Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

 *AFANDE NILEGEZEE KAMBA ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜ซ๐Ÿ˜ซ*    *19&20*  FINAL  Kwa takribani masaa mawili tuliyatumia njiani mpaka kufika tulipokua tunaenda. Apo kwenye
Gonga94 ยท Stories

*AFANDE NILEGEZEE KAMBA ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜ซ๐Ÿ˜ซ* *19&20* FINAL Kwa takribani masaa mawili tuliyatumia njiani mpaka kufika tulipokua tunaenda. Apo kwenye

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


masaa mawili kulikua na foleni plus kuna mda shangazi alitaka kujisaidia. Ila ayo masaa mawili kwangu yalikua kama dakika 101 Niliona kama tuliwai kufika mapema sana

Anyways, jumba lilikua ni jumba kweli! Wakwe zangu wanaonekana kuishi expensive life kushinda hata sisi. Kwa nje tuliona walifunga. maturubai ya kizungu alafu kulikua na shamra

shamra za kufa mtu

Yani wageni waliokua pale walishaanza kulewa. maana kama ni pombe zilikua za kumwaga ni wewe tu na kichwa chako.

Baba, Mama na Shangazi walikua wa kwanza. kushuka. Baba akakumbatiana na Rafiki yake pale huku wakiruka ruka kama watoto,

Nikaona mama nae anakumbatiana na Mke wa rafiki yake na baba ambae ni mama mkwe wangu mtarajiwa. But kuna kitu kilinishangaza, ni kwanini Mama mkwe anafanana sana na mama yake Elton?? Walifanana mno nikaishia kusema duniani wawili wawili bhana.

Ajabu ni kwamba hata yeye aliponiona pindi niliposhuka kwenye gari alinishangaa vile vile. Asiingeweza kunishangaa kama asingekua ananijua. Aliniangalia sana ila na yeye pia akadhani amenifananisha.

Basi tulikaribishwa kwanza ndani kwaajili ya utambulisho. Tulikaa sebuleni tukitazamana na familia ya Mume wangu.

Utambulisho ulifanyika, tulijitambulisha na wao.

wakajitambulisha. Sasa ndo ukaja mda wa kumtambulisha bwana harusi. Kwanza Mama wa bwana harusi akaomba radhi akidai Bwana harusi alichelewa kidogo maana ndo kwanza. amefika kwaiyo anamalizia kujiandaa

Tukiwa tunamsubiri bwana harusi tukapewa vinywaji vya kulainisha koo. Ila mimi akili yangu hata haikua pale, nilikua namuwaza Elton tu na huko alipo.

Baada ya dakika 15 Tukaambiwa Bwana harusi yupo tayari. Kwanza wakatoka ndugu zake wa kiume. Na Nilishangaa kumuona Elijah akiwa

miongoni mwa ndugu wa Bwana harusi. Hapo ndo nikahisi kuna kitu hakipo sawa kabisa.

Elijah mwenyewe alishtuka akabaki ananitazama kama kapigwa na radi. Si ndo Bwana Harusi akatoka bhana! Ni yeyeee.... Ni Elton huyu huyu Bwana Afande OCS!!

Sijui ilikuaje nikasimama bila kuelewa kama nimesimama Wageni na wazazi wote pale sebuleni wakanishangaa. Ule mshangao ukafanya Elton atizame upande wangu si akaniona bhana.

Bila aibu akaja mbio mbio kama mtoto alieona pipi, akanikumbatia kwa nguvu.

"Ginah! Unajua ni kiasi gani nimekutafuta????..... kwanini uliondoka???....."

"Sikua na namna Elton, sikutaka uogombane na mamaa yako kisษ™ mimi"

"Nooo! Hukupaswa kuondoka Ginah! Kwanini hukuniamini!" Alilalamika na kuzidi kuwachanganya watu pale sebuleni

"Kwani unafanya nini hapa??"

" Na wewe unafanya nini hapa??" Akaniangalia kuanzia juu mpaka chini

"Oooh! wewe ndo bwana harusi???"

"Na wewe ndo Bwana harusi!" Alishangaa mpaka na pua

Nilichukla "kwalyo mimi nimeondoka kidogo. ukaamua kwenda kuoa mwanamke mwingine!"

"Na wewe umeamua kuondoka ili ukaolewe na mwanaume mwingine sio??"

"Unataka kusema mimi ndo mwanamke ambae wazazi wako walikua wanakulazimisha umuoe??"

"Ndiol Na hii inamaanisha kuwa mimi ndo mwanaume ambae wazazi wako walitaka uolewe nae!"

Tulishangaa, na watu wakazidi kutushangaa!

Ulikua ni mwendo wa kushangaana pale sebuleni. Ikabidi Mama Elton asimame na kuanza kusimulia maana yeyee angalau alikua anajua kilicho endelea.

Alipomaliza kuelezea akaja akanikumbatia na kuniomba msamaha maana hakupaswa kufanya alichokufanya hata kama hakutaka niolewe na mwanae.

"Nimejua kweli wewe ndie uliepangia kuwa na mwanangu! Karibu kwenye familia yetu Ginah

"Asante Mama" nilimkumbatia kwa furaha Elton akaona wivu. Akamsogeza mama yake pembeni kisha akanikumbatia yeye, akilalamika na kunieleza jinsi gani alivyo nimiss.

Watu walicheka na kufural na kushangilia sana. Ni Elijah pekee ndie alikua kimya. Ila alitufuata pia akidai kuna kitu alitaka kutuambia kwanza, alisema

"Sorry bro! Mimi ndie niliemwambia Mama yako kuwa unaishi na Ginah! Sio vizuri nilivyofanya lakini ni mapenzi tu yalinifanya nifanye ivi ila

nimejifunza kitu leo! Wewe na Ginah mlipangiwa

kuwa pamoja. Licha ya Ginah kutoroka

nyumbani kukimbia ndoa, still ulienda kukutana na kupendana na mwanaume ambae ulipaswa kuolewa nae! So am happy for you! Nawatakia all the best!"

"Usijali Bro! Pengine usingemwambia Mama tusingejua ukweli! Thanks!" Elton alishukuru

"And, nikisikia hata siku moja unamliza Ginah. nitakuja kukunyang'anya"

"Weeeeul lyo vita itakua sio ya nchi hiif Ila sidhani kama Ginah atawal kuja kulia kwa sababu yangul Atakua analia tu pale anapokata

kitunguu"

Wote tulicheka na kukumbatiana! Baada ya hapo tukahamia upande wa nje ambapo sasa zoezi la kuvalishana pete lilifuatia. Finally nikawa mchumba rasmi wa Bwana Elton Joshua.

Sikuamini ujue.

Then watu wakala, wakanywa na kuserebuka utadhani ndo ilikua mwisho wa dunia. Baadae jioni tulirudi nyumbani. Wazazi wangu walikua na furaha hata zile hasira zao juu yangu ziliisha.

kabisa

Wiki iliyofuata maandalizi ya harusi yakaanza. Hakuna kipindi nilichoka kama icho. Sijui

kuchagua gauni la harusi, mara viatu, mara nywele, mara kwenda kanisani kufundishwa ndoa! Huku Elton alitaka ale tamu yake jamani

nilihisi kuchanganyikiwa

Ila Hatimaye kila kitu kikaenda sawa na ndoa ikafungwa. Nikawa mke wa Elton halali kabisa. Baada ya ndoa tulirudi zetu Arusha mahali mapenzi yetu yalipoanzia.

Tulirudi nyumba ile ile tulikokaa kabla, lakini

sasa tulikua kama wake na mume. Mnajua Elton alinibadilisha sana?? Sikuwa nakunywa pombe, mambo ya club hakuna tena! Na kubwa zaidi Niliendelea na elimu yangu ya chuo kikuu nikafanikiwa kupata degree yangu ya kwanza.

Na kwakua Baba alikua amefungua tawi dogo la kampuni yake huku Arusha, akaniambia

nisimamie pale maana hakua na mtu mwingine anae muamini zaidi yangu. So maisha yamekua matamu kiasi hiko! Na-enjoy na mume wangu mbali ya kuwa sasa tuna watoto wawili ila ni

kama tulioana janal

Alafu eti hajawahi kunita baby! Bado ananiita tapeli eti anadai nilimtapeli moyo wake, ila jamani

-MWISHO-

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

*AFANDE NILEGEZEE KAMBA ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜ซ๐Ÿ˜ซ* *19&20* FINAL Kwa takribani masaa mawili tuliyatumia njiani mpaka kufika tulipokua tunaenda. Apo kwenye



masaa mawili kulikua na foleni plus kuna mda shangazi alitaka kujisaidia. Ila ayo masaa mawili kwangu yalikua kama dakika 101 Niliona kama tuliwai kufika mapema sana

Anyways, jumba lilikua ni jumba kweli! Wakwe zangu wanaonekana kuishi expensive life kushinda hata sisi. Kwa nje tuliona walifunga. maturubai ya kizungu alafu kulikua na shamra

shamra za kufa mtu

Yani wageni waliokua pale walishaanza kulewa. maana kama ni pombe zilikua za kumwaga ni wewe tu na kichwa chako.

Baba, Mama na Shangazi walikua wa kwanza. kushuka. Baba akakumbatiana na Rafiki yake pale huku wakiruka ruka kama watoto,

Nikaona mama nae anakumbatiana na Mke wa rafiki yake na baba...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/afande-nilegezee-kamba-19-20-final-kwa-takribani-masaa-mawili-tuliyatumia-njiani-mpaka-kufika-tulipo

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi afande-nilegezee-kamba
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜ซ๐Ÿ˜ซ* 17 -- 18 Chapter 17  Mapenzi yangu na Elton yalikuwa mazuri kupita maelezo. Nilifurahia kila dakika niliyoitumia naye. Kila kukicha tulikuwa tunazidi kuwa karibu zaidi
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜ซ๐Ÿ˜ซ* 17 -- 18 Chapter 17 Mapenzi yangu na Elton yalikuwa mazuri kupita maelezo. Nilifurahia kila dakika niliyoitumia naye. Kila kukicha tulikuwa tunazidi kuwa karibu zaidi
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜ซ๐Ÿ˜ซ* Chapter 12  Baada ya kunipeleka chumbani kwake, Elton alinilaza kitandani, akafunika na blanketi kisha akatoka nje. Dakika zile zile alirudi na bakuli la maji moto...
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜ซ๐Ÿ˜ซ* Chapter 12 Baada ya kunipeleka chumbani kwake, Elton alinilaza kitandani, akafunika na blanketi kisha akatoka nje. Dakika zile zile alirudi na bakuli la maji moto...
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜ซ๐Ÿ˜ซ* *14&15*  Maneno ambayo Elijah alinambia yalinivunja moyo vibaya sana. Niliapa nikasema lazima nimulize Elton akirudi. Nilihitaji kujua sababu
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜ซ๐Ÿ˜ซ* *14&15* Maneno ambayo Elijah alinambia yalinivunja moyo vibaya sana. Niliapa nikasema lazima nimulize Elton akirudi. Nilihitaji kujua sababu
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜ซ๐Ÿ˜ซ* Chapter 13  Ile busu lilifanya tujihisi tupo kwenye dunia nyingine kwa dakika tano hivi hatukuwa sisi nikajiuliza, "mbona naenjoy hii kitu?"
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜ซ๐Ÿ˜ซ* Chapter 13 Ile busu lilifanya tujihisi tupo kwenye dunia nyingine kwa dakika tano hivi hatukuwa sisi nikajiuliza, "mbona naenjoy hii kitu?"
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜ซ๐Ÿ˜ซ* *SEHEMU YA KUMI NA SITA*  Asubuhi tuliamka wote, tukicheza na mito kama watoto. Elton alikuwa ananikimbiza chumbani na kila aliponikamata alinikumbatia na kunibusu
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜ซ๐Ÿ˜ซ* *SEHEMU YA KUMI NA SITA* Asubuhi tuliamka wote, tukicheza na mito kama watoto. Elton alikuwa ananikimbiza chumbani na kila aliponikamata alinikumbatia na kunibusu
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜ซ๐Ÿ˜ซ*  Chapter 9  Elton alikuja jikoni pale nilipokuwa nimekaa, Akanikamata mkono wangu kwa nguvu, akaniambia kwa hasira
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜ซ๐Ÿ˜ซ* Chapter 9 Elton alikuja jikoni pale nilipokuwa nimekaa, Akanikamata mkono wangu kwa nguvu, akaniambia kwa hasira
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜ซ๐Ÿ˜ซ* Chapter 8  Nilikumbuka jinsi chai inavyopikwa, nikadhani labda kahawa nayo ni hivyohivyo
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜ซ๐Ÿ˜ซ* Chapter 8 Nilikumbuka jinsi chai inavyopikwa, nikadhani labda kahawa nayo ni hivyohivyo
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜ซ๐Ÿ˜ซ* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*  Ile simu ya Siku ya kuripoti kituo cha polisi ikafika. Nilipaswa kwenda peke yangu, ila Elijah akaniambia atanipa kwa gari
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜ซ๐Ÿ˜ซ* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Ile simu ya Siku ya kuripoti kituo cha polisi ikafika. Nilipaswa kwenda peke yangu, ila Elijah akaniambia atanipa kwa gari
_* *AFANDE NILEGEZEE KAMBA ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜ซ๐Ÿ˜ซ*   Chapter 7  Siku hiyo ilikuwa ngumu sana, yani hata sijui nilikuwa nafanya nini. Nilisimama tu pale kwa dakika tano nikiwaza "Sasa hii...
_* *AFANDE NILEGEZEE KAMBA ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜ซ๐Ÿ˜ซ* Chapter 7 Siku hiyo ilikuwa ngumu sana, yani hata sijui nilikuwa nafanya nini. Nilisimama tu pale kwa dakika tano nikiwaza "Sasa hii...
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜ซ๐Ÿ˜ซ* *SEHEMU YA SITA*  Kabla hata sijamjibu kitu, akanirukia na kuanza kunishika shika hadi Mwili wangu ukaanza kulegea.
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜ซ๐Ÿ˜ซ* *SEHEMU YA SITA* Kabla hata sijamjibu kitu, akanirukia na kuanza kunishika shika hadi Mwili wangu ukaanza kulegea.
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA ๐Ÿ˜ซ๐Ÿ˜ซ๐Ÿฅฑ* *1-5* * *SEHEMU YA KWANZA*  Ilikua kama wiki mbili zimepita tangu nirudi kutoka Canada. Nililazimishwa kurudi nyumbani kwa sababu baba aligundua kule sikusoma kabisa. Nilikuwa...
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA ๐Ÿ˜ซ๐Ÿ˜ซ๐Ÿฅฑ* *1-5* * *SEHEMU YA KWANZA* Ilikua kama wiki mbili zimepita tangu nirudi kutoka Canada. Nililazimishwa kurudi nyumbani kwa sababu baba aligundua kule sikusoma kabisa. Nilikuwa...
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*

851
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 16 na 17

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 16 na 17

608
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 18

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 18

533
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 19.na 20

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 19.na 20

426
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

313
SHAMIRA sehemu ya 36&37

SHAMIRA sehemu ya 36&37

189
BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 5

BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 5

95
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example

3

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.5K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.26K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.76K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.22K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

2.66K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.62K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

2.57K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

2.53K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.47K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.46K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 19.na 20 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 19.na 20
@majario LIVE

Nikasema zena kweli ,na wew unafeel kama vile ambavyo mm nafeel acha masihara basi, akanambia lakini millan ,mi wewe sikujuhi vizur, ndo mana nilikuwa nataka mda kwanza wa kukufahamu ,nisije...

BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA โ€œ Brayton..โ€ Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa โ€œ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?โ€ Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 18 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 18
@majario LIVE

Yani ummy Alishangilia na kwambia aliimba nyimbo zote mpaka mama yake ndo alimnyamazisha, basi nikamwambia ummy aya mama yangu mzuri nimekuletea tv sasa uwe na amani sawa, akasema ndio...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*
@majario LIVE

Sikujua kam nililala pale mpaka asubuhi, tena nimelala kana kwamba pale ni nyumbani kwetu jamni nilikuja kushtuka tena baada ya kupigiwa simu, jamni si ndio naamka najikuta nipo kwenye chumba...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 16 na 17 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 16 na 17
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nilifika home nna hasira sana, nimechukia mnoo, yote sababu nilikuwa nimemmaind sana yule demu, yani nilimuona ana linga kinoma, nikasema bwana mi namkaushia kama.vp mana wanawake...

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*
@majario LIVE

Nikatulia kwanza na kumuangalia madam groly kisha nikamuuliza. "Unamaanisha nini unavyosema hauna Furaha na hii siku 7 Sijakuelewa kwakweli nakumbuka ulikuwa ukitsubilia hi siku kwa hamu sana" Madam groly akacheka sana kisha akasogea...

SHAMIRA sehemu ya 36&37 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 36&37
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mwanaume akaondoka zake na mimi ndo nikashika simu sasa .nikampigia aisha kumpa mchapo.nikasema shoga nusu niachwe mwenzio.nimeomba msamaha kama chizi.aisha akasema mh tatizo hamadi...

BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 4 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 4
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Brayton akiwa kwenye gari alijaribuu kupiga simu Hospitali ili maandilizi mapema kwaajili ya mgonjwa anae kuja nae muda huu. Hospitali nayo hakufanya makosa tayari waliandaa kitanda...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 21 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 21
@majario LIVE

Nikamuuliza "we umejuana vipi na D??" "Yule D ni mdogo wake na Boss wangu, ni binamu yake kitu kama hicho, mie sijawahi hata kuwa na mazoea nae kabisaaa ila kuna issue...

Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas Post Mpya
Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas
@majario LIVE

really make you believe in modern-day love stories. Different countries, different cultures, totally different careers โ€” but somehow it all just fits perfectly. What started with a simple conversation...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
@majario LIVE

Muda huo Mwenyewe nilikua Nacheza kwa Furaha zote, lakini kitendo cha kumuona madam groly killharibu kila kitu, niliona kabisa birthday yangu inaenda kuharibika Maana huyu mama hana jema ata kidogo. "NAKUJA Alizungumza...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest