Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

 *NIMEKOMA MIMI ๐Ÿ™Œ*  *19&20*  Aisee ngoja niwaambie ukweli.. sijawahi kufurahia mapenzi kama jinsi ninavyo yafutaia ya Bishop Bishop
Gonga94 ยท Stories

*NIMEKOMA MIMI ๐Ÿ™Œ* *19&20* Aisee ngoja niwaambie ukweli.. sijawahi kufurahia mapenzi kama jinsi ninavyo yafutaia ya Bishop Bishop

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
ananipenda kwell, anantreat vizuri, ananipa kila kitu ninachotaka.

Kila akiwa free, ananipeleka out, tunajirusha kama hakuna kesho Tullishi maisha ya furaha kabisa. Allturna pesa kwa wazazi wangu kama

alivyoahidi

Akanirudishia na simu yangu, na pia akaruhusu

niwe natoka na Lily mara moja moja japo kura mda alikua ananipeleka mwenyewe sababu ya

Kila kitu killenda vizuri la tatizo ni aina ya kazi yake. Hiyo kazi yake ilikuwa inanipa stress Kola usku wakati yeye na watu wake wanatoka, nilikua sina amani kabisa Sababu nilihofia asije akakamatwa au maadui zake wakamfanyia kitu kibaya. Nikawa naogopa anapoondoka, na akirudi salarna ndio napumua

Sasa basi, siku moja tena walitoka usiku kufanya mambo yao. Nilizoea wanarudi asubuhi saa mbil au saa tatu, lakini siku hiyo walirudi mapema sana. Nilishangaa walirudi spidi spidi kama vile kuna jambo beya limetokes. Alafu Sikumuona Bishop akarudi pamoja nao Tobias akaingia straight chumbani kwangu, akaanza kupack nguo zangu kwa haraka Nikamwambia, "Kuna nini?"

Akasema "Lazima uondoke sasa hivi

Nikabak kushangaa "kumekuwaje tena?" "Mambo si mazuri Bishop amenituma nikutue

hapa haraka sana"

"Hapana, siwezi kuondoka bila kujua Bishop

yuko wap

"Kama kweli unamtakia mema, tafadhali

tuondoke Nitakupeleka sehemu salama

laabi

Kwani nilikua naelewa sasa, nilitaka kujua

kama Labubu wangu yupo sawa

Nifimikwida Tobias hata mwenyewe hakuamini

"Bishop yuko sawa? Niambie usinifichel

"Yuko salama

Niliposikia hiyo nikapumus nikamuschitia, Tukamaliza kupack nguo zote muhimu kisha tukatoka vitu vya

Alinipeleka mpaka kwa Lily Akaniambia nihaki

huko kwa sababu yeye hamwamini mtu

mwingine zaidi ya Lily. Baada ya hapo

akaondoka zake hata nyuma hakugeuka

Lily alishangaa, "Kuna mmi? Mbona umekuja

asubuhi hivi? Kuna nini kinetokea?"

Nikamjibu kwa huzuni Sjui. Nilikuwa nimelala, ghafla Tobias akaja kuniambia niondoke kwa sababu mambo si mazun

"na Bishop je??"

"Hata sijui nilitoa simu yarigu nikampigia

Bishop ila simu yake haikupokelewa.

Nikaanza kupanic vibaya nichisi kuna kimu lazima kowe kimemkuta. Basi nikaendelea kusubiri kwa matumaini labda angenitafuta tena la hapakua na chochote.

Sasa Jioni Wakati niko na Lily sebuleni, tukasikia

habari kwenye TV kuwa kulikua kuna mapigano

makali kati ya polisi na majambazi wawili

wameuawal Polisi ndo wapo kwenye harakati za

kuwabaini

Nolijua kabisa wale waliouawa lazima ni Bishop au vijana wake. Nilianza kulia vibaya sana kama nimefiwa. Lily algaribu kunituliza lakini roho yangu ilikuwa tayan imevunjika

Nililia kama mtoto mdogo, nikisema, "Kwanini

kila mara nikipenda mtu, kitu kibaya kinatokea?

Kila wakati mimi ndio naumial Nilikuwa naanza

kuishi maisha mazun, kwanini mimi Nila

mpaka sauti ikakauka

Lily hakuchoka kunibembelezal Alikua karibu na

mimi kuhakikishe kurva nipo sawa Na ilikua

ngumu sana kwake hata chakula sikua

nataka kula

Mara wiki (kakatika bila kupata taarifa yeyote

kutoka kwa Bahop wala Tobias le Nyumba yeo

ilikuva imefungwa na ndani walisamba kila kitu

pakawa patupu

Aisee ilikua ngumu sana ikwangu kufikia hatua

ya kujifungia ndani kwa miezi mitali nikiwa nalla

kila siku. Ikabidi Lily aanze kunishauri

"Labda sasa uanze kufocus na maisha yakol

Tafuta kazi Shege utakaa ndani mpaka lini

ukilia?? Bishop amekuta

Nilishindwa kukuball lakini sikuwa na cha

kufanya. Maisha yalipaswa yaendelee japo sin

rahess Moyoni mwangu nilipa moyo kuwa

Bishop hajafa yupo hai na kuna mahali

amejificha Siku atakapo kua tayari angenitafuta

Nilijipa moyo kwa namna iyo ndo nikapata nguvu

ya koanza kutafuta kazi Maana allyekuwa

ananihudumia hayupo tena lazima nijitegemes.

Bahati nzuri Nilipata kazi kwenywe hotell moja

neun sana

Mshahara

pale ulikua mzun pia kwaiyo

hapakua na shida. Basi toka nianze kufanya kazi

pale sikutaka mazoea watu. Ni salamu tu

kisha nipo busy na kazi zangu. Mda wa

kutengeneza ushosti silkua nao kabisa.

Lakini kulikuwa na jarnaa mmoja kazini anatwa

Lameck. Sasa huyu labubu alikua anataka sana

mazoea mimi Mara anfletee maua ju

xtzawadi vya hapa na pale kuashiria kuwa

ananielewa

Mimi kwakwell sikua nimeacha kumpenda

Bishop wangu kwaiyo Ule s-romantic

Lameck nikawa nauona kero tu

Sasa yeye mwenyewe akashangaa simshoboke

wala nini. Yani nampuuzia tu kama hakuna cha maana alichofanya Basi nakumbuka siku moja wakati natoka kazini usiku Lemeck akanifuata

kutaka kuonges na mimi.

tu asiendelee kunisumbua nikasimama na

kumsikiliza Acha kijana asianze kutupa mistari

kama hana akili nzuri. Han sikutaka kuumiza kichwa changu. Nilimpa jibu moja tu ambalo ni "Sikupend

"Kwanini?"

Nikamjibu kwa sababu nampenda mtu

mixinginel Nina mpenzi

"Sidhani karna ni kweli. Nimekuwa nikikuangalia,

huna boyfriend. Kwa nini unanidanganya?"

"Kwani Mapenzi ni lazima? Nimekwambia sitaki

mwanaume, basi niache

"Sawa, nitakuacha, lakini haitarnaanisha

nimekata tamaa. Nakupenda na nitakuwa wako

siku moja

Nilichukizwe na maneno yake nikaondoka mbio

bila kugeuka nyuma. Kesho yake nilipofika

kazini nikasika habari kwamba Lamek

amepigwa vibaya jana usiku hadi mguu

umevunjika

Wote tukadhani alipigwa na vibaka na tukaamue

baada ya kazi tukamtembelee hospital

Tulinunua matunda na maua kisha jioni ilipofika

tukaenda kumuona

Lakini mara tu aliponiona uso woke ulibadilika

Akanigeukia na kuniambia "Tafadhali toka

hapa

Kwanini? Au Kwa sababu nilikukataa

Akasema "Sitaki kufa mira Tafadhali andoka

"Kuna mimi, Lamek? Kwa nini unaongea hivyo?"

"Boyfriend wako atanimaliza. Cocondoka

Nikasema heee mgonjwa kachizika nini??

Sikubishal Huyo taratibu nikatoka zangu

kuelekea nyumbani. Lakini Nani nikaanza

kuwaza, huyo boyfriend ni nani? Au Bishop?

Hapana sio Bishop Haiwezekanit Sasa Ni nani

basi?

Wakati bado nipo kwenye mawazo, nikasikia

mtu ananifuata nyuma Nikageuka haraka,

nikamuona mwanaume amevaa koti lenye kofia

(hoodie). Nikamuuliza kwa uoga "Wewe ni nani?"

Huku nikipanga kwa mashambulizi kama

atakua

ni mtu mmbaya

Yule mtu Akavun kofia yake. Ni Bishop

Nilishindwa kuamini macho yangu Nikaanza

kulia ikabidi mwamba anikumbatie kunituliza si

mnajua ni mms

Akaninong'oneza "Nimekumiss baby"

Ulikuwa wapi muda wote tuu? Unajua

nimekuwa nikilia kiasi gani? Unajua nimeumia

klasi gani kwa sababu hata simu hukupiga??

Nilidhani umekufa" machozi yakazidi

kumiminika

Bishop Akanitazama kwa uso wake ule wa

huzuni

ko sawa sijafa! Ni baadhi ya vijana

wangu ndo waliuawa, lakini mimi niliousurika

Pole kwa kukutesa kwa kukaa kimyu. Nilihitaji

muda wa kupanga mambo yangu

Nikamuuliza "Mambo gani?"

"Wifo cha watu wangu kimenifanya nigundue hil

kazi ni hatari Kana uwezekano wa kukupoteza

wewe, na mini siku tayari kwa hilo. Nihitaj

kuacha

kila kitu kibaya ili niweze kuanza maisha

mapya. Sasa Nimeacha kuuza silaha na kufanya

kazi haramu Nataka fulshi maisha ya kawaida,

tuanzishe familia, tushi vizuri Sasa niambia,

tayari

kunipokea

tena

nimechelewa kama una jamaa ako mwingine

sishindwi kwenda kumvunja mguu

"Kwa hiyo wewe ndiye ulimpiga Lamek?"

"Ndiyo, sasa kwanini akutongoze???

Lakini

sikumpiga vibaya, nilimgusa kidogo tu. Ni kama

nilenfinya tu

Sasa usipige watu, mimi siwen kuwa na mtu

mwingine zaidi yako! Mimi ni wako tu ila Bishop

nataka unihakikishie hakutakua na shida tena??"

Nol Hakuna shida tena Vitu vyote

nimestteketeza kwaryo hakuna ushaidi wala

masalia yoyote ya biashara zangul Nimejitoa

kabisa So relax mamaa"

Akanikumbatia

"Na Tobias je?"

"Tobias ameondoka

yeye kuanza maisha

mapya! Kifupi kila mtu ameondoka kwenda

kuanza upya ila uzuri nimempa kila mtu hela yo

kuanzia ivyo hakuna shida

"Nafurai kusikia ivyo! Na sisi tuanze maisha yetu

babar

"Ndo maana nakupenda

Nilifurahi sana kusikia hivyo. Bishop allacha

kabisa mambo machafu Polisi hawakuwa na

ushahidi wowote wa kumkamata kwa vyo

akabaki huru.

Osha aliniambia wazi anataka kunica Na kweli

alinioa. Hapo biashara zeta

hardware no

garage tulizo fungua zilikua zinaenda vizuri

mpaka raha! Tena Tunaishi kwa amani, hakuna

mambo ya uhalifu tena.

Wale vijana walikuwa wanakuja kututembelea

mara kwa mara. Hata Tobias alikua anakuja hadi

na mkewe maana na yeye nae allivuta jiko

Maisha yalibadilika, lakini furaha ilibaku pale

pale. Bishop wangu ananipenda kweli nami

najiona mwenye bahati kupata upendo kama

hau, japokuwa ulianza kwa njia isiyo ya kawaida.

MWISHO-


Maoni

You're not logged in


Tangazo - Distro kid Upload your music To day
Distro kid Upload your music To day
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

*NIMEKOMA MIMI ๐Ÿ™Œ* *19&20* Aisee ngoja niwaambie ukweli.. sijawahi kufurahia mapenzi kama jinsi ninavyo yafutaia ya Bishop Bishop

ananipenda kwell, anantreat vizuri, ananipa kila kitu ninachotaka.

Kila akiwa free, ananipeleka out, tunajirusha kama hakuna kesho Tullishi maisha ya furaha kabisa. Allturna pesa kwa wazazi wangu kama

alivyoahidi

Akanirudishia na simu yangu, na pia akaruhusu

niwe natoka na Lily mara moja moja japo kura mda alikua ananipeleka mwenyewe sababu ya

Kila kitu killenda vizuri la tatizo ni aina ya kazi yake. Hiyo kazi yake ilikuwa inanipa stress Kola usku wakati yeye na watu wake wanatoka, nilikua sina amani kabisa Sababu nilihofia asije akakamatwa au maadui zake wakamfanyia kitu kibaya. Nikawa naogopa anapoondoka, na akirudi salarna ndio napumua

Sasa basi, siku moja tena walitoka usiku...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/nimekoma-mimi-19-20-aisee-ngoja-niwaambie-ukweli-sijawahi-kufurahia-mapenzi-kama-jinsi-ninavyo-yafut

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi nimekoma-mimi
*NIMEKOMA MIMI ๐Ÿ™Œ* *Chapter 16&17*  Ile siku jioni akili yangu yote ilikuwa kwa Bishop
*NIMEKOMA MIMI ๐Ÿ™Œ* *Chapter 16&17* Ile siku jioni akili yangu yote ilikuwa kwa Bishop
*NIMEKOMA MIMI ๐Ÿ™Œ* Chapter 15  Baada ya Bishop kuondoka, nililala kwa sababu nilikuwa nimechoka sana na mwili wote
*NIMEKOMA MIMI ๐Ÿ™Œ* Chapter 15 Baada ya Bishop kuondoka, nililala kwa sababu nilikuwa nimechoka sana na mwili wote
*NIMEKOMA MIMI ๐Ÿ™Œ* Chapter 14  Kwa sababu Tobias alijua mimi na Lily
*NIMEKOMA MIMI ๐Ÿ™Œ* Chapter 14 Kwa sababu Tobias alijua mimi na Lily
*NIMEKOMA MIMI ๐Ÿ™Œ* Chapter 12  Basi Akauliza "Mbona hujala?"
*NIMEKOMA MIMI ๐Ÿ™Œ* Chapter 12 Basi Akauliza "Mbona hujala?"
*NIMEKOMA MIMI ๐Ÿ™Œ* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*  Basi lile busu lilikuwa tamu sana kama chokoleti, yani lilinipeleka mbali kabisa dunia nyingine. Nikajikuta Nampa
*NIMEKOMA MIMI ๐Ÿ™Œ* *SEHEMU YA KUMI NA NANE* Basi lile busu lilikuwa tamu sana kama chokoleti, yani lilinipeleka mbali kabisa dunia nyingine. Nikajikuta Nampa
NIMEKOMA MIMI ๐Ÿ™Œ* Chapter 13  Baada ya kugundua kuwa mimi ni mwanamke, alishuka kwenye gari
NIMEKOMA MIMI ๐Ÿ™Œ* Chapter 13 Baada ya kugundua kuwa mimi ni mwanamke, alishuka kwenye gari
*NIMEKOMA MIMI ๐Ÿ™Œ* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*  Mimi sikujua lolote lililokuwa limeendelea. Baada ya kumaliza kuoga, nikajifuta, nikavaa
*NIMEKOMA MIMI ๐Ÿ™Œ* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Mimi sikujua lolote lililokuwa limeendelea. Baada ya kumaliza kuoga, nikajifuta, nikavaa
*NIMEKOMA MIMI ๐Ÿ™Œ* Chapter 9  Kesho yake asubuhi niliamka mapema sana, maana ndo siku ya pati. Bishop
*NIMEKOMA MIMI ๐Ÿ™Œ* Chapter 9 Kesho yake asubuhi niliamka mapema sana, maana ndo siku ya pati. Bishop
 *NIMEKOMA MIMI ๐Ÿ™Œ*   Chapter 10  Basi turudi kwenye ile pati. Yule jamaa aliyenisukuma kwenye pool alifukuzwa
*NIMEKOMA MIMI ๐Ÿ™Œ* Chapter 10 Basi turudi kwenye ile pati. Yule jamaa aliyenisukuma kwenye pool alifukuzwa
*NIMEKOMA MIMI ๐Ÿ™Œ* *SEHEMU YA SITA*   Bishop hakuja peke yake, Alikuja na wanaume wengine watano
*NIMEKOMA MIMI ๐Ÿ™Œ* *SEHEMU YA SITA* Bishop hakuja peke yake, Alikuja na wanaume wengine watano
*nimekoma MIMI ๐Ÿ™Œ*     Chapter 8  Basi sikuwa na namna, Ilikuwa ni lazima nipike kwa ajili ya Bishop. Nikaanza heka heka pale
*nimekoma MIMI ๐Ÿ™Œ* Chapter 8 Basi sikuwa na namna, Ilikuwa ni lazima nipike kwa ajili ya Bishop. Nikaanza heka heka pale
*NIMEKOMA MIMI ๐Ÿ™Œ* Chapter 7  Basi nikaanza kupika fasta ili nimalize mapema, lakini kusonga ugali wa watu kumi sio mchezo
*NIMEKOMA MIMI ๐Ÿ™Œ* Chapter 7 Basi nikaanza kupika fasta ili nimalize mapema, lakini kusonga ugali wa watu kumi sio mchezo
*NIMEKOMA MIMI ๐Ÿ™Œ* *1-5* *________________________________________*  *SEHEMU YA : 01*  Mapenzi ni kitu cha kijinga sana. Yaani yanaweza kukufanya ufanye ujinga ambao hata wewe hukuwahi kufikiria
*NIMEKOMA MIMI ๐Ÿ™Œ* *1-5* *________________________________________* *SEHEMU YA : 01* Mapenzi ni kitu cha kijinga sana. Yaani yanaweza kukufanya ufanye ujinga ambao hata wewe hukuwahi kufikiria
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*

890
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 9 na 10

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 9 na 10

467
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜  SEHEMU YA 16

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 16

431
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 8

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 8

407
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 17

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 17

289
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10

206
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 11 na 12

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 11 na 12

189
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.

180
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.

138
SHAMIRA sehemu ya 34&35

SHAMIRA sehemu ya 34&35

80

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.42K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.19K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.74K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.2K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.59K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.44K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

2.44K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.43K
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

2.38K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

2.36K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! Youโ€™ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibeโ€ฆ Kajol looking all fiery and expressiveโ€ฆ Juhi Chawla Post Mpya
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! Youโ€™ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibeโ€ฆ Kajol looking all fiery and expressiveโ€ฆ Juhi Chawla
@majario LIVE

with that cute bubbly energyโ€ฆ and Aamir Khan being his mischievous, romantic self. What a combo yaar! Ishq was not just a love story, it was full on drama, comedy,...

 Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani Post Mpya
Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani
@majario LIVE

* Meli za kijeshi za Marekani zilizopo Ghuba ya Uajemi * Rada za Israel zilizopo Azerbaijan * Rada za Israel zilizopo Turkmenistan * Mifumo ya ulinzi wa anga ya vituo vya Marekani nchini...

SHAMIRA sehemu ya 34&35 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 34&35
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikajiiinua taratibu tukaingia bafuni. Mwanaume akanikumbatia uku tunaoga. Aseee uyu baba ananipenda ila hataki upumbavu ata kidogo na mkono wake mwepesi kupiga .na yote sababu...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 11 na 12 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 11 na 12
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nikaona zena kamnyanyua yule mtoto kisha akambeba ,ni amefanana nae sana ,nikajua ni wa kwake tu yani ni lazima utu mtoto atakuwa ni mwanae, kisha akanigeukia...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 17 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 17
@majario LIVE

Ikabidi nikae tu kwenye piki piki maana sura alivyokuwa kaikaza mmh asije kunipiga, Kimyaa kikatawala sasa mie nilijua tunaenda kwa Tinner na moyoni nilikuwa nimempangia hayo maneno Tinner eeh mbona...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10
@majario LIVE

๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹ Maeneo ya pale pale chuoni, Salmon alikuwa amepanga nyumba kubwa ya peke yake. Wakati akiwa chuo ndo alikua anaishi hapo, ila siku za weekends kama hana mambo mengi ndo anaenda...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kuanzia apo nikawa sasa kidogo naelewana na baraka. Tena mimi ndo napenda sana kuongea nae. Yani sanaaa. Napenda kucheka nae sana. Na kun jinsi...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜  SEHEMU YA 16 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Usiku wangu ulikuwa mzito sana, maneno ya D kusema kuwa Veda anatembea na wanawake wengi, niliyaamini kabisaaa Bila shakaa kwa maana Yeye tu hana mwonekano mzuri ametuna tuna hovyo anakuwa...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 9 na 10 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 9 na 10
@majario LIVE

Daaah nikaona mtoto kachomoa leo mana sio powa , ana vipengele sana uyu demu , ila unyama, hatachomoa kila siku, ni suala la muda tu, mana sijawahi kumtaka mwanamke ,...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media BASI nikapanda kitandani kwangu. Nikijutia sana nilichokifanya mana mh . Nilikuwa nasababisha ugomvi mkubwa wa wazazi mungu wangu. Yani mama yangu alikuwa anaachwa leo...

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.??? Post Mpya
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???
@majario LIVE

Hatimae jana tambo za Dabi zilipata majibu kwa timu za Simba na Yanga kutoka suluhu ya bila kufungana(0-0). Kwa maana hiyo timu zote ziliambulia pointi moja moja. Mchezo wa jana pamoja...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 8 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 8
@majario LIVE

Zena akasema kwaiyo manager unataka kuniuza ama ni vp, yule manager aksema , naomba uelewe kuwa ukifanya kazi katika hii bar, mteja kukushika sehemu yoyote ya mwili wako ni kawaida,...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*
@majario LIVE

Jambo likawa lelelele, Yaani ni patashika nguo kuchanika, Kwa upande wangu Walahi nilikuwa nikifurahi tu, na amina alikuwa akilia tu nakuomba msamaha. Enzo wa watu mwaya akachukua muda wake na kumuelezea...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9
@majario LIVE

๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹ Mbali na ivyo zile zawadi alizo tumiwa Noela zilimuuma vile vile. Alihisi Noela hastahili vitu vizuri wala maisha ya kifahari. Alitaka kila kitu kiwe chake, wanaume wote wawe wake. Hata...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 6 na 7
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana , mwanaume wala sikuwa na shaka, kazi zote ambazo nilibakiwa nazo pale ofisini, nikamuachia ibraaa, na ukiacha ushikaji, mi bafo ibra ni mkubwa wake wa kazi,...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest