Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 04
Gonga94 · Stories

DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 04

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 04


Ilipoishia....
Mwanangu mbona umezubaa kuna tatizo huko nyumbani"
"Heee unasemaa",nilijikuta nikisindwa kuongea vizuri mbele ya mama yake na Martha......

ENDELEA NAYOOOOOO..
"Unatatizo gani kijana mbona kama haupo sawa", Mama mkwe aliongea hapo ilibidi nitumie akili zangu za kuzaliwa.
"Mama kiukweli nina tatizo, boss ameniambia niende kazini sasa ivi na niwahi ndio mana unaniona kwenye hii hali"
"Ungesema mwanangu aya nenda ukifika nyumbani umtarifu binti yangu Martha anitafute sawa"
"Aya mama "Nilikuwa namjibu huku nikiita usafiri wa pikipiki kwa ajili ya kuwahi nyumbani kwenda kumpa dozi mke wangu.

Ndani ya dekika 7 nilikuwa tayali nimeshafika nyumbani na kumpa dozi mke wangu kama inavyo takiwa na baada ya kumaliza Martha alikuwa akinilalamikia sana,
"Ipo siku utakuta nimekufa humu ndani maisha gani haya oscar"
"Sitachelewa kurudi tena mke wangu na kuanzia kesho nitakuwa nakuja mda mwafaka zaidi ili tuzagamuane kipenzi"., nilimwambia Martha.
Licha ya utamu niliokuwa naupata kutoka kwa mke wangu kuna mda nilikuwa namuonea huruma kwa alivyo kuwa analalamika ivyo ikanibidi nimtafute doctor peter kuangalia kama anaweza kunisaidia kwenye hili na aliniomba tuonane kwa ajili ya mazungumzo zaidi,
"Ndio ivyo doctor kama nilivyokueleza raha napata sawa nikifanya mapenzi na mke wangu lakini tatizo ni mtetemo unao mshika mke wangu anakuwa anateteme ka sana mpaka anaogopesha".
"Usijali kijana mda sio mrefu nitaenda uingeleza nikashauliane na madoctor wenzangu kuangalia namna ya kulitatua ilo tatizo"
"Heeee!!kama unaenda uingeleza vip hali ya mke wangu huku?"
"Nimekwambia naenda ila sijakwambia kwamba sitarudi huku ni lazima nitarudi kukupa majibu".
Doctor peter aliongea na hakutaka kuongea maneno mengi alinyenyuka nakuondoka hapo ndipo nilipojua kuwa zile milion 100 lazima nizitolee jasho.

Kwakuwa mda ulikuwepo wa kutosha niliamua kuzunguka kwa ajili ya kuangalia flame ya biashara, na kama unavyojua ukiwa na pesa karibu kila kitu utakipata tena kwa mda mwafaka nilifanyikiwa kupata flame na nilirudi nyumbani na kumweleza mke wangu pia tulishauliana biashara gani tufanye na wote mawazo yetu yaliangukia kwenye kuuza nguo za special.
Siku zilisogea huku tayali tumeshafungua biashara na mda mwingi mimi nikiwa dukani na mke wangu akiwa nyumbani sasa siku moja mama mkwe alikuja kumtembelea mwanae na ata yeye alishangaa juu ya sisi kumiliki nyumba hakutegemea kama tutawahi kufanyikiwa kiasi hicho ilikuwa mida ya saa 6 mchana mimi niliamua kutoka dukani na kwenda nyumbani ili kusubiri mda maalumu ufike wa kumpa dozi mke wangu.

Nilifika nyumbani mida ya saa 6:40 nakuwakuta mama na mtoto wakipiga story mke wangu alielewa kuniona pale mana ndio mda wetu ule wa kuzagamuana,
Mama mkwe wangu ni mtu wa dini sana ajabu ile nafika tu mama mkwe akasema simameni niwaombee niwape baraka wanangu.
"Mmh mama ata siku nyingine utatuombea",Mke wangu aliongea.
"Martha ndio mana huendi kusali siku izi emu simameni niwaombee", Mama mkwe aliongea kiukali kidogo hapo ilibidi Martha awe mpole tu na mama mkwe akaanza kuomba huku sisi akili zetu zikiwa kwenye saa 7:00.
Mama mkwe alianza kuomba na kama unavyojua watu wa dini mda mwingine wanatumia mda mrefu kuomba ndivyo ilivyotokea saa 7:00 ikatukuta tukiwa bado pale na mama mkwe bado anaomba tu gafra Martha alidondoka chini,
"Marthaaa!!",Mama mtu aliita alivyoona mtoto wake kaanguka chini nakuanza kutetemeka.
Mama mkwe wangu aliendelea kumkemea mke wangu akijua ni mapepo yamepanda mimi wakati huo nikizidi kutetemeka tu na jasho kunitoka nisijue cha kufanya.
"Pepo tokaaaa... toka pepo katika....", aliendee kuomba mama mkwe.

Nilifikilia nakuona huu ni ujinga sasa nilimbeba mke wangu nakumpeleka chumbani huku mamamkwe akinifata ilibidi nimwombe atoke nje mara moja,
"Nitoke nje!! mwanangu yupo katika hali mbaya unaniambia nitoke?"
"Ndio mama nakuomba utoke tu na atakuwa sawa Martha",nilimjibu.
"Natoka na ole wako mwanangu asiwe sawa, ole wako Oscar utajuta", aliondoka huku kaniachia vitisho na wala siku yajali maneno yake zaidi ya kuvua nguo zangu na kuuandaa mtambo wangu wa mabao vizuri kwa ajili ya mechi, kama kawaida yetu tulianza kuzagamuana mpaka pale hali ya mke wangu ilipoanza kuwa sawa na akaanza kunipa ushirikiano na kila mtu kufika kileleni,
Ajabu mke wangu akaanza kulia baada tu ya kumaliza kufanya nae mapenzi,
"Unalia nini sasa Martha na wewe??"
"Huoni kilichotokea leo naanguka mbele ya mama yangu mzazi"
"Usijali hali itakuwa sawa tu ila hatakiwi kujua mama yako hii siri yetu nakuomba sana mke wangu usimwambia",niliongea kwa upole mana nilijua mambo yana weza kuwa mabaya zaidi kama akimwambia mama yake.
"Nakupa siku tano(5) oscar dawa iwe imepatikana na mimi nirudi kwenye hali yangu la siivyo tutaonana wabaya", Martha aliongea.
Tukiwa bado tunaongea mle chumbani,
"Ng'oong'oong'oong'oo!!, wewe oscar mwanangu anaendeleaje humo ndani", alikuwa ni mama mkwe aliye kuwa akigonga hodi tulinyenyuka mimi na mke wangu nakujifuta jasho kisha kuvaa vizuri na wote tukatoka kwa pamoja tukimkuta mama mkwe wangu amesimama mlangoni,
"Nini kinachoendelea kwenye hii nyumba?",
Ndio swali la kwanza tulilokutana nalo kutoka kwa mama mkwe.
"Mama nilianguka tu"
"Ulianguka na hilo tatizo limekupata lini la kuanguka Martha?"aliuliza kwa mara nyingine.
Wote tuliangaliana tu tusijue cha kusema mbele ya mama mkwe wangu...ITAENDELEA

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Distro kid Upload your music To day
Distro kid Upload your music To day
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 04

DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 04


Ilipoishia....
Mwanangu mbona umezubaa kuna tatizo huko nyumbani"
"Heee unasemaa",nilijikuta nikisindwa kuongea vizuri mbele ya mama yake na Martha......

ENDELEA NAYOOOOOO..
"Unatatizo gani kijana mbona kama haupo sawa", Mama mkwe aliongea hapo ilibidi nitumie akili zangu za kuzaliwa.
"Mama kiukweli nina tatizo, boss ameniambia niende kazini sasa ivi na niwahi ndio mana unaniona kwenye hii hali"
"Ungesema mwanangu aya nenda ukifika nyumbani umtarifu binti yangu Martha anitafute sawa"
"Aya mama "Nilikuwa namjibu huku nikiita usafiri wa pikipiki kwa ajili ya kuwahi nyumbani kwenda kumpa dozi mke wangu.

Ndani ya dekika 7 nilikuwa tayali nimeshafika nyumbani na kumpa dozi mke wangu kama inavyo takiwa...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/dozi-ni-saa-7-00-mchana-04

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi dozi-ni-saa
DOZI NI SAA 7:00 MCHANA (01)
DOZI NI SAA 7:00 MCHANA (01)
DOZI NI SAA 7:00 MCHANA (02)
DOZI NI SAA 7:00 MCHANA (02)
DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 05
DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 05
DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 03
DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 03
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*MY WANGU❤️*   *sehemu ya 109 na 110*

*MY WANGU❤️* *sehemu ya 109 na 110*

1.08K
MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112

MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112

871
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 59 na 60

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 59 na 60

635
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 70...71💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 70...71💘💘

455
*REALLY LOVE Chapter 20

*REALLY LOVE Chapter 20

233
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 8

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 8

152
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9

143
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * 5 to 6

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * 5 to 6

87
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *SEHEMU YA NNE*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *SEHEMU YA NNE*

81
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 6

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 6

59

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.22K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.94K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.7K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.11K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.49K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.43K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.33K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.32K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.27K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.19K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
*AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️*   *SEHEMU YA 01 & 4 Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️* *SEHEMU YA 01 & 4
@majario LIVE

ANZA NAYO…… “Wewe sikiliza umu Ndani teshachoka kukulea sasa, Kazi utaki kufanya, unataka kukaa tu, unataka tukulishe na kukuvisha Binti akili zako Zipo Sawa au ? Sasa...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 7 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 7
@majario LIVE

Wale wadada wakanyamaza kidogo, wakaniangalia kuanzia kichwani mpaka miguuni. Mmoja akauliza “Huyu ni nani tena?” Nikavuta pumzi ndefu, nikajikaza. “Sikujua kama leo ni sherehe, , mie ni mke wake” nikasema kwa sauti ya...

mwanzilishi mwenza wa YouTube Karim mwenye umri wa miaka 25 wakati huo katika Zoo ya San Diego akizungumza kuhusu Post Mpya
mwanzilishi mwenza wa YouTube Karim mwenye umri wa miaka 25 wakati huo katika Zoo ya San Diego akizungumza kuhusu
@majario LIVE

Ukurasa wa kutazama wa YouTube unaangazia upakiaji wa kwanza kabisa unaoitwa "Me at the zoo," ikionyesha mwanzilishi mwenza wa YouTube Karim mwenye umri wa miaka 25 wakati huo katika Zoo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 6 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 6
@majario LIVE

Maneno ya Boda boda yalikuwa yananifikirisha sana, nikafika nyumbani sina hata rahaa, kila nikapiga sana simu ya D hakuwa anapokea nilipiga sanaaa hata hapokeii .. Usingizi hauji yaani kila nikikumbuka wale...

Ghana released the passport of the Russian guy accused of filming African women without consent. They named him as 36-year-old Vladislav Liulkov Post Mpya
Ghana released the passport of the Russian guy accused of filming African women without consent. They named him as 36-year-old Vladislav Liulkov
@majario LIVE

after talks with the Russian ambassador as it tries to extradite him back to face charges. “Working with the Ghana Police CID, we have activated international legal action through INTERPOL...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9
@majario LIVE

SONGA NAYO...... "Uwiiiii mamaaa, sir nisamehe.." Alilalamika yule mwanafunzi. ( yani unaongea hivyo na mtu ambaye ananifanya nikose usingizi, nishindwe kula harafu unaongea unavyojisikia na mimi nikiwa hapa kabisa, pokea na hicho..) Nikamshushia kingine...

AFISA Habari wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), Karim Boimanda ametoa sababu za mchezo wa Dabi ya Kariakoo Post Mpya
AFISA Habari wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), Karim Boimanda ametoa sababu za mchezo wa Dabi ya Kariakoo
@majario LIVE

utakaopigwa Machi 01, 2026 kuhamishiwa katika uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar badala ya Benjamin Mkapa kama ilivyopangwa awali na kubainisha kwamba kanuni zinaruhusu. Akizungumza na chombo kimoja cha Habari...

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 70...71💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 70...71💘💘
@majario LIVE

Ucjali lia mimi tayari nimeshakusamehe na ninakuombea kwa mwenyezi mungu akuponye uweze kurudi kwenye hali yako ya kawaida.... lia aliomba msamaha kwa paschal kutokana na vishawishi alivyokuwa akimpatia na hivyo...

MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112
@majario LIVE

Nikasem na mm pia simkumbuki. Rahul akasema unamkumbuka mma.si yule alikua nanibeba . Nikasema simjuh mbona unanilazimisha. Mwanangu si ndo akakumbuk akasema ni elly bibi. Anaitwa bab elly. Uzuri...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 8 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 8
@majario LIVE

SONGA NAYO.... Basi kama mwalimu nikamwambia Lizy apite akae, kweli na yeye akaenda na kukaa, kisha nikawatazama hao wanafunzi sasa walikuwa wananiangalia hao na mimi nikatoa mimacho yangu yote nje na...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * 5 to 6 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * 5 to 6
@majario LIVE

Chapter 5 Kulikucha ila hata leo nilichelewa kuamka maaana dada pia inavyoonekana jana alichoka sana hivyoo na yeye pia alilala sana hakuamka pia nikajikuta nimeshtuka saaa moja ikabidi tu niwahi kujiandaa...

Baby Guddu, whose real name is Shahinda Baig, was one of the most loved child stars of her time. The daughter of filmmaker M. M. Baig Post Mpya
Baby Guddu, whose real name is Shahinda Baig, was one of the most loved child stars of her time. The daughter of filmmaker M. M. Baig
@majario LIVE

, she began acting when she was just three years old and quickly became a favorite among audiences for her innocent charm and natural expressions. During the 1970s and early...

Sad 😢 : Mtayarishaji mkongwe wa filamu Bollywood  M.M Baig, baba wa aliyekuwa msanii mtoto maarufu wa zamani Baby Guddu, Post Mpya
Sad 😢 : Mtayarishaji mkongwe wa filamu Bollywood M.M Baig, baba wa aliyekuwa msanii mtoto maarufu wa zamani Baby Guddu,
@majario LIVE

na aliyeshiriki katika kutayarisha filamu kama Razia Sultan pamoja na kuongoza filamu ya Chhoti Bahu, alikutwa akiwa amefariki nyumbani kwake, msemaji wake bwana Hanif Zaveri amethibitisha. Kwa mujibu wa taarifa Baig...

Nottingham Forest beat Fenerbahçe 3-0 in the first leg of their UEL knockouts playoffs tie. Post Mpya
Nottingham Forest beat Fenerbahçe 3-0 in the first leg of their UEL knockouts playoffs tie.
@majario LIVE

Nottingham Forest beat Fenerbahçe 3-0 in the first leg of their UEL knockouts playoffs tie. The Vítor Pereira era is off to a winning start ✅

Suniel Shetty has been married to Mana Shetty (born Monisha Kadri) since December 25, 1991, and their love story is truly old-school Post Mpya
Suniel Shetty has been married to Mana Shetty (born Monisha Kadri) since December 25, 1991, and their love story is truly old-school
@majario LIVE

. They met back in the 1980s and dated for almost nine years before getting married. Coming from different cultural backgrounds, their relationship did face resistance initially, but love and...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest