Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* 17 -- 18 Chapter 17  Mapenzi yangu na Elton yalikuwa mazuri kupita maelezo. Nilifurahia kila dakika niliyoitumia naye. Kila kukicha tulikuwa tunazidi kuwa karibu zaidi
Gonga94 Β· Stories

*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* 17 -- 18 Chapter 17 Mapenzi yangu na Elton yalikuwa mazuri kupita maelezo. Nilifurahia kila dakika niliyoitumia naye. Kila kukicha tulikuwa tunazidi kuwa karibu zaidi

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
.

Elton alianza kunifundisha mambo mengi hasa. mapishi. Akanifundisha kupika wali, pilau, ndizi pamoja na mchuzi wa nyama & kuku. Aliniambia anataka niwe nampikia siku akichoka baada ya kurudi kazini.

Apo tayari mwezi ukaisha na ule mkataba wetu uliishia pale. Elton alilipa deni langu lote na Nilikuwa huru kusafiri nje ya Arusha. Ila sikuona kama kuna haja ya kuondoka ikiwa furaha yangu. ilikua ni Elton. Hata ule mpango wa kurudi nyumbani niliuhairisha.

Sasa siku moja ilikuwa Jumapili, Hatukuenda popote. Tuliamka mapema, tukapika chakula cha mchana pamoja, tukala kisha tukakaa sebuleni kuangalia movie.

Nililaza kichwa changu kwenye mapaja ya Elton yani full burudanil Ilikua ni kawaida yetu kujiachia kiasi kile. Mara ghafla mlango ulifunguliwa na mtu ambaye hakubisha hodi.

Nilipogeuka nikamuona mwanamke mmoja mwenye umri sawa wa mama yangu. Elton alipomuona, alishtuka Akasema taratibu, "Mom"

Ndo nikajua oooh kumbe huyu ndiye mama yake Elton. Nilifurahia kumuona mama mkwe wangu mtarajiwa ila sasa Mama mkwe mwenyewe alini nyali. Hakufurai kutuona pamoja akauliza, "Na huyu mwanamke ni nani?"

Elton akatabasamu "Mama, huyu ni Gina mpenzi wangu"

"Mpenzi wako?! Kwa ruhusa ya nani? Nani amekuruhusu uwe na mwanamke wa namna hii?" Mama ni anafoka huyoo

Elton akasema "Hakuna aliyenipa ruhusa lakini Mom, mimi nampenda Gina"

"Noooo! Siwezi kukubali huu uhusiano. Chochote kinachoendelea baina yenu kiishe. mara mojaaa!....na wewe binti! Kesho nisikuone kwenye hii nyumba! Uondokeee kama sijakuondoa mimi

Elton akasimama "Mom, huwezi tu kuja nyumbani kwangu ghafla na kuniambia nivunje uhusiano wangu"

"Kama mimi ni mama yako, utasikiliza. ninachosema. Kama sivyo, basi endelea na huu upuuzi wako. Kufikia kesho asubui nataka huyu

msichana awe ametoka hapa. Na unajua nilivyo Elton Baada ya kusema hivyo, mama yake akachukua begi lake na kuelekea chumba cha wageni.

Nilibaki nimesimama pale, nikitokwa machozi. Elton akanigeukia na kuanza kunibembeleza "Please usiweke maneno ya mama moyoni. Nitazungumza naye"

"Lakini Elton, ni mama yako. Lazima umsikilize. Sitaki kuwa chanzo cha nyie kugombana"

"Gina nakupenda Manaa. Sitaki mwingine zaidi yako. Nataka uwe mama wa watoto wangu. Nitazungumza na Mom vizuri, ataelewa! Please niamini okay??"

Nikatikisa kichwa "Sidhani kama ataelewa Elton. Alinionyesha chuki tu kwa macho. Ila maybe ukiongea atakuelewa kama ulivyosema basi ngoja tuone Nilijikuta nikitoka sebuleni nikielekea chumbani uso umelowa machozi.

Elton hakuweza kuvumilia machozi yangu, alimfuata mama yake kwenye chumba cha wageni. Nikaanza kusikia wanabishana na kwa. jinsi Elton ana hasira za karibu nikaona niende nikaamue ugomvi kabla hajafanya jambo baya. Nilisogea hadi mlangoni ila nikasita kuingia baada ya kusikia kile walicho kiongea

Mama Elton alisema "Umesahau kwamba tulishapanga ndoa yako? Tushachagua msichana mzuri, mwenye heshima, kutoka familia nzuri. Sasa ni upuuzi gani huu unafanya??"

"Sijali kuhusu iyo ndoa. Huyo msichana

mwenyewe hujawai kumuona, sijawai kumuona na yeye pia hajawai kunional Unaongea tu na wazazi wake kwenye simu, una hakika gani kama ana heshima na adabu! Come on Mom. Nampenda Ginah ama huoni??"

"Yawezekana kweli sijawal kumuona huyo binti ila Baba yako na Baba wa huyo binti walikulia kijiji kimoja walipokua wadogo. Yani sio urafiki tena bali ni undugu walionao. Na toka zamani

waliapa na kuahidiana kuwa lazima watoto wao waje kuoana. Kwa bahati mbaya walipokuja mjini wakapotezana, ila walipokutana tena. wakapanga kuendeleza ndoto zao. Kwaiyo Elton

hili swala haliepukiki! Lazima utamuoa uyo binti utake usitake. Alafu Huyu msichana ulie nae. hana hadhi ya kuwa mkwe wa familia yetu!"

Elton akapiga kelele, "Mom please! Nampenda Gina, siwezi kumuacha"

Mama yake akamwangalia kwa ukali "unanifokea sio?? Kwa taarifa yako ndoa lazima Itafungwa na Kesho asubuhi nataka huyu Gina. asiwepo hapa. Usinifanye nifanye kitu kibaya. Unajua vizuri nikiwehuka nakuaje"

Niliposikia maneno hayo, moyo wangu ulivunjika vipande vipande. Nilirudi haraka chumbani, nikaanza kulia kwa uchungu zaidi. Elton alikuja. baadaye usiku akajaribu kunifariji.

"Please usiogope. Nitazungumza na mama tena, usije ukafikiria kuondoka"

"Sawa" niliitika Lakini ndani ya moyo wangu nilijua kuwa nilipaswa kuondoka. Sikupenda kuona mama na mwana wanagombana kwa ajili yangu.

Asubuhi ilipofika, niliandaa kahawa ya Elton kama kawaida! Alikunywa kahawa kisha alinibusu na Akaniambia nikae tu ndani, atarudi mchana then akaenda kazini.

Sikujali alichosema, Nilianza kukusanya virago vyangu haraka haraka maana Nilijua njia pekee ya kumaliza ule ugomvi wa mama na mtoto ni mimi kuondoka.

Mama Elton alikuwa bado amelala kwa hiyo nilivyo ondoka yeye hakujua kabisa. Nilikodi boda ikanipeleka mpaka stendi nikiwa sijui niende wapi. Nikawaza nirudi nyumbani??? Ama niende kwa nani??

Nikiwa kwenye mawazo mara kuna gari jeusi lilisimama mbele yangu. Mwanzo nilidhani ni

Elton kanifuma ila baada ya kioo kushushwa nikahisi kujikojilea. Alikuwa ni Baba yangu, Nikajiuliza "amejuaje niko hapa?"

Unajua nini kilitokea baada ya hapo? Subiri kidogo... nakuja.

Sehemu ya kumi na nane


Nilikuwa na hofu sana nusu nikimbie "Ginah, Ingia kwenye gari sasa hivi" Baba alifoka nikaona hapa hakuna haja hata ya kukimbia.

Dereva alishuka na kuchukua mizigo yangu akaipakia kwenye gari, akanifungulia mlango ambapo nilikaa siti ya nyuma pamoja na baba.

"Unajua nimekuwa nikikutafuta kwa muda gani? Ulidhani sitakupata sivyo?"

Nikasema "Sorry Dad, Samahani sana".

"Wewe kweli niwa kutia aibu familia yangu. Umenirudisha nyuma kwa namna ambayo sikuwa nadhani unaweza kufanya. Ulidhani kukimbia nyumbani ndio suluhisho? Shida ilikuwa ni wewe kubadilika. Kama ungebadilika, kila kitu kingekwenda vizuri lakini hukutaka kubadilika. Uliamua kuongeza mafuta kwenye moto. lia sasa hivi sijali, tunarudi nyumbani na unaolewa mara moja. Hakuna kusubiri"

Nilikaa kimya Nikilia kwa sababu nilikwenda kuolewa na mtu ambaye sikua namjua. Pia nililia kwa sababu niliondoka bila hata kumuaga Elton

Wakati tulikuwa safarini kuelekea Dar es Salaam, simu yangu ilianza kuita, Ilikuwa ni Elton anapiga. Baba alichukua simu yangu na kuizima,

akasema

"Huyu ndo mwanaume anaekupa kiburi sio??"

"Hapana, baba"

"Tutaona mwisho wake! Sikio kamwe haliwezi kuzidi kichwa

Sikujibu Nikaamua kimya maana nilikua nina mawazo sana na nguvu ya kubishana na Baba sikua nayo.

Haya bhana Tukafika Dar es Salaam saa tano usiku. Baada ya mwezi mzima na wiki mbili za kukimbia, hatimaye nilirudi tena nyumbani. Mama alikuwa akitusubiri nje.

Aliponiona, akaangalia kwa huzuni! Kikubwa Alifurahi kuona niko sawa lakini hakuweza

kuficha hasira yake kwangu. "Ah, sawa basi kama uko salama, Sasa tuanze maandalizi ya harusi Akaingia ndani huku baba akimfuata nyuma.

Mimi Nikaenda chumbani kwangu, nikaoga kisha nikalala. Kwa jinsi nilivyo mmiss Elton wangu sikupata usingizi kabisa. Nilitaka angalau kusikia sauti yake ila ndo ivyo, Mzee alininyang'anya simu.

Kesho yake Asubuhi wazazi wangu hawakutaka nile nao breakfast mezani sababu bado walikua wamenikasirikia ivyo walituma dada wa kazi aniletee chai yangu chumbani.

Hata sikula sana, nilidonoa donoa kidogo Kisha

nikarudisha tray jikoni. Nilivyoviacha niliviweka kwenye friji kisha vyombo vichafu nikaviosha. Hili ilishangaza kila mtu mnajua?? Mpaka mama alishangaal Apo mwanzo Sikuwai kuosha hata kijiko changu, nilikua nawaachia wafanyakazi.

Lakini leo eti naosha vyombo, nasafisha kabisa. na sinki! Hill ni maajabu

Mchana napo nikaingia jikoni kumsaidia dada mpishi kupika. Wakati huo baba alikua kazini ni Mama na mimi pamoja na wafanyakazi ndo tuliokua nyumbani..

Basi Mama akawa ananiangalia bila kunimaliza. Mwishoni akashindwa kuvumilia akaniita, tena akawa anaongea kwa upole kushinda jana alivyo nipokea

"Nini kimekubadilisha? Umekuwa tofauti sana, Gina"

"Ni Maisha tu mama"

"Umebadilika kuwa mtu bora, Hilo ndilo. tunalotaka kutoka kwako Ginah! I am happy for you!"

"Sawa mama"

"Kuolewa pia ni suluhisho pekee tuliloliona. Alafu kingine, Baba yako na huyu rafiki yake wametoka mbali sana na hii ni ahadi

waliyowekeana kitambo sana kwaiyo ni ngumu mno kuvunja ahadi! Kwalyo sitaki usituchukie mimi na baba yako"

"Siwachukill Na mimi nipo tayari kwa lolote"

"Nafurai kusikia ilo" mama alitabasamu kisha akaenda sebuleni

Jioni pia niliendelea kusaidia jikoni. Tukapanga

meza pamoja, na Baba aliporudi aliona nikipanga na kuandaa chakula, akashangaa lakini haikubadilisha mpango wake wa mimi kuolewa.

Hali ilikua ivyo ivyo kwa wiki nzima, niliamka mapema, nikafanya usafi, nikawa nafua na kupasi nguo zangu mwenyewe! Mchana nilienda kupika pamoja na Dada Mpishi mpaka tukaanza kuzoeana.

Mbali ya yote hayo nilimkumbuka Elton! Nilimuomba Mungu huko alipo ampe nguvu sababu najua alikua akipitia kipindi kigumu mno. Najua pengine nilimkosea kuondoka bila taarifa lakini sikua tayari kuona anagombana na familia yake kisa mimi, especially mama yake mzazi.

Basi ijumaa jioni Baada ya chakula cha usiku, Baba akaniambia nijitayarishe kwa sababu kesho yake tulipaswa kwenda kukutana na familia ya mume wangu mtarajiwa. Kutakua na utambulisho mfupi kisha siku hiyo hiyo. nitavalishwa pete ya uchumba.

Niliitikiwa tu "sawa" Nikaenda kulala.

Kesho yake pilika pilika zikaanza. Mama alininunulia gauni zuri la kuvaa kisha wakaja watu wa make-up wakanipodoa pale nikatoka chicha kama sio tembele

Ilipotimu saa tisa kila mtu alikua kashajiandaa hadi Shangazi angu wa Dodoma alifika kumsapoti Mama.

Tulitoka tukiwa kwenye msafara wa magari matatu. Moja liliwabeba, mama, baba na shangazi! Gari la pili lilinibeba mimi peke yangu!

Gari la tatu lilibeba majirani zetu wachache ambao Mama hakutaka kuwaacha nyuma.

Unajua nini kilitokea baada ya hapo? Subiri kidogo... nakuja.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* 17 -- 18 Chapter 17 Mapenzi yangu na Elton yalikuwa mazuri kupita maelezo. Nilifurahia kila dakika niliyoitumia naye. Kila kukicha tulikuwa tunazidi kuwa karibu zaidi

.

Elton alianza kunifundisha mambo mengi hasa. mapishi. Akanifundisha kupika wali, pilau, ndizi pamoja na mchuzi wa nyama & kuku. Aliniambia anataka niwe nampikia siku akichoka baada ya kurudi kazini.

Apo tayari mwezi ukaisha na ule mkataba wetu uliishia pale. Elton alilipa deni langu lote na Nilikuwa huru kusafiri nje ya Arusha. Ila sikuona kama kuna haja ya kuondoka ikiwa furaha yangu. ilikua ni Elton. Hata ule mpango wa kurudi nyumbani niliuhairisha.

Sasa siku moja ilikuwa Jumapili, Hatukuenda popote. Tuliamka mapema, tukapika chakula cha mchana pamoja, tukala kisha tukakaa sebuleni kuangalia movie.

Nililaza kichwa changu kwenye mapaja ya Elton yani full burudanil Ilikua ni...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/afande-nilegezee-kamba-17-18-chapter-17-mapenzi-yangu-na-elton-yalikuwa-mazuri-kupita-maelezo-nilifu

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending πŸ“ Follow the ommy khan Tanzania channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VbCg0JyFsn0hCN1ByD44

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi afande-nilegezee-kamba
 *AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫*    *19&20*  FINAL  Kwa takribani masaa mawili tuliyatumia njiani mpaka kufika tulipokua tunaenda. Apo kwenye
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* *19&20* FINAL Kwa takribani masaa mawili tuliyatumia njiani mpaka kufika tulipokua tunaenda. Apo kwenye
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* Chapter 12  Baada ya kunipeleka chumbani kwake, Elton alinilaza kitandani, akafunika na blanketi kisha akatoka nje. Dakika zile zile alirudi na bakuli la maji moto...
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* Chapter 12 Baada ya kunipeleka chumbani kwake, Elton alinilaza kitandani, akafunika na blanketi kisha akatoka nje. Dakika zile zile alirudi na bakuli la maji moto...
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* *14&15*  Maneno ambayo Elijah alinambia yalinivunja moyo vibaya sana. Niliapa nikasema lazima nimulize Elton akirudi. Nilihitaji kujua sababu
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* *14&15* Maneno ambayo Elijah alinambia yalinivunja moyo vibaya sana. Niliapa nikasema lazima nimulize Elton akirudi. Nilihitaji kujua sababu
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* Chapter 13  Ile busu lilifanya tujihisi tupo kwenye dunia nyingine kwa dakika tano hivi hatukuwa sisi nikajiuliza, "mbona naenjoy hii kitu?"
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* Chapter 13 Ile busu lilifanya tujihisi tupo kwenye dunia nyingine kwa dakika tano hivi hatukuwa sisi nikajiuliza, "mbona naenjoy hii kitu?"
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* *SEHEMU YA KUMI NA SITA*  Asubuhi tuliamka wote, tukicheza na mito kama watoto. Elton alikuwa ananikimbiza chumbani na kila aliponikamata alinikumbatia na kunibusu
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* *SEHEMU YA KUMI NA SITA* Asubuhi tuliamka wote, tukicheza na mito kama watoto. Elton alikuwa ananikimbiza chumbani na kila aliponikamata alinikumbatia na kunibusu
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫*  Chapter 9  Elton alikuja jikoni pale nilipokuwa nimekaa, Akanikamata mkono wangu kwa nguvu, akaniambia kwa hasira
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* Chapter 9 Elton alikuja jikoni pale nilipokuwa nimekaa, Akanikamata mkono wangu kwa nguvu, akaniambia kwa hasira
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* Chapter 8  Nilikumbuka jinsi chai inavyopikwa, nikadhani labda kahawa nayo ni hivyohivyo
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* Chapter 8 Nilikumbuka jinsi chai inavyopikwa, nikadhani labda kahawa nayo ni hivyohivyo
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*  Ile simu ya Siku ya kuripoti kituo cha polisi ikafika. Nilipaswa kwenda peke yangu, ila Elijah akaniambia atanipa kwa gari
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Ile simu ya Siku ya kuripoti kituo cha polisi ikafika. Nilipaswa kwenda peke yangu, ila Elijah akaniambia atanipa kwa gari
_* *AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫*   Chapter 7  Siku hiyo ilikuwa ngumu sana, yani hata sijui nilikuwa nafanya nini. Nilisimama tu pale kwa dakika tano nikiwaza "Sasa hii...
_* *AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* Chapter 7 Siku hiyo ilikuwa ngumu sana, yani hata sijui nilikuwa nafanya nini. Nilisimama tu pale kwa dakika tano nikiwaza "Sasa hii...
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😫😫πŸ₯±* *1-5* * *SEHEMU YA KWANZA*  Ilikua kama wiki mbili zimepita tangu nirudi kutoka Canada. Nililazimishwa kurudi nyumbani kwa sababu baba aligundua kule sikusoma kabisa. Nilikuwa...
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😫😫πŸ₯±* *1-5* * *SEHEMU YA KWANZA* Ilikua kama wiki mbili zimepita tangu nirudi kutoka Canada. Nililazimishwa kurudi nyumbani kwa sababu baba aligundua kule sikusoma kabisa. Nilikuwa...
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* *SEHEMU YA SITA*  Kabla hata sijamjibu kitu, akanirukia na kuanza kunishika shika hadi Mwili wangu ukaanza kulegea.
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* *SEHEMU YA SITA* Kabla hata sijamjibu kitu, akanirukia na kuanza kunishika shika hadi Mwili wangu ukaanza kulegea.
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE

NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE

352
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15

241
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14

163
πŸ’‹ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO πŸ’‹ 18

πŸ’‹ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO πŸ’‹ 18

101
Kinachomtisha Mgosi ni kuwa Edna Lema anawachezaji walioonekana wa kawaida Simba

Kinachomtisha Mgosi ni kuwa Edna Lema anawachezaji walioonekana wa kawaida Simba

8

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

12.05K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.73K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.92K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.68K
MY WANGU❀️ sehemu ya 108

MY WANGU❀️ sehemu ya 108

3.12K
MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

3.04K
MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

2.91K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.88K
MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

2.78K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.72K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE
@majario LIVE

:141 Nikamwambia kwa ujumbe β€œBoss ni usiku sana, nenda nyumbani, tutaongea kesho naomba nipumzike.” Akanijibu β€œsitaondoka hapa mpaka uje kunisikiliza.” Nikamuonyesha Dorice, Dorice akasema β€œkamsikilize Labda ni muhimu.” Nikamwambia Dorice β€œkusema kweli mimi roho...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Simu ilikatwa,nilichanganyikiwa,iv nimeskia kweli au ni mawenge yangu?keanu ananisaliti?yani maneno yake makavu yote aliyoniambia hayakua na maana sikuyajali kabisa nilijali mwanamke alieongea.nikasema hapana ngoja,nikapiga simu iliita ikakatwa,nilipiga tena ikakatwa,nikapiga...

Kinachomtisha Mgosi ni kuwa Edna Lema anawachezaji walioonekana wa kawaida Simba Post Mpya
Kinachomtisha Mgosi ni kuwa Edna Lema anawachezaji walioonekana wa kawaida Simba
@majario LIVE

ila sasa wapo kwenye kiwango cha hali ya juu kiasi cha baadhi kuitwa timu zao za taifa. Diana Mnally Ritticia Nabbosa Precious Christopher Wincate Kaari Aisha Djafar Edna Lema...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Mmmh nilihisi utumbo unacheza, kwa nn haruhusiwi ndoa sasa? Au ameoa? Nilijiuliza sana, keanu akasema sijakuelewa kwa nn siruhusiwi kuoa sasa? Akasema kuna mashart katika kila kanisa ili...

πŸ’‹ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO πŸ’‹ 18 Post Mpya
πŸ’‹ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO πŸ’‹ 18
@majario LIVE

Mida ya jioni vipindi vilipoisha tuliongozana na Glad hadi kwa kaka yake ilikuwa ni saa kumi na moja za jioni hivyo alikuwa kasharudi toka kazini tulimkuta nyumbani 🏑. Karibuni...

CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10 Post Mpya
CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10
@majario LIVE

SEHEMU YA 08 "Kwanza haoni ajabu kukufukuza,na akisema hakutaki ujue hakuna was kukutetea hata mama hataongea .... kwaiyo muangalie hivyo hivyo kauli yake moja tu inakuondoa........... Nicole aliposema hivyo nilimuogopa sana...

Iran rejects peace plan and mocks Trump Akhtar Makoii Post Mpya
Iran rejects peace plan and mocks Trump Akhtar Makoii
@mjukuu LIVE

Screengrab from video put out by Iranian state media Tasnim News of an Iranian missile with Trump's name on it, in response to the great gift from Iran Trump claimed...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE
@majario LIVE

:131 Nikawa natoa ile bahasha. Vile natoa, namuona Boss Yule anakuja. Ni wazi alisikia kengele au aliniona kwa juu. Nikasema kwa ndani β€œniondoke?” Ataona Kama namkimbia, Nikajikaza pale kusubiri. Basi kweli alifika,...

MFALME KIPOFU  27 Post Mpya
MFALME KIPOFU 27
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 27 (FINAL) Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Nawauliza Princess Nailet yupo wapi? alipotazama Pembeni hakuamini kuona mwili wa binti yake....... ENDELEA NAYO...... Mfalme Tengu alilia kama mtoto mdogo "Pole sana mfalme kwa kipindi kigumu unachopitia Prince...

MFALME KIPOFU  25 -- 26 Post Mpya
MFALME KIPOFU 25 -- 26
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 25 Whatsapp.............0748697173 ilipoishia sehemu iliyopita....... Maneno ya Lindiwe yalimfanya Princess Nailet kutabasamu nakutulia kuwaacha waongonzane watu watatu tu Malikia,Prince Yao na Amma mwenyewe kwenda kutafuta iyo dawa...... ENDELEA NAYO.......... Malikia andwaa aliongoza msafara wa...

MFALME KIPOFU  23 -- 24 Post Mpya
MFALME KIPOFU 23 -- 24
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 23 Whatsapp.............0748697173 ilipoishia sehemu iliyopita....... Maneno yale yalipenya kwenye masikio ya Amma na baadhi ya watu waliokuwa pale wakitazama tu badala ya kutoa msaada,Babaaaaa............ ENDELEA NAYO.......... "Baba amka",Amma alimwita baba yake, Aliye kuwa tayali amepoteza...

MFALME KIPOFU  21 -- 22 Post Mpya
MFALME KIPOFU 21 -- 22
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 21 Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Malikia alichanganyikiwa baada ya kusikia maneno yale ya dakitari Malikia aliita walinzi na ,kuwapa maagizo ya kuwakamata matabibu wote...... ENDELEA NAYO....... Walisubili pakuche msako uanze wa kuwakamata matabibu...

MFALME KIPOFU  19 -- 20 Post Mpya
MFALME KIPOFU 19 -- 20
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............19 Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita...... Ni mapenzi ya ajabu aliyokuwa nayo Princess Nailet kwa Yao licha ya kumfahamu kwa mda mfupi tu lakini aliteka sehemu kubwa ya moyo wake... ENDELEA NAYO....... Aliendelea na safari ya...

MFALME KIPOFU  17 -- 18 Post Mpya
MFALME KIPOFU 17 -- 18
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............17 Ilipoishia sehemu iliyopita...... Lindiwe alitege sikio vizuri na kweli alisikia sauti emu njoo huku alimvuta Prince Yao pembeni na kujificha sehemu ni ngumu kuonekana. Namu sura ya General haikutoka machoni mwake alimuona...

MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17 Post Mpya
MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17
@mjukuu LIVE

Ilipoishia sehemu iliyopita...... Asikari",Mfalme Tengu aliita kwa hasira "Nendeni mkawarudishe haraka" "Mfalme tayali wameshavuka mpaka" "Nimesema nendeni mkawarudishe" Waliondoka na kumuacha Mfalme akiendelea ..... SEHEMU YA 16 ENDELEA NAYO...... Waliondoka na kumuacha mfalme akiendelea kuongea na binti...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest