Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* *14&15*  Maneno ambayo Elijah alinambia yalinivunja moyo vibaya sana. Niliapa nikasema lazima nimulize Elton akirudi. Nilihitaji kujua sababu
Gonga94 Β· Stories

*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* *14&15* Maneno ambayo Elijah alinambia yalinivunja moyo vibaya sana. Niliapa nikasema lazima nimulize Elton akirudi. Nilihitaji kujua sababu

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


yake ya kunibusu, maana matendo yake yote yalikuwa yanachanganya. Asubuhi ananipikia, ananijali, jioni anarudi anasema hanipendi Haikuniingia akilini

Basi Elton alirudi usiku sana kama saa saba usiku. Alipoingia ndani niliona kabisa amechoka na mood yake ni mbaya Lakini mimi sikujali

"wewe hujalala?” aliuliza kwa sauti ya ukali

"Nakusubin wewe, nataka kukuuliza kitu

"Kitu gani unataka kujua ambacho kinafanya usilale mpaka sasa ivi?"

"Mbona ulini-kiss asubuhi? Na mbona unajifanya unanijali wakati wewe mwenyewe unamwambia Elijah hunipendi? Unanichanganya. Nataka nijue hisia zako ni zipi hasal

Elton Alinitazama kwa sekunde chache kisha ghafla akaanza kucheka. Kicheko kile cha

dharau

"Hahaha wait...unajua wewe ni mjinga sana?

Kwa sababu tu niliku-kiss na kukujali kidogo ukadhani nakupenda? Una akili kweli? Wewe ni

tapeli tu Gina. Usiwaze mambo ya kipumbavu, Nilichokifanya ni kwa sababu ulikuwa mgonjwa, si kwa sababu nakupenda. Simple like that

Maneno yake yaliniingia kama kisu moyoni Nilihisi maumivu, machozi yakaanza kunitoka bila kujizuia. Nikamwangalia nikiwa nimeumia sana

"Kwa hiyo ulinichezea kwa sababu nilikuwa mgonjwa? Unajua hiyo imeniumiza kiasi gani? usingefanya kitu kama hicho kama ulikuwa unajua kabisa huna hisia na mimil

"Sorry kwa ilol Ukimaliza mwezi wako hapa, utarudi kuendelea na maisha yako. Sina muda wa mapenzi

Akageuka na kwenda zake chumbani, akaniacha nimesimama pale kama mtu aliyepigwa radi

Nilijiona mjinga, Nilijiona nimejidhalilisha kwa kumpenda mtu ambaye hana hata chembe ya hisia kwangu. Nililia muda mrefu, mwishoni

nikaenda kulala stoo kama kawaida Nikiwa huko bado nalla, mlango wa stoo

ukafunguliwa polepole, allikuwa ni Elijah. Allona nalia macho yamevimba mpaka akaumia kaka wa watu

"Actually nimesikia kila kitu na sijapenda alivyokuambia. So Gina really unampenda. Elton??"

"Ndiyo

"Elton hakufal Please chochote unachohisi kwake, futa. Kile alichokufanyia leo ni kuonyesha wazi kuwa hana time na wewe. Utakua unaumia

kila siku please

"Nimekoma Elijah! Haitajirudia tena

"Ok Sikiliza, usilale kwenye sakafu tena. Daktari alisema hutakiwi kulala kwenye baridi. Twende ukalale chumbani kwangu"

"Wewe utalala wapi sasa?"

"mimi nitalala kwenye kochi, Usiogope

Nilisita kidogo lakini alivyoniambia kwa upole nikakubali. "Sawa, asante"

Nilisimama kwa unyonge kama mfiwa, tukaongozana mpaka chumbani kwake. Alinipisha nilale kitandani yeye akajitupa kwenye zake kwenye kochi.

kitu

kilichotokea

hata

hatukuongeleshana maana kila mtu aligeukia upande wake. lle naishia tu usingizini, tukasikia mlango unagongwa kwa pupa kama vile anaegonga ana hasira kali. Nilishtuka,

Hakuna

Nikamwangalia Elijah kwa macho ya hofu. Nilijua lazima awe Elton

Ila wala hata Elijah hakushtuka, ndo kwanza Alisimama taratibu akaenda kufungua mlango. Alipofungua tu mlango, Elton akamsukuma

pembeni kisha akaingia ndani kwa nguvu akiwa

kavimba kwa hasira kama kifaru

Si Akaniona nimekaa kitandani nimejiachia??. Nyle nyle nilishtukia nashikwaa mkono kwa nguvu alafu navutwa kama gogo. Elijah alijaribu kumzuia ila alimshindwa Elton.

Elton ana nguvu sana ndo maana hakuona shida kunikokota na mkono mmoja. Ndani ya sekunde tano alishanifikisha chumbani kwake na mlango.

kaufunga kwa funguo nikasema Leo nauliwa

"Kwa sababu nimekukataa umeamua kwenda kwa Elijah? Unadhani mimi ni mjinga aliuliza kwa hasira

"Hapana Nilienda kwa sababu alinambia nisilale sakafuni

"Kwa hiyo hukuona chumba kingine chochote ila chake? Umekuwa kipofu ghafla sio?"

"Unanielewa vibaya! Hatujafanya chochote. Na kwanini una hasira? Ulinambia mwenyewe. hunipendi, sasa wivu wa nini?"

"Oooh so unadhani nina wivu??? Labda nikukumbushe kuwa unaishi hapa kama mfanyakazi wangu, kila kitu chako kinanihusu so Sitaki drama Ginah!"

Nikasimama nikisema "Mimi sina muda na wewe. Maneno yako yameniumiza sana leo. Please niache, sitaki mambo ya kipuuzi

Nilitaka kutoka chumbani kwake na nilikua nishaufikia kabisa mlango ndo nikakumbuka alifunga mlango na ufunguo

"Elton nifungulie mlango niondoke"

"Hakuna kuondoka.....please usiondoke" alisogea nyuma yangu akanikumbatia kwa

nguvu.

Alishusha pumzi kidogo akaendelea kuongea am sorry kama nilikuumiza. Nilikuwa na hasira, sikutakiwa kusema vile

"Sasa Kwanini uliniumiza hivyo?"

"Hasira zilikua za kazini Ginah! Na pia sikutaka kuonekana kuwa nakupenda but acha nikuambie ukweli. nakupenda

Nilishtuka, Moyo wangu ukaanza kudunda haraka. Sikudhani kama ningewal kabisa kusikia maneno hayo kutoka kwake.

Aliendelea kuongea akasema "Nilianza kukupenda siku ya kwanza tulipokutana pale club, Ila nilikasirika kwa maneno yako, nikajikuta

nakuchukia na kuapa lazima nikulipizie. But mbali ya kukufanya yote niliyokufanyia still bado nilikupendal Hujui ni jinsi gani nilivyokua nakosa

usingizi kila nilipo kuumiza au kukaripia then ukaribu wako na Elijah ukazidi kunichanganya kabisa! Mamaa mimi nina wivu sana tena mnol

So please usiendelee kuniumiza utaniua Ginah"

Weeeh Nikamkumbatia babaa kwa mahaba mazito, chezea penzi nini

"Nakupenda pia na nimekusamehe

"Kweli Ginah???"

"Yes Elton

Alifurai mno, Akaninyanyua taratibu mpaka kitandani. Usiku ule kwa mara ya tatu, tulipeana vizuri tu. Utamu mpaka kisogoni nawaambia na

uzuri ni kwamba Elton hata hakunikomoa kama siku ile nilivyo omba maji ya kunywa

Tulipotosheka tumekumbatiana zetu tukalala tukiwa

Maoni

You're not logged in


Tangazo - from bangi to baby fully stories 1 to 21
from bangi to baby fully stories 1 to 21
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* *14&15* Maneno ambayo Elijah alinambia yalinivunja moyo vibaya sana. Niliapa nikasema lazima nimulize Elton akirudi. Nilihitaji kujua sababu



yake ya kunibusu, maana matendo yake yote yalikuwa yanachanganya. Asubuhi ananipikia, ananijali, jioni anarudi anasema hanipendi Haikuniingia akilini

Basi Elton alirudi usiku sana kama saa saba usiku. Alipoingia ndani niliona kabisa amechoka na mood yake ni mbaya Lakini mimi sikujali

"wewe hujalala?” aliuliza kwa sauti ya ukali

"Nakusubin wewe, nataka kukuuliza kitu

"Kitu gani unataka kujua ambacho kinafanya usilale mpaka sasa ivi?"

"Mbona ulini-kiss asubuhi? Na mbona unajifanya unanijali wakati wewe mwenyewe unamwambia Elijah hunipendi? Unanichanganya. Nataka nijue hisia zako ni zipi hasal

Elton Alinitazama kwa sekunde chache kisha ghafla akaanza kucheka. Kicheko kile cha

dharau

"Hahaha wait...unajua wewe ni mjinga sana?

Kwa sababu tu niliku-kiss na kukujali kidogo...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/afande-nilegezee-kamba-14-15-maneno-ambayo-elijah-alinambia-yalinivunja-moyo-vibaya-sana-niliapa-nik

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi afande-nilegezee-kamba
 *AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫*    *19&20*  FINAL  Kwa takribani masaa mawili tuliyatumia njiani mpaka kufika tulipokua tunaenda. Apo kwenye
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* *19&20* FINAL Kwa takribani masaa mawili tuliyatumia njiani mpaka kufika tulipokua tunaenda. Apo kwenye
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* 17 -- 18 Chapter 17  Mapenzi yangu na Elton yalikuwa mazuri kupita maelezo. Nilifurahia kila dakika niliyoitumia naye. Kila kukicha tulikuwa tunazidi kuwa karibu zaidi
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* 17 -- 18 Chapter 17 Mapenzi yangu na Elton yalikuwa mazuri kupita maelezo. Nilifurahia kila dakika niliyoitumia naye. Kila kukicha tulikuwa tunazidi kuwa karibu zaidi
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* Chapter 12  Baada ya kunipeleka chumbani kwake, Elton alinilaza kitandani, akafunika na blanketi kisha akatoka nje. Dakika zile zile alirudi na bakuli la maji moto...
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* Chapter 12 Baada ya kunipeleka chumbani kwake, Elton alinilaza kitandani, akafunika na blanketi kisha akatoka nje. Dakika zile zile alirudi na bakuli la maji moto...
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* Chapter 13  Ile busu lilifanya tujihisi tupo kwenye dunia nyingine kwa dakika tano hivi hatukuwa sisi nikajiuliza, "mbona naenjoy hii kitu?"
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* Chapter 13 Ile busu lilifanya tujihisi tupo kwenye dunia nyingine kwa dakika tano hivi hatukuwa sisi nikajiuliza, "mbona naenjoy hii kitu?"
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* *SEHEMU YA KUMI NA SITA*  Asubuhi tuliamka wote, tukicheza na mito kama watoto. Elton alikuwa ananikimbiza chumbani na kila aliponikamata alinikumbatia na kunibusu
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* *SEHEMU YA KUMI NA SITA* Asubuhi tuliamka wote, tukicheza na mito kama watoto. Elton alikuwa ananikimbiza chumbani na kila aliponikamata alinikumbatia na kunibusu
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫*  Chapter 9  Elton alikuja jikoni pale nilipokuwa nimekaa, Akanikamata mkono wangu kwa nguvu, akaniambia kwa hasira
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* Chapter 9 Elton alikuja jikoni pale nilipokuwa nimekaa, Akanikamata mkono wangu kwa nguvu, akaniambia kwa hasira
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* Chapter 8  Nilikumbuka jinsi chai inavyopikwa, nikadhani labda kahawa nayo ni hivyohivyo
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* Chapter 8 Nilikumbuka jinsi chai inavyopikwa, nikadhani labda kahawa nayo ni hivyohivyo
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*  Ile simu ya Siku ya kuripoti kituo cha polisi ikafika. Nilipaswa kwenda peke yangu, ila Elijah akaniambia atanipa kwa gari
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Ile simu ya Siku ya kuripoti kituo cha polisi ikafika. Nilipaswa kwenda peke yangu, ila Elijah akaniambia atanipa kwa gari
_* *AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫*   Chapter 7  Siku hiyo ilikuwa ngumu sana, yani hata sijui nilikuwa nafanya nini. Nilisimama tu pale kwa dakika tano nikiwaza "Sasa hii...
_* *AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* Chapter 7 Siku hiyo ilikuwa ngumu sana, yani hata sijui nilikuwa nafanya nini. Nilisimama tu pale kwa dakika tano nikiwaza "Sasa hii...
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* *SEHEMU YA SITA*  Kabla hata sijamjibu kitu, akanirukia na kuanza kunishika shika hadi Mwili wangu ukaanza kulegea.
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* *SEHEMU YA SITA* Kabla hata sijamjibu kitu, akanirukia na kuanza kunishika shika hadi Mwili wangu ukaanza kulegea.
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😫😫πŸ₯±* *1-5* * *SEHEMU YA KWANZA*  Ilikua kama wiki mbili zimepita tangu nirudi kutoka Canada. Nililazimishwa kurudi nyumbani kwa sababu baba aligundua kule sikusoma kabisa. Nilikuwa...
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😫😫πŸ₯±* *1-5* * *SEHEMU YA KWANZA* Ilikua kama wiki mbili zimepita tangu nirudi kutoka Canada. Nililazimishwa kurudi nyumbani kwa sababu baba aligundua kule sikusoma kabisa. Nilikuwa...
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*

851
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

608
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

533
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20

428
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

313
SHAMIRA sehemu ya 36&37

SHAMIRA sehemu ya 36&37

189
BLACK BUTTERFLY πŸ¦‹ 5

BLACK BUTTERFLY πŸ¦‹ 5

95
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example

3

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.5K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.26K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.76K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.22K
MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

2.66K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.62K
MY WANGU❀️ sehemu ya 108

MY WANGU❀️ sehemu ya 108

2.57K
MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

2.53K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.47K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tatu.  πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tatu. πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

2.46K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20
@majario LIVE

Nikasema zena kweli ,na wew unafeel kama vile ambavyo mm nafeel acha masihara basi, akanambia lakini millan ,mi wewe sikujuhi vizur, ndo mana nilikuwa nataka mda kwanza wa kukufahamu ,nisije...

BLACK BUTTERFLY πŸ¦‹ 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY πŸ¦‹ 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA β€œ Brayton..” Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa β€œ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?” Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
@majario LIVE

Yani ummy Alishangilia na kwambia aliimba nyimbo zote mpaka mama yake ndo alimnyamazisha, basi nikamwambia ummy aya mama yangu mzuri nimekuletea tv sasa uwe na amani sawa, akasema ndio...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*
@majario LIVE

Sikujua kam nililala pale mpaka asubuhi, tena nimelala kana kwamba pale ni nyumbani kwetu jamni nilikuja kushtuka tena baada ya kupigiwa simu, jamni si ndio naamka najikuta nipo kwenye chumba...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nilifika home nna hasira sana, nimechukia mnoo, yote sababu nilikuwa nimemmaind sana yule demu, yani nilimuona ana linga kinoma, nikasema bwana mi namkaushia kama.vp mana wanawake...

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*
@majario LIVE

Nikatulia kwanza na kumuangalia madam groly kisha nikamuuliza. "Unamaanisha nini unavyosema hauna Furaha na hii siku 7 Sijakuelewa kwakweli nakumbuka ulikuwa ukitsubilia hi siku kwa hamu sana" Madam groly akacheka sana kisha akasogea...

SHAMIRA sehemu ya 36&37 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 36&37
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mwanaume akaondoka zake na mimi ndo nikashika simu sasa .nikampigia aisha kumpa mchapo.nikasema shoga nusu niachwe mwenzio.nimeomba msamaha kama chizi.aisha akasema mh tatizo hamadi...

BLACK BUTTERFLY πŸ¦‹ 4 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY πŸ¦‹ 4
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Brayton akiwa kwenye gari alijaribuu kupiga simu Hospitali ili maandilizi mapema kwaajili ya mgonjwa anae kuja nae muda huu. Hospitali nayo hakufanya makosa tayari waliandaa kitanda...

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 21 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 21
@majario LIVE

Nikamuuliza "we umejuana vipi na D??" "Yule D ni mdogo wake na Boss wangu, ni binamu yake kitu kama hicho, mie sijawahi hata kuwa na mazoea nae kabisaaa ila kuna issue...

Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas Post Mpya
Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas
@majario LIVE

really make you believe in modern-day love stories. Different countries, different cultures, totally different careers β€” but somehow it all just fits perfectly. What started with a simple conversation...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
@majario LIVE

Muda huo Mwenyewe nilikua Nacheza kwa Furaha zote, lakini kitendo cha kumuona madam groly killharibu kila kitu, niliona kabisa birthday yangu inaenda kuharibika Maana huyu mama hana jema ata kidogo. "NAKUJA Alizungumza...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest