Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

NI JAMBAZI ILA ANAYAJUA MAHABA πŸ™ˆβ™₯ ❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️ 𝑩𝒖𝒓𝒖𝒅𝒂𝒏 π‘Ίπ’Šπ’Žπ’–π’π’Šπ’›π’Š  πŸ”„πŸ”„πŸ”„πŸ”„πŸ”„πŸ”„πŸ”„πŸ”„πŸ”„πŸ”„         ::  SEHEM YA 40  Joseph Akiwa Anatoa story Kuhusu yeye kujuana Na Alex Simu
Gonga94 Β· Stories

NI JAMBAZI ILA ANAYAJUA MAHABA πŸ™ˆβ™₯ ❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️ 𝑩𝒖𝒓𝒖𝒅𝒂𝒏 π‘Ίπ’Šπ’Žπ’–π’π’Šπ’›π’Š πŸ”„πŸ”„πŸ”„πŸ”„πŸ”„πŸ”„πŸ”„πŸ”„πŸ”„πŸ”„ :: SEHEM YA 40 Joseph Akiwa Anatoa story Kuhusu yeye kujuana Na Alex Simu

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
yake Ilikua Ikiita Sana Mwisho uliingia Ujumbe Na alitoa simu Alishtuka Na Kuacha Kuendelea Kuongea
"Hivyo ndo nilivyo juana Mie na Alex Mpaka Alipo nitafuta Yeye Nimsaidie kwa Ajili ya Huyu bint sikusita Naombaa Niende "
Joseph aliongea Huku anainuka Akiwa kama Mtu Mwenye Haraka Sana Na Jambo Fulani
Aizack aliwah Kuzuia "hatujamaliza Unataka Kuondoka Alex Yupo wapi?"
"Nitakuja Siku Ingine ya Kukupeleka Nilipo hifadhi mwili wake Trisha Please naomba Uniruhusu Niende nimuhimu sana Mimi kuwa Pale "
Joseph hakumjibu Aizack badala Yake Alimfata Trisha na Kumuambia kwa Ukaribu sana Huku kamkazia Macho
"SΓ wa"
Trisha alikubali Na Kumruhusu joseph aende

Joseph alitoka Haraka Na Kupiga Simu

"Unasema Kapotea ? ,,,Kuna Tatizo Kidogo lilitokea Nakuja Tutaongea Vizur Jitahid apatikane " Alikata Simu Haraka Alienda Kuchukua Usafir Kuwah Uwanja W Ndege

****
" Ilikuwaje Mpaka Akapotea"

"Kaamka Anasema anamtaka Trisha Amekumbuka Kila kitu sasa ameondoka Hapa "
"Shit Ita Wote Haraka Atafutwe"
Joseph baada Ya Kufika Morocco Taarifa alizopata Alex ametoroka Na Hajulikani Alipo

Zoezi la Kumtafuta Alex liliendelea Kila Mahala Lakini hawakufanikiwa Kumpata Alex

Siku ya Pili asubuh Alex Alirudi Katika Hospital ile Ile Aliyotibiwa Joseph Alipigiwa Simu
Akaenda Kumfata
"Alex mi nafkir Bora Ungetulia Kwanza Kule Bado Kumbu Kumbu zako Zipo "
"Naomba Niende kumuona Trisha Tafadhali "

Alex aliomba sana Joseph alijadiliana Na Carlos wakakubaliana Wampeleke Tu KWA Trisha

***

"Hivi Unajua Yule Demu anakupenda sana"
"Umeanza George Yupi Huyo camera zako zimemuona"
"Yule Ray Yule Unajua Yule Mtoto anakuzimia Oa Banaa"
"Hahahah George bana Acha Utoto Yaan Yule Ray yule Anipende mimi Aah"
Aizack Na George Walikua Wanapiga Story Za Hapa Na Pale

Aizack Swala la Kuambiwa Ray anampenda Alianza Kumuangalia KWA Macho Mengine Tofauti Kabisa

"Ray Naomba Uwe Mke wangu Please"
Aizack Siku Moja Alimwambia Ray

Ray Hakuamin Kabisa Alihisi Aizack anamuongopea
"Aizack"
"Yes"
"Unanitania"
"Hapana Hapana Ray Niko Serious Kabisa "
Ray hakujibu alimkumbatia Aizack na Kumkisi Aizack alimvisha Pete "Umekua Sasa Mchumba wangu"
"Ndo Kitu Ambacho nimekisubiri KWA Muda Sanaa"

Ray Alienda Moja KWA Moja Kwa Trisha Baada Ya Kutoka KWA Aizack alopovishwa Pete

"Hongera Shoga angu Umeweza Kuushinda Moyo wa Aizack "
"Hata Siamin Ujue"
"Ndo uamin SΓ sa Tena Fanya Haraka Ndoa Ifungwe Hiyo "
"Usijali Alley Kalala"
"Katoka Na DaT hapa Mda Sio Mrefu Subiri kwanza Nakuja Niende Hapo Dukani Sawa Ray"
Trisha Alitoka Na Kumuacha Ray Ndani

"We Nani"
Baada Ya Kufungua Geti Alikuta Mtu kasimama Kamgeuzia Mgongo

Taratibu Alisogea Na Kusimama Hatua Tatu Mbele Ya mtu huyo
"Nani"Aliuliza Tena Baada Ya Kuona Hajibiwi
Mtu huyo Aligeuka Taratibu na Kumtazama Macho ya Trisha Aliiona Sura Ya Alex Baada Ya Muda Mrefu Sanaa Kupita
Alijikuta anaangusha Simu yake Chini Hakua Na Nguvu hata Za Kushika Kitu
"Unaendelea Vizur T"
Alex Alimuuliza,,Trisha alihisi Ni Taswira Ya Alex Imejitokeza
"Sura Yako Inaonekana Vizur Bila Shaka Unaendelea Vizur" Alex Aliongezea
"Kwa_kwa kwan We_we Hauendelei Vizuri" Trisha Aliuliza Kwa Sauti ya Kubabaika Hakua Na Uhakika Ni Ndoto au Kweli Alex Yupo mbele Yake
"Aah Kiukwel mimi siendelei Vizuri Dunia Yote Ipo Kimya Sana T Bila Wewe sijiskii kabisa Kama Watu Wanaishi Karibu yangu"
Alex Alisogea Na Kushika Mikono ya Trisha
"Alex Ni Alex Yaan Wewe Kweli ni Alex Au Please Naomba Usiondoke hata Kama Ni Ndoto Alex Tafadhali mwanao Anatakiwa Kukuona Pia"
"Unamaanisha Trisha Ni Kweli Ulikua Mjamzito"
"Alex Wewe Hukufa"
"Tazama Hata makovu ya Risasi Tafadhali Ongozana Na mimi T "
"AHADI Yako Utaikamilisha Kweli Alex ulisema hata Baada ya Kifo Bado Tutakua Wote Kweli Umeniijia?"

"Najua Kwamba Nmechelewa sana kuja Trisha lakini Nmekuja Twende Tukafunge Ndoa Yetu ambayo Hatukuikakilisha "

Ray Alitoka Nje Na Kukuta Mazungumzo hayo Hakuamin Anaemuona Hapo
Alikimbia Haraka Mpaka KWA Alex
"Ni wewe Alex "
Ray hakushangaa Sana Na aaliamini Ndie Alex KWA Sababu Aizack Alimwambia Kuhisi Alex Yupo hai Bado
"Unamuona Wewe Pia " Trishaa ndio akili Ikakaa Sawa Kuwa Ile Si Ndoto Haraka Aliruka Na Kumkumbatia Alex KWA Nguvu "Kwanini Umechukua Mda Mrefu sana Kwanini Alex"
"Siku Zote Unaongea Sana T "
"Kwahy Ujapenda "
"Aah Sijachukia hata Hivyo
Waliingia Ndani. Alex Alimuelezea Trisha Kila Kilichotokea Ile Siku Na Kusaidiwa Na Joseph pamoja Na Carlos na wao ndio walimleta ILa walibak Nyuma Kabisa

Hakuna Mtu alieamini Ujio wa Alex na Walipanga ibaki Siri yao Kati ya Aizack Na Ray daT na George Tu Yasike Serikalin Kuwa Alex Yupo Hai Dunia itabaki inaamin Alex Alishakufa Zamani Wakati Alex mpya anaishi na Familia Yake

Trisha Na Alex, Aizack na Ray Walifunga Ndoa Siku moja Ndoa Takatifu Maisha Yao Yalikua zaidi Ya Familia na Ndg KILA Mtu Alisahau Yaliyotokea Miaka Mingi Iliyopita

MWISHO ...

All the best

Maoni

You're not logged in


Tangazo - For this week only
For this week only
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

NI JAMBAZI ILA ANAYAJUA MAHABA πŸ™ˆβ™₯ ❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️ 𝑩𝒖𝒓𝒖𝒅𝒂𝒏 π‘Ίπ’Šπ’Žπ’–π’π’Šπ’›π’Š πŸ”„πŸ”„πŸ”„πŸ”„πŸ”„πŸ”„πŸ”„πŸ”„πŸ”„πŸ”„ :: SEHEM YA 40 Joseph Akiwa Anatoa story Kuhusu yeye kujuana Na Alex Simu

yake Ilikua Ikiita Sana Mwisho uliingia Ujumbe Na alitoa simu Alishtuka Na Kuacha Kuendelea Kuongea
"Hivyo ndo nilivyo juana Mie na Alex Mpaka Alipo nitafuta Yeye Nimsaidie kwa Ajili ya Huyu bint sikusita Naombaa Niende "
Joseph aliongea Huku anainuka Akiwa kama Mtu Mwenye Haraka Sana Na Jambo Fulani
Aizack aliwah Kuzuia "hatujamaliza Unataka Kuondoka Alex Yupo wapi?"
"Nitakuja Siku Ingine ya Kukupeleka Nilipo hifadhi mwili wake Trisha Please naomba Uniruhusu Niende nimuhimu sana Mimi kuwa Pale "
Joseph hakumjibu Aizack badala Yake Alimfata Trisha na Kumuambia kwa Ukaribu sana Huku kamkazia Macho
"SΓ wa"
Trisha alikubali Na Kumruhusu joseph aende

Joseph alitoka Haraka Na...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/ni-jambazi-ila-anayajua-mahaba-burudan-simulizi-sehem-ya-40-joseph-akiwa-anatoa-story-kuhusu-yeye-ku

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi ni-jambazi-ila-anayajua-mahaba-burudan-simulizi-sehem-ya
NI JAMBAZI ILA ANAYAJUA MAHABA πŸ™ˆβ™₯️ ❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️ 𝑩𝒖𝒓𝒖𝒅𝒂𝒏 π‘Ίπ’Šπ’Žπ’–π’π’Šπ’›π’Š  πŸ”„πŸ”„πŸ”„πŸ”„πŸ”„πŸ”„πŸ”„πŸ”„πŸ”„πŸ”„           SEHEM YA 34
NI JAMBAZI ILA ANAYAJUA MAHABA πŸ™ˆβ™₯️ ❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️❀️ 𝑩𝒖𝒓𝒖𝒅𝒂𝒏 π‘Ίπ’Šπ’Žπ’–π’π’Šπ’›π’Š πŸ”„πŸ”„πŸ”„πŸ”„πŸ”„πŸ”„πŸ”„πŸ”„πŸ”„πŸ”„ SEHEM YA 34
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

577
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

500
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

251
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

231
WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19

228
AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

225
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

224
REALLY LOVE* *29&30*

REALLY LOVE* *29&30*

140
SHAMIRA 1 mpk 7.

SHAMIRA 1 mpk 7.

112
WEWE NI WANGU   SEHEMU YA 21

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 21

84

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.3K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.05K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.72K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.14K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.55K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tatu.  πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tatu. πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

2.44K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.36K
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

2.35K
❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.29K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya nane.  πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya nane. πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

2.2K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
PENZI LA OMBA OMBA😍❀️😍❀️😍❀️ Sehemu ya 11 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA😍❀️😍❀️😍❀️ Sehemu ya 11
@majario LIVE

β€œhivi una shida gani wewe, kwanin I hutaki kuniona na mm ninafuraha, kwann hutaki mimi niwe na mahusiano lakin shureymu, nikaanza kulalamika… β€œ mm sijakuzuia kuwa na mahusiano ila Yule...

PENZI LA OMBA OMBA 10 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA 10
@majario LIVE

β€œ zamu yako kufanya nini, maana siku hizi umekuja na tabia sizielewi kabisa, nikasema, akaniangalia kisha akacheka na kusema β€œ najua wewe huelewag ila usijal mdogo mdogo utaelewa...

PENZI LA OMBA OMBA😍❀️😍❀️😍❀️ Sehemu ya 09 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA😍❀️😍❀️😍❀️ Sehemu ya 09
@majario LIVE

KIUKWELI nilishangaa sana, kwa maana sikujua ni kitu gani kilikuwa kimempa hasira shureymu kiasi chote kile, kuna muda nikawa nahisi labda simtendei anayoyataka vizuri, sijui hata nilikuwa na wasiwasi...

PENZI LA OMBA OMBA😍❀️😍❀️😍❀️ Sehemu ya 08 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA😍❀️😍❀️😍❀️ Sehemu ya 08
@majario LIVE

Nilishangaa sana anashida gani, kwa maana alishasema mara kadhaa kuwa hawez kuwa na mahusiano na mimi na kila dakika ni warda, warda, sasa mbona yuko kama ananionea wivu hivi…. Bsikutaka kuendelea...

*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7* Post Mpya
*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7*
@majario LIVE

*__________________________________* *SEHEMU YA KWANZA* Sio kila unaemkuta anaomba amependa, na sio kila omba omba ni mvivu na hataki kufanya kazi, muda mwingine huwa tunakosa namna ya kufanya ndio maana tunaomba, ni...

SHAMIRA sehemu ya 13&14 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 13&14
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Kiukweli uyu baba alikuwa anajua kunipemdezesha mana pesa alikuwa ananipa mno. Na Nilipendeza sana nikawa navaa vitu vya bei nawaka mda wote sina shida ndogo...

Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka... Post Mpya
Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka...
@majario LIVE

Ana umri wa miaka 63 na anacheza safu ya ulinzi, alianza kucheza mpira mnamo mwaka 1976 na amechezea zaidi ya vilabu 30 Kwa sasa anachezea Klabu ya Liffa ya Uruguay inayoshiriki...

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜  SEHEMU YA 10 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 10
@majario LIVE

Veda huyu akatokeza nilikwepa macho fastaaa nikaangalia mbinguu, Tinner akanambia kwa sauti ya chiniii "Kumbe shem sio haba nilikuwa sijamzingatia tu bonge la mwanaume jamani "Nikashindwa kuvumilia ila nikajikaza kuchekaa sikujibu kitu...

WEWE NI WANGU   SEHEMU YA 21 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 21
@majario LIVE

SONGA NAYO........ Hatimae mke wangu alijifungua baby boy, πŸ₯° nyieeh hivi mnajua nilikuwa na furaha kiasi gani eeh yani iku hii mwanaume nilifanya kaazi mpaka ambazo nilikuwa sifanyi. Kwanza niliingia jikoni nikapika...

AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA* Post Mpya
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*
@majario LIVE

Ishani Mimi nililia sana, lakini safari hii nililia tu kimya kimya sikutaka kusumbua watu wengine kwaajili ya matatizo yangu binafsi ambayo kwa Namna Moja au nyingine nilijitakia Mimi Mwenyewe Baba ya...

REALLY LOVE* *29&30* Post Mpya
REALLY LOVE* *29&30*
@majario LIVE

*mbona hupokei simu nani huyo anayepiga aliuliza fahima baad ya kuona seven anaingalia. tu simu bila kupokea sevan si nakuuliza nani huyo alisema fahima ni cathe na sijui anataka nini tena kwangu"...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*
@majario LIVE

cathe alisogea mpaka walipo hapo alishindwa hata kusalimia kiukweli alichanganyikiwa sana hakujua nini hatma ya maisha yake, ""kaa hapo" alisema baba cathe, nae cathe akaketi kwenye kiti ""baba yako amekuja kukuchukua cathe...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10.
@majario LIVE

Kipande cha 10 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi jioni sana taratibu nikaludi zangu home.. mnazani iyo simu niliiiacha kwa adrian wala sio kweli mimi simu wala sikuiacha. Nikaludi nayo...

NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2 Post Mpya
NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA....... Ndugu zangu, dada zangu mama zangu na watu wangu kwa ujumla kwanza kabisa nianze na funzo hasa hasa kwa hawa wanawake wanaopenda sana wadada wa kazi Jamni...

WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Muda ulienda na sikupata wasaa wa kuzungumza na mama maana alikuwa hataki kusikia chochote kutoka kwangu, so niliona nimsubiri dada yeye ndie anaweza kuwa msaaada wangu Hatiame muda wa dada...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest