Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

 JAMANI NIPE CHANCE KIDOGO Chapter 8 Leyna alishika njia na kuelekea stendi ya  daladala, Abisal alimfuata nyuma
Gonga94 · Stories

JAMANI NIPE CHANCE KIDOGO Chapter 8 Leyna alishika njia na kuelekea stendi ya daladala, Abisal alimfuata nyuma

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
.

Leyna, Leyna... Abisai alimuita Leyna aligeuka akamuangalia kisha akakata mwendo.

Abisal alikazana kutembea mpaka akamfukia. "Nilikwambia twende kwenye gari huku unaenda wapi?

Sitaki, sihitaji chochote kutoka kwako niache na maisha yangu Abisal.

Hiyo itakuwa ngumu na usitake tujaze watu hapa naomba twende tukaongee tukiwa kwenye

gari.

Leyna alijikuta akimuangalia kwa hasira huku machozi yakimtoka.

Katika siku zote leo umenidhalilisha kupita kiasi, Abisai kama upendo wako kwangu upo hivi basi mimi siwezi.

Kwa mara ya kwanza Abisai alijihisi mwenye hatia, aliona maumivu ya Leyna.

Tafadhali mamy twende tukaongee. Akiongea kwa upole Leyna akajikuta anakubali kumfuata wakaenda alipoacha gari, walipanda na kuondoka.

Leyna alikuwa amenyakua kimnya lakini Abisai alikuwa alimbembeleza huku akisisitiza kuwa anampenda sana na moyo wake huwa hautulii pindi anapomuona akiwa na mwanaume au

akiwa anafanya mambo ambayo yanaweza

kuwapa vishawishi wanaume.

Hayo ni mapenzi gani ya kuniumiza na

kunidhalilisha?

*Lakini leo kosa lilikuwa lako Leyna, kwanini unagawa namba yako ya simu kama karanga? Na ile hali unajua wewe ni mwanamke wa mtu?

Kwahiyo hutaki hata niongee na watu niliosoma nao?

*Wanini, wanajisaidia nini, mlijiana kipindi hicho na sio sasa. Alafu yule kijana muhuni hajawahi

kufahamiana nimekutana tu pale dukani. Nilianza kukufuatilia tangia ulipokuwa unaingia pale dukani.

Leyna hakuwa na la kuongea alitulia kimya. Siku zilienda lakini Abisai hakuweza kabisa

kuacha kumfuatilia Leyna. Siku moja majira ya saa kumi na mbili jioni

Abisai alitoka kazini na kwenda kumfanyia shopping Leyna. Siku hiyo alitaka kumfanyia surprise Alienda mtaani kwakina Leyna, alipofika sehemu alimuona Leyna alikuwa amesimama akluza samani tena alikuwa alimuhudumia mteja wa kiume.

Abisai alipungiza mwendo kisha akaegesha gari pembeni akawa anaangaoia kila kilichokuwa kinaendelea.

Kumbe yule aliekuwa anauza samaki hakuwa

Leyna alikuwa ni Leyla.

Abisai hakujua kama Leyna alikuwa na pacha wake tena wanafanana sana.

Kuna muda yule mwanaume alichukua simu ya Leyla na kuandika namba zake.

Leyla naomba usiache kunitafuta alafu ukiwa

na samaki kubwa kubwa uwe unaniambia. "Usijali kuhusu hilo Ommy.

"Hunipi hata mdogo wa kuonja? Maana hapa mate yamejaa mdomoni.

Leyla akicheka kisha akasimama na kuchagua

samaki mdogo mdogo na kumpatia. "Asante sana, ubarikiwe mrembo, upate mume

mwenye sifa unazotaka.

Leyla alijikuta alifurahishwa na maneno ya Ommy akawa anacheka tu..

Huku abusai alikuwa anapika kwa hasira. *Jamani huyu mwanamke sijui anataka niongee vipi, nimueleze vipi ndio ajue kuwa sitaki?

Alishuka kwenye gari akawa anaelekea alipo Leyla na wakati huo Ommy alikuwa anaondoka.

Abisal alienda akasimama mbele ya Leyla na kumuangalia kwa hasira. Leyla alikuwa anashangaa.

"Nikusaisie nini juu kaka?

Abisai aliguna kisha akatoa tabasamu kulibeba dharau.

Leyla akawa hamuelewi. *Kaka kuna tatizo?

"Wewe acha kujifanyia maigizo yako tangia lini mimi nikawa kaka yako? Hebu nipe huyo simu

yako. Aliongea Abisai kwa ukali. * Kheeee simu yangu ya nini? Yani unataka kumuibia kibabe?

Abisai hakutaka kubishana aliuchukua simu kwa nguvu,

"Wewe nipe simu yangu. Nimesema tulia hapo. Abisai alibonyeza

akakutana na password. Alibonyeza namba kutoa lakini iligoma, alimuangalia Leyla usoni "Unajua Madudu iliyofanya sasa umebadilisha

password.

Unajua unanichanganya sikujui lakini unanisumbua, mimi sio huyo unaemzania. Leyla alihisi huenda Abisai kumfananisha na pacha

wake Leyna

Acha kujiletea ujanja ujanja wako Leyna naomba utoe password. "Wewe kaka mimi sio Leyna......

Abisai alihisi kama anajichanganya aliipigiza chini ile simu na kupasuka pasaka kioo.

Leyla alimtolea macho ya mshangao "Wewe kaka una kichaa? Kwanini unipasulie

simu yangu? Leyla alimsogelea karibu na kumkunja.

Abisai alimuangalia huku akitoa tabasamu la kejeli.

"Unataka kunipiga.

"Nipe simu yangu, nataka simu yangu. Kama hii simu nilinunua mimi huna haki ya

kunidai nenda kwa yule mwanaume wako ulienda namba yako akakununulie.

Ugomvi ulikuwa mkubwa, watu walikusanyika wakishuhudia. Hakuna aliekuwa amuelewe huo ugomvi, Leyla alikuwa akilia na kudai simu yake.

Taarifa zilifikia mama Leyna na Leyna. Wakafika sehemu ya tukio bila kuchelewa. Leyna

Abisai.... Leyna aliita kwa mshangao, Abisai aligeuka alipomuona Leyna alibaki kaduwaa.

alijipenyeza mpaka akafika na kumkuta Leyla akiwa anarumbana na Abisai.

Full 1000
Whatsp 0784468229

Maoni

You're not logged in


Tangazo - SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

JAMANI NIPE CHANCE KIDOGO Chapter 8 Leyna alishika njia na kuelekea stendi ya daladala, Abisal alimfuata nyuma

.

Leyna, Leyna... Abisai alimuita Leyna aligeuka akamuangalia kisha akakata mwendo.

Abisal alikazana kutembea mpaka akamfukia. "Nilikwambia twende kwenye gari huku unaenda wapi?

Sitaki, sihitaji chochote kutoka kwako niache na maisha yangu Abisal.

Hiyo itakuwa ngumu na usitake tujaze watu hapa naomba twende tukaongee tukiwa kwenye

gari.

Leyna alijikuta akimuangalia kwa hasira huku machozi yakimtoka.

Katika siku zote leo umenidhalilisha kupita kiasi, Abisai kama upendo wako kwangu upo hivi basi mimi siwezi.

Kwa mara ya kwanza Abisai alijihisi mwenye hatia, aliona maumivu ya Leyna.

Tafadhali mamy twende tukaongee. Akiongea kwa upole Leyna akajikuta anakubali kumfuata wakaenda alipoacha gari, walipanda na kuondoka.

Leyna alikuwa amenyakua kimnya lakini Abisai alikuwa alimbembeleza huku...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/jamani-nipe-chance-kidogo-chapter-8-leyna-alishika-njia-na-kuelekea-stendi-ya-daladala-abisal-alimfu

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi jamani-nipe-chance-kidogo-chapter
 JAMANI NIPE CHANCE KIDOGO Chapter 9 Abisai alikuwa kama mtu akuechanganyikiwa aliwaangalia kwa zamu, alimuangalia Leyla kisha akarudi kumuangalia Leyna
JAMANI NIPE CHANCE KIDOGO Chapter 9 Abisai alikuwa kama mtu akuechanganyikiwa aliwaangalia kwa zamu, alimuangalia Leyla kisha akarudi kumuangalia Leyna
 JAMANI NIPE CHANCE KIDOGO Chapter 13 Alitamani kuongea jambo lakini aliamua kunyamaza ili asiharubu siku yao muhimu
JAMANI NIPE CHANCE KIDOGO Chapter 13 Alitamani kuongea jambo lakini aliamua kunyamaza ili asiharubu siku yao muhimu
 JAMANI NIPE CHANCE KIDOGO.  Chapter 10 Kesho yake mapema Abisai alifika nyumbani kwa kina Leyna na kumkabidhi Leyla simu yake mpya tena haikuwa kama ile ya bei rahisi...
JAMANI NIPE CHANCE KIDOGO. Chapter 10 Kesho yake mapema Abisai alifika nyumbani kwa kina Leyna na kumkabidhi Leyla simu yake mpya tena haikuwa kama ile ya bei rahisi...
 JAMANI NIPE CHANCE KIDOGO Chapter 3 Siku zilizidi kwenda huku Abisal akiwa amepania kumbadilisha Leyna
JAMANI NIPE CHANCE KIDOGO Chapter 3 Siku zilizidi kwenda huku Abisal akiwa amepania kumbadilisha Leyna
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112

MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112

1.16K
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 70...71💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 70...71💘💘

610
MY WANGU❤️ sehemu ya 113

MY WANGU❤️ sehemu ya 113

571
MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*

MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*

562
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9

206
*AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️*   *SEHEMU YA 01 & 4

*AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️* *SEHEMU YA 01 & 4

116
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 7

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 7

89
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 6

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 6

79
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 8

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 8

57
WEWE NI WANGU  SEHEMU YA 10

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 10

54

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.22K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.96K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.7K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.11K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.5K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.43K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.33K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.32K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.27K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.19K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
*UTANIITA SHEMEJI* *11-15* Post Mpya
*UTANIITA SHEMEJI* *11-15*
@majario LIVE

*____________________________________* *SEHEMU YA 11* SONGA NAYO.................... Ilituchukua karibu lisaa hadi kufika kituo tunachoshukia , tukashuka Alvin akalipa na kunishikia begi langu la nguo haoo tukashika kichochoro kuelekea huko anakojua yeye. Mda huo tunatembea alikuwa...

WEWE NI WANGU  SEHEMU YA 10 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 10
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Nilipomuona Lizy hasira zote zikaniisha, nikabaki naona aibu yani aibu harafu sasa hapa mbele palikuwa pametuna hivyo Nafahamu Lizy alikuwa ameniona So nikabaki najikanyanga kanyaga kama mtoto wa kike "Umepajuaje hapa..??" Nilimuuliza...

Movie: Do Deewane Seher Mein Rating: ⭐⭐⭐⭐ Review: SOOTHING  #SiddhantChaturvedi & #MrunalThakur shine in this raw &realistic love story 🫶 Post Mpya
Movie: Do Deewane Seher Mein Rating: ⭐⭐⭐⭐ Review: SOOTHING #SiddhantChaturvedi & #MrunalThakur shine in this raw &realistic love story 🫶
@majario LIVE

#DoDeewaneSeherMein #DoDeewaneSeherMeinReview Ravi Udyawar handles the film with maturity and restraint. The screenplay avoids melodrama. The strength lies in its emotional authenticity. The dialogues are organic & socially relevant without...

BLACK BUTTERFLY 🦋 1 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 1
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Anzaaaa “ Hello guys nataka umakin zaidi katika hoteli hii nadhan kila mmoja anajua wajibu wakee kwa wateja okay ...?!?” Aliongeaa msichana mmoja matata sana alionyeshaa yeye...

Rohan Kapoor and Farah Naaz made their Bollywood debut with Faasle, directed by Yash Chopra. They were introduced as the lead pair — Rohan played Vijay, and Farah played Chandni Post Mpya
Rohan Kapoor and Farah Naaz made their Bollywood debut with Faasle, directed by Yash Chopra. They were introduced as the lead pair — Rohan played Vijay, and Farah played Chandni
@majario LIVE

. The film told a simple, emotional love story. Vijay and Chandni fall in love, but their relationship faces strong opposition from her family. It had that classic “rich girl, poor...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 8 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 8
@majario LIVE

Nikaliwa kwenye gari ya bwana wangu na ushirikiano nikatoaa mwanzo mwisho kama chizii vilee. Kama lisaa hivii ndo anamaliza nipo hoii yupo hoiii akavaa nguo zake kimya kimya, mie uso umenishuka...

MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115* Post Mpya
MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*
@majario LIVE

Aseeeee nimekuja kustuka namuona mama yangu pembeni na nipo hospital. Nyieee cha kwanza nikashika tumbo langu. Ooh lipo . Mi mwenyewe nilikuwa nataka.kuzaa ssana na mlige najua mema alonifanyia mm...

MY WANGU❤️ sehemu ya 113 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 113
@majario LIVE

Basi bibi mie nilipomaliza kusuka.nikaenda kwangu kupumzika kabisa. Basi siku iyo mlige kanipigia akanmbia njoooo nyakanazi. Mh nikajua anataka mzigo. Mie nikajiandaa mpaka nyakanaza. Akaningiza kwenye gari . Heeee safari...

*AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️*   *SEHEMU YA 01 & 4 Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️* *SEHEMU YA 01 & 4
@majario LIVE

ANZA NAYO…… “Wewe sikiliza umu Ndani teshachoka kukulea sasa, Kazi utaki kufanya, unataka kukaa tu, unataka tukulishe na kukuvisha Binti akili zako Zipo Sawa au ? Sasa...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 7 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 7
@majario LIVE

Wale wadada wakanyamaza kidogo, wakaniangalia kuanzia kichwani mpaka miguuni. Mmoja akauliza “Huyu ni nani tena?” Nikavuta pumzi ndefu, nikajikaza. “Sikujua kama leo ni sherehe, , mie ni mke wake” nikasema kwa sauti ya...

mwanzilishi mwenza wa YouTube Karim mwenye umri wa miaka 25 wakati huo katika Zoo ya San Diego akizungumza kuhusu Post Mpya
mwanzilishi mwenza wa YouTube Karim mwenye umri wa miaka 25 wakati huo katika Zoo ya San Diego akizungumza kuhusu
@majario LIVE

Ukurasa wa kutazama wa YouTube unaangazia upakiaji wa kwanza kabisa unaoitwa "Me at the zoo," ikionyesha mwanzilishi mwenza wa YouTube Karim mwenye umri wa miaka 25 wakati huo katika Zoo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 6 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 6
@majario LIVE

Maneno ya Boda boda yalikuwa yananifikirisha sana, nikafika nyumbani sina hata rahaa, kila nikapiga sana simu ya D hakuwa anapokea nilipiga sanaaa hata hapokeii .. Usingizi hauji yaani kila nikikumbuka wale...

Ghana released the passport of the Russian guy accused of filming African women without consent. They named him as 36-year-old Vladislav Liulkov Post Mpya
Ghana released the passport of the Russian guy accused of filming African women without consent. They named him as 36-year-old Vladislav Liulkov
@majario LIVE

after talks with the Russian ambassador as it tries to extradite him back to face charges. “Working with the Ghana Police CID, we have activated international legal action through INTERPOL...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9
@majario LIVE

SONGA NAYO...... "Uwiiiii mamaaa, sir nisamehe.." Alilalamika yule mwanafunzi. ( yani unaongea hivyo na mtu ambaye ananifanya nikose usingizi, nishindwe kula harafu unaongea unavyojisikia na mimi nikiwa hapa kabisa, pokea na hicho..) Nikamshushia kingine...

AFISA Habari wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), Karim Boimanda ametoa sababu za mchezo wa Dabi ya Kariakoo Post Mpya
AFISA Habari wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), Karim Boimanda ametoa sababu za mchezo wa Dabi ya Kariakoo
@majario LIVE

utakaopigwa Machi 01, 2026 kuhamishiwa katika uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar badala ya Benjamin Mkapa kama ilivyopangwa awali na kubainisha kwamba kanuni zinaruhusu. Akizungumza na chombo kimoja cha Habari...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest