JINSI YA KULIPATA TENDO LA NDOA TAMU KWA MUMEO/MPENZI WAKO
Tando la ndoa kwa wanandoa haipo kwa ajili ya kutengeneza watoto tu. Kama mke, kila mara lazima uwe tofauti kwa mumeo.
Mshawishi mumeo, usiruhusu mumeo akuombe tendo la ndoa kila siku, usiwe na ratiba ya tendo la ndoa .
Kuwa mbunifu, na wala usitabirike. Mpe ile anayostahili.. kama ukipoteza mvuto kwa mumeo, basi umepoteza thamani yako kama mwanamke.
Kuwa sehemu ya mipango ya mume wako.Hakuna kitu mume wako atakipenda kama kumuomba tendo la ndoa , toa aibu....huyo ni mume wako.. mmehalalishwa, mwili wake ni mali yako pia...
Inashangaza kuna baadhi ya wanawake hata hawajui dhakar za waume zao zikoje.
#Ichezee unavyotaka, usiku usilale na miguo ... acha ngozi yako laini imguse mumeo... kuna raha kubwa mwanaume anavyoguswa na ngozi yako laini...msisimuko wake ni wa kiwango cha PhD.
Mwanaume anavyokuwa satsfied na tendo la ndoa siku zote anakuwa stable kiakili na kimwili... anafurahia maisha na atatamani kurudi nyumbani kila mara...
#Msikariri kwamba tendo la ndoa lazima iwe usiku tu, fanyeni hata mchana...kama uko nyumbani na mumeo yupo kazini...mwite hata muda wa lunch aje nyumbani... fanyeni tendo hata la nusu saa tu...huo ndio ubunifu na ndoa haitaboa.
Mtii mumeo kwa moyo mmoja, kamwe usimweleze kwamba upo hapo kwa ajili ya watoto..kumbuka ulianza kumjua yeye kabla watoto hawajaja.
Mbembeleze mumeo, weka kichwa chake kwenye kifua chako.
Muombee... mpe kiss ya kibabe... mmmhwwwwaaa.. yeye ni mumeo.. mali yako halali kabisa hata malaika mbinguni wanajua.
??????????Kuwa romantic uwapo nyumbani, vaa nguo laini za mitego....usivae mivitenge na magauni magumu kama bibi yangu wa kule kwetu Ivilikinge, Makete..
Kuwa msafi kila muda... Nukia kwa manukato yenye mvuto, usinukie mapilipili hoho na mavitunguu swaumu.
Usionekane kama una miaka 50 wakati hata 40 hujafikisha...
Narudia tena fanya mazoezi, acha nyama choma, chips mayai, mapizza, na mavyakula mengine yenye wanga mwingi.
Tunza vizuri mwili wako, mwanamke ni pambo ndani ya nyumba na fahari ya macho ya mume.sasa ukipoteza mvuto kwa kujiachilia umefanya kosa kubwa sana.
Fanya jitihada kupigania mwili wako uwe katika muonekano MZURI WA KIMAHABA..
Tukutane kwenye group Wasp .
#MWANAMKE NA NDOA BORA.
#UCHUMBA NA NDOA BORA.
wasp me 0769228130.