Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* *14&15*  Maneno ambayo Elijah alinambia yalinivunja moyo vibaya sana. Niliapa nikasema lazima nimulize Elton akirudi. Nilihitaji kujua sababu
Gonga94 Β· Stories

*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* *14&15* Maneno ambayo Elijah alinambia yalinivunja moyo vibaya sana. Niliapa nikasema lazima nimulize Elton akirudi. Nilihitaji kujua sababu

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


yake ya kunibusu, maana matendo yake yote yalikuwa yanachanganya. Asubuhi ananipikia, ananijali, jioni anarudi anasema hanipendi Haikuniingia akilini

Basi Elton alirudi usiku sana kama saa saba usiku. Alipoingia ndani niliona kabisa amechoka na mood yake ni mbaya Lakini mimi sikujali

"wewe hujalala?” aliuliza kwa sauti ya ukali

"Nakusubin wewe, nataka kukuuliza kitu

"Kitu gani unataka kujua ambacho kinafanya usilale mpaka sasa ivi?"

"Mbona ulini-kiss asubuhi? Na mbona unajifanya unanijali wakati wewe mwenyewe unamwambia Elijah hunipendi? Unanichanganya. Nataka nijue hisia zako ni zipi hasal

Elton Alinitazama kwa sekunde chache kisha ghafla akaanza kucheka. Kicheko kile cha

dharau

"Hahaha wait...unajua wewe ni mjinga sana?

Kwa sababu tu niliku-kiss na kukujali kidogo ukadhani nakupenda? Una akili kweli? Wewe ni

tapeli tu Gina. Usiwaze mambo ya kipumbavu, Nilichokifanya ni kwa sababu ulikuwa mgonjwa, si kwa sababu nakupenda. Simple like that

Maneno yake yaliniingia kama kisu moyoni Nilihisi maumivu, machozi yakaanza kunitoka bila kujizuia. Nikamwangalia nikiwa nimeumia sana

"Kwa hiyo ulinichezea kwa sababu nilikuwa mgonjwa? Unajua hiyo imeniumiza kiasi gani? usingefanya kitu kama hicho kama ulikuwa unajua kabisa huna hisia na mimil

"Sorry kwa ilol Ukimaliza mwezi wako hapa, utarudi kuendelea na maisha yako. Sina muda wa mapenzi

Akageuka na kwenda zake chumbani, akaniacha nimesimama pale kama mtu aliyepigwa radi

Nilijiona mjinga, Nilijiona nimejidhalilisha kwa kumpenda mtu ambaye hana hata chembe ya hisia kwangu. Nililia muda mrefu, mwishoni

nikaenda kulala stoo kama kawaida Nikiwa huko bado nalla, mlango wa stoo

ukafunguliwa polepole, allikuwa ni Elijah. Allona nalia macho yamevimba mpaka akaumia kaka wa watu

"Actually nimesikia kila kitu na sijapenda alivyokuambia. So Gina really unampenda. Elton??"

"Ndiyo

"Elton hakufal Please chochote unachohisi kwake, futa. Kile alichokufanyia leo ni kuonyesha wazi kuwa hana time na wewe. Utakua unaumia

kila siku please

"Nimekoma Elijah! Haitajirudia tena

"Ok Sikiliza, usilale kwenye sakafu tena. Daktari alisema hutakiwi kulala kwenye baridi. Twende ukalale chumbani kwangu"

"Wewe utalala wapi sasa?"

"mimi nitalala kwenye kochi, Usiogope

Nilisita kidogo lakini alivyoniambia kwa upole nikakubali. "Sawa, asante"

Nilisimama kwa unyonge kama mfiwa, tukaongozana mpaka chumbani kwake. Alinipisha nilale kitandani yeye akajitupa kwenye zake kwenye kochi.

kitu

kilichotokea

hata

hatukuongeleshana maana kila mtu aligeukia upande wake. lle naishia tu usingizini, tukasikia mlango unagongwa kwa pupa kama vile anaegonga ana hasira kali. Nilishtuka,

Hakuna

Nikamwangalia Elijah kwa macho ya hofu. Nilijua lazima awe Elton

Ila wala hata Elijah hakushtuka, ndo kwanza Alisimama taratibu akaenda kufungua mlango. Alipofungua tu mlango, Elton akamsukuma

pembeni kisha akaingia ndani kwa nguvu akiwa

kavimba kwa hasira kama kifaru

Si Akaniona nimekaa kitandani nimejiachia??. Nyle nyle nilishtukia nashikwaa mkono kwa nguvu alafu navutwa kama gogo. Elijah alijaribu kumzuia ila alimshindwa Elton.

Elton ana nguvu sana ndo maana hakuona shida kunikokota na mkono mmoja. Ndani ya sekunde tano alishanifikisha chumbani kwake na mlango.

kaufunga kwa funguo nikasema Leo nauliwa

"Kwa sababu nimekukataa umeamua kwenda kwa Elijah? Unadhani mimi ni mjinga aliuliza kwa hasira

"Hapana Nilienda kwa sababu alinambia nisilale sakafuni

"Kwa hiyo hukuona chumba kingine chochote ila chake? Umekuwa kipofu ghafla sio?"

"Unanielewa vibaya! Hatujafanya chochote. Na kwanini una hasira? Ulinambia mwenyewe. hunipendi, sasa wivu wa nini?"

"Oooh so unadhani nina wivu??? Labda nikukumbushe kuwa unaishi hapa kama mfanyakazi wangu, kila kitu chako kinanihusu so Sitaki drama Ginah!"

Nikasimama nikisema "Mimi sina muda na wewe. Maneno yako yameniumiza sana leo. Please niache, sitaki mambo ya kipuuzi

Nilitaka kutoka chumbani kwake na nilikua nishaufikia kabisa mlango ndo nikakumbuka alifunga mlango na ufunguo

"Elton nifungulie mlango niondoke"

"Hakuna kuondoka.....please usiondoke" alisogea nyuma yangu akanikumbatia kwa

nguvu.

Alishusha pumzi kidogo akaendelea kuongea am sorry kama nilikuumiza. Nilikuwa na hasira, sikutakiwa kusema vile

"Sasa Kwanini uliniumiza hivyo?"

"Hasira zilikua za kazini Ginah! Na pia sikutaka kuonekana kuwa nakupenda but acha nikuambie ukweli. nakupenda

Nilishtuka, Moyo wangu ukaanza kudunda haraka. Sikudhani kama ningewal kabisa kusikia maneno hayo kutoka kwake.

Aliendelea kuongea akasema "Nilianza kukupenda siku ya kwanza tulipokutana pale club, Ila nilikasirika kwa maneno yako, nikajikuta

nakuchukia na kuapa lazima nikulipizie. But mbali ya kukufanya yote niliyokufanyia still bado nilikupendal Hujui ni jinsi gani nilivyokua nakosa

usingizi kila nilipo kuumiza au kukaripia then ukaribu wako na Elijah ukazidi kunichanganya kabisa! Mamaa mimi nina wivu sana tena mnol

So please usiendelee kuniumiza utaniua Ginah"

Weeeh Nikamkumbatia babaa kwa mahaba mazito, chezea penzi nini

"Nakupenda pia na nimekusamehe

"Kweli Ginah???"

"Yes Elton

Alifurai mno, Akaninyanyua taratibu mpaka kitandani. Usiku ule kwa mara ya tatu, tulipeana vizuri tu. Utamu mpaka kisogoni nawaambia na

uzuri ni kwamba Elton hata hakunikomoa kama siku ile nilivyo omba maji ya kunywa

Tulipotosheka tumekumbatiana zetu tukalala tukiwa

Maoni

You're not logged in


Tangazo - My true love mwanzo Hadi Mwisho
My true love mwanzo Hadi Mwisho
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* *14&15* Maneno ambayo Elijah alinambia yalinivunja moyo vibaya sana. Niliapa nikasema lazima nimulize Elton akirudi. Nilihitaji kujua sababu



yake ya kunibusu, maana matendo yake yote yalikuwa yanachanganya. Asubuhi ananipikia, ananijali, jioni anarudi anasema hanipendi Haikuniingia akilini

Basi Elton alirudi usiku sana kama saa saba usiku. Alipoingia ndani niliona kabisa amechoka na mood yake ni mbaya Lakini mimi sikujali

"wewe hujalala?” aliuliza kwa sauti ya ukali

"Nakusubin wewe, nataka kukuuliza kitu

"Kitu gani unataka kujua ambacho kinafanya usilale mpaka sasa ivi?"

"Mbona ulini-kiss asubuhi? Na mbona unajifanya unanijali wakati wewe mwenyewe unamwambia Elijah hunipendi? Unanichanganya. Nataka nijue hisia zako ni zipi hasal

Elton Alinitazama kwa sekunde chache kisha ghafla akaanza kucheka. Kicheko kile cha

dharau

"Hahaha wait...unajua wewe ni mjinga sana?

Kwa sababu tu niliku-kiss na kukujali kidogo...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/afande-nilegezee-kamba-14-15-maneno-ambayo-elijah-alinambia-yalinivunja-moyo-vibaya-sana-niliapa-nik

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending πŸ“ Follow the ommy khan Tanzania channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VbCg0JyFsn0hCN1ByD44

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi afande-nilegezee-kamba
 *AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫*    *19&20*  FINAL  Kwa takribani masaa mawili tuliyatumia njiani mpaka kufika tulipokua tunaenda. Apo kwenye
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* *19&20* FINAL Kwa takribani masaa mawili tuliyatumia njiani mpaka kufika tulipokua tunaenda. Apo kwenye
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* 17 -- 18 Chapter 17  Mapenzi yangu na Elton yalikuwa mazuri kupita maelezo. Nilifurahia kila dakika niliyoitumia naye. Kila kukicha tulikuwa tunazidi kuwa karibu zaidi
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* 17 -- 18 Chapter 17 Mapenzi yangu na Elton yalikuwa mazuri kupita maelezo. Nilifurahia kila dakika niliyoitumia naye. Kila kukicha tulikuwa tunazidi kuwa karibu zaidi
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* Chapter 12  Baada ya kunipeleka chumbani kwake, Elton alinilaza kitandani, akafunika na blanketi kisha akatoka nje. Dakika zile zile alirudi na bakuli la maji moto...
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* Chapter 12 Baada ya kunipeleka chumbani kwake, Elton alinilaza kitandani, akafunika na blanketi kisha akatoka nje. Dakika zile zile alirudi na bakuli la maji moto...
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* Chapter 13  Ile busu lilifanya tujihisi tupo kwenye dunia nyingine kwa dakika tano hivi hatukuwa sisi nikajiuliza, "mbona naenjoy hii kitu?"
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* Chapter 13 Ile busu lilifanya tujihisi tupo kwenye dunia nyingine kwa dakika tano hivi hatukuwa sisi nikajiuliza, "mbona naenjoy hii kitu?"
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* *SEHEMU YA KUMI NA SITA*  Asubuhi tuliamka wote, tukicheza na mito kama watoto. Elton alikuwa ananikimbiza chumbani na kila aliponikamata alinikumbatia na kunibusu
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* *SEHEMU YA KUMI NA SITA* Asubuhi tuliamka wote, tukicheza na mito kama watoto. Elton alikuwa ananikimbiza chumbani na kila aliponikamata alinikumbatia na kunibusu
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫*  Chapter 9  Elton alikuja jikoni pale nilipokuwa nimekaa, Akanikamata mkono wangu kwa nguvu, akaniambia kwa hasira
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* Chapter 9 Elton alikuja jikoni pale nilipokuwa nimekaa, Akanikamata mkono wangu kwa nguvu, akaniambia kwa hasira
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* Chapter 8  Nilikumbuka jinsi chai inavyopikwa, nikadhani labda kahawa nayo ni hivyohivyo
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* Chapter 8 Nilikumbuka jinsi chai inavyopikwa, nikadhani labda kahawa nayo ni hivyohivyo
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*  Ile simu ya Siku ya kuripoti kituo cha polisi ikafika. Nilipaswa kwenda peke yangu, ila Elijah akaniambia atanipa kwa gari
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Ile simu ya Siku ya kuripoti kituo cha polisi ikafika. Nilipaswa kwenda peke yangu, ila Elijah akaniambia atanipa kwa gari
_* *AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫*   Chapter 7  Siku hiyo ilikuwa ngumu sana, yani hata sijui nilikuwa nafanya nini. Nilisimama tu pale kwa dakika tano nikiwaza "Sasa hii...
_* *AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* Chapter 7 Siku hiyo ilikuwa ngumu sana, yani hata sijui nilikuwa nafanya nini. Nilisimama tu pale kwa dakika tano nikiwaza "Sasa hii...
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😫😫πŸ₯±* *1-5* * *SEHEMU YA KWANZA*  Ilikua kama wiki mbili zimepita tangu nirudi kutoka Canada. Nililazimishwa kurudi nyumbani kwa sababu baba aligundua kule sikusoma kabisa. Nilikuwa...
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😫😫πŸ₯±* *1-5* * *SEHEMU YA KWANZA* Ilikua kama wiki mbili zimepita tangu nirudi kutoka Canada. Nililazimishwa kurudi nyumbani kwa sababu baba aligundua kule sikusoma kabisa. Nilikuwa...
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* *SEHEMU YA SITA*  Kabla hata sijamjibu kitu, akanirukia na kuanza kunishika shika hadi Mwili wangu ukaanza kulegea.
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* *SEHEMU YA SITA* Kabla hata sijamjibu kitu, akanirukia na kuanza kunishika shika hadi Mwili wangu ukaanza kulegea.
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE

NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE

352
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15

241
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14

163
πŸ’‹ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO πŸ’‹ 18

πŸ’‹ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO πŸ’‹ 18

101
Kinachomtisha Mgosi ni kuwa Edna Lema anawachezaji walioonekana wa kawaida Simba

Kinachomtisha Mgosi ni kuwa Edna Lema anawachezaji walioonekana wa kawaida Simba

8

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

12.05K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.73K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.92K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.68K
MY WANGU❀️ sehemu ya 108

MY WANGU❀️ sehemu ya 108

3.12K
MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

3.04K
MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

2.91K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.88K
MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

2.78K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.72K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE
@majario LIVE

:141 Nikamwambia kwa ujumbe β€œBoss ni usiku sana, nenda nyumbani, tutaongea kesho naomba nipumzike.” Akanijibu β€œsitaondoka hapa mpaka uje kunisikiliza.” Nikamuonyesha Dorice, Dorice akasema β€œkamsikilize Labda ni muhimu.” Nikamwambia Dorice β€œkusema kweli mimi roho...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Simu ilikatwa,nilichanganyikiwa,iv nimeskia kweli au ni mawenge yangu?keanu ananisaliti?yani maneno yake makavu yote aliyoniambia hayakua na maana sikuyajali kabisa nilijali mwanamke alieongea.nikasema hapana ngoja,nikapiga simu iliita ikakatwa,nilipiga tena ikakatwa,nikapiga...

Kinachomtisha Mgosi ni kuwa Edna Lema anawachezaji walioonekana wa kawaida Simba Post Mpya
Kinachomtisha Mgosi ni kuwa Edna Lema anawachezaji walioonekana wa kawaida Simba
@majario LIVE

ila sasa wapo kwenye kiwango cha hali ya juu kiasi cha baadhi kuitwa timu zao za taifa. Diana Mnally Ritticia Nabbosa Precious Christopher Wincate Kaari Aisha Djafar Edna Lema...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Mmmh nilihisi utumbo unacheza, kwa nn haruhusiwi ndoa sasa? Au ameoa? Nilijiuliza sana, keanu akasema sijakuelewa kwa nn siruhusiwi kuoa sasa? Akasema kuna mashart katika kila kanisa ili...

πŸ’‹ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO πŸ’‹ 18 Post Mpya
πŸ’‹ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO πŸ’‹ 18
@majario LIVE

Mida ya jioni vipindi vilipoisha tuliongozana na Glad hadi kwa kaka yake ilikuwa ni saa kumi na moja za jioni hivyo alikuwa kasharudi toka kazini tulimkuta nyumbani 🏑. Karibuni...

CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10 Post Mpya
CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10
@majario LIVE

SEHEMU YA 08 "Kwanza haoni ajabu kukufukuza,na akisema hakutaki ujue hakuna was kukutetea hata mama hataongea .... kwaiyo muangalie hivyo hivyo kauli yake moja tu inakuondoa........... Nicole aliposema hivyo nilimuogopa sana...

Iran rejects peace plan and mocks Trump Akhtar Makoii Post Mpya
Iran rejects peace plan and mocks Trump Akhtar Makoii
@mjukuu LIVE

Screengrab from video put out by Iranian state media Tasnim News of an Iranian missile with Trump's name on it, in response to the great gift from Iran Trump claimed...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE
@majario LIVE

:131 Nikawa natoa ile bahasha. Vile natoa, namuona Boss Yule anakuja. Ni wazi alisikia kengele au aliniona kwa juu. Nikasema kwa ndani β€œniondoke?” Ataona Kama namkimbia, Nikajikaza pale kusubiri. Basi kweli alifika,...

MFALME KIPOFU  27 Post Mpya
MFALME KIPOFU 27
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 27 (FINAL) Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Nawauliza Princess Nailet yupo wapi? alipotazama Pembeni hakuamini kuona mwili wa binti yake....... ENDELEA NAYO...... Mfalme Tengu alilia kama mtoto mdogo "Pole sana mfalme kwa kipindi kigumu unachopitia Prince...

MFALME KIPOFU  25 -- 26 Post Mpya
MFALME KIPOFU 25 -- 26
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 25 Whatsapp.............0748697173 ilipoishia sehemu iliyopita....... Maneno ya Lindiwe yalimfanya Princess Nailet kutabasamu nakutulia kuwaacha waongonzane watu watatu tu Malikia,Prince Yao na Amma mwenyewe kwenda kutafuta iyo dawa...... ENDELEA NAYO.......... Malikia andwaa aliongoza msafara wa...

MFALME KIPOFU  23 -- 24 Post Mpya
MFALME KIPOFU 23 -- 24
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 23 Whatsapp.............0748697173 ilipoishia sehemu iliyopita....... Maneno yale yalipenya kwenye masikio ya Amma na baadhi ya watu waliokuwa pale wakitazama tu badala ya kutoa msaada,Babaaaaa............ ENDELEA NAYO.......... "Baba amka",Amma alimwita baba yake, Aliye kuwa tayali amepoteza...

MFALME KIPOFU  21 -- 22 Post Mpya
MFALME KIPOFU 21 -- 22
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 21 Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Malikia alichanganyikiwa baada ya kusikia maneno yale ya dakitari Malikia aliita walinzi na ,kuwapa maagizo ya kuwakamata matabibu wote...... ENDELEA NAYO....... Walisubili pakuche msako uanze wa kuwakamata matabibu...

MFALME KIPOFU  19 -- 20 Post Mpya
MFALME KIPOFU 19 -- 20
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............19 Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita...... Ni mapenzi ya ajabu aliyokuwa nayo Princess Nailet kwa Yao licha ya kumfahamu kwa mda mfupi tu lakini aliteka sehemu kubwa ya moyo wake... ENDELEA NAYO....... Aliendelea na safari ya...

MFALME KIPOFU  17 -- 18 Post Mpya
MFALME KIPOFU 17 -- 18
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............17 Ilipoishia sehemu iliyopita...... Lindiwe alitege sikio vizuri na kweli alisikia sauti emu njoo huku alimvuta Prince Yao pembeni na kujificha sehemu ni ngumu kuonekana. Namu sura ya General haikutoka machoni mwake alimuona...

MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17 Post Mpya
MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17
@mjukuu LIVE

Ilipoishia sehemu iliyopita...... Asikari",Mfalme Tengu aliita kwa hasira "Nendeni mkawarudishe haraka" "Mfalme tayali wameshavuka mpaka" "Nimesema nendeni mkawarudishe" Waliondoka na kumuacha Mfalme akiendelea ..... SEHEMU YA 16 ENDELEA NAYO...... Waliondoka na kumuacha mfalme akiendelea kuongea na binti...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest