Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

BETWEEN SISTERS AND SECRET Chapter 19
Gonga94 · Stories

BETWEEN SISTERS AND SECRET Chapter 19

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Mia alimuangalia Gael, alisogea karibu akajilaza kwenye kifua cha Gael.

Gael alitabasamu, akamkumbatia Mia kwa

nguvu.

Walijikuta wamelala huku wamekumbatiana.

Mida ya saa mbili asubuhi, mlango wa chumba cha Gael ulifunguliwa. Mira aliingia, akasimama mbele ya kitanda,

"Hongera sana, hongera! Nilijua tu ni lazima huyu changudoa atafanya hivi!"

Sauti ya Mira iliwashtua Gael na Mia kutoka usingizini.

"Mira..." Mia aliita kwa uoga.

"Mira umefuata nini nyumbani kwangu?” aliuliza Gael kwa kufoka.

"Gael, ivi leo unaniuliza nimefuata nini kwako.

kweli?

Kwani umesahau kama sisi ni wapenzi? Homa imekufanya upoteze kumbukumbu?" Mira aliongea kwa kulalamika.

"Mira, ondoka nyumbani kwangu!" aliongea Gael kwa amri.

Mia alitaka kuondoka, lakini Gael akamzuia..

"Hauwezi kwenda popote, Mia."

"Gael, mimi siwezi kuondoka, anayetakiwa kuondoka ni huyo malaya!"

Gael na Mia waliangaliana.

Mira alitaka kumvamia Mia, Gael akamzuia.

"Kama umechoka kuishi kwa amani, basi mguse

hata ukucha wake utanijua mimi ni nani!" Mira alimuangalia Mia kwa hasira, akaondoka.

Mia,

"Gael, kilichotokea kati yetu jana ni makosa,

naomba usahau kila kitu,

na mimi nitafanya hivyo hivyo."

Mia alivaa nguo zake, akaondoka.

"Nimekuacha uondoke, Nitakufata tena na tena,

lakini bado siwezi kukata tamaa.

siwezi kukata tamaa penzi langu kwako." Gael aliongea huku anatabasamu.

Kwa upande wa Mia, alifika nyumbani akaingia bafuni, alikaa muda mrefu.

"Shoga, mbona kama haupo sawa?" Furaha alimuuliza Mia.

"Atakuwaje sawa na unamuona alivyo, alisema Judith.

"Nauliza kwa sababu nataka kujua kilichomfanya.

awe hivyo,"

alisema Furaha.

"Eti kipenzi, umepatwa na nini? Dora alimuuliza Mia.

"Aaaah, natamani hata kuondoka kwenye huu

mji,

Mia alikaa kitandani.

"Kwanini?"

"Mimi na Gael jana tumelala pamoja, na Mira alitukuta asubuhi.

Alitaka kuleta ugomvi ila Gael akamfukuza.. Hapa sijui Mira atanifanya nini,

naogopa sana."

"Unampenda Gael?" Judith alimuuliza Mia.

"Nahisi kama nampenda.

Sikuwahi kujihisi hivyo kabla ya kukutana naye

na kuwa karibu naye."

"Kama unampenda sasa unaogopa kitu gani? Mira ameichezea hiyo bahati ya kuwa na Gael

kwa kumcheat na ex wake, na sio makosa yako wao kuachana," alisema

Dora.

"Ndiyo ni kweli, mimi nakubaliana na Dora.

Acha kumuogopa Mira na upambanie penzi

lako," alisema Furaha.

"Nyie naona mnanishauri vibaya.

Mnajua kabisa Mira ni dada yangu na mchumba

wa Gael,

na hii inamaanisha wamewahi kulala pamoja.

Afu na mimi niende pale pale kula makombo ya

dada yangu?

Kweli mimi hata sitaki,

nitajitahidi nimsahau Gael."

"Kipi ambacho hukijui tena kwa Gael? Si ni wewe mwenyewe umesema umeshalala

naye?"

Mia aliangalia chini kwa aibu.

"Acha ujinga, shoga yangu.

Mira amempotezea muda kaka wa watu,

na Gael anakupenda, na wewe unampenda.

Sasa kwanini ujitese?"

"Eti kwanini ujitese?

Embu pambania penzi hilo.

Na hata hivyo Mira hakuwa mke wa Gael,

walikuwa wachumba tu,

na wazazi wake hata hawakumkubali."

"Mnamsema sana Mira mbele yangu.

Mmesahau kama ni dada yangu?"

"Mtu akifanya mabaya ni lazima yasemwe.

Haya, twende tukanywe chai," Furaha, Dora, na Judith walielekea sebleni.

"Sijui kama nitakuwa sahihi ama la, ila ukweli ni kwamba nampenda sana Gael.

Nisamehe sana, Mira." Mia alijilaza kitandani,

alitabasamu kila alikumbuka kilichotokea kati yake na Gael usiku wa jana.

Full 1000
Whatsp 0784468229

Maoni

You're not logged in


Tangazo - For this week only
For this week only
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

BETWEEN SISTERS AND SECRET Chapter 19



Mia alimuangalia Gael, alisogea karibu akajilaza kwenye kifua cha Gael.

Gael alitabasamu, akamkumbatia Mia kwa

nguvu.

Walijikuta wamelala huku wamekumbatiana.

Mida ya saa mbili asubuhi, mlango wa chumba cha Gael ulifunguliwa. Mira aliingia, akasimama mbele ya kitanda,

"Hongera sana, hongera! Nilijua tu ni lazima huyu changudoa atafanya hivi!"

Sauti ya Mira iliwashtua Gael na Mia kutoka usingizini.

"Mira..." Mia aliita kwa uoga.

"Mira umefuata nini nyumbani kwangu?” aliuliza Gael kwa kufoka.

"Gael, ivi leo unaniuliza nimefuata nini kwako.

kweli?

Kwani umesahau kama sisi ni wapenzi? Homa imekufanya upoteze kumbukumbu?" Mira aliongea kwa kulalamika.

"Mira, ondoka nyumbani kwangu!" aliongea Gael kwa amri.

Mia alitaka kuondoka, lakini Gael akamzuia..

"Hauwezi kwenda popote, Mia."

"Gael, mimi siwezi kuondoka,...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/between-sisters-and-secret-chapter-19

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi between-sisters-and-secret-chapter
 BETWEEN SISTERS AND SECRET Chapter 14 "Sitaki pesa, nataka kucheza na wewe muziki," Gian aliongea huku anatabasamu.
BETWEEN SISTERS AND SECRET Chapter 14 "Sitaki pesa, nataka kucheza na wewe muziki," Gian aliongea huku anatabasamu.
 BETWEEN SISTERS AND SECRET Chapter 12 Gael aliangalia simu yake kwa muda mrefu, aliangalia majina kwenye contact
BETWEEN SISTERS AND SECRET Chapter 12 Gael aliangalia simu yake kwa muda mrefu, aliangalia majina kwenye contact
BETWEEN SISTERS AND SECRET  Chapter 13  Gael alimuangalia Mia kila mara na kutabasamu,
BETWEEN SISTERS AND SECRET Chapter 13 Gael alimuangalia Mia kila mara na kutabasamu,
 BETWEEN SISTERS AND SECRET Chapter 10 Gael alinyanyua glass yake, akanywa pombe  yote kwa mkupuo. "Babe, naenda toilet mara moja." Mira aliondoka.
BETWEEN SISTERS AND SECRET Chapter 10 Gael alinyanyua glass yake, akanywa pombe yote kwa mkupuo. "Babe, naenda toilet mara moja." Mira aliondoka.
 BETWEEN SISTERS AND SECRET Chapter 17 "Mama G anatupenda wote pale dukani acha story zako za kutunga." Mia alijilaza kitandani.
BETWEEN SISTERS AND SECRET Chapter 17 "Mama G anatupenda wote pale dukani acha story zako za kutunga." Mia alijilaza kitandani.
 BETWEEN SISTERS AND SECRET Chapter 5 "Samahani sana... ni kosa langu nitarekebisha sasa hivi na nitakupatia risiti, ungependa
BETWEEN SISTERS AND SECRET Chapter 5 "Samahani sana... ni kosa langu nitarekebisha sasa hivi na nitakupatia risiti, ungependa
 BETWEEN SISTERS AND SECRET Chapter 15 "Basi kikao kihairishwe, Mr Maximilian alisimama akaelekea chumbani.  "Mama sisi acha twende tukamuone Gael tujue  anashida gani," Gavin na Gian walienda...
BETWEEN SISTERS AND SECRET Chapter 15 "Basi kikao kihairishwe, Mr Maximilian alisimama akaelekea chumbani. "Mama sisi acha twende tukamuone Gael tujue anashida gani," Gavin na Gian walienda...
 BETWEEN SISTERS AND SECRET Chapter 20
BETWEEN SISTERS AND SECRET Chapter 20
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*

MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*

875
MY WANGU❤️ sehemu ya 113

MY WANGU❤️ sehemu ya 113

736
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

256
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9

218
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 72...73💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 72...73💘💘

186
WEWE NI WANGU  SEHEMU YA 10

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 10

149
*AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️*   *SEHEMU YA 01 & 4

*AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️* *SEHEMU YA 01 & 4

120
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 7

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 7

96
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 6

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 6

82
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 8

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 8

75

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.23K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.97K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.7K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.11K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.5K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.43K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.34K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.32K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.27K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.19K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117
@majario LIVE

Mlige akanambia sikia sio kila wanachosema wazazi wnapatia. Nooo kma mama yako amesema anakupa radhi. Ukiludiana na mm ata mm mama yangu kanambia hivyo hivyo. Lakin faridah mi bila...

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 72...73💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 72...73💘💘
@majario LIVE

Baada ya ile simu ya mme wangu kuita niliipokea mimi kisha nikamuwekea mme wangu sikioni kwa sababu yeye mkononi kwake alikuwa kambeba mtoto..... nilimsikia baba lia akiwa anaongea kwa machungu...

*UTANIITA SHEMEJI* *11-15* Post Mpya
*UTANIITA SHEMEJI* *11-15*
@majario LIVE

*____________________________________* *SEHEMU YA 11* SONGA NAYO.................... Ilituchukua karibu lisaa hadi kufika kituo tunachoshukia , tukashuka Alvin akalipa na kunishikia begi langu la nguo haoo tukashika kichochoro kuelekea huko anakojua yeye. Mda huo tunatembea alikuwa...

WEWE NI WANGU  SEHEMU YA 10 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 10
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Nilipomuona Lizy hasira zote zikaniisha, nikabaki naona aibu yani aibu harafu sasa hapa mbele palikuwa pametuna hivyo Nafahamu Lizy alikuwa ameniona So nikabaki najikanyanga kanyaga kama mtoto wa kike "Umepajuaje hapa..??" Nilimuuliza...

Movie: Do Deewane Seher Mein Rating: ⭐⭐⭐⭐ Review: SOOTHING  #SiddhantChaturvedi & #MrunalThakur shine in this raw &realistic love story 🫶 Post Mpya
Movie: Do Deewane Seher Mein Rating: ⭐⭐⭐⭐ Review: SOOTHING #SiddhantChaturvedi & #MrunalThakur shine in this raw &realistic love story 🫶
@majario LIVE

#DoDeewaneSeherMein #DoDeewaneSeherMeinReview Ravi Udyawar handles the film with maturity and restraint. The screenplay avoids melodrama. The strength lies in its emotional authenticity. The dialogues are organic & socially relevant without...

BLACK BUTTERFLY 🦋 1 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 1
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Anzaaaa “ Hello guys nataka umakin zaidi katika hoteli hii nadhan kila mmoja anajua wajibu wakee kwa wateja okay ...?!?” Aliongeaa msichana mmoja matata sana alionyeshaa yeye...

Rohan Kapoor and Farah Naaz made their Bollywood debut with Faasle, directed by Yash Chopra. They were introduced as the lead pair — Rohan played Vijay, and Farah played Chandni Post Mpya
Rohan Kapoor and Farah Naaz made their Bollywood debut with Faasle, directed by Yash Chopra. They were introduced as the lead pair — Rohan played Vijay, and Farah played Chandni
@majario LIVE

. The film told a simple, emotional love story. Vijay and Chandni fall in love, but their relationship faces strong opposition from her family. It had that classic “rich girl, poor...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 8 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 8
@majario LIVE

Nikaliwa kwenye gari ya bwana wangu na ushirikiano nikatoaa mwanzo mwisho kama chizii vilee. Kama lisaa hivii ndo anamaliza nipo hoii yupo hoiii akavaa nguo zake kimya kimya, mie uso umenishuka...

MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115* Post Mpya
MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*
@majario LIVE

Aseeeee nimekuja kustuka namuona mama yangu pembeni na nipo hospital. Nyieee cha kwanza nikashika tumbo langu. Ooh lipo . Mi mwenyewe nilikuwa nataka.kuzaa ssana na mlige najua mema alonifanyia mm...

MY WANGU❤️ sehemu ya 113 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 113
@majario LIVE

Basi bibi mie nilipomaliza kusuka.nikaenda kwangu kupumzika kabisa. Basi siku iyo mlige kanipigia akanmbia njoooo nyakanazi. Mh nikajua anataka mzigo. Mie nikajiandaa mpaka nyakanaza. Akaningiza kwenye gari . Heeee safari...

*AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️*   *SEHEMU YA 01 & 4 Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️* *SEHEMU YA 01 & 4
@majario LIVE

ANZA NAYO…… “Wewe sikiliza umu Ndani teshachoka kukulea sasa, Kazi utaki kufanya, unataka kukaa tu, unataka tukulishe na kukuvisha Binti akili zako Zipo Sawa au ? Sasa...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 7 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 7
@majario LIVE

Wale wadada wakanyamaza kidogo, wakaniangalia kuanzia kichwani mpaka miguuni. Mmoja akauliza “Huyu ni nani tena?” Nikavuta pumzi ndefu, nikajikaza. “Sikujua kama leo ni sherehe, , mie ni mke wake” nikasema kwa sauti ya...

mwanzilishi mwenza wa YouTube Karim mwenye umri wa miaka 25 wakati huo katika Zoo ya San Diego akizungumza kuhusu Post Mpya
mwanzilishi mwenza wa YouTube Karim mwenye umri wa miaka 25 wakati huo katika Zoo ya San Diego akizungumza kuhusu
@majario LIVE

Ukurasa wa kutazama wa YouTube unaangazia upakiaji wa kwanza kabisa unaoitwa "Me at the zoo," ikionyesha mwanzilishi mwenza wa YouTube Karim mwenye umri wa miaka 25 wakati huo katika Zoo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 6 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 6
@majario LIVE

Maneno ya Boda boda yalikuwa yananifikirisha sana, nikafika nyumbani sina hata rahaa, kila nikapiga sana simu ya D hakuwa anapokea nilipiga sanaaa hata hapokeii .. Usingizi hauji yaani kila nikikumbuka wale...

Ghana released the passport of the Russian guy accused of filming African women without consent. They named him as 36-year-old Vladislav Liulkov Post Mpya
Ghana released the passport of the Russian guy accused of filming African women without consent. They named him as 36-year-old Vladislav Liulkov
@majario LIVE

after talks with the Russian ambassador as it tries to extradite him back to face charges. “Working with the Ghana Police CID, we have activated international legal action through INTERPOL...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest