Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* Chapter 8  Nilikumbuka jinsi chai inavyopikwa, nikadhani labda kahawa nayo ni hivyohivyo
Gonga94 · Stories

*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* Chapter 8 Nilikumbuka jinsi chai inavyopikwa, nikadhani labda kahawa nayo ni hivyohivyo

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
. Nikaweka maji kwenye sufuria, nikatia sukari, nikatia kapakti kadogo ka ile kahawa nyeusi kisha nikachemsha pamoja. Baada ya muda kidogo, kila kitu kikawa tayari. Nikaiweka kwenye kikombe chake maalum nikalpeleka mezani.

Basi Elton alivyoshuka chini akakuta kikombe mezani cha kahawa akafurahi. Akaenda moja kwa moja mezani akaanza kunywa lakini ilipofika kwenye koo Alitema kisha akapiga kelele

"We tapeli! Njoo hapa haraka!"

Niliposikia tu ile sauti ya hasira, nikajua nimeharibu. Nikakimbia hadi dining, nikamkuta amekaa akiniangalia vibaya.

"Una akili kweli? Hivi ndio unavyopika black coffee?"

Sikusema kitu nilinyamaza

"Kwa nini umeweka sukari ndani? Na tena umeweka nyingi hivi?"

Sio uongo nilitia sukari nyingi maana huwa napenda sana vitu venye sukari sukari, nikadhani na yeye anapenda hivyohivyo, Kumbe hapana ndo niliharibu kabisa. Ikawa sio black coffee tena balli maji ya asali

"Am sorry, pole sikujua

Akanitazama kimya kwa sekunde chache, akavuta pumzi kama mtu anayejizuia asinirarue.

"Leo cousin wangu anakuja, Nataka upike chakula cha mchana. Anapenda mihogo ya nazi. Na pia utatengeneza mchuzi wa kuku, Umenielewa?"

Nikajibu "Ndiyo, nimekuelewa"

"Kama ukiharibu tena na mcharia, utajua kwanini watu huniogopal Akaondoka zake, kidogo Nilishusha pumzi kuwa Angalau hakunipa adhabu.

Majira ya mchana mchana Nikajitayarisha kupika. Nikaenda kwenye fridge nikachukua kuku na viungo, lla tatizo kubwa sikujua kupika chochote...

Najua mngesema ni google, lakini mimi sikuwa na bando wala hela ya kununua bando. Mtu pekee ambaye angeweza kunisaidia alikuwa mlinzi, lakini Elton alikuwa amemtuma mjini. Nikasema basi, sina namna ngoja nijaribu tu

Nikaosha kuku nikamuweka pembeni, nikakata nyanya, vitunguu na pilipili, nikaweka pamoja. Vyote nikavitia kwenye sufuria na maji ya kutosha. Apo kwenye maji ya kutosha nilitia maji kweli kweli.

Nikaacha vichemkie weee, vilipokaribia kuiva, nikaweka chumvi ila nilisahau kuonja kama ilikolea.

Baada ya hapo, nikaanza maandalizi ya mihogo

ya nazi. Nilikata mihogo kwa jinsi nilivyojua mimi, nikaosha kisha nikachemsha pamoja na nazi.

Ndani ya kama nusu saa kila kitu kilikuwa kimeiva.

Nikapanga mezani vizuri kabisa, kama vile wafanyakazi walivyokua wanaandaa meza nyumbani kwetu. Meza ilikuwa smart, chakula kinanukia vizuri. Nikaamini labda leo sitahaharibu chochote.

Saa nane hivi Elton akarudi na cousin wake. Nilivyowaona nikashangaa kumbe cousin si mwanamke, ni mwanaume. Jamaa anaitwa Elijah.

Duh, mzuri balaa. Alivaa smart, anatabasamu

mda wote na anaongea vizuri tofauti kabisa na kisirani Elton. Alipoingia ndani akanitazama, akatabasamu na kunisalimia. Ila Elton yeye alinipita tu kama hanioni viles.

Wakaingia sebuleni wakakaa kisha nikaagizwa nipeleke wine. Nikaenda jikoni ambako kuna kakabati kadogo ka wine. Ndani ya kabati kulikua na chupa moja ipo nusu tena ni wine pendwa ya Elton na ndiyo hiyo niliagizwa.

Bhana wee ile nimeshaitoa tu kabatini, sijui ilikuaje nikateleza niikadondosha ile chupa ya wine chini, paaaaah ikavunjika! Yani ule mlio wa chupa kuvunjika uliwafanya Elton na binamu yake wote waje jikoni spidi spidi.

Elton alifika wa kwanza akiwa na hasira.

"Hii ni nini sasa? We mikono yako haina nguvu? Kila kitu lazima uvuruge?"

Nikajibu kwa sauti ya woga "Sorry.......niliteleza tu, halkuwa makusudi"

"Kila dakika wewe ni makosa tu unafanyal Kila siku upuuzi mpyal We ni mwanamke wa aina gani? Lakini kwenye utapeli ndo wa kwanza"

Nikanyamaza tu, machozi yananilenga, ikabidi Elijah ajaribu kumtuliza

"Bro, achana naye. Ameomba msamaha. Ni ajali tu"

Elton akamjibu kwa hasira "We kaa mbali na huyu tapeli. Mimi ndo ninae mjua vizuri"

Elijah akasema kwa upole "Sawa, lakini usimkasirikie sana"

Elton akatulia kidogo kisha akaondoka zake. Elijah nae akamfuata sebuleni.

"Bro usichukie bhana"

"Its okay Elijah! Mda umeenda ngoja tule kwanza Alissema Elton akivuta akae huku Elijah akifungua hotpot

Ajabu ni kwamba Elijah alipofungua hotpot alianza kucheka vibaya mno. Elton akamuuliza, "Kwani nini kinachekesha?"

"Bro, hii lazima ulone mwenyewe!"

"Nini?" Elton akasimama kuangalia kwenye hotpot, alichokiona kilimfanya acheke kidogo badala ya kukasirika.

Mnajua nilivyopika ile mihogo Nilitia nazi nzima? Yani vile vile na vifuu vyake hata sikuvunja wala kukuna. Nikaacha zichemkie huko na ile mihago

Alafu kwenye hotpot ya kuku, ilikuwa kama supu ya maji, kuku anaelea juu juu kama anaogelea.

Elton akasema "Unaona sasa kwa nini mimi ni mkali kwake? Hii ndio kazi anafanya! Hebu fikiria ningekuwa nimeleta wageni muhimu leo, ningeumbuka namna gani? Lakini kabla sijaumbuka, lazima nimfundishe adabu!"

Je nini kitaendelea?

Nakuja

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Mimi sikuachi fully stories
Mimi sikuachi fully stories
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* Chapter 8 Nilikumbuka jinsi chai inavyopikwa, nikadhani labda kahawa nayo ni hivyohivyo

. Nikaweka maji kwenye sufuria, nikatia sukari, nikatia kapakti kadogo ka ile kahawa nyeusi kisha nikachemsha pamoja. Baada ya muda kidogo, kila kitu kikawa tayari. Nikaiweka kwenye kikombe chake maalum nikalpeleka mezani.

Basi Elton alivyoshuka chini akakuta kikombe mezani cha kahawa akafurahi. Akaenda moja kwa moja mezani akaanza kunywa lakini ilipofika kwenye koo Alitema kisha akapiga kelele

"We tapeli! Njoo hapa haraka!"

Niliposikia tu ile sauti ya hasira, nikajua nimeharibu. Nikakimbia hadi dining, nikamkuta amekaa akiniangalia vibaya.

"Una akili kweli? Hivi ndio unavyopika black coffee?"

Sikusema kitu nilinyamaza

"Kwa nini umeweka sukari ndani? Na tena umeweka nyingi hivi?"

Sio uongo nilitia sukari nyingi maana huwa napenda sana...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/afande-nilegezee-kamba-chapter-8-nilikumbuka-jinsi-chai-inavyopikwa-nikadhani-labda-kahawa-nayo-ni-h

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi afande-nilegezee-kamba-chapter
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* Chapter 12  Baada ya kunipeleka chumbani kwake, Elton alinilaza kitandani, akafunika na blanketi kisha akatoka nje. Dakika zile zile alirudi na bakuli la maji moto...
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* Chapter 12 Baada ya kunipeleka chumbani kwake, Elton alinilaza kitandani, akafunika na blanketi kisha akatoka nje. Dakika zile zile alirudi na bakuli la maji moto...
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* Chapter 13  Ile busu lilifanya tujihisi tupo kwenye dunia nyingine kwa dakika tano hivi hatukuwa sisi nikajiuliza, "mbona naenjoy hii kitu?"
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* Chapter 13 Ile busu lilifanya tujihisi tupo kwenye dunia nyingine kwa dakika tano hivi hatukuwa sisi nikajiuliza, "mbona naenjoy hii kitu?"
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫*  Chapter 9  Elton alikuja jikoni pale nilipokuwa nimekaa, Akanikamata mkono wangu kwa nguvu, akaniambia kwa hasira
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* Chapter 9 Elton alikuja jikoni pale nilipokuwa nimekaa, Akanikamata mkono wangu kwa nguvu, akaniambia kwa hasira
_* *AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫*   Chapter 7  Siku hiyo ilikuwa ngumu sana, yani hata sijui nilikuwa nafanya nini. Nilisimama tu pale kwa dakika tano nikiwaza "Sasa hii...
_* *AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* Chapter 7 Siku hiyo ilikuwa ngumu sana, yani hata sijui nilikuwa nafanya nini. Nilisimama tu pale kwa dakika tano nikiwaza "Sasa hii...
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*

851
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

607
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

533
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20

426
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

312
SHAMIRA sehemu ya 36&37

SHAMIRA sehemu ya 36&37

189
BLACK BUTTERFLY 🦋 5

BLACK BUTTERFLY 🦋 5

95
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example

3

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.5K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.26K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.76K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.22K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.66K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.62K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.57K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.53K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.47K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.46K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20
@majario LIVE

Nikasema zena kweli ,na wew unafeel kama vile ambavyo mm nafeel acha masihara basi, akanambia lakini millan ,mi wewe sikujuhi vizur, ndo mana nilikuwa nataka mda kwanza wa kukufahamu ,nisije...

BLACK BUTTERFLY 🦋 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA “ Brayton..” Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa “ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?” Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
@majario LIVE

Yani ummy Alishangilia na kwambia aliimba nyimbo zote mpaka mama yake ndo alimnyamazisha, basi nikamwambia ummy aya mama yangu mzuri nimekuletea tv sasa uwe na amani sawa, akasema ndio...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*
@majario LIVE

Sikujua kam nililala pale mpaka asubuhi, tena nimelala kana kwamba pale ni nyumbani kwetu jamni nilikuja kushtuka tena baada ya kupigiwa simu, jamni si ndio naamka najikuta nipo kwenye chumba...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nilifika home nna hasira sana, nimechukia mnoo, yote sababu nilikuwa nimemmaind sana yule demu, yani nilimuona ana linga kinoma, nikasema bwana mi namkaushia kama.vp mana wanawake...

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*
@majario LIVE

Nikatulia kwanza na kumuangalia madam groly kisha nikamuuliza. "Unamaanisha nini unavyosema hauna Furaha na hii siku 7 Sijakuelewa kwakweli nakumbuka ulikuwa ukitsubilia hi siku kwa hamu sana" Madam groly akacheka sana kisha akasogea...

SHAMIRA sehemu ya 36&37 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 36&37
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mwanaume akaondoka zake na mimi ndo nikashika simu sasa .nikampigia aisha kumpa mchapo.nikasema shoga nusu niachwe mwenzio.nimeomba msamaha kama chizi.aisha akasema mh tatizo hamadi...

BLACK BUTTERFLY 🦋 4 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 4
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Brayton akiwa kwenye gari alijaribuu kupiga simu Hospitali ili maandilizi mapema kwaajili ya mgonjwa anae kuja nae muda huu. Hospitali nayo hakufanya makosa tayari waliandaa kitanda...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21
@majario LIVE

Nikamuuliza "we umejuana vipi na D??" "Yule D ni mdogo wake na Boss wangu, ni binamu yake kitu kama hicho, mie sijawahi hata kuwa na mazoea nae kabisaaa ila kuna issue...

Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas Post Mpya
Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas
@majario LIVE

really make you believe in modern-day love stories. Different countries, different cultures, totally different careers — but somehow it all just fits perfectly. What started with a simple conversation...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
@majario LIVE

Muda huo Mwenyewe nilikua Nacheza kwa Furaha zote, lakini kitendo cha kumuona madam groly killharibu kila kitu, niliona kabisa birthday yangu inaenda kuharibika Maana huyu mama hana jema ata kidogo. "NAKUJA Alizungumza...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest