Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo
Gonga94 · Stories
30 Nov -0001
106 views
VYOTE NDANI GONGA94
MAPENZI YA KUKOMOANA PART: 05
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
ILIPOISHIA,
Hapana mi naogopa siku nyingine naogopa mimba..." nilitamka huku nikiwa nimejibanza ukutani.
"Hautopata mimi nakwambia, fanya kama unachuma mboga za Majani hivi..." alitamka ndipo.....
SONGA NAYO...
Baada ya kuniambia hivo, nilibaki na mashaka makubwa sana moyoni mwangu huku mapigo ya moyo yakinienda kasi sana.
"Kama unanipenda kwanini usisubiri mpaka siku utakaponioa?, mimi sijawahi fanya dhambi na mwanaume yeyote, nilijitunza kwa ajili ya mme atakayenioa" nilitamka
"Haina shida maana mie ndo nitakuoa hivo usiwaze.." alitamka huku mpini wake ukiwa unaendelea kunitekenya katikati ya miguu yangu.
"Hapana utaniumiza sana nitashindwa hata kutembea maana una maumbile makubwa sana" nilimwambia.
"Hapa tutacheza taratibu wala hutopats maimivu yoyote" alitamka huku mkono wake mmoja akinishika kifuani mwangu.
Niliishiwa maneno na kubaki nimeganda kama barafu huku hisia kali zilizoambatana na woga zikizidi kunisonga.
Baada ya mda kama dakika 7 hivi, tulitoka bafuni huku nikiwa nimeficha uso wangu kwa aibu kali sana niliyokuwa nayo.
"Aibu ya nini wakati mie mpenzi wako?" Alitamka huku akiniletea kopo la losheni aina ya RINJU.
Alibofya kopo hilo lililokuwa na rangi kama ya njano kwa mbali hivi kisha losheni ikamiminika kiganjani mwake na kutaka anipakae.
"Tulia basi nikupae .." alitamka .
Kwakuwa sikuwa na namna yeyote ile nilitulia ndipo alipoanzia kifuani mwangu hali iliyonifanya niruke juu kidogo mithili ya mtu aliyepigwa shoti ya umeme.
"Unanitekenya bwana..." nilitamka kwa sauti ya chini.
",Hoo!..kumbe..basi taratibu.." alitamka.
"Inatosha sehemu iliyobaki nitajipakaa mwenyewe.." nilimwambia.
"Sawa haina shida..alitamka.."
Chumbani humo kulikuwa na mwanga wa taa ya kijani ukiwaka lakini sikuwa na amani kabisa ndipo nilipomwambia azime taa walau aibu ipungue.
"Zima taa .." nilimwambia.
"Mboma mwanga mdogo? Chumba hiki ukizima taa kunakuwaga na giza" alitamka.
"We zima taa ..." nilimwambia.
Baada ya kumwambia hivo, alisogea mpaka kwenye swichi kisha akazima taa.
Giza jembamba kama la saa 1 unusu hivi, lilitanda chumbani humo ndipo kwa mbali aibu iliponishuka kwani nilikuwa simuoni vizuri.
Nilijipakaa mafuta mwili mzima kisha nikataka kuvaa nguo ndipo alipotamka,
"Mbona unataka kuvaa nguo tena?" Aliniuliza.
"Hapana nilikuwa naziweka vizuri..."
"Ohoo sawa..." alitamka kisha.akanikumbatia.
Miidomo yetu iligusana japo sikuwa napenda kabisa kwani kinywani mwake alikuwa anaharufu kama ya kitunguu swaumu japo nilishindwa kumwambia.
Sijui nilipatwa na nini, kadri mda ulivyosogea nilikuta napatwa na muwasho mkali sana usioelezeka.
Taratibu, alishusha mdomo wake kisha akauachamisha na kuchomoa ncha ya ulimi ambayo aliipeleka moja kwa moja mka kifuani mwangu sehemu ambayo mtoto huitumia kunyonya.
Aisee nilitaka kuchanganyikiwa huku nikiunguruma mwenyewe kwa sauti ya mahaba makali ambayo sikuwahi kupata tangu nizaliwe.
"Ngoja niongeze sauti ya bufa kidogo.." alitamka ndipo nilipostuka
"Hee!.." kwanini anaongeza sauti kubwa kiasi hiki..nilijiuliza kisha nikamwambia
"Samahani nina shida na masikio hivyo upunguze " nilitamka.
Nigerian Grammy-award-winning singer Burna Boy has stepped in to support the families of four children trag!cally k!ll3d in a mass shoot!ng at a birthday party in Stockton, California.
Burna Boy pledgEs to cover funeral costs for children k!ll3d in U.S mass shoot!ng Nigerian Grammy-award-winning singer B...
*NIMEKOMA MIMI 🙌* *1-5* *________________________________________* *SEHEMU YA : 01* Mapenzi ni kitu cha kijinga sana. Yaani yanaweza kukufanya ufanye ujinga ambao hata wewe hukuwahi kufikiria
unaweza kufanya. Na mimi ni mfano halisi wa ujinga huo. Ukiniuliza, nitakupa jibu simple kuwa maisha yangu ya mapenzi ...
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* 17 -- 18 Chapter 17 Mapenzi yangu na Elton yalikuwa mazuri kupita maelezo. Nilifurahia kila dakika niliyoitumia naye. Kila kukicha tulikuwa tunazidi kuwa karibu zaidi
. Elton alianza kunifundisha mambo mengi hasa. mapishi. Akanifundisha kupika wali, pilau, ndizi pamoja na mchuzi wa nyam...
BETWEEN SISTERS AND SECRET ____________________________________* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* "Okay, kaendelee na kazi, badae tutaongea vizuri." Mira alimkumbatia Gael kwa mapenzi yote lakini wa nyuma alimzomea
. Jioni Mira hakutaka kutoka na Gael, alisema anamgeni hivyo atawahi kurudi nyumbani. Gael aliamua kwenda dukani kwa mam...
BETWEEN SISTERS AND SECRET _____________________________________*6--7 *SEHEMU YA SITA* "Looh, msichana ana balaa yule! Kwahiyo anaona bora mapenzi kuliko undugu, na Mr. Gael wa watu alivyo mtaratibu na mu-handsome
vile. Ilikuwaje akaenda kuanguka kwa Mira? Mbona kazi anayo! Bora hata angempenda mrembo wangu Mia," Furaha alimtania M...
Hapana mi naogopa siku nyingine naogopa mimba..." nilitamka huku nikiwa nimejibanza ukutani.
"Hautopata mimi nakwambia, fanya kama unachuma mboga za Majani hivi..." alitamka ndipo.....
SONGA NAYO...
Baada ya kuniambia hivo, nilibaki na mashaka makubwa sana moyoni mwangu huku mapigo ya moyo yakinienda kasi sana.
"Kama unanipenda kwanini usisubiri mpaka siku utakaponioa?, mimi sijawahi fanya dhambi na mwanaume yeyote, nilijitunza kwa ajili ya mme atakayenioa" nilitamka
"Haina shida maana mie ndo nitakuoa hivo usiwaze.." alitamka huku mpini wake ukiwa unaendelea kunitekenya katikati ya miguu yangu.
"Hapana utaniumiza sana nitashindwa hata kutembea maana una maumbile makubwa sana" nilimwambia.
"Hapa tutacheza taratibu wala hutopats maimivu yoyote" alitamka huku mkono...
👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mapenzi-ya-kukomoana-part-05
Maoni