Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* Chapter 13  Ile busu lilifanya tujihisi tupo kwenye dunia nyingine kwa dakika tano hivi hatukuwa sisi nikajiuliza, "mbona naenjoy hii kitu?"
Gonga94 · Stories

*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* Chapter 13 Ile busu lilifanya tujihisi tupo kwenye dunia nyingine kwa dakika tano hivi hatukuwa sisi nikajiuliza, "mbona naenjoy hii kitu?"

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Huyu ni mwanaume aliyenitesa, aliyenifanya nilie kila dakika, lakini eti naenjoy kiss lake. Na cha ajabu zaidi, nilitamani aendelee ila jamaa aliniachia

"Nenda kalale tena, mimi naenda kukutengenezea breakfast"

Nikamuuliza "Breakfast?"

"Yes breakfast. Subiri kidogo, narudi

Mimi nikajipumzisha tena kitandani kama

alivyonambia kisha yeye akatoka kwenda jikoni

kuandaa breakfast Nilidhani utani lakini Baada ya muda kidogo, alirudi akiwa na tray mkononi. Akanigusa bega kidogo kuniasha niamke

"Amka, ule"

Nilipoangalia kwenye tray, niliona mayai, pancakes, sausage, chai ya maziwa na juisi pembeni. Nikamwangalia pasipo kummaliza

"Mbona umeandaa vyote hivi?"

"Kwa sababu wewe ni mgonjwa, unapaswa kuta vizun. Ukimaliza kula tunaenda hospitali

"Kwani Hauendi kazini leo?"

"Nol nabaki home, nataka kuhakikisha uko

sawa

Nilijiskia vizuri si uongo basi Nikala nikiwa najisikia aibu kidogo kwa sababu alikuwa ananiangalia muda wote. Nilipomaliza kula akachukua tray akaenda nalo jikoni.

Kwakua alisema tutaenda hosppitali, Mimi nikaingia bafuni kuoga. Nilivaa kagauni kangu keupe hako kanani kaa hatari Utadhani si hospitali tulikua tu tunaenda. Hadi Elijah alipo tuona alituangalia pasipo kutumaliza

"Mnaenda wapi nyinyi wawili?" Aliuliza

Elton akajibu haraka "Namsindikiza Gina hospitali

"Hiyo ndo poa. Naweza kuja nany?"

Elton akamkatia "nol tutarudi mda sio mrefu"

"OK"

Niliona wazi Elijah hakupenda majibu yale, kama

vile alitaka twende wote lakini Elton hakuwa na hiyo mood. Basi hao tukasepa zetu kwenda hospitali. Njiani tulikua kimya ila Elton kila

dakika aligeuka kunitazama kama nipo sawa

Na Tulipofika hospitali, alinifungulia mlango nikashuka kwa madaha kama vile Mrs Elton mwenyewe. Alafu uzuri Elton alikua anamfahamu daktari mmoja pale, kwaiyo

mambo yalikwenda chap chap

Elton Hakutaka kabisa nikae kwenye foleni, eti aliogopa naweza kuzidiwa. Hata kwa dokta tuliingia pamoja! Alikaa karibu yangu kana kwamba hakuta niwe peke yangu

Baada ya maelezo yangu, daktari akaniambia

niende maabara kupima damu na mkojo. Hata huko nako Elton alinisindikiza. Nilijisikia albu sana kwa sababu watu walikuwa wanatutazama

kama vile sisi ni mke wa mume wakati ukweli

tullujua wenyewe. Yaani hata kwenda chooni, alikuwa nyuma yangu Nikamgeukia

nikamuuliza,

"Mbona unanifuata kila sehemu?"

"Na kama nikikuacha ukatoroka je? Kumbuka bado wewe ni mtuhumiwa

Nikacheka kwa upole "Kama ningetaka kutoroka

ningeshatoroka toka siku ya kwanza. Nimebaki kwa sababu nataka kumaliza makubaliano yetu

"Sikuamini kirahisi hivyo. Nitakufuata kila. unapokwenda

Na kweli alifanya hivyo. Alikaa nami mpaka majibu yalipotoka. Daktari akaniambia nina typhoid, na nimekuwa kwenye baridi muda

mrefu. Akanishauri nile vizuri, nilale kwa muda wa kutosha na nizingatie dawa. Kabla sijasema kitu Elton akawai kujibu kabla yangu

"Usijali daktari, Nitahakikisha anameza dawa kwa muda unaotakiwa"

Ndipo Daktari akaridhika na majibu ya Elton,

akaniandikia dawa tukaenda kuzichukua famasi

Nikadhani baada ya pale sasa tungeelekea nyumbani, wala haikua ivyo. Elton alinipeleka kwenye mall kubwa akadai eti anataka aninunulie mahitaji yangu.

Sikuamini mnajua?? Mimi nilibaki namshangaa Jinsi alivyo chagua viatu, saa, pafyumu hata kuna gauni moja jekundu ambalo lilikuwa zuri sana akaninunulia. Duuh! Nikasema Elton ni mzima

kwell??! Mbona kama naota

Na Baada ya pale tukaenda kwenye mgahawa Akaninunulia chakula kizuri sana. Tukakaa, tukala, ila hakua hata akiongea. Angekua Elijah pale angesha ongea mpaka kero. Ila Elton yeye sio mtu wa stori sana lakini hamuwezi amini

hata sikujalil Nilipenda alivyo

Tulipomaliza kula ndo tukarudi nyumbani,

tukakuta Elijah ameandaa msosi mezani. Kwalyo mchana mzima alikua akiandaa chakula cha mgonjwa

"Yooh mmechelewal Nimepika hadi chakula cha mchana aka smile

Nilipoangalia mezani kweli nikaona kuna hotpot mbili kubwa pamoja na sahani Hakua akitania kakaa wa watu. Bahati mbaya sisi tayari tulikuwa tumeshiba

Elton akatabasamu "Asante bro, lakini tumekula huko nje"

"Basi sawa, nitakula mwenyewe" Elijah Akaenda mezani akajipakulia chakula na kuanza kula mwenyewe.

Dakika iyo iyo Elton alipokea simu ya dharura kutoka kazini, ikabidi aondoke haraka. Kabla hajaenda aliniambia nisisahau kumeza dawa,

nikamjibu sawa

Baada ya Elton kuondoka ndo nikapata nafasi ya kuzungumza na Elijah maana Elton hakutaka

niongee naye kabisa, wivu ulimsumbua. Nikasogea taratibu pale mezani nikakaa

pembeni yake.

"Sorry, hatukujua kama umepika"

"Its okay! sina shida"

Akanitazama kwa muda kisha akauliza "Unaendeleaje sasa?"

"Niko sawa, ingawa mwili unauma uma bado

"Wewe na Elton kuna nini kinaendelea? Maana tabia yake imebadilika sana kwako"

"Sijui Tangu nimeanza kuumwa, amekuwa

tofauti. Ananijali, ananipikia, ananunua nguo, leo tumeenda hadi luch pamoja. Sijui nini kinaendelea, lakini am happy

"Chunga sana Gina. Elton si mtu wa kuaminika. Anaweza kukuonyesha anajali kwa sababu tu

unaumwa.. Usianze kufikiria kuwa anakupenda, maana hakupendi

"Unamaanisha nini? Elijah

akacheka kidogo "Ameshasema mwenyewe kuwa hakupendi! Kwalyo

alichokufanyia chochote kile leo nikwasababu unaumwa na sio vinginevyo

Nilihist moyo wangu unaniuma sio mchezo Nilishaanza kumpenda Elton, na life busu la

asubuhi ndo lilibadilisha kila kitu. Nikajiuliza kama hanipendi, mbona alinibusu? Mbona ananijali hivi? Nilijisikia vibaya sana karibu

nianze kulia

Unajua nini kilitokea baada ya hapo? Subiri kidogo nakuja

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Mimi sikuachi fully stories
Mimi sikuachi fully stories
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* Chapter 13 Ile busu lilifanya tujihisi tupo kwenye dunia nyingine kwa dakika tano hivi hatukuwa sisi nikajiuliza, "mbona naenjoy hii kitu?"



Huyu ni mwanaume aliyenitesa, aliyenifanya nilie kila dakika, lakini eti naenjoy kiss lake. Na cha ajabu zaidi, nilitamani aendelee ila jamaa aliniachia

"Nenda kalale tena, mimi naenda kukutengenezea breakfast"

Nikamuuliza "Breakfast?"

"Yes breakfast. Subiri kidogo, narudi

Mimi nikajipumzisha tena kitandani kama

alivyonambia kisha yeye akatoka kwenda jikoni

kuandaa breakfast Nilidhani utani lakini Baada ya muda kidogo, alirudi akiwa na tray mkononi. Akanigusa bega kidogo kuniasha niamke

"Amka, ule"

Nilipoangalia kwenye tray, niliona mayai, pancakes, sausage, chai ya maziwa na juisi pembeni. Nikamwangalia pasipo kummaliza

"Mbona umeandaa vyote hivi?"

"Kwa sababu wewe ni mgonjwa, unapaswa kuta vizun. Ukimaliza kula tunaenda hospitali

"Kwani Hauendi kazini leo?"

"Nol nabaki home, nataka kuhakikisha uko

sawa

Nilijiskia vizuri si...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/afande-nilegezee-kamba-chapter-13-ile-busu-lilifanya-tujihisi-tupo-kwenye-dunia-nyingine-kwa-dakika-

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi afande-nilegezee-kamba-chapter
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* Chapter 12  Baada ya kunipeleka chumbani kwake, Elton alinilaza kitandani, akafunika na blanketi kisha akatoka nje. Dakika zile zile alirudi na bakuli la maji moto...
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* Chapter 12 Baada ya kunipeleka chumbani kwake, Elton alinilaza kitandani, akafunika na blanketi kisha akatoka nje. Dakika zile zile alirudi na bakuli la maji moto...
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫*  Chapter 9  Elton alikuja jikoni pale nilipokuwa nimekaa, Akanikamata mkono wangu kwa nguvu, akaniambia kwa hasira
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* Chapter 9 Elton alikuja jikoni pale nilipokuwa nimekaa, Akanikamata mkono wangu kwa nguvu, akaniambia kwa hasira
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* Chapter 8  Nilikumbuka jinsi chai inavyopikwa, nikadhani labda kahawa nayo ni hivyohivyo
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* Chapter 8 Nilikumbuka jinsi chai inavyopikwa, nikadhani labda kahawa nayo ni hivyohivyo
_* *AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫*   Chapter 7  Siku hiyo ilikuwa ngumu sana, yani hata sijui nilikuwa nafanya nini. Nilisimama tu pale kwa dakika tano nikiwaza "Sasa hii...
_* *AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* Chapter 7 Siku hiyo ilikuwa ngumu sana, yani hata sijui nilikuwa nafanya nini. Nilisimama tu pale kwa dakika tano nikiwaza "Sasa hii...
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*

797
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

571
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

486
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20

335
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

297
SHAMIRA sehemu ya 36&37

SHAMIRA sehemu ya 36&37

186
BLACK BUTTERFLY 🦋 5

BLACK BUTTERFLY 🦋 5

90
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example

3

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.5K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.76K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.22K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.65K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.62K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.57K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.52K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.46K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.46K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20
@majario LIVE

Nikasema zena kweli ,na wew unafeel kama vile ambavyo mm nafeel acha masihara basi, akanambia lakini millan ,mi wewe sikujuhi vizur, ndo mana nilikuwa nataka mda kwanza wa kukufahamu ,nisije...

BLACK BUTTERFLY 🦋 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA “ Brayton..” Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa “ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?” Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
@majario LIVE

Yani ummy Alishangilia na kwambia aliimba nyimbo zote mpaka mama yake ndo alimnyamazisha, basi nikamwambia ummy aya mama yangu mzuri nimekuletea tv sasa uwe na amani sawa, akasema ndio...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*
@majario LIVE

Sikujua kam nililala pale mpaka asubuhi, tena nimelala kana kwamba pale ni nyumbani kwetu jamni nilikuja kushtuka tena baada ya kupigiwa simu, jamni si ndio naamka najikuta nipo kwenye chumba...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nilifika home nna hasira sana, nimechukia mnoo, yote sababu nilikuwa nimemmaind sana yule demu, yani nilimuona ana linga kinoma, nikasema bwana mi namkaushia kama.vp mana wanawake...

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*
@majario LIVE

Nikatulia kwanza na kumuangalia madam groly kisha nikamuuliza. "Unamaanisha nini unavyosema hauna Furaha na hii siku 7 Sijakuelewa kwakweli nakumbuka ulikuwa ukitsubilia hi siku kwa hamu sana" Madam groly akacheka sana kisha akasogea...

SHAMIRA sehemu ya 36&37 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 36&37
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mwanaume akaondoka zake na mimi ndo nikashika simu sasa .nikampigia aisha kumpa mchapo.nikasema shoga nusu niachwe mwenzio.nimeomba msamaha kama chizi.aisha akasema mh tatizo hamadi...

BLACK BUTTERFLY 🦋 4 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 4
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Brayton akiwa kwenye gari alijaribuu kupiga simu Hospitali ili maandilizi mapema kwaajili ya mgonjwa anae kuja nae muda huu. Hospitali nayo hakufanya makosa tayari waliandaa kitanda...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21
@majario LIVE

Nikamuuliza "we umejuana vipi na D??" "Yule D ni mdogo wake na Boss wangu, ni binamu yake kitu kama hicho, mie sijawahi hata kuwa na mazoea nae kabisaaa ila kuna issue...

Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas Post Mpya
Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas
@majario LIVE

really make you believe in modern-day love stories. Different countries, different cultures, totally different careers — but somehow it all just fits perfectly. What started with a simple conversation...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
@majario LIVE

Muda huo Mwenyewe nilikua Nacheza kwa Furaha zote, lakini kitendo cha kumuona madam groly killharibu kila kitu, niliona kabisa birthday yangu inaenda kuharibika Maana huyu mama hana jema ata kidogo. "NAKUJA Alizungumza...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest