KITUMBUA CHA PACHA
EPISODE 6
?Basi baada ya kusikia sautu ya dada yake akimuita alimwambia mlinzi
?" tutafanyaje tutafumwa leo"
?" madam mi hata sielewi yaani"
?" baki humu humu " alikuwa akisema huku akipandisha kanga yake na kuivaa tayari kwa ajili ya kutoka alijifanya kama alikuwa anasafisha stooo
?Alitoka " kheee dada , kumbe wahenga sio waongo"
?"kwa nini mdogo wangu"
?"unauliza vumbi stooo na kweli stoo kuna vumbi kama hakai mtu hivi "
?"si unjua dada yako nina mambo mengi"
?" usafi ni muhimu mama ,mwanmke usafi"
?" khee makubwa umemuona wapiNZUNGU"
?" unamaanisha mlinzi au "
?"ndiyo huyohuyo "
?"kooooh nimemtuma akaninunulie vocha si unajua mitaa siijuwi "
?Muda huo mlinzi anajibana bana tu kwenye chemba ili asifumaniwe maana mambo yashakuwa mengi sana . Huko ndani anatetemeka kijasho chembamba kina mtiririka kwa woga .
?Akikumbuka ugumu wa maisha ya alikotoka na wangapi wanamtegemea ndo jasho linazodi kumwagia kama mtu anayenyeshewa na mvua ........
?
?Lakini dada unatokaje nje na hiyo kanga ukibaaaaaaa????????????????aliuliza nasra kwa nasma alisema na wewe dada nitaba..... Humu ndani ???
?Ndio humu ndani humuoni mlinzi"
?"acha utani wako twende ndani"
?Basi waliondoka na kuingia zao ndani hapo ndipo mlinzi akapata fursa ya kutoka njee alishukuru maana angekutwa ingekuwa ni hatari kwa afya ........
?Alirudi getini na kushika kirungu tayari kuendelea na lindo na hiyo ilikuwa pona pona yake la sivyo angerudi kwao isigimbi akalime mihogo ...
?
?
?Basi nasra aliingia ndani walau ajiandae atoke na mumewe lakini nasma yeye alikuwa tu yupo zake tu nyumbani sasa kipindi nasra kaingia ndani yeye alibaki kasimama na shemeji yake rashidi akawa anakilama kidole cha kati kama mtoto anayejilamba baada ya kula nyama ....
?Alimsogelea Rashidi karibu na kumshika kwenye suruali sehemu yenye kipande cha gogo ....na kukiminya .......
?Aaaaaagh nasma nini tena wewe !!!.