Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

*NIMEKOMA MIMI πŸ™Œ* *Chapter 16&17*  Ile siku jioni akili yangu yote ilikuwa kwa Bishop
Gonga94 Β· Stories

*NIMEKOMA MIMI πŸ™Œ* *Chapter 16&17* Ile siku jioni akili yangu yote ilikuwa kwa Bishop

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
.

Nilikuwa nakumbuka siku ya kwanza nilivyomuona, vile alivyonishika kule chumbani kwake, kila kitu kilikuwa kinanichanganya. Nilijisikia vizuri sana, mpaka nikaanza kutamani. tena anishike vile alivyonishika.

Nilikaa muda mrefu sana kabla sijapata usingizi, ilikuwa ngumu kulala kabisa. Saa tisa usiku, Bishop, Tobias na wale wanaume wengine waliondoka kama kawaida yao.

Kila siku wanaondoka usiku wa manane, wanarudi asubuhi, halafu mchana wanalala. Nilijiuliza sana, kazi gani hii wanayoifanya usiku kila siku? Ila sikuthubutu kuuliza maana nilijua hata nikijaribu kuuliza hawataniambia. Nilichojua ni kwamba wanafanya kazi haramu, basi

Basi Walipoondoka, niliweza kulala kidogo. Nilipoamka kulikua kumekucha kabisa na bado hawakua wamerejea. Nikaamua na kutoka nje ili kupunga hewa safi.

Nilipokuwa nje nikasikia mtu anagonga geti. Mda huo Mlinzi alikuwa ndani anafanya usafi Ivyo nikajisemea acha nifungue mwenyewe.

Si nikafungua bhana! Heeee eti Michael

amesimama palel Sikutarajia kumuona tena

hata kwa bahati mbaya. "Michael, unafanya nini hapa??? si salama, lazima uondoke sasa hivi nilihofia Bishop akimkuta pale anaweza kumdhuru

LakΔ±nΔ± hakutaka kuondoka Kwa hiyo umeamua kuniacha? Mimi kabisa??"

"Kwani si wewe uliyenicheat, unategemea nifanye nini sasa?"

"Kwa hiyo ukicheat kidogo tu hunisamei? Ulisema unanipenda daima, mbona unaonekana kama umesha nisahau?"

Nilimcheka nikasema "Michael, chochote tulichokuwa nacho kimeisha. Ulinidanganya, ukaniumiza! Ulitaka nifanyaje zaidi ya kuendelea na maisha yangu

"No, huwezi kuendelea na maisha, nani atanijali mimi? Mama yangu ni mgonjwa, nahitaji pesa, na wewe ni mpenzi wangu, ni lazima unisaidie"

Nikamuuliza "vipi yule demu uliyelala siku ile? Kwani huwezi kumuomba yeye pesa? Au nda kachacha

Michael akajaa hasira akanishika mkono "Sasa unajisikia kwa sababu unafanya kazi hapa? Kwa sababu wanakulipa vizuri? Umenisahau mapema hivi?

"Michael, tafadhali toka, tena Toka sasa hivi maana Sina cha kukuelezea"

"Siondoki! Mimi na wewe Hatujaachana mpaka. mimi nikuambie tumeachana. Kwa sasa bado wewe ni wangu, na ninahitaji pesa"

Nilishindwa kuamini huyu ndiye mwanaume

niliyempenda hadi nikajifanya mwanaume kwa ajili yake! Mtu ambaye hana hata chembe ya shukranit

"By the way, nani alikuambia niko hapa?" Nilimuuliza

"Lily amenielekeza

Nikamuambia "Sawa, ila Michael nisikilize vizuri, Nilikuwa nakupenda, hilo ni kweli. Lakini nilivyogundua ulinicheat, ulivyothibitisha kuwa

hukunipenda bali ulinitumia kwa pesa, pale pale nilikutoa moyoni. Mimi Sikupendi tena kijana!..... Kama mama yako ni mgonjwa, pole lakini nenda ukafanye kazi. Wewe ni mwanaume, fanya kazi, tafuta pesa, mshughulikie mama yako. Mimi sio

ATM ya kutoa hela jinsi unavyotaka. Sasa hivi najali maisha yangu na familia yangu. Tafadhali ondoka kabla mwenye nyumba hajarudi

Michael alikasirika, hakutegemea kabisa. nitamwambia maneno kama hayo Ghafla bila kutegemea akanipiga kofi kali sana, nikadondoka chini

Wakati ananipiga kofi, Bishop na wenzake ndo walikua wanarudi kwalyo Wakaona kabisa. alivyonipiga. Pale pale Gari likasimama, Bishop akashuka kwa hasira kali kama faru

Akamvuta Michael shati, akamnyanyua juu kama kisungura. Nilijua kabisa anaweza kumuua. Basi Michael akawa anapiga kelele "Usinigusel Unajua mimi ni nani?"

"Kwa nini umempiga? Hujui kama kumpiga mwanamke ni vibaya??"

Michael akajibu kwa dharau "Inakuhusu nini wewe? Huyu ni mpenzi wangu. Sina haja ya kuambiwa namna ya kumfunza adabu mpenzi

wangu

"So kumbe wewe ndo yule mpuuzi ambae hujui

nini maana ya upendo...... Bora umejileta mwenyewe" Bishop Akampiga Michael ngumi nne mfululizo, damu zikaanza kumtoka mdomoni na puani.

Kisha akamkamata tena huku akimwingiza ndani ya nyumba kwa nguvu. Kule alipokua. amenifungia siku ile??? Ennhee huko huko akampeleka Michael.

Baada ya Bishop kuingia ndani Tobias akaja akaniuliza "Uko sawa?"

"Niko sawa"

"Huyu alikuwa anafanya nini hapa?"

Nikajibu "Sijul, nilishangaa tu kumuona"

"Duuh! Sidhani kama Bishop atamsamehe, vile alivyoona akikuumiza imemkera sana. Nadhani atamdhuru

"Tufanyeje? Ongea nae amuache aende" "Hata nikiongea nae Hatanisikiliza labda wewe umfuate. Wewe tu ndiye anaweza kukusikiliza

Nikashangaa "Kwa nini mimi?"

"Huani tu vile Bishop anabadilika akiwa karibu yako? Kama huamini nenda mfuate alafu uone" sikuelewa Tobias ana maanisha nini kusema Ivi lakini nilifuata ushauri wake.

Nikaamua kweli kumfuata Bishop. Nikamkuta. yuko chumbani, bado amejawa hasira. Niliingia nikasimama pembeni nikichezea vidole vyangu kwa uoga.

"Tafadhali unaweza kumuacha aende? Anadal mama yake ni mgonjwa

Aliposikia Vile aliniangalia nikahisi kama. anataka kunirarua na yale macho yake. "Kwaiyo Unataka nimuachie ex wako?!"

"Tafadhali, mwache tu aende. Tayari umempiga na amejifunza. Kwani ni lazima umfungie kule nyuma?

"Muache akae huko! Angefikiria kwanza kabla hajakupiga mbele yangu

"Lakini na wewe si umempiga pia??"

"Ndio ila bado sijaridhika. Nataka kumfundisha jinsi ya kumheshimu mwananke!"

Akazidi kunishangaza jinsi ambavyo alikua akijibu. Nikamuuliza "Kwani maisha yangu binafsi yanakuhusu nini?"

Akatabasamu na kusogea karibu sana na mimi

akinishika kiuno bila uoga. "Kwa sababu ninazidi kuchanganyikiwa. Nimepoteza akili kwa sababu yako. Kila siku nakuwaza kichwani. Tangu siku ile ya swimming pool,lipsi zangu ziguse zako akili yangu,

haijapona. Na sasa ivi nimegundua wewe ni mwanamke ndo nazidi kupagawa kabisa. Siwezi kuvumilia kukuona ukicheka na Tobias au mtu mwingine maana Naumia. Nataka ucheke kwa ajili yangu. Ukiwa na shida, unitafute mimi. Nataka unipe muda wako, lakini hunipi. Hilo linauma. Je, ni kosa kuomba hivyo?"

Nilibaki nimesimama kama mshumaa, nikishangaa kama kweli ni Bishop huyo ndo kaongea maneno yalee ama naota! Na wala Sikujua nimjibu nini zaidi ya kuganda kama
Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

*NIMEKOMA MIMI πŸ™Œ* *Chapter 16&17* Ile siku jioni akili yangu yote ilikuwa kwa Bishop

.

Nilikuwa nakumbuka siku ya kwanza nilivyomuona, vile alivyonishika kule chumbani kwake, kila kitu kilikuwa kinanichanganya. Nilijisikia vizuri sana, mpaka nikaanza kutamani. tena anishike vile alivyonishika.

Nilikaa muda mrefu sana kabla sijapata usingizi, ilikuwa ngumu kulala kabisa. Saa tisa usiku, Bishop, Tobias na wale wanaume wengine waliondoka kama kawaida yao.

Kila siku wanaondoka usiku wa manane, wanarudi asubuhi, halafu mchana wanalala. Nilijiuliza sana, kazi gani hii wanayoifanya usiku kila siku? Ila sikuthubutu kuuliza maana nilijua hata nikijaribu kuuliza hawataniambia. Nilichojua ni kwamba wanafanya kazi haramu, basi

Basi Walipoondoka, niliweza kulala kidogo. Nilipoamka kulikua kumekucha kabisa na bado hawakua wamerejea. Nikaamua na kutoka nje ili...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/nimekoma-mimi-chapter-16-17-ile-siku-jioni-akili-yangu-yote-ilikuwa-kwa-bishop

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi nimekoma-mimi-chapter
*NIMEKOMA MIMI πŸ™Œ* Chapter 15  Baada ya Bishop kuondoka, nililala kwa sababu nilikuwa nimechoka sana na mwili wote
*NIMEKOMA MIMI πŸ™Œ* Chapter 15 Baada ya Bishop kuondoka, nililala kwa sababu nilikuwa nimechoka sana na mwili wote
*NIMEKOMA MIMI πŸ™Œ* Chapter 14  Kwa sababu Tobias alijua mimi na Lily
*NIMEKOMA MIMI πŸ™Œ* Chapter 14 Kwa sababu Tobias alijua mimi na Lily
*NIMEKOMA MIMI πŸ™Œ* Chapter 12  Basi Akauliza "Mbona hujala?"
*NIMEKOMA MIMI πŸ™Œ* Chapter 12 Basi Akauliza "Mbona hujala?"
NIMEKOMA MIMI πŸ™Œ* Chapter 13  Baada ya kugundua kuwa mimi ni mwanamke, alishuka kwenye gari
NIMEKOMA MIMI πŸ™Œ* Chapter 13 Baada ya kugundua kuwa mimi ni mwanamke, alishuka kwenye gari
*NIMEKOMA MIMI πŸ™Œ* Chapter 9  Kesho yake asubuhi niliamka mapema sana, maana ndo siku ya pati. Bishop
*NIMEKOMA MIMI πŸ™Œ* Chapter 9 Kesho yake asubuhi niliamka mapema sana, maana ndo siku ya pati. Bishop
 *NIMEKOMA MIMI πŸ™Œ*   Chapter 10  Basi turudi kwenye ile pati. Yule jamaa aliyenisukuma kwenye pool alifukuzwa
*NIMEKOMA MIMI πŸ™Œ* Chapter 10 Basi turudi kwenye ile pati. Yule jamaa aliyenisukuma kwenye pool alifukuzwa
*nimekoma MIMI πŸ™Œ*     Chapter 8  Basi sikuwa na namna, Ilikuwa ni lazima nipike kwa ajili ya Bishop. Nikaanza heka heka pale
*nimekoma MIMI πŸ™Œ* Chapter 8 Basi sikuwa na namna, Ilikuwa ni lazima nipike kwa ajili ya Bishop. Nikaanza heka heka pale
*NIMEKOMA MIMI πŸ™Œ* Chapter 7  Basi nikaanza kupika fasta ili nimalize mapema, lakini kusonga ugali wa watu kumi sio mchezo
*NIMEKOMA MIMI πŸ™Œ* Chapter 7 Basi nikaanza kupika fasta ili nimalize mapema, lakini kusonga ugali wa watu kumi sio mchezo
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❀️ sehemu ya 68

MY WANGU❀️ sehemu ya 68

567
MY WANGU❀️ sehemu ya 69 na 70

MY WANGU❀️ sehemu ya 69 na 70

565
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜

444
MY WANGU❀️ sehemu ya 71 na 72

MY WANGU❀️ sehemu ya 71 na 72

422
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜  N0 46πŸ’˜πŸ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 46πŸ’˜πŸ’˜

403
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 47πŸ’˜πŸ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 47πŸ’˜πŸ’˜

356
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 19 MPAKA 20

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 19 MPAKA 20

211
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 21 MPAKA 23

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 21 MPAKA 23

163
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 16 MPAKA 18

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 16 MPAKA 18

109
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13

101

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.01K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.8K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.65K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.02K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.43K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tatu.  πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tatu. πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

2.4K
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

2.27K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.26K
❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.24K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya nane.  πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya nane. πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

2.15K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 24 MPAKA 25 ( MWISHO WA SEASON 1) Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 24 MPAKA 25 ( MWISHO WA SEASON 1)
@majario LIVE

🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Sehemu ya 24 Basi bwana nakumbuka nilikaaa uku nyumbani week.2 . Nipo na babu tu. Sikuwahi kumpigia kabisa princess na wala yeye hakunipigia .na nilishamtia marufuku. So hakunipigia kabisa ataaa....

MY WANGU❀️ sehemu ya 71 na 72 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 71 na 72
@majario LIVE

Mama akaningalia akanmbia ni mlige uyo ndo anakuliza.nikasema mama nampenda sana niombee msamaha kwake. Mama mi naumia naumia sana . Hataki kuwa na mm. Na hana mda na mimi. Mama...

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 47πŸ’˜πŸ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 47πŸ’˜πŸ’˜
@majario LIVE

Baada ya kumaliza kupeana ule utamu wa alfajir hemed alinikumbatia tena tukalala tuliamka saa tatu za asubuhi tukaingia bafuni kuoga baada ya hapo tulipata breakfast tulivyomaliza kula nilimuaga hemed nikamwambia...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 21 MPAKA 23 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 21 MPAKA 23
@majario LIVE

🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Sehemu ya 21 Basi mie nikaendelea na vipindi na jioni sana ndo tukaludi getoo. Basi tukiwa tunaendelea na story zetu mi na lemi. Oyaaaaa kufika saa nne jsiku mtoto...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 19 MPAKA 20 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 19 MPAKA 20
@majario LIVE

🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Sehemu ya 19 Daah nikasema.mwanangu iyo chupi.nimemnunulia fatuma.natka nikampelekee si unjaua bado week 3 tunaenda likizo. Lemi akaniangalia akasema mh . Aya bwana hkuna noma.mi nikaivuta ile chupi. Nikaweka chini...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 16 MPAKA 18 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 16 MPAKA 18
@majario LIVE

🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Sehemu ya 16 Basi nikapata kaumarufu kweli kweli pale chooni. Yani ata wadada wakawa wananishobokea sana. Naomba unifundishe nifundishe kama zote. Wadada full shobo na mimi. Ata washikaji wakawa...

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜  N0 46πŸ’˜πŸ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 46πŸ’˜πŸ’˜
@majario LIVE

Moyo wangu ulianza kudata juu yaHemedπŸ₯ΉπŸ₯Ή nilijaribu kuongea nao lakini wala haukunisikia niliuambia moyo tulia hukuhuku kwa boo tayari tushasolve tatizo lililokuwepo Acha kuhamahama😟😟 lakini moyo bado ulizidi kung'ang'ania kwa...

MY WANGU❀️ sehemu ya 69 na 70 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 69 na 70
@majario LIVE

Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana. Yani sana tu. Na prepo ilivyoisha tukarudi darasani. Mie nikampa tu yule mwanafunzi...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 14 MPAKA 15 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 14 MPAKA 15
@majario LIVE

🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Sehemu ya 14 Aseee mi nilimuangalia sana uyu demu. Nikamuona jau . Yani yupo very serious ananitongoza .mnajua kuna jinsi nilimdharau . Nikaona uyu demu daaah. Alivyoona namshangaa na sijamjibu...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13
@majario LIVE

12 MPAKA 13 🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Nikasema vp mbona huniachii mkono. Akanmbia ahaa sory haji. Kisha akaachia mkono wangu. Na mda uo uo ndo lemi akawa analudi pale. Akasema ahaaa mrembo upo...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11
@majario LIVE

10 MPAKA 11 🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Aseeeee uyu demu ni mzuri bwana. Mi. Mwenyewe nilikubali. Ila sio kwamba nilimtamani no. Mi ni mwanaime ninayejielewa sana. Wanaume tuna tamani mno. Ila unakuwa na msimamo wako...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 7 na 8 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 7 na 8
@majario LIVE

7 MPAKA 9 🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani ila lemi akanmbia kuna mtu anakutana nae kidogo nikasema powa so nikamuacha mimi nikaludi hostel.aseeee chuo kimechangamka iki sana. Yani...

MY WANGU❀️ sehemu ya 68 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 68
@majario LIVE

Basi akashuka. Akamsalimia mama pale. Mama akamuitikia. Akaniuliza. Ushakuwa tayari. Mie nikasema ndio . Akanmbia kachukue nilivyokwambia tupakie. Nikasema sawa. Kweli nikaenda kuchukua. Vilikuwa vidogo. Kweli. Vyengine niliviona kashanunua yeye...

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜
@majario LIVE

0742133100 Babie Love Niliipokea ile simu huku nikiwa natetemeka kwa uoga..... hello daddy.... pendo what's going on πŸ€·β€β™‚οΈ taarifa gani hizi nazoambiwa kwani hamkumaliza tofauti zenu inatakiwa muache drama mtakuja kunitesea...

MY WANGU❀️ sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

Aseeee nilikuwa na maumivu kwa kila sehemu ya mwili wangu. Nilikuwa na maumivu makali mnoo. Asa mkono . Yani sikuwa sawa kabisa. Namsikia mlige akiwa ndani .anasema yani nikitoka njeee...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest