MTAMU TOKA UTOTONI, SIKUACHI*π₯°π Chapter 8 Jordan kwa maraa nyingn anamuonaa Saraah tena akiwa amefumbuaa macho
Wawili hawa wanakumbatiana kwaa Furahii Sanaaa, Jordan anaamuaa kumtaarifuu Jay Na wafanyaa kazii wa kulee Ofisini Ikn kwa makusudil kbsaa hampitaarifa madam Lindaaa na Narshaa plaa.
Daktaril huyu anaonekana kufurahil kuona Saraah akiwa mzimaa kbsa.
Wakiwaa katika mazungumzoo yao Daktari anaombwaa kujitambulisha na Saraah kwa maan alisifiwaa sanaa na Jordan juu ya tiba yake.
"Hahah sawaaa Saraaah najitambulishaa ata
usijali." Alisemaa Daktari Yule. "Kwa majinaa mm naitwaa Abdulh Ramadhan"Daktari alisemaa.
Baada kutaja lilee jinaa huwez Amini Saraa alipata nguvu ya kusimama kbsaa maana rafiki ake aliitwaa Abdulh Ramadhan piaa Jordan piaa Alipataa nguvuu ya harakaa ya kusimama
maake hili jina nilakwake na hapo limefikajee??
Hawajaa kaa Sawaa mlango unafunguliwa anaingiaa Nasraa na Madam Lindaa Wakiwa na Mauaa Wakubwa Ya Pole. Na Dakika kama mojaa Anaingiaa Jay ambaye na yeye anashaangaaa kumkutaa Narshaa Na Madam Lindaa maana hawakupewaa taarifaa wamejuwajee sasaa..
Jordan anaishiwaa nguvuu kabisaa na kuanzaa kufikiriaa kipi afanyee maan kashaanzaa kupata wasiwasi kuwa Narsha na Madam Lindaa wapo nyuma ya hili na piaa anaona hapaa kunaa Abdulh feki kbsaa. Jordan anajisemeaa moyoni kwambaa liwalo naliwe.
Jordan anachooamuaa nikumgeuzaa Saraah na kumpiga bonge la kiss Saraah anashidwaa ataa afanyee nn hatimaye anaishiaa kukubali tuu lilee busu.
Upande wa Madam Linda, Narsha na Dr Abdulh wanaonekana kuumiaa sanaa maaan tyr Narsha anampeendaa sana Jordan ingawa nikwaforcee tu na tamaaa zakeee.
Upande wa Jay yeye anafurahii sanaa kuonaa vilee maana Anapendaa sanaa izoo inshu. Jordan anaamuaa kumbebaa Saraah na kuondoka naee yote hayo Saraah anafany Ikn akili yake haipo haipo hapo kabisa. Jordan anamchukua mpaka kweny garii lakeee na kuondokaa naee..
Kwa aibu sanaa Narshaa na madam Lindaal wanaondoka katika kile chumbaa anabakiaa Dr Abdulh na Jay. Kumbuka Jay anafahamu kilaa kitu sasa na yeye anashangaa kabsa khus uyu Abdul mpyaa Ikn Jay anamuaa kuondokaa bila kusemaa chcht..
Giza linaingiaa Usiku Madam Linda pamoja Narsha wanaonekanaa
kuongeaa na mtu kweny huku wakimsisitizaa kufanyaa kazi kama alivyoambiwaaa.
"Nasemaa hivii kamaa kazii hautaa ifanyaa kamaa upasavyo bas hautaa fanikiwaa". Madam Lindaa Alisemaa huku akikaziaa sanaa, Narsha
yey alikuwaa busy na kutumiaa madawaa yakee akijichomaaa sindano na kunusaaa huku akicheka sanaaa.
Upande wa Saraah Na Jordan wakiwaa wamekaa kitandanii, Jordan Anamuangaliaa sanaaa Saraah lakini Saraah hanaa ataa uwoo mdaaa.
Saraaah Alimgeukiaa Jordan "Ivii unahis kufanyaa vile Ntakupendaa wewe, nilifanya vile ilikufichaa Aibu Yako tu pale Hospitalini kwahiyo usihis nakupendaa sawaa Jordan naombaa niondokee kwasasa Saraaah Alisemaa.
Jordan anaonekana kutokuamini kabsaa maan
yeye ndo Abdul mwenyew Ikn nan atakae amini hasa Saraah awezi kumuamini. "Ivii ni kweli Saraah upo serious kbs huniamin
??" Jordan Alisema "Jordan siwez semaa zaidi naombaa niondokee" Saraah alisemaa.
Jordan alijisikiaa vibaya sanaa na kumruhusu aondokee Ikn mdaa tu Saraah anafikaa mlangoni Jordan Alisimama na kumfataa bila kuongeaa alifikaa akambebaa na kumtupiaa kitandani Jordan hakutakaa kusikiaa chcht
maana Saraah alikuwaa analalamikaa sanaa kwahiyo Jordan akaamua kumtupaaa kitandan na kumkumbatiaa kwa nguvu.
"Saraah Anza kuamini sasa na kuendeleaa kuwa mm ndiye Abdulh wa utotoni kwahiy faham kbsa ya kwamba ntakuwa forever na ww yule Dr Abdulh ni trick tu za Narsha nakupnda sanaa Saraah" Jordan alisenaa.
Saraaah alichekaa ndani ya kumbato la Jordan "sitaki kusikia chcht naomba tulale kama umechaguaa tulale hivi".
Usiku uliendaaa na hatimaye palikuchaa Saraah na Jordan wakiwaa kweny lile pouse lao.
Saraah anakuwaa wa kwanzaa kuamkaa akiwaa na maumivu sana ya kichwa kwasababu ya ile surgery allyofanyiwaa
"Polee sanaa naelewaa unaumwaa naomba nikupeleke hospitalini Jordan alisem huku akimbebaa Saraah na kurudi hospitalini tena.
Anapomfikishaa hospitalini anapokelewa na Dr Abdulh ndiye anaye mpelekaa katikaa wodii yake. Jordan anakubalianaa na hali maana tyr alishamuwekaa wazi ni yeye Saraah tu kuamini.
Matibabuu ya Saraah yanafanyikaa chini ya Dr Abdulh baada ya hayo yote kufanyika, Dr Abdulh anaamuaa kumfataa SARAAH na kumuuambiaaaa kamaa anampenda na yeye
ndiye mtu wa utotoni mwake "Basi Saraah naombaa jibu la upendo wako kwangu"Dr Abdulh Alisemaa Saraah anaishiaa kumwangaliaa usoni tu vp
atajibuu nn??
Vipi Saraah, atallby, kwell, anampendaa na kumuachaa Jordan ambaye ndiye mtu wake wa kweli au atasemaa hapn na ataendaa kumkubali Jordan
Hahh tukutane sehemu ya tisaa tuonee kipi kitatokeaaa......
Itaendelea....
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi