Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

 BETWEEN SISTERS AND SECRET _____________________________________*6--7  *SEHEMU YA SITA*  "Looh, msichana ana balaa yule! Kwahiyo anaona bora mapenzi kuliko undugu, na Mr. Gael wa watu alivyo mtaratibu na mu-handsome
Gonga94 · Stories

BETWEEN SISTERS AND SECRET _____________________________________*6--7 *SEHEMU YA SITA* "Looh, msichana ana balaa yule! Kwahiyo anaona bora mapenzi kuliko undugu, na Mr. Gael wa watu alivyo mtaratibu na mu-handsome

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
vile. Ilikuwaje akaenda kuanguka kwa Mira? Mbona kazi anayo! Bora hata angempenda mrembo wangu Mia," Furaha alimtania Mia.

"Acha ujinga! Sitaki kabisa mambo hayo, hasa kuwa karibu na mpenzi wa Mira. Kila siku ananilaumu mimi kuwa namletea mikosi kwenye mahusiano yake, au umesahau?" Mia alimuuliza. "Hata sijasahau shoga angu, hata hivyo Mr. Gael sio mtu wa kumzoea haraka haraka. Yupo busy na mambo yake, kumuona tu kwa mwaka unaweza ukamuona mara moja," Furaha na Mia walitembea huku wanaongea.

Siku zilienda, Mia alizidi kuwa mzoefu zaidi kazini. Siku moja Gael alienda dukani.

"Mama, unajua kabisa nina kazi nyingi sana ofisini, lakini bado umeamua unitumie mimi kwa shangazi kweli..." Gael alilalamika kwa mama G. "Sasa nisipokutuma wewe nimtume nani? Hata kama umekuwa na hizi ndevu na CEO wa kampuni kubwa, lakini kwangu bado wewe ni mtoto," alisema mama G huku anamtengeneza shati.

"Mimi sio kama nakataa mama, ila Gian si yupo likizo wala haendi kokote? Ungemtuma yeye nyumbani kwa shangazi, Gael aliendelea kulalamika.

"Mimi ndo ninawajua vizuri watoto wangu. Gavin anafanya mambo yake taratibu, Gian ni mvivu, anaweza kulalamika leo mpaka kesho na asiende. Lakini wewe ni mwepesi, ndomana napenda kukuagiza wewe," alisema mama G. "Okay, basi nipe huo mzigo niende," aliongea Gael huku anaangalia saa yake ya mkononi.

"Mia, lete huo mzigo," alisema mama G.

"Sawa madam, naleta," Mia alienda kuchukua

mfuko. Mama G alichukua akamkabidhi Gael.. "Huu hapa mzigo, lakini hautaenda peke yako. Utaenda na Mia," aliongea mama G huku anatabasamu. Mia na Gael waliangaliana.

"Mama, kama anaenda yeye pia kulikuwa kuna haja gani ya mimi kwenda? Lilikuwa ni suala tu la kumuita dereva wako akampeleka," Gael alisema.

"Ni kweli madam, acha tu niende mimi mwenyewe. Unaweza kunielekeza, muache kaka Gael arudi kazini," aliongea Mia kwa sauti yake ya upole.

"Mia, wewe ni mgeni. Nataka uende ili upajue. Siku nyingine naweza kukutuma ukaenda mwenyewe. Na kuhusu Baraka, leo yupo mapumziko, siwezi kumvunjia ratiba zake," mama G aliongea huku anamuangalia Gael. "Sawa basi, nitampeleka," Gael alisema.

Gael alichukua ule mzigo, Mia alimfuata nyuma.

Walipanda kwenye gari na safari ilianza. Kila mmoja alikuwa kimya. "Natumai leo itakuwa ni mara ya mwisho kukutana nae. Sitaki kabisa kugombana na Mira kwa vitu vya kijinga, Mia alijiongelea mwenyewe.

"Kwa kiasi fulani amefanana sana na Mira, lakini yeye... ni mrembo zaidi, na ni mpole, na anaonekana ana adabu, Gael alijikuta anamuangalia Mia kwenye kioo kila mara. "Unaweza ujinga gani... unawezaje kumfananisha mpenzi wako na msichana wa kawaida sana kama huyu," Gael alijisemea na akaacha kumuangalia, akaendelea kuendesha gari.

Walifika nyumbani kwa Bi Maua, shangazi wa

Gael. "Karibuni wageni!" Bi Maua alifurahi sana

kumuona Gael. "Asante shangazi, lakini sisi hata hatukai sana. Tumeleta tu huu mzigo," alisema Gael.

"Kaeni hata kidogo, namalizia malizia kupika jamani. Njoo mwaya binti yangu unisaidie kutenga," aliongea Bi Maua huku anatabasamu. Mia alimuangalia Gael kana kwamba alitaka ruhusa. "Nenda tu," alisema Gael.

Mia alitabasamu, akamfuata Bi Maua jikoni. "Bila shaka wewe ndo Mia?" aliuliza Bi Maua. "Ndiyo shangazi," alijibu Mia huku anatabasamu. "Kweli nimeamini, Hellen alikusifia kwa haki. Wewe ni mrembo na una heshima sana. Ningekuwa na kijana wa kiume ningekuozesha. Hellen sijui anasubiri nini, watoto wake wote hawajaoa," aliongea Bi Maua kwa utani.

Mia alitabasamu tu. Walitenga chakula, na baada ya hapo wakala kwa pamoja.

"Shangazi, chakula kilikuwa kitamu sana. Acha sisi tuondoke sasa," alisema Gael.

"Shangazi, asante kwa chakula," Mia alianza kutoa vyombo.

"Hata usipate tabu binti yangu, nitavitoa tu. Nyie nendeni," alisema Bi Maua.

"Shangazi, acha nivitoe tu."

"Sawa kama ndo ulivyoamua." Mia alitoa vyombo.

"Unamuonaje huyu binti, Gael?" Bi Maua alimuuliza kwa sauti ya chini.

Chapter 7

"Unamuonaje huyu binti, Gael?" Bi Maua alimuuliza Gael kwa sauti ya chini.

"Mbona sikuelewi shangazi, unamaanisha nini?"

Gael alimuangalia Bi Maua kwa makini.

"Mmmh sio kama hujanielewa ila umechagua tu kusema hujaelewa. Huyu binti anafaa kabisa kuwa mke, Gael." Aliongea Bi Maua kwa msisitizo.

"Shangazi, nina mpenzi na tunapendana sana, na wote mnalijua hilo. Siku sio nyingi tutafunga ndoa."

"Mchumba yupi? Yule mwanamke aliyekosa adabu? Hakuna atakayekuruhusu kumuoa mwanamke kama yule! Sijui mbele ya wazazi wake anavaa vile... yani amekosa haya kabisa!"

"Shangazi, sitaki kukuvunjia heshima, haya ni maisha yangu, na mimi ndiye nitakaye muoa Mira, na sio familia yangu!" Gael alisimama kwa hasira, akatoka nje, aliwasha gari, akaondoka.

"Mia, binti yangu!" Aliita Bi Maua.

"Abee, shangazi," alitikia Mia akiwa jikoni.

Bi Maua alimfuata. "Umeamua kuosha vyombo kabisa?"

"Ndiyo shangazi, isingekuwa tabia nzuri kuacha vyombo vichafu."

Mia alimalizia kupanga vyombo kabatini.

"Asante mwaya binti yangu, ngoja nimpigie John aje akurudishe kazini, maana huyu kisirani ameondoka hata bila kuaga, Bi Maua alimuita dereva, akampeleka Mia kwenye nyumba waliyofikia kwani muda ulikuwa umeenda sana.

"Ukaamua kuhamia kwa watu?" Dora alimuuliza Mia.

"Alitenga chakula, na sikuweza kumwachia kazi,

nilimsaidia kuosha vyombo, ndomana nimechelewa." Mia alijilaza kwenye kochi.

"Sawa, ila kesho mama G amesema hakutakuwa na kazi," alisema Dora.

"Kwanini hakuna kazi, na ni katikati ya wiki?" Aliuliza Mia.

"Sio kama tutakaa tu nyumbani, siku kama ya kesho tarehe 20 mwezi wa 11 huwa tunaenda vituo mbali mbali vya yatima. Tunashinda nao, tunakula nao, kuna michezo, yani kwa ujumla ni vitu vingi sana," alisema Furaha.

"Jamani, hadi raha! Mama G kweli ana moyo wa kipekee sana, sio kama matajiri wengine," alisema Mia.

"Ndiyo, yani ana roho nzuri, sijawahi kuona," alisema Judith.

Kwa upande wa Bi Hellen, alipigiwa simu na Bi Maua.

"Eeeh, niambie wifi yangu kipenzi, ilikuwaje?" aliuliza Bi Hellen kwa shauku ya kutaka kujua. "Mmmh aseme nini zaidi ya kusema hataki kuingiliwa kwenye mambo yake, na aliondoka kwa hasira sana. Sijui kama mtaweza kumzuia kumuoa yule mwanamke."

"Wifi, tunatakiwa kushirikiana kwa pamoja kulizuia hili, usituachie huu mzigo peke yetu. Unajua kabisa yule mwanamke hafai, si kwa mavazi tu, hata tabia!" Aliongea Bi Hellen kwa kulalamika.

"Nitaendelea kujaribu kuongea naye, lakini yeye ni mtu mzima. Kama ameona Mira anamfaa, muacheni mwenyewe. Yakija kumshinda huko mbele, atajua afanye nini," alisema Bi Maua. "Sawa, ngoja tuone mwisho wake," Bi Hellen alikata simu.

Kesho yake asubuhi kwenye kampuni ya Purenex, Gael alimuita Mira ofisini kwake. "Babe, nimeitikia wito," Mira alienda

kumkumbatia Gael.

"Sweetheart, leo nataka tutoke pamoja, kuna sehemu nzuri nataka twende pamoja."

"Kweli babe?" Mira alifurahi sana. "Ndiyo, tena tunatakiwa kuondoka sasa hivi."

Gael na Mira waliongozana mpaka nje ya kituo cha watoto yatima kilichoitwa Tumaini Jipya. "Babe, hapa ni wapi?" Mira aliuliza huku anapaangalia.

"Sweetheart, hapa ni kituo cha watoto yatima.

Kila mwaka huwa tunakuja kupata nao chakula, kucheza nao..." Mira alimkatisha Gael.

"Kwahiyo hii ndo sehemu nzuri uliyoniambia?" Mira alimuuliza Gael.

Full 1000
Whatsp 0784468229

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Mimi sikuachi fully stories
Mimi sikuachi fully stories
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

BETWEEN SISTERS AND SECRET _____________________________________*6--7 *SEHEMU YA SITA* "Looh, msichana ana balaa yule! Kwahiyo anaona bora mapenzi kuliko undugu, na Mr. Gael wa watu alivyo mtaratibu na mu-handsome

vile. Ilikuwaje akaenda kuanguka kwa Mira? Mbona kazi anayo! Bora hata angempenda mrembo wangu Mia," Furaha alimtania Mia.

"Acha ujinga! Sitaki kabisa mambo hayo, hasa kuwa karibu na mpenzi wa Mira. Kila siku ananilaumu mimi kuwa namletea mikosi kwenye mahusiano yake, au umesahau?" Mia alimuuliza. "Hata sijasahau shoga angu, hata hivyo Mr. Gael sio mtu wa kumzoea haraka haraka. Yupo busy na mambo yake, kumuona tu kwa mwaka unaweza ukamuona mara moja," Furaha na Mia walitembea huku wanaongea.

Siku zilienda, Mia alizidi kuwa mzoefu zaidi kazini. Siku moja Gael alienda dukani.

"Mama, unajua kabisa nina kazi nyingi sana ofisini, lakini bado umeamua...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/between-sisters-and-secret-_____________________________________-6-7-sehemu-ya-sita-looh-msichana-an

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi between-sisters-and-secret-_____________________________________
BETWEEN SISTERS AND SECRET ____________________________________*  *SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA*  Jioni, muda wa kufunga duka, Gael alimfuata Mia.
BETWEEN SISTERS AND SECRET ____________________________________* *SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA* Jioni, muda wa kufunga duka, Gael alimfuata Mia.
 BETWEEN SISTERS AND SECRET Chapter 14 "Sitaki pesa, nataka kucheza na wewe muziki," Gian aliongea huku anatabasamu.
BETWEEN SISTERS AND SECRET Chapter 14 "Sitaki pesa, nataka kucheza na wewe muziki," Gian aliongea huku anatabasamu.
 BETWEEN SISTERS AND SECRET Chapter 12 Gael aliangalia simu yake kwa muda mrefu, aliangalia majina kwenye contact
BETWEEN SISTERS AND SECRET Chapter 12 Gael aliangalia simu yake kwa muda mrefu, aliangalia majina kwenye contact
 BETWEEN SISTERS AND SECRET 3--4 Chapter 3 Mira aliingia ndani akafunga mlango
BETWEEN SISTERS AND SECRET 3--4 Chapter 3 Mira aliingia ndani akafunga mlango
BETWEEN SISTERS AND SECRET  Chapter 13  Gael alimuangalia Mia kila mara na kutabasamu,
BETWEEN SISTERS AND SECRET Chapter 13 Gael alimuangalia Mia kila mara na kutabasamu,
BETWEEN SISTERS AND SECRET ____________________________________*  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*  "Okay, kaendelee na kazi, badae tutaongea vizuri." Mira alimkumbatia Gael kwa mapenzi yote lakini wa nyuma alimzomea
BETWEEN SISTERS AND SECRET ____________________________________* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* "Okay, kaendelee na kazi, badae tutaongea vizuri." Mira alimkumbatia Gael kwa mapenzi yote lakini wa nyuma alimzomea
 BETWEEN SISTERS AND SECRET Chapter 10 Gael alinyanyua glass yake, akanywa pombe  yote kwa mkupuo. "Babe, naenda toilet mara moja." Mira aliondoka.
BETWEEN SISTERS AND SECRET Chapter 10 Gael alinyanyua glass yake, akanywa pombe yote kwa mkupuo. "Babe, naenda toilet mara moja." Mira aliondoka.
 BETWEEN SISTERS AND SECRET Chapter 17 "Mama G anatupenda wote pale dukani acha story zako za kutunga." Mia alijilaza kitandani.
BETWEEN SISTERS AND SECRET Chapter 17 "Mama G anatupenda wote pale dukani acha story zako za kutunga." Mia alijilaza kitandani.
 BETWEEN SISTERS AND SECRET 8-9 Chapter 8 "Sweetheart, hapa ni kituo cha watoto yatima. Kila mwaka huwa tunakuja kupata nao chakula,
BETWEEN SISTERS AND SECRET 8-9 Chapter 8 "Sweetheart, hapa ni kituo cha watoto yatima. Kila mwaka huwa tunakuja kupata nao chakula,
 BETWEEN SISTERS AND SECRET Chapter 5 "Samahani sana... ni kosa langu nitarekebisha sasa hivi na nitakupatia risiti, ungependa
BETWEEN SISTERS AND SECRET Chapter 5 "Samahani sana... ni kosa langu nitarekebisha sasa hivi na nitakupatia risiti, ungependa
 BETWEEN SISTERS AND SECRET Chapter 15 "Basi kikao kihairishwe, Mr Maximilian alisimama akaelekea chumbani.  "Mama sisi acha twende tukamuone Gael tujue  anashida gani," Gavin na Gian walienda...
BETWEEN SISTERS AND SECRET Chapter 15 "Basi kikao kihairishwe, Mr Maximilian alisimama akaelekea chumbani. "Mama sisi acha twende tukamuone Gael tujue anashida gani," Gavin na Gian walienda...
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23

662
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

585
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

206
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 12

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 12

164
SHAMIRA sehemu ya 38&39

SHAMIRA sehemu ya 38&39

159
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8

151
AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01

AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01

137
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 11

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 11

112
*NIPO NAYE NA NATAMBA NAYE WEE HUOGOPI* 1----5

*NIPO NAYE NA NATAMBA NAYE WEE HUOGOPI* 1----5

98
UTANIITA SHEMEJI.   SEHEMU YA 17

UTANIITA SHEMEJI. SEHEMU YA 17

95

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.54K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.28K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.77K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.24K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.74K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.63K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.63K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.56K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.5K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.47K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
*NIPO NAYE NA NATAMBA NAYE WEE HUOGOPI* 1----5 Post Mpya
*NIPO NAYE NA NATAMBA NAYE WEE HUOGOPI* 1----5
@majario LIVE

Mpyaaa 🔥🔥🔥  SEHEMU YA 1       😂😂😂😂Em kwanza nicheke mieee  , hivi mnakumbuka zile issue za yule baba wa kule sijui  wapi wapii  mi hata sijui bwana anatokea wapiii yulee...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 12 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 12
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Mr. Marvel akaendelea “Niliendelea kufanya kazi na wakati mwingine nilikuwa nambeba Salmon na kwenda naye kazini. Kwa sababu hiyo, nilipoteza baadhi ya kazi kwa sababu haikuruhusiwa kufanya kazi na mtoto....

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 11 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 11
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Noela alipoondoka hakujua hata aende wapi. Alitembea polepole barabarani, machozi yakimtoka na wala hakujali. Aliumia kwa sababu alisalitiwa na watu wawili muhimu sana kwenye maisha yake💔. Alikumbuka dalili alizowahi kuona kwamba...

SHAMIRA sehemu ya 38&39 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 38&39
@majario LIVE

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 Mwandishi; lissa wa huru media Nikasema hapana sijafanywa hivyo akanmbia nini wewe umegawa namba kwa wanume zako wanatuma sms unajifanya kushaangaaa unanichukuliaje wewe. Kwanini unanidhalilisha shamira mpka najuta kuwa...

MASWALI YA BILIONEA WA FALME ZA KIARABU, KHALAF AHMAD AL HABTOOR KWA RAIS WA MAREKANI | Post Mpya
MASWALI YA BILIONEA WA FALME ZA KIARABU, KHALAF AHMAD AL HABTOOR KWA RAIS WA MAREKANI |
@majario LIVE

1- Mheshimiwa nani alikupa ruhsa kuingiza Ukanda wetu katika vita dhidi ya Iran na kwa gharama gani uliwaza kuwa watu wa kwanza kuteseka ni nchi za Ukanda huu ambao ndio...

UTANIITA SHEMEJI.   SEHEMU YA 17 Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI. SEHEMU YA 17
@majario LIVE

SONGA NAYO............... Mda ulienda jioni ilipofika akatoka kazin ,baada ya kufika nyumbani tu salamu ya kwanza aliingia chumbani na kufungua kioo na kutoka kwenye kibalaza kilicho pembezoni mwa chumba chake . Alifika...

AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01 Post Mpya
AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01
@majario LIVE

Tunaanza... Asubuhi na mapema, Sheikh Abdullah alimuita binti yake, Amirah, ambaye alikuwa na umri wa miaka ishirini na tatu. Amirah alitoka chumbani kwake na kumfuata baba yake ili kumsikiliza....

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Madam hakuwa na maneno mengine ya kuongea zaidi alijiinamia kama mtu anaefikiri kitu, ili kuepuka kesi mtoto wa mama Mira mie nikaamka na mwanangu haoo mpaka chumbani kwetu na...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25
@majario LIVE

Nikafunga gari ,kisha nikashika mkono akawa bado hayupo sawa kakasilika sana, ila niliona kidogo hasira yake imepungua pale ambapo ibra alipiga simu na kusikia maongezi ya ibraa, basi bwana...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23
@majario LIVE

Nikasema mama.nisikilize, unasikia mke wangu, haipo kama unavyowaza wewe. ,mi yule.sio mwanamke wangu, yule.ni shemeji yangu, ni mwanamke wa ibraa, na tulikuwa tunakutana wote jioni hiiii, mi uyu demu nimekutana...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Hatimae ule mda wa kuwasili huyo mkaka wa kuitwa Anfrey ulifika walimpokea kwa furaha sana wazazi kama wazazi walimzawadia kijana wao gari ya milioni 80 Mimi nilikuwa kwa mbali natazama...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*
@majario LIVE

Huo Ndio ukawa mwanzo Mpya wa upendo kati yangu Mimi na madam groly, Yaani mimba tu na kukaa nae Ndani ya miezi miwili tu tayali madam groly aliona utofauti wangu. Kwa...

KWAKO RUSHINE DE REUCK. Post Mpya
KWAKO RUSHINE DE REUCK.
@majario LIVE

Nikiwa kama mpenzi na shabiki mwanachama wa Simba niliyenyooka ninajikuta nina wajibu wa kusema ukweli pale panapohitajika ili kama kuna hatua za kuchukuliwa zichukuliwe mapema na mhusika kabla jambo...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Mwandiishi; LISSA Basi bwana rasmi tukaanza aya mahusiano bubu sasa, ambayo mimi binafsi sikuwa nimeyaafik kabisaaa, na wala sikuwa nayafurahia ata kidogo ,ila mchumba si kaamua basi powa, nikaona ngoja...

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania Post Mpya
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania
@majario LIVE

Kutokana na ongezeko la watumiaji wa Safaricom M-Pesa wanaohitaji kutuma pesa kwenda Vodacom M-Pesa Tanzania, nimeamua kuandika makala hii ili kuwasaidia wale ambao hawafahamu jinsi ya kufanya muamala huo. Tuma...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest