Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

NILIUZWA KUWA MTUMWA WA BILIONEA  09..10.  "Vipi Mimi siyo Mwanaume nayefaa kwenye mizani yako?" Mike aliuliza
Gonga94 Β· Stories

NILIUZWA KUWA MTUMWA WA BILIONEA 09..10. "Vipi Mimi siyo Mwanaume nayefaa kwenye mizani yako?" Mike aliuliza

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Ciara aliachia tabasamu, hakutaka kuonesha kuchanganyikiwa na wala hakutaka kuonesha kupuuzia alibakia kuwa vuguvugu

"Nipe muda nifikirie kuhusu hili suala"

"Muda?... usisahau kama nimekununua nina uwezo wa kufanya chochote kile bila kusubiria mtazamo wako"

Ciara aliachia tabasamu kisha akaendelea kukunja nguo. Kila alipoinua macho yake alikutana na macho ya Mike

Iliwachukua muda mrefu kumaliza kukunja nguo.

"Ni saa kamili usiku, sijisikii kula chakula cha hapa naomba tutoke out kidogo na hata hivyo nina muda mrefu bila kula hotelini" Mike aliongea

"Kuna ulazima wa Mimi kwenda?...." Ciara aliuliza kwa sababu alikuwa amechoka

"Nitafurahi kama tutatoka wote...." Mike aliongea

Ciara alienda chumbani kwake kujiandaa. Hakuwa na nguo nzuri ya mtoko hivyo alivaa kujisitiri na si kupendeza

"Naomba usinifuate, siku ya leo nahitaji kuwa huru zaidi" Mike alimzuia Suzy

Suzy alitikisa kichwa kuashiria ameelewa lakini ukweli ni hakufurahishwa na maamuzi ya Bilionea

Kwa mara ya kwanza Ciara aliingia kwenye gari la Mike.

"Sielewi ni vitu gani hivi umevaa, naomba uvue nitakununulia nguo kabla hatujaingia hotelini kupata chakula

"Sawa...." Ciara alijibu akiwa kamkazia macho

"Una macho mazuri...." Mike alimwaga sifa

Mike alisimamisha gari baada ya kufika shopping center ya nguo za kike

Kwa pamoja waliingia dukani, Ciara aseme nini sasa. Alikuwa ametulia zake akamuacha Mike achague nguo

Baada ya hapo waliingia kwa pamoja kwenye chumba cha kubadilisha nguo

Mike alinyoosha mkono wake taratibu akamfungulia Ciara zipu ya gauni alilovaa

Ciara alianza kujaribu nguo moja baada ya nyingine....

Nguo zote zilimpendezea, Mike alijipigia makofi kwa uchaguzi mzuri.

Ciara alivaa nguo moja nzuri kuliko zote, mezani kulikuwa na mapambo basi Mike aliingia jukumu la kumpendezesha

Mapigo ya moyo wa Ciara yalianza kwenda mbio pia hasa kila alipokutana macho na Mwanaume huyu

Wakati Ciara anatoka shopping center, alipozi kidogo baada ya kukutana na Jasinta (Shangazi yake)

Jasinta aliishia kukodoa macho, kwa namna Mike alivyokuwa amemshika mkono Ciara alitosha kuelewa ni kitu gani kinaendelea

"Shangazi...." Ciara aliita

"Nafurahi kuona unaendelea vizuri" Jasinta aliongea akataka kuondoka lakini alitulia kidogo baada ya kukumbuka uwepo wa Mike

"Ahsante kwa kumtunza vizuri Ciara wangu" Jasinta alishukuru kisha akasepa

Sijui nini kilimpata, usiku wake ulikuwa mgumu sana.
Alijikuta akimuonea wivu Ciara,

"Hiyo nafasi inapaswa kuwa ya Jessa na si yake... siwezi kuruhusu aolewe na Mike. Nitamuuza Jessa kwa huyo Bilionea.....binti yangu ni mrembo kuliko Wasichana wote duniani nina uhakika ataonekana machoni kwa Mike kwa wepesi zaidi." Jasinta alijisemea ndani ya moyo wake

Itaendelea πŸ’₯

NILIUZWA KUWA MTUMWA WA BILIONEA 10

Upande mwingine, Mike na Ciara waliendelea kufurahia chakula wakiwa katika hoteli ya Sunflower

Macho ya watu wengi yalikuwa kwao, Mike ni mtu mwenye jina kubwa hapa Mjini hivyo huchukuliwa kama kioo cha jamii.

Suzy pia alikuwa kabana kona kwa namna alivyokuwa amevaa isingekuwa rahisi kumtambua. Moyo wake ulikuwa unauma sana hasa kila alipoona Mike ana tabasamu sababu ya Ciara.

Alichomoa bastola kwenye mfuko wa suruali yake, lengo lake lilikuwa ni kumshambulia Ciara, kila alipotaka kulenga shabaha Mike alikuwa kikwazo.

"Una bahati nzuri Mbwa wewe....." Suzy alijisemea ndani ya moyo kisha akaondoka

Wawili hawa hawakurudi nyumbani, kwa mara ya kwanza kabisa Mike alilala nje ya jengo lake

Kulivyo pambazuka asubuhi alimpeleka Ciara nyumbani kisha yeye akaelekea kazini.

"Naomba uniitie Ciara hapa au acha nitamfuata mwenyewe" Katy aliongea kisha akaongoza njia

Hakupiga hodi wala nini alisukuma tu mlango kisha akaingia

"Karibu....."Ciara alizungumza

"Unanikaribisha?....mbona ni ajabu sana" Katy aliongea huku akikaa

Ciara alikuwa amechoka lakini kwa kuwa ni Mtumwa ilimlazimu kusimamia.

"Siku ya jana ulienda wapi na Mike? hebu naomba kujua ni kitu gani umepatia Kijana wangu mpaka akose hata muda wa kuzungumza na Mimi!" Katy alifoka

"Nisamehe, nitamkumbusha atenge muda kwa ajili yako"

"Hakika una kauli zinazo kera moyo wa mtu, hebu vua nione ni kitu gani hicho unacho kinacho changanya akili ya Mike"

"Kuvua? siwezi kufanya hivyo mbele yako...."

"Kwanini?"

"Huu mwili ni wa Mike si kila mtu anatakiwa kuuona"

"Mimi ndio umenijibu hivi?" Katy aliuliza akionekana kuchanganyikiwa kupita kiasi

"Nisamehe kama maneno yangu yana ukakasi"

"Msamaha hauwezi kutolewa kirahisi namna hiyo, naomba unifuate" Katy aliongea kisha akaongoza njia akiwa mwenye ghadhabu

Ciara alimfuata kwa nyuma akiwa mwenye uso wa kujiamini.

Mahali hapa kuna Mbwa wanne wenye ukubwa mfano wa ndama.
Mbwa hawa aliwaleta Katy wakiwa wadogo kabisa kutoka Urusi.

"Utalala na hawa mbwa wote" Katy aliongea kisha akawafungulia

Miingurumo yao tu ilikuwa inatisha mfano wa Simba jike.

Ciara hakutishwa na hawa Mbwa hata kidogo.....

"Mnasubiria nini?....mvulisheni nguo huyu kisha mmpelekee moto" Katy aliongea na mbwa

Hakuna hata Mbwa mmoja aliyediriki kumvamia Ciara......waliishia tu kuunguruma

"Mimi ni Mtumwa wa Mike si rahisi kwa Mbwa hawa kunidharau bila ruhusa ya Bilionea" Ciara aliongea

Hasira ya Katy ilifika mwisho sasa, aliwaita Watumwa wanne wa kiume.
Walimshika Ciara kisha wakamlaza chini.

Katy aliletewa mjeledi, alianza kumchapa

Kitendo cha Ciara kutolia wala kuomba msamaha kilimpandisha hasira, alijikuta akimchapa zaidi na zaidi

"Muondoeni huyu mbwa hapa....." Katy alifoka kisha akatupa mjeledi, alikuwa amechoka kupita kiasi

Badala ya Ciara kulia, yeye ndio alianza kulia sababu ya maumivu ya mkono. Kama utani hivi lakini alishikwa homa kabisa alipatiwa dawa kisha akajifunika gubigubi.

"Hakuna mafanikio yanayokuja kirahisi bila kupitia changamoto" Jala (Mtumwa wa kike mwenye umri mkubwa kuliko wote) alizungumza huku akimpaka dawa Ciara kwenye makalio yake

Ciara aliachia tabasamu kimtindo, si mtu wa kukasirika..... adhabu aliyopatiwa na Katy ilikuwa ni ya kitoto wala haikumuumiza moyo wake

Si kawaida ya Mike kurejea nyumbani mapema kabla ya masaa ya kazi kuisha lakini siku ya leo alifanya hivyo.

"Mama yako anaumwa...." Suzy alimpatia taarifa

"Nitamuona baadae...." Mike alizungumza huku akiwahi chumbani kwa Ciara

Suzy aliishia kukodoa macho, yaani pamoja na kutoa taarifa kuhusu kuumwa kwa Katy lakini Mike alikuwa na uchu wa kumuona Ciara na si Mama yake.

Ciara akiwa amekaa alishtukia tu mlango una funguliwa kisha Mike akaingia

"Kwanini hunipigii simu wala kutuma ujumbe kunijulia hali?"

"Sina simu, ulisema Mtumwa hatakiwi kumiliki simu"

"Nitakununulia simu.... ukweli nimeshindwa kufanya kazi kwa sababu yako" Mike aliongea huku akimvua nguo Ciara

Moyo wake ulishtuka baada ya kuona alama za mijeledi mwilini kwa Ciara

"Ni kitu gani hiki...."

"Naomba uvunge kama huoni...."

Mike alichukua dawa iliyokuwa mezani akaanza kumpaka majeraha yote.

Wakiwa katika kubembelezana taarifa zililetwa

"Jasinta yupo hapa kufanya biashara na wewe" Sauti ya Suzy ilisikika

Itaendelea πŸ’₯

FULL Tsh 2000
Whatsapp 0657171961
KWETU Morogoro

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

NILIUZWA KUWA MTUMWA WA BILIONEA 09..10. "Vipi Mimi siyo Mwanaume nayefaa kwenye mizani yako?" Mike aliuliza



Ciara aliachia tabasamu, hakutaka kuonesha kuchanganyikiwa na wala hakutaka kuonesha kupuuzia alibakia kuwa vuguvugu

"Nipe muda nifikirie kuhusu hili suala"

"Muda?... usisahau kama nimekununua nina uwezo wa kufanya chochote kile bila kusubiria mtazamo wako"

Ciara aliachia tabasamu kisha akaendelea kukunja nguo. Kila alipoinua macho yake alikutana na macho ya Mike

Iliwachukua muda mrefu kumaliza kukunja nguo.

"Ni saa kamili usiku, sijisikii kula chakula cha hapa naomba tutoke out kidogo na hata hivyo nina muda mrefu bila kula hotelini" Mike aliongea

"Kuna ulazima wa Mimi kwenda?...." Ciara aliuliza kwa sababu alikuwa amechoka

"Nitafurahi kama tutatoka wote...." Mike aliongea

Ciara alienda chumbani kwake kujiandaa. Hakuwa na nguo nzuri ya...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/niliuzwa-kuwa-mtumwa-wa-bilionea-09-10-vipi-mimi-siyo-mwanaume-nayefaa-kwenye-mizani-yako-mike-aliul

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi niliuzwa-kuwa-mtumwa-wa-bilionea
NILIUZWA KUWA MTUMWA WA BILIONEA   03  "Inaonekana umevutiwa na Ciara, vipi nimlete chumbani kwako usiku wa leo" Suzy aliuliza
NILIUZWA KUWA MTUMWA WA BILIONEA 03 "Inaonekana umevutiwa na Ciara, vipi nimlete chumbani kwako usiku wa leo" Suzy aliuliza
NILIUZWA KUWA MTUMWA WA BILIONEA 19  "Mike ananipenda Mimi, nina uhakika hata haya maamuzi anayoyafanya hayana madhara kwa Jessa hivyo sitaongea
NILIUZWA KUWA MTUMWA WA BILIONEA 19 "Mike ananipenda Mimi, nina uhakika hata haya maamuzi anayoyafanya hayana madhara kwa Jessa hivyo sitaongea
NILIUZWA KUWA MTUMWA WA BILIONEA  (01-05)   SEHEMU YA : 01  "Binti yangu anahitaji msaada wako....naomba uwaruhusu Madaktari
NILIUZWA KUWA MTUMWA WA BILIONEA (01-05) SEHEMU YA : 01 "Binti yangu anahitaji msaada wako....naomba uwaruhusu Madaktari
NILIUZWA KUWA MTUMWA WA BILIONEA 17  Ciara hakuonesha hofu hata kidogo, mjeledi uliokuwa mkononi kwa Mike haukumtisha
NILIUZWA KUWA MTUMWA WA BILIONEA 17 Ciara hakuonesha hofu hata kidogo, mjeledi uliokuwa mkononi kwa Mike haukumtisha
NILIUZWA KUWA MTUMWA WA BILIONEA 07/08  Wakati kisu kinanolewa, Ciara alijitahidi kupika chakula alichohisi kitamfaa Katy (Mama yake Mike)
NILIUZWA KUWA MTUMWA WA BILIONEA 07/08 Wakati kisu kinanolewa, Ciara alijitahidi kupika chakula alichohisi kitamfaa Katy (Mama yake Mike)
NILIUZWA KUWA MTUMWA WA BILIONEA 12  "Ni kama hujafurahia Mimi kuwa hapa...." Jessa aliongea
NILIUZWA KUWA MTUMWA WA BILIONEA 12 "Ni kama hujafurahia Mimi kuwa hapa...." Jessa aliongea
NILIUZWA KUWA MTUMWA WA BILIONEA 16 MTUNZI; McLAURIAN  "Suzyyyyy...." Mike alipaza sauti  Suzy alikuja chapu baada ya kusikia ameitwa kwa sauti ya juu
NILIUZWA KUWA MTUMWA WA BILIONEA 16 MTUNZI; McLAURIAN "Suzyyyyy...." Mike alipaza sauti Suzy alikuja chapu baada ya kusikia ameitwa kwa sauti ya juu
NILIUZWA KUWA MTUMWA WA BILIONEA ( 06)  "Unatumia mbinu gani kujua yaliyomo ndani ya moyo wa mtu....' Mike aliuliza
NILIUZWA KUWA MTUMWA WA BILIONEA ( 06) "Unatumia mbinu gani kujua yaliyomo ndani ya moyo wa mtu....' Mike aliuliza
NILIUZWA KUWA MTUMWA WA BILIONEA 14,15  Mike alimuweka Ciara kitandani kwake kisha akaanza kumbusu kwa lazima.....hakuishia hapo alianza kupambana kumvua nguo ili wafanye mapenzi,
NILIUZWA KUWA MTUMWA WA BILIONEA 14,15 Mike alimuweka Ciara kitandani kwake kisha akaanza kumbusu kwa lazima.....hakuishia hapo alianza kupambana kumvua nguo ili wafanye mapenzi,
NILIUZWA KUWA MTUMWA WA BILIONEA 13  Ikiwa ni mida ya jioni Katy aliingia jikoni kuandaa chakula kwa ajili ya Jessa
NILIUZWA KUWA MTUMWA WA BILIONEA 13 Ikiwa ni mida ya jioni Katy aliingia jikoni kuandaa chakula kwa ajili ya Jessa
NILIUZWA KUWA MTUMWA WA BILIONEA 18  Mida ya jioni ilipowadia Jasinta alivaa nguo aliyoletewa na Mike. Kioo kilitosha kumuambia kuwa
NILIUZWA KUWA MTUMWA WA BILIONEA 18 Mida ya jioni ilipowadia Jasinta alivaa nguo aliyoletewa na Mike. Kioo kilitosha kumuambia kuwa
NILIUZWA KUWA MTUMWA WA BILIONEA   04...5  Basi Ciara alilala chumbani kwa Mike,,,,saa kumi na mbili
NILIUZWA KUWA MTUMWA WA BILIONEA 04...5 Basi Ciara alilala chumbani kwa Mike,,,,saa kumi na mbili
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*

818
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*

814
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

683
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

559
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *  *16-20*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16-20*

427
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18

380
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6

177
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania

99
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

97
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*

57

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.53K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.27K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.77K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.24K
MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

2.72K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.63K
MY WANGU❀️ sehemu ya 108

MY WANGU❀️ sehemu ya 108

2.62K
MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

2.55K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.48K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tatu.  πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tatu. πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

2.47K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Hatimae ule mda wa kuwasili huyo mkaka wa kuitwa Anfrey ulifika walimpokea kwa furaha sana wazazi kama wazazi walimzawadia kijana wao gari ya milioni 80 Mimi nilikuwa kwa mbali natazama...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*
@majario LIVE

Huo Ndio ukawa mwanzo Mpya wa upendo kati yangu Mimi na madam groly, Yaani mimba tu na kukaa nae Ndani ya miezi miwili tu tayali madam groly aliona utofauti wangu. Kwa...

KWAKO RUSHINE DE REUCK. Post Mpya
KWAKO RUSHINE DE REUCK.
@majario LIVE

Nikiwa kama mpenzi na shabiki mwanachama wa Simba niliyenyooka ninajikuta nina wajibu wa kusema ukweli pale panapohitajika ili kama kuna hatua za kuchukuliwa zichukuliwe mapema na mhusika kabla jambo...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Mwandiishi; LISSA Basi bwana rasmi tukaanza aya mahusiano bubu sasa, ambayo mimi binafsi sikuwa nimeyaafik kabisaaa, na wala sikuwa nayafurahia ata kidogo ,ila mchumba si kaamua basi powa, nikaona ngoja...

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania Post Mpya
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania
@majario LIVE

Kutokana na ongezeko la watumiaji wa Safaricom M-Pesa wanaohitaji kutuma pesa kwenda Vodacom M-Pesa Tanzania, nimeamua kuandika makala hii ili kuwasaidia wale ambao hawafahamu jinsi ya kufanya muamala huo. Tuma...

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16* Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*
@majario LIVE

SONGA NAYO............. Zilipita dakika kadhaa nikatoka na kumfuata sebleni , akataka kuendeleza story zake nikamwambia aaah 🀚nioneshe kazi za kufanya kwanza ,kama ni maongezi baadae. Hakuwa na shida akaanza kunionesha mazingira yote...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6
@officialgonga LIVE

SONGA NAYO..... nilipokaribia kumfikia nilimsikia akizungumaza "Sawa baba basi wacha sie tufanye maandalizi kidogo..." Niliweza kumsikia madam akiongea hivyo, kwakuwa mimi huyu mama namuona boya sikutaka kumjali nilimpita nikaelekea chumbani lakini nikiwa katika...

Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary Post Mpya
Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary
@majario LIVE

filmmaker V. Shantaram and actress Jayshree, so films were always a part of her world. She started as a child artist in Subah Ka Tara and was later introduced as...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *  *16-20* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16-20*
@majario LIVE

*_______________________________________* .Chapter 19&20 Tuliondoka na mume wangu kuelekea kwake. Aseee ni bonge la nyumbaa ile aliyonipa ikaanzeee kwenye parking kuna magari kam yotee, bustani kumbwa muda huo mimi nachungulia tu kwenye gari...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*
@majario LIVE

Siku ziliendelea kwenda uku mimi na Enzo tukiendelea kukaa kwa madam groly, Yaani madam groly hakutaka kabisa nikae mbali na alikuwa akichukua uangalizi mzuri sana juu yangu Siku moja nikiwa chumbani...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*
@majario LIVE

Enzo akanyanyuka kwenye kochi alipokuwa amekaa na kuja kuniwal na kwa shauku akaniuliza. "Ishani wewe ni mjamzito" Nikabaki nikiwashangaa tu Maana sielewi ata hiyo mimba ukibeba unajisikiaje Mimi Nipo Nipo Kama fala...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18
@majario LIVE

Tulifanya kama tulivyoagizwa na mpenzi wangu, ila sasa kuna kitu kilibadilika jaman, yaaani haikuwa tena wiki moja alikaaa kule zaidi ya miezi miwilii tena bila mawasiliano hili lilitupa mawazo sana...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20
@majario LIVE

Nikasema zena kweli ,na wew unafeel kama vile ambavyo mm nafeel acha masihara basi, akanambia lakini millan ,mi wewe sikujuhi vizur, ndo mana nilikuwa nataka mda kwanza wa kukufahamu ,nisije...

BLACK BUTTERFLY πŸ¦‹ 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY πŸ¦‹ 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA β€œ Brayton..” Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa β€œ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?” Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest