KITUMBUA CHA PACHA
?EPISODE 4
?siku iliyofuata nasra na Rashidi walichelewa sana kuamka lakini Nasma alijivalia zake ka kanga moko kalikobana nguo yake yaani utafikiri nguo imeshonewa kwenye mwili ikiliachia umbo namba nane aliamka na kuanza kufagia bafuni wa kwabza kuamka alikuwa ni Rashidi aliamka na kuelekea bafuni .Nasma alisikia mlango ulivyokuwa ukifunguliwa akawa anafagia huko chooni huku akiyatikisa maungo yake .....
?
?Maana alikuwa kasimama kwa mlangoni saangapi bakora ya Rashidi isisimame nusu ichane buuuuu rashidi alingata meno ikabidi aingie kuizuia bakora isitoke akawa anaipanga kama gia kaaaa kaaaa lakini wapi na nasma ndo anazidi kulimwaga buno loteeee kisha nasma akasimama na kumtazama rashid akajifanya hajuwi kams yupo ghafla khanga ikaanguka mambo yote hadharani .....
?
?Rashidi alijikuta akiyatazama madodo ya shemeji yake macho yalitalii mpaka kwenye kipapatilo cha kuku kilichotolewa manyoya yote kimetuna kama kimewekwa amira halafu mwili rangi moja nyeeeeeupeeeee . Rashid alianza kushindanisha akili na mwili akili haitaki ila mwili unataka jamani duuuh ....
?
?Mwisho akaiokota na kujifuga tena huku akiyalegeza macho kama fundi saa kapoteza nati anawaza atamwambia nn mwenye saa yake. Lakini hapo hapo inasikika sauti ya mkewe babe mbona umeamka kabla yangu . Ndiopo nasra akakimbilia bafuni na kufunga mlango kujifanya anaoga .. Ghafla akiwa bafuni anasikia sauti za mabusu mwaaaaaam mwaaaam
?"khaaa hawa wapuuzi wanapekenyana kila muda na wanajua mimi nipo hapa kama sio makusudi ni nini . Akasikia sauti mlango umefungwa akajua ooooib kumbe wanapeana breakfast sio.....
?
?Alijikuta naye akitamani maana tayaei ashaionja bakora ya shemeji yake kinamtatiza ni kwann wanafanya yeye akiwepo basi aliingia ndani na kujifunga kitenge kishs akamuita mlinzi mlinzi yule alikuwa ni mmasai alikuwa kavaa mavazi ya kijadi
?" we Nzungu njoo hapa" Nasma aliita
?" ka madamu nipo hapa" alienda mbio mbio
?" umeamkaje kamanda wetu " muda huo kitumbua kinayataka mambo
?" niko salama ka madamu" alijibu akiwa anajiamini tu.... .
?
?"Nikikuonjesha utasema ????"
?Alishtuka " ukinionjesha nini madamu? "
?"nadhani unajichelewesha lakini kama umenielewa tangulia stoooo"kisha akaenda ndani na mlinzi hakuchelewa alikimbia mbio mbio stooo...
?Alifika stoo nasma na kuufunga mlango kisha akamsogelea Nzungu yule na kumwambia
?" joto limezidi kawaida naomba nishushe kwa leo tu"
?"mmmmh naomba iwe siri bosi akijua kazi sina "
?"usijali we unakula leo tu sio siku zote"
?
?Nasma akaanza kukishika na kukipapasa kifua huku akiitaka mechi kwa asilimia zote 100% .moto ulianza kuwaka baada ya nasma kuuchochea kwa muda mrefu sana akaishusha buuuuuuuuuuuuuu chini alichokiona kilimfanya ashtuke moyo na kutahamaki
?"mmmmmmmmmmmmmmuh we nzungu huku kayatoa macho yake.