Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 04
Gonga94 Β· Stories

DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 04

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 04


Ilipoishia....
Mwanangu mbona umezubaa kuna tatizo huko nyumbani"
"Heee unasemaa",nilijikuta nikisindwa kuongea vizuri mbele ya mama yake na Martha......

ENDELEA NAYOOOOOO..
"Unatatizo gani kijana mbona kama haupo sawa", Mama mkwe aliongea hapo ilibidi nitumie akili zangu za kuzaliwa.
"Mama kiukweli nina tatizo, boss ameniambia niende kazini sasa ivi na niwahi ndio mana unaniona kwenye hii hali"
"Ungesema mwanangu aya nenda ukifika nyumbani umtarifu binti yangu Martha anitafute sawa"
"Aya mama "Nilikuwa namjibu huku nikiita usafiri wa pikipiki kwa ajili ya kuwahi nyumbani kwenda kumpa dozi mke wangu.

Ndani ya dekika 7 nilikuwa tayali nimeshafika nyumbani na kumpa dozi mke wangu kama inavyo takiwa na baada ya kumaliza Martha alikuwa akinilalamikia sana,
"Ipo siku utakuta nimekufa humu ndani maisha gani haya oscar"
"Sitachelewa kurudi tena mke wangu na kuanzia kesho nitakuwa nakuja mda mwafaka zaidi ili tuzagamuane kipenzi"., nilimwambia Martha.
Licha ya utamu niliokuwa naupata kutoka kwa mke wangu kuna mda nilikuwa namuonea huruma kwa alivyo kuwa analalamika ivyo ikanibidi nimtafute doctor peter kuangalia kama anaweza kunisaidia kwenye hili na aliniomba tuonane kwa ajili ya mazungumzo zaidi,
"Ndio ivyo doctor kama nilivyokueleza raha napata sawa nikifanya mapenzi na mke wangu lakini tatizo ni mtetemo unao mshika mke wangu anakuwa anateteme ka sana mpaka anaogopesha".
"Usijali kijana mda sio mrefu nitaenda uingeleza nikashauliane na madoctor wenzangu kuangalia namna ya kulitatua ilo tatizo"
"Heeee!!kama unaenda uingeleza vip hali ya mke wangu huku?"
"Nimekwambia naenda ila sijakwambia kwamba sitarudi huku ni lazima nitarudi kukupa majibu".
Doctor peter aliongea na hakutaka kuongea maneno mengi alinyenyuka nakuondoka hapo ndipo nilipojua kuwa zile milion 100 lazima nizitolee jasho.

Kwakuwa mda ulikuwepo wa kutosha niliamua kuzunguka kwa ajili ya kuangalia flame ya biashara, na kama unavyojua ukiwa na pesa karibu kila kitu utakipata tena kwa mda mwafaka nilifanyikiwa kupata flame na nilirudi nyumbani na kumweleza mke wangu pia tulishauliana biashara gani tufanye na wote mawazo yetu yaliangukia kwenye kuuza nguo za special.
Siku zilisogea huku tayali tumeshafungua biashara na mda mwingi mimi nikiwa dukani na mke wangu akiwa nyumbani sasa siku moja mama mkwe alikuja kumtembelea mwanae na ata yeye alishangaa juu ya sisi kumiliki nyumba hakutegemea kama tutawahi kufanyikiwa kiasi hicho ilikuwa mida ya saa 6 mchana mimi niliamua kutoka dukani na kwenda nyumbani ili kusubiri mda maalumu ufike wa kumpa dozi mke wangu.

Nilifika nyumbani mida ya saa 6:40 nakuwakuta mama na mtoto wakipiga story mke wangu alielewa kuniona pale mana ndio mda wetu ule wa kuzagamuana,
Mama mkwe wangu ni mtu wa dini sana ajabu ile nafika tu mama mkwe akasema simameni niwaombee niwape baraka wanangu.
"Mmh mama ata siku nyingine utatuombea",Mke wangu aliongea.
"Martha ndio mana huendi kusali siku izi emu simameni niwaombee", Mama mkwe aliongea kiukali kidogo hapo ilibidi Martha awe mpole tu na mama mkwe akaanza kuomba huku sisi akili zetu zikiwa kwenye saa 7:00.
Mama mkwe alianza kuomba na kama unavyojua watu wa dini mda mwingine wanatumia mda mrefu kuomba ndivyo ilivyotokea saa 7:00 ikatukuta tukiwa bado pale na mama mkwe bado anaomba tu gafra Martha alidondoka chini,
"Marthaaa!!",Mama mtu aliita alivyoona mtoto wake kaanguka chini nakuanza kutetemeka.
Mama mkwe wangu aliendelea kumkemea mke wangu akijua ni mapepo yamepanda mimi wakati huo nikizidi kutetemeka tu na jasho kunitoka nisijue cha kufanya.
"Pepo tokaaaa... toka pepo katika....", aliendee kuomba mama mkwe.

Nilifikilia nakuona huu ni ujinga sasa nilimbeba mke wangu nakumpeleka chumbani huku mamamkwe akinifata ilibidi nimwombe atoke nje mara moja,
"Nitoke nje!! mwanangu yupo katika hali mbaya unaniambia nitoke?"
"Ndio mama nakuomba utoke tu na atakuwa sawa Martha",nilimjibu.
"Natoka na ole wako mwanangu asiwe sawa, ole wako Oscar utajuta", aliondoka huku kaniachia vitisho na wala siku yajali maneno yake zaidi ya kuvua nguo zangu na kuuandaa mtambo wangu wa mabao vizuri kwa ajili ya mechi, kama kawaida yetu tulianza kuzagamuana mpaka pale hali ya mke wangu ilipoanza kuwa sawa na akaanza kunipa ushirikiano na kila mtu kufika kileleni,
Ajabu mke wangu akaanza kulia baada tu ya kumaliza kufanya nae mapenzi,
"Unalia nini sasa Martha na wewe??"
"Huoni kilichotokea leo naanguka mbele ya mama yangu mzazi"
"Usijali hali itakuwa sawa tu ila hatakiwi kujua mama yako hii siri yetu nakuomba sana mke wangu usimwambia",niliongea kwa upole mana nilijua mambo yana weza kuwa mabaya zaidi kama akimwambia mama yake.
"Nakupa siku tano(5) oscar dawa iwe imepatikana na mimi nirudi kwenye hali yangu la siivyo tutaonana wabaya", Martha aliongea.
Tukiwa bado tunaongea mle chumbani,
"Ng'oong'oong'oong'oo!!, wewe oscar mwanangu anaendeleaje humo ndani", alikuwa ni mama mkwe aliye kuwa akigonga hodi tulinyenyuka mimi na mke wangu nakujifuta jasho kisha kuvaa vizuri na wote tukatoka kwa pamoja tukimkuta mama mkwe wangu amesimama mlangoni,
"Nini kinachoendelea kwenye hii nyumba?",
Ndio swali la kwanza tulilokutana nalo kutoka kwa mama mkwe.
"Mama nilianguka tu"
"Ulianguka na hilo tatizo limekupata lini la kuanguka Martha?"aliuliza kwa mara nyingine.
Wote tuliangaliana tu tusijue cha kusema mbele ya mama mkwe wangu...ITAENDELEA

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 04

DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 04


Ilipoishia....
Mwanangu mbona umezubaa kuna tatizo huko nyumbani"
"Heee unasemaa",nilijikuta nikisindwa kuongea vizuri mbele ya mama yake na Martha......

ENDELEA NAYOOOOOO..
"Unatatizo gani kijana mbona kama haupo sawa", Mama mkwe aliongea hapo ilibidi nitumie akili zangu za kuzaliwa.
"Mama kiukweli nina tatizo, boss ameniambia niende kazini sasa ivi na niwahi ndio mana unaniona kwenye hii hali"
"Ungesema mwanangu aya nenda ukifika nyumbani umtarifu binti yangu Martha anitafute sawa"
"Aya mama "Nilikuwa namjibu huku nikiita usafiri wa pikipiki kwa ajili ya kuwahi nyumbani kwenda kumpa dozi mke wangu.

Ndani ya dekika 7 nilikuwa tayali nimeshafika nyumbani na kumpa dozi mke wangu kama inavyo takiwa...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/dozi-ni-saa-7-00-mchana-04

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi dozi-ni-saa
DOZI NI SAA 7:00 MCHANA (01)
DOZI NI SAA 7:00 MCHANA (01)
DOZI NI SAA 7:00 MCHANA (02)
DOZI NI SAA 7:00 MCHANA (02)
DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 05
DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 05
DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 03
DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 03
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

1.21K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49

1.16K
*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*

*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*

632
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39  na 40

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39 na 40

245
SHAMIRA Sehemu ya 48

SHAMIRA Sehemu ya 48

89
BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!

BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!

32
Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.

Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.

13
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda

#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda

5
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.68K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.41K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.82K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.31K
MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

2.91K
MY WANGU❀️ sehemu ya 108

MY WANGU❀️ sehemu ya 108

2.84K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.69K
MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

2.68K
MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

2.63K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.57K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda Post Mpya
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda
@majario LIVE

Estaste, Kinondoni baada ya HR Mkuu Mzee Shilatu na msimamizi Steven Diallo kuning'oa kutoka Ebony FM, Iringa. Nikapokelewa na Tom Chilala, Wiltrudies Mutembei @wiltrudiesmutembei kisha wakanikabidhi kwa "Semaji"...

*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*
@majario LIVE

Daaaah nilishangaaaa sana kwamba aya mambo yamekujaje kujaje, na mbona sielewi, nikasema mama sijaelewa yani kwamba umesema? , mama akanmbia nilishaongea sana na wewe millan, juu ya suala la wewe...

SHAMIRA Sehemu ya 48 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 48
@majario LIVE

Wassap;0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Akasema mimi pia nimekula njoga nikaoge basi chapi chapu. nikase​ma sawa. Kweli mwanaume akaenda kuoga nikabaki nimetulia tu na baada ya mda akatoka akanifata...

Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station. Post Mpya
Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.
@majario LIVE

Binafsi nilikuwa napenda sana vipindi vitatu pale RFA , 1 - Sindano 3 za moto, asubuhi na Fredwaa...!! 2 - Sitosahau na Sky Woker 3 - Showtime bongo moja ya show za...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39  na 40 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39 na 40
@majario LIVE

39 MPAKA 40 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Nilitukana kweli kweli kwemye gari umo. Ila barka hakunijibu alikuwa busy na kuendesha gari. Akawa ananipeleka mlandizi ukoo. Nikasema wewe mjinga unaenfa...

BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha! Post Mpya
BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!
@majario LIVE

Nikikupenda mimi inatosha, acha kuwa na presha, acha kuhangaika na ndugu zangu, kama wakikupenda ni ziada tu lakini haibadilishi chochote! Nani alikudanganya kuwa wanapaswa kukupenda! Mimi mwenyewe sina uhakika kama...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49
@majario LIVE

Daaah mchumba ndo kashanikatia simu mi nafanyaje sasa ,basi nikaweka simu pembeni tu, kisha nikapanda kitandani, nikavuta shuka , nikapumzika na asubih sana nikaamkia kazin na mwanangu lbraa,ibra akaniuliza...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38  na 39. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38 na 39.
@majario LIVE

kipande cha 38 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi ndo hivyo . Nikaikosa ndoa na bwana barka.na nikawa busy na maisha yangu . Na mambo yangu. Na nikazidisha mapenzi tu kwa...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma.
@majario LIVE

36 MPAKA 37 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Maua akasema khaaa yani unanitukana mimi. Kwaiyo mimi naweza kuolewa na kaka yangu. Nikasema yaa unaweza sasa kisebengo cha nini. Nakuona sana tangu...

SHAMIRA Sehemu ya 47 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 47
@majario LIVE

Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi shost alivyotoka kuoga akanmbia shamira shoga yangu nisamehe kwa yale maneno nilokwambia basi. Nikasema yapi? Akasem si yale ya kukwambia ukatoe mimba...

SHAMIRA Sehemu ya 46 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 46
@majario LIVE

πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ Mwandishi; lissa wa huru media Nikaona aisha kakasirika akanambia sawa kama unataka kulea iyo mimba na kuzaa. Ile kulea mtoto ni gharama umae ukielewa hilo suala mapema . Mana sio...

*AFANDE MILLAN😎* *46&47* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *46&47*
@majario LIVE

Nakumbuka kuna kipindi ,nilisafiri na ibraa kikazi kwenda moro , apo nilishamuaga zena kuwa mm nasafari naenda moro kikazi, ntakaa siku 2, akanmbia hakuna shida, basi mm nikawa...

SHAMIRA 44 kwa 45 Post Mpya
SHAMIRA 44 kwa 45
@majario LIVE

πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ Sehemu ya 44 Mwandishi; lissa wa huru media Aseeee tulichoka mno na shoga yangu asa mimi jamani.nafanya nini na hili tumbo na mwanaume hanitaki. Na ameshakana kuwa hii mimba sio yake...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest