KITUMBUA CHA PACHA
EPISODE 5
?basi tunaendelea pale pale stooo ambapo baada ya nasma kushusha buuuu ya NZUNGU alikuta na bonge la ukuni wahindi huwa tunakiita kipande cha gogo ......
?
?ENDELEA SASA .................
?"Mmmmmmmm... wewe ni mnyama wa porini eeh? Hii kitu yote ni yako kweli ama ni ndoto?" Nasma alibubujika maneno hayo kwa sauti ya kunong’ona, macho yake yakigandia kipande cha ukuni kilichojificha nyuma ya shuka ya nzungu
?
?Mlinzi alitabasamu kwa tabasamu la kivivu, akaegemea ukuta wa stoo huku akimkazia macho Nasma kwa jicho la kiu.
?"Wewe ndiyo umeniamsha… sasa usiniambie umerudi nyuma," alisema kwa sauti nzito ya kimasai iliyochanganya amri na mahaba.
?
?Nasma hakuwa tayari kurudi nyuma. kitumbua kinawaka Moto ndani kwa ndani ulikuwa umemshika vilivyo. Alijikuta akishika mkono wa nzungu na kuusogeza kwenye kibuno chake kilichokuwa kimejaa kama shamba la mihogo yaani cassave?.
?
?"Nitake nini zaidi?" aliuliza huku akiinama polepole, midomo yake ikielekea kwenye kifua kipana cha nzungu . Akakibusu kwa staha, halafu akaanza kukipapasa kwa ulimi wake laini kama wa chura kioindi cha mvua .
?
?Nzungu alikamata kiuno chake kwa nguvu ya kidume halisi, akamvuta karibu kama mtu anayeshikilia silaha ya vita. Waligongana kifua kwa kifua, pumzi zao zikiwa nzito kama jenereta ya kuingiza hewa kwenye stoo.
?
?Nguo zilianza kuchanika kimyakimya, kama vile mwizi anayevunja duka usiku. Shuka la nzungu likaanguka chini, na kaanga ya Nasma likatumbukia kwenye sakafu ya stoo
?
?"We Masai mbona unanifanya nijisikie kama mimi si binadamu tena?" aliuliza Nasma huku akihema, miguu yake ikitetemeka.
?
?"Wewe ndo umefanya damu yangu ichanganyike. Leo hutatoka hapa ukiwa yule Nasma wa jana," nzungu alijibu, kisha akambeba juu juu na kumlaza juu ya meza iliyokuwa stoo
?
?Ukimya wa stoo ukaanza kutoweka. Kilio cha mahaba kilianza kuchukua nafasi yake. Kila pumzi, kila mlio wa midomo, kila msuguano wa ngozi ulipeleka ujumbe wa mapenzi yasiyo na mipaka.
?
?Nasma alijikuta akilia kimahaba.
?"Aaaah nzungu.. nipe yote, nipe yote tafadhali!"
?
?Nzungu hakuwa mtu wa kupuuza ombi kama hilo. Alizidi kuingia kwa umakini, kasi yake ikiongezeka, joto la stoo likiwa kama moto wa tanuru.
?
?Dakika kumi zikaonekana kama sekunde. Mikono ya Nasma ilizidi kumshikilia nzungu kwa nguvu, kucha zake zikichora michoro ya tamaa mgongoni kwake. Hii haikuwa mechi, ilikuwa vita ya kimahaba iliyoshuhudiwa na vumbi na samani zilizokuwa stoo
?
?Baada ya muda, walijikuta wamelala juu ya meza , wamejifunika kwa shuka, miili yao ikiwa bado inahema, lakini sasa kwa utulivu.
?
?"Hii stoo ni mbingu yangu mpya..." Nasma alisema huku akitabasamu, akimwangalia Nzungu aliyekuwa bado anapumua kwa sauti nzito.
?
?"Na wewe ni hazina niliyoipata kwenye giza," Nzungu alimjibu kwa upole wa kimasai, akiwa bado amemshikilia kwa upendo.
?Mara ikasikika sauti ya nasra " we nasma uko wapi ????? We mlinzi uko wapi nasma na mlinzi walishtuka sana unadhani nini kitatokea .