chumbani kwake, Elton alinilaza kitandani, akafunika na blanketi kisha akatoka nje. Dakika zile zile alirudi na bakuli la maji moto...
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* Chapter 12 Baada ya kunipeleka chumbani kwake, Elton alinilaza kitandani, akafunika na blanketi kisha akatoka nje. Dakika zile zile alirudi na bakuli la maji moto...
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* *14&15*  Maneno ambayo Elijah alinambia yalinivunja moyo vibaya sana. Niliapa nikasema lazima nimulize Elton akirudi. Nilihitaji kujua sababu
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* *14&15* Maneno ambayo Elijah alinambia yalinivunja moyo vibaya sana. Niliapa nikasema lazima nimulize Elton akirudi. Nilihitaji kujua sababu
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* Chapter 13  Ile busu lilifanya tujihisi tupo kwenye dunia nyingine kwa dakika tano hivi hatukuwa sisi nikajiuliza, "mbona naenjoy hii kitu?"
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* Chapter 13 Ile busu lilifanya tujihisi tupo kwenye dunia nyingine kwa dakika tano hivi hatukuwa sisi nikajiuliza, "mbona naenjoy hii kitu?"
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* *SEHEMU YA KUMI NA SITA*  Asubuhi tuliamka wote, tukicheza na mito kama watoto. Elton alikuwa ananikimbiza chumbani na kila aliponikamata alinikumbatia na kunibusu
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* *SEHEMU YA KUMI NA SITA* Asubuhi tuliamka wote, tukicheza na mito kama watoto. Elton alikuwa ananikimbiza chumbani na kila aliponikamata alinikumbatia na kunibusu
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫*  Chapter 9  Elton alikuja jikoni pale nilipokuwa nimekaa, Akanikamata mkono wangu kwa nguvu, akaniambia kwa hasira
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* Chapter 9 Elton alikuja jikoni pale nilipokuwa nimekaa, Akanikamata mkono wangu kwa nguvu, akaniambia kwa hasira
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* Chapter 8  Nilikumbuka jinsi chai inavyopikwa, nikadhani labda kahawa nayo ni hivyohivyo
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* Chapter 8 Nilikumbuka jinsi chai inavyopikwa, nikadhani labda kahawa nayo ni hivyohivyo
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*  Ile simu ya Siku ya kuripoti kituo cha polisi ikafika. Nilipaswa kwenda peke yangu, ila Elijah akaniambia atanipa kwa gari
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Ile simu ya Siku ya kuripoti kituo cha polisi ikafika. Nilipaswa kwenda peke yangu, ila Elijah akaniambia atanipa kwa gari
_* *AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫*   Chapter 7  Siku hiyo ilikuwa ngumu sana, yani hata sijui nilikuwa nafanya nini. Nilisimama tu pale kwa dakika tano nikiwaza "Sasa hii...
_* *AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* Chapter 7 Siku hiyo ilikuwa ngumu sana, yani hata sijui nilikuwa nafanya nini. Nilisimama tu pale kwa dakika tano nikiwaza "Sasa hii...
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😫😫πŸ₯±* *1-5* * *SEHEMU YA KWANZA*  Ilikua kama wiki mbili zimepita tangu nirudi kutoka Canada. Nililazimishwa kurudi nyumbani kwa sababu baba aligundua kule sikusoma kabisa. Nilikuwa...
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😫😫πŸ₯±* *1-5* * *SEHEMU YA KWANZA* Ilikua kama wiki mbili zimepita tangu nirudi kutoka Canada. Nililazimishwa kurudi nyumbani kwa sababu baba aligundua kule sikusoma kabisa. Nilikuwa...
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* *SEHEMU YA SITA*  Kabla hata sijamjibu kitu, akanirukia na kuanza kunishika shika hadi Mwili wangu ukaanza kulegea.
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* *SEHEMU YA SITA* Kabla hata sijamjibu kitu, akanirukia na kuanza kunishika shika hadi Mwili wangu ukaanza kulegea.
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE

NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE

420
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15

276
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14

178
Kinachomtisha Mgosi ni kuwa Edna Lema anawachezaji walioonekana wa kawaida Simba

Kinachomtisha Mgosi ni kuwa Edna Lema anawachezaji walioonekana wa kawaida Simba

9

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

12.05K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.73K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.92K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.69K
MY WANGU❀️ sehemu ya 108

MY WANGU❀️ sehemu ya 108

3.12K
MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

3.04K
MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

2.91K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.88K
MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

2.78K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.72K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE
@majario LIVE

:141 Nikamwambia kwa ujumbe β€œBoss ni usiku sana, nenda nyumbani, tutaongea kesho naomba nipumzike.” Akanijibu β€œsitaondoka hapa mpaka uje kunisikiliza.” Nikamuonyesha Dorice, Dorice akasema β€œkamsikilize Labda ni muhimu.” Nikamwambia Dorice β€œkusema kweli mimi roho...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Simu ilikatwa,nilichanganyikiwa,iv nimeskia kweli au ni mawenge yangu?keanu ananisaliti?yani maneno yake makavu yote aliyoniambia hayakua na maana sikuyajali kabisa nilijali mwanamke alieongea.nikasema hapana ngoja,nikapiga simu iliita ikakatwa,nilipiga tena ikakatwa,nikapiga...

Kinachomtisha Mgosi ni kuwa Edna Lema anawachezaji walioonekana wa kawaida Simba Post Mpya
Kinachomtisha Mgosi ni kuwa Edna Lema anawachezaji walioonekana wa kawaida Simba
@majario LIVE

ila sasa wapo kwenye kiwango cha hali ya juu kiasi cha baadhi kuitwa timu zao za taifa. Diana Mnally Ritticia Nabbosa Precious Christopher Wincate Kaari Aisha Djafar Edna Lema...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Mmmh nilihisi utumbo unacheza, kwa nn haruhusiwi ndoa sasa? Au ameoa? Nilijiuliza sana, keanu akasema sijakuelewa kwa nn siruhusiwi kuoa sasa? Akasema kuna mashart katika kila kanisa ili...

πŸ’‹ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO πŸ’‹ 18 Post Mpya
πŸ’‹ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO πŸ’‹ 18
@majario LIVE

Mida ya jioni vipindi vilipoisha tuliongozana na Glad hadi kwa kaka yake ilikuwa ni saa kumi na moja za jioni hivyo alikuwa kasharudi toka kazini tulimkuta nyumbani 🏑. Karibuni...

CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10 Post Mpya
CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10
@majario LIVE

SEHEMU YA 08 "Kwanza haoni ajabu kukufukuza,na akisema hakutaki ujue hakuna was kukutetea hata mama hataongea .... kwaiyo muangalie hivyo hivyo kauli yake moja tu inakuondoa........... Nicole aliposema hivyo nilimuogopa sana...

Iran rejects peace plan and mocks Trump Akhtar Makoii Post Mpya
Iran rejects peace plan and mocks Trump Akhtar Makoii
@mjukuu LIVE

Screengrab from video put out by Iranian state media Tasnim News of an Iranian missile with Trump's name on it, in response to the great gift from Iran Trump claimed...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE
@majario LIVE

:131 Nikawa natoa ile bahasha. Vile natoa, namuona Boss Yule anakuja. Ni wazi alisikia kengele au aliniona kwa juu. Nikasema kwa ndani β€œniondoke?” Ataona Kama namkimbia, Nikajikaza pale kusubiri. Basi kweli alifika,...

MFALME KIPOFU  27 Post Mpya
MFALME KIPOFU 27
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 27 (FINAL) Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Nawauliza Princess Nailet yupo wapi? alipotazama Pembeni hakuamini kuona mwili wa binti yake....... ENDELEA NAYO...... Mfalme Tengu alilia kama mtoto mdogo "Pole sana mfalme kwa kipindi kigumu unachopitia Prince...

MFALME KIPOFU  25 -- 26 Post Mpya
MFALME KIPOFU 25 -- 26
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 25 Whatsapp.............0748697173 ilipoishia sehemu iliyopita....... Maneno ya Lindiwe yalimfanya Princess Nailet kutabasamu nakutulia kuwaacha waongonzane watu watatu tu Malikia,Prince Yao na Amma mwenyewe kwenda kutafuta iyo dawa...... ENDELEA NAYO.......... Malikia andwaa aliongoza msafara wa...

MFALME KIPOFU  23 -- 24 Post Mpya
MFALME KIPOFU 23 -- 24
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 23 Whatsapp.............0748697173 ilipoishia sehemu iliyopita....... Maneno yale yalipenya kwenye masikio ya Amma na baadhi ya watu waliokuwa pale wakitazama tu badala ya kutoa msaada,Babaaaaa............ ENDELEA NAYO.......... "Baba amka",Amma alimwita baba yake, Aliye kuwa tayali amepoteza...

MFALME KIPOFU  21 -- 22 Post Mpya
MFALME KIPOFU 21 -- 22
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 21 Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Malikia alichanganyikiwa baada ya kusikia maneno yale ya dakitari Malikia aliita walinzi na ,kuwapa maagizo ya kuwakamata matabibu wote...... ENDELEA NAYO....... Walisubili pakuche msako uanze wa kuwakamata matabibu...

MFALME KIPOFU  19 -- 20 Post Mpya
MFALME KIPOFU 19 -- 20
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............19 Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita...... Ni mapenzi ya ajabu aliyokuwa nayo Princess Nailet kwa Yao licha ya kumfahamu kwa mda mfupi tu lakini aliteka sehemu kubwa ya moyo wake... ENDELEA NAYO....... Aliendelea na safari ya...

MFALME KIPOFU  17 -- 18 Post Mpya
MFALME KIPOFU 17 -- 18
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............17 Ilipoishia sehemu iliyopita...... Lindiwe alitege sikio vizuri na kweli alisikia sauti emu njoo huku alimvuta Prince Yao pembeni na kujificha sehemu ni ngumu kuonekana. Namu sura ya General haikutoka machoni mwake alimuona...

MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17 Post Mpya
MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17
@mjukuu LIVE

Ilipoishia sehemu iliyopita...... Asikari",Mfalme Tengu aliita kwa hasira "Nendeni mkawarudishe haraka" "Mfalme tayali wameshavuka mpaka" "Nimesema nendeni mkawarudishe" Waliondoka na kumuacha Mfalme akiendelea ..... SEHEMU YA 16 ENDELEA NAYO...... Waliondoka na kumuacha mfalme akiendelea kuongea na binti...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest