Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

 BETWEEN SISTERS AND SECRET 3--4 Chapter 3 Mira aliingia ndani akafunga mlango
Gonga94 Β· Stories

BETWEEN SISTERS AND SECRET 3--4 Chapter 3 Mira aliingia ndani akafunga mlango

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
.

"Sikuwahi kufanya kitu kama hicho, kwanini unanifanyia hivi jamani? Ni Joel alinitongoza yeye mwenyewe na nilimkatalia."

Mia alianza kulia.

"Usiniletee uchuro hapo nje, kama unataka kulia nenda huko sio hapa. Na kama kipaji chako ni kulia basi nenda kalie misibani watakulipa."

Mira aliongea akiwa ndani.

Wapangaji wengine walimuonea huruma Mia. "Mia njoo huku."

Shufaa alimshika mkono Mia akaingia naye kwake chumba chake.

"Acha kulia basi, unajua utapata homa bure." Shufaa alijitahidi kumbembeleza Mia.

"Naumia sana Shufaa, sikuwahi kutetemeka. Dada yangu atanichukulia mimi kama takataka."

Mia alizidisha kulla.

"Acha basi kulia shoga yangu, achana naye. Huenda kuna mambo ya kazini yamsumbua,

ndomana anataka kumalizia hasira zake kwako."

"Natamani ingekuwa hivyo Shufaa, maana yangepita, lakini chuki yake haikuanza leo wala jana na sijui itaisha lini."

"Sasa utafanya nini kipenzi?"

"Nataka kuondoka, bora nirudi nyumbani siwezi

kuishi maisha ya kunyanyasika." Mia alifuta machozi, ni wazi aliamua kufanya

uamuzi.

"Bora iwe hivyo, maana hapa unateseka tu bure.

Ila nitakumiss sana Mia wangu."

Shufaa alivuta shavu la Mia. "Hata mimi nitakumiss sana."

Mia na Shufaa walikumbatiana.

Kama alivyopanga, Mia alisubiri Mira ameenda kazini, alichukua begi lake akaondoka.

"Babaa..."

Mia alimkimbilia mzee Charles akamkumbatia, "Mira mbona hakuniambia kama unarudi leo, au mmeshagombana tena?"

Mzee Charles alimuuliza Mia.

"Wala hatuwezi kugombana, nimeamua tu kurudi baba. Maisha ya kule sijayazoea hata kidogo." Mia alikaa kwenye mkeka.

"Ni sawa, kama hukupapenda kule unaweza kufanya biashara hapa hapa, nitakupa mtaji." Alisema mzee Charles.

"Asante sana baba, ndomana nakupendaga." Mia alifurahi sana, aliamua kuanza biashara ya kukaanga mihogo.

"Mia unajua hii kazi huendani nayo hata kidogo." Alisema Furaha rafiki wa Mia.

"Kazi ni kazi tu shoga yangu, ilimradi mkono uende kinywani. Nikianza kuchagua kazi

nitafanikiwa kweli?"

"Ngoja kwanza nikupe habari njema."

Furaha aliongea huku anakula mihogo.

"Mmmh, niambie shoga yangu, nakusikiliza."

Mia alikaa vizuri kumsikiliza Furaha.

"Kuna mama mmoja anataka mtu mwingine wa

kumuuzia duka lake la simu. Kama upo tayari tunaweza kwenda pamoja ukaanze kazi, hata

mimi nafanya kazi hapo hapo." "Unasema kweli Furaha?"

Mia alikuwa haamini hata kidogo.

"Kweli, sio utani. Kama upo tayari hata kesho tunaondoka, utaanza kazi yako mapema na

mshahara sio mdogo. Namuelewa sana mama G, sio mtu wa ahadi za uongo."

Alisema Furaha.

"Mimi nimekubali, lakini mpaka niongee na baba kwanza. Siwezi kufanya uamuzi mwenyewe." mimi

"Hakuna shida, mimi nitaongea na mama G asimpe nafasi mtu mwingine."

Mia hakutaka kuchelewa, alienda kumwambia baba yake kila kitu.

"Mimi siwezi kukukatalia mwanangu, lakini

nataka tu uwe muangalifu. Na kama ukishindwa rudi nyumbani, usijilazimishe kukaa kwenye miji ya watu."

Aliongea mzee Charles kwa msisitizo.

"Sawa baba, nimekuelewa na nakuahidi

nitakuwa salama, na kikitokea chochote ni lazima nikujuze."

Mia alifurahi sana.

Kesho yake asubuhi sana aliondoka pamoja na Furaha kuelekea Dar es Salaam.

"Mia... twende basi, usibaki kushangaa majengo, tutachelewa ujue."

Furaha alimvuta mkono wa Mia huku anacheka. "Heeh shoga kweli, Dar es Salaam sio Muheza, ona kulivyo na magorofa kila kona hadi shingo

inauma kwa kuangalia juu."

Mia aliongea huku macho yake yakitazama juu. "Sasa hapa bado utazidi kujionea vitu vya kila aina na vitakushangaza."

Furaha alimshika mkono Mia, wakaingia kwenye duka kubwa la simu lililoitwa NextGen Phones.

Walimkuta mwanamke mmoja wa makamu alikuwa amependeza sana na kulikuwa na

wafanyakazi wengine wawili.

Chapter 4

Waliingia kwenye duka kubwa la simu lililoitwa NextGen Phones. Walimkuta mwanamke mmoja wa makamu, alikuwa amependeza sana na

kulikuwa na wafanyakazi wengine wawili.

"Karibuni, wewe ndio Mia?" aliuliza Mama G. "Ndiyo, ni mimi. Shikamoo. Mia alijibu kwa heshima, alijikuta akitetemeka kwa hofu.

"Marahaba, una jina zuri kama wewe

mwenyewe. Hapa dukani kwangu sipendi uvivu wala uongo. Ukifanya kazi kwa bidii utafurahia, maana huwa sivunji ahadi zangu. Lakini ukiwa mvivu au muongo nitakufukuza kazi." Aliongea Mama G kwa msisitizo huku

akimuangalia Mia usoni. "Sawa boss, nimekuelewa vizuri." Mia alijibu kwa

sauti ya chini.

"Madam, Mia ni mpole na ana aibu kidogo, ila nikuhakikishie kuwa ni mchapakazi sana. Akikaa hapa kwa muda ataozea tu."

Furaha aliongea huku ameshika mkono wa Mia. Mia alitabasamu kwa aibu.

"Sawa, kesho unaanza kazi ila kwa leo Furaha atakuonyesha mazingira ya hapa dukani. Lakini

Mama G alimuangalia Mia akatabasamu.

kumbuka, hapa Dar kila mtu anahangaika kutafuta maisha. Usimuamini mtu yoyote, hata rafiki. Na hao wanaume ndo usiwaamini kabisa,

wengi ni waongo." Mia akatikisa kichwa.

"Nimekuelewa madam." Alijibu Mia kwa sauti yake ya upole.

"Sawa, nadhani tumeelewana na nimemaliza kuongea, mnaweza kwenda."

Mama G aliendelea kukagua duka.

"Mia twende huku nikuzungushe, unatakiwa. kujua simu zilizoka kwenye upande wako wa mauzo kwanzia aina ya simu, bei yake, matumizi yake na ubora wake kushinda aina nyingine ya simu ili kumshawishi mteja anunue." Furaha aliongea huku anamuonyesha Mia aina za simu.

"Kwahiyo mimi nitakuwa nauza upande huu peke yangu?" aliuliza Mia kwa hofu.

"Ndiyo, kila mfanyakazi ana upande wake.

Kwenye hili duka kama unavyoona kuna sehemu nne, na wafanyakazi wanatakiwa wanne. Kwahiyo kila mmoja ana sehemu yake."

"Duuh, mbona nimeanza kuogopa, nitaweza kwell?"

Mia aliongea huku anamuangalia Furaha usoni. "Usijali bhana, utaweza tu. Hata mimi nilikuwa

hivyo hivyo, lakini saizi kila kitu ni rahisi. Cha kufanya ni kuzingatia unachofundishwa."

"Sawa, nitazingatia."

Furaha alimuonyesha Mia kila kona ya duka, alimuelezea aina zote za simu atakazokuwa

anauza.

"Sasa tumemaliza upande wa dukani, twende nikakuonyeshe upande wa nyumba za wafanyakazi."

"Kumbe kuna hadi nyumba za wafanyakazi?" Mia alibaki mdomo wazi.

"Ndiyo, madam ni mtu mzuri sana. Anatujali kama watoto wake, ila ndo kama alivyosema, hapendi uongo, udokozi na uvivu. Ukimuudhi tu-

kazi huna."

Alisema Furaha.

"Nitajitahidi kufanya kazi vizuri." "Twende huku."

Furaha alimshika Mia mkono, walipanda daladala, hawakuchukua muda mrefu walishuka. "Tumefika."

Furaha alitoa funguo akafungua mlango. "Hee, hii ndo nyumba mnayoishi? Mbona ni nzuri sana."

Mia alianza kukagua kila kona.

"Kwa maisha anayoishi Mama G, hiki ni sawa na kibanda cha mlinzi shoga yangu, upo?"

Furaha alikaa kwenye kiti.

"Weee, usiniambie, natamani hata kuona hapo anapoishi."

Mia alienda kukaa pia.

"Utapajua tu hata usijali. Kila mwisho wa mwaka, wafanyakazi huwa tunaenda kwenye sherehe za mwisho wa mwaka, watu wanakuwa ni wengi sana siku hiyo."

"Wote ni wafanyakazi?” aliuliza Mia.

"Ndiyo. Mume wa Mama G. Mr. Maximilian, ni tajiri sana. Ana makampuni makubwa, kwahiyo

lazima wafanyakazi wawe wengi sana." "Mmmh, inaonekana familia yao wanajiweza sana, sio kama sisi."

"Hao ni wazazi tu, wana mali nyingine. Hivyo na ukija kwa watoto wao, kila mmoja ana kazi yake na anaingiza mabilioni ya pesa. Mtoto wao wa

kwanza ni Gavin, yeye ni daktari ana hospital yake binafsi-tena sio hivi vya uchochoroni, hospital haswaa. Wa pili ni Gael, yeye ni CEO wa kampuni ya Purenex, na wa tatu ni Gian, yeye ni

mwanamitindo maarufu." "Usiniambie, kumbe wenzetu wana maisha, sisi wengine tunasindikiza tu." "Ndo hivyo shoga yangu, na sisi tuhangaike.

kutafuta vimiambili mia mbili tulishe familia zetu, tusifanye mchezo. Njoo nikuonyeshe chumba." Furaha alienda kumuonyesha Mia chumba.

Kwa siku hiyo walipumzika, na kesho yake kazi Ilianza.

Mia alipata shida sana kuhudumia wateja, lakini alizoea. Ulipita mwezi mmoja Mia akiwa anafanya kazi kwenye duka la Mama G, wateja walimpenda kwa tabasamu na heshima yake. "Mia hadi nakuonea wivu, wateja wamekupenda kwa siku chache tu ulizokuwa hapa,"

Alisema Dora.

"Hata wewe pia wateja wako wanakupenda." Aliongea Mia huku anatabasamu.

"Mmmh, sisi tulichukua muda mrefu sana mpaka kuzoeleka na wateja."

Alisema Judith...

"Kila mtu na nyota yake bibi wee, usijifananishe na mwenzio."

Aliongea Furaha kwa utani, wote walicheka.

Siku moja, Mia alikuwa na wateja wengi sana. "Opps, nimemaliza sasa. Miguu yote inauma." Mia alikaa kwenye kiti chake.

"Inawezekanaje duka kubwa kama hili hamna mfumo wa risiti? Mnafanya kazi kwa kubahatisha si ndio?"

Mia alishtuliwa na sauti nzito ya kiume.

Mia aligeuka haraka, mapigo yake ya moyo yaliongezeka kwa kasi.

Mbele yake alisimama mwanaume mtanashati.

Full 1000
Whatsp 0784468229

Maoni

You're not logged in


Tangazo - CEO usinivue mi nimchumba wa mtu mwanzo wa simulizi Hadi Mwisho wa simulizi
CEO usinivue mi nimchumba wa mtu mwanzo wa simulizi Hadi Mwisho wa simulizi
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

BETWEEN SISTERS AND SECRET 3--4 Chapter 3 Mira aliingia ndani akafunga mlango

.

"Sikuwahi kufanya kitu kama hicho, kwanini unanifanyia hivi jamani? Ni Joel alinitongoza yeye mwenyewe na nilimkatalia."

Mia alianza kulia.

"Usiniletee uchuro hapo nje, kama unataka kulia nenda huko sio hapa. Na kama kipaji chako ni kulia basi nenda kalie misibani watakulipa."

Mira aliongea akiwa ndani.

Wapangaji wengine walimuonea huruma Mia. "Mia njoo huku."

Shufaa alimshika mkono Mia akaingia naye kwake chumba chake.

"Acha kulia basi, unajua utapata homa bure." Shufaa alijitahidi kumbembeleza Mia.

"Naumia sana Shufaa, sikuwahi kutetemeka. Dada yangu atanichukulia mimi kama takataka."

Mia alizidisha kulla.

"Acha basi kulia shoga yangu, achana naye. Huenda kuna mambo ya kazini yamsumbua,

ndomana anataka kumalizia hasira zake kwako."

"Natamani ingekuwa hivyo Shufaa, maana...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/between-sisters-and-secret-3-4-chapter-3-mira-aliingia-ndani-akafunga-mlango

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi between-sisters-and-secret
BETWEEN SISTERS AND SECRET ____________________________________*  *SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA*  Jioni, muda wa kufunga duka, Gael alimfuata Mia.
BETWEEN SISTERS AND SECRET ____________________________________* *SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA* Jioni, muda wa kufunga duka, Gael alimfuata Mia.
 BETWEEN SISTERS AND SECRET Chapter 14 "Sitaki pesa, nataka kucheza na wewe muziki," Gian aliongea huku anatabasamu.
BETWEEN SISTERS AND SECRET Chapter 14 "Sitaki pesa, nataka kucheza na wewe muziki," Gian aliongea huku anatabasamu.
 BETWEEN SISTERS AND SECRET Chapter 12 Gael aliangalia simu yake kwa muda mrefu, aliangalia majina kwenye contact
BETWEEN SISTERS AND SECRET Chapter 12 Gael aliangalia simu yake kwa muda mrefu, aliangalia majina kwenye contact
BETWEEN SISTERS AND SECRET  Chapter 13  Gael alimuangalia Mia kila mara na kutabasamu,
BETWEEN SISTERS AND SECRET Chapter 13 Gael alimuangalia Mia kila mara na kutabasamu,
BETWEEN SISTERS AND SECRET ____________________________________*  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*  "Okay, kaendelee na kazi, badae tutaongea vizuri." Mira alimkumbatia Gael kwa mapenzi yote lakini wa nyuma alimzomea
BETWEEN SISTERS AND SECRET ____________________________________* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* "Okay, kaendelee na kazi, badae tutaongea vizuri." Mira alimkumbatia Gael kwa mapenzi yote lakini wa nyuma alimzomea
 BETWEEN SISTERS AND SECRET Chapter 10 Gael alinyanyua glass yake, akanywa pombe  yote kwa mkupuo. "Babe, naenda toilet mara moja." Mira aliondoka.
BETWEEN SISTERS AND SECRET Chapter 10 Gael alinyanyua glass yake, akanywa pombe yote kwa mkupuo. "Babe, naenda toilet mara moja." Mira aliondoka.
 BETWEEN SISTERS AND SECRET Chapter 17 "Mama G anatupenda wote pale dukani acha story zako za kutunga." Mia alijilaza kitandani.
BETWEEN SISTERS AND SECRET Chapter 17 "Mama G anatupenda wote pale dukani acha story zako za kutunga." Mia alijilaza kitandani.
 BETWEEN SISTERS AND SECRET 8-9 Chapter 8 "Sweetheart, hapa ni kituo cha watoto yatima. Kila mwaka huwa tunakuja kupata nao chakula,
BETWEEN SISTERS AND SECRET 8-9 Chapter 8 "Sweetheart, hapa ni kituo cha watoto yatima. Kila mwaka huwa tunakuja kupata nao chakula,
 BETWEEN SISTERS AND SECRET Chapter 5 "Samahani sana... ni kosa langu nitarekebisha sasa hivi na nitakupatia risiti, ungependa
BETWEEN SISTERS AND SECRET Chapter 5 "Samahani sana... ni kosa langu nitarekebisha sasa hivi na nitakupatia risiti, ungependa
 BETWEEN SISTERS AND SECRET Chapter 15 "Basi kikao kihairishwe, Mr Maximilian alisimama akaelekea chumbani.  "Mama sisi acha twende tukamuone Gael tujue  anashida gani," Gavin na Gian walienda...
BETWEEN SISTERS AND SECRET Chapter 15 "Basi kikao kihairishwe, Mr Maximilian alisimama akaelekea chumbani. "Mama sisi acha twende tukamuone Gael tujue anashida gani," Gavin na Gian walienda...
 BETWEEN SISTERS AND SECRET _____________________________________*6--7  *SEHEMU YA SITA*  "Looh, msichana ana balaa yule! Kwahiyo anaona bora mapenzi kuliko undugu, na Mr. Gael wa watu alivyo mtaratibu na...
BETWEEN SISTERS AND SECRET _____________________________________*6--7 *SEHEMU YA SITA* "Looh, msichana ana balaa yule! Kwahiyo anaona bora mapenzi kuliko undugu, na Mr. Gael wa watu alivyo mtaratibu na...
BETWEEN SISTERS AND SECRET Chapter 19
BETWEEN SISTERS AND SECRET Chapter 19
 BETWEEN SISTERS AND SECRET Chapter 20
BETWEEN SISTERS AND SECRET Chapter 20
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23

662
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

585
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

206
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 12

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 12

164
SHAMIRA sehemu ya 38&39

SHAMIRA sehemu ya 38&39

159
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8

151
AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01

AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01

137
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 11

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 11

112
*NIPO NAYE NA NATAMBA NAYE WEE HUOGOPI* 1----5

*NIPO NAYE NA NATAMBA NAYE WEE HUOGOPI* 1----5

98
UTANIITA SHEMEJI.   SEHEMU YA 17

UTANIITA SHEMEJI. SEHEMU YA 17

95

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.54K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.28K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.77K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.24K
MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

2.74K
MY WANGU❀️ sehemu ya 108

MY WANGU❀️ sehemu ya 108

2.63K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.63K
MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

2.56K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.5K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tatu.  πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tatu. πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

2.47K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
*NIPO NAYE NA NATAMBA NAYE WEE HUOGOPI* 1----5 Post Mpya
*NIPO NAYE NA NATAMBA NAYE WEE HUOGOPI* 1----5
@majario LIVE

Mpyaaa πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯ Β SEHEMU YA 1 Β Β  Β Β  πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Em kwanza nicheke mieeeΒ  , hivi mnakumbuka zile issue za yule baba wa kule sijuiΒ  wapi wapiiΒ  mi hata sijui bwana anatokea wapiii yulee...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 12 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 12
@majario LIVE

πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹ Mr. Marvel akaendelea β€œNiliendelea kufanya kazi na wakati mwingine nilikuwa nambeba Salmon na kwenda naye kazini. Kwa sababu hiyo, nilipoteza baadhi ya kazi kwa sababu haikuruhusiwa kufanya kazi na mtoto....

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 11 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 11
@majario LIVE

πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹ Noela alipoondoka hakujua hata aende wapi. Alitembea polepole barabarani, machozi yakimtoka na wala hakujali. Aliumia kwa sababu alisalitiwa na watu wawili muhimu sana kwenye maisha yakeπŸ’”. Alikumbuka dalili alizowahi kuona kwamba...

SHAMIRA sehemu ya 38&39 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 38&39
@majario LIVE

πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ Mwandishi; lissa wa huru media Nikasema hapana sijafanywa hivyo akanmbia nini wewe umegawa namba kwa wanume zako wanatuma sms unajifanya kushaangaaa unanichukuliaje wewe. Kwanini unanidhalilisha shamira mpka najuta kuwa...

MASWALI YA BILIONEA WA FALME ZA KIARABU, KHALAF AHMAD AL HABTOOR KWA RAIS WA MAREKANI | Post Mpya
MASWALI YA BILIONEA WA FALME ZA KIARABU, KHALAF AHMAD AL HABTOOR KWA RAIS WA MAREKANI |
@majario LIVE

1- Mheshimiwa nani alikupa ruhsa kuingiza Ukanda wetu katika vita dhidi ya Iran na kwa gharama gani uliwaza kuwa watu wa kwanza kuteseka ni nchi za Ukanda huu ambao ndio...

UTANIITA SHEMEJI.   SEHEMU YA 17 Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI. SEHEMU YA 17
@majario LIVE

SONGA NAYO............... Mda ulienda jioni ilipofika akatoka kazin ,baada ya kufika nyumbani tu salamu ya kwanza aliingia chumbani na kufungua kioo na kutoka kwenye kibalaza kilicho pembezoni mwa chumba chake . Alifika...

AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01 Post Mpya
AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01
@majario LIVE

Tunaanza... Asubuhi na mapema, Sheikh Abdullah alimuita binti yake, Amirah, ambaye alikuwa na umri wa miaka ishirini na tatu. Amirah alitoka chumbani kwake na kumfuata baba yake ili kumsikiliza....

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Madam hakuwa na maneno mengine ya kuongea zaidi alijiinamia kama mtu anaefikiri kitu, ili kuepuka kesi mtoto wa mama Mira mie nikaamka na mwanangu haoo mpaka chumbani kwetu na...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25
@majario LIVE

Nikafunga gari ,kisha nikashika mkono akawa bado hayupo sawa kakasilika sana, ila niliona kidogo hasira yake imepungua pale ambapo ibra alipiga simu na kusikia maongezi ya ibraa, basi bwana...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23
@majario LIVE

Nikasema mama.nisikilize, unasikia mke wangu, haipo kama unavyowaza wewe. ,mi yule.sio mwanamke wangu, yule.ni shemeji yangu, ni mwanamke wa ibraa, na tulikuwa tunakutana wote jioni hiiii, mi uyu demu nimekutana...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Hatimae ule mda wa kuwasili huyo mkaka wa kuitwa Anfrey ulifika walimpokea kwa furaha sana wazazi kama wazazi walimzawadia kijana wao gari ya milioni 80 Mimi nilikuwa kwa mbali natazama...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*
@majario LIVE

Huo Ndio ukawa mwanzo Mpya wa upendo kati yangu Mimi na madam groly, Yaani mimba tu na kukaa nae Ndani ya miezi miwili tu tayali madam groly aliona utofauti wangu. Kwa...

KWAKO RUSHINE DE REUCK. Post Mpya
KWAKO RUSHINE DE REUCK.
@majario LIVE

Nikiwa kama mpenzi na shabiki mwanachama wa Simba niliyenyooka ninajikuta nina wajibu wa kusema ukweli pale panapohitajika ili kama kuna hatua za kuchukuliwa zichukuliwe mapema na mhusika kabla jambo...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Mwandiishi; LISSA Basi bwana rasmi tukaanza aya mahusiano bubu sasa, ambayo mimi binafsi sikuwa nimeyaafik kabisaaa, na wala sikuwa nayafurahia ata kidogo ,ila mchumba si kaamua basi powa, nikaona ngoja...

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania Post Mpya
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania
@majario LIVE

Kutokana na ongezeko la watumiaji wa Safaricom M-Pesa wanaohitaji kutuma pesa kwenda Vodacom M-Pesa Tanzania, nimeamua kuandika makala hii ili kuwasaidia wale ambao hawafahamu jinsi ya kufanya muamala huo. Tuma...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest