Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

*AFANDE NILEGEZEE KAMBA ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜ซ๐Ÿ˜ซ* 17 -- 18 Chapter 17  Mapenzi yangu na Elton yalikuwa mazuri kupita maelezo. Nilifurahia kila dakika niliyoitumia naye. Kila kukicha tulikuwa tunazidi kuwa karibu zaidi
Gonga94 ยท Stories

*AFANDE NILEGEZEE KAMBA ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜ซ๐Ÿ˜ซ* 17 -- 18 Chapter 17 Mapenzi yangu na Elton yalikuwa mazuri kupita maelezo. Nilifurahia kila dakika niliyoitumia naye. Kila kukicha tulikuwa tunazidi kuwa karibu zaidi

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
.

Elton alianza kunifundisha mambo mengi hasa. mapishi. Akanifundisha kupika wali, pilau, ndizi pamoja na mchuzi wa nyama & kuku. Aliniambia anataka niwe nampikia siku akichoka baada ya kurudi kazini.

Apo tayari mwezi ukaisha na ule mkataba wetu uliishia pale. Elton alilipa deni langu lote na Nilikuwa huru kusafiri nje ya Arusha. Ila sikuona kama kuna haja ya kuondoka ikiwa furaha yangu. ilikua ni Elton. Hata ule mpango wa kurudi nyumbani niliuhairisha.

Sasa siku moja ilikuwa Jumapili, Hatukuenda popote. Tuliamka mapema, tukapika chakula cha mchana pamoja, tukala kisha tukakaa sebuleni kuangalia movie.

Nililaza kichwa changu kwenye mapaja ya Elton yani full burudanil Ilikua ni kawaida yetu kujiachia kiasi kile. Mara ghafla mlango ulifunguliwa na mtu ambaye hakubisha hodi.

Nilipogeuka nikamuona mwanamke mmoja mwenye umri sawa wa mama yangu. Elton alipomuona, alishtuka Akasema taratibu, "Mom"

Ndo nikajua oooh kumbe huyu ndiye mama yake Elton. Nilifurahia kumuona mama mkwe wangu mtarajiwa ila sasa Mama mkwe mwenyewe alini nyali. Hakufurai kutuona pamoja akauliza, "Na huyu mwanamke ni nani?"

Elton akatabasamu "Mama, huyu ni Gina mpenzi wangu"

"Mpenzi wako?! Kwa ruhusa ya nani? Nani amekuruhusu uwe na mwanamke wa namna hii?" Mama ni anafoka huyoo

Elton akasema "Hakuna aliyenipa ruhusa lakini Mom, mimi nampenda Gina"

"Noooo! Siwezi kukubali huu uhusiano. Chochote kinachoendelea baina yenu kiishe. mara mojaaa!....na wewe binti! Kesho nisikuone kwenye hii nyumba! Uondokeee kama sijakuondoa mimi

Elton akasimama "Mom, huwezi tu kuja nyumbani kwangu ghafla na kuniambia nivunje uhusiano wangu"

"Kama mimi ni mama yako, utasikiliza. ninachosema. Kama sivyo, basi endelea na huu upuuzi wako. Kufikia kesho asubui nataka huyu

msichana awe ametoka hapa. Na unajua nilivyo Elton Baada ya kusema hivyo, mama yake akachukua begi lake na kuelekea chumba cha wageni.

Nilibaki nimesimama pale, nikitokwa machozi. Elton akanigeukia na kuanza kunibembeleza "Please usiweke maneno ya mama moyoni. Nitazungumza naye"

"Lakini Elton, ni mama yako. Lazima umsikilize. Sitaki kuwa chanzo cha nyie kugombana"

"Gina nakupenda Manaa. Sitaki mwingine zaidi yako. Nataka uwe mama wa watoto wangu. Nitazungumza na Mom vizuri, ataelewa! Please niamini okay??"

Nikatikisa kichwa "Sidhani kama ataelewa Elton. Alinionyesha chuki tu kwa macho. Ila maybe ukiongea atakuelewa kama ulivyosema basi ngoja tuone Nilijikuta nikitoka sebuleni nikielekea chumbani uso umelowa machozi.

Elton hakuweza kuvumilia machozi yangu, alimfuata mama yake kwenye chumba cha wageni. Nikaanza kusikia wanabishana na kwa. jinsi Elton ana hasira za karibu nikaona niende nikaamue ugomvi kabla hajafanya jambo baya. Nilisogea hadi mlangoni ila nikasita kuingia baada ya kusikia kile walicho kiongea

Mama Elton alisema "Umesahau kwamba tulishapanga ndoa yako? Tushachagua msichana mzuri, mwenye heshima, kutoka familia nzuri. Sasa ni upuuzi gani huu unafanya??"

"Sijali kuhusu iyo ndoa. Huyo msichana

mwenyewe hujawai kumuona, sijawai kumuona na yeye pia hajawai kunional Unaongea tu na wazazi wake kwenye simu, una hakika gani kama ana heshima na adabu! Come on Mom. Nampenda Ginah ama huoni??"

"Yawezekana kweli sijawal kumuona huyo binti ila Baba yako na Baba wa huyo binti walikulia kijiji kimoja walipokua wadogo. Yani sio urafiki tena bali ni undugu walionao. Na toka zamani

waliapa na kuahidiana kuwa lazima watoto wao waje kuoana. Kwa bahati mbaya walipokuja mjini wakapotezana, ila walipokutana tena. wakapanga kuendeleza ndoto zao. Kwaiyo Elton

hili swala haliepukiki! Lazima utamuoa uyo binti utake usitake. Alafu Huyu msichana ulie nae. hana hadhi ya kuwa mkwe wa familia yetu!"

Elton akapiga kelele, "Mom please! Nampenda Gina, siwezi kumuacha"

Mama yake akamwangalia kwa ukali "unanifokea sio?? Kwa taarifa yako ndoa lazima Itafungwa na Kesho asubuhi nataka huyu Gina. asiwepo hapa. Usinifanye nifanye kitu kibaya. Unajua vizuri nikiwehuka nakuaje"

Niliposikia maneno hayo, moyo wangu ulivunjika vipande vipande. Nilirudi haraka chumbani, nikaanza kulia kwa uchungu zaidi. Elton alikuja. baadaye usiku akajaribu kunifariji.

"Please usiogope. Nitazungumza na mama tena, usije ukafikiria kuondoka"

"Sawa" niliitika Lakini ndani ya moyo wangu nilijua kuwa nilipaswa kuondoka. Sikupenda kuona mama na mwana wanagombana kwa ajili yangu.

Asubuhi ilipofika, niliandaa kahawa ya Elton kama kawaida! Alikunywa kahawa kisha alinibusu na Akaniambia nikae tu ndani, atarudi mchana then akaenda kazini.

Sikujali alichosema, Nilianza kukusanya virago vyangu haraka haraka maana Nilijua njia pekee ya kumaliza ule ugomvi wa mama na mtoto ni mimi kuondoka.

Mama Elton alikuwa bado amelala kwa hiyo nilivyo ondoka yeye hakujua kabisa. Nilikodi boda ikanipeleka mpaka stendi nikiwa sijui niende wapi. Nikawaza nirudi nyumbani??? Ama niende kwa nani??

Nikiwa kwenye mawazo mara kuna gari jeusi lilisimama mbele yangu. Mwanzo nilidhani ni

Elton kanifuma ila baada ya kioo kushushwa nikahisi kujikojilea. Alikuwa ni Baba yangu, Nikajiuliza "amejuaje niko hapa?"

Unajua nini kilitokea baada ya hapo? Subiri kidogo... nakuja.

Sehemu ya kumi na nane


Nilikuwa na hofu sana nusu nikimbie "Ginah, Ingia kwenye gari sasa hivi" Baba alifoka nikaona hapa hakuna haja hata ya kukimbia.

Dereva alishuka na kuchukua mizigo yangu akaipakia kwenye gari, akanifungulia mlango ambapo nilikaa siti ya nyuma pamoja na baba.

"Unajua nimekuwa nikikutafuta kwa muda gani? Ulidhani sitakupata sivyo?"

Nikasema "Sorry Dad, Samahani sana".

"Wewe kweli niwa kutia aibu familia yangu. Umenirudisha nyuma kwa namna ambayo sikuwa nadhani unaweza kufanya. Ulidhani kukimbia nyumbani ndio suluhisho? Shida ilikuwa ni wewe kubadilika. Kama ungebadilika, kila kitu kingekwenda vizuri lakini hukutaka kubadilika. Uliamua kuongeza mafuta kwenye moto. lia sasa hivi sijali, tunarudi nyumbani na unaolewa mara moja. Hakuna kusubiri"

Nilikaa kimya Nikilia kwa sababu nilikwenda kuolewa na mtu ambaye sikua namjua. Pia nililia kwa sababu niliondoka bila hata kumuaga Elton

Wakati tulikuwa safarini kuelekea Dar es Salaam, simu yangu ilianza kuita, Ilikuwa ni Elton anapiga. Baba alichukua simu yangu na kuizima,

akasema

"Huyu ndo mwanaume anaekupa kiburi sio??"

"Hapana, baba"

"Tutaona mwisho wake! Sikio kamwe haliwezi kuzidi kichwa

Sikujibu Nikaamua kimya maana nilikua nina mawazo sana na nguvu ya kubishana na Baba sikua nayo.

Haya bhana Tukafika Dar es Salaam saa tano usiku. Baada ya mwezi mzima na wiki mbili za kukimbia, hatimaye nilirudi tena nyumbani. Mama alikuwa akitusubiri nje.

Aliponiona, akaangalia kwa huzuni! Kikubwa Alifurahi kuona niko sawa lakini hakuweza

kuficha hasira yake kwangu. "Ah, sawa basi kama uko salama, Sasa tuanze maandalizi ya harusi Akaingia ndani huku baba akimfuata nyuma.

Mimi Nikaenda chumbani kwangu, nikaoga kisha nikalala. Kwa jinsi nilivyo mmiss Elton wangu sikupata usingizi kabisa. Nilitaka angalau kusikia sauti yake ila ndo ivyo, Mzee alininyang'anya simu.

Kesho yake Asubuhi wazazi wangu hawakutaka nile nao breakfast mezani sababu bado walikua wamenikasirikia ivyo walituma dada wa kazi aniletee chai yangu chumbani.

Hata sikula sana, nilidonoa donoa kidogo Kisha

nikarudisha tray jikoni. Nilivyoviacha niliviweka kwenye friji kisha vyombo vichafu nikaviosha. Hili ilishangaza kila mtu mnajua?? Mpaka mama alishangaal Apo mwanzo Sikuwai kuosha hata kijiko changu, nilikua nawaachia wafanyakazi.

Lakini leo eti naosha vyombo, nasafisha kabisa. na sinki! Hill ni maajabu

Mchana napo nikaingia jikoni kumsaidia dada mpishi kupika. Wakati huo baba alikua kazini ni Mama na mimi pamoja na wafanyakazi ndo tuliokua nyumbani..

Basi Mama akawa ananiangalia bila kunimaliza. Mwishoni akashindwa kuvumilia akaniita, tena akawa anaongea kwa upole kushinda jana alivyo nipokea

"Nini kimekubadilisha? Umekuwa tofauti sana, Gina"

"Ni Maisha tu mama"

"Umebadilika kuwa mtu bora, Hilo ndilo. tunalotaka kutoka kwako Ginah! I am happy for you!"

"Sawa mama"

"Kuolewa pia ni suluhisho pekee tuliloliona. Alafu kingine, Baba yako na huyu rafiki yake wametoka mbali sana na hii ni ahadi

waliyowekeana kitambo sana kwaiyo ni ngumu mno kuvunja ahadi! Kwalyo sitaki usituchukie mimi na baba yako"

"Siwachukill Na mimi nipo tayari kwa lolote"

"Nafurai kusikia ilo" mama alitabasamu kisha akaenda sebuleni

Jioni pia niliendelea kusaidia jikoni. Tukapanga

meza pamoja, na Baba aliporudi aliona nikipanga na kuandaa chakula, akashangaa lakini haikubadilisha mpango wake wa mimi kuolewa.

Hali ilikua ivyo ivyo kwa wiki nzima, niliamka mapema, nikafanya usafi, nikawa nafua na kupasi nguo zangu mwenyewe! Mchana nilienda kupika pamoja na Dada Mpishi mpaka tukaanza kuzoeana.

Mbali ya yote hayo nilimkumbuka Elton! Nilimuomba Mungu huko alipo ampe nguvu sababu najua alikua akipitia kipindi kigumu mno. Najua pengine nilimkosea kuondoka bila taarifa lakini sikua tayari kuona anagombana na familia yake kisa mimi, especially mama yake mzazi.

Basi ijumaa jioni Baada ya chakula cha usiku, Baba akaniambia nijitayarishe kwa sababu kesho yake tulipaswa kwenda kukutana na familia ya mume wangu mtarajiwa. Kutakua na utambulisho mfupi kisha siku hiyo hiyo. nitavalishwa pete ya uchumba.

Niliitikiwa tu "sawa" Nikaenda kulala.

Kesho yake pilika pilika zikaanza. Mama alininunulia gauni zuri la kuvaa kisha wakaja watu wa make-up wakanipodoa pale nikatoka chicha kama sio tembele

Ilipotimu saa tisa kila mtu alikua kashajiandaa hadi Shangazi angu wa Dodoma alifika kumsapoti Mama.

Tulitoka tukiwa kwenye msafara wa magari matatu. Moja liliwabeba, mama, baba na shangazi! Gari la pili lilinibeba mimi peke yangu!

Gari la tatu lilibeba majirani zetu wachache ambao Mama hakutaka kuwaacha nyuma.

Unajua nini kilitokea baada ya hapo? Subiri kidogo... nakuja.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

*AFANDE NILEGEZEE KAMBA ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜ซ๐Ÿ˜ซ* 17 -- 18 Chapter 17 Mapenzi yangu na Elton yalikuwa mazuri kupita maelezo. Nilifurahia kila dakika niliyoitumia naye. Kila kukicha tulikuwa tunazidi kuwa karibu zaidi

.

Elton alianza kunifundisha mambo mengi hasa. mapishi. Akanifundisha kupika wali, pilau, ndizi pamoja na mchuzi wa nyama & kuku. Aliniambia anataka niwe nampikia siku akichoka baada ya kurudi kazini.

Apo tayari mwezi ukaisha na ule mkataba wetu uliishia pale. Elton alilipa deni langu lote na Nilikuwa huru kusafiri nje ya Arusha. Ila sikuona kama kuna haja ya kuondoka ikiwa furaha yangu. ilikua ni Elton. Hata ule mpango wa kurudi nyumbani niliuhairisha.

Sasa siku moja ilikuwa Jumapili, Hatukuenda popote. Tuliamka mapema, tukapika chakula cha mchana pamoja, tukala kisha tukakaa sebuleni kuangalia movie.

Nililaza kichwa changu kwenye mapaja ya Elton yani full burudanil Ilikua ni...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/afande-nilegezee-kamba-17-18-chapter-17-mapenzi-yangu-na-elton-yalikuwa-mazuri-kupita-maelezo-nilifu

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi afande-nilegezee-kamba
 *AFANDE NILEGEZEE KAMBA ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜ซ๐Ÿ˜ซ*    *19&20*  FINAL  Kwa takribani masaa mawili tuliyatumia njiani mpaka kufika tulipokua tunaenda. Apo kwenye
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜ซ๐Ÿ˜ซ* *19&20* FINAL Kwa takribani masaa mawili tuliyatumia njiani mpaka kufika tulipokua tunaenda. Apo kwenye
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜ซ๐Ÿ˜ซ* Chapter 12  Baada ya kunipeleka chumbani kwake, Elton alinilaza kitandani, akafunika na blanketi kisha akatoka nje. Dakika zile zile alirudi na bakuli la maji moto...
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜ซ๐Ÿ˜ซ* Chapter 12 Baada ya kunipeleka chumbani kwake, Elton alinilaza kitandani, akafunika na blanketi kisha akatoka nje. Dakika zile zile alirudi na bakuli la maji moto...
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜ซ๐Ÿ˜ซ* *14&15*  Maneno ambayo Elijah alinambia yalinivunja moyo vibaya sana. Niliapa nikasema lazima nimulize Elton akirudi. Nilihitaji kujua sababu
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜ซ๐Ÿ˜ซ* *14&15* Maneno ambayo Elijah alinambia yalinivunja moyo vibaya sana. Niliapa nikasema lazima nimulize Elton akirudi. Nilihitaji kujua sababu
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜ซ๐Ÿ˜ซ* Chapter 13  Ile busu lilifanya tujihisi tupo kwenye dunia nyingine kwa dakika tano hivi hatukuwa sisi nikajiuliza, "mbona naenjoy hii kitu?"
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜ซ๐Ÿ˜ซ* Chapter 13 Ile busu lilifanya tujihisi tupo kwenye dunia nyingine kwa dakika tano hivi hatukuwa sisi nikajiuliza, "mbona naenjoy hii kitu?"
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜ซ๐Ÿ˜ซ* *SEHEMU YA KUMI NA SITA*  Asubuhi tuliamka wote, tukicheza na mito kama watoto. Elton alikuwa ananikimbiza chumbani na kila aliponikamata alinikumbatia na kunibusu
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜ซ๐Ÿ˜ซ* *SEHEMU YA KUMI NA SITA* Asubuhi tuliamka wote, tukicheza na mito kama watoto. Elton alikuwa ananikimbiza chumbani na kila aliponikamata alinikumbatia na kunibusu
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜ซ๐Ÿ˜ซ*  Chapter 9  Elton alikuja jikoni pale nilipokuwa nimekaa, Akanikamata mkono wangu kwa nguvu, akaniambia kwa hasira
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜ซ๐Ÿ˜ซ* Chapter 9 Elton alikuja jikoni pale nilipokuwa nimekaa, Akanikamata mkono wangu kwa nguvu, akaniambia kwa hasira
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜ซ๐Ÿ˜ซ* Chapter 8  Nilikumbuka jinsi chai inavyopikwa, nikadhani labda kahawa nayo ni hivyohivyo
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜ซ๐Ÿ˜ซ* Chapter 8 Nilikumbuka jinsi chai inavyopikwa, nikadhani labda kahawa nayo ni hivyohivyo
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜ซ๐Ÿ˜ซ* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*  Ile simu ya Siku ya kuripoti kituo cha polisi ikafika. Nilipaswa kwenda peke yangu, ila Elijah akaniambia atanipa kwa gari
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜ซ๐Ÿ˜ซ* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Ile simu ya Siku ya kuripoti kituo cha polisi ikafika. Nilipaswa kwenda peke yangu, ila Elijah akaniambia atanipa kwa gari
_* *AFANDE NILEGEZEE KAMBA ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜ซ๐Ÿ˜ซ*   Chapter 7  Siku hiyo ilikuwa ngumu sana, yani hata sijui nilikuwa nafanya nini. Nilisimama tu pale kwa dakika tano nikiwaza "Sasa hii...
_* *AFANDE NILEGEZEE KAMBA ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜ซ๐Ÿ˜ซ* Chapter 7 Siku hiyo ilikuwa ngumu sana, yani hata sijui nilikuwa nafanya nini. Nilisimama tu pale kwa dakika tano nikiwaza "Sasa hii...
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜ซ๐Ÿ˜ซ* *SEHEMU YA SITA*  Kabla hata sijamjibu kitu, akanirukia na kuanza kunishika shika hadi Mwili wangu ukaanza kulegea.
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜ซ๐Ÿ˜ซ* *SEHEMU YA SITA* Kabla hata sijamjibu kitu, akanirukia na kuanza kunishika shika hadi Mwili wangu ukaanza kulegea.
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA ๐Ÿ˜ซ๐Ÿ˜ซ๐Ÿฅฑ* *1-5* * *SEHEMU YA KWANZA*  Ilikua kama wiki mbili zimepita tangu nirudi kutoka Canada. Nililazimishwa kurudi nyumbani kwa sababu baba aligundua kule sikusoma kabisa. Nilikuwa...
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA ๐Ÿ˜ซ๐Ÿ˜ซ๐Ÿฅฑ* *1-5* * *SEHEMU YA KWANZA* Ilikua kama wiki mbili zimepita tangu nirudi kutoka Canada. Nililazimishwa kurudi nyumbani kwa sababu baba aligundua kule sikusoma kabisa. Nilikuwa...
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*

795
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 16 na 17

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 16 na 17

570
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 18

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 18

485
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 19.na 20

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 19.na 20

334
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

295
SHAMIRA sehemu ya 36&37

SHAMIRA sehemu ya 36&37

186
BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 5

BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 5

90
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example

3

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.5K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.25K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.76K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.22K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

2.65K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.62K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

2.57K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

2.52K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.46K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.46K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 19.na 20 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 19.na 20
@majario LIVE

Nikasema zena kweli ,na wew unafeel kama vile ambavyo mm nafeel acha masihara basi, akanambia lakini millan ,mi wewe sikujuhi vizur, ndo mana nilikuwa nataka mda kwanza wa kukufahamu ,nisije...

BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA โ€œ Brayton..โ€ Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa โ€œ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?โ€ Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 18 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 18
@majario LIVE

Yani ummy Alishangilia na kwambia aliimba nyimbo zote mpaka mama yake ndo alimnyamazisha, basi nikamwambia ummy aya mama yangu mzuri nimekuletea tv sasa uwe na amani sawa, akasema ndio...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*
@majario LIVE

Sikujua kam nililala pale mpaka asubuhi, tena nimelala kana kwamba pale ni nyumbani kwetu jamni nilikuja kushtuka tena baada ya kupigiwa simu, jamni si ndio naamka najikuta nipo kwenye chumba...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 16 na 17 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 16 na 17
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nilifika home nna hasira sana, nimechukia mnoo, yote sababu nilikuwa nimemmaind sana yule demu, yani nilimuona ana linga kinoma, nikasema bwana mi namkaushia kama.vp mana wanawake...

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*
@majario LIVE

Nikatulia kwanza na kumuangalia madam groly kisha nikamuuliza. "Unamaanisha nini unavyosema hauna Furaha na hii siku 7 Sijakuelewa kwakweli nakumbuka ulikuwa ukitsubilia hi siku kwa hamu sana" Madam groly akacheka sana kisha akasogea...

SHAMIRA sehemu ya 36&37 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 36&37
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mwanaume akaondoka zake na mimi ndo nikashika simu sasa .nikampigia aisha kumpa mchapo.nikasema shoga nusu niachwe mwenzio.nimeomba msamaha kama chizi.aisha akasema mh tatizo hamadi...

BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 4 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 4
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Brayton akiwa kwenye gari alijaribuu kupiga simu Hospitali ili maandilizi mapema kwaajili ya mgonjwa anae kuja nae muda huu. Hospitali nayo hakufanya makosa tayari waliandaa kitanda...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 21 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 21
@majario LIVE

Nikamuuliza "we umejuana vipi na D??" "Yule D ni mdogo wake na Boss wangu, ni binamu yake kitu kama hicho, mie sijawahi hata kuwa na mazoea nae kabisaaa ila kuna issue...

Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas Post Mpya
Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas
@majario LIVE

really make you believe in modern-day love stories. Different countries, different cultures, totally different careers โ€” but somehow it all just fits perfectly. What started with a simple conversation...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
@majario LIVE

Muda huo Mwenyewe nilikua Nacheza kwa Furaha zote, lakini kitendo cha kumuona madam groly killharibu kila kitu, niliona kabisa birthday yangu inaenda kuharibika Maana huyu mama hana jema ata kidogo. "NAKUJA Alizungumza...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest