Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

 JAMANI NIPE CHANCE KIDOGO Chapter 3 Siku zilizidi kwenda huku Abisal akiwa amepania kumbadilisha Leyna
Gonga94 Β· Stories

JAMANI NIPE CHANCE KIDOGO Chapter 3 Siku zilizidi kwenda huku Abisal akiwa amepania kumbadilisha Leyna

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
na kwa upande wa Leyna wala hakukoma aliendelea kufanya mambo yake

kwa kujificha ficha. Alikuwa akitoka na marafiki alizima simu yake na kuiacha nyumbani.

Kesho yake Abisai alipouliza sababu za kutokuwa hewani Leyna alimwambia alizima hakuwa anataka kusumbuliwa.

"Leyna unataka kuniambia huwa kuna watu wanajisumbua sana nyakati za usiku?na hao watu ni wakina nani?

"Sijamaanisha hivyo.

"Kumbe ilimaanisha nini?

Leyna alitafuta jibu la kujitetea lakini hakupata.

Leyna michezo inayochezwa ipo siku. itakughalimu, taratibu na moyo wangu sitaki majereha ya moyo, sihitaji kuumizwa. Alafu

sitaki kutumiwa simu usiku kama simu yako itakuwa na tatizo basi nitanunua nyingine ilimradi tubnikupate.

"Unajua kila siku najiuliza unataka nini hasara lakini sikupatii jibu.

Nataka utulie, sitaki mambo yako ya kutoka usiku kwenda sehemu za anasa na ushawishi kama vile club, bar na sehemu za ajabu ajabu ambazo sio salama kwako mtoto wa kike. Na lingine nguo zako za kuacha maungo nje huwa zinanikera sana.

Oooh nimeshskusoma wewe unataka niwe kama binti wa kilokole yani sketi za kinda box, magazini ya solo, nafsini ya vitenge ya kivita malinda. Sasa mimi hizo swagga siziwezi maana hata hivyo bikira vyenyewe kuvaa mtihani.

"Kuna nguo nyingine nyingi tofauti na hizo na ni nzuri tu. Nia yangu sio kufuja bali ni uvae nguo

za heshima zenye kupendeza nipo tayari kununua hata nguo za bei ghari ili mwanamke wangu upendeze.

"Sawa baba wivu

Maneno waliyokuwa wanaongea yalikuwa yanaingilia sikio la kulia yanatokea sikio la kushoto.

Siku moja usiku Leyna alikuwa amekaa kitandani kwake akapigwa simu na rafiki yake. "Wewe upo wapi? "Nipo home.

"Acha ujinga wewe huku mambo ni moto leo Erick amefanya kufuru huku yani watu wanakunywa mpaka wanaoga. Yani watu wengine kwa mara ya kwanza tumekaa VIP. Wacha wewe hiyo sio ya kuikosa baada ya

muda nitakuwa hapo.

Leyna alikata simu akaenda kabatini kwake

akatoa nguo za kuvaa na kuweka kitandani. Alisimama kidogo akawa anafikiria kitu | alihofia kukutana na Abisai maana amekuwa akimuonea. sana kwenye mitoko yake.

Aliwaza kiiti na kumwambia pacha wake. "Leyla unaonaje leo tukaenda club maana leo ni furu raha Erick yupo huko.

"Erick yule boyfriend wako?

"Alikuwa zamani, kumbuka tukiachana tukawa marafiki tu.

"Hapana kwakweli hekaheka za usiku siziwezi. "Aaaah sasa hekaheka gani na watu tunaenda kurulia VIP

Starehe hizo zenye fujo siziwezi alafu

kuongozana na wewe ni kujisabanishia matatizo tu. "Mmmm ushamba tu.

Leyna kumwambia Leyla waende pamoja alikuwa ana akili yake Alijua ikitokea kakutana na Abisal ampambanishe nae mpaka anakuja

kujua sio Leyna yeye atakuwa kashaondoka sehemu ya tukio.

Una bahati kama ungekubali basi ninge.

kupambanisha na Abisai huenda mngeendana. Hata hivyo nitafanya hivyo tu ili nitoe kwenye haya mateso

Leyna alisema mwenyewe.

Aliamua kujiandaa alivaa nguo zake sketi ya jeans fupi na top nyeupe kisha akatoka.

Alichukua usafiri na kuelekea club.

Alipofika aliingia club huku akiwa anaangalia

nacho maeneo ya VIP, aliwaona wenzake wakifurahia ile anataka kwenda akashituka ameshika mkono alipo geuka kumuangalia mtu. alimshika moyo wake ulipasuka kwa mshituko alikuwa ni Abisal. Waliangaliana kwa hasira huku akijisemea.

"Hivi huyu mwanaume ni jini, amejuaje kama. nipo hapa

"Vipi? Abisai alimuuliza

"Safi.

"Kwanini upo hapa?

"Nimekuja kufurahi na marafiki.

Ulimwambia nani unakuja hapa?

Nilikwambiajebkufika maeneo kama haya? Abisal utanichunga mpaka lini, hivi unafikiri

utaniweza? Leyna aliongea kwa hasira Abisal hakutaka kuharibu starehe za watu alimvuta nje mpaka alipoacha gari yake, alifungua mlango wakapanda kwenye gari

na kuondoka

Leyna kwanini hupendi kunielewa kile

ninachokiongea kila siku? Kukuelewa nakuelewa sana ila ni ngumu kutekeleza sababu mimi na wewe tumekutana kwenye haya mazingira.

Kwangu hizi sio sehemu zangu nilikuja tu kupunguza stress na bahati nzuri nikakupata

wewe na kuanzia siku ile wewe ndio umekuwa furaha kwangu na kupoozwa cha mawazo yangu kwahiyo kama hautaweza kubadilika kwa kukwambia kistaarabu basi utabadilika kwa lazima.

"Kwani wewe umekuwa mzazi wangu, au mume

wangu?

"Ukitaka kujua jibu la swali lako basi pingana na mimi.

Wewe mwanaume wa ajabu sana, sijawahi kupata mtu wa kunichangacna kunifuatilia hivi, yani unanibana hunipi chance.

hata kidogo?

"Nitahakikisha banana mpaka penati. "Tutaona, itakata tamaa mwenyewe.

"Bahati mbaya kwako msichana sijawahi kukata tamaa kirahisi. Leyna alimuangalia kwa hasira

Kama itashindikana mbona rahisi tu si tunaacha kwani mimi na wewe hatuna mkataba wala cheti cha ndoa.

"Ni kweli hatuna hivyo vyote lakini kuachana mimi na wewe Itakuwa ngumu sana yani sikuachi ngo.

"Mimi ndio nitakae kuacha. Jana uliwahi kuwaacha ni hao wa zamani ila. kwangu mimi siachwi.

Abisai alijibu huku akiwa anajiamini na kufanya Leyna kushikwa na hasira hakuwa tu na uwezo wa kumpiga.

Full 1000
Whatsp 0784468229

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

JAMANI NIPE CHANCE KIDOGO Chapter 3 Siku zilizidi kwenda huku Abisal akiwa amepania kumbadilisha Leyna

na kwa upande wa Leyna wala hakukoma aliendelea kufanya mambo yake

kwa kujificha ficha. Alikuwa akitoka na marafiki alizima simu yake na kuiacha nyumbani.

Kesho yake Abisai alipouliza sababu za kutokuwa hewani Leyna alimwambia alizima hakuwa anataka kusumbuliwa.

"Leyna unataka kuniambia huwa kuna watu wanajisumbua sana nyakati za usiku?na hao watu ni wakina nani?

"Sijamaanisha hivyo.

"Kumbe ilimaanisha nini?

Leyna alitafuta jibu la kujitetea lakini hakupata.

Leyna michezo inayochezwa ipo siku. itakughalimu, taratibu na moyo wangu sitaki majereha ya moyo, sihitaji kuumizwa. Alafu

sitaki kutumiwa simu usiku kama simu yako itakuwa na tatizo basi nitanunua nyingine ilimradi tubnikupate.

"Unajua kila siku najiuliza unataka nini hasara lakini sikupatii jibu.

Nataka...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/jamani-nipe-chance-kidogo-chapter-3-siku-zilizidi-kwenda-huku-abisal-akiwa-amepania-kumbadilisha-ley

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi jamani-nipe-chance-kidogo-chapter
 JAMANI NIPE CHANCE KIDOGO Chapter 9 Abisai alikuwa kama mtu akuechanganyikiwa aliwaangalia kwa zamu, alimuangalia Leyla kisha akarudi kumuangalia Leyna
JAMANI NIPE CHANCE KIDOGO Chapter 9 Abisai alikuwa kama mtu akuechanganyikiwa aliwaangalia kwa zamu, alimuangalia Leyla kisha akarudi kumuangalia Leyna
 JAMANI NIPE CHANCE KIDOGO Chapter 13 Alitamani kuongea jambo lakini aliamua kunyamaza ili asiharubu siku yao muhimu
JAMANI NIPE CHANCE KIDOGO Chapter 13 Alitamani kuongea jambo lakini aliamua kunyamaza ili asiharubu siku yao muhimu
 JAMANI NIPE CHANCE KIDOGO Chapter 8 Leyna alishika njia na kuelekea stendi ya  daladala, Abisal alimfuata nyuma
JAMANI NIPE CHANCE KIDOGO Chapter 8 Leyna alishika njia na kuelekea stendi ya daladala, Abisal alimfuata nyuma
 JAMANI NIPE CHANCE KIDOGO.  Chapter 10 Kesho yake mapema Abisai alifika nyumbani kwa kina Leyna na kumkabidhi Leyla simu yake mpya tena haikuwa kama ile ya bei rahisi...
JAMANI NIPE CHANCE KIDOGO. Chapter 10 Kesho yake mapema Abisai alifika nyumbani kwa kina Leyna na kumkabidhi Leyla simu yake mpya tena haikuwa kama ile ya bei rahisi...
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❀️ sehemu ya 111 na 112

MY WANGU❀️ sehemu ya 111 na 112

1.16K
AAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 70...71πŸ’˜πŸ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 70...71πŸ’˜πŸ’˜

610
MY WANGU❀️ sehemu ya 113

MY WANGU❀️ sehemu ya 113

571
MY WANGU❀️ *sehemu ya 114 na 115*

MY WANGU❀️ *sehemu ya 114 na 115*

560
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9

206
*AAAAAASH BOSS ENZO πŸ’β€οΈ*   *SEHEMU YA 01 & 4

*AAAAAASH BOSS ENZO πŸ’β€οΈ* *SEHEMU YA 01 & 4

116
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 7

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 7

89
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 6

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 6

79
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 8

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 8

57
WEWE NI WANGU  SEHEMU YA 10

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 10

54

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.22K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.96K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.7K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.11K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.5K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tatu.  πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tatu. πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

2.43K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.33K
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

2.32K
❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.27K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya nane.  πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya nane. πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

2.19K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
*UTANIITA SHEMEJI* *11-15* Post Mpya
*UTANIITA SHEMEJI* *11-15*
@majario LIVE

*____________________________________* *SEHEMU YA 11* SONGA NAYO.................... Ilituchukua karibu lisaa hadi kufika kituo tunachoshukia , tukashuka Alvin akalipa na kunishikia begi langu la nguo haoo tukashika kichochoro kuelekea huko anakojua yeye. Mda huo tunatembea alikuwa...

WEWE NI WANGU  SEHEMU YA 10 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 10
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Nilipomuona Lizy hasira zote zikaniisha, nikabaki naona aibu yani aibu harafu sasa hapa mbele palikuwa pametuna hivyo Nafahamu Lizy alikuwa ameniona So nikabaki najikanyanga kanyaga kama mtoto wa kike "Umepajuaje hapa..??" Nilimuuliza...

Movie: Do Deewane Seher Mein Rating: ⭐⭐⭐⭐ Review: SOOTHING  #SiddhantChaturvedi & #MrunalThakur shine in this raw &realistic love story 🫢 Post Mpya
Movie: Do Deewane Seher Mein Rating: ⭐⭐⭐⭐ Review: SOOTHING #SiddhantChaturvedi & #MrunalThakur shine in this raw &realistic love story 🫢
@majario LIVE

#DoDeewaneSeherMein #DoDeewaneSeherMeinReview Ravi Udyawar handles the film with maturity and restraint. The screenplay avoids melodrama. The strength lies in its emotional authenticity. The dialogues are organic & socially relevant without...

BLACK BUTTERFLY πŸ¦‹ 1 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY πŸ¦‹ 1
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Anzaaaa β€œ Hello guys nataka umakin zaidi katika hoteli hii nadhan kila mmoja anajua wajibu wakee kwa wateja okay ...?!?” Aliongeaa msichana mmoja matata sana alionyeshaa yeye...

Rohan Kapoor and Farah Naaz made their Bollywood debut with Faasle, directed by Yash Chopra. They were introduced as the lead pair β€” Rohan played Vijay, and Farah played Chandni Post Mpya
Rohan Kapoor and Farah Naaz made their Bollywood debut with Faasle, directed by Yash Chopra. They were introduced as the lead pair β€” Rohan played Vijay, and Farah played Chandni
@majario LIVE

. The film told a simple, emotional love story. Vijay and Chandni fall in love, but their relationship faces strong opposition from her family. It had that classic β€œrich girl, poor...

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 8 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 8
@majario LIVE

Nikaliwa kwenye gari ya bwana wangu na ushirikiano nikatoaa mwanzo mwisho kama chizii vilee. Kama lisaa hivii ndo anamaliza nipo hoii yupo hoiii akavaa nguo zake kimya kimya, mie uso umenishuka...

MY WANGU❀️ *sehemu ya 114 na 115* Post Mpya
MY WANGU❀️ *sehemu ya 114 na 115*
@majario LIVE

Aseeeee nimekuja kustuka namuona mama yangu pembeni na nipo hospital. Nyieee cha kwanza nikashika tumbo langu. Ooh lipo . Mi mwenyewe nilikuwa nataka.kuzaa ssana na mlige najua mema alonifanyia mm...

MY WANGU❀️ sehemu ya 113 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 113
@majario LIVE

Basi bibi mie nilipomaliza kusuka.nikaenda kwangu kupumzika kabisa. Basi siku iyo mlige kanipigia akanmbia njoooo nyakanazi. Mh nikajua anataka mzigo. Mie nikajiandaa mpaka nyakanaza. Akaningiza kwenye gari . Heeee safari...

*AAAAAASH BOSS ENZO πŸ’β€οΈ*   *SEHEMU YA 01 & 4 Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO πŸ’β€οΈ* *SEHEMU YA 01 & 4
@majario LIVE

ANZA NAYO…… β€œWewe sikiliza umu Ndani teshachoka kukulea sasa, Kazi utaki kufanya, unataka kukaa tu, unataka tukulishe na kukuvisha Binti akili zako Zipo Sawa au ? Sasa...

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 7 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 7
@majario LIVE

Wale wadada wakanyamaza kidogo, wakaniangalia kuanzia kichwani mpaka miguuni. Mmoja akauliza β€œHuyu ni nani tena?” Nikavuta pumzi ndefu, nikajikaza. β€œSikujua kama leo ni sherehe, , mie ni mke wake” nikasema kwa sauti ya...

mwanzilishi mwenza wa YouTube Karim mwenye umri wa miaka 25 wakati huo katika Zoo ya San Diego akizungumza kuhusu Post Mpya
mwanzilishi mwenza wa YouTube Karim mwenye umri wa miaka 25 wakati huo katika Zoo ya San Diego akizungumza kuhusu
@majario LIVE

Ukurasa wa kutazama wa YouTube unaangazia upakiaji wa kwanza kabisa unaoitwa "Me at the zoo," ikionyesha mwanzilishi mwenza wa YouTube Karim mwenye umri wa miaka 25 wakati huo katika Zoo...

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 6 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 6
@majario LIVE

Maneno ya Boda boda yalikuwa yananifikirisha sana, nikafika nyumbani sina hata rahaa, kila nikapiga sana simu ya D hakuwa anapokea nilipiga sanaaa hata hapokeii .. Usingizi hauji yaani kila nikikumbuka wale...

Ghana released the passport of the Russian guy accused of filming African women without consent. They named him as 36-year-old Vladislav Liulkov Post Mpya
Ghana released the passport of the Russian guy accused of filming African women without consent. They named him as 36-year-old Vladislav Liulkov
@majario LIVE

after talks with the Russian ambassador as it tries to extradite him back to face charges. β€œWorking with the Ghana Police CID, we have activated international legal action through INTERPOL...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9
@majario LIVE

SONGA NAYO...... "Uwiiiii mamaaa, sir nisamehe.." Alilalamika yule mwanafunzi. ( yani unaongea hivyo na mtu ambaye ananifanya nikose usingizi, nishindwe kula harafu unaongea unavyojisikia na mimi nikiwa hapa kabisa, pokea na hicho..) Nikamshushia kingine...

AFISA Habari wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), Karim Boimanda ametoa sababu za mchezo wa Dabi ya Kariakoo Post Mpya
AFISA Habari wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), Karim Boimanda ametoa sababu za mchezo wa Dabi ya Kariakoo
@majario LIVE

utakaopigwa Machi 01, 2026 kuhamishiwa katika uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar badala ya Benjamin Mkapa kama ilivyopangwa awali na kubainisha kwamba kanuni zinaruhusu. Akizungumza na chombo kimoja cha Habari...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest