Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

NILIUZWA KUWA MTUMWA WA BILIONEA 14,15  Mike alimuweka Ciara kitandani kwake kisha akaanza kumbusu kwa lazima.....hakuishia hapo alianza kupambana kumvua nguo ili wafanye mapenzi,
Gonga94 · Stories

NILIUZWA KUWA MTUMWA WA BILIONEA 14,15 Mike alimuweka Ciara kitandani kwake kisha akaanza kumbusu kwa lazima.....hakuishia hapo alianza kupambana kumvua nguo ili wafanye mapenzi,

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
kwa kifupi alitaka kumbaka

Ciara hakuonesha kushtuka wala kuogopa, alimuacha Mike afanye atakavyo. Ni wazi kabisa anaelewa nini maana ya kuwa Mtumwa.

Mike kuweza basi, alichukua shuka akamfunika. Ukishampenda mtu inakuwa changamoto sana kumfanyia ubaya na hivi ndivyo ilikuwa kwa bilionea.

"Kesho asubuhi nenda ukamsalimie Shangazi yako, nina uhakika una mengi ya kuzungumza naye"

"Kwanini unataka ni kamuone Shangazi yangu"

"Bila kujalisha alikuuza hapa lakini bado kabeba nafasi ya wazazi wako...." Mike aliongea kisha akageukia upande mwingine japo alikuwa na njaa lakini maneno ya Ciara yalivunja moyo wake

"Nisamehe kwa kuumiza moyo wako, naomba uishi katika huo ukweli kuwa hauna nafasi katika moyo wangu" Ciara alijisemea ndani ya moyo wake kisha akageukia upande mwingine pia

Kulivyo pambazuka alijikuta pekee yake, tayari Mike alikuwa ameamka.
Alisimama dirishani akachungulia, aliachia tabasamu baada ya kumuona Mike akisaidiana na Watumwa wengine kufanya usafi.

Japo huwa ana utajiri wa dharau lakini kuna muda huwa anakuwa na huruma kwa Watumwa wake.

Ciara alishika kalamu na karatasi kisha akaanza kumchora Mike na Watumwa wake.
Ilikuwa ni picha nzuri sana, baada ya kumaliza aliingia bafuni kuoga.

Mara nyingi huwa anapenda kuvaa kawaida tu ila siku ya leo kwa kuwa anaenda kwa Shangazi yake alijitahidi kupendeza....

Baada ya kumaliza kila kitu alitoka nje akiwa kashika picha aliyomchora Mike akiwa na Watumwa wengine.

Ile anataka kwenda kumuaga alizuiliwa na Katy

"Nasikia umeruhusiwa kwenda kumsalimia Shangazi yako, huna haja ya kupoteza muda nipatie hicho ulichobeba mkononi Jessa atampelekea"

Ciara hakuwa na shida alimkabidhi mchoro Katy kisha akamgeukia Jessa

"Naenda kumuona Shangazi, kama una chochote cha kuniambia zungumza"

"Usimuambie chochote kuhusu Mimi, nikipata nafasi kwa wakati wangu nitaenda kuzungumza naye"

"Ni muda sasa umepita itapendeza kama utaenda kumuona Mama yako" Katy alishauri

"Umesema unataka kwenda hospitali kufanya check-up, nitakusindikiza kuhusu Mama yangu nitatafuta nafasi kwa ajili yake"

Katy aliachia tabasamu baada ya kuona Jessa anamjali yeye kuliko Mama yake mzazi

Ciara aliondoka zake baada ya Jessa kukataa kwenda kumsalimia Mama yake..

Katy aliifungua picha aliyochora Ciara.
Ilikuwa ni picha nzuri sana na hata akajikuta akiachia tabasamu
Dada yako ni fundi mzuri sana katika kuchora, hii picha nitaiweka chumbani kwangu na si kumpatia Mike.

"Sikutarajia kama utaachia tabasamu sababu ya picha aliyochora Ciara"

"Huna haja ya kumuonea wivu Ciara kisha nimeachia tabasamu sababu ya mchoro wake...." Katy aliongea kisha akaendelea na safari

Jessa aliomba msamaha kisha akamgeukia Ciara aliyekuwa bado anazungumza na Mtumwa Jala.
Moyo wake ulichefukwa tu kiasi cha kutema mate

Upande mwingine Jasinta akiwa anakaanga zake chips aliishiwa pozi baada ya kumuona Ciara akiwa pekee yake.

"Jessa yuko wapi...."

"Atakuja kwa wakati mwingine..." Ciara aliongea akitaka kuchukua kipande cha chips aonje lakini hakufanikiwa baada ya Jasinta kuubana mkono na upawa

"Ingawa wewe ni Mtumwa kwenye jumba la Mike lakini nina uhakika kuwa una kula vyakula vizuri kuliko Watumwa wote"

Ciara aliachia tabasamu kwa maneno aliyoambiwa

"Nimeshaelewa kwanini umemuuza Jessa kwenye jengo la Mike"

"Kitu kipi hicho umeelewa"

"Unatamani aolewe na Mike"

"Siku zote huwa una uwezo wa kuelewa mambo kwa haraka, kama usingekuja kuzungumza na Mimi leo basi siku ya kesho ningekufuata. Hebu fanya kutoroka kwenye jengo la Mike.... nitafurahi kama utamuachia nafasi Jessa. Naamini uwepo wako hapo unaweka kikwazo"

"Yaani unataka Jessa awe na Mwanaume ambaye amekwisha lala na Mimi"

"Kulala na wewe haina shida hata, yule Mwanaume anaoga kila siku hivyo kama ni mabaki yako yataondolewa na maji"

Ciara alikaa kimya, alijikuta akikosa maneno ya kusema

"Siwezi kukufundisha namna ya kutoroka nina uhakika unazo mbinu kichwani" Jasinta aliomgea huku akimuwekea chips

Ciara hakuwa na noma alikula zote

"Hicho ni kiapo cha kunithibitishia kuwa utatoroka, sijakupa chips zangu bure. Pindi utakapo toroka hakikisha hauleti miguu yako hapa. Nadhani unaelewa nini kitatokea endapo utakuja kuishi hapa,"

Ciara alijikuta akitabasamu tu, hakutegemea kabisa kama Shangazi yake hampendi kiasi hiki

Itaendelea 💥

NILIUZWA KUWA MTUMWA WA BILIONEA 15

Ciara aliendelea kula chips taratibu, baada ya kumaliza alimpatia Shangazi yake kibunda cha pesa

"Hizi pesa ni kwa ajili yangu?" Jasinta aliuliza akiwa haamini

"Unataka nimpe nani na huku wewe ndio mzazi wangu uliyebakia? au hujaridhika nazo nizichukue" Ciara alitishia

"Acha ujinga...., kaa uendelee kula chips" Jasinta aliongeza zingine kwenye sahani

"Sitaki ni kuharibie ratiba yako ya usiku, uliponiuza Mimi pesa iliyopatikana ilitumika kumtibu Jessa. Ulipomuuza Jessa pesa iliyopatikana imeenda wapi?...."

"Kwanini unaniuliza...."

"Rekebisha hii nyumba, kwa sasa haupendezei kukaa kwenye nyumba iliyochoka kama hii."

"Ndiyo nilipatiwa pesa lakini sijui hata zilienda wapi, yaani ni kama zilikuwa na pepo hivi"

Ciara aliachia tabasamu, ana mfahamu Shangazi yake ni mtu wa bajeti sana.

"Tutaonana kwa wakati mwingine, pindi nitakapo toroka sijui nitaenda wapi lakini popote nitakapokuwa sitaacha kukumbuka. Kama ungechagua kunipatia sumu kipindi nikiwa na miaka minne sidhani kama ningeliona jua la leo hivyo Mimi hapa nipo tayari kufanya chochote kwa ajili ya Jessa"

Jasinta aliona aibu kwa namna Ciara anavyo mjali

"Nisamehe ipo siku hata wewe utakuwa Mama, nina uhakika utakuwa una mchagua Mtoto wako kwanza kwa kila kitu..."

"Ni wazi unajisikia hatia ndani ya moyo ndio maana unaomba msamaha. Huna haja ya kufanya hivi kwaheri" Ciara aliongea kisha akaondoka

Jasinta aliishia kuzitazama chips alizozibakiza Ciara. Moyo wake ulikuwa unauma kimtindo, alitaka kuangua kilio lakini alijizuia kwa kubugia chips zote.

Baada ya Ciara kurejea kwenye jengo la Mike, alijifungia chumbani kwake

"Naomba ufungue mlango..." Sauti ya Mtumwa Jala ilisikika

Kwa jinsi anavyo mchukulia Mwanamke huyu kama Mama yake alisimama akafungua mlango

"Kwanini unajifungia pekee yako, watu wote wako nje wakifurahia nyama na pombe zilizonunuliwa na Katy"

"Huenda tusionane tena, nipo nafikiria ni njia gani niitumie kutoka hapa..."

"Unafanya hivi kwa sababu Shangazi yako kasema"
"Ni kwa ajili ya Jessa, nafurahi kuona anaishi kama mtoto wa Mfalme mahali hapa, hivyo nitaondoka ili nisiwe sababu ya yeye kushindwa kuishi kama mtoto wa Malkia kabisa"

"Hii sehemu ina kustahili wewe hata kama utakimbia kwa sasa ni lazima utarudi hapa"

"Kama itatokea nimerudi basi sitakuwa na chaguo zaidi ya kukaa...."

Jala aliachia tabasamu kisha akampatia karanga

"Hizi ni nini...."

"Si umesema unataka kuondoka hapa!....kama utatumia hizi ni lazima wakukimbize hospitali hiyo ndio njia pekee ya wewe kutoroka" Jala aliongea

Basi Ciara akiwa katika uso wa kujiamini alitafuna karanga zote mpaka akamaliza.
Dakika tano zilikuwa ni nyingi alianza kutapika damu mfulilizo

Jala alipiga kelele za kuomba msaada, Acha Mike achanganyikiwe hasa baada ya kugundua Ciara ndio mahututi.
Alimuingiza kwenye gari kisha akaliondoa kama anakimbizwa na Majambazi

Ciara anapatiwa huduma za haraka,
"Sielewi ni kitu gani kina msumbua lakini kwa sasa anaendelea vizuri...." Daktari aliongea

Mike aliwahi chapu kumuona Ciara, moyo wake ulishtuka baada ya kukuta kitanda kikiwa tupu.

Kwa namna dirisha lilivyokuwa aligundua Ciara ametoroka.

Itaendelea 💥
Full 1000
Whatsapp 0657171961
KWETU Morogoro

Maoni

You're not logged in


Tangazo - My true love mwanzo Hadi Mwisho
My true love mwanzo Hadi Mwisho
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

NILIUZWA KUWA MTUMWA WA BILIONEA 14,15 Mike alimuweka Ciara kitandani kwake kisha akaanza kumbusu kwa lazima.....hakuishia hapo alianza kupambana kumvua nguo ili wafanye mapenzi,

kwa kifupi alitaka kumbaka

Ciara hakuonesha kushtuka wala kuogopa, alimuacha Mike afanye atakavyo. Ni wazi kabisa anaelewa nini maana ya kuwa Mtumwa.

Mike kuweza basi, alichukua shuka akamfunika. Ukishampenda mtu inakuwa changamoto sana kumfanyia ubaya na hivi ndivyo ilikuwa kwa bilionea.

"Kesho asubuhi nenda ukamsalimie Shangazi yako, nina uhakika una mengi ya kuzungumza naye"

"Kwanini unataka ni kamuone Shangazi yangu"

"Bila kujalisha alikuuza hapa lakini bado kabeba nafasi ya wazazi wako...." Mike aliongea kisha akageukia upande mwingine japo alikuwa na njaa lakini maneno ya Ciara yalivunja moyo wake

"Nisamehe kwa kuumiza moyo wako, naomba uishi katika huo ukweli kuwa hauna nafasi katika moyo wangu" Ciara...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/niliuzwa-kuwa-mtumwa-wa-bilionea-14-15-mike-alimuweka-ciara-kitandani-kwake-kisha-akaanza-kumbusu-kw

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi niliuzwa-kuwa-mtumwa-wa-bilionea
NILIUZWA KUWA MTUMWA WA BILIONEA   03  "Inaonekana umevutiwa na Ciara, vipi nimlete chumbani kwako usiku wa leo" Suzy aliuliza
NILIUZWA KUWA MTUMWA WA BILIONEA 03 "Inaonekana umevutiwa na Ciara, vipi nimlete chumbani kwako usiku wa leo" Suzy aliuliza
NILIUZWA KUWA MTUMWA WA BILIONEA 19  "Mike ananipenda Mimi, nina uhakika hata haya maamuzi anayoyafanya hayana madhara kwa Jessa hivyo sitaongea
NILIUZWA KUWA MTUMWA WA BILIONEA 19 "Mike ananipenda Mimi, nina uhakika hata haya maamuzi anayoyafanya hayana madhara kwa Jessa hivyo sitaongea
NILIUZWA KUWA MTUMWA WA BILIONEA  (01-05)   SEHEMU YA : 01  "Binti yangu anahitaji msaada wako....naomba uwaruhusu Madaktari
NILIUZWA KUWA MTUMWA WA BILIONEA (01-05) SEHEMU YA : 01 "Binti yangu anahitaji msaada wako....naomba uwaruhusu Madaktari
NILIUZWA KUWA MTUMWA WA BILIONEA 17  Ciara hakuonesha hofu hata kidogo, mjeledi uliokuwa mkononi kwa Mike haukumtisha
NILIUZWA KUWA MTUMWA WA BILIONEA 17 Ciara hakuonesha hofu hata kidogo, mjeledi uliokuwa mkononi kwa Mike haukumtisha
NILIUZWA KUWA MTUMWA WA BILIONEA 12  "Ni kama hujafurahia Mimi kuwa hapa...." Jessa aliongea
NILIUZWA KUWA MTUMWA WA BILIONEA 12 "Ni kama hujafurahia Mimi kuwa hapa...." Jessa aliongea
NILIUZWA KUWA MTUMWA WA BILIONEA 07/08  Wakati kisu kinanolewa, Ciara alijitahidi kupika chakula alichohisi kitamfaa Katy (Mama yake Mike)
NILIUZWA KUWA MTUMWA WA BILIONEA 07/08 Wakati kisu kinanolewa, Ciara alijitahidi kupika chakula alichohisi kitamfaa Katy (Mama yake Mike)
NILIUZWA KUWA MTUMWA WA BILIONEA 16 MTUNZI; McLAURIAN  "Suzyyyyy...." Mike alipaza sauti  Suzy alikuja chapu baada ya kusikia ameitwa kwa sauti ya juu
NILIUZWA KUWA MTUMWA WA BILIONEA 16 MTUNZI; McLAURIAN "Suzyyyyy...." Mike alipaza sauti Suzy alikuja chapu baada ya kusikia ameitwa kwa sauti ya juu
NILIUZWA KUWA MTUMWA WA BILIONEA ( 06)  "Unatumia mbinu gani kujua yaliyomo ndani ya moyo wa mtu....' Mike aliuliza
NILIUZWA KUWA MTUMWA WA BILIONEA ( 06) "Unatumia mbinu gani kujua yaliyomo ndani ya moyo wa mtu....' Mike aliuliza
NILIUZWA KUWA MTUMWA WA BILIONEA  09..10.  "Vipi Mimi siyo Mwanaume nayefaa kwenye mizani yako?" Mike aliuliza
NILIUZWA KUWA MTUMWA WA BILIONEA 09..10. "Vipi Mimi siyo Mwanaume nayefaa kwenye mizani yako?" Mike aliuliza
NILIUZWA KUWA MTUMWA WA BILIONEA 13  Ikiwa ni mida ya jioni Katy aliingia jikoni kuandaa chakula kwa ajili ya Jessa
NILIUZWA KUWA MTUMWA WA BILIONEA 13 Ikiwa ni mida ya jioni Katy aliingia jikoni kuandaa chakula kwa ajili ya Jessa
NILIUZWA KUWA MTUMWA WA BILIONEA 18  Mida ya jioni ilipowadia Jasinta alivaa nguo aliyoletewa na Mike. Kioo kilitosha kumuambia kuwa
NILIUZWA KUWA MTUMWA WA BILIONEA 18 Mida ya jioni ilipowadia Jasinta alivaa nguo aliyoletewa na Mike. Kioo kilitosha kumuambia kuwa
NILIUZWA KUWA MTUMWA WA BILIONEA   04...5  Basi Ciara alilala chumbani kwa Mike,,,,saa kumi na mbili
NILIUZWA KUWA MTUMWA WA BILIONEA 04...5 Basi Ciara alilala chumbani kwa Mike,,,,saa kumi na mbili
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*

818
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*

813
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

682
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

559
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *  *16-20*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16-20*

427
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18

380
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6

177
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania

99
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

97
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*

57

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.53K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.27K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.77K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.24K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.72K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.63K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.62K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.55K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.48K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.47K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Hatimae ule mda wa kuwasili huyo mkaka wa kuitwa Anfrey ulifika walimpokea kwa furaha sana wazazi kama wazazi walimzawadia kijana wao gari ya milioni 80 Mimi nilikuwa kwa mbali natazama...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*
@majario LIVE

Huo Ndio ukawa mwanzo Mpya wa upendo kati yangu Mimi na madam groly, Yaani mimba tu na kukaa nae Ndani ya miezi miwili tu tayali madam groly aliona utofauti wangu. Kwa...

KWAKO RUSHINE DE REUCK. Post Mpya
KWAKO RUSHINE DE REUCK.
@majario LIVE

Nikiwa kama mpenzi na shabiki mwanachama wa Simba niliyenyooka ninajikuta nina wajibu wa kusema ukweli pale panapohitajika ili kama kuna hatua za kuchukuliwa zichukuliwe mapema na mhusika kabla jambo...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Mwandiishi; LISSA Basi bwana rasmi tukaanza aya mahusiano bubu sasa, ambayo mimi binafsi sikuwa nimeyaafik kabisaaa, na wala sikuwa nayafurahia ata kidogo ,ila mchumba si kaamua basi powa, nikaona ngoja...

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania Post Mpya
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania
@majario LIVE

Kutokana na ongezeko la watumiaji wa Safaricom M-Pesa wanaohitaji kutuma pesa kwenda Vodacom M-Pesa Tanzania, nimeamua kuandika makala hii ili kuwasaidia wale ambao hawafahamu jinsi ya kufanya muamala huo. Tuma...

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16* Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*
@majario LIVE

SONGA NAYO............. Zilipita dakika kadhaa nikatoka na kumfuata sebleni , akataka kuendeleza story zake nikamwambia aaah 🤚nioneshe kazi za kufanya kwanza ,kama ni maongezi baadae. Hakuwa na shida akaanza kunionesha mazingira yote...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6
@officialgonga LIVE

SONGA NAYO..... nilipokaribia kumfikia nilimsikia akizungumaza "Sawa baba basi wacha sie tufanye maandalizi kidogo..." Niliweza kumsikia madam akiongea hivyo, kwakuwa mimi huyu mama namuona boya sikutaka kumjali nilimpita nikaelekea chumbani lakini nikiwa katika...

Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary Post Mpya
Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary
@majario LIVE

filmmaker V. Shantaram and actress Jayshree, so films were always a part of her world. She started as a child artist in Subah Ka Tara and was later introduced as...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *  *16-20* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16-20*
@majario LIVE

*_______________________________________* .Chapter 19&20 Tuliondoka na mume wangu kuelekea kwake. Aseee ni bonge la nyumbaa ile aliyonipa ikaanzeee kwenye parking kuna magari kam yotee, bustani kumbwa muda huo mimi nachungulia tu kwenye gari...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*
@majario LIVE

Siku ziliendelea kwenda uku mimi na Enzo tukiendelea kukaa kwa madam groly, Yaani madam groly hakutaka kabisa nikae mbali na alikuwa akichukua uangalizi mzuri sana juu yangu Siku moja nikiwa chumbani...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*
@majario LIVE

Enzo akanyanyuka kwenye kochi alipokuwa amekaa na kuja kuniwal na kwa shauku akaniuliza. "Ishani wewe ni mjamzito" Nikabaki nikiwashangaa tu Maana sielewi ata hiyo mimba ukibeba unajisikiaje Mimi Nipo Nipo Kama fala...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18
@majario LIVE

Tulifanya kama tulivyoagizwa na mpenzi wangu, ila sasa kuna kitu kilibadilika jaman, yaaani haikuwa tena wiki moja alikaaa kule zaidi ya miezi miwilii tena bila mawasiliano hili lilitupa mawazo sana...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20
@majario LIVE

Nikasema zena kweli ,na wew unafeel kama vile ambavyo mm nafeel acha masihara basi, akanambia lakini millan ,mi wewe sikujuhi vizur, ndo mana nilikuwa nataka mda kwanza wa kukufahamu ,nisije...

BLACK BUTTERFLY 🦋 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA “ Brayton..” Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa “ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?” Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest