Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

NILIUZWA KUWA MTUMWA WA BILIONEA 07/08  Wakati kisu kinanolewa, Ciara alijitahidi kupika chakula alichohisi kitamfaa Katy (Mama yake Mike)
Gonga94 Β· Stories

NILIUZWA KUWA MTUMWA WA BILIONEA 07/08 Wakati kisu kinanolewa, Ciara alijitahidi kupika chakula alichohisi kitamfaa Katy (Mama yake Mike)

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Basi mida ya jioni Mike na Mama yake walikaa mezani.
Chakula kililetwa, Ciara hakuonesha hofu usoni mwake ukilinganisha na Watumwa wengine.

"Karibuni chakula...." Ciara aliongea

Vile Katy alikuwa na shauku ya kutoa adhabu endapo chakula kitakuwa kibaya aliwahi kushika kijiko.

Kadri alivyozidi kula ndivyo hasira na kisirani viliyeyuka.

"Hiki chakula kapika nani siamini kama kimepikwa na watu wengi" Katy aliuliza

"Kapika Katy....." Jala (Mtumwa mwenye umri mkubwa kuliko wote) alizungumza
Umepika vizuri kama unampikia Mama yako, na hivyo ndivyo inatakiwa kuwa bila kujalisha nyie ni Watumwa mahali hapa" Katy aliongea

Muda wote macho ya Mike yalikuwa kwa Ciara, ni vile Binti huyu hakujua tu kama anatazamwa.

Suzy pia alijikuta akimuangalia Ciara, hakuelewa kwanini Mike anamtazama Mtumwa huyu kwa umakini namna hii.

"Sioni maajabu yake, labda kama umbile lake limezidishiwa kipimo cha sukari..." Suzy alijisemea ndani ya moyo wake

Muda wa kulala ulivyofika Ciara hakuwa akikumbuka kama anatakiwa kulala chumbani kwa Mike.

Mike akiwa chumbani kwake aliendelea kumsubiria lakini hakutokea, uvumilivu ulimshinda. Alivaa koti lake kisha akaelekea chumbani kwa Ciara.

Wakati yote haya yanafanyika Katy na Suzy walikuwa juu ya kibaraza wakishuhudia

"Ulipaswa unipatie hii taarifa mapema. Macho yake hayaoneshi kuogopa chochote, huu ni udhaifu tosha kwa Mike. Kijana wangu anapenda Wanawake wanaojiamini na wasio na shobo kwake..... inaonekana Ciara anamfahamu Mike toka zamani. Nachotaka kusema ni kwamba siyo Watumwa wote wapo hapa kutii amri.... wengine wako hapa kumtega Mike" Katy aliongea

"Kwahiyo unataka kusema Ciara hakuuzwa hapa kwa bahati mbaya" Suzy aliuliza

"Na ndio maana nakupenda, siku zote huwa una uwezo wa kufikiria haraka. Hebu naomba uichunguze familia aliyotoka Ciara....kama utakuta wana utajiri wowote ule basi fikira zako zitakuwa sahihi kuwa hakuuzwa hapa bahati mbaya" Katy aliongea

"Nahitaji kufanya uchunguzi muda huu, pindi kutakapo pambazuka sitapata hiyo nafasi" Suzy aliongea kisha akasepa

Katy akiwa kasimama bado juu ya kibaraza alimshuhudia Mike akiwa kambeba Ciara.

Kuna namna moyo wake uliumia, mpaka sasa hajaona Mwanamke anayestahili kuwa na Kijana wake kama angekuepo basi angebariki ndoa.

Upande mwingine Suzy anafanikiwa kufika nyumbani kwa Jasinta baada ya kupeleleza kwa Walevi kwenye vilabu vya pombe.

Anafanikiwa kupuliza dawa ya usingizi kwenye vyumba vyao. Hii ilimpa urahisi wa kuvunja dirisha na kuingia ndani.

Uwezo wake wa kupekua sehemu anazohisi zitakuwa na hazina ulikuwa juu sana.

Kwa haraka alifanikiwa kuona saa mbili za dhahabu.

"Kama angeuza saa moja Jessa angesaidika bila hata kumuuza Ciara.... hivyo basi Ciara yupo kwenye jengo la Mike kwa majengo binafsi" Suzy alijisemea ndani ya moyo wake kisha akasepa.

Haraka aliyokuwa nayo miguuni kwake haikuelezeka. Wakati Mike anakazana kumpelekea moto Ciara, Suzy alifika mlangoni kwa Katy kutoa taarifa

"Ahsante kwa taarifa yako..... kuanzia kesho kila kitu kitabadilika. Ciara nitampitisha kwenye mitihani migumu ambayo hajawahi kuiona."

"Kuliko ufanye hivyo itapendeza kama tutamuondoa mahali hapa..."

"Mtumwa yoyote yule hawezi kuondoka hapa bila amri ya Mike. Usisahau kama hii si nyumba yangu, ni ngumu kuvunja sheria za Mike.....nitamuondoa hapa Ciara kwa akili kubwa. Ahsante kwa kuniletea taarifa sahihi" Katy aliongea

Suzy aliachia tabasamu kisha akaondoka, taratibu alisogea kwenye mlango wa Mike kuhakikisha usalama.

Anakutana na vicheko, yaani Mike na Ciara walikuwa wanafurahi kana kwamba wamefahamiana kwa muda mrefu

Itaendelea πŸ’₯

NILIUZWA KUWA MTUMWA WA BILIONEA 08

Kulivyo pambazuka asubuhi, Katy aliamka akiwa na nguvu mpya na hali mpya.

Bila kupoteza muda aliomba kuitiwa Ciara.

"Nitakuwa bustanini naomba afanye haraka kuja...." Katy aliongea kisha akaelekea bustanini

Ciara alichanganyikiwa kidogo hii nyumba ina bustani mbili alishindwa kuelewa Katy atakuwa wapi hivyo alijikuta akienda huku na kule..... bahati nzuri alimkuta kwenye bustani inayopendelewa zaidi na Mike

"Nisamehe kwa kuchelewa...." Ciara alijitetea

"Ni kama unanilazimisha ni kusamehe...."

"Hapana, uzito wa sauti yangu naomba usiiufikirie"

"Sawa.....nimemwaga mchele bahati mbaya kwenye bustani pendwa ya Mike, sijui utautoaje naomba unisaidie kuiweka sawa"

"Usiwe na shaka nitautoa wote" Ciara aliongea

Mchele ulikuwa umetapakaa bustani nzima tena kwenye nyasi fupi.

Ciara alianza kuokota, masaa yalizidi kutembea.....Katy alisepa zake akamuacha.

Mpaka jua linazama alikuwa hajamaliza

"Ni kitu gani unafanya...." Mike aliuliza

"Natoa mchele...."
Mike aliangalia kwa haraka haraka kila sehemu ilikuwa imetapakaa mchele

"Hii ni adhabu au ni nini..."

"Siyo adhabu, ni jukumu langu kutoa uchafu kwenye bustani yako"

"Kuna kazi nataka unifanyie, hii naomba uachane nayo watakuja kumalizia watu wengine"

"Kama nitakusikiliza wewe nitaonekana na mdharau Mama yako..."

Mike aliachia tabasamu kisha akamnyanyua Ciara

"Wewe ni Mtumwa wangu nilikununua kwa pesa zangu hivyo nitafurahi kama utayapa maneno yangu kipaumbele kuliko ya mtu mwingine...."

"Ni kazi gani hiyo unataka nikufanyie...."

"Njoo utaiona..."

Basi kwa pamoja waliongozana, Katy akiwa anaongea na Suzy alishangaa kumuona Mike akiongozana na Ciara kuelekea ndani.

"Hebu nenda kaangalie kama kazi niliyompatia imekamilika...." Katy aliongea

Suzy alienda kuangalia, alikuta Watumwa wengine wakifanya kazi aliyopatiwa Ciara

"Si rahisi yeye kukusikiliza wewe kwa sababu ni Mtumwa wa Mike...." Suzy aliongea kisha akaondoka

Katy alijihisi kudhalilika kupita kiasi....alienda mwenyewe bustanini kushuhudia, ni kweli aliwakuta Watumwa wengine wakiokota mchele

Upande mwingine, Mike aliporomoa nguo zote za kabatini kwake akaanza kupanga na Ciara

"Mara nyingi huwa nakosa usingizi usiku...." Ciara aliongea

"Kwanini...."

"Sielewi, huwa natamani nipate usingizi lakini huwa inakuwa changamoto..."

"Niambie ukweli, ulitamani uwe nani kwenye maisha yako kama ungebahatika kutimiza ndoto zako"

"Mbali na kumpikia Jessa chakula kizuri nilitamani kuwa Mwanajeshi mwenye cheo kikubwa kuliko wote...."

"Mwanamke kabisa unatamani kuwa na ndoto ngumu kama hiyo...."

"Siyo ndoto ngumu ni vile tu sikubahatika kutimiza ndoto zangu"

"Ni afadhali hata hukufanikiwa, sidhani kama Mimi na wewe tungeonana...."

"Hauna tofauti na Wachawi, nilitarajia utahuzunika kwa kushindwa kufikia malengo yangu cha ajabu umefurahi"

"Nina sababu ya kunifanya nifurahie kufeli kwako"

Ciara alisitisha kukunja nguo kisha akamtazama

"Ni sababu ipi hiyo...."

Mike alisogeza mdomo wake akambusu Ciara kwenye paji la uso

"Nakupenda, kama ungefanikiwa kutimiza ndoto yako sidhani kama tungeonana....namshukuru Shangazi yako kwa kukuuza kwangu"

Maneno haya yalipasua moyo wa Ciara alijikuta akitetemeka kabisa kwa kutangaziwa upendo

Itaendelea πŸ’₯
Full 2000
Whatsapp 0657171961
KWETU Morogoro

Maoni

You're not logged in


Tangazo - from bangi to baby fully stories 1 to 21
from bangi to baby fully stories 1 to 21
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

NILIUZWA KUWA MTUMWA WA BILIONEA 07/08 Wakati kisu kinanolewa, Ciara alijitahidi kupika chakula alichohisi kitamfaa Katy (Mama yake Mike)



Basi mida ya jioni Mike na Mama yake walikaa mezani.
Chakula kililetwa, Ciara hakuonesha hofu usoni mwake ukilinganisha na Watumwa wengine.

"Karibuni chakula...." Ciara aliongea

Vile Katy alikuwa na shauku ya kutoa adhabu endapo chakula kitakuwa kibaya aliwahi kushika kijiko.

Kadri alivyozidi kula ndivyo hasira na kisirani viliyeyuka.

"Hiki chakula kapika nani siamini kama kimepikwa na watu wengi" Katy aliuliza

"Kapika Katy....." Jala (Mtumwa mwenye umri mkubwa kuliko wote) alizungumza
Umepika vizuri kama unampikia Mama yako, na hivyo ndivyo inatakiwa kuwa bila kujalisha nyie ni Watumwa mahali hapa" Katy aliongea

Muda wote macho ya Mike yalikuwa kwa Ciara, ni vile Binti huyu hakujua tu kama anatazamwa.

Suzy pia alijikuta...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/niliuzwa-kuwa-mtumwa-wa-bilionea-07-08-wakati-kisu-kinanolewa-ciara-alijitahidi-kupika-chakula-alich

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi niliuzwa-kuwa-mtumwa-wa-bilionea
NILIUZWA KUWA MTUMWA WA BILIONEA   03  "Inaonekana umevutiwa na Ciara, vipi nimlete chumbani kwako usiku wa leo" Suzy aliuliza
NILIUZWA KUWA MTUMWA WA BILIONEA 03 "Inaonekana umevutiwa na Ciara, vipi nimlete chumbani kwako usiku wa leo" Suzy aliuliza
NILIUZWA KUWA MTUMWA WA BILIONEA 19  "Mike ananipenda Mimi, nina uhakika hata haya maamuzi anayoyafanya hayana madhara kwa Jessa hivyo sitaongea
NILIUZWA KUWA MTUMWA WA BILIONEA 19 "Mike ananipenda Mimi, nina uhakika hata haya maamuzi anayoyafanya hayana madhara kwa Jessa hivyo sitaongea
NILIUZWA KUWA MTUMWA WA BILIONEA  (01-05)   SEHEMU YA : 01  "Binti yangu anahitaji msaada wako....naomba uwaruhusu Madaktari
NILIUZWA KUWA MTUMWA WA BILIONEA (01-05) SEHEMU YA : 01 "Binti yangu anahitaji msaada wako....naomba uwaruhusu Madaktari
NILIUZWA KUWA MTUMWA WA BILIONEA 17  Ciara hakuonesha hofu hata kidogo, mjeledi uliokuwa mkononi kwa Mike haukumtisha
NILIUZWA KUWA MTUMWA WA BILIONEA 17 Ciara hakuonesha hofu hata kidogo, mjeledi uliokuwa mkononi kwa Mike haukumtisha
NILIUZWA KUWA MTUMWA WA BILIONEA 12  "Ni kama hujafurahia Mimi kuwa hapa...." Jessa aliongea
NILIUZWA KUWA MTUMWA WA BILIONEA 12 "Ni kama hujafurahia Mimi kuwa hapa...." Jessa aliongea
NILIUZWA KUWA MTUMWA WA BILIONEA 16 MTUNZI; McLAURIAN  "Suzyyyyy...." Mike alipaza sauti  Suzy alikuja chapu baada ya kusikia ameitwa kwa sauti ya juu
NILIUZWA KUWA MTUMWA WA BILIONEA 16 MTUNZI; McLAURIAN "Suzyyyyy...." Mike alipaza sauti Suzy alikuja chapu baada ya kusikia ameitwa kwa sauti ya juu
NILIUZWA KUWA MTUMWA WA BILIONEA ( 06)  "Unatumia mbinu gani kujua yaliyomo ndani ya moyo wa mtu....' Mike aliuliza
NILIUZWA KUWA MTUMWA WA BILIONEA ( 06) "Unatumia mbinu gani kujua yaliyomo ndani ya moyo wa mtu....' Mike aliuliza
NILIUZWA KUWA MTUMWA WA BILIONEA  09..10.  "Vipi Mimi siyo Mwanaume nayefaa kwenye mizani yako?" Mike aliuliza
NILIUZWA KUWA MTUMWA WA BILIONEA 09..10. "Vipi Mimi siyo Mwanaume nayefaa kwenye mizani yako?" Mike aliuliza
NILIUZWA KUWA MTUMWA WA BILIONEA 14,15  Mike alimuweka Ciara kitandani kwake kisha akaanza kumbusu kwa lazima.....hakuishia hapo alianza kupambana kumvua nguo ili wafanye mapenzi,
NILIUZWA KUWA MTUMWA WA BILIONEA 14,15 Mike alimuweka Ciara kitandani kwake kisha akaanza kumbusu kwa lazima.....hakuishia hapo alianza kupambana kumvua nguo ili wafanye mapenzi,
NILIUZWA KUWA MTUMWA WA BILIONEA 13  Ikiwa ni mida ya jioni Katy aliingia jikoni kuandaa chakula kwa ajili ya Jessa
NILIUZWA KUWA MTUMWA WA BILIONEA 13 Ikiwa ni mida ya jioni Katy aliingia jikoni kuandaa chakula kwa ajili ya Jessa
NILIUZWA KUWA MTUMWA WA BILIONEA 18  Mida ya jioni ilipowadia Jasinta alivaa nguo aliyoletewa na Mike. Kioo kilitosha kumuambia kuwa
NILIUZWA KUWA MTUMWA WA BILIONEA 18 Mida ya jioni ilipowadia Jasinta alivaa nguo aliyoletewa na Mike. Kioo kilitosha kumuambia kuwa
NILIUZWA KUWA MTUMWA WA BILIONEA   04...5  Basi Ciara alilala chumbani kwa Mike,,,,saa kumi na mbili
NILIUZWA KUWA MTUMWA WA BILIONEA 04...5 Basi Ciara alilala chumbani kwa Mike,,,,saa kumi na mbili
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*

818
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*

814
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

683
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

559
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *  *16-20*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16-20*

427
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18

380
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6

177
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania

99
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

97
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*

57

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.53K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.27K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.77K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.24K
MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

2.72K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.63K
MY WANGU❀️ sehemu ya 108

MY WANGU❀️ sehemu ya 108

2.62K
MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

2.55K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.48K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tatu.  πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tatu. πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

2.47K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Hatimae ule mda wa kuwasili huyo mkaka wa kuitwa Anfrey ulifika walimpokea kwa furaha sana wazazi kama wazazi walimzawadia kijana wao gari ya milioni 80 Mimi nilikuwa kwa mbali natazama...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*
@majario LIVE

Huo Ndio ukawa mwanzo Mpya wa upendo kati yangu Mimi na madam groly, Yaani mimba tu na kukaa nae Ndani ya miezi miwili tu tayali madam groly aliona utofauti wangu. Kwa...

KWAKO RUSHINE DE REUCK. Post Mpya
KWAKO RUSHINE DE REUCK.
@majario LIVE

Nikiwa kama mpenzi na shabiki mwanachama wa Simba niliyenyooka ninajikuta nina wajibu wa kusema ukweli pale panapohitajika ili kama kuna hatua za kuchukuliwa zichukuliwe mapema na mhusika kabla jambo...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Mwandiishi; LISSA Basi bwana rasmi tukaanza aya mahusiano bubu sasa, ambayo mimi binafsi sikuwa nimeyaafik kabisaaa, na wala sikuwa nayafurahia ata kidogo ,ila mchumba si kaamua basi powa, nikaona ngoja...

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania Post Mpya
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania
@majario LIVE

Kutokana na ongezeko la watumiaji wa Safaricom M-Pesa wanaohitaji kutuma pesa kwenda Vodacom M-Pesa Tanzania, nimeamua kuandika makala hii ili kuwasaidia wale ambao hawafahamu jinsi ya kufanya muamala huo. Tuma...

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16* Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*
@majario LIVE

SONGA NAYO............. Zilipita dakika kadhaa nikatoka na kumfuata sebleni , akataka kuendeleza story zake nikamwambia aaah 🀚nioneshe kazi za kufanya kwanza ,kama ni maongezi baadae. Hakuwa na shida akaanza kunionesha mazingira yote...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6
@officialgonga LIVE

SONGA NAYO..... nilipokaribia kumfikia nilimsikia akizungumaza "Sawa baba basi wacha sie tufanye maandalizi kidogo..." Niliweza kumsikia madam akiongea hivyo, kwakuwa mimi huyu mama namuona boya sikutaka kumjali nilimpita nikaelekea chumbani lakini nikiwa katika...

Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary Post Mpya
Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary
@majario LIVE

filmmaker V. Shantaram and actress Jayshree, so films were always a part of her world. She started as a child artist in Subah Ka Tara and was later introduced as...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *  *16-20* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16-20*
@majario LIVE

*_______________________________________* .Chapter 19&20 Tuliondoka na mume wangu kuelekea kwake. Aseee ni bonge la nyumbaa ile aliyonipa ikaanzeee kwenye parking kuna magari kam yotee, bustani kumbwa muda huo mimi nachungulia tu kwenye gari...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*
@majario LIVE

Siku ziliendelea kwenda uku mimi na Enzo tukiendelea kukaa kwa madam groly, Yaani madam groly hakutaka kabisa nikae mbali na alikuwa akichukua uangalizi mzuri sana juu yangu Siku moja nikiwa chumbani...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*
@majario LIVE

Enzo akanyanyuka kwenye kochi alipokuwa amekaa na kuja kuniwal na kwa shauku akaniuliza. "Ishani wewe ni mjamzito" Nikabaki nikiwashangaa tu Maana sielewi ata hiyo mimba ukibeba unajisikiaje Mimi Nipo Nipo Kama fala...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18
@majario LIVE

Tulifanya kama tulivyoagizwa na mpenzi wangu, ila sasa kuna kitu kilibadilika jaman, yaaani haikuwa tena wiki moja alikaaa kule zaidi ya miezi miwilii tena bila mawasiliano hili lilitupa mawazo sana...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20
@majario LIVE

Nikasema zena kweli ,na wew unafeel kama vile ambavyo mm nafeel acha masihara basi, akanambia lakini millan ,mi wewe sikujuhi vizur, ndo mana nilikuwa nataka mda kwanza wa kukufahamu ,nisije...

BLACK BUTTERFLY πŸ¦‹ 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY πŸ¦‹ 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA β€œ Brayton..” Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa β€œ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?” Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest