Ingia

Sema Jambo

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94
  artist

DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 05

31st May, 2025 Views 72

DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 05

Ilipoishia....
Ulianguka na hilo tatizo limekupata lini la kuanguka Martha?"aliuliza kwa mara nyingine.
Wote tuliangaliana na tusijue cha kusema mbele ya mama mkwe wangu...

ENDELEA NAYO.......
Wote tuliangaliana na tusijue cha kusem a mbele ya mama mkwe wangu.
"Mama ni tatizo dogo tu haina haja ya kuwa na wasiwasi",Martha aliongea.
"Tatizo dogo??,uanguke na uanze kutetemeka alafu unasema tatizo dogo kama umeamua kunificha mimi mama yako ni sawa",Mama mkwe aliongea na kuamua kuondoka na kutuacha pale mimi na mke wangu, sasa lawama zikahamia kwangu.
"Oscar unaona mpaka leo imefikia hatua ya kumdanganya mama yangu, nimekupa siku tano tu sitaki kuelewa, mwambie akupe iyo dawa huyo mzungu wako"
"Lakini mke wangu wewe mwenyewe siumeona maisha angalau yamebadilika tungeziachaje izo milion 100 kipenz?".
Niliongea lakini hakuongea kingine martha zaidi ya kuingia chumbani.
"Kazi ipo hapa natakiwa nimtafute doctor peter", nilijisemea na kuamua kumtafuta ila namba yake ilikuwa haipatikani kabisa ndipo nilipokumbuka kuwa aliniambia ataenda uingeleza,
"Ohhhh shiiit, nafanyeje sasa hapa", nilitoka nakurudi kazini kuendelea na kazi kama kawaida.

Siku zilipita miezi nayo ikapita pasipo doctor peter kuonekana na ata mke wangu Martha alikuwa tayali amesha punguza manung'uniko mana nilikuwa nafika mda mwafaka kwaajili ya kumuzagamua na tulikuwa tumeshezoea kufanya mapenzi kila inapofika saa 7:00 mchana.
Siku moja nikiwa dukani kwangu majira ya asubuhi saa 3 nilishangaa polisi wamefika katika duka langu la nguo,
"Kijana habari yako"
"Salama karibuni",Niliwajibu huku nikiwa na hofu kidogo.
"Nazani sare zetu zinajieleza kuwa sisi ni polisi na tupo hapa kukagua kama dukani kwako kuna nguo yoyote ile ya kijeshi", Afande aliongea.
Nilianza kutetemeka mana jana yake tu nilitoka kununua tishet na bukuta za watoto za kijeshi na zilikuwa dukani kwangu, pasipo ata kuwapa ruhusa waliingia dukani na kuanza kukagua na kuzikuta nguo izo za kijeshi.
"Kijana hukusikia matangazo yetu?"
"Samahani jamani sitarudi tena kuziuza"
"Funga duka lako na twende kituoni", asikari aliongea ikabidi nikafanya kama walivyokuwa wanataka na siku hiyo tulikamatwa karibu kila mtu mwenye duka la nguo.

Tulipelekwa mpaka polisi kwa ajili ya kufunguliwa mashitaka ya kuuza nguo za kijeshi na kama unavyojua taratibu za nchi yetu zilivyo mambo mengi hutumia mda mrefu. tulikaa pale mpaka inafika mida ya saa 6 :30 bado tulikuwa tunajitetea tu ndipo mawazo juu ya mke wangu yakaanza kuja ,
"Afande samahani naomba ruhusa nikaongee na mke wangu kwenye simu"
"Wewe nenda tu ila hakikisha ndani ya dekika 5 uwe umesharudi hapa"

Nilitoka mle ndani na niliamua kutoka pale kituoni kwanza ili nimuwahi Martha kwa ajili ya kumpa dozi, safari ilianza kwa kutumia usafiri wa bodaboda kama ilivyo kawaida yangu ili niwahi kufika haraka tukiwa barabarani trafic akaipigia mkono pikipiki niliyo kuwa nimepanda dereva bodaboda ikabidi asimamishe,
"Eheee!!, helement iko wapi?", ndio swali la kwanza alilokutana nalo dereva wangu na kweli nilipomtazama hakuwa na helement kichwani"
"Samahani kiongozi elementi yangu ilipata shida kidogo",alimjibu trafic yule.
"Aya shuka haraka kwenye pikipiki, na wewe hapo ni abiria au ni nani?".
"Ndio afande mimi ni abiria tu"
"Mda mwingine uwe makini hautakiwi kupanda kwenye pikipiki bira kumuomba dreva helementi kwa ajili ya usalama wako", trafic aliongea huku akiongozana na yule jamaa na kuniacha mimi nikisubiri kuona mwafaka utakuwaje,
"hili sasa balaa", niliongea huku nikitazama saa yangu.
"Heeee bado dekika 5 ifike saaa 7:00 " sikutaka tena kumsubiri yule jamaa niliondoka maeneo yale bira ata kumlipa na kwenda kutafuta usafiri mwingine na bahati nzuri nilifanyikiwa kupata safari ikaanza na ndani ya dekika 6 tu tukawa tumefika ikiwa na maana ni saa 7:01, dekika moja tayali ilikuwa imeshaenda nilimlipa ela yake nakwenda mbiombio mpaka ndani.
Nilienda chumbani sikufanyikiwa kumkuta mke wangu ila nilivyotega masikio vizuri nilisikia masufuria yakipigwapigwa maeneo ya jikoni nilitoka mbiombio mpaka jikoni niangalie tatizo nini ajabu nilimkuta mke wangu yupo chini na akirusha miguu iliyokuwa ikipiga masufuria ovyo mle jikoni,

Haraka nikambeba kwa tabu mpaka sebleni sikutaka kwenda nae chumbani nilipaona kama mbali na uzuri tulikuwa tumeshaongea na mke wangu kuwa ikikaribia iyo mida avae nguo ambazo hazita nipa tabu kumvua, nilimvua na kuanza kushugulika kama ilivyo kawaida mke wangu alitoa miguno ya kila aina ni kama kulikuwa na jini mahaba ndani yake temu hii sikujua ni kwanini kiukweli mpenzi msomaji ni ngumu kukuelezea ila sauti aliyokuwa anatoa ni kama kulikuwa na mtu mwingine kwenye mwili wa mke wangu.
Utamu aliokuwa nao ata kama mwanaume anatabia ya kuwahi kukinai mwanamke basi asingeweza kumkinai Martha kwa jinsi alivyo kuwa na yeye hakuwa mbali baada ya hali yake kuanza kurudi kwenye uimala wake alianza kunipa ushirikiano mke wangu, ila sasa tukiwa tunaendelea kuzagamuana pale sebleni tulisikia mtu akibisha hodi nilitaka kujichomoa kwenye mwili wa Martha lakini alinizuia na kunivuta tuendelee na mechi mpaka pale atakapolizika yeye mchezo uliendelea wa kumtafuta mshindi huku mlango ukiendelea kugongwa na temu hii speed ya mlango kugongwa ikiongezeka mara dufu, lakini sisi huku hatukuwa na habari kabisa mpaka pale nilipofunga goli moja matata na mke wangu nae akafunga na mechi kuisha moja kwa moja,

Ndipo wote akili zikaja sasa haraka nilivaa nguo chapchap na mke wangu akabeba nguo yake nakuelekea chumbani,
Nilienda kufungua mlango na macho yangu haya kuamini kile nilichokiona walikuwa ni polisi waliokuja pale nyumbani kwangu....ITAENDELEA..
   

SIMULIZI NA SAUTI
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork

HONGERA WEWE NDIO MSHINDI WA VOCHA YA LEO VOCHA NAMBA (499712343590381) MTANDAO VODACOM TUMA NENO NIMESHINDA KWENDA NAMBA 0768304821


mjukuu rewards 100 Comments 0
 

side chick episode 3

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

SIDE CHICK EPisode 2

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CAREEN Sehemu ya 18

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CAREEN Sehemu ya 17

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CAREEN Sehemu ya 16

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CAREEN Sehemu ya 8

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CAREEN Sehemu ya 1

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

RATIFA Sehemu ya 32

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

JINA LANGU SHAMSA EP3

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

JINA LANGU SHAMSA EP2

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

JINA LANGU SHAMSA EP1

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

BOYCHILD PART 3

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

DRAMA OF LOVE part 4.

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

DRAMA OF LOVE part 3

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

NJERI part 29

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

LOVE Part 1

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

NJERI part 28

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

NAWASHWAA Sehemu nne.

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

NJERI part 26

mrindia rewards 100 Comments 0
 

NJERI part 25

Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest