Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MAPENZI YA  KUKOMOANA  PART: 04
Gonga94 · Stories

MAPENZI YA KUKOMOANA PART: 04

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


ILIPOISHIA,

"Mimi nakupenda sana, sorry naomba nifungulie mlango nichukue ka mkoba kangu nimekaacha sebuleni ..." Nilitamka huku nikiomba ndipo.........

SONGA NAYO...

Baada ya kumwambia hivyo, alikaa kimya kidogo huku akihema kama beberu kisha akatamka,

" Mkoba hauna shida maana Mlango umefungwa...tumalizie kwanza maana tutakatisha utamu"

Maneno hayo yelinikata maini kabisa huku nikiwa nimeishiwa pozi.

"Basi ngoja nikaoge maana najihisi joto kidogo..." nilimwambia.

"Ohoo sawa bafu hili hapa fungua mlango..." alitamka.

Japo sikuwa na nia ya kuoga, nililazimika kwenda bafuni ili nichekeweshe mda walau mpini wake uweze kusinyaa.

Nilinyanyuka kitandani hapo na kutaka kwenda bafuni ambalo lilikuwa ndani humo yaani ( self).

Wakati nataka kwenda kuoga, aliniambia

"Chukua taulo hii utajifutia..."

"Asante nimeshazoea kuoga bila taulo.." nilitamka huku nikiwa natetemeka.

Mda si mrefu, nilifungua Pazia ambalo lilikuwa kama mlango wa bafu kisha nikaingia ndani.

Kabla ya kuvua niliwaza kuwa anaweza kuja kunichungulia kwani mlango ulikuwa ni Pazia tu....

Lakini badaye niliamua kuvua ili nianze kuoga huku nikipanga jinsi gani nitaweza kutengeneza mazingira mpaka akubali nipo kwenye siku zangu.

Taratibu nilianza kujipaa sabani kichwani mpaka povu jeupe likawa limenizingira machoni mwangu.

Nilifumba macho ili povu hili lisiingie machoni mwangu.

Ile nafungua macho, nilishangaa kumuona Dicky akiwa mtupu kabisa kama alivyozaliwa huku mpini wake ukiwa kama mara 2 ya punda.

"Mama!..mama!" Nilipiga kelele.

"Shida nini baby.." aliniuliza

"Kwanini umekuja kunichungulia..., ondoka...",nilitamka huku nikitaka kuchukua nguo zangu nivae.

"Baby nimekuja nikuogeshe ...yaani tuoge wote.." alitamka huku mpini wake ukizidi kusimama kuelekea kitovuni mwake.

"Hapana ., nimezoea kuoga pake yangu...please naomba uondoke" nilitamka.

Kabla ya kuvaa nguo zangu, aliwahi na kunikumbatia huku mpini wake ukiwa unagusa katikati ya mapaja yangu karibu na mlango wa mtoto anapotokea.

Nilijisikia aibu sana kwani nilikuwa nina wiki mbili bila kufyeka uwanja huku nikitetemeka kwani nilikuwa sijawahi lala na mwanaume yeyote.

Akiwa amenikumbatia, gafla mwili wangu ulijawa na hisia kali sana hasa maembe yangu mawili yaliyokuwa kifuani kushoto na kulia yenye umbo mchongoko kama yai la bata mzinga yalipogusana na kifua chake kilchokuwa na manyoya ambayo yalikuwa yananitekenya hivi.

"Mhh...mhh...niache bwana...: Nilitamka huku nilibana Mapaja yangu ili asiweze kuona kibompoli changu

"Ngoja nikuogeshe basi baby.." alitamka kisha akafungulia bomba na maji yakaanza kutumwagikia huku akiwa amenikumbatia.

Hali hiyo ilinifanya mpaka nikajikuta napata furaha hivi japo sikumwambia.

Baada kama dakika 10 hivi huku nikiwa sijui nifanye nini, tulimaliza kuoga wote ndipo nilipomwambia,

"Sorry nipo kwenye siku za hatari na ninaogopa kubeba mimba, " nilimwambia..

"Hapana nitaweka kichwa tu hivyo hutopata mimba.." alitamka huku akitaka aniwekee vidole kwenye kibomboli changu.

"Kichwa ndo nini?" Niliuliza kwani sikuelewa.

Baada ya kumuuliza hivyo, alishika mpini wake kisha akanionesha mpaka nikajihisi aibu sana.

"Umeona? Aliniuliza.

"Hapana mi naogopa siku nyingine naogopa mimba..." nilitamka huku nikiwa nimejibanza ukutani.

"Hautopata mimi nakwambia, fanya kama unachuma mboga za Majani hivi..." alitamka ndipo.....

ANDIKA NENO, " KUKOMOANA" KWA WHATSAP 0658222707 UTATUMIWA NZIMA

Maoni

You're not logged in


Tangazo - CEO usinivue mi nimchumba wa mtu mwanzo wa simulizi Hadi Mwisho wa simulizi
CEO usinivue mi nimchumba wa mtu mwanzo wa simulizi Hadi Mwisho wa simulizi
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MAPENZI YA KUKOMOANA PART: 04



ILIPOISHIA,

"Mimi nakupenda sana, sorry naomba nifungulie mlango nichukue ka mkoba kangu nimekaacha sebuleni ..." Nilitamka huku nikiomba ndipo.........

SONGA NAYO...

Baada ya kumwambia hivyo, alikaa kimya kidogo huku akihema kama beberu kisha akatamka,

" Mkoba hauna shida maana Mlango umefungwa...tumalizie kwanza maana tutakatisha utamu"

Maneno hayo yelinikata maini kabisa huku nikiwa nimeishiwa pozi.

"Basi ngoja nikaoge maana najihisi joto kidogo..." nilimwambia.

"Ohoo sawa bafu hili hapa fungua mlango..." alitamka.

Japo sikuwa na nia ya kuoga, nililazimika kwenda bafuni ili nichekeweshe mda walau mpini wake uweze kusinyaa.

Nilinyanyuka kitandani hapo na kutaka kwenda bafuni ambalo lilikuwa ndani humo yaani ( self).

Wakati nataka kwenda kuoga, aliniambia

"Chukua...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mapenzi-ya-kukomoana-part-04

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending <br>

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mapenzi-ya-kukomoana-part
MAPENZI YA KUKOMOANA  PART: 01
MAPENZI YA KUKOMOANA PART: 01
MAPENZI YA KUKOMOANA  PART: 02
MAPENZI YA KUKOMOANA PART: 02
MAPENZI YA KUKOMOANA    PART: 05
MAPENZI YA KUKOMOANA PART: 05
MAPENZI YA KUKOMOANA  PART: 03
MAPENZI YA KUKOMOANA PART: 03
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 68

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 68

1.22K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 66 na 67

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 66 na 67

1.05K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 69

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 69

780
SHAMIRA 94 Hadi 96

SHAMIRA 94 Hadi 96

324
SHAMIRA 99 na 101

SHAMIRA 99 na 101

323
SHAMIRA 102 kwa 104

SHAMIRA 102 kwa 104

285
SHAMIRA Sehemu ya 97&98

SHAMIRA Sehemu ya 97&98

236
AFANDE MILLAN😎 70 Hadi 72

AFANDE MILLAN😎 70 Hadi 72

203
NAKUPENDA BILA MIPAKA  36 - 45

NAKUPENDA BILA MIPAKA 36 - 45

184
SHAMIRA 105 na 106

SHAMIRA 105 na 106

183

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.8K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.52K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.85K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.34K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.97K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.95K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.78K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.74K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.68K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.61K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO💋 6 na 7 Post Mpya
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO💋 6 na 7
@majario LIVE

O6 Umekuja tena ? nilimuuliza . Ndio kwani ni vibaya kuja kukujulia hali wakati wewe ni jirani yangu sasa kwanini jana ulikataa kuwa sio wewe wakati nakufahamu vizuri hadi nimeenda kumuuliza...

AFANDE MILLAN😎 70 Hadi 72 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 70 Hadi 72
@majario LIVE

Sehemu ya 70 Siwafichi umaraya sikuwa nimeacha ila.nilipunguza sana, yani sanaaaaaaa , yani nachepuka sawa ,ila kwa kutokezea sana, nilitulia na awa wake zangu wawili, ata ibraa alinambia nimechange...

LETICIA 1 MPAKA 6 Post Mpya
LETICIA 1 MPAKA 6
@majario LIVE

💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍 LETICIA Sehemu ya 01 Mwandishi; LISSA Kwa majina naitwa leticia sabasi, wengi wanapenda kuniita leti,kwenye familia yetu ya mzee sabasi tumezaliwa mabinti wa wawili ,mimi ni mtoto wa mwisho kuzaliwa anaanza dada...

SHAMIRA 105 na 106 Post Mpya
SHAMIRA 105 na 106
@majario LIVE

Sehemu ya 105 Mwandishi; lissa wa huru media Nakuuliza wewe hivi shamira una shida gani na uyu mtot eeh kwanini unampiga piga. Mimi mwenyewe sijawahi kumgusa ata siku moja uyu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 69 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 69
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Nikasema sawa kama umemfahamu zena sasa, nimemuoa sasa na yeye ni mke wangu pia, jalia akaniangalia sana kisha akasema sawa mimi nimeshajua kuwa umemuoa uyo zena, yeye anajua kuhusu mm,...

SHAMIRA 102 kwa 104 Post Mpya
SHAMIRA 102 kwa 104
@majario LIVE

99. MPK 104 (NARUDIA KUSEMA HURU MEDIA WABABE😂) 🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 SHAMIRA Sehemu ya 102 Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi walivyomaliza kula love hakuniuliza kitu ata...

JOGOO WA KIENYEJI 9 na 10 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI 9 na 10
@majario LIVE

🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓 sehemu ya 9 Mwandishi:lissa mwalla Alikua ni Ivan, sikuamin mana sura yake haikubadilika japo alikua amekua, tulitizaman huku mm nikiwa sijui nimsalimie au nimshangililie lkn huyu anajua siri yangu mm nikichofanyiwa kipindi...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 8 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 8
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Babaaa! Niliita kwa mstuko, baba akasema tayla wee taaaay... Kabla hajamaliza niligeuka nyuma na kuanza kuondoka, kumbe DA frida alikua anatembea na babangu siku zote hizi? Baba kampangia anaishi...

BILLIONS OF LOVE💓💓   SEHEMU YA "7_8"💓😽 Post Mpya
BILLIONS OF LOVE💓💓 SEHEMU YA "7_8"💓😽
@majario LIVE

"BY BABIE LOVE" Huyu kashaliwa huyu tena usiku kuchaaaa Mama Samson sasa kwa aibu akanipita bila hata kunisalimia Mara zee mapumba hili hapa linatoka likiwa alinafunga xipi yake vzr loooh 🤮...

SHAMIRA 99 na 101 Post Mpya
SHAMIRA 99 na 101
@majario LIVE

Sehemu ya 99 Mwandishi; lissa wa huru media Mh shoga yenu nikawa ata sijielewi elewi .mala simu yangu ikaingia sms.nikavuata simu .nakuta sms nimetumiwa imeandikwa .asante kwa penzi tamu shamira siajajutia...

Shirikisho la Soka Afrika (CAF) wa kuwavua Senegal ubingwa wa AFCON 2025 na kuwapa Morocco, Post Mpya
Shirikisho la Soka Afrika (CAF) wa kuwavua Senegal ubingwa wa AFCON 2025 na kuwapa Morocco,
@majario LIVE

Kufuatia uamuzi wa Kamati ya Rufaa ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF) wa kuwavua Senegal ubingwa wa AFCON 2025 na kuwapa Morocco, mshambuliaji wa Senegal, Sadio Mané, ameonyesha kusikitishwa na...

SHAMIRA Sehemu ya 97&98 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 97&98
@majario LIVE

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikafika ndani kwake akanmbia kaa kitandani. Mie nikakaa uku sielewi nae akakaa kitandani .kisha akaniangali kwa macho makavu mpka nilishangaa nimemfanya nini...

NAKUPENDA BILA MIPAKA  36 - 45 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 36 - 45
@majario LIVE

:36 Sijapenda kabisa, binti alisema wanapika kwao, ina maana wewe huli kabisa huko nje kwasababu una uwezo au ni kwasababu gani. Kumbuka na wewe hapa umeajiriwa kwaajili yangu, kwanini haujali hisia...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 68 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 68
@majario LIVE

IMETOKAAAAA SEASON YA MWISHOOO SEASON 4 Nikasema ahaa kaka nipo busy sana na nabanwa na kazi, na kuna mda nalala kazini, kka akanmbia au sio unanidanganya na mm mdogo wangu, we...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Mwandiishi; LISSA Na kesho yake mapema sana mimi.niliamkia kazini , na nilipofika tu job,nikaongea na uyo afande mnige, ni mshikaji wangu tu uyu baba ,na huwa ananiitaga boss, mana nimempita...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest