*AFANDE NILEGEZEE KAMBA ππ«π«* Chapter 13 Ile busu lilifanya tujihisi tupo kwenye dunia nyingine kwa dakika tano hivi hatukuwa sisi nikajiuliza, "mbona naenjoy hii kitu?"
Huyu ni mwanaume aliyenitesa, aliyenifanya nilie kila dakika, lakini eti naenjoy kiss lake. Na cha ajabu zaidi, nilitamani aendelee ila jamaa aliniachia
"Nenda kalale tena, mimi naenda kukutengenezea breakfast"
Nikamuuliza "Breakfast?"
"Yes breakfast. Subiri kidogo, narudi
Mimi nikajipumzisha tena kitandani kama
alivyonambia kisha yeye akatoka kwenda jikoni
kuandaa breakfast Nilidhani utani lakini Baada ya muda kidogo, alirudi akiwa na tray mkononi. Akanigusa bega kidogo kuniasha niamke
"Amka, ule"
Nilipoangalia kwenye tray, niliona mayai, pancakes, sausage, chai ya maziwa na juisi pembeni. Nikamwangalia pasipo kummaliza
"Mbona umeandaa vyote hivi?"
"Kwa sababu wewe ni mgonjwa, unapaswa kuta vizun. Ukimaliza kula tunaenda hospitali
"Kwani Hauendi kazini leo?"
"Nol nabaki home, nataka kuhakikisha uko
sawa
Nilijiskia vizuri si uongo basi Nikala nikiwa najisikia aibu kidogo kwa sababu alikuwa ananiangalia muda wote. Nilipomaliza kula akachukua tray akaenda nalo jikoni.
Kwakua alisema tutaenda hosppitali, Mimi nikaingia bafuni kuoga. Nilivaa kagauni kangu keupe hako kanani kaa hatari Utadhani si hospitali tulikua tu tunaenda. Hadi Elijah alipo tuona alituangalia pasipo kutumaliza
"Mnaenda wapi nyinyi wawili?" Aliuliza
Elton akajibu haraka "Namsindikiza Gina hospitali
"Hiyo ndo poa. Naweza kuja nany?"
Elton akamkatia "nol tutarudi mda sio mrefu"
"OK"
Niliona wazi Elijah hakupenda majibu yale, kama
vile alitaka twende wote lakini Elton hakuwa na hiyo mood. Basi hao tukasepa zetu kwenda hospitali. Njiani tulikua kimya ila Elton kila
dakika aligeuka kunitazama kama nipo sawa
Na Tulipofika hospitali, alinifungulia mlango nikashuka kwa madaha kama vile Mrs Elton mwenyewe. Alafu uzuri Elton alikua anamfahamu daktari mmoja pale, kwaiyo
mambo yalikwenda chap chap
Elton Hakutaka kabisa nikae kwenye foleni, eti aliogopa naweza kuzidiwa. Hata kwa dokta tuliingia pamoja! Alikaa karibu yangu kana kwamba hakuta niwe peke yangu
Baada ya maelezo yangu, daktari akaniambia
niende maabara kupima damu na mkojo. Hata huko nako Elton alinisindikiza. Nilijisikia albu sana kwa sababu watu walikuwa wanatutazama
kama vile sisi ni mke wa mume wakati ukweli
tullujua wenyewe. Yaani hata kwenda chooni, alikuwa nyuma yangu Nikamgeukia
nikamuuliza,
"Mbona unanifuata kila sehemu?"
"Na kama nikikuacha ukatoroka je? Kumbuka bado wewe ni mtuhumiwa
Nikacheka kwa upole "Kama ningetaka kutoroka
ningeshatoroka toka siku ya kwanza. Nimebaki kwa sababu nataka kumaliza makubaliano yetu
"Sikuamini kirahisi hivyo. Nitakufuata kila. unapokwenda
Na kweli alifanya hivyo. Alikaa nami mpaka majibu yalipotoka. Daktari akaniambia nina typhoid, na nimekuwa kwenye baridi muda
mrefu. Akanishauri nile vizuri, nilale kwa muda wa kutosha na nizingatie dawa. Kabla sijasema kitu Elton akawai kujibu kabla yangu
"Usijali daktari, Nitahakikisha anameza dawa kwa muda unaotakiwa"
Ndipo Daktari akaridhika na majibu ya Elton,
akaniandikia dawa tukaenda kuzichukua famasi
Nikadhani baada ya pale sasa tungeelekea nyumbani, wala haikua ivyo. Elton alinipeleka kwenye mall kubwa akadai eti anataka aninunulie mahitaji yangu.
Sikuamini mnajua?? Mimi nilibaki namshangaa Jinsi alivyo chagua viatu, saa, pafyumu hata kuna gauni moja jekundu ambalo lilikuwa zuri sana akaninunulia. Duuh! Nikasema Elton ni mzima
kwell??! Mbona kama naota
Na Baada ya pale tukaenda kwenye mgahawa Akaninunulia chakula kizuri sana. Tukakaa, tukala, ila hakua hata akiongea. Angekua Elijah pale angesha ongea mpaka kero. Ila Elton yeye sio mtu wa stori sana lakini hamuwezi amini
hata sikujalil Nilipenda alivyo
Tulipomaliza kula ndo tukarudi nyumbani,
tukakuta Elijah ameandaa msosi mezani. Kwalyo mchana mzima alikua akiandaa chakula cha mgonjwa
"Yooh mmechelewal Nimepika hadi chakula cha mchana aka smile
Nilipoangalia mezani kweli nikaona kuna hotpot mbili kubwa pamoja na sahani Hakua akitania kakaa wa watu. Bahati mbaya sisi tayari tulikuwa tumeshiba
Elton akatabasamu "Asante bro, lakini tumekula huko nje"
"Basi sawa, nitakula mwenyewe" Elijah Akaenda mezani akajipakulia chakula na kuanza kula mwenyewe.
Dakika iyo iyo Elton alipokea simu ya dharura kutoka kazini, ikabidi aondoke haraka. Kabla hajaenda aliniambia nisisahau kumeza dawa,
nikamjibu sawa
Baada ya Elton kuondoka ndo nikapata nafasi ya kuzungumza na Elijah maana Elton hakutaka
niongee naye kabisa, wivu ulimsumbua. Nikasogea taratibu pale mezani nikakaa
pembeni yake.
"Sorry, hatukujua kama umepika"
"Its okay! sina shida"
Akanitazama kwa muda kisha akauliza "Unaendeleaje sasa?"
"Niko sawa, ingawa mwili unauma uma bado
"Wewe na Elton kuna nini kinaendelea? Maana tabia yake imebadilika sana kwako"
"Sijui Tangu nimeanza kuumwa, amekuwa
tofauti. Ananijali, ananipikia, ananunua nguo, leo tumeenda hadi luch pamoja. Sijui nini kinaendelea, lakini am happy
"Chunga sana Gina. Elton si mtu wa kuaminika. Anaweza kukuonyesha anajali kwa sababu tu
unaumwa.. Usianze kufikiria kuwa anakupenda, maana hakupendi
"Unamaanisha nini? Elijah
akacheka kidogo "Ameshasema mwenyewe kuwa hakupendi! Kwalyo
alichokufanyia chochote kile leo nikwasababu unaumwa na sio vinginevyo
Nilihist moyo wangu unaniuma sio mchezo Nilishaanza kumpenda Elton, na life busu la
asubuhi ndo lilibadilisha kila kitu. Nikajiuliza kama hanipendi, mbona alinibusu? Mbona ananijali hivi? Nilijisikia vibaya sana karibu
nianze kulia
Unajua nini kilitokea baada ya hapo? Subiri kidogo nakuja
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi