?KITUMBUA CHA PACHA
?EPISODE 2
?
?Rashidi alitoka bafuni akiwa na taulo, macho yake yakakutana na Nasra aliyekuwa ameweka mfuko wa nyama mezani. Aliguna kisha akatabasamu kwa kujifanya hana kosa.
?
?“Weeh kumbe mke wangu una pacha na hujaniambia?”
?
?Nasra akamtazama kwa mashaka, “Umemwona Nasma?”
?
?Rashidi alimeza mate. “Sio siri mmefanana hadi nikashindwa kutofautisha. Ila nishavuka daraja, nasubiri maji yapite tu.”
?
?Nasra alimuangalia bila kusema, kisha akatabasamu kwa kutojua alichomaanisha. “Si vibaya, angalau umemjua sasa.”
?
?Rashidi alicheka kwa kubana. “Kweli nimejua... vizuri sana.”
?
?Nasma, aliyekuwa sebuleni, alikuwa kaegemea kochi i akijishika kifua, moyo ukimpiga haraka. “Shemeji kanipeleka mbali, mbali kuliko nilivyowahi kufikiri,” alijisemea. “Na sasa kila nikimwona natamani arejee tena.”
?
?Aliingia chumbani kwake akiwa amevalia dera la Nasra. akilini mwake anawaza tu ule msumari ulivyokuwa unapenyeza kwenye parachichi yaani alijikuta anatamani samani konga liiendelee kufyonza maji kisimani kwake yaani kidogo aanze kujichulie sheria kwenye vidole vyake......
?
?Lakini nasra alimwita na kumwambia nenda kapige stori na shemeji yako mi navopika usimuache mpweke unajua alikuwa hajuwi kama sisi tuko mapacha
?Aliongea kwa kusita sawa nimekuelewa kisha alijiweka sawa na kutoka mpaka sebuleni ambako shemeji alikuwa anaangalia runinga ..... Alivyovaa ni kawaida lakini kutoka na ubora wa madodo uliopitishwa na Tbs yalikuwa yakitikisika mtini .....
?
?Rashidi alipotazama aliduwaa. Hapo hapo damu zikaanza kumchemka. Kumbukumbu ya tukio la mchana likamrudia. Alijitutumua, akaepuka kumuangalia sana.
?
?Lakini Nasma alikaa pembeni yake. “Shemeji,” alijifinya sauti.
?
?Rashidi aligeuka polepole, “Naam.”
?
?“Unaweza kuniambia ulikosaje kufahamu mimi sio dada?”
?
?Rashidi alijicheka, “Unadhani ni rahisi? Mmeumbwa fotokopi. Ukivaa nguo zake na harufu ileile, akili haichuji.”
?
?“Lakini hukuacha.” Nasma aligusa goti lake.
?
?Rashidi alinyamaza. Alijua hatari inaanza kuamka tena. Nasma alisogea zaidi, sauti ikizidi kupungua.
?
?“Unajua tangu mchana , siwezi kulala. Kila nikijifunika napata joto. Najikuta nakumbuka ulivyonishika, ulivyonigusa, ulivyonivunja... shemeji, mbona ulinifanya hadi nikatetemeka?”
?
?“Stop,” Rashidi alinyanyuka, “usiniharibu.”
?
?“Siwezi kukusamehe kwa kunionjesha halafu unanikimbia . Unajua sijapata huduma hii kwa muda sana huki akingata kucha ?"
?
?Rashidi aligeuka, macho yamejaa tamaa lakini akajizuia. “Hii sio sawa.”
?
?Lakini Nasma alinyanyuka, akamvuta kwa nguvu. “Tamaa imeshachomoza. Shemeji... hata leo ukiamua kunivunjia heshima tena, nitapenda.”
?
?“Dada yako siyupo jikoni jamani unataka tufumaniwe.”huku akijitoa mikono ya shemeji yake mwilini mwake ....
?
?“Na? Si anapika bhana . Shemeji... achilia mwili utembee.” huku anafunua d?la na kuacha pj nje
?Kisha akasema nasma " shemeji asali haitiwi kidole hata mara moja ......
?Kisha akapanda juu yake na kumkulia ila nasra duuuuh then akaanza kumpa mad?nd?
?Zoezi liliendelea sebulen shika pale shika hapa yaani hakuna kulala lakini rashidi kajaa uwoga mkewe yuko jikoni anapika na wao wapo sebuleni wanachokifanya duuuuuuh na nasma naye haogopi chochote kila mmmmmmmh
?Mara ikasika sauti mume wangu unafanya nini na pacha wangu
?Rashid alishtuka sana ............