Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo
Gonga94 · Stories
30 Nov -0001
124 views
VYOTE NDANI GONGA94
MAPENZI YA KUKOMOANA PART: 01
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Kwa majina naitwa Cathe naomba twende wote.
Ilikuwa siku ya jumamosi mida kama ya saa 3 hivi za asubuhu huku nikiwa naamka kitandani ndipo simu yangu ilipoita..
Taratibu huku nikiwa najinyoosha, nilichukua simu ile kuona nani anapiga ndipo nilipokuta ni rafiki yangu Dicky ambaye mda mwingi alikuwa ananitongoza lakini kiukweli sikuwahi kumuelewa kabisa .
"Mhh..uongo mbona ulikuwa hunitafuti?" Nilimuuliza.
"Mambo yalikuwa mengi kidogo vipi za siku?"
"Ni nzuri, nisaidie hata vocha basi.." nilimwambia.
"Ohoo haina shida nakutumia tukimaliza kuongea ."
",Asante.."
"Vipi upo nyumbani?" Aliniuliza.
"Ndiyo .."
"Unafanya nini?" Aliniuliza.
"Ndo nataka niamke nifanye usafi mda huu" nilimjibu
"Ohoo ratiba yako ikoje leo?" Aliniuliza.
"Sina ratiba yoyote ntakuwepo nyumbani leo.." nilimjibu
"Ohoo njoo basi nyumbani unitembelee"
"Mhh sina hata nauli..."
"Nauli siyo shida nakutumia.."
"Siku nyingine maana leo sijajipanga kutoka nyumbani..."
"Njoo kuna zawadi yako nimekuandalia utaikuta nadhani utaipenda pia.."
",Jamani zawadi gani?" Nilimuuliza.
"We njoo utaikuta.."
",Nitumie picha niione..."
",Nataka iwe surprise kwako ..." alitamka.
"Mhh..niambie basi...".
"We njoo..."
"Kwanza sina nauli..."
"Sh. Ngapi nikutumie..?"
"Wewetu utakayoona inanitosha"
"Sawa mda huu nakutumia" alitamka kisha akakata simu.
Baada ya mda wa dakika kama 4 hivi, meseji ya muamala wa sh elfu 30 kutoka MPESA iliingia.
Kiukweli sikuamini kama angeweza kunitumia kiasi hicho cha pesa.
Mda huohuo nilijikuta nashangilia peke yangu kisha nikamtumia meseji,
"Asante nimeiona"
Mda si mrefu alijibu meseji yangu,
"Nawe asante kwahiyo unakuja saa ngapi?"
"Nitakwambia mida ya mchana hivi.." nilimjibu.
"Niambie mda huu ili nipange ratiba yangu vizuri.. "
"Basi mida ya saa 10 hivi ntakuja..."
"Karibu sana..."
"Asante. "
Baada ya chatting hizo, niliweka simu chini kisha nikaanza kufanya usafi.
Baada ya kumaliza, nilioga kisha nikaenda kwa Wakala kutoa pesa na kununua Chips yai pamoja na mishikaki .
Siku hiyo nilifurahi kweli huku nikiwa na shauku ya kujua zawadi ipi ameniandalia Dicky nyumbani kwake.
Ilipofika saa 9 za mchana, nilianza kujiandaa kwenda kwake ndipo kwa mbali roho yangu ilipopata hofu na kujiuliza,
"Hivi hatanisumbua kweli nikienda kwake?" Nilijiuliza kisha nikarudi chumbani na kuvaa chu**pi 2, skinitaiti 1 na Suruali aina ya jeans ambayo ilikuwa inanibana sana.
Niwe tu mkweli sikuwa nampenda Dicky wala moyo wangu haukuwahi kuvutiwa naye .
Baada ya kuwa nimejistiri, nilimtaarifu kuwa nakuja na mda si mrefu nilipanda bajaji kwenda kwake Magomeni nikitokea Kimara.
Mnamo mida ya saa 10 na robo, nilifika kwake kisha nikasimama mlangoni na kubisha hodi.
Mda huohuo, Dicky alitokea ndani akiwe amevalia pensi huku akiwa emeweka mikono mifukoni.
" Karibu ndani" alitamka
"Asante..",niliitikia kisha nikaingia ndani.
Baada ya kuingia ndani, Dicky aliingiza viatu vyangu ndani kisha akafunga mlango.
"Mbona unafunga mlango?, sikai kwa mda mrefu nataka niondoke maana kuna sehemu nataka niende" nilimwambia huku kwa mbali pensi yake ikiwa inatuna kwa mbele kadri mda ulivyozidi kwenda
"Hapa kuna mbu ndo maana nafungaga mlango..." alitamka huku akionekana kama ananisogelea hivi.
"Sawa zawadi yangu iko wapi?" Nilimuuliza huku nikiangaza sebuleni kwani alikuwa amepanga chumba na Sebule.
"Ohoo unaitaka mda huu?" Aluniuliza.
"Ndiyo..." nilimjibu.
"Njoo uiangalie..." alitamka kisha akafungua mlango wa chumbani.
Baada ya kufungua mlango, nilipiga hatua chache kisha nikabaki nimesimama ndipo aliponiambia,
"Ingia uiangalie ."
"Mhh..nilitee hapa sebuleni chumbani hapana.." nilitamka huku kwa mbali nikiwa nawaza.
"Kwani unaogopa nini?" Aliniuliza
"Hapana.." nilimjibu.
",Ingia sasa..."
Kwa aibu niliingia chumbani humo ndipo mda huohuo alipofunga mlango wa chumba hicho na kuchomoa funguo kwenye kitasa.
"Hee!, kwanini unafunga mlango?" Nilimuuliza kwa mshangao.
"Karibu kitandani kuna zawadi yako..." alitamka kisha akataka kunishika..ndipo..
ITAENDELEA...
JE ILIKUWAJE?
NJOO WASAP 0658222707 KISHA ANDIKA " MAPENZI YA KUKOMOANA" USOME YOTE
Maoni
You're not logged in
X
Login
X
signup
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
IF THIS WAS THE PART TWO YOU ARE A PARTHOLOGICAL LIAR BRING PROOFS
First and foremost, this collaboration hurt many Kenyans. They didn’t see me coming. No one from Kenya or Tanzania pull...
Nigerian Grammy-award-winning singer Burna Boy has stepped in to support the families of four children trag!cally k!ll3d in a mass shoot!ng at a birthday party in Stockton, California.
Burna Boy pledgEs to cover funeral costs for children k!ll3d in U.S mass shoot!ng Nigerian Grammy-award-winning singer B...
*NIMEKOMA MIMI 🙌* *1-5* *________________________________________* *SEHEMU YA : 01* Mapenzi ni kitu cha kijinga sana. Yaani yanaweza kukufanya ufanye ujinga ambao hata wewe hukuwahi kufikiria
unaweza kufanya. Na mimi ni mfano halisi wa ujinga huo. Ukiniuliza, nitakupa jibu simple kuwa maisha yangu ya mapenzi ...
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* 17 -- 18 Chapter 17 Mapenzi yangu na Elton yalikuwa mazuri kupita maelezo. Nilifurahia kila dakika niliyoitumia naye. Kila kukicha tulikuwa tunazidi kuwa karibu zaidi
. Elton alianza kunifundisha mambo mengi hasa. mapishi. Akanifundisha kupika wali, pilau, ndizi pamoja na mchuzi wa nyam...
BETWEEN SISTERS AND SECRET ____________________________________* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* "Okay, kaendelee na kazi, badae tutaongea vizuri." Mira alimkumbatia Gael kwa mapenzi yote lakini wa nyuma alimzomea
. Jioni Mira hakutaka kutoka na Gael, alisema anamgeni hivyo atawahi kurudi nyumbani. Gael aliamua kwenda dukani kwa mam...
BETWEEN SISTERS AND SECRET _____________________________________*6--7 *SEHEMU YA SITA* "Looh, msichana ana balaa yule! Kwahiyo anaona bora mapenzi kuliko undugu, na Mr. Gael wa watu alivyo mtaratibu na mu-handsome
vile. Ilikuwaje akaenda kuanguka kwa Mira? Mbona kazi anayo! Bora hata angempenda mrembo wangu Mia," Furaha alimtania M...
Kwa majina naitwa Cathe naomba twende wote.
Ilikuwa siku ya jumamosi mida kama ya saa 3 hivi za asubuhu huku nikiwa naamka kitandani ndipo simu yangu ilipoita..
Taratibu huku nikiwa najinyoosha, nilichukua simu ile kuona nani anapiga ndipo nilipokuta ni rafiki yangu Dicky ambaye mda mwingi alikuwa ananitongoza lakini kiukweli sikuwahi kumuelewa kabisa .
Maoni